Kala Jeremiah Ft Walter Chilambo - NATABIRI (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 29 май 2018
- #KalaJeremiah #Natabiri #NgommaTz
Official music video|kala Jeremiah: Natabiri ft Walter chilambo
Natabiri is a song written by Kala Jeremiah
Video production credits
Production company: Saimal pictures @www.saimal.co.tz
Director: Edward
Director of photography: Pablo
Editor : Pablo
Executive producers; Beda Kinunda. , Kenneth Kilavo.
Video Producers: Iyreen Kapinga
Production manager: Brigita Kibasa.
Audio Produced by Zest, Moja Moja Records.
You can follow Kala Jeremiah On social networks
/ kalajeremiah
/ kala0444 - Видеоклипы
Wale tunao isikilia 2024 gonga like apa
💯💥🔥💕🙏
Asanteni sana wote kwa comments zenu nzuri zina nipa nguvu ya kufanya vizuri zaidi 🙏🙏 🙏
OfficialKalajeremiah unatsha bro
Kazi nzuri sana,yenye heshima plus ujumbe,hukukosea kumshrikisha Walter👏👏👏🙏🔥💪🏆
+Sylveter Mtunga
uyu jamaa nahic anatechnic za kuchagua wa kuwashrkisha make hajawah kosea kushrkisha
mfn
mirium kalumbu
na apa ametsha zaid kala ni zaid ya msaniii ni mwanamzk
OfficialKalajeremiah unaweza mungu awe pamoja nawe
OfficialKalajeremiah tuko pamoja kaka mungu yuko nawe
Awa ndo wa imbaji wanao itajika 🇹🇿..kama umemuwlewa kala gonga like ya nguvu hapa
Juma jux star bonge mmoja la ujumbe hicho ss 2nasemaga n ujumbe unaoish milele
Kala nakukupali kitambo
Kaz nzr
PARIS CHRIS safi
Kwakweli
yaan Kala ni best ktk kutoa ujumbe tena bila matusi yupo vzr kw mashairi mazuri sanaaa na yametulia hana fujo...jmn like za Kala Jeremiah hapa
Grace Thomas kweli kbs
Unatisha san
kara noma
Huyu jamaa no sheeeda mpaka kero anaimba kinoma na hataki kiki wala pikix2
Grace Thomas m
thefirstone
Ivi kwanini wasijua kuandika wanatoka kiurahisi brother wangu big up sana unawazidi wote walotoboa nakusikika mbali ila don't worry mda umefika keep going my bro kama tunamkubali.kala ngonga like apo.
penda San kala
Marvel Ross Hili swali najiulizaga sana.
Kuna watu hata hawaeleweki wanachoimba lakini wana mamilioni ya views.
yaani kwenye mziki kuna titna sana, huyu jamaa anaweza mpk anakera ila ni figisu tu
Ila time yake imefika pia mimi natabili
Natabiri hii ngoma itakua kubwa sana, gonga like kma una amini ivo
Natabiri ngoma hii ndani ya wiki2 itakuakubwa ndani na nje ya nchi
West Choma ameni
Kama unampenda kala gonga like yako
Hongera sana kwa nyimbo zako zenye ujumbe mzuri,wimbo ulistahili views mamilioni lakini kwa kwa kuwa watu wenye akili ni wachache,usijali ndio wanaokufuatilia wapumbavu ni ngumu kutenganisha dhahabu na mawe,respect to u bro
Nabii Jeremiah,much love brother from 254🇰🇪
kala Jeremiah fundi sana,hujawahi niangusha broda,kuhusu chorus nilipockia Walter chilambo ckuwa na wasiwasi kabisa maana najua vile unauaga mzee, Kama unakubali kuwa hii nyimbo ni konkii sana gonga like twende sawa
Msodoki TV mia moja asilimia
Kunavile wabongo wanapenda sana nyimbo za mapenzi kuliko nyimbo zenye ujumbe kama izi.
Pambana kaka siku yako ya kutwaa kombe yaja
ujumbe mzito
Safy
Najikuta nalia tu kifupi kala ujawahi imba uongo asante kaka tunakupenda mnoo
xomuch
Dada n2mie no yako tuwe 2nchat kwa mtandao by mr Ambtion
Kesho ni ya mungu pekee tusiache ku like 👇
Sure You tell my friend kesho niya MUNGU pekee wishes you do xomethng GOD Your blessed,,
Sure You tell my friend kesho niya MUNGU pekee wishes you do xomethng GOD Your blessed,,
Good!
Nimeskia mashaili ya ngoma hii mpaka nimelia jamani nawapenda sana kala jelemaya na Walter chilambo
Dunia imebadilika sana, UBUNIFU kama huu wala haupewi nafsi halafu watu wako bize kutazama makalio ya dada zao na tungo zisizoeleweka za akina Daimond....
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nishida.... bro'
Joel Ogeta 😂😁😂😁
Joel ogeta....kesho nia mungu pekeee🔥🔥🔥🔥
Kilio
Wimbo mkali sana ambao tupo had Leo 2019 gonga like
bongo fleva unayoweza kuisikiliza hata ukiwa na wazazi wako ni za Kala Jeremiah 📻
ndo msanii pekee uliebaki anaeimba nyimbo za kuhusu jamii sizizo na maudhi
big up COLOR... KALA🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ngoma Kali sana kala asante kwa ujumbe mzuri zaidi kwetu wenye masikio yanayosikia, asante Water chilambo Asante Zest mkali
Wanaomkubali huyu jamaa gonga like hapa halafu fanya ku_watch hata mara tatu tatu kumpa nguvu huyu fundi
Wasajo Mimi here tajiri kwema lkn
Boss nimekuona basi tumpe support huyu brother
Kama una amini kesho ni ya mungu gonga like twende sawa#NATABIRI
Safi
gud
Winbo mzuri kaka angu Ahsante watakao elewa watakuwa washaelewa mungu akusaidie uzidi kututungia nyimbo zitakazo ishi milele
Mkuu nmekuelewa asilimia 100
Waoooh Hongereni Watumishi wa Mungu Kalla na Mtumishi Chillambo mbarikiwe ongezeni Collabo nyingine
Aliye rudia tena kuisikiliza km mm weka like twende sawa tutaelewana tu
Huyu jamaa n fund sana Mungu ambariki katika kazi yake halali
Bro usichoke bado unaki2 kichwani fight kala najua unaweza
kama umemuelewa kala Jeremiah na walter chilambo ngonga like halafu endelea kuitazama tena hii
2020 wangapi tunatabiri bado na wimbo huu gonga tujuwane jamani Amen
Ngoma imetulia sana nabii
huyo big humuachagi kama kawaida yako
Kama unamkubali kala Jeremiah gonga like hapa
Elisha Thomas
Ujumbe umefika.
kala yupo vizuli sana
kama umesikiliza zaidi ya mara mbili gonga like
me nimesikiliza zaidi ya Mara mbili
Me naisikiliz ten leo
Hongera kaka fun wako hapa Kutoka Kenya Mombasa alieimba chorus yuko Sawa Sanaa Nyimbo zako Hakikisha umeweka kitabu usingoje kuandikiwa andika mwenyewe naamini Siku Moja afrika mashirika watatumia Kama Mafunzo kwa kizazi cha afrika
Ngoma kaliii kiitikio kimetulia hujawai niangusha chilambo
That's Kala Jeremiah,. Nilianza penda mziki kwa ajili yako mzee nikingali kichalii kidogo sana mpaka leo najua kingeleza.
mwanahiphop bora kabisa tanzania anayegusa maisha ya watanzania hakika upo juu kak kala nakukubali sana hiphop yako inaeleweka achana na hawa wengine wanaoimba mapenzi ipo siku mchango wako utaonekana japo mnaoimba mpo wachache lakin tuzo wanapewa wengine gonga like tusepe na kijiji
Hongera brother hata mimi natabili
Hiingoma ni sumu ya maasi safisana kweli we Kobe mtunzi wa sheria
broo ur so tarented.....kama unamkubali kma mm gonga like twende pamoja🙌
Mi nimeirudia mara nne, duuh umeuwa kala... Big Walter chilambo
Mungu akubark kwa kazi nzuri
SAFI NGOSHA HUJAWAHI KUNIANGUSHA
kwa kudata mtesema bora angekuwepo kanumba
g
true brother life is tooshot
nawambien huyu jamaa anafaa kuwa muhubili mungu akubaliki nasapot kazi zako wewe ni namba 1
hatareeee
Much respect broh,,, bonge la ngoma sema hizi timu znazma miziki mikali na yenye ujumbe kama huu ictambe
Kesho ni ya mungu pekee
Big up sanaaaa
bonge moja la ngoma walter ameitendea haki chorus. congratration to them.
Uyo Water chilambo du alichokifanya amekomesha
Ohoo! Ohoo! yeee! Utatamani kesho uiyone lakini kesho ni ya Mungu pekee!.... Mapenzi ya salama uponeee.... Mm Natabiri..... Huu... Huu...... Huu... Natabiri.... Oyeeee........ WATER CHILAMBO UMETISHA MZEE BABA HESHIMA KWAKO...... one love bro... Gonga like kama umemkubali water.....
bonge la direct message kwa wale tunaomwelewa kala toka kitambo
Big Up sana kwako bro U made it!
Fred Reji uko poa bro
so sensible
unaweza kumrudia mungu ghafla ukisikiliza hii nyimbo
Upo vzuri bro
Mwenye Sikio Au Na Mwenye Kuelewa Ataelewa Japo. Haya Kuwafikia Na Kuyasapoti Watashindwa Sababu Ya Utabir Utaowachukiza. Ila Kazi Ndio Imeshasogea. #NATABIRI Kaz Nzuri Sanaaaaaaaaa
utatamani kesho uione
ila kesho ni ya Mungu pekee
fata njia sahihi upone
natabiriiiiiiii
@chilambo killed on chorus #natabiri
Huu ni ubunifu uliotukuka.
Nimebarikiwaa Sanaa na uu wimbo gonga like apa kumsapot Kala Jeremiah
Kala u'v got a heart of hero who dies to save those behind him# kila siku nimekuwa nikitafakari kwa kina mashairi yako...bila shaka nauona moyo wako thabiti juu ya ukombozi Wa marginalized people and voiceless ones # keep on pulling up the socks** u featured a right person on the song#natamani ulimwengu mzima ungetambua hisia zako unazoziweka wazi kwenye mashairi...hope the day is coming
kala Jeremiah uko sawa . your song theme is amazing . big up
Nyimbo Kali huimbwa na watu wakali.....#@natabiri
Bonge la ngoma na ujumbe wenye mafumbo big up bro
km unamkubal 044 gonga like
ujawahi Niangusha kabisa Nabii and nyimbo zako unifundisha mambo mengi sana moja kati ya watu wanaonifanya nizidi penda mziki ni wew.....Walter you did it Men.
Wenyew kwa wenyew mtapigana majungu nakubal kala
Wabongo si mafala tunatakaga ngorongoro sangoro lakini vitu kama hivi vya maana tunavikataa#NATABIRI#
Kifo Dr reemiy ongala
Kaz nzur Kala
Kama Unakubali Jelemiah gonga like hapa
Ukovizuli
Mungu akubariki sanaaa..... Unakipaji cha kuokowa jami ila wengi hawaoni.....napenda mziki wako
My fav artist...mungu aksmamie ubaki kwny mstar !! Aendlee kukfanya uwe bora na kuutunza upekee wako !! Akuepushe na kiki mbovuu kuulinda mzik wako ..kmbk auimbii balii unaonglea nafc za watu kwny jamii!! @real defn ov kioo cha jamii...!!
Aiseee huyuuu jamaaa huwa anaimbaga nyimbo za kufundisha tu,hongera kala Jeremiah
Natabiri sita lala njaa tena!!
Hahahaha akil zako ww
kwani unalalaga njaa besti
james mhema ndio nimeshatabiri mwenzio
Herieth Kelvin best kulala nja kwa kipindi hiki nikawaida kabisaa
Mbona wimbo mkali ata IYENA YA DIAMOND ihigusi hapa 😒😒😒🙏🙏
hongera xana Kala yan wimbo wako nliuchukulia Poa duh Sasa nlivyotulia kuusikliza dah nimejifunza mengi xna kupitia wimbo huu gob bless u.. water chilambo yan hukoseag ukikaa kwenye chorus 🔥🔥🔥🔥
Kuna vitu umevizungumzia sijui kama ni tafsiri yangu imeenda mbali ama niko sawa,huu wimbo umezungumza kitu kimoja kikubwa kuhusu wa Africa moja ya vitu ambavyo nimekuwa navyo deep sana....kuna mesej nzito mno nahitaji kuwasiliana na wewe nitakutafuta kwajiri ya mahojiano wewe ni mwanaharakati pia ni nabii..Shalom!
THE EPIC SHOW 🙌🙌
kama unampenda YESU piga like hapa
PLAN B unajielewa kweli ww?????
Good song
asante yesu kwa kumtuma MTU wako huyu endelea kumtunza
Nampenda sanaaaaa🙏🏽🙏🏽YESU
safi sana kala, nakukubali kwa tustyle,upo vizuri
This song carries massive creativity and is very realistic, Nimependa sana idea ya dressing mfano hiyo ya dancers, set up ya ile familia na hakuna picha za utupu, bravo Jeremiah, Bravo Director. Hii hata sisi wachungaji tunaweza kutulia na kuangalia
Bonge LA chorus chilambo umeua verse Kali kala haukoseagi
Monsta Mc hatr
Edson Ndibalema sana
duuuuh nakuelewaga sana kala jeremiah miaka yote
hii ngoma sio bora tanzania tu bali ni ngoma bora africa mashariki na viunga vyake
Mmoja wa wanamuziki wanaobeba dhana ya ubunifu katika muziki wetu...trust huyu jamaa hajawahi kukosea...asante @kalajeremia
Noma sana kijana Mungu azidi kuwa upande wako
Solomoni TV ipo vzr san
Kesho ni Mugu
mad respect from Kenya
the best thing I've heard in 2018
Ujumbe mzuri Sana natamani kuiona kesho Ila kesho ni ya mungu
Ila kweli hali ilivyo xx hv Bongo tungeomba utumwa urudi ili tupige michongo. #Blessed prediction. One love Kala Jeremiah sustain to have a wise unrecognized knowledge to change this globe.
Kweli kaka ulikuwa kimya umeamka bigup
Aminia bro yan wana hip hop kwako wakasome yan nimkali kupitiliza bro bg up
santeeeee kala Jeremiah,,,,,nakupendga bure,,,,unajua unachofanyaaa,,,,,,God bless yu
brother god bless u na uzao wako wote ukoseagi ktk sector hii ila sijui kwann hupewi kipaombele ktk mambo mengi tu ya kijamii one day watatambua umuhimu wako mahadui zako wanakukubali kisili sili Fanya mpango uchukue kiti bungen unaweza kk wanaomkubali kalaa konga like hapa nikianza na mm mwenyewe
Wimbo mzur sana,inaitaj akil kubwa kuuelewa,Pia ambao hatujui kucheza umetusaidia
Baraka Mronga niombee kolabo brother
Kitu murua
Strong feelings from the song I Iove it
Hit likes.... if u also love it
Nakubali .....Kala fact Sana
Heee baana maneno ya hekima kweli Mungu akujalie kesho njema kala,shusha coment yako apo kama unamkubali kala
Yea.... 2019 ❤
jembe langu kaka Jeremiah nakukubali sana kazi zako Ila mungu anakutumia sana big up nabii yeremiah
Huwa haukosei Kala, kila kazi yako ni JIWE. Asante kwa ujumbe maridhawa
big up master. natabiri huu wimbo utakuja kutumika kufundishia mashuleni Africa ikishapata uhuru.
Real hip hop, mwendo wa verse 3 na sio 1 wala 2. Kala mtenda haki.
Haya twende sawa tumpe sapoti kala gonga like za kutosha
Yaani wimbo nauplay mbele ya mkwe wangu hapa hata cmu siweki pazia maana nyimbo zingine michosho kbs keep it up kala sio Jeremiah ni kala ujumbe konk
Jamaa anaangalia kioo anajiona alivyokuwa ana kula bata kipindi hicho huku Leo kashika anndazi mkononi...,..
Usichezee maisha utaja kujuta
nomaaa representing +254
Hao watu 127 walio dislike hii ngoma simu zao walikua wameziweka kichwa chini miguu Juu?,Wanataka ujumbe gani sasa ili wa like??Nampa papa au???
kala sitaachaga kukuheshimu hata siku moja kwa kazi zako,wewe ni bora zaidi ya bora.!!!
Barikiwa Mzalendo unae itKi mema nchi yetu kwa mausia y kuelimusha jamii tofauti na wasanii wengine wao wamekalia matusi tu huku wanadai wao nikioo cha jamii!! Jamii ipi wakati mnaipeleka nchi kwenye kiio cha zinaa.yenye harufu kali??
wimbo mzuri sana
Bro hii fasihi uliyo tumia kwenye huu wimbo ni ya hali ya juu sana-let me be honest, I like this song. Keep it up bro.
Iko vizuri Sana Kaka haya Mambo yapo kabisa umetabili Mambo haya yako Asante kwa ujumbe mwemaa
"Mtachukua mali zenu mtakabizi kwa mzungu.".. mbaya sana!