Subalheri Africa 🎉 2024...shida yangu tanesco,daima mwana chato tutakukumbuka. Haki ya nani pigo la kigaidi jembe tumebaki mayatima...dawa yao alikua magufuli,mama ametupa pendo letu kwa mabeberu INCHI unalia.
nakumbuka huu wimbo enzi hizo nimemtungia issa matona alifurahi sana na tena tunaingia kusikiliza hizi nyimbo kwa shiring 10 yaani raha sana bigup aslay
Très belle chanson, avec Aslay,nandy un zouke bien réussi, dans duos magnifique, très beau paysage, de la terre ferme, de Zanzibar, que du succès, bonne chance à vous deux.
Subalheri Africa 🎉 2024...shida yangu tanesco,daima mwana chato tutakukumbuka. Haki ya nani pigo la kigaidi jembe tumebaki mayatima...dawa yao alikua magufuli,mama ametupa pendo letu kwa mabeberu INCHI unalia.
anae sikiliza wimbo huu 2024 kama mm nan
Mimi spa🥰🥰🥰🥰
Tuko wengi
Mimi
Tupo wengi. Aslay all day
Me
Daaaah bonge moja ngoma kama umeikubalii ngonga like twende saw a
@aslay @Nandy mnakoelekeaa mtaoana maana sio kwa hisia hizo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Diamond the one
Diamond platinums the one
Amileena
Leo nimerudi kujikumbushia hii nyimbo tuliimba pamoja ila sasa hatupo pamoja 😢ila mapenzi nahisi kulia😂
😂😂😂
Nawakubali hawa watu...254
Weka like yako hapa💕💕💕💕🔥🔥🔥💑
Ilishi Ramzah
hatareeeee sanaaaa chezea mbal
Sanaaa tu....
Ilishi Ramzah h
Mziki upo +255 karibuni sana
2024 and am still stuck here😍
Here we are🎉❤
Me Too 😊
@@neshmwaura6461tumepishana masaa 😅😅 Tuu
🙌🏻
🙌🏻
Namkubali Aslay na Nandy from 254 big up guys. Kazi nzuri sana
aslay fundi wangu kama unamkubali gonga like tumsapport kijana wetu
Toba
6666666666666666666666666
Nadia from Kenya and Nandi from Tanzania who is the better
Ndiy kabx😅❤
Wabongo wanajua sana kuimba wimbo zao zinamafunzo nakubali ....
Hebu nitoe majonzi🤩🤩🤩,wapi likes za Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 2021 may Niko ndani
who"s feeling the Taarab vibe.
Me
Marioo
Me
Me
Me too!Then song is underated!
I love this song as part of African heritage ,it show how in Africa engagement between a boy and a girl.
pie mm ✌️
Tw2025😂😂😂mashallah ubaya ubwela❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Kweli hakuna mtu mwembamba wala mbaya
Daah huyo ndiyo Nandy 😊😊
Yaani Aslay jaman nionee huruma mwenzio sio kwa sauti hio Daaah!! Hongeri sanaaaa mmetisha jamani Nandy very good job
Wangapi tuko hapa kabla 1million views
The best song and the most underrated song in nandys list
Absolutely gutted that this song still doesn't have a million views. Huu wimbo ni mkubwa lakini uko underrated sana.
One of the best duets and one of the best vocals Nandy has recorded. Basically, duets are some of her best work. See, her and Jay Melody.
Mambo ni motoooo mambo ni mazito kweelkweli,. Ngoma imesimamia itaji la mashabiki wenu vilivyo!! Jaah bless
Who is still watching in 2021,penda hili bonge la ngoma...daima ntakupenda silitupi pendo lako. Nandy Aslay kudos!
Me ndoo wa mwisho kusikiliza huu wimbo mwaka huu 2024
Kwahiyo'?
2025
Kazi nzuri🔥🔥🔥+254 show love✅🙌💯
fatuma Ababy h
MashaAllah MashaAllah MashaAllah 😘😘😘hapo umenipata ahswaaa
2024 ❤️ viewers gonga 👍 like
I thought this song would have more views wtf??! It's an amazing piece of work
It has close to 10 million views on Aslay's Channel
Probably because the girl and the boy got in trouble for repeating someone else's song.
@@estherblack2770 the song belong to who
Kama kuko yule amejiita king alafu aslay ndo mungu wa Bongo flava 👑👑👑👑🇨🇩 drc twakupenda
2024 tujuane Kwa likes 100 tafadhar
Nandi alikuwa kadogoo apaa ❤️❤️❤️na song bado inawika
Upo vizuri Nandy Madela, Aslay nawe hukoseagi
Juma Suezi aslay Ww ni fundi
Asante Dada nandy
NIPO HAPA 2024 nimeikumbuka hii kazi
Wow wat a brilliant song jmn...mmegundua kipya ahn asee naqbal sanaaaa ahn
Gonga like kama tupo na ili goma 2024
Mtotoo uyo yupo sirious na ajira ake safiii sana@nandy & aslay...good job
Huyu jamaa fundi! Congratulations
#TeamAslay💪💪💪
Nime Toka tazama original yake then nime kuja hapa....Kazi nzuri Sana👍👍👍
It is the simplicity of the two for me. PERFECT
Dats my African princess❤ never disapoint,,love the voice of nandy
oyoooooooo, i was waiting for this hata kusikiliza bado, but i know the song is beautiful as you are
My most favourite from 255. Mad love for the African Princess
nandy sisi mashabiki wako mbona tukifanya cover za nyimbo zako tukiweka youtube zinafungiwa tatizo nn jaman is just kushow love tu na si vinginevyo..
nakumbuka huu wimbo enzi hizo nimemtungia issa matona alifurahi sana na tena tunaingia kusikiliza hizi nyimbo kwa shiring 10 yaani raha sana bigup aslay
Aslay huu wimbo uliweza bro hongera sana much ❤❤❤❤ 🇰🇪
Daaah...i love you ,i love u na sitaacha kukupenda aslay..
Kama Umeilewa Hii Combination Ya Aslay & Nandy Fanya KuLike Twende Sawa
Nandy everyday ana push hard ku-develop
Hahahahhaha jomon nyimbo tamu sana had nimesikia raha mashaallah hongeren sana Aslay na nandy
mmejua kutulia humuu nimeifurahiiia mno ngomaaaa 🔥🔥🔥🔥 hadi nataman kulia
I'm still loving this song in 2021 and I love these two more now
Kazi safi sana.. hii ngoma inahit mpaka leo💯
Aslay na Nandy nawakubali knomaaaa.... Heb nitoe majonz unijuze shda yako..... shda yang xjiwez nakupenda peke yako
nashangaa kwann hii hit song imeshindwa kufikisha 5m views jmn
daaah cjui ata nisemeje 😘😘😘 wimbo umekuna moyo wangu kinoma
Bonge ya Ngoma.......nawakubali sanaaa
Zanzibar asili yake huo mzigo ila mmetisha more 🔥 🔥
from Zimbabwe. I like very good this song. nandy & aslay music muzuri Sana.
uwiii aslay we ni shidaaa mbona unanikosha sanaaaaa
Très belle chanson, avec Aslay,nandy un zouke bien réussi, dans duos magnifique, très beau paysage, de la terre ferme, de Zanzibar, que du succès, bonne chance à vous deux.
Absolutely beautiful song. Greeting for Australia ❤
This was the best duo🥰
Still listening 2025🎉❤
mmetishaa.. nawapenda sana AFRICAN PRINCESS NA AFRICAN KID
Ajajajajajajaaaaaa 🔥🔥🔥❤️❤️❤️, Thanks for taking me back to those days, I dedicate this to myself
ooh aslay shida yangu sijiwez daawa yangu sura yako...... nakupnd nakupenda sana askay sijui kwann
aslay x nandy 2020 this jam is forever alive!!!! such music hits different kwanza if you know you have someone..
Une excellente chanson qui continue à traverser toutes les Époques et tous les Continents🙏👍💕💕
My favourite song of all time 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Upto now
In my next life please I need aslay and Nandy singing this song in my wedding 🎉❤
Ngoma Kali...big up Asley & Nandy....kwanza hyo part ya "usini ache baby "
jamani aslay mumuache tu sio kwa kujua hukuuuu baba respectt
Kwani aslay ameenda wapi ??❤
Nandy African queen with an angelic voice indeed
Nice song I like it
Noma sana keep it up guys 💜💜
Daaahh!!! Nandy ulikua mdogo saana
Princess nandy aslay akuoe uwe shemej tuuuh 🔥 🔥 gomaaaa
Nawakubali bonge moja a mishup ii mmeisha uu sanaaa #TheAfricanPricess hatareeee
Hii nyimbo ni daima na daima nzuri haizeeki 🔥❤️
More like Therapy Swahili X Tarrab.. This is Timeless music
Mnyonge mnyongeni akiyeni mpeni ajmn wnweza xn aslay utapata akiyakotuu kaka angu
What a sweet song Mashallah with Romantic words 👌❤❤🔥🔥🔥
amakweli mnavipaji watoto mlibalikiwa
Wangapi wataisikiza 2025☝️🥰
am still loving this in 2023
inabidi team wasafi na team kiba wahamiye kwako team slay big up sana unaweza .
Daaah aslay anaimba km vile Mzee yusufu Daaah ngoma Kali hiii
Nice combo❤,,this video deserves a million and more views
Nandy dada angu unajua mpaka unaboaaaa😘😘😘😘
Aslay umembaka Nandy Golden voices.... jiwe na January ....❤️❤️
Aww ngoma Kali sana 😘😍😍
nice nawapenda sanaaaa
Kama unamkubali aslay gonga like twende one million
Masha Allah 🙌🙌🙌🙌imwezaaa ✔️✔️✔️✔️
Kaz nzur sana Nandy na Aslay, appreciate😘😘😘
Hiyo wimbo inanikumbusha mbali sanaah
oooooo niceeeeeee nimeipenda kila mudaa nasikiliza
Namsikia Mfalme Mzee Yusuf kwa mbali ndani ya Aslay.
Nzur
Bonge la beat,,,,Inatafuta views milioni Nane hii
2022 still song ni 🔥🔥🔥, nikisikiza hii song natamani kupenda tna baada ya kuvunjwa moyo.
Jamn pole
Chunga usivunjwe mguu 😂😂😂😂
Mpo kikazi zaidi nandy x aslay kazi zuri sana
Big up kwa wote kazi nzuri na inavutia
Wooh! Wooh! Wooh!! Nimewakubali sana, so nice
Nandy ft aslay hamkoseagi duuu mmenishinda tabia ngoma tamu iyooo ni moto