Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali
HTML-код
- Опубликовано: 7 сен 2024
- Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na operation ya kusaka na kuwakamata wahalifu mbalimbali ambapo miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Polisi feki, wakabaji wa kutumia nguvu, wavunjaji wa nyumba pamoja na wahamiaji haramu ambao wanadaiwa kuingia nchini bila vibali maalum.
huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa
Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.
Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.
Ezekiel michael Msigala swadakta
ninomaa dom
Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.
Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa
MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU
Watapata tabu sana
Mwngne anardsha tumbo
Ajali dar
Kamanda safi sana unastahili pongezi umeitendea haki taaluma yako...
Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤
Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu
Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo
Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae
Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyruclips.net/video/ctGxynrpAZA/видео.html
Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa
Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.
Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao
Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP
Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo
Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz
Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏
dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii
Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.
Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.
mtanzania mzalendo
Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂
Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana
mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka
Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli
mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma
mohammed abdallah
mohammed abdallah 😂😂😂😂
uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono
Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa
Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.
Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu
Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏
Dodoma safiiiiiiiiii
man jaruu jr safi kabsaaaa
Achakurudisha tumbo.
Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,
Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi
Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi
Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏
Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana
Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana
Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote
woooyooh!!!!!!
Dodoma safi!!
toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa
Dodoma noma aipimiki
Hahahahahaahs nimependa Kwa kauri mbio watapata tabusaaaaana muroto noma kama unamkubari gonga like hapa
Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa
This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community
Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,
Aman Mark katokea Dar,Mkoa wa Kipolisi Temeke😆
Aman Mark .
nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅
Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr
Hongera sana afande wa Dodoma.
Nampenda sana kamanda huyu
Chapa kazi wajina
Kamanda upo vizuri
Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"
Utrafik gn matumbo kama vigoda nyoo munge nikaba mm pumbavu zenu ningewazalisha
Hhhhhh asante
Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela
Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.
Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .
safi kamanda Mtoto hapa kazi tu
Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee
Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi
Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.
daaaa aisee kat ya siku nilizocheka n leo nusu nianguke
Safi sana kamanda mroto.
RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂
Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma
Natabiri huyu RPC atakuja kuwa IGP dah ananichekesha sana anavyoongea 😀😀😀😀
kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu
Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..
Halafu nyie mashoga kila video eti gonga like hapa mnaboa kinoma yaani
Kwel as
😁😅👌
hha hata kwako tumefonga like haha 😂
Kamanda tunakuitaji Dar💪💪
Kazi nzuri
Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz
Alijua atasamehewa alivyo ulizwa utabadilika duuuuh kumbe Afande hayuko hivyo
Christina Matrida .
Nimependa ufanyavo kijana zurura upendavo ukiiba Dodoma utoki sio kukamata ovo eti uzululaji kwanza ushaidi tunauona live wewe askari ngangali na vijana wako
Kama ni ww angexemaje ukwel duh
Kamanda nakukubali sana kaz nzur
.safiiii kamada
kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana
Kamandaaaaa👏👏👏👏👏
Hongera kwa kaz nzur RPC wangu kipenz...mtenda Kaz uliyetukuka
Amani kwako bro Yusuph
Hao police feki adi dar es salaam wapo ilala vingunguti wanasababisha adi ajali
Chapa kazi baba murotu
Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.
Safi sana kamanda Muroto
duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo
Hayo makofi mdogo madogo huwa yananiacha hoi wallah 😁😁😁😁 watapata tabu sana
kamand mchapakaz 👏
Kamanda safi sana
Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.
Mzee upo vizuri
daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao
Safi sana kamanda
Safi sana kamanda unasafisha jiji
kamanda upon making hongera sana
Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA
Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!
Safi kamanda
Muroto baba uko vizuri
kamanda mm nakukubali sana nataman hata ungekuwa mkoa wetu wa tanga mana huku watu wanishi kiujanja sana
kazi nzur afande
Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao
Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà
Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama
Nimekupenda afande,!
we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya
Pereka jela wote hao wakalekebishwe tabia uko, hao watu ni hatari sana kamanda
safi sana kamanda
Watapata tabu sanaaa kama unampenda kamanda hebu mwaga like za kutosha.anafaa sana hakika mazuri yasifiwe jamani mkoa umetakata...njo na Arusha kidogo 😂😂😂😂
kwelii ukingia kwenye 18 za muroto hutoki lazima upate tabu anawabonyeza tumbo majamaa nimecheka balaa
😁😁😁😁
Kamanda big up! 💪💪💪👏👏👏👏
Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha
Uko vzr mkuuu big up
4:13 hapa alitamani kumlamba kofi. 😂 Eti _Mtu munene afya nzuri lakini muhalifu_ 🤣🤣🤣
Sheria ifuate mkondo