KALA JEREMIAH - NISAMEHE (OFFICIAL VIDEO) FT ASLAY
HTML-код
- Опубликовано: 4 сен 2024
- KALA JEREMIAH - NISAMEHE (OFFICIAL VIDEO) FT ASLAY
This song's message is for some Men who are perpetrators. Violence negatively can affect women’s sexual,mental,physical and reproductive health. Violence against women and girls has devastating cost and consequences to individuals and socities. violence against Women is real. End Violence against Women now.
#NoExcuseforWomenAbuse
WATCH AMERICA VIDEO HERE 👇
• KALA JEREMIAH - AMERI...
Follow Kala Jeremiah on Instagram:
/ kalajeremiah
Follow Kala Jeremiah on Twitter:
/ kala0444
Follow Kala Jeremiah on Facebook:
/ kala0444
Wabongo kulike nyimbo kama ii n ngum, kaz kulike manyimbo ya ajabu😤😤
#Nisamehe🔥🔥🎶🙌
Gonga like apa tuende sawa na Kala❤
Ooh! Asanten kwa like zenu na comments za kumwaga😍❤❤❤❤❤❤❤🙌
Umenena idea kama hizi wanazo wachache sana
Its touching and very nice song
Kala Jeremiah ni super 🌟
Kweli kabisa ujakosea
hahahahaha iyo kweli
Unastahili heshima kubwa kwa jumbe unazotunga kwa jamii yetu...wimbo unagusa makundi yote #Nisamehe ❤
Kama umerudia huu wimbo ngonga like twende sawa mchiz katisha kinyamaaaaa💪💪
Nyimbo kama hizi nchi za watu ungechongewa sanamu ya heshima.. god bless you bro
nakukubali bro
Msanii namba moja bongo anaefanya muziki wa kuielimisha jamiii anastahl sapoti kubwa mno na kongole pia
Bila shakaaaa
nyimbo kali sn
Exactly
Kama unasoma comments uku unaangalia ngoma gonga like twend saw
Weka like km ulikuwa umemic dude kutoka kwa mchiz
bonyeza link apo utazame ngoma kali msanii Madsoft daaaa
sio poa wazee
ruclips.net/video/xMXMjLCLP3A/видео.html
Daah nimeielewa kinyama iyo ngoma
Namkubal sana yuko vzr
Lussambo King Wamishe tusaidie kushare ruclips.net/video/XIL7ML8lKPY/видео.html
Daha kala ujawai toa wimbo wa kijinga on lov brother kama umeuelewa gonna lk
Nisamehee! Kama umeangalia Mara mbili kma mimi gonga like twende sawa
Uyujamaa ajawahi kosea km unamkubali km mimi tujuane apa like hapa
Nakuelewa man, kaz nzur saana nisamehe pia sikuwa nacomment nyimbo zako tangu mwanzo, najua unasoma nisamehe😁😁😁😂😂❤❤❤nyimbo nzur saan
kweli kabisa sio
kama umeipenda hii nyimbo gonga like Hapa☝☝☝☝☝
Bonge la nyimbo.
Yusufu Majid
saana mkuu
Sasa like hapa ya nin na wimbo sio wako 😒 wabongo cjui tumelogwa na nan
Yaani sasa hivi watu hawacomment kwa sifa za video (kazi gonga like hapa )mnaboa sana ....! Mziki mzuri kaka ❤️
Asmini Abdalah sahihi usemalo...yaani nilikuwa naangalia coment nani anasifu huu wimbo ila sijampata kila mtu gonga like hapa
Kuna nyimbo za kusikiluza ukiwa umelewa zakina inama hii unasikiliza ukiwa unaakili timamu
Godrick Ernest Ngoda inackitisha sna nyimbo nzr km izi viwer zke chache
Ujui kuandika ama shda nn ..
Kumbuka kuna edit button bna
Kwa sababu nimeponda nyimbo zenu za walevi tunapaswa tusapoti muziki wenye meseji siyo kila siku mapenzi tu
Daaaa kweli myn
@Mog Josely hujitambui kenge wewe
Skuhizi sinywi bia ni viroba mixsa gongo Kala huuniwalaka wenye maskio nawasikie kama umekubari tia Like🇯🇲💪🎤
Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz.. Nasema hivi hii ni yenyewe KBS 👐
Kinje Athuman 😂😂😂
Unanichekesha 😂😂😂maana nimetoka kuona comment yako kwenye ngoma mpya ya bella na mobetto
Makin xan
Mm huu wimbo nishausikiliza mara 11 kama naww km mm like /mzigo ni mzito goligota ndo naelekea
Tatizo Lenyu Ham Support Nyimbo Kama Hizo Sikuizi Mpo Kwa Mwendo Wakutetema Sio Poa . #Nisamehe 🔥🔥
Most Wanted ] umeona ee
Wengi wanapenda nyimbo za inama inama inuka inuka
Aaaiissee Wanaharakati Wengi Wanakata Tamaa Kwa Kukosa Support Kutoka Mashabiki 💯💯💪💪
Most Wanted ] timu ndo zinatuponza
From sandton . iv wabongo wanaakil au. nyimbo zakuleta fujo mnagonga like. Izi apa no...dah kwakweli Mungu anawaona. Mnipe like zangu APA kama mmeipenda kama mm😮😮
Huyu ndio kala mwenye mashairi yake weka like kama tupo pamoja nae 👍👏👏
kama umeamini hii ji story ya kweli imemtokea mtu ndomana kala kaenda kwenye kaburi la mtu wake ni story ya kweli LIKE twende sawa tuamini #MAPENZI yanaumiza sana
uyu mshikaji namkubal san
@@paulojohn8203 ata mimi sana
Hata wasipokupa tuzo mishabiki wako kindakindaki nakupatuzo ulisawa ngosha mungu akongeje❤
Kara we noma
respect mkal wangu nakukubal sana
aiseeeeeee,bro hajawai kosea abadan
Harafu Jamaa akinyoaga anafanana kama 2park
mumny I love u, R.I.P mama & sorry for my life( plz mummy forgive me?)
Kuna nyimbo za wenye akili kama hii.... Lakini zipo pia za wehu
Ashery Michael 😀😀kweli kabisa
😂😂😂😂😩
Kama umesikia saut ya aslay kaunguruma kama simba wa bongo gonga like
Huyu ndo msanii achana nawapka poda bila kik hawawz kutok gonga like hap kama unampa kala 100%
Aliyesikia sauti ya Aslay agonge like
Mambo gani haya kala ya kulizana ...maisha yenyewe yanatuliza wewe pia utulize
Kuma ww
@@wemakingdaily1462 Kamuulize vizur Mama'ko Kua baba yako ni nani kama hatonitaja mimi
😆😆😆mbavu zngu
@@jullygodwiny4058 🤓🤓
pamoja sana kala umetugusa wengi kwa huu wimbo
Kama unamkubaliii kalaa gonga like hapaaa
toka kitambo nakuelewa sana brother hakika wasanii wote wangekuwa na akili kama zako tasinia ya muziki TZ ingekuwa mbali💪💪💪👏👏👏
Gonga #LIKE na KUNISAMEHE pia
KALA THE BEST MUSICIAN IN TZ💪💪💪💪💪 mambo ni Yente... yechu....fasi...ya....edwasi
Alwayz nakubali sanaa kazi zako#kala...god bless you
Ibrah Cataryan tusaidie kushae ruclips.net/video/XIL7ML8lKPY/видео.html
Sijui mbona mm huwa sipewi like 🤤🤤nyimbo zote.. Anyway song poa all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Umetisha mzee ngoma kali sana
ngoshaaaa from Mwanza Tanzania autuangushi wanamwanza uje Mwanza KaManda wetu tuujaze uwanja ccm kirumba kpata radha ya witu adimu ulio nyo Mwanza tuko juu sna kwa marapaaaaa aseee
Mkuu umewanyosha sana wewe mfano wakuigwa Kwa tanzania yetu bonge la ujumbe inabidi upewe cheo uwe raisi wawasanii woteeeee anaye bisha nani nimpe sababu za msingi
hakuna broo si ungewaona
Mapesain
Kwa pamoja tuna kubali kazi zako, je una amini huyu jamaa ana tengeneza good songs, gonga like hapa tuone wangap wanakubali
Chorus ya ki-legend sana
aiseee hii nyimbo inagusa sana hisia mzee dah haya mambo yapo 4rear na yanawakuta watu uko
Mungu azidi kukupa wered zaid wa kufanyakazi bora
daaaaahhhhh nakukubaliii xanaa Kala hii nyimb nixhid mzee baba👍👍👍👍👍👍👍
Nice song
japo story inackitisha mweh😢😢
Aslay sauuuti jamaaaani wewe ndo mungu wa Bongo flava 👑🇨🇩🇨🇩
Hii yamoto sana asee
Huu mziki mzuri sana cha ajabu watapewa show zako wapige wanaoimba mziki mbaya
Kama unamkubali Kala gonga like hapa
Dah! Hii ni uhalisia kabsa et
Firts song that nimesikia mwanaume akimkumbuka mwanamke wake na kuona dhaman ya mwanamke but too late love this song my fav of all time🥰😍😘🥰🔥🔥🔥🔥🔥
Nyimbo nzuri na nifundisho,big up broo
Weka like ase please ata 20 tuu
bonyeza link apo utazame ngoma kali msanii Madsoft daaaa
sio poa wazee
ruclips.net/video/xMXMjLCLP3A/видео.html
Niceeewh
mam bo
Poa vip?
Sisi watanzania tumezoa mtu akifa ndy asifiwe lkn hustahil kuwa hpo ulipo duuu kaka iko siku mung atfany kitu kikubwa zaid kweny maish yak
Never die mr kalla.
Hata ukikaa miaka 100000 bila kutoa wimbo ila ukitoa tu lazuma igonge mazeeh.
@kallajeremiah
Safiii sanaa
Naombeniii like 10 tuu kwa huu wimbooo jamaniii maaana nimerudiaaa maraa 10
Mashairi yako Huwa yanaeleweka kwa kila mtu katka jamii kama wadau mnamkubali kala gongeni like zenu kwa wingi
Kama una kubali hawaja kosea kila mstari gonga like
Asly kapendezesha sana nyimbo alioliona hilo agonge Lk
Dah Huyu Jamaa Anaimba Sana Facts
wimbo haunichoshi kabisa nakunikinai ndo usiseme kila muda nakula hii ngoma ujumbe mzuri kaka shukurani sana kwa sanaa yako nzuri
High creativity Kalah aliye elewa hii ngoma like kwa kushow love
Km kweli ww ni Mtanzania na umeona km.hili ni bonge la nyimbo kuliko zile za kina dada gonga like twende saw Mtz mwenzangu
Mr Brangi Omari kalii
Hizi ndio Bongo flava tunazozitaka bonge la nyimbo hili
Good
nahisi kama umeniimbia mm tyu
huu wimbo maana daaah😢😢😢
Nakubali sana Zao La Bongo
Like kama Tuko Pamoja
Ngoma kali brothers and sisters kama umeguswa badilika
Dah Kala unanitoa machozi
Kala Jeremiah,2022 bado unanipeleka darasaniii nakutakia maisha marefu kala...mwamba was hip-hop mwenyewee
Hivi viroba bado vipo eeeh?!
Project kali
Hongera Kala
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nyimbo ya 2016
Mh
Daaaaaah kala kalajelemah wewe ni kioo cha jamiiiiiiiii
Bonge la ngoma...respect kwako bruh🔥
daa nusu nilie daaa big up sana kaka
Kala ndo superstar hzo zingine ni wakatikaji viuno tu, unajua bro kaz nzur👍🥰🥰
wewe ni jembeeee
Mungu nimkubwa Sana kalajeremaya karuditena munguakulimde mikayote utakapokuwepo duniani 1000000%
Skuiz sinywi bia ni viroba na gongo #ebaba mungu saidia @nisameeee mana thx song inanifanya nikumbukee mengii thank kara
Weka like zakutosha ili tujuane mashabiki wamnyama mkali kala Jeremiah
Sijuwi kiswahili lakini nimeipenda sana ihi ngoma kama na ww aujuwi kiswahili na umeipenda ihi ngoma gonga like 👍 hapa
Emedi Sheba Bin Bawili acha uongo umeandikaje comment afu ujui kiswahil
Hahahahaaaaa hata mie sijui kabisa KISWAHILI hii coment ameniandikia jirani yangu hahahahhaaaa🤣🤣🤣🤣
@@macanilusiji3423 hahahahah sieti tuko pamoja
@@macktnolasco1768 kweli ivi sijuwi kiswahili
Ngoma🔥🔥🔥
Kama umemyndi venyeee aslay hayupo gonga like hapa
Aslay yuko kwenye hii nyimbo sema video hamo
Tengoboy official yaan sjapenda
Nasikia sauti yake ila namtafuta simpati. ”Najua unanisikiaaa, ila kunijibu ndo huwezi”
The Wandelt’s haha achha utani subscrib kwan chhannel yngu
Tengoboy official huwe una subscribe kwa wengine watajileta. Ngoja nione unapost nini
Kka Kala, bigup sana, Hua ufanyi makosa kwenye kazi, hongera sana my fan, I love youu, keep going
daah! braza jeremah umenifundisha kitu kikubwa san ktk hii goma😢😢😢
"najua unanisikia ila kunijibu ndo huwezi"........inaumiza..xana..😭😭😭😭😭😭@Nisamee#....keep it up Kaka💪💪💪💪
Nyimbo ndio hizi
Jeremiah Mungu akubariki na kazi yako nzuri sana, upo creative sana na ni uhalisia wa jamii zetu , big up Kalah
Kala the true bongo star.God bless you my fellow countryman.
hbl
Kkk*ppu l
Nakiri nilikuumiza sana mama yangu Nyumbani kukugonganisha na machangu Pia kukugombanisha na ndugu zangu Ili mradi nifurahi ndani ya nafsi yangu Nakunywa ninalewa na rafiki zangu Nakuangushia kipigo na una mimba yangu Mpaka mimba ikachoroboka kwa ujinga wangu Leo nitaficha wapi mimi sura yangu? Mbele sioni kitu zaidi ya ukungu Na maadui wako wengi zaidi ya nywele zangu Nishike mkono mikosi inaniandama Na usipo nionea huruma haki ya nani nitazama Mwili hauna nguvu kama mwenye homa Nahisi niko kuzimu na shetani ananichoma Ongea chochote na nafsi yangu itapona Nakiri sitorudia tena mbele ya Maulana Najua unanisikiaaa Ila kunijibu ndo huwezi Eeeh Mungu baba saidiaaa Umlaze mahala pema mpenzi Na pia anisamehe maha, anisamehe Na pia anisamehe sana, anisamehe Nisamehe nitakufa, kwa mawazo ya msongo Wapambe walionipamba, wamenigeuzia mgongo Baada ya kuishiwa pesa, wanadai sina mpango Ni kweli sina dini, wala sina mchongo Siku hizi sinywi bia, ni viroba mixer gongo Nisikufiche, nimepoteza malengo Kwenye kupa kwa mizigo, kwenye lori mi ndio tingo Maisha yangu yanaelekea ukingo Na kama nitakufa leo, jua kuu uliacha pengo Nikiongea sana nikajitukana Maana nilifungwa macho na starehe za ujana Nikajiita pimpi kicheche bonge la bana Nikakupa mateso ya moyo, mwili kimwana Na kila nilipolewa ni kichapo cha kufana Nishike mkono japo nimelewa sana Sema neno moja liuponye mwili wenye laana Najua unanisikiaaa Ila kunijibu ndo huwezi Eeeh Mungu baba saidiaaa Umlaze mahala pema mpenzi Na pia anisamehe maha, anisamehe Na pia anisamehe sana, anisamehe Nakiri sina uti, ila sasa nakwangukia Unanijua vizuri, sina haja ya kuhadithia Ila sirudii makosa haki ya Mungu naapia Sauti za kuzimu ninazisikia Bila msamaha wako hakika nita disappear Mi kipofu niongoze, natanga sioni njia Nakiri mi ni bonge la fala tena mburula Nilikuona taka-taka nikazurura Nikapiga chaka kwa chaka na kina Shura Sasa cheki nilivyo, nimenyooka kama rula Natamani ardhi ipasuke nijifiche sura Ama kweli dunia imenielemea Mzigo ni mzito Golgotha naelekea Ndugu wa damu yangu, sioni walikoelekea Hakika ni wewe pekee unaweza kunitetea Nadhani sasa sina tena cha kuongea Najua unanisikiaaa Ila kunijibu ndo huwezi Eeeh Mungu baba saidiaaa Umlaze mahala pema mpenzi Na pia anisamehe maha, anisamehe Na pia anisamehe sana, anisamehe
Hizi ndio nyimbo tunahitaji sio msanii anapanda jukwaani na kitanda anatuonyesha anavolala na demu wake,,,,,
Gonga like mingi kwa kala jeremiah tuende sawa
We missed you brother Kala. Umeua band kaka waooowaoooo waooooo lyk na views nyingi kwa wote wanaoikubali ngona hii kama mimi. Ivi moyo wako unamwelewa kala kama mimi? Like nyingi kwa kala aiseee
Kala we ni best ov de best. Hii song mpk nimeccmka 😭😭
video inaendana na wimbo asante sana , kama umekubali ngoma gonga like
When u say hiphop knowledge... Is not #babasaleh or #Mwendo tu
Meanz future thinker in bigger...
And maintaining in hiphop icon'
Na sio usikilize wezele ukasahau Yenye funzo kwa wote.
Respect to kalaJeremaya
If you believe in kala jeremaya
You believe in hiphop
#LIKE HERE....
Tomplex haruatani
that is true
asante kwa fundisho, Kalajelemaya, nakukubali sana
Gonga like twende sawa Kala ni nomaaa nimejifunza kitu 💯💯💯
Tafadhali kama umeielewa hii nyimbo like twende sawa make si kwa huzini hii
Ujumbe mzito sana had choz linalenga lenga... Big up bro kaz Nnzur
Napenda kusikia kale kamlio ka eeeehh!!! unatisha kaka kalaa
Amazing Hit Song Ever! Reflection Of The Real Feelings🎧:::: Definition Of The Artist.
Ngoma iko vizuri nataman nyengine kama hii aisee
Pamoja sana broo ur so creativity
Dah!! Nlikuw nmemic knouma kala💪💪...wapambe walionipamba wamenigeuzia mgongo💪💪 kala noma
Nimetokea kuipenda kam ume yikubali gonga hapa
Bonge LA ngoma r. I. P scolastica,,kwamba sasa Huyu isihaka amegoma kushoot au ndio mambo ya game ya bongo
Huyu Dogo ndo kawaida yake hua ni Nadra sana kutokea kwa nyimbo shirikishi
Kala big up bro
Wabongo kwann hatushikani mikono kama huyu jamaa kaachia dude kali sana alafu ww na roho mbaya yako unapita bila hata kulike chochote acheni hizo buana kama vipi shusha like twende pamoja
Ngoma ni balaaa mwamba umetisha its a leason to take. Hizi situation ni mingi sana bora mapema thn too late 🇹🇿👍💪
Noumaaa inagusa moyo kama imekugusa nipe like 100