Kala Jeremiah Ft Walter Chilambo - NATABIRI (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 май 2018
  • #KalaJeremiah #Natabiri #NgommaTz
    Official music video|kala Jeremiah: Natabiri ft Walter chilambo
    Natabiri is a song written by Kala Jeremiah
    Video production credits
    Production company: Saimal pictures @www.saimal.co.tz
    Director: Edward
    Director of photography: Pablo
    Editor : Pablo
    Executive producers; Beda Kinunda. , Kenneth Kilavo.
    Video Producers: Iyreen Kapinga
    Production manager: Brigita Kibasa.
    Audio Produced by Zest, Moja Moja Records.
    You can follow Kala Jeremiah On social networks
    / kalajeremiah
    / kala0444
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 1,7 тыс.

  • @Jackjuneart_tz
    @Jackjuneart_tz 3 месяца назад +16

    Wale tunao isikilia 2024 gonga like apa

  • @officialkalajeremiah4872
    @officialkalajeremiah4872  6 лет назад +682

    Asanteni sana wote kwa comments zenu nzuri zina nipa nguvu ya kufanya vizuri zaidi 🙏🙏 🙏

    • @flammableflammambe4099
      @flammableflammambe4099 6 лет назад +4

      OfficialKalajeremiah unatsha bro

    • @sylvetermtunga4587
      @sylvetermtunga4587 6 лет назад +4

      Kazi nzuri sana,yenye heshima plus ujumbe,hukukosea kumshrikisha Walter👏👏👏🙏🔥💪🏆

    • @sundaykijika896
      @sundaykijika896 6 лет назад +2

      +Sylveter Mtunga
      uyu jamaa nahic anatechnic za kuchagua wa kuwashrkisha make hajawah kosea kushrkisha
      mfn
      mirium kalumbu
      na apa ametsha zaid kala ni zaid ya msaniii ni mwanamzk

    • @agnessjohn8404
      @agnessjohn8404 6 лет назад +2

      OfficialKalajeremiah unaweza mungu awe pamoja nawe

    • @salhaak.amgeni8908
      @salhaak.amgeni8908 6 лет назад +2

      OfficialKalajeremiah tuko pamoja kaka mungu yuko nawe

  • @DEGESTAR
    @DEGESTAR 6 лет назад +253

    Awa ndo wa imbaji wanao itajika 🇹🇿..kama umemuwlewa kala gonga like ya nguvu hapa

  • @gracethomas683
    @gracethomas683 6 лет назад +269

    yaan Kala ni best ktk kutoa ujumbe tena bila matusi yupo vzr kw mashairi mazuri sanaaa na yametulia hana fujo...jmn like za Kala Jeremiah hapa

  • @marvelrossksg9063
    @marvelrossksg9063 6 лет назад +159

    Ivi kwanini wasijua kuandika wanatoka kiurahisi brother wangu big up sana unawazidi wote walotoboa nakusikika mbali ila don't worry mda umefika keep going my bro kama tunamkubali.kala ngonga like apo.

    • @msafirijuma6233
      @msafirijuma6233 6 лет назад +2

      penda San kala

    • @albanbros7210
      @albanbros7210 6 лет назад +3

      Marvel Ross Hili swali najiulizaga sana.
      Kuna watu hata hawaeleweki wanachoimba lakini wana mamilioni ya views.

    • @officialbiznayah4326
      @officialbiznayah4326 6 лет назад +1

      yaani kwenye mziki kuna titna sana, huyu jamaa anaweza mpk anakera ila ni figisu tu

    • @marvelrossksg9063
      @marvelrossksg9063 6 лет назад +2

      Ila time yake imefika pia mimi natabili

  • @WestChoma01
    @WestChoma01 6 лет назад +156

    Natabiri hii ngoma itakua kubwa sana, gonga like kma una amini ivo

  • @ephraimkingdom8295
    @ephraimkingdom8295 5 лет назад +5

    Hongera sana kwa nyimbo zako zenye ujumbe mzuri,wimbo ulistahili views mamilioni lakini kwa kwa kuwa watu wenye akili ni wachache,usijali ndio wanaokufuatilia wapumbavu ni ngumu kutenganisha dhahabu na mawe,respect to u bro

  • @hosearioner3637
    @hosearioner3637 Год назад +3

    Nabii Jeremiah,much love brother from 254🇰🇪

  • @msodokitv2855
    @msodokitv2855 6 лет назад +77

    kala Jeremiah fundi sana,hujawahi niangusha broda,kuhusu chorus nilipockia Walter chilambo ckuwa na wasiwasi kabisa maana najua vile unauaga mzee, Kama unakubali kuwa hii nyimbo ni konkii sana gonga like twende sawa

  • @Uniquenatureadventures
    @Uniquenatureadventures 6 лет назад +43

    Kunavile wabongo wanapenda sana nyimbo za mapenzi kuliko nyimbo zenye ujumbe kama izi.
    Pambana kaka siku yako ya kutwaa kombe yaja

  • @rimoztv1102
    @rimoztv1102 6 лет назад +48

    Najikuta nalia tu kifupi kala ujawahi imba uongo asante kaka tunakupenda mnoo

  • @rimoztv1102
    @rimoztv1102 6 лет назад +118

    Kesho ni ya mungu pekee tusiache ku like 👇

    • @gfgfghhggg8863
      @gfgfghhggg8863 6 лет назад +2

      Sure You tell my friend kesho niya MUNGU pekee wishes you do xomethng GOD Your blessed,,

    • @gfgfghhggg8863
      @gfgfghhggg8863 6 лет назад +2

      Sure You tell my friend kesho niya MUNGU pekee wishes you do xomethng GOD Your blessed,,

    • @petermabura6151
      @petermabura6151 5 лет назад

      Good!

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 6 лет назад +22

    Nimeskia mashaili ya ngoma hii mpaka nimelia jamani nawapenda sana kala jelemaya na Walter chilambo

  • @getajo1153
    @getajo1153 6 лет назад +71

    Dunia imebadilika sana, UBUNIFU kama huu wala haupewi nafsi halafu watu wako bize kutazama makalio ya dada zao na tungo zisizoeleweka za akina Daimond....

    • @halfanimuruwa3826
      @halfanimuruwa3826 6 лет назад

      🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @TheOne-fi6cs
      @TheOne-fi6cs 6 лет назад +1

      Nishida.... bro'

    • @agnessjohn8404
      @agnessjohn8404 6 лет назад

      Joel Ogeta 😂😁😂😁

    • @meshamesha9069
      @meshamesha9069 5 лет назад

      Joel ogeta....kesho nia mungu pekeee🔥🔥🔥🔥

    • @abeldesdelius3751
      @abeldesdelius3751 5 лет назад

      Kilio

  • @elibarickngomaitala156
    @elibarickngomaitala156 5 лет назад +30

    Wimbo mkali sana ambao tupo had Leo 2019 gonga like

  • @innowarako328
    @innowarako328 6 лет назад +52

    bongo fleva unayoweza kuisikiliza hata ukiwa na wazazi wako ni za Kala Jeremiah 📻

  • @kakaimma6977
    @kakaimma6977 6 лет назад +19

    ndo msanii pekee uliebaki anaeimba nyimbo za kuhusu jamii sizizo na maudhi
    big up COLOR... KALA🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

    • @luganohezron9881
      @luganohezron9881 6 лет назад

      Ngoma Kali sana kala asante kwa ujumbe mzuri zaidi kwetu wenye masikio yanayosikia, asante Water chilambo Asante Zest mkali

  • @wasajo
    @wasajo 6 лет назад +75

    Wanaomkubali huyu jamaa gonga like hapa halafu fanya ku_watch hata mara tatu tatu kumpa nguvu huyu fundi

    • @erastosawile5360
      @erastosawile5360 6 лет назад +1

      Wasajo Mimi here tajiri kwema lkn

    • @wasajo
      @wasajo 6 лет назад

      Boss nimekuona basi tumpe support huyu brother

  • @muktartz7314
    @muktartz7314 6 лет назад +152

    Kama una amini kesho ni ya mungu gonga like twende sawa#NATABIRI

  • @minzamabula8552
    @minzamabula8552 6 лет назад +19

    Winbo mzuri kaka angu Ahsante watakao elewa watakuwa washaelewa mungu akusaidie uzidi kututungia nyimbo zitakazo ishi milele

  • @zakariakalinga2779
    @zakariakalinga2779 6 лет назад +16

    Waoooh Hongereni Watumishi wa Mungu Kalla na Mtumishi Chillambo mbarikiwe ongezeni Collabo nyingine

  • @bwegelanyakhaido3088
    @bwegelanyakhaido3088 6 лет назад +243

    Aliye rudia tena kuisikiliza km mm weka like twende sawa tutaelewana tu

    • @joelcheja7795
      @joelcheja7795 5 лет назад

      Huyu jamaa n fund sana Mungu ambariki katika kazi yake halali

    • @eliaamosnyantebu5220
      @eliaamosnyantebu5220 5 лет назад

      Bro usichoke bado unaki2 kichwani fight kala najua unaweza

  • @imanijohn9032
    @imanijohn9032 6 лет назад +3

    kama umemuelewa kala Jeremiah na walter chilambo ngonga like halafu endelea kuitazama tena hii

  • @aminajibu6709
    @aminajibu6709 4 года назад +5

    2020 wangapi tunatabiri bado na wimbo huu gonga tujuwane jamani Amen

  • @yohnafanuel6489
    @yohnafanuel6489 6 лет назад +46

    Ngoma imetulia sana nabii
    huyo big humuachagi kama kawaida yako

  • @shamsaabdalah7038
    @shamsaabdalah7038 6 лет назад +100

    Kama unamkubali kala Jeremiah gonga like hapa

  • @jamesmoses5625
    @jamesmoses5625 6 лет назад +141

    kama umesikiliza zaidi ya mara mbili gonga like

  • @senetamtangazaji2901
    @senetamtangazaji2901 6 лет назад +2

    Hongera kaka fun wako hapa Kutoka Kenya Mombasa alieimba chorus yuko Sawa Sanaa Nyimbo zako Hakikisha umeweka kitabu usingoje kuandikiwa andika mwenyewe naamini Siku Moja afrika mashirika watatumia Kama Mafunzo kwa kizazi cha afrika

  • @odenjaphet2680
    @odenjaphet2680 6 лет назад +16

    Ngoma kaliii kiitikio kimetulia hujawai niangusha chilambo

  • @amandusmark3060
    @amandusmark3060 6 лет назад +40

    That's Kala Jeremiah,. Nilianza penda mziki kwa ajili yako mzee nikingali kichalii kidogo sana mpaka leo najua kingeleza.

  • @lusajonh7349
    @lusajonh7349 6 лет назад +1

    mwanahiphop bora kabisa tanzania anayegusa maisha ya watanzania hakika upo juu kak kala nakukubali sana hiphop yako inaeleweka achana na hawa wengine wanaoimba mapenzi ipo siku mchango wako utaonekana japo mnaoimba mpo wachache lakin tuzo wanapewa wengine gonga like tusepe na kijiji

  • @ancomagu8531
    @ancomagu8531 6 лет назад +28

    Hongera brother hata mimi natabili

  • @Xamo_love
    @Xamo_love 6 лет назад +10

    Hiingoma ni sumu ya maasi safisana kweli we Kobe mtunzi wa sheria

  • @geraldkbona5595
    @geraldkbona5595 6 лет назад +13

    broo ur so tarented.....kama unamkubali kma mm gonga like twende pamoja🙌

  • @jontezmuzik
    @jontezmuzik 6 лет назад +1

    Mi nimeirudia mara nne, duuh umeuwa kala... Big Walter chilambo

  • @estherjoachim9845
    @estherjoachim9845 6 лет назад +1

    Mungu akubark kwa kazi nzuri

  • @mkatavitv1014
    @mkatavitv1014 6 лет назад +85

    SAFI NGOSHA HUJAWAHI KUNIANGUSHA

  • @wasafitvofficial5217
    @wasafitvofficial5217 6 лет назад +33

    kwa kudata mtesema bora angekuwepo kanumba

  • @frankilovesongchengula4672
    @frankilovesongchengula4672 6 лет назад +6

    nawambien huyu jamaa anafaa kuwa muhubili mungu akubaliki nasapot kazi zako wewe ni namba 1

  • @sharifibrahimu8404
    @sharifibrahimu8404 6 лет назад +8

    Much respect broh,,, bonge la ngoma sema hizi timu znazma miziki mikali na yenye ujumbe kama huu ictambe

  • @mussatendeli6909
    @mussatendeli6909 6 лет назад +9

    Kesho ni ya mungu pekee
    Big up sanaaaa

  • @charzmwatila5377
    @charzmwatila5377 6 лет назад +9

    bonge moja la ngoma walter ameitendea haki chorus. congratration to them.

  • @sephissa3004
    @sephissa3004 6 лет назад +18

    Uyo Water chilambo du alichokifanya amekomesha

  • @floridamwaipungu8257
    @floridamwaipungu8257 5 лет назад +1

    Ohoo! Ohoo! yeee! Utatamani kesho uiyone lakini kesho ni ya Mungu pekee!.... Mapenzi ya salama uponeee.... Mm Natabiri..... Huu... Huu...... Huu... Natabiri.... Oyeeee........ WATER CHILAMBO UMETISHA MZEE BABA HESHIMA KWAKO...... one love bro... Gonga like kama umemkubali water.....

  • @fredreji4190
    @fredreji4190 6 лет назад +28

    bonge la direct message kwa wale tunaomwelewa kala toka kitambo
    Big Up sana kwako bro U made it!

  • @mbunahchannel2179
    @mbunahchannel2179 6 лет назад +11

    unaweza kumrudia mungu ghafla ukisikiliza hii nyimbo

  • @youngbeenz255
    @youngbeenz255 6 лет назад

    Mwenye Sikio Au Na Mwenye Kuelewa Ataelewa Japo. Haya Kuwafikia Na Kuyasapoti Watashindwa Sababu Ya Utabir Utaowachukiza. Ila Kazi Ndio Imeshasogea. #NATABIRI Kaz Nzuri Sanaaaaaaaaa

  • @daudijonathanfungameza1110
    @daudijonathanfungameza1110 6 лет назад

    utatamani kesho uione
    ila kesho ni ya Mungu pekee
    fata njia sahihi upone
    natabiriiiiiiii
    @chilambo killed on chorus #natabiri

  • @jumamichael4083
    @jumamichael4083 6 лет назад +20

    Huu ni ubunifu uliotukuka.

  • @lemashonthomas5062
    @lemashonthomas5062 6 лет назад +5

    Nimebarikiwaa Sanaa na uu wimbo gonga like apa kumsapot Kala Jeremiah

  • @fulgencemakayula
    @fulgencemakayula 6 лет назад +4

    Kala u'v got a heart of hero who dies to save those behind him# kila siku nimekuwa nikitafakari kwa kina mashairi yako...bila shaka nauona moyo wako thabiti juu ya ukombozi Wa marginalized people and voiceless ones # keep on pulling up the socks** u featured a right person on the song#natamani ulimwengu mzima ungetambua hisia zako unazoziweka wazi kwenye mashairi...hope the day is coming

  • @pastormilorminambothearkof1206
    @pastormilorminambothearkof1206 5 лет назад +6

    kala Jeremiah uko sawa . your song theme is amazing . big up

  • @mariammetumba7193
    @mariammetumba7193 6 лет назад +9

    Nyimbo Kali huimbwa na watu wakali.....#@natabiri

  • @nasibually6491
    @nasibually6491 6 лет назад +26

    km unamkubal 044 gonga like

  • @lameckjohn3257
    @lameckjohn3257 6 лет назад

    ujawahi Niangusha kabisa Nabii and nyimbo zako unifundisha mambo mengi sana moja kati ya watu wanaonifanya nizidi penda mziki ni wew.....Walter you did it Men.

  • @khadijamohamed6020
    @khadijamohamed6020 4 года назад +1

    Wenyew kwa wenyew mtapigana majungu nakubal kala

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 6 лет назад +55

    Wabongo si mafala tunatakaga ngorongoro sangoro lakini vitu kama hivi vya maana tunavikataa#NATABIRI#

  • @MuslimChannelTZ
    @MuslimChannelTZ 6 лет назад +94

    Kama Unakubali Jelemiah gonga like hapa

  • @sibomanalysette6444
    @sibomanalysette6444 6 лет назад

    Mungu akubariki sanaaa..... Unakipaji cha kuokowa jami ila wengi hawaoni.....napenda mziki wako

  • @asmahassani378
    @asmahassani378 4 года назад

    My fav artist...mungu aksmamie ubaki kwny mstar !! Aendlee kukfanya uwe bora na kuutunza upekee wako !! Akuepushe na kiki mbovuu kuulinda mzik wako ..kmbk auimbii balii unaonglea nafc za watu kwny jamii!! @real defn ov kioo cha jamii...!!

  • @immanuelcatylynplatnumz6491
    @immanuelcatylynplatnumz6491 6 лет назад +3

    Aiseee huyuuu jamaaa huwa anaimbaga nyimbo za kufundisha tu,hongera kala Jeremiah

  • @obby2559
    @obby2559 6 лет назад +38

    Natabiri sita lala njaa tena!!

    • @jamesmhema8077
      @jamesmhema8077 6 лет назад +1

      Hahahaha akil zako ww

    • @heriethkelvin3655
      @heriethkelvin3655 6 лет назад +1

      kwani unalalaga njaa besti

    • @obby2559
      @obby2559 6 лет назад

      james mhema ndio nimeshatabiri mwenzio

    • @obby2559
      @obby2559 6 лет назад

      Herieth Kelvin best kulala nja kwa kipindi hiki nikawaida kabisaa

  • @theafricanprincevivecongo8632
    @theafricanprincevivecongo8632 6 лет назад +10

    Mbona wimbo mkali ata IYENA YA DIAMOND ihigusi hapa 😒😒😒🙏🙏

  • @ezekiafilbert4896
    @ezekiafilbert4896 6 лет назад

    hongera xana Kala yan wimbo wako nliuchukulia Poa duh Sasa nlivyotulia kuusikliza dah nimejifunza mengi xna kupitia wimbo huu gob bless u.. water chilambo yan hukoseag ukikaa kwenye chorus 🔥🔥🔥🔥

  • @pablomufasa84
    @pablomufasa84 6 лет назад +13

    Kuna vitu umevizungumzia sijui kama ni tafsiri yangu imeenda mbali ama niko sawa,huu wimbo umezungumza kitu kimoja kikubwa kuhusu wa Africa moja ya vitu ambavyo nimekuwa navyo deep sana....kuna mesej nzito mno nahitaji kuwasiliana na wewe nitakutafuta kwajiri ya mahojiano wewe ni mwanaharakati pia ni nabii..Shalom!

  • @mangiclaus
    @mangiclaus 6 лет назад +156

    kama unampenda YESU piga like hapa

  • @frankp.alkado2938
    @frankp.alkado2938 6 лет назад +6

    safi sana kala, nakukubali kwa tustyle,upo vizuri

  • @mosessevere2127
    @mosessevere2127 6 лет назад +4

    This song carries massive creativity and is very realistic, Nimependa sana idea ya dressing mfano hiyo ya dancers, set up ya ile familia na hakuna picha za utupu, bravo Jeremiah, Bravo Director. Hii hata sisi wachungaji tunaweza kutulia na kuangalia

  • @zerotempa
    @zerotempa 6 лет назад +24

    Bonge LA chorus chilambo umeua verse Kali kala haukoseagi

  • @robyseven8187
    @robyseven8187 6 лет назад +3

    duuuuh nakuelewaga sana kala jeremiah miaka yote

  • @masigomhoja5182
    @masigomhoja5182 6 лет назад +1

    hii ngoma sio bora tanzania tu bali ni ngoma bora africa mashariki na viunga vyake

  • @shadracksteven2636
    @shadracksteven2636 6 лет назад

    Mmoja wa wanamuziki wanaobeba dhana ya ubunifu katika muziki wetu...trust huyu jamaa hajawahi kukosea...asante @kalajeremia

  • @solomonitv7808
    @solomonitv7808 6 лет назад +37

    Noma sana kijana Mungu azidi kuwa upande wako

  • @sumutamu6170
    @sumutamu6170 6 лет назад +9

    mad respect from Kenya
    the best thing I've heard in 2018

  • @aishasilaji5759
    @aishasilaji5759 3 года назад

    Ujumbe mzuri Sana natamani kuiona kesho Ila kesho ni ya mungu

  • @showboymlowa1357
    @showboymlowa1357 6 лет назад

    Ila kweli hali ilivyo xx hv Bongo tungeomba utumwa urudi ili tupige michongo. #Blessed prediction. One love Kala Jeremiah sustain to have a wise unrecognized knowledge to change this globe.

  • @elenajosephu7763
    @elenajosephu7763 6 лет назад +15

    Kweli kaka ulikuwa kimya umeamka bigup

  • @konkatvonline7009
    @konkatvonline7009 6 лет назад +7

    Aminia bro yan wana hip hop kwako wakasome yan nimkali kupitiliza bro bg up

  • @envyolathaamsi9820
    @envyolathaamsi9820 5 лет назад

    santeeeee kala Jeremiah,,,,,nakupendga bure,,,,unajua unachofanyaaa,,,,,,God bless yu

  • @francisc.mwinami9916
    @francisc.mwinami9916 5 лет назад

    brother god bless u na uzao wako wote ukoseagi ktk sector hii ila sijui kwann hupewi kipaombele ktk mambo mengi tu ya kijamii one day watatambua umuhimu wako mahadui zako wanakukubali kisili sili Fanya mpango uchukue kiti bungen unaweza kk wanaomkubali kalaa konga like hapa nikianza na mm mwenyewe

  • @barakamronga7112
    @barakamronga7112 6 лет назад +4

    Wimbo mzur sana,inaitaj akil kubwa kuuelewa,Pia ambao hatujui kucheza umetusaidia

  • @storyzetu8114
    @storyzetu8114 6 лет назад +47

    Strong feelings from the song I Iove it
    Hit likes.... if u also love it

  • @jasmomolanga2355
    @jasmomolanga2355 4 года назад +1

    Nakubali .....Kala fact Sana

  • @awezaemialano8771
    @awezaemialano8771 5 лет назад +2

    Heee baana maneno ya hekima kweli Mungu akujalie kesho njema kala,shusha coment yako apo kama unamkubali kala

  • @simonyoung6548
    @simonyoung6548 4 года назад +9

    Yea.... 2019 ❤

  • @stevenally8698
    @stevenally8698 6 лет назад +3

    jembe langu kaka Jeremiah nakukubali sana kazi zako Ila mungu anakutumia sana big up nabii yeremiah

  • @josephgwandu7085
    @josephgwandu7085 5 лет назад

    Huwa haukosei Kala, kila kazi yako ni JIWE. Asante kwa ujumbe maridhawa

  • @alexrocky2184
    @alexrocky2184 6 лет назад

    big up master. natabiri huu wimbo utakuja kutumika kufundishia mashuleni Africa ikishapata uhuru.

  • @African2TheWorld
    @African2TheWorld 6 лет назад +3

    Real hip hop, mwendo wa verse 3 na sio 1 wala 2. Kala mtenda haki.

  • @mkamaboy2016
    @mkamaboy2016 6 лет назад +53

    Haya twende sawa tumpe sapoti kala gonga like za kutosha

  • @mikelmweuc9619
    @mikelmweuc9619 6 лет назад

    Yaani wimbo nauplay mbele ya mkwe wangu hapa hata cmu siweki pazia maana nyimbo zingine michosho kbs keep it up kala sio Jeremiah ni kala ujumbe konk

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 5 лет назад

    Jamaa anaangalia kioo anajiona alivyokuwa ana kula bata kipindi hicho huku Leo kashika anndazi mkononi...,..
    Usichezee maisha utaja kujuta

  • @bidiinaimani9654
    @bidiinaimani9654 6 лет назад +12

    nomaaa representing +254

  • @husseinchitemo8960
    @husseinchitemo8960 6 лет назад +7

    Hao watu 127 walio dislike hii ngoma simu zao walikua wameziweka kichwa chini miguu Juu?,Wanataka ujumbe gani sasa ili wa like??Nampa papa au???

  • @gabrielkiserere7322
    @gabrielkiserere7322 6 лет назад

    kala sitaachaga kukuheshimu hata siku moja kwa kazi zako,wewe ni bora zaidi ya bora.!!!

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 4 года назад

    Barikiwa Mzalendo unae itKi mema nchi yetu kwa mausia y kuelimusha jamii tofauti na wasanii wengine wao wamekalia matusi tu huku wanadai wao nikioo cha jamii!! Jamii ipi wakati mnaipeleka nchi kwenye kiio cha zinaa.yenye harufu kali??

  • @shadrackmwelela6935
    @shadrackmwelela6935 6 лет назад +9

    wimbo mzuri sana

  • @freemonhenry3448
    @freemonhenry3448 6 лет назад +7

    Bro hii fasihi uliyo tumia kwenye huu wimbo ni ya hali ya juu sana-let me be honest, I like this song. Keep it up bro.

  • @onesmotvnewpenuel8630
    @onesmotvnewpenuel8630 7 месяцев назад

    Iko vizuri Sana Kaka haya Mambo yapo kabisa umetabili Mambo haya yako Asante kwa ujumbe mwemaa

  • @FailFasterLearnFaster
    @FailFasterLearnFaster 6 лет назад

    "Mtachukua mali zenu mtakabizi kwa mzungu.".. mbaya sana!