Polisi feki waliokamatwa Dodoma, RPC Muroto akiwahoji maswali

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • Jeshi la Polisi mkoani Dodoma likiongozwa na Kamanda wake Gilles Muroto limeendelea na operation ya kusaka na kuwakamata wahalifu mbalimbali ambapo miongoni mwa waliokamatwa ni pamoja na Polisi feki, wakabaji wa kutumia nguvu, wavunjaji wa nyumba pamoja na wahamiaji haramu ambao wanadaiwa kuingia nchini bila vibali maalum.

Комментарии • 484

  • @ezekielmichaelmsigala8545
    @ezekielmichaelmsigala8545 6 лет назад +256

    huyo kamanda anafaa sana maana mal za raia anazirudisha mikonon mwao. kama umemkubal muroto gonga rike hapa

    • @kassimandrea8540
      @kassimandrea8540 6 лет назад +7

      Ezekiel michael Msigala Namkubali kwelikweli huyu Kamanda Mungu mpe umri mrefu Amin amini amini.

    • @anthonyluhumbika4693
      @anthonyluhumbika4693 6 лет назад +1

      Ezekiel michael Msigala siyo rike ni like correction please.

    • @komboomar8275
      @komboomar8275 6 лет назад +1

      Ezekiel michael Msigala swadakta

    • @shekhekhandereizer559
      @shekhekhandereizer559 6 лет назад +1

      ninomaa dom

    • @azizamwimbe9417
      @azizamwimbe9417 6 лет назад +2

      Hata mimi namkubali kwa kweli may Allah protect him.

  • @maikomgwao4906
    @maikomgwao4906 6 лет назад +65

    Kama unamkubali kamanda gonga laik apa twende sawa

  • @BurhaniLiyau
    @BurhaniLiyau 6 лет назад +88

    MTU MNENE AFYA NZURI LAKINI MHALIFU KAMANDA MAKINI SANA HUYU

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 10 месяцев назад +1

    Hongera sana jeshi letu la polisi kun'gamua na kuchukua hatu Kali kwa wapuuzi hao👏❤

  • @labanakyoo4177
    @labanakyoo4177 2 года назад +1

    Hongera kwa jeshi la polisi, wezi wakomeshwe ,hatuafanyii kazi wao pumbavu

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +52

    Wanahitajika makamanda kama hawa kwakweli Mungu akulinde wasije kukutoa roho maana kazi unayofanya kuna wanaochukizwa nayo

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 лет назад +1

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister Mungu awe nae

    • @mustaphahassan589
      @mustaphahassan589 6 лет назад

      Mwanajuma Mahundumla welcome to my channel ukhtyruclips.net/video/ctGxynrpAZA/видео.html

    • @mimielias5422
      @mimielias5422 6 лет назад

      Mwanajuma Mahundumla kweli kabisa

    • @davidmakwala6012
      @davidmakwala6012 5 лет назад

      Huyo policy aneshikwa tumbo Alisha wahikunikamata kumbe feki.

    • @faridafarida4314
      @faridafarida4314 4 года назад

      Nimekubali kamanda hapo kazi tu wakomesheni hao

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV 6 лет назад +3

    Nimekupenda sana kamanda, uko vizuri, ulistahili kua IGP

  • @paulmadundo8084
    @paulmadundo8084 6 лет назад +1

    Asante sana kamanda wangu!!, kamanda Muroto on air again!!. Kazi nzuri, endelea kuimarisha ulinzi wa raia wema na mali zao. Kwa kufanya hivo unaokoa mambo mengi sana Kamanda M.
    Dhibiti! tupe na taarifa.... tunafarijika kuona na kusikia hivo

  • @peterchesam5737
    @peterchesam5737 5 лет назад +1

    Kamanda Honge kwa kazi Nzur , Naomba makamanda wengne waige mfano huu mikoa yote Tz

  • @mosesjnr8436
    @mosesjnr8436 6 лет назад +7

    Huyu RPC murotto ni kiongozi bora wa mwaka 👏👏

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 лет назад +28

    dingi muroto hoyeeee wataelewa tu ukingia dodoma hutokiii

  • @jensennashon6147
    @jensennashon6147 6 лет назад +2

    Mungu akulinde kamanda Muroto kwa kazi nzuri.

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 6 лет назад +4

    Watapata taabu sanaaa!!!! Huyu Afande asitoke Dom,Presdaa usimpandishe cheo mapema asafishe kwanza Dodoma!!! Hongera Sanaa MUROTO.

  • @divineidentity9445
    @divineidentity9445 5 лет назад +4

    Muroto akiwa anakuhoji utazani anakuachia kumbe anakusukuma ndani 😂😂😂😂

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 6 лет назад +39

    Eti ameshawahi kukaba ata mama yake, ujanja hapa mjini hakuna, hili tumbo brother fanya kazi huyu afande kila nikiona taarifa yake lazma nimsikilize nakuwa nacheka sana

    • @mwanajumaomahundumla6504
      @mwanajumaomahundumla6504 6 лет назад +1

      mohammed abdallah mi nampenda sana sio Dar kila siku kuona matako tu na chuki za kisiasa na wanaompinga huyu basi na wao wezi au vibaka

    • @mohammedabdallah6390
      @mohammedabdallah6390 6 лет назад

      Mwanajuma Mahundumla kweli sister huyu afande Mungu amsimamie kwa kweli

    • @p.kasongot979
      @p.kasongot979 6 лет назад +1

      mohammed abdallah Hahahaha iyo yakukaba mama yake noma .eti usirudishe tumbo nyuma

    • @mwalukoerick2801
      @mwalukoerick2801 6 лет назад

      mohammed abdallah

    • @gregorychogelo2013
      @gregorychogelo2013 6 лет назад

      mohammed abdallah 😂😂😂😂

  • @thomassylivester6751
    @thomassylivester6751 5 лет назад +1

    uyu afande nampenda sana anafanya kazi nzuri sana natamani sikumoja nionane nae japo nimpe mkono

  • @user-tu8nm8wb4o
    @user-tu8nm8wb4o 3 месяца назад +1

    Rpc uko vzr sana unafanya kazi vzr kabisa

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har8762 6 лет назад +4

    Kazi nzuri Kamanda nakukubali sana.

  • @kassimandrea8540
    @kassimandrea8540 6 лет назад +2

    Mungu muweke Kamanda wa Dodoma mpe umri mrefu na wajaalie wakuu wa mikoa wengine utendaji kama huu

  • @TedyDaudy-c8t
    @TedyDaudy-c8t Месяц назад

    Hongelen sana jeshi lapolisi mungu awalinde🙏🙏🙏

  • @manjaruujr6504
    @manjaruujr6504 6 лет назад +23

    Dodoma safiiiiiiiiii

  • @thepowerofsilentsoul2135
    @thepowerofsilentsoul2135 3 года назад

    Danzania,, police wenu wezuri kweli god bless all danzania police,,Aki Kaa Ni Kenya utafinywa,,, Kenyan police learn something here,,,

  • @jilindamalgwe1811
    @jilindamalgwe1811 5 лет назад +1

    Jembe sana makamanda Dodoma, Dodoma saaaaaafi

  • @lonickmpumilwa
    @lonickmpumilwa 3 года назад

    Hongera Kwa kazi nzuri unastahili pongezj zaidi

  • @mindirajabu9039
    @mindirajabu9039 3 года назад

    Mgogo mpiga kazi nakukubali sana muroto💯💯💯🙏🙏🙏

  • @Loftyattorneys
    @Loftyattorneys 6 лет назад

    Kazi nzuri sana kamanda nakupongeza sana na serikali kwa ujumla ujanja ujanja hakuna mjini twendelee tu kupata tabu sana

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 лет назад +1

    Jamani mpaka anazeeka ndo wanampandisha cheo huyu Kamanda mzuri sana

  • @anatorydesdery4593
    @anatorydesdery4593 6 лет назад

    Kazi nzuri makamanda,Mungu awe nanyi siku zote

  • @pacxym3874
    @pacxym3874 6 лет назад +1

    woooyooh!!!!!!
    Dodoma safi!!

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 лет назад +9

    toa tumbooo likingia dodoma halitoki lazima utapike sawaaaa

  • @kharidilukanda895
    @kharidilukanda895 6 лет назад +1

    Dodoma noma aipimiki

  • @sembosayenda7182
    @sembosayenda7182 6 лет назад

    Hahahahahaahs nimependa Kwa kauri mbio watapata tabusaaaaana muroto noma kama unamkubari gonga like hapa

  • @hajihansy9598
    @hajihansy9598 5 лет назад +1

    Kamanda hao ndo wezi wa pikipiki maaa uku dar es salamu zina ibiwa sana pkpk hebu muwe mna zitaja pleti namba zao na chesesi na injini namba ili tuzitambue izo pikipiki kamanda huwenza tuka pata pikipiki zetu kama una amini hawa ata pikipiki wana iba gonga like apaa

  • @warsamemahamud1626
    @warsamemahamud1626 3 года назад

    This officer deserves to be promoted share this video and show the president the good job this officer doing for the country and community

  • @amandusmark3060
    @amandusmark3060 6 лет назад +21

    Njoo Dar Kamanda utusaidie maana uku siasa tu badala ya kazi,

  • @emmanueljuvieh4316
    @emmanueljuvieh4316 6 лет назад +1

    nlikua namchukia huyu afande ila sahiv nataman kuona matukio zake 😅😅😅😅😅😅

  • @darweshathumans8302
    @darweshathumans8302 5 лет назад

    Mwenyez Mungu akuongezee maisha maref yny baraka kwa kaz yako nzr

  • @swithinshayo8586
    @swithinshayo8586 4 года назад

    Hongera sana afande wa Dodoma.

  • @saddykayage6519
    @saddykayage6519 6 лет назад +1

    Nampenda sana kamanda huyu

  • @gileskandege4950
    @gileskandege4950 6 лет назад +2

    Chapa kazi wajina

  • @KlemenceShirima-r6i
    @KlemenceShirima-r6i Месяц назад

    Kamanda upo vizuri

  • @JOSEPHASSENGA-jk2iu
    @JOSEPHASSENGA-jk2iu 3 месяца назад

    Afande kazi nzuri kwa kiingereza wanaita "dirty work"

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman7521 6 лет назад +10

    Utrafik gn matumbo kama vigoda nyoo munge nikaba mm pumbavu zenu ningewazalisha

  • @mdzainb3722
    @mdzainb3722 3 года назад +1

    Dodoma kunamatukio nako khaaaaa😠😠😠 wakaozeee jela

  • @bibukaelias9900
    @bibukaelias9900 6 лет назад +1

    Hawa ndio makamanda wanaotakiwa na sio Wale wanaotesa na kunyanyasa viongozi wa upinzani hongera sana kamanda muroto viongozi na makamada wengine waige mfano WA kamanda Muroto.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 3 года назад

      Atwambie basi majambazi waliompiga risasi lisu...hajawakamata tu .

  • @selemankilawa1589
    @selemankilawa1589 6 лет назад

    safi kamanda Mtoto hapa kazi tu

  • @cassianandrewnyonyo2894
    @cassianandrewnyonyo2894 5 лет назад

    Hongera murotto ucilewe cfa mkuu wakalishe wotee

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 6 лет назад

    Nakuelewaga saana Kamanda kazi kazi

  • @thomasnyarusanda2608
    @thomasnyarusanda2608 6 лет назад

    Hongera Kamanda,kweli wewe ni AFANDE. Ukistaafu,tutakumiss sana.

  • @emmanuelimushi7413
    @emmanuelimushi7413 6 лет назад

    daaaa aisee kat ya siku nilizocheka n leo nusu nianguke

  • @williamlema9682
    @williamlema9682 6 лет назад +1

    Safi sana kamanda mroto.

  • @remedymoody
    @remedymoody 6 лет назад +1

    RPC Muroto. Kazi nzuri🤣😂

  • @omaryzuberi2897
    @omaryzuberi2897 6 лет назад

    Kamanda fanya kazi yako nakupa zote zote wezi wanaturudisha maendereo nyuma

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 6 лет назад +1

    Natabiri huyu RPC atakuja kuwa IGP dah ananichekesha sana anavyoongea 😀😀😀😀

  • @asiaokeay1654
    @asiaokeay1654 5 лет назад

    kamanda hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hapa kazi tu

  • @angelamartinchiteji2461
    @angelamartinchiteji2461 6 лет назад

    Pita kote lakin usisogee kweny sumaku ya Muroto... Aiseee utapata tabu saaaana . hongera kamanda ..

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu 6 лет назад +14

    Halafu nyie mashoga kila video eti gonga like hapa mnaboa kinoma yaani

  • @azizamwimbe9417
    @azizamwimbe9417 6 лет назад +1

    Kamanda tunakuitaji Dar💪💪

  • @bakariathumani9011
    @bakariathumani9011 6 лет назад

    Kazi nzuri

  • @ommyd7196
    @ommyd7196 3 года назад

    Mungu akujalie kamanda na jeshi lako la polis kaz nzur watu tunapata shida kwenye kaz

  • @christinamatrida6219
    @christinamatrida6219 6 лет назад +10

    Alijua atasamehewa alivyo ulizwa utabadilika duuuuh kumbe Afande hayuko hivyo

    • @Neighborsjiran
      @Neighborsjiran 6 лет назад

      Christina Matrida .

    • @awadhirajabu3971
      @awadhirajabu3971 6 лет назад

      Nimependa ufanyavo kijana zurura upendavo ukiiba Dodoma utoki sio kukamata ovo eti uzululaji kwanza ushaidi tunauona live wewe askari ngangali na vijana wako

    • @paulinaprosper1154
      @paulinaprosper1154 5 лет назад

      Kama ni ww angexemaje ukwel duh

  • @user-pk2ch7lu5e
    @user-pk2ch7lu5e 3 месяца назад

    Kamanda nakukubali sana kaz nzur

  • @maheligati2936
    @maheligati2936 4 года назад

    .safiiii kamada

  • @isaacbusungu9670
    @isaacbusungu9670 6 лет назад

    kungekuwepo makamanda kama hawa Tanzania ingekuwepo safi sana

  • @lucky9285
    @lucky9285 6 лет назад +1

    Kamandaaaaa👏👏👏👏👏

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba594 6 лет назад +2

    Hongera kwa kaz nzur RPC wangu kipenz...mtenda Kaz uliyetukuka

  • @simpeponestory7637
    @simpeponestory7637 6 лет назад

    Amani kwako bro Yusuph

  • @wawakilishitvonline4484
    @wawakilishitvonline4484 5 лет назад

    Hao police feki adi dar es salaam wapo ilala vingunguti wanasababisha adi ajali

  • @dogowamwaza8519
    @dogowamwaza8519 Год назад

    Chapa kazi baba murotu

  • @emelinmshana6265
    @emelinmshana6265 6 лет назад +1

    Huyo afande anafaa sana dar es salaam muheshimiwa tunamuomba huyo afande dar es salaam. Anafaa sana.

  • @geofreywadeya9972
    @geofreywadeya9972 6 лет назад +1

    Safi sana kamanda Muroto

  • @pascalyfredynandy7220
    @pascalyfredynandy7220 5 лет назад

    duu kweli naomba wafikishwe tu mahakamani haooo

  • @princessfettyrashidi2409
    @princessfettyrashidi2409 6 лет назад +2

    Hayo makofi mdogo madogo huwa yananiacha hoi wallah 😁😁😁😁 watapata tabu sana

  • @akbardasilva2028
    @akbardasilva2028 6 лет назад

    kamand mchapakaz 👏

  • @basumegembotwa3437
    @basumegembotwa3437 6 лет назад

    Kamanda safi sana

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 6 лет назад

    Kamanda uko vizuri sana, Allah akutie nguvu kwa kila hatua unayosonga, wewe ni shujaa.

  • @aishachambo3293
    @aishachambo3293 6 лет назад

    Mzee upo vizuri

  • @user-qq8dj1rh9b
    @user-qq8dj1rh9b 2 месяца назад +1

    daah si waje huku chuga tuondoke na milonjo yaoo daadeki zao

  • @jamalsalimalmahry6878
    @jamalsalimalmahry6878 5 лет назад

    Safi sana kamanda

  • @joelsamson8752
    @joelsamson8752 6 лет назад

    Safi sana kamanda unasafisha jiji

  • @rajabumazua1935
    @rajabumazua1935 6 лет назад

    kamanda upon making hongera sana

  • @joshuasamson4174
    @joshuasamson4174 6 лет назад

    Muroto RPC unatisha kamanda unafanya kazi kubwa kuliko police wote nchini rais akupe zawandi ya nishani maana wewe ndiyo kamanda pekee unayefanya kazi za uhakika mungu akubariki sana na akulinde watapata TABU SANA

  • @lambooluseba8875
    @lambooluseba8875 6 лет назад

    Big up kamanda #mroto. watapata Tabusana!

  • @khamismaulid6839
    @khamismaulid6839 6 лет назад +1

    Safi kamanda

  • @yohanajamestz9950
    @yohanajamestz9950 4 года назад

    Muroto baba uko vizuri

  • @rajabumlau5911
    @rajabumlau5911 5 лет назад

    kamanda mm nakukubali sana nataman hata ungekuwa mkoa wetu wa tanga mana huku watu wanishi kiujanja sana

  • @sasherbaiby7277
    @sasherbaiby7277 6 лет назад

    kazi nzur afande

  • @yohanambonankila932
    @yohanambonankila932 6 лет назад

    Nakukubali xana Afande Muruto,wape tabu sana hao

  • @zegelibilishanga4761
    @zegelibilishanga4761 4 года назад

    Rpc kwa kweli Mungu akulinde japo wakuu wako wanakuludisha nyuma,Mh Magu unamfaa sanaaaaaàà

  • @danielmahega5873
    @danielmahega5873 3 года назад

    Nakukubali sana afande wangu muroto kwa kuliweka jiji salama

  • @philip788
    @philip788 6 лет назад

    Nimekupenda afande,!

  • @winniemwasenga
    @winniemwasenga 6 лет назад

    we baba uishi miaka mingi,, natamani ungekua mkoani kwangu uwanyooshe waharifu. mungu akupe afya

  • @frankmasige4594
    @frankmasige4594 6 лет назад

    Pereka jela wote hao wakalekebishwe tabia uko, hao watu ni hatari sana kamanda

  • @clarencechigoda8191
    @clarencechigoda8191 5 лет назад

    safi sana kamanda

  • @dannykyungay6527
    @dannykyungay6527 6 лет назад

    Watapata tabu sanaaa kama unampenda kamanda hebu mwaga like za kutosha.anafaa sana hakika mazuri yasifiwe jamani mkoa umetakata...njo na Arusha kidogo 😂😂😂😂

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 6 лет назад +3

    kwelii ukingia kwenye 18 za muroto hutoki lazima upate tabu anawabonyeza tumbo majamaa nimecheka balaa

  • @AmCool_
    @AmCool_ 6 лет назад +5

    Kamanda big up! 💪💪💪👏👏👏👏

  • @josephjoseph7348
    @josephjoseph7348 6 лет назад

    Mkuu wa mkoa mwenyewe hanambavu😂😂😂😂😂 muroto kwakweli hua ana nifurahisha

  • @desultansaid3647
    @desultansaid3647 6 лет назад

    Uko vzr mkuuu big up

  • @tzviral7342
    @tzviral7342 6 лет назад +3

    4:13 hapa alitamani kumlamba kofi. 😂 Eti _Mtu munene afya nzuri lakini muhalifu_ 🤣🤣🤣