Osama,Podo ft Aslay - HOMA (official video )

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 729

  • @yuzoyuzo4974
    @yuzoyuzo4974 5 лет назад +3

    Kweli mumekutana mafundi watupu gud song

  • @djafrolatest867
    @djafrolatest867 5 лет назад +206

    First to comment,,,wapi likes za aslay tukisonga,,

  • @Ombwori_11
    @Ombwori_11 5 лет назад +50

    Kenya 🇰🇪🇰🇪 before 2k views 😀🔥🔥🔥

  • @vivax5323
    @vivax5323 5 лет назад +12

    Ni vizuri aslay amepunguza uzito... Alikuwa akinenepa haraka sana. Wimbo na video ziko top, Nimezipenda...Shout out kwa Podo, He is the artist to watch for.

  • @dominicnzai8256
    @dominicnzai8256 5 лет назад +15

    Imefika mjini hiii mara pap.....#Aslay#Podo#Osama....alafu Aslay na Osama Kama vile Adhukiba na king I say twendenu nalo mziki mzuri lzma upenyee

  • @ezekieljames9772
    @ezekieljames9772 5 лет назад +6

    Huyu alieimba mwisho fundi sana sijuwi ndo Podo

  • @mikanivlogs9148
    @mikanivlogs9148 5 лет назад +9

    Naipenda sana hii song mmmmmm nimesha kukubali Mtu wangu Aslay king👑 of music🎤🎼🎹🎶

  • @kaserekachance4071
    @kaserekachance4071 Год назад

    nice aslay ninakumbuka sana hiyi song nilijifunza sana mupaka Léo nakomaa nikisikiya sana fan kutoka DRC Ama Congo nice

  • @jumaradhomary8591
    @jumaradhomary8591 5 лет назад +6

    Nmeiangalia mara 10.
    Nmeisklza mara 10
    Ila nmeshndwa tofautsha saut y Osama na Aslay

  • @PatrickOlindi
    @PatrickOlindi 5 лет назад +109

    Aki nampendaga dogo langu aslay,nipe like ka unaamini Sihaka anasupport vipajil

    • @husnasalim5569
      @husnasalim5569 5 лет назад +1

      Yaan we aslay nymb zako nazipnd zot alafu sinaniliwaz San nikiwa n mawazo mungu akuongezee kipaji Mara 2 yake

    • @hadhilhaji9956
      @hadhilhaji9956 4 года назад

      patchez msafi

    • @abdulnassir3424
      @abdulnassir3424 3 года назад

      Pia

  • @bohochic4559
    @bohochic4559 5 лет назад +4

    Daaa watapata homa kweli... 254 squad here❤

  • @KisimaTv99
    @KisimaTv99 5 лет назад +10

    Hii kazi nzuri sanaaa. Kwakweli nimeipenda. Nafurahi sana kuona Aslay ukiwashika mkono vijana wenzako, hivi ndivyo inavyotakiwa.

  • @marikopafredi
    @marikopafredi 5 лет назад +20

    *podo nijuwe me kuwa shabiki wako wa kwanza*

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +4

    osama sauti kama aslay podo sauti kama kayumba lakini tofauti yao ni moja sula mwonekano akili zao ni tofauti kwaiyo hatakama wangekuwa wanne bado tu hawawez kuganana.mbona wana wake na wanaume ni watu wa aina moja lakini kila mmoja wao huwa anamiliki michepuko zaidi ya mi NNE ukiuliza atakwambia ladha tofauti iko wapi anaijua yeye👍👍👍💑💪👏😹😹😹.

  • @princesebastian3238
    @princesebastian3238 5 лет назад +16

    Podo you are the best,
    I hope and pray one day you will get the recognition you deserve.
    God bless you.

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +8

    ngoma hii inautamu wake kwa kum-bembeleza baby jamanj

  • @cayvinderick3032
    @cayvinderick3032 5 лет назад +1

    Nazikubali sauti za hawa ndogo.....napenda Aslay anavyowainua wadogo wake.
    InshallahInnipa Homa

  • @chipmunkscovers3549
    @chipmunkscovers3549 5 лет назад +14

    gonga like kama wafikiria Aslay na Osama wafanana

  • @ericmulwa1472
    @ericmulwa1472 4 года назад +7

    KAMA WAMUONA NANA APA GONGA LIKE. 2019 STILL WATCHING

  • @jemedarybadboy6288
    @jemedarybadboy6288 5 лет назад +6

    tokea kenya hii naikubali sana 🔥 🔥

  • @nancysammy3442
    @nancysammy3442 4 года назад +2

    Huyu si yule dem aliharibu vitu kwa Ray😂😂....okay sauti gani ya Aslay juu nikama tunafanana zote....nice song brother Aslay 🥰

  • @abdallahiddi8135
    @abdallahiddi8135 5 лет назад +1

    yaan nyie mnajua mpka mnakera sanaaaaaaaa nawakubali sana wanangu na baba enu

  • @limbumboyi1233
    @limbumboyi1233 5 лет назад +11

    Ngoma kali sana hiii

  • @dingimtoto352
    @dingimtoto352 5 лет назад +4

    Ngoma soon 1million Na itafika nakubali #DingiMusicForLife

  • @philiposhilingi7288
    @philiposhilingi7288 5 лет назад +46

    damu ya east afrika hii APA inaomba like nzito kutoka kwa mashabiki wanaopenda mziki mzuri

  • @visionaryproductionkenya
    @visionaryproductionkenya 5 лет назад +1

    Aslay tialalaaaaa!

  • @masawe_work_shop
    @masawe_work_shop 4 года назад +11

    Kama unamkubali podo gonga like👇🏻👇🏻

  • @manisule7668
    @manisule7668 5 лет назад +2

    Osama ni moto wakuotea mbali mwaka 2019 uwe wa ngoma tuuuu ngoma safi sanaaaa video safi sana

  • @johnmembayusuph590
    @johnmembayusuph590 5 лет назад +3

    Hachana na uzuri wa ngoma, kuna kitu kingine cha ziada kwenye hii ngoma hasa hizo mapamba wametupia humu yaaani ni kiwango cha lami mazee

  • @estherlandusa8873
    @estherlandusa8873 4 года назад

    Good bro mambo ni Moto Sasa twende sawa na aslay

  • @habarimtaani2254
    @habarimtaani2254 5 лет назад +9

    Kama unaikubali hii ngoma GONGA LIKE KAMA ZOTE ILI WAPATE HOMA twende sawa

  • @zuhuraissa5959
    @zuhuraissa5959 5 лет назад +1

    kila hatua dua wapenz wa Mimi mungu aendelee kuwaangaza kwa kazi nzuri

  • @azizacleny8677
    @azizacleny8677 5 лет назад +1

    sema hizo saut mweee aslay na osama shkamoon uuwi🏃🏃🏃

  • @zuberimbua3632
    @zuberimbua3632 3 года назад +1

    Anaemuona nana wa rayavnny em gonga like

  • @timilaisebastian5942
    @timilaisebastian5942 5 лет назад

    osama unajua kuimba mdogo wangu ila jalibu kutengeneza icon ya sauti yako usiimbe kama aslay

  • @gabriel_tz2989
    @gabriel_tz2989 5 лет назад +2

    Nazani mimi ndio wa kwanza kukomenti 🔥 🔥

  • @deulemwangolo
    @deulemwangolo 6 месяцев назад

    Hio collabo iliweza 🎉🎉🎉❤❤❤ infact at first I thought ni Aslay pekee,,,, much love from Kenya 🎉🎉❤❤

  • @_NinaThuku
    @_NinaThuku Год назад

    Aslay kama waniskiza jameni usiache kutoa ngoma.
    From Kenya❤❤❤

  • @hassanikitenje2038
    @hassanikitenje2038 5 лет назад +167

    Kama Aslay Kaua Gonga Likes Zakushato Twende Wasaaaaa.....

  • @mrcalculator6588
    @mrcalculator6588 5 лет назад +1

    hawa ndo wanaume wa dar halisi sasa,mmetuwakilisha vizur sana

  • @aliesinyen6930
    @aliesinyen6930 5 лет назад +1

    Ni ya 2018 but hadi sasa 2019 nairegelea nikiregelea. Tamu sana hii

  • @Dubai_Fine_
    @Dubai_Fine_ 5 лет назад +28

    wakenya ndio hawa sisi

  • @ezekielyalex7673
    @ezekielyalex7673 5 лет назад +1

    homaaa. iko poa sanaa ume uwaaa mwamba

  • @diddahtv2512
    @diddahtv2512 5 лет назад +1

    imeweza au sio

  • @momozoafricanmedic7846
    @momozoafricanmedic7846 5 лет назад +2

    I now see Aslay's vision, keep it up bro uko kwa right path na utakua na ur own label .....believe that

  • @issaissa7341
    @issaissa7341 5 лет назад

    Noma sana Aslay utakuja kuniacha hoyi washa moto

  • @swabrinahamisi6857
    @swabrinahamisi6857 5 лет назад

    watapata homa sana mpka wambea..nice song

  • @danielclassic254vevo5
    @danielclassic254vevo5 5 лет назад +23

    Dah! Kweli watapata homa fire fire +254 nipewe like

  • @samuelmuthembwa4189
    @samuelmuthembwa4189 4 года назад

    Aslay moto wa kuotea mbali😀 baba na mziki wakeee

  • @felixsostenes2409
    @felixsostenes2409 5 лет назад

    Syo Kwa saut hzooo Jaman mwanikoshaaaaaaa

  • @dullahtonny7989
    @dullahtonny7989 5 лет назад

    osama kweli unapita melody za aslay lakn unafanya poa kama yeye ndo maana kaamua kufanya kazi na ww... afu ww hyo unajuwa lop yu ninja wangu nimekubal kazi

  • @nanalincy6770
    @nanalincy6770 5 лет назад

    Kule aslay yko lazma nifike Nakuru represented

  • @dubikenzotz6757
    @dubikenzotz6757 5 лет назад

    nooooma Sana ngoma kalii adi ina washa

  • @mriamsamy3129
    @mriamsamy3129 5 лет назад +5

    Nzuri sana...merry Christmas to all

  • @evelinewilsone4137
    @evelinewilsone4137 5 лет назад

    Nice kaz nzuri team #homa naipenda yan sichok kuisikiliza jamn 🔥🔥👌👌👌👌
    Jamn mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯 mwendo mdundo

  • @ahmaduweje463
    @ahmaduweje463 5 лет назад

    Kizazi sana mmetixha wazee√√√

  • @malikihemfaume3906
    @malikihemfaume3906 5 лет назад +7

    Bonge la ngoma podo safi sana

    • @ibrahimissa6261
      @ibrahimissa6261 4 года назад

      Nani kam aslay ila napendag san watoe ngom na mbosso man niwasanii weny kipaj kikubw san

  • @xhadyxhady4186
    @xhadyxhady4186 5 лет назад +1

    Aslay u have done it+254🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tumeikumbali

  • @wardahzajly3149
    @wardahzajly3149 5 лет назад +8

    Like za podo jamn ni hapa,pdo Imba Sanaa we motto unaweza , nuu wetu njooo huku

    • @charitythegolden729
      @charitythegolden729 5 лет назад

      I like much Podo, he knows pauses, vocal control and video posture

  • @vanny5736
    @vanny5736 5 лет назад +1

    Osama amekomahaaa kweli Nice song my they Brothers

  • @danieldebelius02
    @danieldebelius02 3 года назад +1

    Sauti zote sinafana Sana ukisikiza audio uwezi tafautisha Wingo safi Sana

  • @Wamikogo
    @Wamikogo 5 лет назад +21

    Weka like kwa Aslay

  • @deogratiusdominick3884
    @deogratiusdominick3884 5 лет назад

    aseeeeee aslay anajua mzikiiiiiiiiiiii ooooiiiiiiiiiii

  • @gaudencemdegela9795
    @gaudencemdegela9795 5 лет назад

    Nakupenden wote mungu awajalie

  • @ashurasalum8290
    @ashurasalum8290 5 лет назад +12

    Nilitaman hii nyimbo iwe yako Aslay

  • @abdallahkajugusi6171
    @abdallahkajugusi6171 5 лет назад +1

    Sijawah kurudia nyimbo ila hii nimeirudia zaidi ya Mara 10 aiseeee

  • @muditelela7720
    @muditelela7720 5 лет назад

    Muko vizuri ipo safi sana

  • @niyasniyas7444
    @niyasniyas7444 5 лет назад +1

    Musiq Mzuri...... Vijana kazini... kongole!!!

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 5 лет назад +3

    From UAE
    Ngoma kali sana

  • @annalehani5903
    @annalehani5903 5 лет назад +1

    I suggest DNA for Aslay and Osama these two relate too much. From voice, body shape and face. Nani yuko na mimi?

  • @janetdavid1732
    @janetdavid1732 5 лет назад

    Nice aslay. Wewe nimkali sana kweli 💖💖💖💖💖 mambo ni 💥💥💥💥💥💥💥💖💖💖💖💖💖💖🙏🙏

  • @sudason8467
    @sudason8467 5 лет назад

    Kazi kazi vijana wangu

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry5426 5 лет назад +3

    Au naona vibaya naona Osama anapenda swaga za Diamond kama sio mm peke gonga like, kuimba kama Aslay gonga like, Dis like kama hujarudia rudia kama mara tatu na zaidi kwa Osama,
    Osama au ni mdogo ake Aslay maana namkumbuka kwenye TMK mkubwa na wanawe

  • @darslaamboi
    @darslaamboi 5 лет назад

    Podo nakuona mbali sana #Kaza alaf imba sana 🔥🔥🔥

  • @mussakhalifa349
    @mussakhalifa349 5 лет назад

    nakubalii maboss wang fireeeeeeeeee

  • @MBAGOTV
    @MBAGOTV 5 лет назад

    Nakubali sana hii ni 90k

  • @mwanambeeke
    @mwanambeeke Год назад

    Wallahi hiyo ngoma mliimba vizuri😋. So sweet hongera sana wakuu

  • @barakabahati4315
    @barakabahati4315 5 лет назад +10

    duuh ngoma kalii lkn jee hawa wapo lebo ya aslay

  • @birungihalimabigupguys1403
    @birungihalimabigupguys1403 5 лет назад +11

    Aslay ur voice is everything wish you the best

  • @shabanmwanshur6533
    @shabanmwanshur6533 5 лет назад

    Osama na podo wanangu nawakubali kinyama ngoma zenu kitambo nasikiliza vile mkiimba mnakuwa safi msiachane shirikianeni pamoja na aslay nawakubali kinyama

  • @handromedia5611
    @handromedia5611 5 лет назад

    Kaliii io home boy, nawakubari wadau wanguuuuu, tukutane zoez maguruweee yetuuuu

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 5 лет назад +2

    Huuu mwaka balaaaa

  • @anitaeunicejohn4256
    @anitaeunicejohn4256 5 лет назад +14

    nice job dogo aslay💞💞💞💞

  • @worldmedia7127
    @worldmedia7127 5 лет назад

    hiii nyimbo naenda kukopa nayo bank n nomaa

  • @tulivu6377
    @tulivu6377 5 лет назад +74

    Kama unaamini hii nitimu ya aslay ngoga like

  • @bashmutumba
    @bashmutumba 5 лет назад +1

    Watoto wa Mkubwa Fella wana talent 🙌🏾

  • @kangethegaudenzio8174
    @kangethegaudenzio8174 5 лет назад

    Congrats....team 254 nimekuwa nawafuatilia kuanzia mkubwa na wanawe..mtatoboa tu mabro kazaneni podo na osama

  • @deborahjm8890
    @deborahjm8890 5 лет назад +1

    Mbona sauti ya #osama na #Aslay sina fanana kweli ila ngoma qali 🔥

  • @kinjeathuman2350
    @kinjeathuman2350 5 лет назад

    🔥 👐 Hii yenyewe kbs

  • @pasiasumaic5145
    @pasiasumaic5145 5 лет назад

    Nyimbo ya ki toto hiyo kabisa WCB imewapoteza wate nyie kama unahamini gongo like haka😰

  • @hancyboy6136
    @hancyboy6136 5 лет назад +4

    Wangapi mmepata homa ktk mapenz ..be honesty.. Drop you're like .. Kwa Osama..

    • @hancyboy6136
      @hancyboy6136 5 лет назад

      @Akhii Yahya pole sana.. Ila yanatesa analaf wengin yanawafurahisha..

  • @charleskimuyu2522
    @charleskimuyu2522 5 лет назад

    Aslay watatu waumiza sana. Nina Homa Tayari

  • @beatricebolger9824
    @beatricebolger9824 5 лет назад

    Wimbo poa sana mama weee

  • @diforepublic9102
    @diforepublic9102 5 лет назад

    pod na osoma mmetshaaa sanaa

  • @suleshsulesh9600
    @suleshsulesh9600 5 лет назад

    nice dg asly umetixh snaa

  • @vivaidaramsy7415
    @vivaidaramsy7415 5 лет назад +121

    Wapi likes za Aslay

  • @reymuddy9577
    @reymuddy9577 5 лет назад

    Osama na aslay saut zao zinanichanganya jaman duh kama mapacha yaan kidogo tu bado

  • @dcruiz7485
    @dcruiz7485 5 лет назад +7

    Aslay jaman hawakuez nipe like yko kma kwel unamkubal aslay hpa

  • @chrissy_Tv778
    @chrissy_Tv778 4 года назад +1

    Actually that's an extremely good music chemistry..... naipenda sana..

  • @allynguzo1669
    @allynguzo1669 5 лет назад +10

    Wangapi hawajalala wanatizama kichupa saa hii