USIPIME MSAFARA WA RAIS SAMIA ULIVYOWASILI MANYARA ,BODABODA WAFUNGA BARABARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 ноя 2022

Комментарии • 90

  • @kalistamtanzania7220
    @kalistamtanzania7220 Год назад +18

    Sasa msafara wote huo wa kazi gani?vitu vimeppanda maji hakuna,pesa hakuna we unatuonyesha ulivyoingia na msafara unatusaidia nn sisi 😏,r.i.p raisi wangu magufuli,tangu afariki huyu baba hakuna raisi hii nchi kuna ushahidi ya kwamba tunaraisi

  • @samwelmarty6759
    @samwelmarty6759 Год назад +12

    Usikohoee wekufa tyuu hauna faida apo Tanzania Kwanza unaongea tu ilimraad lakini huna uchungu na sisi kwasaabu hauuna kura zeetu

    • @bakaramourshaaban
      @bakaramourshaaban Год назад

      Wewe mpuuzi sana ana kura ya mama ako

    • @mwin980
      @mwin980 Год назад

      @@bakaramourshaaban matusi ya nini

    • @mwin980
      @mwin980 Год назад

      @@bakaramourshaaban kuwa na adabu

    • @mwin980
      @mwin980 Год назад

      @@bakaramourshaaban kila mtu anahaki ya kutoa maoni,usipende watu wapende unacho kipenda,Hekima ni kitu cha bure ipo siku utakutana na huy mtu uliye mtukania mama yake na akusaidie ,usiwe bwege wa akili..

    • @allysalim1229
      @allysalim1229 Год назад

      Oya hupaswi kumuombea mtu kifo wewe mwenyewe hujijui unaweza kuondoka lini tulia tu kila kitu na wakati wake usiwe fala fala

  • @erickmachua8829
    @erickmachua8829 Год назад +4

    Karibu sana Babati Rais Samia na Hongera 🙏🤲👏

  • @rjjosephat8075
    @rjjosephat8075 Год назад +7

    Mahalagwe bei sawa na nyama mama wote tumekuwa wala nyama

  • @jonhshao3917
    @jonhshao3917 Год назад +3

    Magu alisema tutamkumbuka tuu uyu mama ni myanyasaji Sana kwa wananchi hasa wa Hali ya chini sijawahi kumsikia anatetea wanyonge

  • @HASASON
    @HASASON Год назад +6

    Watu wa Babati hata hamna aibu

  • @alfredymalata269
    @alfredymalata269 Год назад +2

    Bodaboda wameshawekewa lita5 wanasahau kabisa msoto wao 😡😡

  • @suleymaniabdallah4446
    @suleymaniabdallah4446 Год назад +6

    Ongera sana mama piga kazi watakuelewa tuuu

    • @creationpicture123
      @creationpicture123 Год назад +1

      Kwa msafara huo??

    • @creationpicture123
      @creationpicture123 Год назад +2

      R. I. P JPM

    • @Maryam-pz6xn
      @Maryam-pz6xn Год назад

      @@creationpicture123 ushawah kuuona msafara wa magu??

    • @injili90
      @injili90 Год назад

      Kwann uwaongelee wengine sema utamuelewa tu. Maana Kuna wengine hata akae awape hela hawawezi muelewa kabisa huyu mama

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Год назад +2

    Raiic hapana nchi huingoz vzr hujui nchi ina hali gan

  • @vedastosilayo5824
    @vedastosilayo5824 Год назад +4

    Gonga like twende mbele

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Год назад +1

    Mzanzibari huyo, hajali matumizi ya hela zetu. Hayo magari yananyonya mafuta vibaya. Unatukana mafala kabis watu wa Bara

  • @veromichael779
    @veromichael779 Год назад

    Sisi tunaomb Mungu tupate raisi kama hayat Magufuli alikuw mazalendo alaikuw anautu alaikuw anahofu y Mungu alaikuw anahuruma na watu wote kasoro walai wezi mafisadi... Nchi huiwez wewe kabisaaaaaaaaaaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @daud405
    @daud405 Год назад +4

    hatuna majji hatuna umeme ndo nini sasa chakula bei hamna lolote

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 Год назад +3

    Ase hii nchi

  • @josephchiluka9357
    @josephchiluka9357 Год назад +2

    Sasa hicho chakula chenyewe cha kuweka humo mnachoo maviiii tu

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Год назад +1

    Kwa hesabu yangu ya haraka haraka hii; 'motorcade' ina magari 50.Wajuzi wa mambo mje kutuelimisha kuhusu huu msururu wa magari maana huenda kiitifaki,kiusalama na kiutendaji ni sahihi lakini sisi tusiojua tutaendelea kulalamika tu kwamba ni matumizi mabaya ya rasilimali za umma.Tuelimishane

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 Год назад +1

      Hakuna cha hitifaki hapo. Unakuta mradi wa mil 500, matumizi ya magari na watumishi kwenda kuzindua mil 600

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Год назад

    Wananchi wenyewe ni mental case kama hawapendi uongozi wake kwanini hao bodaboda wana shangilia chochote hata kama hawajala na wana shida kibao

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 Год назад +2

    Allah nijahalie imani

  • @Theironrod9373
    @Theironrod9373 7 месяцев назад

    Jamani mama punguza safari kweli zinatija kwa taifa lakini sasa ona unakohoa afya yako ni muhimu.. mengine waachie vijana wako wafanye

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад +3

    mahindi bei juu

  • @veromichael779
    @veromichael779 Год назад +1

    Hatuna raisi hp ni hewa tu

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Год назад

    Madaktari... Hicho kikohozi Cha Rais wetu jamani... Mkitibu...iwe heri Kwa Tz

  • @annemlay11
    @annemlay11 Год назад

    Ndio maana umaskini wa Tanzania utazidi kuwatafuna wanyonge.Hayo mafuta yaliyotumika kwenye msafara huoyanatosha kuwajengea vyoo wanafunzi kadhaa wanaojisaidia porini.

  • @rahma6189
    @rahma6189 Год назад +1

    Hapa hakuna kutu Tuombe Mungu tupate Raid mwingine

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Год назад +1

    Aulize wananchi wana kero gan sio anaongea tu

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo564 Год назад

    Jamani huo msafara wala usiwasumbue akili zenu hao huwa wanajaziwa mafuta fulu tenki na elfu 5 au 10 ili wakapokee msafara leo mmewaona hao kesho akienda Mbowe mtawaona tena na msafara huohuo mkubwa wanachoangalia wao ni pesa tu

  • @enickosanga4921
    @enickosanga4921 Год назад

    Gari zinakaribia 100 hapo gharama ya mafuta iliotumika unaweza kuanzisha msingi wa hospitali ya wilaya harafu tunapiga na makofi kisa kuona hizo gari

  • @husseinkazigo6189
    @husseinkazigo6189 Год назад

    Huy mama nilikuwa smuelewi kabisa ila kwa sasa naanza kumuelewa mungu Azid kukubaliki san ila Nina jambo lakuongea .....

  • @lifeonearth94
    @lifeonearth94 Год назад +2

    Dah!!! Hawampongezi magufuli kwa kazi alizopiga, hata kumtaja tu, hizi project nyingi zmepita wakati wake

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Год назад

      Anapongezwa alieachiwa urith na alauendeleza sio ukiachiwa urith unakaa kiti kirefu pesa zikiisha unalalamika umerogwa hungera rais wetu kazi iendelee

    • @jacobshao1260
      @jacobshao1260 Год назад

      😂😂😂😂

  • @isaacngulubi2058
    @isaacngulubi2058 Год назад

    Naona mnavyoharibu pesa zetu kwa misafara ya magari meeengi

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Год назад

    Boda boda kwa Furaha gani mliyonayo? Maisha magumu,pesa ngumu,vyakula bei ya juu ,Leo hii mnakubali kushangilia kisa 5000 za mafuta?
    Mama anania njema lakini hao wanaomzunguka

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Год назад

    Sasa mbona watanzania wanalalamika kwamba nchi ni ngumu? Vitu vipo bei juu mbona ninaona wananchi wanampenda SANA mommy ? Nimeona alipoenda mabati .watanzania ni waongo sana .mommy hafai kumbe wanampenda kishenzi. ( MIMI nimeona ktk mtandao ) I'm outside the TANZANIA. .(mommy piga Kazi unapendwa. Don't give up

  • @barikikimambo8449
    @barikikimambo8449 Год назад

    Upo vizuri mama

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Год назад +1

    Kazi iendelee

  • @isaacngulubi2058
    @isaacngulubi2058 Год назад

    Sijapenda kabisaa magari yote hayo ya nini sasa

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Год назад

    Sasa magari magari yote ayo yanini uu niiwaribifu wapesa kwani kungekuwa na magari mawawili au matatu kingetokea nn walinzi wasaidizi wake ingetosha magari mengi uku mtaani hakuna ela ii nchi inaboa kiukweli ningelikuwa ningeihama ii nchi nakuchukua uraia Kenya

  • @danctheyoung9904
    @danctheyoung9904 Год назад

    kisa msafara wa magari ndo umewafanya watu wa manyara msahau hata shida anazowapa huyu mama. huu ni ushamba kweli

  • @ismailshamte4429
    @ismailshamte4429 Год назад +1

    Mamaa fanya uje mtwara, mpaka tunataka kusahau kama tuna Raisi!!

  • @alenialex6941
    @alenialex6941 Год назад

    Wakienda ulaya wote kwenye basi moja

  • @adam-saffi211
    @adam-saffi211 Год назад +1

    Atazindua kila kitu,

  • @leilafsadickfsadick8541
    @leilafsadickfsadick8541 Год назад +4

    Daaah yaani ana zurula tuu na hakuna cha maana anacho fanya😏😏😏😏😏

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 Год назад

    Mama viongozi uliowachagua wanakuangusha

  • @jacobshao1260
    @jacobshao1260 Год назад

    Nime hesabu gari 44 kwa haraka haraka ,😂😂😂 bia 1500, unga 2000😂😂😂😂😂😂 chakupima kinaanzia 500, mpe masikini pombe asahau shida zake 😂😂😂

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 Год назад

    Duuh kweli msafara aya.

  • @verenikapallanjyo41
    @verenikapallanjyo41 Год назад

    Kuna watu hapa duniani kila kitu ni kibaya kwao
    Hawa watu hata katika familia zao ni wabishi sana.

  • @japharymagesa735
    @japharymagesa735 Год назад

    Siwez kuwa mnafki Mimi binafsi sikuwah kuwa upande wako yan sikupend nakuchukiachukia tu poa najiskia vibaya sana ninaposikia saut yako

  • @masawerosemary9036
    @masawerosemary9036 Год назад

    Mmh wanamanyara wenzangu kumbeniwajinga nilijuaga wajanja mmh

  • @mwin980
    @mwin980 Год назад

    Nchi inatia huruma sana,Gari moja ina cost zaid ya USD 90,000.Shule hazina viti,maji hakuna umeme hakuna.Wananchi wanaonekana hawana akili kwa kukaa kimya...Simameni ndugu

    • @salimusalim3610
      @salimusalim3610 Год назад

      Haya mambo hayakuwa toka nyuma au yeye tu unawivu nae tumia uchumi wakati ununue hiyo gari bei siushajua

  • @ntugwamadaha1346
    @ntugwamadaha1346 Год назад

    Yani nimecheka sana😂🤣😂🤣

  • @bakuzasimon6193
    @bakuzasimon6193 Год назад

    Aise!!

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 Год назад

    Ni gharama lkn ni usalama pia,

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    Hawa viongozi wetu wanafuhisha sana hvi hamuoni mfumko was bei au kwakuwa nyie mnashiba

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya Год назад

    😀😀😀😀😀😀

  • @mkandesadiki4648
    @mkandesadiki4648 Год назад

    Yaoyao

  • @johnbidya119
    @johnbidya119 Год назад

    Kwan mlitakeje ..

  • @kitambiamiri3644
    @kitambiamiri3644 Год назад

    Mafuta kwenye station yameshuka bei

  • @shamsakiobia6421
    @shamsakiobia6421 Год назад

    Kwa hiyo umeuona huu msafara ndio umekuuma?kuweni wazalendo pendeni viongozi wenu.

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Год назад +1

    Aya tumeon msafala japo unga waugali kilo 1800

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Год назад

    CHAKURA mriwaperekea WAKENYA hayo magara mtawekea mchanga,

  • @jackgerald7338
    @jackgerald7338 Год назад

    Piga Kazi Mama Wabongo Maneno kawaida !! Gooooh Samia mbk 2025 yupooh Saana

    • @chrithicksambo2287
      @chrithicksambo2287 Год назад

      Utakuwa kijana wa hovyo ww kuwahi tokea

    • @jackgerald7338
      @jackgerald7338 Год назад

      Wa Mamako Maku ww !! Nmependa mm Cjakulazmisha ww vp bhana na uyo Ndo Rais Wako we Naniiii

    • @chrithicksambo2287
      @chrithicksambo2287 Год назад

      @@jackgerald7338 Sina Rais Mzee huyo ni Rais wako wewe!

    • @allysalim1229
      @allysalim1229 Год назад

      Rais wetu mungu ampe umri

  • @ayubkilumbi8367
    @ayubkilumbi8367 Год назад

    Mambo

  • @georgewambura7695
    @georgewambura7695 Год назад +2

    Haya mama

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 Год назад

    Hongera mama wa taifa

  • @msuyatztv5201
    @msuyatztv5201 Год назад

    Wimbo wa mama Samia
    ruclips.net/video/YzC1AXlfLnU/видео.html

  • @michaelligwa9448
    @michaelligwa9448 Год назад +1

    Mbona kahama mnaitelekeza Barbara mbovu mnachuma Mali tu mbunge hajielewi kazi kutetea gongo