POLISI WALIVYOMKAMATA DADA WA KAZI ALIYEMKATA KOROMEO MTOTO WA BOSS WAKE, "ALIJIFICHA KWENYE PAGARA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 286

  • @LatifaJuma-z5w
    @LatifaJuma-z5w 2 месяца назад +10

    Mungu awabariki jeshiletu la polisi kwa kazi nzuri 🇹🇿🇹🇿

  • @maxmiliankoga2711
    @maxmiliankoga2711 2 месяца назад +3

    Hongera jeshi la polisi kwa kazi nzuri mliyofanya

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 2 месяца назад +2

    Alhamdulillah🤲' hongereni sana jeshi la Polisi Tz

  • @estersilver9872
    @estersilver9872 2 месяца назад +18

    Hongereni sana police wetu kwa kazi nzuri.. Ni wajibu wa kila mTz kuwa Linda watoto wetu

  • @FATUMASHAABAN
    @FATUMASHAABAN 2 месяца назад +1

    Mungu awabariki jeshi la police 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿, Tanzania

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri jeshi letu!Hongera

  • @faridaally-jp1gx
    @faridaally-jp1gx 2 месяца назад +8

    Kazi nzuri polisi wetu

  • @HilgathAnthony
    @HilgathAnthony 2 месяца назад +6

    Hongera sana jeshi la polis

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 2 месяца назад +16

    Kanda maalum ya Daslaam😂😂 namkubali sana huyu kamanda

    • @ankotemba7369
      @ankotemba7369 2 месяца назад +2

      Anaongea kwa nukta hadi raha😂😂😂😂

    • @bengallettv6568
      @bengallettv6568 2 месяца назад

      "Jeshi la polisi Kanda maaalumu ya dar es salaam "

    • @vickytango5591
      @vickytango5591 2 месяца назад

      😂😂

  • @sheruajafari1676
    @sheruajafari1676 2 месяца назад +1

    Duuh hongereni jeshi la police kwa kumkamata uyo dada

  • @bonifacegasper9508
    @bonifacegasper9508 2 месяца назад +1

    Hapa mulilo,good,kazi njema.❤

  • @YunisJerald
    @YunisJerald 2 месяца назад +8

    😢😢😢😢little boy Pole.Hukumu iwe kali

  • @ZulfahMuhammad
    @ZulfahMuhammad 2 месяца назад +2

    Hongereni sana kwa kazi zuri na Mola awakabariki jeshi la police mdada yule anastahiki adhambu haswa iwe funzo kwa wadada wangine wasirejeye ukatili kama huyu alio upitia Malik 😢😢😢

  • @SwaleheMosha-d8p
    @SwaleheMosha-d8p 2 месяца назад +1

    Barikiwa afande tokomeza uhalifu baba piga kazi daima tunakuombea

  • @ReganChuwa
    @ReganChuwa 2 месяца назад +1

    Safi makamanda Mungu awabariki nawakuwatakia nguvu zakufanya kazi

  • @mohamedrajabu9055
    @mohamedrajabu9055 2 месяца назад +1

    Masha allah hapana chezea kikosi chetu cha police na jeshi letu kaka mavu Tanzania oyeeeeee

  • @HidayaMwakilema
    @HidayaMwakilema 2 месяца назад +1

    Mungu awabariki jeshi la polisi

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 2 месяца назад

    😂😂 Hilo jina tu mirembe hongera jeshi letu

  • @VeronicaMacha-pl3xt
    @VeronicaMacha-pl3xt 2 месяца назад +1

    Jeshi la polisi ninawapongeza sana kwa juhudi zenu za kutenda kazi Mungu azidi kuwaongezea maarifa.

  • @marybanyakile434
    @marybanyakile434 2 месяца назад

    Hongera saana Jeshi letu la police! Hongera hongera sana asanteni sana! Aluta Continue!

  • @HEKIMAKAPANGE
    @HEKIMAKAPANGE 2 месяца назад

    Eee mungu simama mwenyewe ❤❤❤❤

  • @jenymtafya3430
    @jenymtafya3430 2 месяца назад +7

    Kama hujawahi kukaa na hawa viumbe wanaoitwa wadada wa kazi huwezi kuwaelezea ipasavyo, kuna wengine ni wa ajabu sana hawaridhiki hata ufanye nini😢😢

    • @malichanda3146
      @malichanda3146 2 месяца назад +1

      Hata maboss engine wamezidi ukali 😂😂

    • @rehemaomary3493
      @rehemaomary3493 2 месяца назад +1

      Fanya kazi zako mwenyewe huko 😏😏😏😏😏

    • @ZawardPetrol
      @ZawardPetrol 2 месяца назад +1

      Wengine wanadharau sana
      Yaani hawanahata hofu ndani yao na hawataki Kuwa chini ya bosi kama inavyotakiwa yaani wanataka wafanye Kila walitakalo mfano aondoke na aende popote. Tu bila ruhusa yoyotee na bila hata kutoa taarifa

  • @asumaathuman6094
    @asumaathuman6094 2 месяца назад +6

    Tulinde watoto sana kwaunakni😢

    • @DativaMtayoba
      @DativaMtayoba 2 месяца назад +1

      Uwezi kumlinda mtoto ata siku Moja maana anatoka anacheza anaenda shule uwez jua ni mda gan atapatwa na tukio wengne unakuta upo kwenye miangaiko kikubwa ni kuomba mungu atulindie watoto wetu

  • @plotagonworld-sc4ln
    @plotagonworld-sc4ln Месяц назад

    Duuu 😢

  • @HusnaSalum-p1q
    @HusnaSalum-p1q 2 месяца назад +1

    Asanteni sana

  • @hawa6052
    @hawa6052 2 месяца назад

    Hongera jeshi letu la police

  • @najmahamisi3511
    @najmahamisi3511 2 месяца назад

    Mm hapo nikiangalia huyu dada achunguze vizuri huenda ni msongo WA mawazo umepelekea kufanya tukio Hilo Je alikuwa anaishi vizuri na bosi wake kufanya tulikio la kinyama mtu yoyote anaweza kufanya unapofika hatua hiyo Kwa hiyo achungunzwe huyo boss wake na yeye huyu mwengine akiendelea na azabu yake

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 2 месяца назад

    Hongera jeshi letu la police kazi mnaifanya

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 месяца назад +3

    Kachomeni moto iwe fundisho,hilo lingetakiwa liwe imani,likutane & mtoto wa boss ale mateke ya mbavu,pia lingetakiwa likutahe na lile boss la Oman linamtemea mdada mate usoni.

  • @DeruDeru-p4t
    @DeruDeru-p4t 2 месяца назад +4

    Aise nihatali sana sasa huyu binti anapata wap ujasili wa kumdhuru mtoto wa mwezie jaman isitoshe yeye pia ni mwanamke ataingia reba tu aone kupoje reba kuma nina zake huyo binti kama aliona bos wake ana mtesa si lazima kuishi hapo angeondoka kwa aman tu kuliko kumdhuru mtoto wa mwezie yaani huyo bint namumaindi kinoma sana pumbavu zake

    • @marybanyakile434
      @marybanyakile434 2 месяца назад

      Inawezekana bint mwanga huyu haiwezekani kabisa ku mjeruhi mtoto kiasi hiki!

  • @teddymassawe3583
    @teddymassawe3583 2 месяца назад +2

    Police ni kweli hiyo ni kazi yenu,lkn mngeniachia naye nimkate hapo kidogo uwiiiiiiiii

  • @chikujuma18
    @chikujuma18 2 месяца назад +4

    Jaman Tanzania sahiz imeharibika jaman watu hawana hofu ya mungu watu wanatuharibia watoto wetu ewe mola wetu tusaidie tuwe na hofu ya mungu

    • @mbwanarajab7238
      @mbwanarajab7238 2 месяца назад

      Haya maji ya akina mwamposa yameharibu watu.
      Unaombewa upate gari wakt anaye kuombea anataka umpe hela anunue gari yake

  • @josejosia3024
    @josejosia3024 2 месяца назад +7

    Hamasisheni watu wamwamini yesu kristo mwana wa mungu aliye hai waokoke watubuzambi zao kwa mungu hawa waovu suluhisho sio vyombo vya dora mbona bado matukio ndo yanazidi ilipasa ninyi viongozi muwe vipaombele kuwahamasisha watu wafaham uwepo wa mungu jamani wadam hupenda kujitegemea bila kutegemea mungu wakumbusheni sasa ninyi mamlaka!

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 2 месяца назад

    Unavyojikaza kama kamanda kweli vile. Jamaniiiiii tumikieni kwa haki hiyo kazi ni ngumu na ni rahisi pia.

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 2 месяца назад

    Polisi mkiamua mnafanya.asante saana

  • @AnuaryKISEGE
    @AnuaryKISEGE 2 месяца назад

    Hongera police bora Ange acha kaz au aibe pesa kuliko kuchinja

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 2 месяца назад

    Yaani Huyo Bint pamoja nakumlea Msalimie hakuna kuwa naye analelewa Mwanga mkubwa

  • @Ajijji12
    @Ajijji12 2 месяца назад

    Mbwa huyo mngemkata mikono kwanza

  • @saulielisha9729
    @saulielisha9729 2 месяца назад

    Bodyguard akwepesh jicho yupo serious dar cjui ni mafunzo ya macho.

  • @StumaiWambanguru
    @StumaiWambanguru 2 месяца назад

    Ni kweli maboss wengi wananyanyasa wadada wa kazi ndio mana nao wanalipiza kisasi kikubwa maboss waishi na wadada wa kazi kama wanavoishi na watoto wao wa kuwazaa ili pawepo na Amani kwenye familia

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 2 месяца назад +6

    Alhamdulillah 🙏
    Tunataka hukumu takatifu

    • @fredducaunt
      @fredducaunt 2 месяца назад

      😂😂 kjn
      mahakama ndo inatoa hukumu

  • @VeronicaKalinga-r9d
    @VeronicaKalinga-r9d 2 месяца назад

    kaz nzuri sana jeshi la police

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 2 месяца назад

    MZEE LILO MIE SHAKUZOEA TULI WAFIKISHA HOSPITAL KWA BAHATI MBAYA WAKA FARIKI MBONA SISIKIII MZEE WANGU WASAKE AO WATU🤣🤣🤣😘😘

  • @MarthaCosmas
    @MarthaCosmas 2 месяца назад

    Duu hatari sana

  • @ZukhelLalika
    @ZukhelLalika 2 месяца назад +1

    Poleen familiia😂😂😂😢

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi 2 месяца назад

    Huyu anashida ya akili mbona mm siko ivyo nina miaka mitano nafanya naninlipwa vizuri tu

  • @athumaniashimu1568
    @athumaniashimu1568 2 месяца назад

    Iyo milembe si ocpitar ya vichaa jmn kwaiyo jina la ukoo lina jielezea2 kuw ni mtu wa aina gan

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 2 месяца назад

    Uchunguzi wa kisayansi. Murirooo😅

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 2 месяца назад

    Huyu afande inatakiwa awe IGP

  • @Kwarasi
    @Kwarasi 2 месяца назад

    Wasisahau kukamata walioiba pesa mabilioni zilizotangazwa na C.A.G sio wanauza sura kweye mambo mepesi mepesi.

  • @zamanarajabu3282
    @zamanarajabu3282 2 месяца назад

    Saf Sana polis

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 2 месяца назад

    HONGERANI SANA POLICE

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 месяца назад

    Kama ningekuwa hakimu.Dhamana huyo angeisikia tu.

  • @vannyadam6179
    @vannyadam6179 2 месяца назад

    I.G.P wa baaadae...

  • @inocestiavicent4059
    @inocestiavicent4059 2 месяца назад +4

    Hata Kama waanasumbuliwa hawana haki kuuwa

  • @peterjohnbahhi1565
    @peterjohnbahhi1565 2 месяца назад

    Kwanini msiwakamate watu wanaoteka nakuua watu? Mtoto mdogo ameshikwa kwa sababu hakuwa na pakwenda..hao wanaoua watu why hata mmoja asishikwe?

  • @VanShayokviewshoursago
    @VanShayokviewshoursago 2 месяца назад

    Alishindwa kukimbilia hata mbwinde huko Off gride😅 no internet no umeme😅

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 месяца назад +4

    ahukumiwe kunyogwa2 mana hyu ukimuoa harafu unamtoto wamke mwingne ukamuachia yeye ndio mama wakambo ukiludi kazini utakuta kichwa kwenye friji

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 2 месяца назад

    Jina tuu hiyo MIREMBE tuu katoka ukoo wavichaaa

  • @mansoorburuhan6791
    @mansoorburuhan6791 2 месяца назад

    Mbn wasiojulikana hawakamatwi...😅

  • @AyishaOman-cw4xs
    @AyishaOman-cw4xs 2 месяца назад

    🎉

  • @FatumaKilongozi
    @FatumaKilongozi 2 месяца назад

    Nikisikia kahojiwa kwa Kina Mmh naogopa maana nahisi kifinyo so😭 chakispot sport

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 2 месяца назад

    Sina Imani na akili za huyo msichana akapimwe akili kuumchinja mtoto kama kuku😳

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 2 месяца назад

    Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 месяца назад

    Asnte sana jeshi.letu la.polisi

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 2 месяца назад

    Hawa mirembe mbona wana ukatili au wana visa vya uadui mkubwa

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 2 месяца назад

    Hawa watekaji inaonyesha Kuna kundi ambalo yupo mtu mkubwa anawatuma. Mungu atunusuru

  • @stevensoso7506
    @stevensoso7506 2 месяца назад

    Achinjwe Kama alivomchija mtoto

  • @HabibuMuhunzi
    @HabibuMuhunzi 2 месяца назад +4

    Kamanda vp kuhusu Hawa wanaoiba watoto maan Sasa hv mbk chooni tunaenda nao

  • @NeemaDanieli-qo1pk
    @NeemaDanieli-qo1pk 2 месяца назад

    Mungu Mkubwa

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 2 месяца назад

    Hayo ni mapepo yanataka damu ya mtu

  • @ashuramuhammed3257
    @ashuramuhammed3257 2 месяца назад +2

    Bodgad upo makini

  • @HammertoneNgomuo
    @HammertoneNgomuo 2 месяца назад

    Kamanda ukovizuri sana hakika unachapakazi juzi umetoa tarifa naleo mbaroni upewe mauayako

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 2 месяца назад

    Yani nchi yetu ii mbovu sana wanaoteka watu awawakamati nawanawajua afu et binti wawatu wakazi ndio wamejifanya et wako makini mbna mashoga amuwakamati ovyo tu

  • @NurkhaaNurkhaa
    @NurkhaaNurkhaa 2 месяца назад

    Yaani natamani na yeye akatwe km ulivomkata huyo mtoto

  • @AmaniManase-x1i
    @AmaniManase-x1i 2 месяца назад

    Daah uyo polisi nyuma ya kamanda kavunja rekodi ya kutopepesa macho asee atari😅😅😅

  • @TressKomu
    @TressKomu 2 месяца назад

    Mtot naye anaendeleaje ?

  • @costantinejtujusahani
    @costantinejtujusahani 2 месяца назад

    Wana watesa sana mabosi hawa mabinti ndo maaana wanakuwa wanahasira

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 2 месяца назад

    Ningekuwa

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 2 месяца назад

    Wanawake nao wapunguze kutafuta hela familia zinateketea

  • @florianhashimu1370
    @florianhashimu1370 2 месяца назад +2

    Hapo piano wazazi wajenge mahusiano mazuri na wafanya kazi maana upendo unaweza kupotea kutokana na manyanyaso kwa wafanyakazi.Mfano:mfanyakazi unamdharau unanyanyasa halafu utegemee atampa upendo mzuri mwanao?siyo kweli.ukipanda MSHUBIRI utavuna SHUBIRI.Tafakari chukua hatua

    • @Rehema579
      @Rehema579 2 месяца назад +2

      Hua sipendi haya mawazo mtu anapotela wakati mtoto wa mtu kapata shida Japo unaweza kua sahihi ila sio moja kwa moja. Sio kila mfanyakazi anaetenda baya kwa mtoto ananyanyaswa. Wengine wanakua wanamatatizo au malengo yao binafsi. Kwanza wengi tunaoona wananyanyaswa wala hawana akili za kufanya huo ubaya. Tuache kukariri. Watu wana shida za akili na wengine washirikina, wanakuja kwa upole na kuiifanya wema kumbe wana agenda zao

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 2 месяца назад

      Punguza nyeto kijana umeanza kupoteza hakili

  • @NaziaMudi
    @NaziaMudi 2 месяца назад

    Mi nashauri uyo binti aojiwe kwanza kilicho msibu ikiwezekana na akili mpime na mabosi bunguzeni kunyanyasa wadada wa kazi tambueni wanawalipizia watoto wenu kila mnalo wafanyia iwe wema au ubaya

  • @dannymoses1882
    @dannymoses1882 2 месяца назад

    Kumbe jina lake ni milembe😂😂😂

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 месяца назад

    Tanzania ifute Wasaidizi majumbani kama nchi za wenzetu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 2 месяца назад +1

    Magonjwa ya akili yameongezeka Tanzania na hamna utaratibu mzuri wa kuajiri hao wafanyakazi wa ndani ukute mtu ni mgonjwa wa akili Na ukute ni mtoto chini ya miaka 18 halipwi vizuri kwa hiyo combination yote inakuwa matokeo ni unyama ! Pole sana mtoto uliyeumizwa !

    • @dotnatajoseph2620
      @dotnatajoseph2620 2 месяца назад

      Umeongea point sana ila Kwa tatizo la akili hapana huyu anaakili timam asingeweza kujificha angebaki pale pale nyumban ila wamuhoji Kwa kina Inawezekana Kuna shida kubwa iliopelekea paka afanye hilo tukio

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 2 месяца назад

      @@dotnatajoseph2620 kuna kitu kinaitwa psychos unakuwa mgonjwa wa akili na unapata hizo condition muda fulani ndio maana wagonjwa wa akili wanakuwa muda mwingine wako vizuri halafu vinatimka !

  • @Maisala-g4n
    @Maisala-g4n 2 месяца назад

    Jomoni imekuwa hatari hii tuwalinde watoto wetu

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 2 месяца назад

    Daaah huyo jamaa Apo nyuma hachezeshi Macho Asee mmmh

    • @DiyuNalim-ch7wq
      @DiyuNalim-ch7wq 2 месяца назад

      😅 wew umemuona Tu huyo jamaa et

    • @vicentmlumba591
      @vicentmlumba591 2 месяца назад

      @@DiyuNalim-ch7wq Ujue Katika harakati za kumsikiza Kamanda nakuta Kuna macho yana ni face ndio ikabidi nimzingatie 🤣🤣🔥🔥🔥🙌🙌

  • @HASSANBAKARI-q9c
    @HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад

    Wanawezaje mi siwezi

  • @AmiriTwaha
    @AmiriTwaha 2 месяца назад

    Kumbe naye anabodgard

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania 2 месяца назад

    Nyoooo msukuma snambo mambaya umesha wao sikia nyoko unabwabwajatuu msukuma

  • @plotagonworld-sc4ln
    @plotagonworld-sc4ln Месяц назад

    Nauza maroboti ya kazi , kamaunaitaji nicheki , product kutoka China

  • @cclaudeshilling957
    @cclaudeshilling957 2 месяца назад

    Inabid uyo dada wa kaz apimwe na akili

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz 2 месяца назад

    Mtoto alijiokoa akatoka nje na kusema dada kaniumiza

  • @pendosailo1989
    @pendosailo1989 2 месяца назад

    Tunaweza kumtumia Joyce Kiria kupata wadada wa kazi. Hapa unakuwa na mkataba na mfanyakazi wa ndani anajua majukumu yake na wewe inajua majikumu yako.. na wanajielewa na pia Joyce na team yake huwa wanawafuatilia kwa ukaribu kijua utendaji wao na wajibu wako mwajiri. Ifike mahali hii iwe ni ajira rasmi kwa wanaojielewa.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 месяца назад +1

    Hawa madada wa kazi ni maagent wa kuzimu

    • @AnnaAnyosisye
      @AnnaAnyosisye 2 месяца назад

      Ni kwelii wmekosea sana Tena sana ni kwelii ni maagent wa kuzimu kwani Kila uovu unaofanyika wanafanya wadada wa kazi tuuu inamaana wewe hujawai Fanya uovu wowote.hasira isikufanye ukufuru dear,Cha msingi twendelee kumuimba Munguuu

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 2 месяца назад

    Kamanda umenenepa asaivi

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 2 месяца назад

    Jina lenyewe tu ni milembe

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 2 месяца назад +1

    Musiajiri wadada makafiri

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki 2 месяца назад

    Msenge mmoja kwa hiyo polis ije ikutunzie wanao kuzaavtu kutunza huwez adi utuaziwe😂😂😂

    • @jafarinauma6798
      @jafarinauma6798 2 месяца назад

      Usitukane watu hovyo ukiwa elimu huna unajua majukumu ya polisi wewe kilaza

    • @ZawardPetrol
      @ZawardPetrol 2 месяца назад

      Mi nadhani huyu mtu kawatukana watu eanaoishi na wadada wa kazi nadhani yeye ndo atakuwa mpumbavu hivi anajielewa kweli?

  • @jumannekamota4870
    @jumannekamota4870 2 месяца назад +22

    Tatizo watu wanao wachukua mabinti wafanya kazi wanawasumbua na kuwanyanyasa sana japo binti anamakosa lakini msiangalie tu makosa yake angalia na sababisho toka kwa boss wake

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 2 месяца назад +13

      Akinyanyaswa si bora arudi kwao? Sasa huoni kifungo kinamuhusu?

    • @fettiemaganza1484
      @fettiemaganza1484 2 месяца назад +7

      Adili na boss wake sio mtt

    • @vanessastafford6426
      @vanessastafford6426 2 месяца назад +13

      Huo ni uongo, kunyanyaswa gani ukate mtoto koromeo. Huyo ana mapepo, matatizo ya afya ya akili. Na ana roho ya uuwaji.

    • @vanessastafford6426
      @vanessastafford6426 2 месяца назад +2

      Ajili fanyeni uchunguzi kabla ya kukabizi mtoto wako kwa mtu usiyemjua.

    • @salhasuleiman3671
      @salhasuleiman3671 2 месяца назад +6

      Watu wengine sijui ata wana waza nini vichwa vyao.😮
      Unyanyaswe na bosi umdhuru malaika wa mungu.kweli kabisaaa