Queen Darleen X Harmonize - Mbali (Official Video) Sms SKIZA 8546391 to 811
HTML-код
- Опубликовано: 2 июн 2019
- Being in a long distance relationship is quite fine, however, at times, It becomes tough and challenging to stick and keep the loyalty to each other.
Each one doubts if the same feeling still exists between the two of you.
This is not an exception to Queen Darleen, who is struggling to keep it up with her lover who is far away trying to make it in life. Despite Harmonize’s call for patience, loyalty and promise to return as he is hustling to make the ends meet,
Surprising when he comes back he only finds her married with another man and having a family
MBALI is a song that portrays long distance relationships as the test of love, patience and loyalty
Song Produced By Lizer Classic
Wasafi Records
Video Directed By Director Kenny Under Zoom Production
Contact Zoom Production:
zoomproduction4@gmail.com
directorkenny1@gmail.com
+255718546547
#Wasafi #Mbali #Harmonize Видеоклипы
Kama una tazama huu wimbo mwaka huu 2024 like hapa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😢
from TikTok
😂
❤
😅
Wale watazamamj wa 2024 tujuane kwa likes jaman❤❤❤❤
Wangapi bado hii ngoma inakill 2024
Mwaka mpya 2024 ila Bado sichoki kuirudia rudia ❤like kumi wanao isikiliza bado
Hili dede hatari
Yaa ninyimbo Kali zana🎉
Kama unajua kuwa huu ni wimbo wa mwisho Kwa harmonize akiwa wcb NIPE LIKE.
dada tume ku miss sana kila mara narudia huuwimbo tujuane tulio rudia huu wimbo 2023😍😍😍
Ata 2024 niko nausikia
Niuskiza leo 😂😂
Huu wimbo ni mob sana nkumbuk nikuecheza mm na dada angu tukushinda na mavoko ake yalivyotutumbiza
Justi
Queen darling wapi wewe kweli,,,iwapo utaioma hii comment just like it I love you❤❤❤❤hii Ngoma napenda saana
Nani anaamini kipande cha queen darling mbosso ndo ameandika gonga like
🇰🇪 254 tushafika kwa fujo.angusheni like za konde boy X queen darlin.song iko juu kama bendera.
Wcb wako vizuri kwa %%%%100 km umeupenda wimbo huu dondosha like km 100 zinatosha
Ila Queen wa bongo flavor mbona umeacha mziki na sauti mungu alikupea. Darleen ❤
Duuuuh nami wangu yuko mbali jamani,good song gonga like km umeikubali ngoma.
Wale wapenzi wao walio mbali nao tujuane hapa.
Tunamc kuwa nao karbu Lakin ND hv majukum yanatubid
Shida mbaya inatutenganisha na wapenzi ama ndoa zetu sababu ya majukumu ya lazima
i like thz song
Acha tu mana nliacha mpenz wangu nkaenda saka pesa
Nitabidi ju majukumu tunapeda sana ila pesa lazima zituteganeshe ilamaboya takuasawa ishala
Wapi Wale vihelehele wa kutuandikia wimbo mzima Kama ilivyo ndivyo wenye hatuelewi tuisome😉😊
Kwanza ungefanya tambiko upige goti usali nirudi salama..... touching line...
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wapi team Kode gang
Nani bado anakumbali hii nyimbo gonga like hapa
Wanipendeza sana jamani sitachoka wala kuboeka kutizama huu wimbo nawapenda sana,, mnipe likes Kama kumi👌👌💞💜💚😄😄
😀
@@willdumebazily1410 naupenda sanaaaa
😂
@@ufanisuliotukuka5535sawa
@@willdumebazily1410 nnnnnnñnnn
Daaaah nyimbo inaaanza tamu kweliii mwishoni storia inakua ya huzuni pale harmo anaenda kumfata queen darleen nakukuta queen kashabebwa na mimba juu daaah inaumizaaa
Ilaaaaa kusema ukwel jimbo tamu queen humu kaimba ndo yule queen wa zamani harmo baba kama kawaidaaa yakoooo
Team WCB for LiFE chiiiiiiiiiiiio 🔥🔥🔥🔥🔥
Distance relationship is bad,wicked!
Dada yangu kipenz nasikiliza hii nyimbo kisha natokwa na machoz ya furaha kwa utunz wenu nzuri mlioruonyesha mashabiki safi sana teacher konde
nyimbo itaendelea kuishi miaka yote twende sawa2021
Oy tudo bem
Bora mumepunguzapo matusi ila jezi ya yanga ndo umefunga kichwa alfu wamekata rambo harmo umebeba 😂😂😂 Nice song
💪💪💪💪💪
Yeees...!! Darleen hapa umeimba haswaa na huyo Konde bhoy ni km nazi kwenye samak daadek hajuagi kuharibu ngoma qaali
#WasafiDarleenKondeBhoymbali
WCB twawatambua sana kwa kazi zuri sana💯💯💞🔥🔥 Hongera sana team star🌟. Wapi likes za Wakenya 🇰🇪🇰🇪
Nawapenda sana wcb tens sana
Tanzania tu juu sanaa
Hiyo hobebeo obee! Imechangia ngoma kua kali kinoma! Hongereni sana
Gonga like kwa queen darleen X harmonize..#mbali
Yukopowa'sanaa'kondee'mweziyoo'nakupigiyaa'likee'kilasiku'😘🤣🤣🤣😁
good music
@@poulsenmc4970 to mmmlaklpwwqpqm
Dada #darleneen #2024 toa nyimbo
Jamani nimejikuta narudia rudia kuzikiliza bila kucho like zenu jamni
Mi bado naskiza Matatizo Na ayola🎶🎶Na bado harmonize anaangusha vitu moto
Aisee nyimbo nzr
Queen darlen ndio nyimbo ya kwanza kuvaa kiheshima tunaoamin tugonge like
Amui
Tamui
young twite good !
Nikisikiliza nafsi inalizima
Xx umepotea wapi
Queen did it 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥♥️📌💥
Huu wimbo kila siku mpya...
Tuendelee kupambana wana ipo siku tutakaa kwa kutulia na familia zetu 😭
Iko pw sana yani wasafi mko vizuri sana yan Dah ongereni kwa ilo
team harmonize 👍
big up
ngonga like twende tukisonga
Heeee
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah hii myimbo nzuri haishi ladhaa kwa kweli❤❤❤❤
Nimeikubari kabla sijaisikiliza 🤝
Darling kazingua mwisho kashindwa vumilia na kibendi juu....ngoma kali nomaa hako kamovie nimekaelewa mwisho hapo
Queen darling rud kweny game❤
Cjawai kupata like jaman twende sawa
Hii wasafi nmeelewa. Sooo different from what you used to do
🤗🙅♂️🙌🙌🙌🙌
Bongee a ngomaa iii a
First viwer kwa leo
Kama unamkubali
Konde boy gonga like apaa
Frm tz
Kinder boy una tisha ski hizi uko moto moto
Walai hiyo viazi ni ya tz kabsaa,. Kama waipenda wacha likes
Nakumbalisana ngoma hiyi 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nimeshakuyirudikiya Mara tano
Queen Darleen ana sauti ya nguvu!
Simple Nigerian man, i see Harmonize I click!
❤❤❤Hii ngoma Ina ujumbe nzr cna
Naupenda huu wimbo hatari 🔥🔥🇹🇿🤣🤣🤣
Kama mm navoupenda
Utunzi wa mbosso khan kirungi 💯🔥🔥🔥🔥
HARMONIZE
kusema za ukweli huyu jamaa anatia jihad sana kwenye kazi zake nimeamua kumkubali kwa asilimia 💯 bila kushawishiwa na mtu zaidi ya yeye mwenyewe.. DIE HARD FAN OF HARMONIZE
dadju
Jamaa anajua
Team queen darleen..gonga like 🇰🇪 twakupenda sana
Merci Merci mia
@Comedy Pulse gani
Wasafi for life ..big up guys
Kazi nzuri darleen
Huy
Bado naupenda Sana kama na wew unaukubali like zangu please
Tuko pamoja sana unanifariji sana huu Wimbo mungu awaeke
Harmonize uko 🔥🔥🔥🔥... bila we huu mziki usingekuwa 🔥.
Lizer kila hit yumo daaaah, lizer Shikamoo
big Jizee f
huu mziki jmn naupendaaaa coz nammiss my baby boy jmn nakupendaa hata kama upo mbali
Nakukubali Sanaa mwamba ,nyimbo zako nyingi zinawakilisha Hali halisi ya maisha ya watu ,big up Sanaa
Queen Darleen upo vizuri sana
Always on spot hammo, if you agree gonga like.
Oliver Donald
Am from Kenya 🇰🇪, don't understand even a word but this song hits different, African cultural tune. Been on repeat since I bumped into it in ig.
Queen mtoto mzuri umetisha mwaaaaaa
😫😭 mapenzi yadhati yahitaji uvumilivu.. thanks so much Hermonize &. Queen darleen wimbo mzuri Sana🥰
Kwa mara ya kwanza namwona darling #1
Yakubali
Daa hii nyimbo huwa inanipa burudan ikiwa nimemuacha mbali nahc waliniimbia mim na mpenzi wang
nyimbo yenye mafunzo hua napenda san nyimbo kama izi😘😘😘.
Mamalao'z philemon. nice one
UB
Inaweza ikakutoa machoz
Naaaam wale ambao wapo mbali na wapenzi wao na wanauhakika IPO sku watarudi hebu gonga like
Nzuli Sana
👆👆👆
Nitarud
Good
Niatal hamonz
Mie so mshabiki wa wcb ila hapa wameniweza Jamani congratulations to you darling and konde boy
wewe kashapotea
g
Nice
Michael Lagwen mhm
Mashallah nani mwengine uliomshika kama Mimi hapa twende sawa best song ever 😍😍😌😌
Munakuja kali🎶🎶🎶,all the way from 254.
Kenyans where are you for the likes of wcb first lady
Thanks so much Konde Boy...wimbo uko juu tu sana..dedication to my wife back home in Kenya from U.S.A.
Moses I live in USA the state they call Utah this song is good you must sand to your wife
😘🇰🇪
Jamani si tutafutie kazi za kufagia huko 😭😭😭😭😭
Aisee harmonize anajua sana nimekilii uyu dogo hatar
Queen katika tasnia hii tangu aanze hii ndio nyimbo kaimba na kaitendea haakii 100%♥
Congrats Queen darling nilikuwa nakungojea saana +254🇰🇪
Ngoma imetulia asa pale alipoimba mmakonde😍😍😍
Rehema Selema
Safi kama kawaida kulle Congo 🇨🇩
Very good, ngoma kali ni kweli kabissa. Basead on reals facts. From Mozambique-Mueda🇲🇿🇲🇿✅. Konde-boy songa mbele.
[Harmonize verse]
Mmhhhh Mmmhhhhh..
kwanza ungefanya tambiko,
Upige goti usali nirudi salama aah..
Mmhhh...Pili safari sio kifo,
Ivo so usijari nitarudi mamaah...iiiiihi
Tena punguza kulalamika utanitiaga mikosi,
Mwenzako bado mambo hayajajipa ila tu kiume nafosi,
Kapuku nasaka nilete, (Aiyayayayaaah)
Nami siku nisimame kiwete, (Aiyayayayaah)
Sichoki naongeza juhudi, (..kutwa niko wima)
Vimejaa vya makusudi (..we niombee uzima)
[Chorus]
Hoohh!! bebe hoh! be, oh bebe,
(Kaza moyo nivumilie)
Hoohh!! bebe hoh! bee, oh! bebe,
(Yasemwayo usiyasikie)
Hoohh!! bebe hoh! be, oh bebe,
(Kaza moyo nivumilie)
Hoohh!! bebe hoh! bee, oh! bebe,
(Yasemwayoo...)
bdash brainer noumah sana
Umeuwaaaaa kijanaa
Allsports Asante sana
Hamjawahi tuangusha #WCBfamilly# love from Burundi🇧🇮
La burundaise
Kama mpaka Leo hii 2020 bado unaumis na kaamua kuuwangalia huku wimbo huu gonga like
Hatareee nakubali bro kond gang
Yani nauwangalia kila siku naivi nipo mbali na nyumbani
2021 Niko bado
2021 hapa
@@petermasuga7586 pp
TUJUANE TULIO MBALI NA WAPENZI WETU 🙌🙌
Ooh
Missing him😥
i miss him so much
Tupo hapa🙄🙄
😲😲😲😲😲
First from burundi naomba like zenu 🇧🇮
Kondeboy uko sawa
Xxx
X
Xx
Utazipata mzee
Bonge la ngoma queen umebadilika. Beat iko dope
Nitujifize
uko vizuri my dear qeen darlin
nilimjua huyu dada kupitia Ally Kiba...sisio ni taifa moja.......kila la heri kwako umeimprove kwa kiwango kikubwa sana...safi sana
Harmonize is always lit anaimba kuhusu real life we love you harmonize🇰🇪🇰🇪🇰🇪
me tu
Kama na ww umemuona harmonize akiwa na mfuko wa rambo gonga like hapa
Harmonize keep working hard,, 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Wale tuna watch huu wimbo tunasoma massage....goga like ukiedaga kuomoka
first from kenya😊nipeeni like😆🇰🇪🔥🔥
WCB4LIFE🔥🔥dope jaam
Uzikule amah
@@JACKJunnywell nikuuzie
@@silawsang2565 moto 😂😂😂
@@JACKJunnywell mnaniua wakenya walai😂😂😂
harmonize u kill me bro........ ulipo nipo salute kwako queen nikikua kidogo tu nakukatia wewe😚😆😆😆
duuu sana hapo nimefurahishwa na ushirikiano kumbe Wasafi ni zaidi ya familia moja
Huyu jamaa kazaliwa aimbe2🔥he was born to sing kondeeee🔥🔥
Banger from WCB wasafi, the house of talent in Tanzania, East and central Africa and even in Africa. Kawimbo kanahuzunisha sana, kananifanya naikumbuka mifuko ya Rambo...hahahah mwendo wa vikapu sokoni. Congole to you guys Queen x harmonize a.k.a kondeboy for giving us a lesson "Umbali sio kifo, issue hapa ni UVUMILIVU.
Number 1 Trending after 1 hr .... Konde boy on fireeeeee!!!!!🔥🔥🔥🔥
Yooh KENYANS 🇰🇪🇰🇪🇰🇪. Am marking register ,confirm your view apa 😍😍😍
Maisha ni safari ndefu kila mmoja Ana historia ngumu ya mwanzo wake, na akieleza utashindwa kujizuia kulia ila mapenzi wakati mwengine huwa dawa au ugonjwa wa roho anyway kitu sadakta darling & kondeboy
Daah! bomba sana hongera na poleni kwa kazi ngumu kama hii big up brow harmo nakukubali kama vyote then sister queen respect kwako.
Wimbo ni wa darleen kamshirikisha harmo ....
Congrsts to both of you
carol Praise hajashirikishwa uo wimbo ni wao wote
@@faithgideon7766 sawa faith thx
..nice tune.kenyan living in uk 🇬🇧 Cambridge.i dedicate this song to my lovely wife in 🇰🇪...big up darling n harmonise one love.
Natamani nimuoe mswahili mmoja. Nawapenda Sana kutoka Somalia 🇸🇴 🇸🇴 🇹🇿🇹🇿
@Swee charmy pesa yako kijanaaa! Kicha watamu sn,
Njoo nko apa kwa ajili yako
@@allahisone6386 si waswahili kama wasemao. Mtoto akizaliwa yuaja na sahani yake. I hope sijakosea
@@lavineayuma9414 hii Jina inakaa familier lol
Ascjaba
Here after 1.3 years after a breakup. Was a long distance relationship and we used to listen to this emotionally for years. Today am here, remembering the times shared as he announces his marriage ceremony soon...
Kali sanaa
Jamani Wale tupo mbali na wapenzi wetu...let's keep it....safe and real...Siku yaja tapatana na wapenzi wetu....wimbo nzuri jamani....👌👌
😂😂 tup apaa
😢😢😢