"Nilioa ili niyatumikie vizuri mapenzi".RC Mbeya-Albert Chalamila.
HTML-код
- Опубликовано: 15 июл 2020
- #JPM #Dodoma #chamwino #chalamila
Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Hapa ulitulia sana Ndg. Chalamila.
Muongeaji muzuri sana basi tu kajikwaa
Yote haya Sasa yatasimama. Wafanya biashara kwa kauli ya Rais Samia yote aliyoyafanya Hayati Magufuli mpaka akapiteza maisha yake Sasa haitawezekana. Mambo haya yote yatasimama.
Noma wahehe
Baada ya kutoa hotuba nzuri wala hasomi karatasi Kama wengine. Anaenda kunywa Ugimbi.
Mwendazake alipenda sana sifa
😡😡😡
Bora yenu magufuli amewaacha vzr
Ashi
Chalamila shikamo
Yote haya Sasa yatasimama. Wafanya biashara kwa kauli ya Rais Samia yote aliyoyafanya Hayati Magufuli mpaka akapiteza maisha yake Sasa haitawezekana. Mambo haya yote yatasimama.
kwanini yasimame wakati walikuwa wakifanya wote wawili? Miradi yote ya Magufuli Samia anaijua.