JESCA MTOTO WA MAGUFULI ALIVYOKUTANA NA RAIS SAMIA VISIWANI ZANZIBAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 43

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 8 месяцев назад +13

    mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri

  • @martinhinda5233
    @martinhinda5233 8 месяцев назад +13

    Mungu aendelee kuitia nguvu family ya mzee wetu

  • @graceannah8452
    @graceannah8452 6 месяцев назад +1

    Chapa kazi mama kazi Yako ni nzuri wanawake oyeeeeee

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 8 месяцев назад +10

    Jeska amekua mashaalah

  • @dominicamwacha
    @dominicamwacha 8 месяцев назад +1

    Happybirthday Mama Yetu Mpendwa Mungu akuongezee miaka mia moja zaidi tunakupenda mama kazi iendelee❤❤

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 7 месяцев назад +2

    Mungu muinue jeska kwa viwango vywajuu

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 8 месяцев назад +7

    Aseeh mtoto mrefu na ninavopenda wadada warefu 😂❤

  • @nabosedward4836
    @nabosedward4836 8 месяцев назад +4

    Itakua nae yumo kwenye system mbona kaenda kiulaini tu

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 8 месяцев назад +7

    Jesca, uwe mzalendo kama alivyokuwa mtumishi wa Mungu, mpendwa wetu JPM.

  • @mwanduelizabeth2282
    @mwanduelizabeth2282 6 месяцев назад +1

    Jesca anafanana na mama yake Janeth Magufuli

  • @ashamohamed3232
    @ashamohamed3232 8 месяцев назад +1

    Nataka nikulipiee fomu ya ulaisi mama yangu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 8 месяцев назад +3

    Magu wetu bwana..machinga tunamkumbuka sana

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 8 месяцев назад +2

    Mtoto wa jembe kila la kheri na maisha marefu uwe jembe kama baba yako

  • @fj8317
    @fj8317 5 месяцев назад

    Hicho kichwa magu mtupu

  • @LodrickNgendwa
    @LodrickNgendwa 8 месяцев назад +1

    Mheshimiwa rais tumekuelewa

  • @Mobigo2tigoTogogo
    @Mobigo2tigoTogogo 8 месяцев назад

    Afya njema jescar

  • @Shadia544
    @Shadia544 8 месяцев назад +2

    Namtaka anaempaka wanja samia ajitokeze 😂😂😂😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 8 месяцев назад +2

    asingeweza kumfikia kirahisi hivo kama maji kama sio yeye

    • @ShafiiSoud-b3w
      @ShafiiSoud-b3w 8 месяцев назад +2

      sahih kabisa...n kwa sababu t baba yake alikua somebody wa hii nchi

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 месяцев назад

      ​@@ShafiiSoud-b3w 😅😅Ndiooo_🤦🏿‍♀️

  • @franciscomasungulwa3820
    @franciscomasungulwa3820 8 месяцев назад

    AMINA

  • @HappyWillfred
    @HappyWillfred 8 месяцев назад

    Habari mama mi naitwa happy nipo dar nakuomba unisaidie mwanao ela ya mtaj baba angu anatakiwa kufanyiwa upasuaji hatuna ela nakuomba ela ya mtaji

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 7 месяцев назад +1

      Makushauri uende moja kwa moja kwa mkuu wa Mkoa utapata msaada na baba yako kama ana zaidi ya miaka 60 atahudumiwa buree lakini hata kama hajafikia umri huoa bado atasidiwa tu. Humu kwenye mitandao labda weka namba ya simu atakayekuwa nacho atachangia

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 8 месяцев назад

    Magufuriiiii ni nomaaaa badoo

  • @MtsoMusa
    @MtsoMusa 8 месяцев назад

    Asnte mama

  • @itikamlagalila1911
    @itikamlagalila1911 7 месяцев назад

    ❤❤

  • @gasarabwepatrick659
    @gasarabwepatrick659 7 месяцев назад

    😂😂😂😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @imanmodern
    @imanmodern 8 месяцев назад +1

    Waongo ninyi 😅😅😅😅

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 8 месяцев назад +3

      Uongo huo vp wakati Jesca JPM ndy huyo 😂😂

    • @khamismohammed1650
      @khamismohammed1650 8 месяцев назад +3

      Haoni hata kusachiwa hajasachiwa

    • @bundalahamza8902
      @bundalahamza8902 8 месяцев назад +10

      Kafanana na Mama yake.

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 8 месяцев назад +1

      @@khamismohammed1650 We yaani lazima aangaliwe ndy aruhusiwe kumfikia Rais unafikiri kakurupuka tu kumfata hapo

    • @khamismohammed1650
      @khamismohammed1650 8 месяцев назад

      @@OfficialA83640 hata kama kaangaliwa kisitarabu hata camera hazijamuonesha

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa471 8 месяцев назад +3

    mungu mwenye endelea kuitia uzima na ushindi mkuu familia ya mwamba wa africa rip magufuri