Hongereni sana kwa kazi zuri na Mola awakabariki jeshi la police mdada yule anastahiki adhambu haswa iwe funzo kwa wadada wangine wasirejeye ukatili kama huyu alio upitia Malik 😢😢😢
Wengine wanadharau sana Yaani hawanahata hofu ndani yao na hawataki Kuwa chini ya bosi kama inavyotakiwa yaani wanataka wafanye Kila walitakalo mfano aondoke na aende popote. Tu bila ruhusa yoyotee na bila hata kutoa taarifa
Uwezi kumlinda mtoto ata siku Moja maana anatoka anacheza anaenda shule uwez jua ni mda gan atapatwa na tukio wengne unakuta upo kwenye miangaiko kikubwa ni kuomba mungu atulindie watoto wetu
Mm hapo nikiangalia huyu dada achunguze vizuri huenda ni msongo WA mawazo umepelekea kufanya tukio Hilo Je alikuwa anaishi vizuri na bosi wake kufanya tulikio la kinyama mtu yoyote anaweza kufanya unapofika hatua hiyo Kwa hiyo achungunzwe huyo boss wake na yeye huyu mwengine akiendelea na azabu yake
Kachomeni moto iwe fundisho,hilo lingetakiwa liwe imani,likutane & mtoto wa boss ale mateke ya mbavu,pia lingetakiwa likutahe na lile boss la Oman linamtemea mdada mate usoni.
Aise nihatali sana sasa huyu binti anapata wap ujasili wa kumdhuru mtoto wa mwezie jaman isitoshe yeye pia ni mwanamke ataingia reba tu aone kupoje reba kuma nina zake huyo binti kama aliona bos wake ana mtesa si lazima kuishi hapo angeondoka kwa aman tu kuliko kumdhuru mtoto wa mwezie yaani huyo bint namumaindi kinoma sana pumbavu zake
Hamasisheni watu wamwamini yesu kristo mwana wa mungu aliye hai waokoke watubuzambi zao kwa mungu hawa waovu suluhisho sio vyombo vya dora mbona bado matukio ndo yanazidi ilipasa ninyi viongozi muwe vipaombele kuwahamasisha watu wafaham uwepo wa mungu jamani wadam hupenda kujitegemea bila kutegemea mungu wakumbusheni sasa ninyi mamlaka!
Ni kweli maboss wengi wananyanyasa wadada wa kazi ndio mana nao wanalipiza kisasi kikubwa maboss waishi na wadada wa kazi kama wanavoishi na watoto wao wa kuwazaa ili pawepo na Amani kwenye familia
Yani nchi yetu ii mbovu sana wanaoteka watu awawakamati nawanawajua afu et binti wawatu wakazi ndio wamejifanya et wako makini mbna mashoga amuwakamati ovyo tu
Hapo piano wazazi wajenge mahusiano mazuri na wafanya kazi maana upendo unaweza kupotea kutokana na manyanyaso kwa wafanyakazi.Mfano:mfanyakazi unamdharau unanyanyasa halafu utegemee atampa upendo mzuri mwanao?siyo kweli.ukipanda MSHUBIRI utavuna SHUBIRI.Tafakari chukua hatua
Hua sipendi haya mawazo mtu anapotela wakati mtoto wa mtu kapata shida Japo unaweza kua sahihi ila sio moja kwa moja. Sio kila mfanyakazi anaetenda baya kwa mtoto ananyanyaswa. Wengine wanakua wanamatatizo au malengo yao binafsi. Kwanza wengi tunaoona wananyanyaswa wala hawana akili za kufanya huo ubaya. Tuache kukariri. Watu wana shida za akili na wengine washirikina, wanakuja kwa upole na kuiifanya wema kumbe wana agenda zao
Mi nashauri uyo binti aojiwe kwanza kilicho msibu ikiwezekana na akili mpime na mabosi bunguzeni kunyanyasa wadada wa kazi tambueni wanawalipizia watoto wenu kila mnalo wafanyia iwe wema au ubaya
Magonjwa ya akili yameongezeka Tanzania na hamna utaratibu mzuri wa kuajiri hao wafanyakazi wa ndani ukute mtu ni mgonjwa wa akili Na ukute ni mtoto chini ya miaka 18 halipwi vizuri kwa hiyo combination yote inakuwa matokeo ni unyama ! Pole sana mtoto uliyeumizwa !
Umeongea point sana ila Kwa tatizo la akili hapana huyu anaakili timam asingeweza kujificha angebaki pale pale nyumban ila wamuhoji Kwa kina Inawezekana Kuna shida kubwa iliopelekea paka afanye hilo tukio
@@dotnatajoseph2620 kuna kitu kinaitwa psychos unakuwa mgonjwa wa akili na unapata hizo condition muda fulani ndio maana wagonjwa wa akili wanakuwa muda mwingine wako vizuri halafu vinatimka !
Tunaweza kumtumia Joyce Kiria kupata wadada wa kazi. Hapa unakuwa na mkataba na mfanyakazi wa ndani anajua majukumu yake na wewe inajua majikumu yako.. na wanajielewa na pia Joyce na team yake huwa wanawafuatilia kwa ukaribu kijua utendaji wao na wajibu wako mwajiri. Ifike mahali hii iwe ni ajira rasmi kwa wanaojielewa.
Ni kwelii wmekosea sana Tena sana ni kwelii ni maagent wa kuzimu kwani Kila uovu unaofanyika wanafanya wadada wa kazi tuuu inamaana wewe hujawai Fanya uovu wowote.hasira isikufanye ukufuru dear,Cha msingi twendelee kumuimba Munguuu
Tatizo watu wanao wachukua mabinti wafanya kazi wanawasumbua na kuwanyanyasa sana japo binti anamakosa lakini msiangalie tu makosa yake angalia na sababisho toka kwa boss wake
Mungu awabariki jeshiletu la polisi kwa kazi nzuri 🇹🇿🇹🇿
Hongera jeshi la polisi kwa kazi nzuri mliyofanya
Alhamdulillah🤲' hongereni sana jeshi la Polisi Tz
Hongereni sana police wetu kwa kazi nzuri.. Ni wajibu wa kila mTz kuwa Linda watoto wetu
Wafute Wasaidizi tu itakuwa Vizuri sana
Mungu awabariki jeshi la police 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿, Tanzania
Kazi nzuri jeshi letu!Hongera
Kazi nzuri polisi wetu
Hongera sana jeshi la polis
Kanda maalum ya Daslaam😂😂 namkubali sana huyu kamanda
Anaongea kwa nukta hadi raha😂😂😂😂
"Jeshi la polisi Kanda maaalumu ya dar es salaam "
😂😂
Duuh hongereni jeshi la police kwa kumkamata uyo dada
Hapa mulilo,good,kazi njema.❤
😢😢😢😢little boy Pole.Hukumu iwe kali
Hongereni sana kwa kazi zuri na Mola awakabariki jeshi la police mdada yule anastahiki adhambu haswa iwe funzo kwa wadada wangine wasirejeye ukatili kama huyu alio upitia Malik 😢😢😢
Barikiwa afande tokomeza uhalifu baba piga kazi daima tunakuombea
Safi makamanda Mungu awabariki nawakuwatakia nguvu zakufanya kazi
Masha allah hapana chezea kikosi chetu cha police na jeshi letu kaka mavu Tanzania oyeeeeee
Mungu awabariki jeshi la polisi
😂😂 Hilo jina tu mirembe hongera jeshi letu
Jeshi la polisi ninawapongeza sana kwa juhudi zenu za kutenda kazi Mungu azidi kuwaongezea maarifa.
Hongera saana Jeshi letu la police! Hongera hongera sana asanteni sana! Aluta Continue!
Eee mungu simama mwenyewe ❤❤❤❤
Kama hujawahi kukaa na hawa viumbe wanaoitwa wadada wa kazi huwezi kuwaelezea ipasavyo, kuna wengine ni wa ajabu sana hawaridhiki hata ufanye nini😢😢
Hata maboss engine wamezidi ukali 😂😂
Fanya kazi zako mwenyewe huko 😏😏😏😏😏
Wengine wanadharau sana
Yaani hawanahata hofu ndani yao na hawataki Kuwa chini ya bosi kama inavyotakiwa yaani wanataka wafanye Kila walitakalo mfano aondoke na aende popote. Tu bila ruhusa yoyotee na bila hata kutoa taarifa
Tulinde watoto sana kwaunakni😢
Uwezi kumlinda mtoto ata siku Moja maana anatoka anacheza anaenda shule uwez jua ni mda gan atapatwa na tukio wengne unakuta upo kwenye miangaiko kikubwa ni kuomba mungu atulindie watoto wetu
Duuu 😢
Asanteni sana
Hongera jeshi letu la police
Mm hapo nikiangalia huyu dada achunguze vizuri huenda ni msongo WA mawazo umepelekea kufanya tukio Hilo Je alikuwa anaishi vizuri na bosi wake kufanya tulikio la kinyama mtu yoyote anaweza kufanya unapofika hatua hiyo Kwa hiyo achungunzwe huyo boss wake na yeye huyu mwengine akiendelea na azabu yake
Hongera jeshi letu la police kazi mnaifanya
Kachomeni moto iwe fundisho,hilo lingetakiwa liwe imani,likutane & mtoto wa boss ale mateke ya mbavu,pia lingetakiwa likutahe na lile boss la Oman linamtemea mdada mate usoni.
Aise nihatali sana sasa huyu binti anapata wap ujasili wa kumdhuru mtoto wa mwezie jaman isitoshe yeye pia ni mwanamke ataingia reba tu aone kupoje reba kuma nina zake huyo binti kama aliona bos wake ana mtesa si lazima kuishi hapo angeondoka kwa aman tu kuliko kumdhuru mtoto wa mwezie yaani huyo bint namumaindi kinoma sana pumbavu zake
Inawezekana bint mwanga huyu haiwezekani kabisa ku mjeruhi mtoto kiasi hiki!
Police ni kweli hiyo ni kazi yenu,lkn mngeniachia naye nimkate hapo kidogo uwiiiiiiiii
Jaman Tanzania sahiz imeharibika jaman watu hawana hofu ya mungu watu wanatuharibia watoto wetu ewe mola wetu tusaidie tuwe na hofu ya mungu
Haya maji ya akina mwamposa yameharibu watu.
Unaombewa upate gari wakt anaye kuombea anataka umpe hela anunue gari yake
Hamasisheni watu wamwamini yesu kristo mwana wa mungu aliye hai waokoke watubuzambi zao kwa mungu hawa waovu suluhisho sio vyombo vya dora mbona bado matukio ndo yanazidi ilipasa ninyi viongozi muwe vipaombele kuwahamasisha watu wafaham uwepo wa mungu jamani wadam hupenda kujitegemea bila kutegemea mungu wakumbusheni sasa ninyi mamlaka!
Amina
Unavyojikaza kama kamanda kweli vile. Jamaniiiiii tumikieni kwa haki hiyo kazi ni ngumu na ni rahisi pia.
Polisi mkiamua mnafanya.asante saana
Hongera police bora Ange acha kaz au aibe pesa kuliko kuchinja
Yaani Huyo Bint pamoja nakumlea Msalimie hakuna kuwa naye analelewa Mwanga mkubwa
Mbwa huyo mngemkata mikono kwanza
Bodyguard akwepesh jicho yupo serious dar cjui ni mafunzo ya macho.
Ni kweli maboss wengi wananyanyasa wadada wa kazi ndio mana nao wanalipiza kisasi kikubwa maboss waishi na wadada wa kazi kama wanavoishi na watoto wao wa kuwazaa ili pawepo na Amani kwenye familia
Alhamdulillah 🙏
Tunataka hukumu takatifu
😂😂 kjn
mahakama ndo inatoa hukumu
kaz nzuri sana jeshi la police
MZEE LILO MIE SHAKUZOEA TULI WAFIKISHA HOSPITAL KWA BAHATI MBAYA WAKA FARIKI MBONA SISIKIII MZEE WANGU WASAKE AO WATU🤣🤣🤣😘😘
Duu hatari sana
Poleen familiia😂😂😂😢
Huyu anashida ya akili mbona mm siko ivyo nina miaka mitano nafanya naninlipwa vizuri tu
Iyo milembe si ocpitar ya vichaa jmn kwaiyo jina la ukoo lina jielezea2 kuw ni mtu wa aina gan
Yaani
Uchunguzi wa kisayansi. Murirooo😅
Huyu afande inatakiwa awe IGP
Wasisahau kukamata walioiba pesa mabilioni zilizotangazwa na C.A.G sio wanauza sura kweye mambo mepesi mepesi.
Saf Sana polis
HONGERANI SANA POLICE
Kama ningekuwa hakimu.Dhamana huyo angeisikia tu.
I.G.P wa baaadae...
Hata Kama waanasumbuliwa hawana haki kuuwa
Kwanini msiwakamate watu wanaoteka nakuua watu? Mtoto mdogo ameshikwa kwa sababu hakuwa na pakwenda..hao wanaoua watu why hata mmoja asishikwe?
Alishindwa kukimbilia hata mbwinde huko Off gride😅 no internet no umeme😅
ahukumiwe kunyogwa2 mana hyu ukimuoa harafu unamtoto wamke mwingne ukamuachia yeye ndio mama wakambo ukiludi kazini utakuta kichwa kwenye friji
😂
Jina tuu hiyo MIREMBE tuu katoka ukoo wavichaaa
Mbn wasiojulikana hawakamatwi...😅
🎉
Nikisikia kahojiwa kwa Kina Mmh naogopa maana nahisi kifinyo so😭 chakispot sport
Sina Imani na akili za huyo msichana akapimwe akili kuumchinja mtoto kama kuku😳
Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia
Asnte sana jeshi.letu la.polisi
Hawa mirembe mbona wana ukatili au wana visa vya uadui mkubwa
Hawa watekaji inaonyesha Kuna kundi ambalo yupo mtu mkubwa anawatuma. Mungu atunusuru
Achinjwe Kama alivomchija mtoto
Kamanda vp kuhusu Hawa wanaoiba watoto maan Sasa hv mbk chooni tunaenda nao
Samam naomba nicheke 😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Mungu Mkubwa
Hayo ni mapepo yanataka damu ya mtu
Bodgad upo makini
Kamanda ukovizuri sana hakika unachapakazi juzi umetoa tarifa naleo mbaroni upewe mauayako
Yani nchi yetu ii mbovu sana wanaoteka watu awawakamati nawanawajua afu et binti wawatu wakazi ndio wamejifanya et wako makini mbna mashoga amuwakamati ovyo tu
Yaani natamani na yeye akatwe km ulivomkata huyo mtoto
Daah uyo polisi nyuma ya kamanda kavunja rekodi ya kutopepesa macho asee atari😅😅😅
utafikir sanamu😅
@vailethuds😂😂😂😂on2771
Mtot naye anaendeleaje ?
Wana watesa sana mabosi hawa mabinti ndo maaana wanakuwa wanahasira
Ningekuwa
Wanawake nao wapunguze kutafuta hela familia zinateketea
Hapo piano wazazi wajenge mahusiano mazuri na wafanya kazi maana upendo unaweza kupotea kutokana na manyanyaso kwa wafanyakazi.Mfano:mfanyakazi unamdharau unanyanyasa halafu utegemee atampa upendo mzuri mwanao?siyo kweli.ukipanda MSHUBIRI utavuna SHUBIRI.Tafakari chukua hatua
Hua sipendi haya mawazo mtu anapotela wakati mtoto wa mtu kapata shida Japo unaweza kua sahihi ila sio moja kwa moja. Sio kila mfanyakazi anaetenda baya kwa mtoto ananyanyaswa. Wengine wanakua wanamatatizo au malengo yao binafsi. Kwanza wengi tunaoona wananyanyaswa wala hawana akili za kufanya huo ubaya. Tuache kukariri. Watu wana shida za akili na wengine washirikina, wanakuja kwa upole na kuiifanya wema kumbe wana agenda zao
Punguza nyeto kijana umeanza kupoteza hakili
Mi nashauri uyo binti aojiwe kwanza kilicho msibu ikiwezekana na akili mpime na mabosi bunguzeni kunyanyasa wadada wa kazi tambueni wanawalipizia watoto wenu kila mnalo wafanyia iwe wema au ubaya
Kumbe jina lake ni milembe😂😂😂
Tanzania ifute Wasaidizi majumbani kama nchi za wenzetu
Magonjwa ya akili yameongezeka Tanzania na hamna utaratibu mzuri wa kuajiri hao wafanyakazi wa ndani ukute mtu ni mgonjwa wa akili Na ukute ni mtoto chini ya miaka 18 halipwi vizuri kwa hiyo combination yote inakuwa matokeo ni unyama ! Pole sana mtoto uliyeumizwa !
Umeongea point sana ila Kwa tatizo la akili hapana huyu anaakili timam asingeweza kujificha angebaki pale pale nyumban ila wamuhoji Kwa kina Inawezekana Kuna shida kubwa iliopelekea paka afanye hilo tukio
@@dotnatajoseph2620 kuna kitu kinaitwa psychos unakuwa mgonjwa wa akili na unapata hizo condition muda fulani ndio maana wagonjwa wa akili wanakuwa muda mwingine wako vizuri halafu vinatimka !
Jomoni imekuwa hatari hii tuwalinde watoto wetu
Daaah huyo jamaa Apo nyuma hachezeshi Macho Asee mmmh
😅 wew umemuona Tu huyo jamaa et
@@DiyuNalim-ch7wq Ujue Katika harakati za kumsikiza Kamanda nakuta Kuna macho yana ni face ndio ikabidi nimzingatie 🤣🤣🔥🔥🔥🙌🙌
Wanawezaje mi siwezi
Kumbe naye anabodgard
Nyoooo msukuma snambo mambaya umesha wao sikia nyoko unabwabwajatuu msukuma
Nauza maroboti ya kazi , kamaunaitaji nicheki , product kutoka China
Inabid uyo dada wa kaz apimwe na akili
Mtoto alijiokoa akatoka nje na kusema dada kaniumiza
Tunaweza kumtumia Joyce Kiria kupata wadada wa kazi. Hapa unakuwa na mkataba na mfanyakazi wa ndani anajua majukumu yake na wewe inajua majikumu yako.. na wanajielewa na pia Joyce na team yake huwa wanawafuatilia kwa ukaribu kijua utendaji wao na wajibu wako mwajiri. Ifike mahali hii iwe ni ajira rasmi kwa wanaojielewa.
Hawa madada wa kazi ni maagent wa kuzimu
Ni kwelii wmekosea sana Tena sana ni kwelii ni maagent wa kuzimu kwani Kila uovu unaofanyika wanafanya wadada wa kazi tuuu inamaana wewe hujawai Fanya uovu wowote.hasira isikufanye ukufuru dear,Cha msingi twendelee kumuimba Munguuu
Kamanda umenenepa asaivi
Jina lenyewe tu ni milembe
Musiajiri wadada makafiri
Naitaji kufahamu maana ya kafiri
Kafir anafananaje tujuze tujue
Msenge mmoja kwa hiyo polis ije ikutunzie wanao kuzaavtu kutunza huwez adi utuaziwe😂😂😂
Usitukane watu hovyo ukiwa elimu huna unajua majukumu ya polisi wewe kilaza
Mi nadhani huyu mtu kawatukana watu eanaoishi na wadada wa kazi nadhani yeye ndo atakuwa mpumbavu hivi anajielewa kweli?
Tatizo watu wanao wachukua mabinti wafanya kazi wanawasumbua na kuwanyanyasa sana japo binti anamakosa lakini msiangalie tu makosa yake angalia na sababisho toka kwa boss wake
Akinyanyaswa si bora arudi kwao? Sasa huoni kifungo kinamuhusu?
Adili na boss wake sio mtt
Huo ni uongo, kunyanyaswa gani ukate mtoto koromeo. Huyo ana mapepo, matatizo ya afya ya akili. Na ana roho ya uuwaji.
Ajili fanyeni uchunguzi kabla ya kukabizi mtoto wako kwa mtu usiyemjua.
Watu wengine sijui ata wana waza nini vichwa vyao.😮
Unyanyaswe na bosi umdhuru malaika wa mungu.kweli kabisaaa