KALA JEREMIAH - NISAMEHE (OFFICIAL VIDEO) FT ASLAY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 сен 2024
  • KALA JEREMIAH - NISAMEHE (OFFICIAL VIDEO) FT ASLAY
    This song's message is for some Men who are perpetrators. Violence negatively can affect women’s sexual,mental,physical and reproductive health. Violence against women and girls has devastating cost and consequences to individuals and socities. violence against Women is real. End Violence against Women now.
    #NoExcuseforWomenAbuse
    WATCH AMERICA VIDEO HERE 👇
    • KALA JEREMIAH - AMERI...
    Follow Kala Jeremiah on Instagram:
    / kalajeremiah
    Follow Kala Jeremiah on Twitter:
    / kala0444
    Follow Kala Jeremiah on Facebook:
    / kala0444

Комментарии • 1,5 тыс.

  • @supertallone4905
    @supertallone4905 5 лет назад +1237

    Wabongo kulike nyimbo kama ii n ngum, kaz kulike manyimbo ya ajabu😤😤
    #Nisamehe🔥🔥🎶🙌
    Gonga like apa tuende sawa na Kala❤
    Ooh! Asanten kwa like zenu na comments za kumwaga😍❤❤❤❤❤❤❤🙌

  • @fadhiliitambu6210
    @fadhiliitambu6210 5 лет назад +66

    Unastahili heshima kubwa kwa jumbe unazotunga kwa jamii yetu...wimbo unagusa makundi yote #Nisamehe ❤

  • @jaywizzy2393
    @jaywizzy2393 5 лет назад +419

    Kama umerudia huu wimbo ngonga like twende sawa mchiz katisha kinyamaaaaa💪💪

  • @ivarngasper2055
    @ivarngasper2055 5 лет назад +112

    Nyimbo kama hizi nchi za watu ungechongewa sanamu ya heshima.. god bless you bro

  • @MOtownTV.
    @MOtownTV. 5 лет назад +407

    Msanii namba moja bongo anaefanya muziki wa kuielimisha jamiii anastahl sapoti kubwa mno na kongole pia

  • @josephmassawe7006
    @josephmassawe7006 5 лет назад +2

    Kama unasoma comments uku unaangalia ngoma gonga like twend saw

  • @lussambokingwamishe
    @lussambokingwamishe 5 лет назад +802

    Weka like km ulikuwa umemic dude kutoka kwa mchiz

    • @malab4878
      @malab4878 5 лет назад +4

      bonyeza link apo utazame ngoma kali msanii Madsoft daaaa
      sio poa wazee
      ruclips.net/video/xMXMjLCLP3A/видео.html

    • @prosperprospershayo5564
      @prosperprospershayo5564 5 лет назад +3

      Daah nimeielewa kinyama iyo ngoma

    • @abuumo9637
      @abuumo9637 5 лет назад +2

      Namkubal sana yuko vzr

    • @poulsenmc4970
      @poulsenmc4970 5 лет назад +1

      Lussambo King Wamishe tusaidie kushare ruclips.net/video/XIL7ML8lKPY/видео.html

    • @salvatoryshirima4322
      @salvatoryshirima4322 5 лет назад +2

      Daha kala ujawai toa wimbo wa kijinga on lov brother kama umeuelewa gonna lk

  • @mwanzothefirst5338
    @mwanzothefirst5338 5 лет назад +5

    Nisamehee! Kama umeangalia Mara mbili kma mimi gonga like twende sawa

  • @saddyclassicfashion9577
    @saddyclassicfashion9577 5 лет назад +84

    Uyujamaa ajawahi kosea km unamkubali km mimi tujuane apa like hapa

  • @mrfranciscocharles8138
    @mrfranciscocharles8138 5 лет назад +48

    Nakuelewa man, kaz nzur saana nisamehe pia sikuwa nacomment nyimbo zako tangu mwanzo, najua unasoma nisamehe😁😁😁😂😂❤❤❤nyimbo nzur saan

  • @yusufumajid8392
    @yusufumajid8392 5 лет назад +503

    kama umeipenda hii nyimbo gonga like Hapa☝☝☝☝☝

  • @asmininanyalika7387
    @asmininanyalika7387 5 лет назад +34

    Yaani sasa hivi watu hawacomment kwa sifa za video (kazi gonga like hapa )mnaboa sana ....! Mziki mzuri kaka ❤️

    • @shwariahmad9249
      @shwariahmad9249 5 лет назад +1

      Asmini Abdalah sahihi usemalo...yaani nilikuwa naangalia coment nani anasifu huu wimbo ila sijampata kila mtu gonga like hapa

  • @godrickernestngoda5521
    @godrickernestngoda5521 5 лет назад +263

    Kuna nyimbo za kusikiluza ukiwa umelewa zakina inama hii unasikiliza ukiwa unaakili timamu

    • @godfreyflorence4224
      @godfreyflorence4224 5 лет назад +2

      Godrick Ernest Ngoda inackitisha sna nyimbo nzr km izi viwer zke chache

    • @mogjosely8291
      @mogjosely8291 5 лет назад +3

      Ujui kuandika ama shda nn ..
      Kumbuka kuna edit button bna

    • @godrickernestngoda5521
      @godrickernestngoda5521 5 лет назад +6

      Kwa sababu nimeponda nyimbo zenu za walevi tunapaswa tusapoti muziki wenye meseji siyo kila siku mapenzi tu

    • @kadjasallum2066
      @kadjasallum2066 5 лет назад +2

      Daaaa kweli myn

    • @christophersoty101
      @christophersoty101 5 лет назад +2

      @Mog Josely hujitambui kenge wewe

  • @Kazimily_Music
    @Kazimily_Music 5 лет назад +98

    Skuhizi sinywi bia ni viroba mixsa gongo Kala huuniwalaka wenye maskio nawasikie kama umekubari tia Like🇯🇲💪🎤

  • @kinjeathuman2350
    @kinjeathuman2350 5 лет назад +128

    Mimi ndo mkaguzi mkuu wa nyimbo kali Tz.. Nasema hivi hii ni yenyewe KBS 👐

    • @anoldjose7793
      @anoldjose7793 5 лет назад

      Kinje Athuman 😂😂😂

    • @jescamussula6971
      @jescamussula6971 5 лет назад

      Unanichekesha 😂😂😂maana nimetoka kuona comment yako kwenye ngoma mpya ya bella na mobetto

    • @robertmmary1128
      @robertmmary1128 5 лет назад

      Makin xan

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 5 лет назад +16

    Mm huu wimbo nishausikiliza mara 11 kama naww km mm like /mzigo ni mzito goligota ndo naelekea

  • @IYANIZZO
    @IYANIZZO 5 лет назад +205

    Tatizo Lenyu Ham Support Nyimbo Kama Hizo Sikuizi Mpo Kwa Mwendo Wakutetema Sio Poa . #Nisamehe 🔥🔥

    • @anoldjose7793
      @anoldjose7793 5 лет назад +1

      Most Wanted ] umeona ee

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 5 лет назад +1

      Wengi wanapenda nyimbo za inama inama inuka inuka

    • @IYANIZZO
      @IYANIZZO 5 лет назад

      Aaaiissee Wanaharakati Wengi Wanakata Tamaa Kwa Kukosa Support Kutoka Mashabiki 💯💯💪💪

    • @davidelias6376
      @davidelias6376 5 лет назад

      Most Wanted ] timu ndo zinatuponza

  • @danieldacruz844
    @danieldacruz844 5 лет назад +1

    From sandton . iv wabongo wanaakil au. nyimbo zakuleta fujo mnagonga like. Izi apa no...dah kwakweli Mungu anawaona. Mnipe like zangu APA kama mmeipenda kama mm😮😮

  • @wamichapotz9530
    @wamichapotz9530 5 лет назад +67

    Huyu ndio kala mwenye mashairi yake weka like kama tupo pamoja nae 👍👏👏

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate1488 5 лет назад +100

    kama umeamini hii ji story ya kweli imemtokea mtu ndomana kala kaenda kwenye kaburi la mtu wake ni story ya kweli LIKE twende sawa tuamini #MAPENZI yanaumiza sana

  • @madamcolethaa641
    @madamcolethaa641 5 лет назад +158

    Hata wasipokupa tuzo mishabiki wako kindakindaki nakupatuzo ulisawa ngosha mungu akongeje❤

  • @bahatijohn1220
    @bahatijohn1220 5 лет назад +9

    mumny I love u, R.I.P mama & sorry for my life( plz mummy forgive me?)

  • @asherymichael7975
    @asherymichael7975 5 лет назад +184

    Kuna nyimbo za wenye akili kama hii.... Lakini zipo pia za wehu

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi4348 5 лет назад +7

    Kama umesikia saut ya aslay kaunguruma kama simba wa bongo gonga like

  • @selemanmazemle6639
    @selemanmazemle6639 5 лет назад +67

    Huyu ndo msanii achana nawapka poda bila kik hawawz kutok gonga like hap kama unampa kala 100%

  • @benjamindenice53
    @benjamindenice53 5 лет назад +2

    Aliyesikia sauti ya Aslay agonge like

  • @gine9011
    @gine9011 5 лет назад +71

    Mambo gani haya kala ya kulizana ...maisha yenyewe yanatuliza wewe pia utulize

    • @wemakingdaily1462
      @wemakingdaily1462 5 лет назад

      Kuma ww

    • @gine9011
      @gine9011 5 лет назад +1

      @@wemakingdaily1462 Kamuulize vizur Mama'ko Kua baba yako ni nani kama hatonitaja mimi

    • @jullygodwiny4058
      @jullygodwiny4058 5 лет назад +1

      😆😆😆mbavu zngu

    • @gine9011
      @gine9011 5 лет назад

      @@jullygodwiny4058 🤓🤓

  • @edwinmashimba8520
    @edwinmashimba8520 5 лет назад +2

    pamoja sana kala umetugusa wengi kwa huu wimbo

  • @tengoboy
    @tengoboy 5 лет назад +84

    Kama unamkubaliii kalaa gonga like hapaaa

  • @flolajamanalex6621
    @flolajamanalex6621 5 лет назад +1

    toka kitambo nakuelewa sana brother hakika wasanii wote wangekuwa na akili kama zako tasinia ya muziki TZ ingekuwa mbali💪💪💪👏👏👏
    Gonga #LIKE na KUNISAMEHE pia
    KALA THE BEST MUSICIAN IN TZ💪💪💪💪💪 mambo ni Yente... yechu....fasi...ya....edwasi

  • @ibrahcataryan7125
    @ibrahcataryan7125 5 лет назад +155

    Alwayz nakubali sanaa kazi zako#kala...god bless you

    • @poulsenmc4970
      @poulsenmc4970 5 лет назад

      Ibrah Cataryan tusaidie kushae ruclips.net/video/XIL7ML8lKPY/видео.html

  • @kelvinogaro6948
    @kelvinogaro6948 5 лет назад +1

    Sijui mbona mm huwa sipewi like 🤤🤤nyimbo zote.. Anyway song poa all the way from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shahazadymasha6076
    @shahazadymasha6076 5 лет назад +6

    Umetisha mzee ngoma kali sana

  • @ramadhanijuma4539
    @ramadhanijuma4539 5 лет назад +1

    ngoshaaaa from Mwanza Tanzania autuangushi wanamwanza uje Mwanza KaManda wetu tuujaze uwanja ccm kirumba kpata radha ya witu adimu ulio nyo Mwanza tuko juu sna kwa marapaaaaa aseee

  • @pmctvdsm1157
    @pmctvdsm1157 5 лет назад +13

    Mkuu umewanyosha sana wewe mfano wakuigwa Kwa tanzania yetu bonge la ujumbe inabidi upewe cheo uwe raisi wawasanii woteeeee anaye bisha nani nimpe sababu za msingi

  • @kittypritty7196
    @kittypritty7196 5 лет назад +7

    Mapesain
    Kwa pamoja tuna kubali kazi zako, je una amini huyu jamaa ana tengeneza good songs, gonga like hapa tuone wangap wanakubali

  • @almasially6509
    @almasially6509 5 лет назад +7

    Chorus ya ki-legend sana

  • @zedekiahmagwega8044
    @zedekiahmagwega8044 5 лет назад +1

    aiseee hii nyimbo inagusa sana hisia mzee dah haya mambo yapo 4rear na yanawakuta watu uko

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 5 лет назад +118

    Mungu azidi kukupa wered zaid wa kufanyakazi bora

  • @augustinobenedictor4180
    @augustinobenedictor4180 5 лет назад +1

    daaaaahhhhh nakukubaliii xanaa Kala hii nyimb nixhid mzee baba👍👍👍👍👍👍👍

  • @elisifamollel866
    @elisifamollel866 5 лет назад +8

    Nice song
    japo story inackitisha mweh😢😢

  • @husseinmuganza8355
    @husseinmuganza8355 Год назад +1

    Aslay sauuuti jamaaaani wewe ndo mungu wa Bongo flava 👑🇨🇩🇨🇩

  • @HabilyTech
    @HabilyTech 5 лет назад +5

    Hii yamoto sana asee

  • @givengiven63
    @givengiven63 5 лет назад +1

    Huu mziki mzuri sana cha ajabu watapewa show zako wapige wanaoimba mziki mbaya

  • @hoseamligula8092
    @hoseamligula8092 5 лет назад +105

    Kama unamkubali Kala gonga like hapa

  • @calvinntinder3722
    @calvinntinder3722 5 лет назад +2

    Dah! Hii ni uhalisia kabsa et

  • @Minsa-sx5kp
    @Minsa-sx5kp 5 лет назад +4

    Firts song that nimesikia mwanaume akimkumbuka mwanamke wake na kuona dhaman ya mwanamke but too late love this song my fav of all time🥰😍😘🥰🔥🔥🔥🔥🔥

  • @esthergideon4326
    @esthergideon4326 5 лет назад +1

    Nyimbo nzuri na nifundisho,big up broo

  • @alenabelkinoni6571
    @alenabelkinoni6571 5 лет назад +416

    Weka like ase please ata 20 tuu

    • @malab4878
      @malab4878 5 лет назад

      bonyeza link apo utazame ngoma kali msanii Madsoft daaaa
      sio poa wazee
      ruclips.net/video/xMXMjLCLP3A/видео.html

    • @victorshonga2827
      @victorshonga2827 5 лет назад +1

      Niceeewh

    • @muduyseley7975
      @muduyseley7975 5 лет назад +1

      mam bo

    • @alenabelkinoni6571
      @alenabelkinoni6571 5 лет назад +1

      Poa vip?

    • @saidrichard5198
      @saidrichard5198 5 лет назад +1

      Sisi watanzania tumezoa mtu akifa ndy asifiwe lkn hustahil kuwa hpo ulipo duuu kaka iko siku mung atfany kitu kikubwa zaid kweny maish yak

  • @samwellupimo1125
    @samwellupimo1125 5 лет назад +22

    Never die mr kalla.
    Hata ukikaa miaka 100000 bila kutoa wimbo ila ukitoa tu lazuma igonge mazeeh.
    @kallajeremiah

  • @hatibunjiku2065
    @hatibunjiku2065 5 лет назад +7

    Naombeniii like 10 tuu kwa huu wimbooo jamaniii maaana nimerudiaaa maraa 10

  • @mgalulapeter4739
    @mgalulapeter4739 5 лет назад +1

    Mashairi yako Huwa yanaeleweka kwa kila mtu katka jamii kama wadau mnamkubali kala gongeni like zenu kwa wingi

  • @dularsparta9004
    @dularsparta9004 5 лет назад +6

    Kama una kubali hawaja kosea kila mstari gonga like

  • @moiseramsey4579
    @moiseramsey4579 5 лет назад +2

    Asly kapendezesha sana nyimbo alioliona hilo agonge Lk

  • @SwahiliMedia
    @SwahiliMedia 5 лет назад +5

    Dah Huyu Jamaa Anaimba Sana Facts

  • @jmtafya8727
    @jmtafya8727 5 лет назад +1

    wimbo haunichoshi kabisa nakunikinai ndo usiseme kila muda nakula hii ngoma ujumbe mzuri kaka shukurani sana kwa sanaa yako nzuri

  • @thestorybookwasafi4225
    @thestorybookwasafi4225 5 лет назад +6

    High creativity Kalah aliye elewa hii ngoma like kwa kushow love

  • @mrbrangiomari7451
    @mrbrangiomari7451 5 лет назад +5

    Km kweli ww ni Mtanzania na umeona km.hili ni bonge la nyimbo kuliko zile za kina dada gonga like twende saw Mtz mwenzangu

  • @lawranceseverine7894
    @lawranceseverine7894 5 лет назад +73

    Hizi ndio Bongo flava tunazozitaka bonge la nyimbo hili

  • @nalingacomedian3251
    @nalingacomedian3251 5 лет назад +8

    nahisi kama umeniimbia mm tyu
    huu wimbo maana daaah😢😢😢

  • @joelchiloloma4287
    @joelchiloloma4287 5 лет назад +7

    Nakubali sana Zao La Bongo
    Like kama Tuko Pamoja

  • @denoignasio5240
    @denoignasio5240 5 лет назад +1

    Ngoma kali brothers and sisters kama umeguswa badilika

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 5 лет назад +7

    Dah Kala unanitoa machozi

  • @silvanokimaru2704
    @silvanokimaru2704 Год назад +1

    Kala Jeremiah,2022 bado unanipeleka darasaniii nakutakia maisha marefu kala...mwamba was hip-hop mwenyewee

  • @hafidhimarijani8349
    @hafidhimarijani8349 5 лет назад +40

    Hivi viroba bado vipo eeeh?!
    Project kali
    Hongera Kala
    🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mabubakitambi7720
    @mabubakitambi7720 5 лет назад +1

    Daaaaaah kala kalajelemah wewe ni kioo cha jamiiiiiiiii

  • @mohamedmnjeja2836
    @mohamedmnjeja2836 5 лет назад +36

    Bonge la ngoma...respect kwako bruh🔥

  • @marryzegera9453
    @marryzegera9453 5 лет назад +2

    daa nusu nilie daaa big up sana kaka

  • @normanrevocutus1158
    @normanrevocutus1158 5 лет назад +43

    Kala ndo superstar hzo zingine ni wakatikaji viuno tu, unajua bro kaz nzur👍🥰🥰

  • @sabatosamwel1873
    @sabatosamwel1873 5 лет назад +1

    Mungu nimkubwa Sana kalajeremaya karuditena munguakulimde mikayote utakapokuwepo duniani 1000000%

  • @bwanambwana6169
    @bwanambwana6169 5 лет назад +5

    Skuiz sinywi bia ni viroba na gongo #ebaba mungu saidia @nisameeee mana thx song inanifanya nikumbukee mengii thank kara

  • @richardjames7269
    @richardjames7269 4 года назад +1

    Weka like zakutosha ili tujuane mashabiki wamnyama mkali kala Jeremiah

  • @emedishebabinbawili4732
    @emedishebabinbawili4732 5 лет назад +8

    Sijuwi kiswahili lakini nimeipenda sana ihi ngoma kama na ww aujuwi kiswahili na umeipenda ihi ngoma gonga like 👍 hapa

    • @macktnolasco1768
      @macktnolasco1768 5 лет назад +1

      Emedi Sheba Bin Bawili acha uongo umeandikaje comment afu ujui kiswahil

    • @macanilusiji3423
      @macanilusiji3423 5 лет назад +1

      Hahahahaaaaa hata mie sijui kabisa KISWAHILI hii coment ameniandikia jirani yangu hahahahhaaaa🤣🤣🤣🤣

    • @emedishebabinbawili4732
      @emedishebabinbawili4732 5 лет назад +1

      @@macanilusiji3423 hahahahah sieti tuko pamoja

    • @emedishebabinbawili4732
      @emedishebabinbawili4732 5 лет назад +1

      @@macktnolasco1768 kweli ivi sijuwi kiswahili

  • @mwanaidmohamed3880
    @mwanaidmohamed3880 5 лет назад +1

    Ngoma🔥🔥🔥

  • @tengoboy
    @tengoboy 5 лет назад +118

    Kama umemyndi venyeee aslay hayupo gonga like hapa

    • @kapuboydaud5209
      @kapuboydaud5209 5 лет назад +3

      Aslay yuko kwenye hii nyimbo sema video hamo

    • @yustamathapaschal5103
      @yustamathapaschal5103 5 лет назад +1

      Tengoboy official yaan sjapenda

    • @daimavlog
      @daimavlog 5 лет назад

      Nasikia sauti yake ila namtafuta simpati. ”Najua unanisikiaaa, ila kunijibu ndo huwezi”

    • @tengoboy
      @tengoboy 5 лет назад

      The Wandelt’s haha achha utani subscrib kwan chhannel yngu

    • @daimavlog
      @daimavlog 5 лет назад

      Tengoboy official huwe una subscribe kwa wengine watajileta. Ngoja nione unapost nini

  • @frankp.alkado2938
    @frankp.alkado2938 5 лет назад +1

    Kka Kala, bigup sana, Hua ufanyi makosa kwenye kazi, hongera sana my fan, I love youu, keep going

  • @rg_digitalnewzonline5770
    @rg_digitalnewzonline5770 5 лет назад +10

    daah! braza jeremah umenifundisha kitu kikubwa san ktk hii goma😢😢😢

  • @felistermwangalaba7658
    @felistermwangalaba7658 3 года назад +1

    "najua unanisikia ila kunijibu ndo huwezi"........inaumiza..xana..😭😭😭😭😭😭@Nisamee#....keep it up Kaka💪💪💪💪

  • @sjaykigomatz
    @sjaykigomatz 5 лет назад +4

    Nyimbo ndio hizi

  • @fffttty8173
    @fffttty8173 5 лет назад +27

    Jeremiah Mungu akubariki na kazi yako nzuri sana, upo creative sana na ni uhalisia wa jamii zetu , big up Kalah

  • @petermahimbo9450
    @petermahimbo9450 5 лет назад +38

    Kala the true bongo star.God bless you my fellow countryman.

  • @amour0072
    @amour0072 5 лет назад +1

    Nakiri nilikuumiza sana mama yangu Nyumbani kukugonganisha na machangu Pia kukugombanisha na ndugu zangu Ili mradi nifurahi ndani ya nafsi yangu Nakunywa ninalewa na rafiki zangu Nakuangushia kipigo na una mimba yangu Mpaka mimba ikachoroboka kwa ujinga wangu Leo nitaficha wapi mimi sura yangu? Mbele sioni kitu zaidi ya ukungu Na maadui wako wengi zaidi ya nywele zangu Nishike mkono mikosi inaniandama Na usipo nionea huruma haki ya nani nitazama Mwili hauna nguvu kama mwenye homa Nahisi niko kuzimu na shetani ananichoma Ongea chochote na nafsi yangu itapona Nakiri sitorudia tena mbele ya Maulana Najua unanisikiaaa Ila kunijibu ndo huwezi Eeeh Mungu baba saidiaaa Umlaze mahala pema mpenzi Na pia anisamehe maha, anisamehe Na pia anisamehe sana, anisamehe Nisamehe nitakufa, kwa mawazo ya msongo Wapambe walionipamba, wamenigeuzia mgongo Baada ya kuishiwa pesa, wanadai sina mpango Ni kweli sina dini, wala sina mchongo Siku hizi sinywi bia, ni viroba mixer gongo Nisikufiche, nimepoteza malengo Kwenye kupa kwa mizigo, kwenye lori mi ndio tingo Maisha yangu yanaelekea ukingo Na kama nitakufa leo, jua kuu uliacha pengo Nikiongea sana nikajitukana Maana nilifungwa macho na starehe za ujana Nikajiita pimpi kicheche bonge la bana Nikakupa mateso ya moyo, mwili kimwana Na kila nilipolewa ni kichapo cha kufana Nishike mkono japo nimelewa sana Sema neno moja liuponye mwili wenye laana Najua unanisikiaaa Ila kunijibu ndo huwezi Eeeh Mungu baba saidiaaa Umlaze mahala pema mpenzi Na pia anisamehe maha, anisamehe Na pia anisamehe sana, anisamehe Nakiri sina uti, ila sasa nakwangukia Unanijua vizuri, sina haja ya kuhadithia Ila sirudii makosa haki ya Mungu naapia Sauti za kuzimu ninazisikia Bila msamaha wako hakika nita disappear Mi kipofu niongoze, natanga sioni njia Nakiri mi ni bonge la fala tena mburula Nilikuona taka-taka nikazurura Nikapiga chaka kwa chaka na kina Shura Sasa cheki nilivyo, nimenyooka kama rula Natamani ardhi ipasuke nijifiche sura Ama kweli dunia imenielemea Mzigo ni mzito Golgotha naelekea Ndugu wa damu yangu, sioni walikoelekea Hakika ni wewe pekee unaweza kunitetea Nadhani sasa sina tena cha kuongea Najua unanisikiaaa Ila kunijibu ndo huwezi Eeeh Mungu baba saidiaaa Umlaze mahala pema mpenzi Na pia anisamehe maha, anisamehe Na pia anisamehe sana, anisamehe

  • @shabanialmasi
    @shabanialmasi 5 лет назад +4

    Hizi ndio nyimbo tunahitaji sio msanii anapanda jukwaani na kitanda anatuonyesha anavolala na demu wake,,,,,
    Gonga like mingi kwa kala jeremiah tuende sawa

  • @mbachaliletv6548
    @mbachaliletv6548 5 лет назад +1

    We missed you brother Kala. Umeua band kaka waooowaoooo waooooo lyk na views nyingi kwa wote wanaoikubali ngona hii kama mimi. Ivi moyo wako unamwelewa kala kama mimi? Like nyingi kwa kala aiseee

  • @chidoohtz3836
    @chidoohtz3836 5 лет назад +36

    Kala we ni best ov de best. Hii song mpk nimeccmka 😭😭

  • @bonykaro9097
    @bonykaro9097 5 лет назад +1

    video inaendana na wimbo asante sana , kama umekubali ngoma gonga like

  • @tomplexbrigedier2282
    @tomplexbrigedier2282 5 лет назад +12

    When u say hiphop knowledge... Is not #babasaleh or #Mwendo tu
    Meanz future thinker in bigger...
    And maintaining in hiphop icon'
    Na sio usikilize wezele ukasahau Yenye funzo kwa wote.
    Respect to kalaJeremaya
    If you believe in kala jeremaya
    You believe in hiphop
    #LIKE HERE....

  • @ernestinamgeni6329
    @ernestinamgeni6329 5 лет назад +1

    asante kwa fundisho, Kalajelemaya, nakukubali sana

  • @michaelmaximino1234
    @michaelmaximino1234 5 лет назад +3

    Gonga like twende sawa Kala ni nomaaa nimejifunza kitu 💯💯💯

  • @godfreyjosephbakerichannel6050
    @godfreyjosephbakerichannel6050 5 лет назад +1

    Tafadhali kama umeielewa hii nyimbo like twende sawa make si kwa huzini hii

  • @richardommy1610
    @richardommy1610 5 лет назад +35

    Ujumbe mzito sana had choz linalenga lenga... Big up bro kaz Nnzur

  • @officiallyommynever7192
    @officiallyommynever7192 3 года назад +1

    Napenda kusikia kale kamlio ka eeeehh!!! unatisha kaka kalaa

  • @chimbolavipaji7738
    @chimbolavipaji7738 5 лет назад +19

    Amazing Hit Song Ever! Reflection Of The Real Feelings🎧:::: Definition Of The Artist.

    • @charlesateli6977
      @charlesateli6977 2 года назад

      Ngoma iko vizuri nataman nyengine kama hii aisee

  • @boscoangel3402
    @boscoangel3402 5 лет назад +1

    Pamoja sana broo ur so creativity

  • @anoldjose7793
    @anoldjose7793 5 лет назад +50

    Dah!! Nlikuw nmemic knouma kala💪💪...wapambe walionipamba wamenigeuzia mgongo💪💪 kala noma

  • @oookkk3965
    @oookkk3965 5 лет назад +1

    Nimetokea kuipenda kam ume yikubali gonga hapa

  • @eunicejoseph3870
    @eunicejoseph3870 5 лет назад +25

    Bonge LA ngoma r. I. P scolastica,,kwamba sasa Huyu isihaka amegoma kushoot au ndio mambo ya game ya bongo

    • @gine9011
      @gine9011 5 лет назад +1

      Huyu Dogo ndo kawaida yake hua ni Nadra sana kutokea kwa nyimbo shirikishi

    • @adamonesmo6269
      @adamonesmo6269 5 лет назад

      Kala big up bro

  • @paulcosmas2317
    @paulcosmas2317 5 лет назад

    Wabongo kwann hatushikani mikono kama huyu jamaa kaachia dude kali sana alafu ww na roho mbaya yako unapita bila hata kulike chochote acheni hizo buana kama vipi shusha like twende pamoja

  • @ozacsic2832
    @ozacsic2832 5 лет назад +16

    Ngoma ni balaaa mwamba umetisha its a leason to take. Hizi situation ni mingi sana bora mapema thn too late 🇹🇿👍💪

  • @boniphectoboniphace7187
    @boniphectoboniphace7187 5 лет назад +1

    Noumaaa inagusa moyo kama imekugusa nipe like 100