Kala ni zaidi ya kioo cha jamii anatufundisha na anawakumbusha wanaojisahau huku akitoa burudani siwezi kumlipa kwa kurisk mausha yake for watanzania ila me ana salute na surpot zangu miaka 800 naeza sema ndo mwana hiphop ninaemzimia kwa sasa VROWN SUGAR
Anayesikiliza hii ngoma 2020 naomba like zenu....uko juu broo
21 naisikiliza mwamba
Asanteni wote mnaokubali mawazo yangu mbarikiwe
Kala Jeremia Uko vizuri sana bro napenda kazi zako
Kala Jeremia nakubali ngoma zaka kala
Kala Jeremia tunazikubali mno kazi zako jembe
Amen
Kaka ur the best ...unafocus kwenye real life situations
huu wimbo mpka leo umebeba ujumbe mzito
😂😂😂huu wimbo wakiuliza wahambieni hameimba kala kma unamkubali kala jelimiah gonga like mtu wangu wa nguvu😘
Hamehimba🙄
Masikini tupooooo💃🏻💃🏻💃🏻
Nyimbo ina ujumbe mzito had leo 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 kwa Kala
big up sana karajeremaya
Huyu jamaaa ni fundiiii sana
Kama unaikubari hii mgoma mpaka leo gonga like hapa
Kala ni zaidi ya kioo cha jamii anatufundisha na anawakumbusha wanaojisahau huku akitoa burudani siwezi kumlipa kwa kurisk mausha yake for watanzania ila me ana salute na surpot zangu miaka 800 naeza sema ndo mwana hiphop ninaemzimia kwa sasa VROWN SUGAR
brother uza smart4n ufuge kuku wa kisasa OBAMA c urudi tena barabara zpgwe msasa #xafi xana kala #very creative#
Mwamba huyu apa ka ngumi la mandonga ndoige on 2023 kalajeremiah 💪
Gukuu ulitongelejaaa
2024 👍
Duuh....Such another great track from this Kalla Jeremiah...Big up!!
Nomaaaa snaaaaaaaa ni bonge la heat song ck zote😎😎😎😎😎
safi sana...nyimbo nzuri !!
Greatest of all time rapper, using the music platform to inspire and empower others is a blessing not all receive
2024
Ahaaaa kweli hawa Ngedere ni balaa maana wanakula mpaka mabunzi watajaza wenyewe Kala Noma we sio Kala Jeremiah ni Kala Noma big up
Hizi ndo nyimbo zinatakiwa kupewa tuzo sio hizo nyimbo za matako wazi
Hongera sana sana kala na ulie mshilikisha nimependa
Ngoma ipo mzuka sana daaaaaaaaah! Big up
Still no 1 song always🔥kama bdo unaskiliza mwaka huu gonga like hapa🙌
Still watching 2022
Kweriii huu in UFA________!!!!!
sichoki kutazama mawazo still yana exist sasa nchini kwetu
Wooooow
nice wamekusoma chama cha majambazi
Tajiri mpe bia ila masikini mpe gongo
yaani namkubali kalaa
wasanii ndo hawa
nimeikubal sana hii Beat linavyoendaa
Kimugina
2021
Unaijua wale wale wew
i like it!!!!!
Matajiri mupo???????? 😎 Tupo$$$$$
nice video song ever....
I still hear this song2019
Poapoa
much respect brother !!
video nzuri
unanikumbusha mama Vick wa kakola
Big up kala.
Tunajuwa kama unachana sana lakini promo wanapewa wengine. Sasa kama hawaoni naomba waisikilize.
HERMAN RAJAB kala waga anaonekana kama muuni kumbe ana ujumbe mzito
Obama si urudi tena barabara zipigwe msasa
Tupoooo
Flash back
Wewe noma
Wimbo wa taifa
Bro, ngoma kali kaka, old is clean gold, ila kaka eeeh... Ninaswali?, zile code maana yake ni nini?
2022
big up
Wouh nic
🔥🔥🔥
Huyo anaeonekana sekunde ya 4,5 na 6 ni Young D Kijukuu au?
Nic
upo vzul br
man nimekubali ila najua bit ulipo ipata
😂😂😂😂😂
😆😆😆
Kala nilikuwa nakuheshimu sana kumbe huna adabu..unapunga mkundu mwenyewe unamanisha nini WaMang´ati wanapunga mkundu kwani wao ndo walinzi wa Twiga??
kasema mang'ati wanapunga mkono
samson ghashasha ww up
Young lunya
🤦♀️🤦♀️🤣🤣🤣🤣
unaperform well lakin jaribu kurekebisha kwenye kwenda na beat .but big up kjn
Masikini tupooooo💃🏻💃🏻💃🏻
i like it!!!!!