Marioo - Raha ( Official Music Video )
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Music Video by Marioo performing RAHA (Official Release) ©2019 Bad Nation,The Music Video was shot in Dar es Salaam, Directed by Hanscana.
Stream/Download:linktr.ee/mari...
Listen to Marioo on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/...
Apple Music: / marioo
Boomplay:www.boomplay.c...
Spotify:open.spotify.c...
Follow Marioo on Social Media:
Instagram: / marioo_tz
Facebook: / thisismarioo
Twitter: / kingbad_
The Official RUclips Channel Of Marioo.Subscribe for the Latest Music Videos, Performances, and More. / mariooofficialmusic
+For More Information Booking Marioo:
Contact:emailmariootz@gmail.com
©2021 Bad Nation.All rights reserved.
#Marioo #Raha #KingBad
Nani ungine bado Ana sikiliza iyinyimbo 2023 anipe like
🎉🎉🎉
Mimi hapa😂😂
Nikose vipi jameni.Naipenda sana
Am here ❤❤
Tupo wengi😂
Nani ambaye ana skia huu wimbo 2024 anipe like apa❤😂
Nipo hapa ❤🎉🎉🎉🎉😅😅😅
Mtu yeyote anayesikiliza hii nyimbo 2024
Nani ungine Ana sikiliza iynyimbo 2024 anipe lake 100
*marioooo* much respect kwako
Kama unamkubali mwamba huyu gonga like hapa
Tujuane tulotendwa mwaka 2024 tukaja kusikilizaa hii ...😢
Inauma aseee
😂😂😂😂😂😂😂😂😂wooooiiiiii hamjui kitu inaitwa pombe
Daah
*Kama una mkubali Mario ℅100 gonga like twende sawaa wazee wa makanyesha*
Movie clip are coming soon plz subscribe my account and subscribe
Hata sitaki
Iz it original zuchu ? Hata pia wewe ni🔥🔥🔥🔥
Napenda akinipa migandishooo 👏👏👏👏👏 marioo una hatariiiii saaana kama unapenda marioo like twende Sawa
Poa sana
POA xanaaa
Siichoki hii Nyimbo naweza isikiliza hata zaidi ya mara 3...❤❤❤
Hi song nimeirudia mpaka tigo wamenitumia sms nimebaki na mb 50..... 😍😎 Much respect marioo.....
wale tunao mkubali marioo tugonge likes hapa maana ni #RAHA🙌💧
Namkubar
sie tuko 2024 tap in🔥🔥
Nyimbo safi sanaaaa..imesafishwa ikasafishika....nipe like kama unaikubali
Kama unaikibali hii ngoma na unamkubali marioo like tujuane
Nakuombea sana ubarikiwe ndugu Marioo. Nyimbo hizi unachomoa na inaburudisha sana jinsi inanifanya najihisi kama kwamba nahusika nayo kabisa. Najielezea bila hata kujua kama nishawahi pitia haya yote. Muumba akuongeze hekima na vyote utakavyo na upendeke ulimwenguni kote! One love from Kenya...
Waliotendwa wote ila kwa sasa wanaenjoy like hapa tafadhali.Hongera Mario nyimbo tamu👏👏
Can you explain to me this son please
Welcome to my account and subscribe my account and subscribe
Daaa sichuki kuaangalia jaman....like hapa kama kuna mtu anaiangalia hii video kama mm
2024 na bad inafuka 2
ebu kawaaandikie na wale wanaojiita wasafi mana nyimbo zako mdogo wangu naskiliza mpaka raha .... yaani inatosha!!! wewe ni mnyamaaa kwa huu mziki
Marioo daaah unanikosha na nyimbo zako 😍😍Asante sana ngoma kari balaaaahhhh
KAMA UNAMKUBALI MARIOO NA NGOMA ZAKE #INATOSHA#RAHA. Gonga like yako apa ❤❤
Marioo nyimbo yake yamilele kwngu nayipenda zaidi😘mwenye akingali anaisikiliza kama mimi like👍
Weuwee... First Kenyan viewer likes za Marioo hapa ❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪
nimeipenda
I'm also Kenyan, n I did comment before
Welcome to my account and subscribe
Nlijua tu itaingia kumi Bora trending.....saizi inatafuta tatu
Omary fundi makenika mimi ni shabiki yako dam u damu mwanangu❤
Broo pambana,nyimbo zako zina ujumbe mzuri sana,usibwete pambana usikubali makundi kwenye kazi zako
kama naww unamkubali marioo jeshi la mtu mmoja gonga like hapa twende sawa❤
sawa mtu wangu
2023 bado unawakandamiza sana hao wasanii wa kubana pua,nakubali bro big up
Nmeumizwa ila naposkiliza huu wimbo nafarijika like hapa kama unamwelewa fundi
Sanaaaaaa
Nimerudia mara saba...jamna unajua mariooo
Nani yupo 2024 naombeni like waoendwa unaringa umepima
Yan hii ngoma unaweza kulia ugal mbele ya X wako wallah
Bass uwii....linajaa kwa speaker kwa gari ni 🔥🔥🔥🔥wangap bado tunaangalia september hii....dondosha likes
marioo aingie WCB 4 life
2024 tuko pale. Hili pini ni timeless classic
FUNDIIII 💪💪
#MARIO RAHA
NGOMA YA MOTO SANA
LIKE KAMA unakubaliana nami
🔥🔥🔥🔥😂😂
Hii ngoma kali aseee, , Mwana unapatkan wp ?
Tamu sana.
Jan 2020
Nani Yu nami?
Sijui kwanini nairudia rudia hii nyimbo, iko really sana
Noma sana big up like kama zote kwa marioo
Dah hili dude ntawasimulia wajukuu zangu 1day
Aliyesikiliza huu wimbo zaidi ya Mara moja tujuane bana 🔥🔥🔥
Shakila Masoud 🙌🙌
Shakila Masoud naikubal sanA i nyimbo
@@jochonia3058 Yani Ni rumba na ujumbe wa nguvu
Shakila Masoud mm
@@paulinathomas8112 hataree 😂
Kama umesikiliza wimbo zaid ya Mara4. Tujuane
Welcome to my account and subscribe my account
Nani mwingine anasikiliz hii song 2024 ❤
mambo ni 🔥🔥🔥 vibe kama lote wanao mkubali marioo kidole juu☝️☝️☝️
Kw wale wa Kenya,Tanzania,Congo,Uganda,Burundi wenzangu tujuane hpo down kwa kulike plZ
Ndo namba moja tz kwa sasa
Mzee marioo hii ngoma ulitulia kaka mm sio shabiki wa bongo flavour ila hiingoma imenikosha tena imenikosha kunako.......message tosha kabisa kwako ukiona chafu wenzako wanaona safi
Marioooooooooooooooooooooooooooooooooo likes zake hapa naombeni
Gonga like kama 2024 bado unapata ladha iko palepale kama vile unausikia leo🔥💯
Umeuaaaaa saaaan Marioo
Piga kaziiii saaaan
@Salutwa tv ruclips.net/video/6dszee0bL_o/видео.html
Jaman hii nyimbo hainishagi hamu jaman nilitendwa lakin saizi raha nainjoi
Marioo unawatu sahihi wanaokuzunguka keep shine boy ur the baddest man on ur way
dah nimerudia kuangalia hii ngoma Mara 10 cjui kuna wenzangu
Mi naipenda sana
Mesalim Muna iko poa
2024 Bado naskila huu wimbo.a sei noma sana.napend San hu wimbo❤❤❤❤
Toka DAR KUGUMU nipo napambambana na mambo YALE ya MANYAKUNYAKU ila toka nimekutana na IFUNANYA nikamwimbia INATOSHA sahizi naenjoy kwa RAHA hujawahi tuangusha mashabiki MAY THE GOOD WORK,,,,,BY THE PEOPLE🙌🙌🙌🙌
jamaaaa nyoko anajua mpaka rah
Umetisha
Umetisha
Good song, nakushauri, umtafute chistrian Bela Na ally Kiba, mfanye kolabo, litakuwa poa Sana
Who is here in 2024
Nyota inawaka mdogo Wangu
Jamani hyu jmaa fund achen kulinga maan hamjapima wengi,,,nipeni like zangu
Kamabado unaikubalii hii ngoma weka like yako👉2021 is fireee
Kama unamkubali marioo gonga like twende sawa
nakupenda marioo mungu akusimamie ufike mbli zaidi🙏🙏🙏🙏🙏
Alie muona Femi wa jua kal ❤❤❤
Huyo alie kutengenezea biti mwambie aagize pespsi balidiii nakuja nilipe
Ameweza mbaya uyu kijana... Kenya we love your music.... kam ufanye collabo na #khaligraph #Jones bana
2024 nani yupo bado
Wangapi tupo hapa kusherehekea 1m views
Huyu kama diamond bana,,,,,,wapi lyks za 254
Hii nyimbo huwa naisikiliza kila leo salute 🫡 sana @marioo
tuko pamoja
Hilo beat nilimaliza likianza tu nikapiga like Hapo juu😘😍
saana
kazi nzur ila kaza nitafurah sana ukija kuwa kama mzeee was kanyaga;
Jaman hii nyimbo inanikumbusha mbali xana jaman kipindi sina hata mtoto
Hii nyimbo inafaa uiskize wakati uko mlevi... wallai inafraisha roho sana...a
Inaliza sana kama kulitendwa nilazima utalia
Tulio ludia Mara kwa mara ngoma hii tujuane apa🙋🙋
Walio dislike hii nyimbo ndo walewale wa kama daladala za kariakoo (inatokainatoka),I love this song I must say (imenigusa ) its like medicine lazima kila Siku nisikilize ,today nimekuja kuilike tu. #marioo from now am your fun of cause nilikuwa ila sasa nimezama
ngoma kali sana ila nani kamuelewa video queen wa humu twende sawa..,
Ukitaka kujuwa hii nyimbo nibalaa uwe unachanja gomba unaweza ukapaa
Mimi bado nasikiliza 2024
Mwimbo mzuriii unatiua huzunii kwa wana umee wa na chitiiii mapenzi ndiyo kitu muhimu pesa nivia kupitaaaaaa sauti nzuriiii brooooooo😘😘😘😘
Imeweza
siwezi kuanguka nimepata pakuegemea
Mpaka raha 😘😘🚘
Kwataharifa yako siwezi kuanguka mnk nishapata pa kiegemea kuja sasa wanangu tu coment yani raha😘😘😚😘
Ujawai niboa mungu azidi kukupigania bro
I swear, this is one of the hottest dopest songs ever in the whole world!!!! Absolutely fantastic arrangement.
Arrangement is so on point
Thanks
I told my son the same thing today. The music arrangement is the work of a genius
Truly
I agree
Yaani hainitoshi kilasiku naiangalia😘😘❤️💥💥
Huku raha tu🥰😍 wanikosha jamani
2024 marioo❤❤🎉
Huu wimbo unaeza acha ex ajinyonge dadeki....got talent boy
Wow tunawapenda Sana much luv from Uganda
Ma ex jitayarisheni na huu wimbo mtakoma km una ex hoeeh jamani marioo utawaliza watu yaani maex coment bc wenzangu😘😘😚
i wonder kwann iko no7 trending ilibidi iwe namba 1
100 time nikiona hii nyimbo wakenya tunampenda Marioo sana
Mario ameweza wale wakuchepuka!!
#umeringa umepimaa??)
nani an support...
wale wanojua mapenzi na kujua uchungu wakupenda n kutendwa!!
Upo vizur kaka na vyombo vilivyopigwa n hatar 😘
kwenye maisha usikate tamaa mariioo huyu nawasasa tofat bigup marioo
(2019)
#Inatosha Ndio ngoma Kali
Kwa Muda wote
#Raha Ndio ngoma Pendwa
#Gonga like
Nipeani likes tooo much love from +44
Man, for those who understand music will appreciate the bass guitar 🎸
Natenaa naijoi
@@mafundamussa3609 m
Indeed. Everything is just right. The guitar just puts it on another level. The intro... Kills it man!!
I get u bro
Imewezaa hio🔥🔥🔥
Totobad mwenyewe...mistari ya hii nyimbo imetulia.....Kama umeona kuwa amemshinda otile achia like
Marioo unasauti nzuri kaza buti utamshinda hata diamond I love
Hafu nyimbo nzuri Kama hizi azipati comment kabisa.
Mbona coment kibao 2
huyu jamaa anataka nimsahau diamond 😂😂
wanikoxha marioo
Hahaha
Unasema lava lava au simba uyu najuwa kua music nauweza lakini awezi kushindana simba uyu niwakushindana mbosso , aslay ,alikiba lava lava , kayumba , beka fleveur , ommy dimpoze lakini # Diamond platnumz na harmonize , Vanessa mdee , nandy, rayvanny Nima international