Marioo - Raha ( Official Music Video )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Music Video by Marioo performing RAHA (Official Release) ©2019 Bad Nation,The Music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Hanscana.
    Stream/Download:linktr.ee/mari...
    Listen to Marioo on Digital Streaming:
    Audiomack:audiomack.com/...
    Apple Music: / marioo
    Boomplay:www.boomplay.c...
    Spotify:open.spotify.c...
    Follow Marioo on Social Media:
    Instagram: / marioo_tz
    Facebook: / thisismarioo
    Twitter: / kingbad_
    ​The Official RUclips Channel Of Marioo.Subscribe for the Latest Music Videos, Performances, and More. / mariooofficialmusic
    +For More Information Booking Marioo:
    Contact:emailmariootz@gmail.com
    ©2021 Bad Nation.All rights reserved.
    #Marioo #Raha #KingBad

Комментарии • 3,1 тыс.

  • @ninabizimana6869
    @ninabizimana6869 Год назад +274

    Nani ungine bado Ana sikiliza iyinyimbo 2023 anipe like

  • @MalasiHonorina
    @MalasiHonorina 7 месяцев назад +44

    Nani ambaye ana skia huu wimbo 2024 anipe like apa❤😂

  • @petermatoke8293
    @petermatoke8293 Месяц назад +12

    Mtu yeyote anayesikiliza hii nyimbo 2024

  • @PauloTomasCapesseCapesse-pd1jk
    @PauloTomasCapesseCapesse-pd1jk Месяц назад +12

    Nani ungine Ana sikiliza iynyimbo 2024 anipe lake 100

  • @flugensitairo445
    @flugensitairo445 5 лет назад +19

    *marioooo* much respect kwako
    Kama unamkubali mwamba huyu gonga like hapa

  • @ColynxPancracy-eo2me
    @ColynxPancracy-eo2me 9 месяцев назад +21

    Tujuane tulotendwa mwaka 2024 tukaja kusikilizaa hii ...😢

  • @marikopafredi
    @marikopafredi 5 лет назад +66

    *Kama una mkubali Mario ℅100 gonga like twende sawaa wazee wa makanyesha*

    • @TebelaTv
      @TebelaTv 5 лет назад

      Movie clip are coming soon plz subscribe my account and subscribe

    • @stevmandele1415
      @stevmandele1415 3 года назад

      Hata sitaki

    • @gabrielobote8145
      @gabrielobote8145 3 года назад

      Iz it original zuchu ? Hata pia wewe ni🔥🔥🔥🔥

  • @fukijunior1747
    @fukijunior1747 5 лет назад +34

    Napenda akinipa migandishooo 👏👏👏👏👏 marioo una hatariiiii saaana kama unapenda marioo like twende Sawa

  • @azzaabdallah1875
    @azzaabdallah1875 5 лет назад +22

    Siichoki hii Nyimbo naweza isikiliza hata zaidi ya mara 3...❤❤❤

  • @duniayakijani7868
    @duniayakijani7868 5 лет назад +16

    Hi song nimeirudia mpaka tigo wamenitumia sms nimebaki na mb 50..... 😍😎 Much respect marioo.....

  • @innovator3659
    @innovator3659 5 лет назад +60

    wale tunao mkubali marioo tugonge likes hapa maana ni #RAHA🙌💧

  • @bryfranck676
    @bryfranck676 Месяц назад +8

    sie tuko 2024 tap in🔥🔥

  • @chelseaamanda9099
    @chelseaamanda9099 5 лет назад +14

    Nyimbo safi sanaaaa..imesafishwa ikasafishika....nipe like kama unaikubali

  • @janabtv3664
    @janabtv3664 5 лет назад +7

    Kama unaikibali hii ngoma na unamkubali marioo like tujuane

  • @Nditos
    @Nditos 3 года назад +26

    Nakuombea sana ubarikiwe ndugu Marioo. Nyimbo hizi unachomoa na inaburudisha sana jinsi inanifanya najihisi kama kwamba nahusika nayo kabisa. Najielezea bila hata kujua kama nishawahi pitia haya yote. Muumba akuongeze hekima na vyote utakavyo na upendeke ulimwenguni kote! One love from Kenya...

  • @mwajumakitulozulu1582
    @mwajumakitulozulu1582 5 лет назад +24

    Waliotendwa wote ila kwa sasa wanaenjoy like hapa tafadhali.Hongera Mario nyimbo tamu👏👏

    • @easyk9433
      @easyk9433 5 лет назад +1

      Can you explain to me this son please

    • @TebelaTv
      @TebelaTv 5 лет назад +1

      Welcome to my account and subscribe my account and subscribe

  • @naysamnguruta5593
    @naysamnguruta5593 5 лет назад +11

    Daaa sichuki kuaangalia jaman....like hapa kama kuna mtu anaiangalia hii video kama mm

  • @BekaMvumoi
    @BekaMvumoi 6 месяцев назад +5

    2024 na bad inafuka 2

  • @taanimedia6489
    @taanimedia6489 5 лет назад +19

    ebu kawaaandikie na wale wanaojiita wasafi mana nyimbo zako mdogo wangu naskiliza mpaka raha .... yaani inatosha!!! wewe ni mnyamaaa kwa huu mziki

  • @asmahomary7833
    @asmahomary7833 5 лет назад +8

    Marioo daaah unanikosha na nyimbo zako 😍😍Asante sana ngoma kari balaaaahhhh
    KAMA UNAMKUBALI MARIOO NA NGOMA ZAKE #INATOSHA#RAHA. Gonga like yako apa ❤❤

  • @GyslaineAkimana
    @GyslaineAkimana Год назад +10

    Marioo nyimbo yake yamilele kwngu nayipenda zaidi😘mwenye akingali anaisikiliza kama mimi like👍

  • @Komashiomedia
    @Komashiomedia 5 лет назад +70

    Weuwee... First Kenyan viewer likes za Marioo hapa ❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪

    • @asheyathuman6228
      @asheyathuman6228 5 лет назад +1

      nimeipenda

    • @Chefflake
      @Chefflake 5 лет назад

      I'm also Kenyan, n I did comment before

    • @TebelaTv
      @TebelaTv 5 лет назад

      Welcome to my account and subscribe

  • @novatusbwakea1704
    @novatusbwakea1704 5 лет назад +9

    Nlijua tu itaingia kumi Bora trending.....saizi inatafuta tatu

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 6 месяцев назад +8

    Omary fundi makenika mimi ni shabiki yako dam u damu mwanangu❤

  • @rahimmalik2341
    @rahimmalik2341 5 лет назад +14

    Broo pambana,nyimbo zako zina ujumbe mzuri sana,usibwete pambana usikubali makundi kwenye kazi zako

  • @trumponlinetv6216
    @trumponlinetv6216 5 лет назад +18

    kama naww unamkubali marioo jeshi la mtu mmoja gonga like hapa twende sawa❤

  • @lutenlafam
    @lutenlafam Год назад +7

    2023 bado unawakandamiza sana hao wasanii wa kubana pua,nakubali bro big up

  • @mathayomarwa9077
    @mathayomarwa9077 5 лет назад +28

    Nmeumizwa ila naposkiliza huu wimbo nafarijika like hapa kama unamwelewa fundi

  • @arafahabibu6107
    @arafahabibu6107 5 лет назад +15

    Nimerudia mara saba...jamna unajua mariooo

  • @AminaAhmad-m8t
    @AminaAhmad-m8t 4 месяца назад +10

    Nani yupo 2024 naombeni like waoendwa unaringa umepima

  • @ruqaiyaommy4598
    @ruqaiyaommy4598 5 лет назад +15

    Yan hii ngoma unaweza kulia ugal mbele ya X wako wallah

  • @bobjimmy93
    @bobjimmy93 5 лет назад +24

    Bass uwii....linajaa kwa speaker kwa gari ni 🔥🔥🔥🔥wangap bado tunaangalia september hii....dondosha likes

  • @EdwinAdAstra
    @EdwinAdAstra 9 месяцев назад +7

    2024 tuko pale. Hili pini ni timeless classic

  • @mwanatalenttv
    @mwanatalenttv 5 лет назад +29

    FUNDIIII 💪💪
    #MARIO RAHA
    NGOMA YA MOTO SANA
    LIKE KAMA unakubaliana nami
    🔥🔥🔥🔥😂😂

    • @selemandaud28
      @selemandaud28 5 лет назад

      Hii ngoma kali aseee, , Mwana unapatkan wp ?

  • @sylvesterotiato792
    @sylvesterotiato792 4 года назад +16

    Tamu sana.
    Jan 2020
    Nani Yu nami?

  • @twahaomari2387
    @twahaomari2387 5 лет назад +17

    Sijui kwanini nairudia rudia hii nyimbo, iko really sana

  • @noahdaud8400
    @noahdaud8400 5 лет назад +7

    Noma sana big up like kama zote kwa marioo

  • @allenmarco9320
    @allenmarco9320 9 месяцев назад +6

    Dah hili dude ntawasimulia wajukuu zangu 1day

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 5 лет назад +97

    Aliyesikiliza huu wimbo zaidi ya Mara moja tujuane bana 🔥🔥🔥

  • @teklaellias4052
    @teklaellias4052 5 лет назад +14

    Kama umesikiliza wimbo zaid ya Mara4. Tujuane

    • @TebelaTv
      @TebelaTv 5 лет назад

      Welcome to my account and subscribe my account

  • @erickadolph8974
    @erickadolph8974 4 месяца назад +7

    Nani mwingine anasikiliz hii song 2024 ❤

  • @careenchazy9471
    @careenchazy9471 5 лет назад +7

    mambo ni 🔥🔥🔥 vibe kama lote wanao mkubali marioo kidole juu☝️☝️☝️

  • @danielurassa2762
    @danielurassa2762 5 лет назад +29

    Kw wale wa Kenya,Tanzania,Congo,Uganda,Burundi wenzangu tujuane hpo down kwa kulike plZ

  • @JacklineCharls
    @JacklineCharls 6 месяцев назад +6

    Ndo namba moja tz kwa sasa

  • @goodluckmalila2117
    @goodluckmalila2117 5 лет назад +10

    Mzee marioo hii ngoma ulitulia kaka mm sio shabiki wa bongo flavour ila hiingoma imenikosha tena imenikosha kunako.......message tosha kabisa kwako ukiona chafu wenzako wanaona safi

  • @allanlistoni3046
    @allanlistoni3046 5 лет назад +8

    Marioooooooooooooooooooooooooooooooooo likes zake hapa naombeni

  • @laj1699
    @laj1699 2 месяца назад +5

    Gonga like kama 2024 bado unapata ladha iko palepale kama vile unausikia leo🔥💯

  • @chrissjr4086
    @chrissjr4086 5 лет назад +10

    Umeuaaaaa saaaan Marioo
    Piga kaziiii saaaan

    • @directordvon2420
      @directordvon2420 5 лет назад

      @Salutwa tv ruclips.net/video/6dszee0bL_o/видео.html

  • @AgnethaKapinga
    @AgnethaKapinga 10 месяцев назад +6

    Jaman hii nyimbo hainishagi hamu jaman nilitendwa lakin saizi raha nainjoi

  • @elishamwabalogile8775
    @elishamwabalogile8775 5 лет назад +11

    Marioo unawatu sahihi wanaokuzunguka keep shine boy ur the baddest man on ur way

  • @brownmpemba8460
    @brownmpemba8460 5 лет назад +25

    dah nimerudia kuangalia hii ngoma Mara 10 cjui kuna wenzangu

  • @RehemaSalim-d3g
    @RehemaSalim-d3g 8 месяцев назад +5

    2024 Bado naskila huu wimbo.a sei noma sana.napend San hu wimbo❤❤❤❤

  • @chrissymetics5132
    @chrissymetics5132 5 лет назад +8

    Toka DAR KUGUMU nipo napambambana na mambo YALE ya MANYAKUNYAKU ila toka nimekutana na IFUNANYA nikamwimbia INATOSHA sahizi naenjoy kwa RAHA hujawahi tuangusha mashabiki MAY THE GOOD WORK,,,,,BY THE PEOPLE🙌🙌🙌🙌

  • @gideonmshana5822
    @gideonmshana5822 5 лет назад +8

    Good song, nakushauri, umtafute chistrian Bela Na ally Kiba, mfanye kolabo, litakuwa poa Sana

  • @namudeasembo5436
    @namudeasembo5436 5 месяцев назад +14

    Who is here in 2024

  • @mafoleb.8562
    @mafoleb.8562 5 лет назад +10

    Nyota inawaka mdogo Wangu

  • @ar-shadihashimu6729
    @ar-shadihashimu6729 5 лет назад +9

    Jamani hyu jmaa fund achen kulinga maan hamjapima wengi,,,nipeni like zangu

  • @davidkauki9797
    @davidkauki9797 3 года назад +17

    Kamabado unaikubalii hii ngoma weka like yako👉2021 is fireee

  • @pendonanyaro4018
    @pendonanyaro4018 5 лет назад +14

    Kama unamkubali marioo gonga like twende sawa

  • @mwamvuamwamvua4690
    @mwamvuamwamvua4690 5 лет назад +11

    nakupenda marioo mungu akusimamie ufike mbli zaidi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @anethpatrick7511
    @anethpatrick7511 Год назад +7

    Alie muona Femi wa jua kal ❤❤❤

  • @oscarjoseph9744
    @oscarjoseph9744 5 лет назад +12

    Huyo alie kutengenezea biti mwambie aagize pespsi balidiii nakuja nilipe

  • @harlemheat1747
    @harlemheat1747 5 лет назад +9

    Ameweza mbaya uyu kijana... Kenya we love your music.... kam ufanye collabo na #khaligraph #Jones bana

  • @calisteladislaus8319
    @calisteladislaus8319 3 месяца назад +8

    2024 nani yupo bado

  • @official-meshack6604
    @official-meshack6604 5 лет назад +16

    Wangapi tupo hapa kusherehekea 1m views

  • @pstarhreal2767
    @pstarhreal2767 5 лет назад +8

    Huyu kama diamond bana,,,,,,wapi lyks za 254

  • @babaqaira9080
    @babaqaira9080 Год назад +5

    Hii nyimbo huwa naisikiliza kila leo salute 🫡 sana @marioo

  • @ashachecheo9619
    @ashachecheo9619 5 лет назад +9

    Hilo beat nilimaliza likianza tu nikapiga like Hapo juu😘😍

  • @givasmwananzumi5941
    @givasmwananzumi5941 5 лет назад +9

    kazi nzur ila kaza nitafurah sana ukija kuwa kama mzeee was kanyaga;

  • @SophiaAlly-e4m
    @SophiaAlly-e4m 7 месяцев назад +5

    Jaman hii nyimbo inanikumbusha mbali xana jaman kipindi sina hata mtoto

  • @silverd8444
    @silverd8444 5 лет назад +7

    Hii nyimbo inafaa uiskize wakati uko mlevi... wallai inafraisha roho sana...a

    • @lucybaya3183
      @lucybaya3183 5 лет назад

      Inaliza sana kama kulitendwa nilazima utalia

  • @tusamwangasa3156
    @tusamwangasa3156 5 лет назад +7

    Tulio ludia Mara kwa mara ngoma hii tujuane apa🙋🙋

  • @sophiaally4377
    @sophiaally4377 5 лет назад +12

    Walio dislike hii nyimbo ndo walewale wa kama daladala za kariakoo (inatokainatoka),I love this song I must say (imenigusa ) its like medicine lazima kila Siku nisikilize ,today nimekuja kuilike tu. #marioo from now am your fun of cause nilikuwa ila sasa nimezama

  • @josephjames2489
    @josephjames2489 5 лет назад +10

    ngoma kali sana ila nani kamuelewa video queen wa humu twende sawa..,

  • @saidiomariy4108
    @saidiomariy4108 5 лет назад +10

    Ukitaka kujuwa hii nyimbo nibalaa uwe unachanja gomba unaweza ukapaa

  • @mageseleman3488
    @mageseleman3488 9 месяцев назад +3

    Mimi bado nasikiliza 2024

  • @mbosothankyouilikeyoursong9850
    @mbosothankyouilikeyoursong9850 5 лет назад +8

    Mwimbo mzuriii unatiua huzunii kwa wana umee wa na chitiiii mapenzi ndiyo kitu muhimu pesa nivia kupitaaaaaa sauti nzuriiii brooooooo😘😘😘😘

  • @brianmwakio1977
    @brianmwakio1977 5 лет назад +7

    Imeweza

  • @tasokwamichael2433
    @tasokwamichael2433 4 года назад +9

    siwezi kuanguka nimepata pakuegemea
    Mpaka raha 😘😘🚘

  • @khadijangao6990
    @khadijangao6990 5 лет назад +13

    Kwataharifa yako siwezi kuanguka mnk nishapata pa kiegemea kuja sasa wanangu tu coment yani raha😘😘😚😘

  • @jemimaneyo2900
    @jemimaneyo2900 5 лет назад +8

    Ujawai niboa mungu azidi kukupigania bro

  • @OriginalUncleLes
    @OriginalUncleLes 4 года назад +110

    I swear, this is one of the hottest dopest songs ever in the whole world!!!! Absolutely fantastic arrangement.

  • @marjana1126
    @marjana1126 5 лет назад +8

    Yaani hainitoshi kilasiku naiangalia😘😘❤️💥💥

  • @Monalisa_gio
    @Monalisa_gio 5 лет назад +9

    Huku raha tu🥰😍 wanikosha jamani

  • @_queening
    @_queening Месяц назад +3

    2024 marioo❤❤🎉

  • @rashidmakandi
    @rashidmakandi 5 лет назад +13

    Huu wimbo unaeza acha ex ajinyonge dadeki....got talent boy

  • @kalunginajib1707
    @kalunginajib1707 5 лет назад +11

    Wow tunawapenda Sana much luv from Uganda

  • @khadijangao6990
    @khadijangao6990 5 лет назад +16

    Ma ex jitayarisheni na huu wimbo mtakoma km una ex hoeeh jamani marioo utawaliza watu yaani maex coment bc wenzangu😘😘😚

  • @goodluckmalila2117
    @goodluckmalila2117 5 лет назад +8

    i wonder kwann iko no7 trending ilibidi iwe namba 1

  • @islamicteachings2365
    @islamicteachings2365 4 года назад +11

    100 time nikiona hii nyimbo wakenya tunampenda Marioo sana

  • @aishasuvi9210
    @aishasuvi9210 5 лет назад +8

    Mario ameweza wale wakuchepuka!!
    #umeringa umepimaa??)
    nani an support...
    wale wanojua mapenzi na kujua uchungu wakupenda n kutendwa!!

  • @jacklineevarest5145
    @jacklineevarest5145 5 лет назад +7

    Upo vizur kaka na vyombo vilivyopigwa n hatar 😘

  • @yahyajuma7137
    @yahyajuma7137 8 месяцев назад +5

    kwenye maisha usikate tamaa mariioo huyu nawasasa tofat bigup marioo

  • @princekassim4089
    @princekassim4089 5 лет назад +10

    (2019)
    #Inatosha Ndio ngoma Kali
    Kwa Muda wote
    #Raha Ndio ngoma Pendwa
    #Gonga like

  • @joycelekuton2381
    @joycelekuton2381 5 лет назад +9

    Nipeani likes tooo much love from +44

  • @uwezo86
    @uwezo86 4 года назад +100

    Man, for those who understand music will appreciate the bass guitar 🎸

  • @charitymnyazi5401
    @charitymnyazi5401 5 лет назад +8

    Totobad mwenyewe...mistari ya hii nyimbo imetulia.....Kama umeona kuwa amemshinda otile achia like

  • @deogratiuswillson2563
    @deogratiuswillson2563 5 лет назад +11

    Marioo unasauti nzuri kaza buti utamshinda hata diamond I love

  • @samuelibky8989
    @samuelibky8989 4 года назад +24

    Hafu nyimbo nzuri Kama hizi azipati comment kabisa.

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 5 лет назад +17

    huyu jamaa anataka nimsahau diamond 😂😂

    • @ashurawanikoxhaaamarioo5776
      @ashurawanikoxhaaamarioo5776 5 лет назад

      wanikoxha marioo

    • @fatmarashim6353
      @fatmarashim6353 5 лет назад

      Hahaha

    • @harmonizetz6595
      @harmonizetz6595 5 лет назад

      Unasema lava lava au simba uyu najuwa kua music nauweza lakini awezi kushindana simba uyu niwakushindana mbosso , aslay ,alikiba lava lava , kayumba , beka fleveur , ommy dimpoze lakini # Diamond platnumz na harmonize , Vanessa mdee , nandy, rayvanny Nima international