MHE. RAIS SAMIA AKIWASALIMIA WANANCHI WA MBAUDA, ARUSHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasalimia wananchi wa Mbauda leo tarehe 23 Novemba, 2022

Комментарии • 43

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Год назад +4

    Jamhuri ya muungano wa Tanzania kazi ziendelee. Mwenyezi Mungu ibariki Tanzania, mbariki rais wetu Mama yetu Samia Suluhu Hassan. Umpe umri mrefu atuongoze kwa mapenzi yako Insha Allah 🤲🤲🤲🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤.

  • @juliusringo2493
    @juliusringo2493 Год назад

    Mungu akulinde na kukubariki zaidi akupe hekima

  • @yunusfaki
    @yunusfaki Год назад +2

    Mungu akupe afya njema rais wetu

  • @jermiasoine2378
    @jermiasoine2378 Год назад +3

    Mungu amlinde raise wetu

  • @yasirfarah399
    @yasirfarah399 Год назад +1

    Mash Allah mama Samia an serekali

  • @nyanzimatrida
    @nyanzimatrida Год назад

    Ninakusifu Mweshimiwa Rais Samia

  • @allybetese6201
    @allybetese6201 Год назад +2

    Kunawat,wanapta shida sana wanapo muona mama,watapta shida sana,mungu akulinde,unapambana sana

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Год назад

      🤪🤪🤪🤪 haaaaa haaaaaaa haaaaaaa Inaumaga iyo. Mama samia Ooooyeee 🙌

  • @barakakitsao4001
    @barakakitsao4001 Год назад

    Mashaallah

  • @rukiawagaba2080
    @rukiawagaba2080 Год назад

    Mashall mungu mkumbwa

  • @user-ru4xt4fs9x
    @user-ru4xt4fs9x Год назад

    Yan bendera za ccm tyu ndo zinaoneka wananchi wana mchukia sana uyo mama 😢😢

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 Год назад

    Mmmh hata Dar Kila siku umeme unakatikaka mara Kwa mara

  • @eugeneurassa5301
    @eugeneurassa5301 Год назад

    GAMBO HOYEEEEE eeeee barabara ya Engosheroto road Kupigwa lami

  • @lusekelomwaselela1816
    @lusekelomwaselela1816 Год назад

    Jaribuni kuwa waastaarabu kwa wale wote wanao comment maneno machafu ya kumdharau raisi wetu Bora kabisa dunia mama yetu samia suruhu hassani raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania naomba serikali ichukue hatua Kali Sana dhidi Yao , Samia oyeeeeeeee

    • @mytimeonce1479
      @mytimeonce1479 Год назад

      Usiwe mtu wa kufatilia upumbavu kwasababu ya uoga uliopitiliza...jifunze zaidi kuhusu Mambo haya ya siasa,sio unashangilia tu kuonekana wa maana halafu elfu moja ya maji huna... wacha unafiki..

  • @hakizimanantawundi9369
    @hakizimanantawundi9369 Год назад +2

    Magufuli yeye umeme alikuwa anautoa wapi???????
    Mbona ulikuwa hauna mgao?????!
    Kwa miaka mitano yoteeeeeee??????
    Daaaaa!!!!!!!!! Tanzania yetu.... Nchi yetuuu...... 🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @lusekelomwaselela1816
      @lusekelomwaselela1816 Год назад

      Hivi hata picha ya samaki uioni ,yaani mapambano yote hayo ya raisi anayo yafanya lakini Bado unawaza yaliyopita badilika , mama ameleta maji Sasa ya visima Nafikiri hata wewe umeyaona
      ,Umeme umesababishwa na ukame tambua hivyo sio kumbebesha mzigo raisi wangu na mgao wa umeme hawamu zote umepitia labda kumbukumbu hauna tuulize kwanza kabla ujatoa mawazo yako

    • @hakizimanantawundi9369
      @hakizimanantawundi9369 Год назад

      @@lusekelomwaselela1816 abarikiwe kwa kazi nzuri anazozifanya
      Lakini pia unapolima shamba unatakiwa kuhakikisha unadhibiti wadudu wahalibifu wa mazao ya shamba lako. Siyo kwamba mgao wote huo ni wa ukame. Hata 2018 ukame ulitokea tena mkubwa tuu.
      Juhudi zake tunaziona lakini. Mungu amzidishie nguvu na weledi.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад

    Mwenyezi azid kukupa nguvu na afya njema , sisi Wananchi tulio wengi tunajua Ugumu unaoupata lakini Mungu atakulinda

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Год назад +1

    Kiukweli nampenda sana huyu mama mama samia kwangu na kwa wazalendo wa Nchi hii ndie mtetezi wa kweli wa Wanyonge..... Duh kuna watu wanaumia Mama samia Ooooyeee🙌

    • @japhetkarori5230
      @japhetkarori5230 Год назад

      Wajinga hawatokaa waishe nchi hii😂😂😂😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @kelvinissa744
    @kelvinissa744 Год назад

    Rais oyeeeeee

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 Год назад

    Hakuna kitu hapo kuhusu umeme😄😄😂😃😂😃😎

  • @hakizimanantawundi9369
    @hakizimanantawundi9369 Год назад

    Hata hayo mabwawa wachawi watacheza michezo yao tuuu.
    Magufuli alishatuonesha kwenye bwawa la mtera ni wachawi tuu kuchezea kina cha maji.
    Daaaaah! Tanzania yetu kwa wachawi!!!!!.....
    Eee Mungu Baba yetu, kutana na wachawi wa nchi yetuuu!!!!
    Wapige mapigo ya Kifarao.......
    Amina amina aaaamina.

  • @barakaothumani6421
    @barakaothumani6421 Год назад +1

    yani watu hamna kabisa, utawala wa huyu mama lakin utawala wa mzee Magufuli, apo pasingetosha aseee

  • @matteonyerera9722
    @matteonyerera9722 Год назад

    Sasa hivi kweli mama umepandisha kila kitu afu ndo unatuambia tumezoea bureee😭😭

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 Год назад

    Tunataka MITA za luku za maji acha polojo😀😀😄😀😀😄😀😂😃😀

  • @mytimeonce1479
    @mytimeonce1479 Год назад

    Maendeleo ya kujipodoa?!au vipi!?!punguzeni gharama kwa wananchi.

  • @cheupemwanga3326
    @cheupemwanga3326 Год назад +1

    Porojo na hizi hizi Kila mwaka

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Год назад

    Awamu ya tano umeme uliwaka masaa 24 waziri makamba muzigo anajitajilisha mwenyewe

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Год назад

    miaka 60 sasa bado inchi inaaangaika MAJİ SALAMA
    Shame
    Watz Ebu tubadilishen hiki chama wallah nawaambia

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori5230 Год назад

    Hakuna mkristo anaeomba akati katumbua macho...ni usanii

  • @kelvinmwasamaki390
    @kelvinmwasamaki390 Год назад +1

    Maji umeme vitu vinapanda Bei kila kukicha daaaah

  • @amanilucy
    @amanilucy Год назад

    Bili kweli nikubwa sana Arusha kuliko moshi

  • @japhetkarori5230
    @japhetkarori5230 Год назад

    Haya maji hayatembei kwa miguu😂😂😁

  • @zainabuhamisimmbaga1840
    @zainabuhamisimmbaga1840 Год назад

    Mama Kama Mama

  • @mwitamarato5004
    @mwitamarato5004 Год назад

    Mzungumzevyooote minauliza nikwanini mgojwa akiwa osptri anadaiwa naakifa anaendeleakudaiwa hii jamani naonakama niuonevu maana mtukashakata kauli iweje adaiwe 😭😭☝️

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Год назад

      Mtu akifa hawezi kudaiwa pesa wanao daiwa ni ndugu wa Marehemu

    • @maphandeahmed7732
      @maphandeahmed7732 Год назад

      Mtanzania anaitaji ukombozi mpya wa kifikira umbokozi ambao unahitaji mafundisho imara Kwanza kujitambuwa kwanza true ni nani na ana haki zipi na msingi kama raia wanaitaji Siasa Safi na uongozi bora na viongozi bora hiyo haki ya kila mtanzani lakini bado viongozi bado hawa jafaKya hayo na hawtafanya mpaka dunia itakwisha kwa nini wandengereko wana sema make people you can control them hayo ndiyo yanafanyika viiongozi wanacho hamini kupeleka huduma muhimu za kibinadamu kwa raia ni msaada kitoka serkalini sio wajibu wa serikali kifanya hivyo tunaitaji mabadiriko makubwa ya kifikira kwa raia kiondokana imani ya baadhi ya viongozi na raia kwamba serikali kupeleka huduma muhimu kwa raia sio msaada ni haki yao ya msingi mapinduzi yanaitajika ni muhimu zunguka raisi nchi nzima mama hata kwa mguu kama matatizo ya msingi yanayo wakabiri watanzania hayana ufumbuzi bado mtanzania hajatendewa haki

  • @nancymwangi7926
    @nancymwangi7926 Год назад +1

    siku zinakuja wataanza kupeleka wanafunzi kumpokea

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Год назад

    Kudadadeki

  • @mwitamarato5004
    @mwitamarato5004 Год назад

    Mtihani mmmmh😡😡😡

  • @user-lk6cx4ho8d
    @user-lk6cx4ho8d Год назад

    Unauelewa mdogo, wewe unaona maendeleo sio huduma. what a failed leader you are?