Vitu vingine hua nakosa hata cha kuongea kwa kweli, hivi Aslay una nini lakin? Mungu fundi jaman, haya waliojawa na furaha na kukosa hata watumie maneno gani kumpongeza Aslay likes zenu hapa
Katika nyimbo zote ulizoimba aslay hii zuri Sana na imegusa sana mim nakuomba kwa mungu na pia amlaze Mahala pema Peponi mama yako na mama Angu pia Amen.
Kama unamkubali Aslay Gonga like +254 Kenya ata wachinje ndovu akumalizi kimziki bro wekenya tutakusupport hadi kifo chako.....but please toanga ngoma kama hizi👏😂
studio.ruclips.net/user/videodGRy9HAdaeY/analytics/tab-overview/period-default DONT FORGET TO SUBSCRIBE YOUR SUBSCRIPTION IS HIGLY APRICIATED THANK YOU IN ADVANCE MAY GOD
studio.ruclips.net/user/videodGRy9HAdaeY/analytics/tab-overview/period-default DONT FORGET TO SUBSCRIBE YOUR SUBSCRIPTION IS HIGLY APRICIATED THANK YOU IN ADVANCE MAY GOD BLESS YOU
Kama unaamin duniani umekuja peke yako na utaondoka peke yako gonga like na comment APA nimeuelewa sana huu wimbo PGA kaz kaka yang Allah ndo kila k2 kwa mungu akuna majung
Dah kipindi goma linatoka nilikuwa kachalii sana...nikijiangalia Leo naona kabisa utukufu wa Mungu. Leo umetoka kuchafuliwa sana na Mange kimambi hadi huruma.Hizi zote ni chuki,pole sana kamanda.
Hello, kindly Click the link below,,,, watch my brand new #Single #BORAMINIENDE (link: ruclips.net/video/QwX7kbYt-mY/видео.html) ruclips.net/video/QwX7kbYt-mY/видео.html LIKE, COMMENT, SHARE, SUBSCRIBE.. thank you for your continious support!!
Inauma sana wanaanza kwa kusema ooo mzik wako umekua kawaida sijui nn, wote uo n njia ya kukushusha, ila Mungu mdo mpiganaji na mashabik tulivo maandaz tunadanganywa na iz propaganda tunashau kua aslay ana chain ndefu sana inayomtegemea kabla hatujawaza aslay kama msanii, tuwaze aslay kama baba, au kaka wa mtu, tukifanya ivo ukwel hatuwez yumbishwa na izo propaganda
studio.ruclips.net/user/videodGRy9HAdaeY/analytics/tab-overview/period-default DONT FORGET TO SUBSCRIBE YOUR SUBSCRIPTION IS HIGLY APRICIATED THANK YOU IN ADVANCE MAY GOD
Gonga like if you accept aslay is doing great 💞💞💞 congratulations young boy and continue with the same same spirit.....all the way from Kenya iko love ❤️❤️
tushaaajua wenye chuki...ata wachinje ngamia ndovu bado hawasomeki ....wanakaa timu eti wakupoteze ....one man army bro Aslay ....InShaallah Yupo ..Gonga like kama wampenda Aslay ....
Vitu vingine hua nakosa hata cha kuongea kwa kweli, hivi Aslay una nini lakin? Mungu fundi jaman, haya waliojawa na furaha na kukosa hata watumie maneno gani kumpongeza Aslay likes zenu hapa
Mr domix famoss catore de distrito de zabezia
Domingos
@@JamaicaamercaJapao I'm a 1
Dah!!! Huyu ndiye simba wa ukweli🔥🔥...kama unamtambua aslay gonga like 💥💥💫💫
Suzz Suzzie simba mmmmh .....simba yuko pale tandale
Kweli kabisa so cut
Simba 👌👌👌
Ndo zenu wabongo mtu akiwa na mafanikio makubwa lazima muanze kukunja! Hata aslay akifika levo za diamond mtamchukia tuu!
mrogoro
Jikaze mdogo wangu, talanta huwa haina mwisho, fanya kazi wengine waongee, matokeo mazuri ndyo majibu Yao
Taraiya Thomas Laizer hakika mungu yupo kama ipo ipo tu kaza broo mungu yu nawe frm tunduma ngoma kali sana
Mh
Jikaze Broo mungu hamchupi mjawake
I'm a Kenyan but i can say here Tanzania mko mbele tu sana . Juu sana Kwa nyimbo zenu. Zenu zinavuka border na Kukubalika kiurahisi kuliko sisi .
Katika nyimbo zote ulizoimba aslay hii zuri Sana na imegusa sana mim nakuomba kwa mungu na pia amlaze Mahala pema Peponi mama yako na mama Angu pia
Amen.
Mi mnyonge, nimlilie nani kama sio wewe baba mungu!!! Thanks aslay uchawi upo !!! Much love from America 🇺🇸.We feel your pain too...
Kama unamkubali Aslay Gonga like +254 Kenya ata wachinje ndovu akumalizi kimziki bro wekenya tutakusupport hadi kifo chako.....but please toanga ngoma kama hizi👏😂
Crush
Mwanangu kaza buti, nothing can hinder you to perform well am a Kenyan but working in Dar Es Salaam Tz
Prince Newton Nice Music 🔥🔥🔥
🙈🙈🙈my crush
@@nancyruoruo1025 Alslay or ?😂
Atiiiii nn kama umeona asly anavy wachana wachwi ebu acha like apo
Kama umerudi tena kusikiya iyi song 2024 gonga like 🎉🎉🎉 from Congo 🇨🇩🇨🇩💪
Any Kenyan watching?? Pita na like to show your love to aslay 💪💪
I'm here
@@yvonneanita594 Aslay❤❤❤
napenda sana aslay
Iko juu sana
Ramadhan Abdallah ,sana
Top ten viewers from KE 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🌍 gongeni likes za aslay
Napeperusha bendera ya🇰🇪 254... wapi likes zenu
That's my home country
mung akuraishishie
💪💪
CHEKI FREESTYLE KALI
ruclips.net/video/i_AcrxmQ9Hs/видео.html
@@JIMBO_MEDIA asley
Ikiwa unapenda wimbo huu na Aslay bonyeza like yako hapa
⬇️⬇️
Mpaka 2024 tunaendela kuiskiliza mala 10/Kwa day Nipee like. hama Kama Nawew usipite bila Like🙏☝️
duuh huyu mwamba jamani mungu azidi tu kumlinda,,nyimbo zingine anaimba sio tu kumhusu yeye ila ata apa njee chuki zipo kwa wingi aiseee
So many people will do bad things to you in this life but always put God first 😊😊😊😊😊😊😊😊
Tunamsapoti aslay kwa pamoja goma lenyewe kali najua wiki tunagonga like 1m
Nakubali
Nakuru Kenya🇰🇪 100+likes for aslay
🙌🙌🙌Nakuru juu!!!,🇰🇪Aslay katoka mtaa wa Freehold, hivi kafanya tu kuhamia🇹🇿😅😅😅😅
@@cassyrex2023 jokes
Namkubali sana Aslay, kama waitazama video hii kutokea Kenya 🇰🇪 , nipe like 🤭
Najikaza mie.what an awesome song.it reminds me about my bitter past ila mungu yupo..am a living testimony. Nipeeni hata 1like jamani.254 we represent
studio.ruclips.net/user/videodGRy9HAdaeY/analytics/tab-overview/period-default DONT FORGET TO SUBSCRIBE YOUR SUBSCRIPTION IS HIGLY APRICIATED THANK YOU IN ADVANCE MAY GOD
Nakukubali Sana mdogo wangu...Pambana mungu yupo pamoja nawe
Pamoja
Dah....
Swahili to the world....
East africa to the world..
🇹🇿🇺🇬🇰🇪 Show Love East Africa citizens.....💪💪💪💪💥💥💥🌍🌍🌍
Nakukubal cn aiseeee
studio.ruclips.net/user/videodGRy9HAdaeY/analytics/tab-overview/period-default DONT FORGET TO SUBSCRIBE YOUR SUBSCRIPTION IS HIGLY APRICIATED THANK YOU IN ADVANCE MAY GOD BLESS YOU
Kazi nzuri ...hongera ndio mara ya kwanza nacomment ktk nyimbo zako,namanisha umetisha huu wimbo umeniimbia mm mwenyew
Seif Zongo dah kweli??
Dogo unajua alinaubishi
Kazi nzuri bwana mdogo
Yap hta,,,,
Mm hii nmeielewa
Dah!!! Hili jiwe balaa......wenye chuki mwaka huu wataishia kujichukia wenyewe kwa balaa hili dah umeweza broda
jeshi la mtu moja ilooo
Bigdaddyhahaz kweli asee🔥🔥🔥
We achana nao Isihaka wewe mtangulize Mungu mbele, Kama Diamond platnumz angeskiliza maneno ya watu asingefika hapo, achanao🇹🇿🇹🇿
Nyimbo Nzur aslay Kama na ww unamkubal aslay Kama mm gonga like apa🙌
The love I have towards ❤ ♥ Aslay is unlimited 😍 ❤ I swear he is my best bongo artist ....go go go Aslay...much love from Kenya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
IKITOKA ANGEKUONA MAMA HII NI NYIMBO YA PILA YA ASLAY KUNITOA MACHOZI😭😭Jikaze asly ndio dunia but tutakutana kiama 🏃🏻
Wanaotaka kukushusha tunawajua ila usichoke pamban bro gonga like kama unaamini aslay ndo msanii mkali bongoo kwa vijana wote
Dogo anavimba sana
uwakika laxma wakubal
ASLAY pambana tu utashida kwasababu mungu ni wakila mtu na mm nita kuhombiya kwangu.
Ivo nisawa kwasababu wanajijuwa ila pole sana kaka
Kama unaamin duniani umekuja peke yako na utaondoka peke yako gonga like na comment APA nimeuelewa sana huu wimbo PGA kaz kaka yang Allah ndo kila k2 kwa mungu akuna majung
Usijali kiongozi hata wachinje kinyonga mungu yupo pamoja nawe hatakusaidia tu usikate tamaa
Hapo kwenye MAFENESI hapo ndo uchawi, ukiachana na nyanya nyanya na vitunguu...
One love.!
Hahaha
Kama unasoma comment hii nakuombea mafanikio makubwa kama ya #Aslay katika kila ulifanyalo Amen zije basi
Amen
Amina
Aamin
Amen
Cover ya wimbo huu kali zaidii itazame ruclips.net/video/rNLdedE2M0w/видео.html
Ikiwa unamkubal aslay toka 254 pitia like humu 🌍⚡🔥🔥🔥🔥
Nampenda aslay sababu nyimbo zake zina Mungu ndani, this is my 2nd favorite after mama
Wanao mkubali aslay Kama Mimi like apa kwangu
Bonge moja la ngoma, i think umeongelea uhalisia kabisaaaaaaaaaaah kwenye maisha yako, keep blessing ma nikha
Pambana mdogo wangu nakukubali Sana Tanga tunakupenda sana
Wakwanza ku comment.... poa sana mwanangu hmm CHUKI duh huniangushi best of the best
Likes for Kenyan love🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tunaompa ASLAY BENDERA YA 🇹🇿🇹🇿
LIKE ZAKE HAPA.
That's a man
Pamoj
Aslay uko vizuri sanaaa
Love that
Saw bab mkubw
leo nimerudi tena kuiangalia maana imetulia hizi ndo nyimbo hamna hata makelele hadi raha asante aslay
nakupenda bure aslay naamin utafika ulipo taka naamin hvy chuki zisikushushe weww ni mkubwa sana oneday moza atajivunia ww sana
mambo
@@obamaabas3849 pow
Hii Ngoma ni Kali sana 💯🔥💪 Keep going my bro Aslay wapi likes ya Aslay from 🇲🇾
Daaah nc xna
Farhan Boojo Family 😛😛❤
Hahaha endelea kupambana kijana unaweza sana, listening from Europe much respect aslay 🙏🙏🙏🙏
kazi nzuri ila kazaa kaka kiukweli game kwako limekuwa zito, bt i still appreciate u.
Supporting aslay is all of my happiness in Kenya
Dah kipindi goma linatoka nilikuwa kachalii sana...nikijiangalia Leo naona kabisa utukufu wa Mungu.
Leo umetoka kuchafuliwa sana na Mange kimambi hadi huruma.Hizi zote ni chuki,pole sana kamanda.
love from Burundi aslay ananimaliza sana. gonga like kama unapenda kusoma commentaires kama mimi
Jikaze bro 2nakupenda sana Aslay keep up. Special Love 4rom Kenya
Cjawahi kupata like za ASLAY 🙈🙈🙈🤙🤙🤙🤙
Kama umependa mwendo wa aslay kwenye reli gonga like pliz
Wanachinja mbuzi kafala ili aslay upotee hawakuwezi wewe ni nyoko nakukubali mdogo wangu aslay #chuki
Mdogo mwili
Mkubwa wa ujumbe
#CHUKI tupa kuleee much blessed baba MOZA
Hello, kindly Click the link below,,,, watch my brand new #Single #BORAMINIENDE
(link: ruclips.net/video/QwX7kbYt-mY/видео.html) ruclips.net/video/QwX7kbYt-mY/видео.html
LIKE, COMMENT, SHARE, SUBSCRIBE..
thank you for your continious support!!
🇰🇪🇰🇪💯💯🔥hit like Kama unamkubali Aslay . First comment 🔥🔥🙏.
Jikaze baba
Evans Obaga 😄💌💌😄😄
Kaza buty .ngom naikubaliii
kali
Fire fire Mmhh
Inauma sana wanaanza kwa kusema ooo mzik wako umekua kawaida sijui nn, wote uo n njia ya kukushusha, ila Mungu mdo mpiganaji na mashabik tulivo maandaz tunadanganywa na iz propaganda tunashau kua aslay ana chain ndefu sana inayomtegemea kabla hatujawaza aslay kama msanii, tuwaze aslay kama baba, au kaka wa mtu, tukifanya ivo ukwel hatuwez yumbishwa na izo propaganda
Nakukubali
Nzuri saana na ipenda
sannnnnnnnnn
Wanadamu wako hivii yaaniii.... maishaa kama Gwaride. Hakuna anaezaa mpangiaa mwengine riziikii kwenye hayaa maishaaaa.😎✊🏾👉🏿🔥🔥🇹🇿🇹🇿respect Aslay 2020
daaah umetisha sana mwanangu wacha waseme ila bado Nina kuelewa sana ata mungu yupo nawe d
ndugu yangu.
Wee upo level za nani
Naumba like zangu hapo
👏👏 hongera kaka ngoma imetulia mbaya
Kwa wale ambao tunajikaza japo kuwa life ni baya kwa upande wetu ..mpk siku ya kufanikiwa gonga LIKE LA NGUVU HAPA
nice
song
Pius Jr. Tv pp
Priska mi najikaza ivyo ivyo nyimbo tamu sana mungu akulinda
Wimbo mzuri
Aslay mungu akubariki chuki ni ngoma kaliiiiiiii Sana tena sanaaaa #chuki
Wangap wameirudia ngoma zaid ya Mara 4 gonga like twende sawa
safi sana
Mimi hapa
Me ni more than
Like tukemee watu wa wivu , ambao wanapenda wakue juu pekee , Kenya we don't have chance for haters 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
I love you Aslay❤❤ wenye #Chuki zenu si twajikaza tu..... Gonga Like kama upo sawa na mimi
Wakenya kujeni hapa likes show some love❤❤✔👇
4m
Hapo ndipo
Imebambaaa
Chuki zisizosababu, kama na ww kuna watu wanakuchikia bila sababu like yako hapa twende sawa💪💪💪💪💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿💥💥💥💥💥🔥🔥🔥🔥
Wivu wako nayo
Chief Osward llpppphiiikoppp
studio.ruclips.net/user/videodGRy9HAdaeY/analytics/tab-overview/period-default DONT FORGET TO SUBSCRIBE YOUR SUBSCRIPTION IS HIGLY APRICIATED THANK YOU IN ADVANCE MAY GOD
Ndyo
This song has made shade tears😭😭😭keep going be aprayerful
Gonga like if you accept aslay is doing great 💞💞💞 congratulations young boy and continue with the same same spirit.....all the way from Kenya iko love ❤️❤️
tushaaajua wenye chuki...ata wachinje ngamia ndovu bado hawasomeki ....wanakaa timu eti wakupoteze ....one man army bro Aslay ....InShaallah Yupo ..Gonga like kama wampenda Aslay ....
Mwana wa isiaka pigamoyo konde suport kubwa kutoka +254 ,,,, hata wakichinja ngamia HAWAKUWEZI KAKA ASLAY
Nani kaja kuitazama tena 2024 kama mimi
Ujumbe mzuri,nyimbo nzuri ila Nimewaona wenye chuk wame DISLIKE
Niko wakwanza kuhangalia video gonga like hapa kama unapenda aslay
Eti naitaka hii nyumba niuze mafenesi hapa nifungue studio ,, jeuli ya hela dadeki
young rapper/ kaoneka nimecheka sana aisee
aiseeeeee bro unaweza kuotea nyimbo hii nyimbo kali kinyama🎧🎧🎧🎤🎼
Kama una mkabali aslay like hapa ndugu
Aslay kipenzi cha watu tuko hapa kukusuport bro ....luv u sana... Kenya kama mnamkumbali aslay gonga likes zenu hapa fire moto .....kali sana# chuki
1st kenyan to comment wapi likes za hii ngoma
Kenya hatuna tabia za kipuzi kuomba likes
🔥🔥🔥🔥🔥😘😘🙌🙌
WALE tunaompenda Aslay FULL KUGONGA LIKES NA REPRAY ILI ASLAY AFIKE MBALI ZAIDI maana NOUMA TEMBELEA #AMEGAINFO
Huko mwisho kumenichekeshaaaa😂😂😂😂😂Yani umewakomesha kabisaaa kwamba hela Haiishi 😂😂😂....Kweli mungu ndio mpaji🙏🙏
Safii kabisa mziki ulio pangika kisawa sawa hongera kaka wapi like za Aslay🎉 kutoke 254
Aslay nakukubali sana kaka this was your tunes some 2years nafurahia umerudi kwa line yako like zikam from+254
Mungu atakusaidia kkngu ww swli ukiomba mungu n kla mbya wko utamuona tu kw uwezo w Allah huta anguka mmngu kknu
Tuko pamoja ww usivunje moyo kza buti n Allah atakusaidia
Kenyans tupo wengi uku kweli wa🏁🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Chuki zisizo msingi
#Bongo yko kak
Nakuelewa xna,,,
Riziki Anagawa Mananii
Naomben like km unamkubl MTABE wa Chuki
Ar-shadi Hashimu j
Vp
kama unamkubali aslay gonga like japo nipat like 50 plz
Penda San aslay
sana sana
I just love Aslay's songs
Akuna uchawi uliyo ju ya mungu towa yote kwa mungu
Wewe Aslay I don't know why I am addicted to you
Cos anafanya kazi nzuri sanaaa
uko vzr kijana
Huyu ndo Simba wa ukweli💯💯🔥🔥
Ni kweli kabisa simba 👌👌👌👌👌👌👌👌👌😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
I agree💯🔥🔥🔥
Mmmmh sina hakika na usemacho
Hizo ndo chuki zakumfana na simba
Turn it blue to show @Aslay mad love all the way from +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Waliosema Aslay kapotea wanaumia sasa hivi....Ngoma wiki nzima iko trend ....Nipe likes kma unakubali....Ngoma iko Vizuri sanaa......
Watching from saudi Arabia 🇸🇦
Ngoma kali kweli 👏👏
Upo vzuri san ❤❤🔥🔥🔥🔥
ASLAY always inspire me
Yaani hii ngoma siishibi bro. Hii ingekuwa huku kwetu #+254 tungeiweka kwa kundi la gospel
Niko hapa baada ya kauli ya Hbaba kwamba wapo wanaofanya kazi kumpoteza Aslay ila huku 🇰🇪 haezi potea
Lakini keli uyu kiyana niwangufu kushinda mbosso
That come back from Aslay was 10000% savage
This guy never disappoint..Love From Kenya Aslay..
🇹🇿😍
I love his music but sadly I don't understand the words. From Ghana 🇬🇭 show me love by hitting like.
Gyarko Rockson he is spoke bout wichman
Daa eeh nimekuelewa dogo kazi nzurii munguakufanikishie malengoyako
Watching from 254KE I'VE FALLEN IN LOVE WITH THIS SONG.
Nakupenda sana Asly. Jikaze hivyohivyo muombe Mungu wewe ni nyota utang'aa sikuzote.