Ni vizuri aslay amepunguza uzito... Alikuwa akinenepa haraka sana. Wimbo na video ziko top, Nimezipenda...Shout out kwa Podo, He is the artist to watch for.
osama sauti kama aslay podo sauti kama kayumba lakini tofauti yao ni moja sula mwonekano akili zao ni tofauti kwaiyo hatakama wangekuwa wanne bado tu hawawez kuganana.mbona wana wake na wanaume ni watu wa aina moja lakini kila mmoja wao huwa anamiliki michepuko zaidi ya mi NNE ukiuliza atakwambia ladha tofauti iko wapi anaijua yeye👍👍👍💑💪👏😹😹😹.
osama kweli unapita melody za aslay lakn unafanya poa kama yeye ndo maana kaamua kufanya kazi na ww... afu ww hyo unajuwa lop yu ninja wangu nimekubal kazi
Au naona vibaya naona Osama anapenda swaga za Diamond kama sio mm peke gonga like, kuimba kama Aslay gonga like, Dis like kama hujarudia rudia kama mara tatu na zaidi kwa Osama, Osama au ni mdogo ake Aslay maana namkumbuka kwenye TMK mkubwa na wanawe
Kweli mumekutana mafundi watupu gud song
First to comment,,,wapi likes za aslay tukisonga,,
ngoma karii
ki
Mery
Kenya 🇰🇪🇰🇪 before 2k views 😀🔥🔥🔥
Ni vizuri aslay amepunguza uzito... Alikuwa akinenepa haraka sana. Wimbo na video ziko top, Nimezipenda...Shout out kwa Podo, He is the artist to watch for.
Imefika mjini hiii mara pap.....#Aslay#Podo#Osama....alafu Aslay na Osama Kama vile Adhukiba na king I say twendenu nalo mziki mzuri lzma upenyee
Huyu alieimba mwisho fundi sana sijuwi ndo Podo
Naipenda sana hii song mmmmmm nimesha kukubali Mtu wangu Aslay king👑 of music🎤🎼🎹🎶
nice aslay ninakumbuka sana hiyi song nilijifunza sana mupaka Léo nakomaa nikisikiya sana fan kutoka DRC Ama Congo nice
Nmeiangalia mara 10.
Nmeisklza mara 10
Ila nmeshndwa tofautsha saut y Osama na Aslay
Aki nampendaga dogo langu aslay,nipe like ka unaamini Sihaka anasupport vipajil
Yaan we aslay nymb zako nazipnd zot alafu sinaniliwaz San nikiwa n mawazo mungu akuongezee kipaji Mara 2 yake
patchez msafi
Pia
Daaa watapata homa kweli... 254 squad here❤
Hii kazi nzuri sanaaa. Kwakweli nimeipenda. Nafurahi sana kuona Aslay ukiwashika mkono vijana wenzako, hivi ndivyo inavyotakiwa.
*podo nijuwe me kuwa shabiki wako wa kwanza*
osama sauti kama aslay podo sauti kama kayumba lakini tofauti yao ni moja sula mwonekano akili zao ni tofauti kwaiyo hatakama wangekuwa wanne bado tu hawawez kuganana.mbona wana wake na wanaume ni watu wa aina moja lakini kila mmoja wao huwa anamiliki michepuko zaidi ya mi NNE ukiuliza atakwambia ladha tofauti iko wapi anaijua yeye👍👍👍💑💪👏😹😹😹.
Podo you are the best,
I hope and pray one day you will get the recognition you deserve.
God bless you.
ngoma hii inautamu wake kwa kum-bembeleza baby jamanj
Nazikubali sauti za hawa ndogo.....napenda Aslay anavyowainua wadogo wake.
InshallahInnipa Homa
gonga like kama wafikiria Aslay na Osama wafanana
KAMA WAMUONA NANA APA GONGA LIKE. 2019 STILL WATCHING
Eric Mulwa nimemuona kapendeza
tokea kenya hii naikubali sana 🔥 🔥
Huyu si yule dem aliharibu vitu kwa Ray😂😂....okay sauti gani ya Aslay juu nikama tunafanana zote....nice song brother Aslay 🥰
yaan nyie mnajua mpka mnakera sanaaaaaaaa nawakubali sana wanangu na baba enu
Ngoma kali sana hiii
Ngoma soon 1million Na itafika nakubali #DingiMusicForLife
damu ya east afrika hii APA inaomba like nzito kutoka kwa mashabiki wanaopenda mziki mzuri
Aslay tialalaaaaa!
Kama unamkubali podo gonga like👇🏻👇🏻
Osama ni moto wakuotea mbali mwaka 2019 uwe wa ngoma tuuuu ngoma safi sanaaaa video safi sana
Hachana na uzuri wa ngoma, kuna kitu kingine cha ziada kwenye hii ngoma hasa hizo mapamba wametupia humu yaaani ni kiwango cha lami mazee
Good bro mambo ni Moto Sasa twende sawa na aslay
Kama unaikubali hii ngoma GONGA LIKE KAMA ZOTE ILI WAPATE HOMA twende sawa
kila hatua dua wapenz wa Mimi mungu aendelee kuwaangaza kwa kazi nzuri
sema hizo saut mweee aslay na osama shkamoon uuwi🏃🏃🏃
Anaemuona nana wa rayavnny em gonga like
osama unajua kuimba mdogo wangu ila jalibu kutengeneza icon ya sauti yako usiimbe kama aslay
Nazani mimi ndio wa kwanza kukomenti 🔥 🔥
Hio collabo iliweza 🎉🎉🎉❤❤❤ infact at first I thought ni Aslay pekee,,,, much love from Kenya 🎉🎉❤❤
Aslay kama waniskiza jameni usiache kutoa ngoma.
From Kenya❤❤❤
Kama Aslay Kaua Gonga Likes Zakushato Twende Wasaaaaa.....
saf sana ndugu zangu
Hassani kitenje noma sana
@@paulgodwini2910 Pamojaa
Safi sana nyimbo kali
Hassani kitenje mbosso
hawa ndo wanaume wa dar halisi sasa,mmetuwakilisha vizur sana
Ni ya 2018 but hadi sasa 2019 nairegelea nikiregelea. Tamu sana hii
wakenya ndio hawa sisi
homaaa. iko poa sanaa ume uwaaa mwamba
imeweza au sio
I now see Aslay's vision, keep it up bro uko kwa right path na utakua na ur own label .....believe that
Noma sana Aslay utakuja kuniacha hoyi washa moto
watapata homa sana mpka wambea..nice song
Dah! Kweli watapata homa fire fire +254 nipewe like
Niko nawee
Podo fundiiii
Vijana fundi! Alafu sauti kama wamezaliwa na mama aslay
Daniel parsanka ausio
@@amosmutunga6035 hahaha umeonaeee
Aslay moto wa kuotea mbali😀 baba na mziki wakeee
Syo Kwa saut hzooo Jaman mwanikoshaaaaaaa
osama kweli unapita melody za aslay lakn unafanya poa kama yeye ndo maana kaamua kufanya kazi na ww... afu ww hyo unajuwa lop yu ninja wangu nimekubal kazi
Kule aslay yko lazma nifike Nakuru represented
nooooma Sana ngoma kalii adi ina washa
Nzuri sana...merry Christmas to all
Nice kaz nzuri team #homa naipenda yan sichok kuisikiliza jamn 🔥🔥👌👌👌👌
Jamn mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯 mwendo mdundo
Kizazi sana mmetixha wazee√√√
Bonge la ngoma podo safi sana
Nani kam aslay ila napendag san watoe ngom na mbosso man niwasanii weny kipaj kikubw san
Aslay u have done it+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tumeikumbali
Like za podo jamn ni hapa,pdo Imba Sanaa we motto unaweza , nuu wetu njooo huku
I like much Podo, he knows pauses, vocal control and video posture
Osama amekomahaaa kweli Nice song my they Brothers
Sauti zote sinafana Sana ukisikiza audio uwezi tafautisha Wingo safi Sana
Weka like kwa Aslay
aseeeeee aslay anajua mzikiiiiiiiiiiii ooooiiiiiiiiiii
Nakupenden wote mungu awajalie
Nilitaman hii nyimbo iwe yako Aslay
Sijawah kurudia nyimbo ila hii nimeirudia zaidi ya Mara 10 aiseeee
Muko vizuri ipo safi sana
Musiq Mzuri...... Vijana kazini... kongole!!!
From UAE
Ngoma kali sana
I suggest DNA for Aslay and Osama these two relate too much. From voice, body shape and face. Nani yuko na mimi?
Nice aslay. Wewe nimkali sana kweli 💖💖💖💖💖 mambo ni 💥💥💥💥💥💥💥💖💖💖💖💖💖💖🙏🙏
Kazi kazi vijana wangu
Au naona vibaya naona Osama anapenda swaga za Diamond kama sio mm peke gonga like, kuimba kama Aslay gonga like, Dis like kama hujarudia rudia kama mara tatu na zaidi kwa Osama,
Osama au ni mdogo ake Aslay maana namkumbuka kwenye TMK mkubwa na wanawe
Podo nakuona mbali sana #Kaza alaf imba sana 🔥🔥🔥
nakubalii maboss wang fireeeeeeeeee
Nakubali sana hii ni 90k
Wallahi hiyo ngoma mliimba vizuri😋. So sweet hongera sana wakuu
duuh ngoma kalii lkn jee hawa wapo lebo ya aslay
Aslay ur voice is everything wish you the best
Osama na podo wanangu nawakubali kinyama ngoma zenu kitambo nasikiliza vile mkiimba mnakuwa safi msiachane shirikianeni pamoja na aslay nawakubali kinyama
Kaliii io home boy, nawakubari wadau wanguuuuu, tukutane zoez maguruweee yetuuuu
Huuu mwaka balaaaa
nice job dogo aslay💞💞💞💞
hiii nyimbo naenda kukopa nayo bank n nomaa
Kama unaamini hii nitimu ya aslay ngoga like
Aiseeee tamu kweli
Namkubal sana asley kwenye nangoma hii
Watoto wa Mkubwa Fella wana talent 🙌🏾
Congrats....team 254 nimekuwa nawafuatilia kuanzia mkubwa na wanawe..mtatoboa tu mabro kazaneni podo na osama
Mbona sauti ya #osama na #Aslay sina fanana kweli ila ngoma qali 🔥
🔥 👐 Hii yenyewe kbs
Nyimbo ya ki toto hiyo kabisa WCB imewapoteza wate nyie kama unahamini gongo like haka😰
Wangapi mmepata homa ktk mapenz ..be honesty.. Drop you're like .. Kwa Osama..
@Akhii Yahya pole sana.. Ila yanatesa analaf wengin yanawafurahisha..
Aslay watatu waumiza sana. Nina Homa Tayari
Wimbo poa sana mama weee
pod na osoma mmetshaaa sanaa
nice dg asly umetixh snaa
Wapi likes za Aslay
Adi kuvaa wameiga
Osama na aslay saut zao zinanichanganya jaman duh kama mapacha yaan kidogo tu bado
Aslay jaman hawakuez nipe like yko kma kwel unamkubal aslay hpa
Ukvzir
Actually that's an extremely good music chemistry..... naipenda sana..
Wangapi hawajalala wanatizama kichupa saa hii
Ally Nguzo 😂😂😂💃🏻
osama na podo noma san