Sasa msafara wote huo wa kazi gani?vitu vimeppanda maji hakuna,pesa hakuna we unatuonyesha ulivyoingia na msafara unatusaidia nn sisi 😏,r.i.p raisi wangu magufuli,tangu afariki huyu baba hakuna raisi hii nchi kuna ushahidi ya kwamba tunaraisi
@@bakaramourshaaban kila mtu anahaki ya kutoa maoni,usipende watu wapende unacho kipenda,Hekima ni kitu cha bure ipo siku utakutana na huy mtu uliye mtukania mama yake na akusaidie ,usiwe bwege wa akili..
Sisi tunaomb Mungu tupate raisi kama hayat Magufuli alikuw mazalendo alaikuw anautu alaikuw anahofu y Mungu alaikuw anahuruma na watu wote kasoro walai wezi mafisadi... Nchi huiwez wewe kabisaaaaaaaaaaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Kwa hesabu yangu ya haraka haraka hii; 'motorcade' ina magari 50.Wajuzi wa mambo mje kutuelimisha kuhusu huu msururu wa magari maana huenda kiitifaki,kiusalama na kiutendaji ni sahihi lakini sisi tusiojua tutaendelea kulalamika tu kwamba ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma.Tuelimishane
Ndio maana umaskini wa Tanzania utazidi kuwatafuna wanyonge.Hayo mafuta yaliyotumika kwenye msafara huoyanatosha kuwajengea vyoo wanafunzi kadhaa wanaojisaidia porini.
Jamani huo msafara wala usiwasumbue akili zenu hao huwa wanajaziwa mafuta fulu tenki na elfu 5 au 10 ili wakapokee msafara leo mmewaona hao kesho akienda Mbowe mtawaona tena na msafara huohuo mkubwa wanachoangalia wao ni pesa tu
Boda boda kwa Furaha gani mliyonayo? Maisha magumu,pesa ngumu,vyakula bei ya juu ,Leo hii mnakubali kushangilia kisa 5000 za mafuta? Mama anania njema lakini hao wanaomzunguka
Sasa mbona watanzania wanalalamika kwamba nchi ni ngumu? Vitu vipo bei juu mbona ninaona wananchi wanampenda SANA mommy ? Nimeona alipoenda mabati .watanzania ni waongo sana .mommy hafai kumbe wanampenda kishenzi. ( MIMI nimeona ktk mtandao ) I'm outside the TANZANIA. .(mommy piga Kazi unapendwa. Don't give up
Sasa magari magari yote ayo yanini uu niiwaribifu wapesa kwani kungekuwa na magari mawawili au matatu kingetokea nn walinzi wasaidizi wake ingetosha magari mengi uku mtaani hakuna ela ii nchi inaboa kiukweli ningelikuwa ningeihama ii nchi nakuchukua uraia Kenya
Nchi inatia huruma sana,Gari moja ina cost zaid ya USD 90,000.Shule hazina viti,maji hakuna umeme hakuna.Wananchi wanaonekana hawana akili kwa kukaa kimya...Simameni ndugu
Sasa msafara wote huo wa kazi gani?vitu vimeppanda maji hakuna,pesa hakuna we unatuonyesha ulivyoingia na msafara unatusaidia nn sisi 😏,r.i.p raisi wangu magufuli,tangu afariki huyu baba hakuna raisi hii nchi kuna ushahidi ya kwamba tunaraisi
Usikohoee wekufa tyuu hauna faida apo Tanzania Kwanza unaongea tu ilimraad lakini huna uchungu na sisi kwasaabu hauuna kura zeetu
Wewe mpuuzi sana ana kura ya mama ako
@@bakaramourshaaban matusi ya nini
@@bakaramourshaaban kuwa na adabu
@@bakaramourshaaban kila mtu anahaki ya kutoa maoni,usipende watu wapende unacho kipenda,Hekima ni kitu cha bure ipo siku utakutana na huy mtu uliye mtukania mama yake na akusaidie ,usiwe bwege wa akili..
Oya hupaswi kumuombea mtu kifo wewe mwenyewe hujijui unaweza kuondoka lini tulia tu kila kitu na wakati wake usiwe fala fala
Karibu sana Babati Rais Samia na Hongera 🙏🤲👏
Mahalagwe bei sawa na nyama mama wote tumekuwa wala nyama
Magu alisema tutamkumbuka tuu uyu mama ni myanyasaji Sana kwa wananchi hasa wa Hali ya chini sijawahi kumsikia anatetea wanyonge
Watu wa Babati hata hamna aibu
Bodaboda wameshawekewa lita5 wanasahau kabisa msoto wao 😡😡
Ongera sana mama piga kazi watakuelewa tuuu
Kwa msafara huo??
R. I. P JPM
@@creationpicture123 ushawah kuuona msafara wa magu??
Kwann uwaongelee wengine sema utamuelewa tu. Maana Kuna wengine hata akae awape hela hawawezi muelewa kabisa huyu mama
Raiic hapana nchi huingoz vzr hujui nchi ina hali gan
Ata mkipata mwingine mtaongea tuu piga kazi mama
Gonga like twende mbele
Mzanzibari huyo, hajali matumizi ya hela zetu. Hayo magari yananyonya mafuta vibaya. Unatukana mafala kabis watu wa Bara
Sisi tunaomb Mungu tupate raisi kama hayat Magufuli alikuw mazalendo alaikuw anautu alaikuw anahofu y Mungu alaikuw anahuruma na watu wote kasoro walai wezi mafisadi... Nchi huiwez wewe kabisaaaaaaaaaaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌
hatuna majji hatuna umeme ndo nini sasa chakula bei hamna lolote
Ase hii nchi
Sasa hicho chakula chenyewe cha kuweka humo mnachoo maviiii tu
Kwa hesabu yangu ya haraka haraka hii; 'motorcade' ina magari 50.Wajuzi wa mambo mje kutuelimisha kuhusu huu msururu wa magari maana huenda kiitifaki,kiusalama na kiutendaji ni sahihi lakini sisi tusiojua tutaendelea kulalamika tu kwamba ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma.Tuelimishane
Hakuna cha hitifaki hapo. Unakuta mradi wa mil 500, matumizi ya magari na watumishi kwenda kuzindua mil 600
Wananchi wenyewe ni mental case kama hawapendi uongozi wake kwanini hao bodaboda wana shangilia chochote hata kama hawajala na wana shida kibao
Allah nijahalie imani
Jamani mama punguza safari kweli zinatija kwa taifa lakini sasa ona unakohoa afya yako ni muhimu.. mengine waachie vijana wako wafanye
mahindi bei juu
Hatuna raisi hp ni hewa tu
Madaktari... Hicho kikohozi Cha Rais wetu jamani... Mkitibu...iwe heri Kwa Tz
Ndio maana umaskini wa Tanzania utazidi kuwatafuna wanyonge.Hayo mafuta yaliyotumika kwenye msafara huoyanatosha kuwajengea vyoo wanafunzi kadhaa wanaojisaidia porini.
Hapa hakuna kutu Tuombe Mungu tupate Raid mwingine
Aulize wananchi wana kero gan sio anaongea tu
Jamani huo msafara wala usiwasumbue akili zenu hao huwa wanajaziwa mafuta fulu tenki na elfu 5 au 10 ili wakapokee msafara leo mmewaona hao kesho akienda Mbowe mtawaona tena na msafara huohuo mkubwa wanachoangalia wao ni pesa tu
Gari zinakaribia 100 hapo gharama ya mafuta iliotumika unaweza kuanzisha msingi wa hospitali ya wilaya harafu tunapiga na makofi kisa kuona hizo gari
Huy mama nilikuwa smuelewi kabisa ila kwa sasa naanza kumuelewa mungu Azid kukubaliki san ila Nina jambo lakuongea .....
Dah!!! Hawampongezi magufuli kwa kazi alizopiga, hata kumtaja tu, hizi project nyingi zmepita wakati wake
Anapongezwa alieachiwa urith na alauendeleza sio ukiachiwa urith unakaa kiti kirefu pesa zikiisha unalalamika umerogwa hungera rais wetu kazi iendelee
😂😂😂😂
Naona mnavyoharibu pesa zetu kwa misafara ya magari meeengi
Boda boda kwa Furaha gani mliyonayo? Maisha magumu,pesa ngumu,vyakula bei ya juu ,Leo hii mnakubali kushangilia kisa 5000 za mafuta?
Mama anania njema lakini hao wanaomzunguka
Sasa mbona watanzania wanalalamika kwamba nchi ni ngumu? Vitu vipo bei juu mbona ninaona wananchi wanampenda SANA mommy ? Nimeona alipoenda mabati .watanzania ni waongo sana .mommy hafai kumbe wanampenda kishenzi. ( MIMI nimeona ktk mtandao ) I'm outside the TANZANIA. .(mommy piga Kazi unapendwa. Don't give up
Upo vizuri mama
Kazi iendelee
Sijapenda kabisaa magari yote hayo ya nini sasa
Sasa magari magari yote ayo yanini uu niiwaribifu wapesa kwani kungekuwa na magari mawawili au matatu kingetokea nn walinzi wasaidizi wake ingetosha magari mengi uku mtaani hakuna ela ii nchi inaboa kiukweli ningelikuwa ningeihama ii nchi nakuchukua uraia Kenya
kisa msafara wa magari ndo umewafanya watu wa manyara msahau hata shida anazowapa huyu mama. huu ni ushamba kweli
Mamaa fanya uje mtwara, mpaka tunataka kusahau kama tuna Raisi!!
Msafara huo duu, sembe 2000 lakini ohoo
Wakienda ulaya wote kwenye basi moja
Atazindua kila kitu,
Daaah yaani ana zurula tuu na hakuna cha maana anacho fanya😏😏😏😏😏
Mama viongozi uliowachagua wanakuangusha
Nime hesabu gari 44 kwa haraka haraka ,😂😂😂 bia 1500, unga 2000😂😂😂😂😂😂 chakupima kinaanzia 500, mpe masikini pombe asahau shida zake 😂😂😂
Duuh kweli msafara aya.
Kuna watu hapa duniani kila kitu ni kibaya kwao
Hawa watu hata katika familia zao ni wabishi sana.
Unasema kweli
Siwez kuwa mnafki Mimi binafsi sikuwah kuwa upande wako yan sikupend nakuchukiachukia tu poa najiskia vibaya sana ninaposikia saut yako
Mmh wanamanyara wenzangu kumbeniwajinga nilijuaga wajanja mmh
Nchi inatia huruma sana,Gari moja ina cost zaid ya USD 90,000.Shule hazina viti,maji hakuna umeme hakuna.Wananchi wanaonekana hawana akili kwa kukaa kimya...Simameni ndugu
Haya mambo hayakuwa toka nyuma au yeye tu unawivu nae tumia uchumi wakati ununue hiyo gari bei siushajua
Yani nimecheka sana😂🤣😂🤣
Aise!!
Ni gharama lkn ni usalama pia,
Hawa viongozi wetu wanafuhisha sana hvi hamuoni mfumko was bei au kwakuwa nyie mnashiba
😀😀😀😀😀😀
Yaoyao
Kwan mlitakeje ..
Mafuta kwenye station yameshuka bei
Kwa hiyo umeuona huu msafara ndio umekuuma?kuweni wazalendo pendeni viongozi wenu.
Penda wewe, husilazimishe mtu
Aya tumeon msafala japo unga waugali kilo 1800
Sis hku kwetu 2000
CHAKURA mriwaperekea WAKENYA hayo magara mtawekea mchanga,
Piga Kazi Mama Wabongo Maneno kawaida !! Gooooh Samia mbk 2025 yupooh Saana
Utakuwa kijana wa hovyo ww kuwahi tokea
Wa Mamako Maku ww !! Nmependa mm Cjakulazmisha ww vp bhana na uyo Ndo Rais Wako we Naniiii
@@jackgerald7338 Sina Rais Mzee huyo ni Rais wako wewe!
Rais wetu mungu ampe umri
Mambo
Haya mama
Hongera mama wa taifa
Wimbo wa mama Samia
ruclips.net/video/YzC1AXlfLnU/видео.html
Mbona kahama mnaitelekeza Barbara mbovu mnachuma Mali tu mbunge hajielewi kazi kutetea gongo