BILLNASS - SINA JAMBO (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #Billnass #SinaJambo #SlideDigital
    (C) Nenga
    Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/billnass
    Written & Performed by Billnass
    For Booking : billnass16@gmail.com
    Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
    Follow Billnass on:
    / billnass
    / bill_nass
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 412

  • @SamaBoy-fw7us
    @SamaBoy-fw7us 5 месяцев назад +22

    Kama unasikiliza Ngoma ya NENGA 🎉🎉2024 gonga like❤❤

  • @nidal2698
    @nidal2698 8 месяцев назад +15

    2024 bado bonge la ngoma hatari 😮😮

  • @Baba_Ben.
    @Baba_Ben. 3 года назад +6

    MJ RECORDS mmejua kusuka hili beat aisee. Nenga nae akalitendea haki. What more can I say? Sina Jambo

  • @l.jviktor7745
    @l.jviktor7745 7 лет назад +26

    Nmeacha nyama pemben ya spika when naplay hii ngoma nmekuta imechomeka yote...hii ngoma ni fire wanangu,,representing 255 like kama huna jambo na hii comment!!!!

  • @simonseyongwe
    @simonseyongwe 7 лет назад +5

    NEENGA (for voice of JMoe) eeeeh SINA JAMBO KALI SANA BROTHER

  • @mapundacalvin7357
    @mapundacalvin7357 7 лет назад

    Maanina hii ngoma ni balaa...Bil napata ile ladha nilitakaga kuisikia...sina jambo, KUNA NAMNA....haivwezekani beat, mashairi, video zote kali....ATOWN ATOWN sina jambo.....

  • @franskijaz1892
    @franskijaz1892 7 лет назад

    Sina jambo haaahaaa....... Kapafona wengine walipona... #good song

  • @ferunzyusuf2777
    @ferunzyusuf2777 6 лет назад +2

    Yakibabe sanaaa

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 7 лет назад

    Ngoma Kali bill nass tena zaidi ya sana aliyeunganisha saut na video kazingua

  • @jumasaad6363
    @jumasaad6363 7 лет назад

    Nick aupo Sawa hii ngoma Kali Sana Kama aujailewa unakua na jambo

  • @worldstartz
    @worldstartz 7 лет назад +1

    Bongo sasahv hiphop ya kisasa anamiliki Billnass

  • @freshgang2559
    @freshgang2559 7 лет назад +3

    Ngoma Moja Kali sana.....
    mshamba hawezi kuelewa

  • @jonstarofficial
    @jonstarofficial Месяц назад

    Hii ngoma ilikua underrated sana.. bonge piniiii

  • @davidsantiago5297
    @davidsantiago5297 7 лет назад +4

    mpaka machozi yananitoka we jamaa unajua kiukweliiiiiii

  • @asiahassan6336
    @asiahassan6336 4 года назад +3

    Nand kwa mbaliiiiiiiii in voice

  • @mohamednaaman188
    @mohamednaaman188 7 лет назад +22

    Bonge moja la video na ngoma imetulia sana,uko poa sana Billnass

  • @baba_dopest7549
    @baba_dopest7549 7 лет назад

    dooooh apa nakubali bratha....like kaa umeipenda

  • @besumitv8674
    @besumitv8674 7 лет назад +42

    Hebu tuacheni utani, hili ni Bonge la Ngoma aiseee, kwa asiyejua muziki atakandia kwamba hii ngoma ni mbovu, lakini sisi tunaojua muziki KAMA MIMI NIMELIKUBALI HILI DUDE NDO MAANA SINA JAMBO.
    WANANGU WOTE AMBAO HAMNA JAMBO NA HILI DUDE DONDOSHA COMMENT HAPO NA LIKE, ILI WENYE JAMBO WAJUE SISI HATUNA JAMBO.

    • @melaniajoster6266
      @melaniajoster6266 5 лет назад +1

      This song deserves a 100m viewers bas tuu watu hawaelewi

  • @kipingutheseniour6666
    @kipingutheseniour6666 7 лет назад

    billnenga we boy ni atar big up to u men ngoma kali kideo ndo sizungumzi kabisa aseee andelea kuipasha rap ya bongo

  • @marcymbegab9066
    @marcymbegab9066 6 лет назад +4

    BILLNASS uko poa bro from +254 napenda Sana ngoma zako

  • @idrisson7507
    @idrisson7507 7 лет назад +7

    Kuanzia Ngoma had chupaa ni ukaliiii tu mzee baba #Sinajambo

  • @joshuakaminyoge4954
    @joshuakaminyoge4954 7 лет назад +19

    waatuwanajua kukatisha tamaa aisee kweli unawezaje kusema ngoma hii n mbovu na hujaielewa?sina jambo ngoma kali sanakeep it up billnass

    • @luluernest7347
      @luluernest7347 7 лет назад +5

      wabongo bn sasa unataka atoe ngoma gni au ya mapenzi ngoma kali ban

    • @salumumsodoki8614
      @salumumsodoki8614 7 лет назад

      joshua kaminyoge oi

  • @patricktravis6575
    @patricktravis6575 7 лет назад +2

    mzunguu mzee hiii ngomaa kaliii sana mzee baba bill nass nakupa max 100🔥🔥🔥🔥

  • @fadhilikangusi
    @fadhilikangusi 7 лет назад +4

    Umetisha Mwanangu pia Msafiri Kaua 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @nashoshotz3709
    @nashoshotz3709 7 лет назад +3

    bongeeeee mojaaa la ngoma aisee this a 100th time naiplay😅 aiseeeeee nomaaaa sanaaa

  • @giftevod1527
    @giftevod1527 7 лет назад

    SINA JAMBO nyimbo kama yote na video kama yote kwa kifupi nyimbo ni kalii

  • @suitbertmaro5792
    @suitbertmaro5792 7 лет назад +1

    Ngoma kali sana

  • @yahyasadick8201
    @yahyasadick8201 6 лет назад

    Bill Nass your my boy ilove you kaka nakubali kazi yako uko poa karibu zanzibar broo

  • @Abdalla.Said_01
    @Abdalla.Said_01 7 лет назад +4

    🎵🎵Ona wanangu wapo kona hawali sembe wala dona vitu flan wanachoma🎵🎵 #Sina_Jambo ♨♨

  • @silvesterjerome6512
    @silvesterjerome6512 3 года назад

    Ichi kibao.... akina mpinzan..🗣

  • @issabwoy4750
    @issabwoy4750 7 лет назад +1

    NgoMaaa Kaliii Aixeee

  • @Uncle_Po23
    @Uncle_Po23 7 лет назад +2

    Bill asee we mbaya sana mbaba

  • @geyanapepeg3946
    @geyanapepeg3946 7 лет назад +13

    Huyu Billnenga yuko serious na kazi yake tofauti na vile nlivokuw najidanganya aisee bonge moja ya bakora....keep it up bway

  • @amanikatala2959
    @amanikatala2959 6 лет назад

    kwa hii ngoma kweri sinajambo

  • @abdulazizsaid6902
    @abdulazizsaid6902 7 лет назад

    duuuh shikamoo mj kwa hilo beat sio poa babu uko bongo bahat mbaya

  • @secretotv8015
    @secretotv8015 3 года назад +1

    watu wabaya halafu wadudu neeeengaaaaaaaaaaaaaa.

  • @mopro8017
    @mopro8017 7 лет назад +2

    Oooooiiiii nass saluteeeeee mzeee dady!!

  • @KelvinDaynestus
    @KelvinDaynestus Месяц назад +2

    if you are here this September 2024 gonga❤

  • @lazaromagwe2378
    @lazaromagwe2378 5 лет назад +3

    Acha niiongezee views kwa MAana ubora wa hii ngoma yan sio poa niki i play yan ni uadui n a mwny nyuma🔥🔥🔥🔥💥💥💥💥

  • @nkatakulimamkuwa4872
    @nkatakulimamkuwa4872 7 лет назад +2

    mm nawshangaa sana wanakwenda kutengeneza video nje alafu waangaliaji watz ujinga huu kwann wasifanyie hapa hapa usenge huu ila ngoma kali

  • @ndolojnr6054
    @ndolojnr6054 2 года назад

    Nashindwa kuelewa mbona hit kali kama hii ina views chini ya milioni moja!!?

  • @isayalupinda418
    @isayalupinda418 7 лет назад

    Ngoma kali sana hii big up Bill

  • @ericspencer2930
    @ericspencer2930 7 лет назад +1

    sina jambo nenga
    Ayeeeee Baddest

  • @donkarta
    @donkarta 7 лет назад +21

    Hii beat inawesa!! mob love from +254

  • @deo18tarimo45
    @deo18tarimo45 7 лет назад +5

    Audio Imetulia sana na video pia imetulia na hii ndo ngoma tamu hapa bongo tokea huu mwaka umeanza wachache mtabisha ila ukweli ndo huu big up sana Bill nenga#sina jambo

    • @tuduboynakubal9191
      @tuduboynakubal9191 3 года назад

      Mmmh ishi utam mkali nenga💪
      #sina jambo
      #aina kufel👆

    • @tuduboynakubal9191
      @tuduboynakubal9191 3 года назад

      Mmmh ishi utam mkali nenga💪
      #sina jambo
      #aina kufel👆

  • @VendaMedia
    @VendaMedia 7 лет назад

    Billnass unajua sana broh big up

  • @frankmluge4599
    @frankmluge4599 Год назад +1

    its 2023 lakini hili goma kama limetoka jana aisee, nimebadili simu lakini i have it in my playlists kote, SINA JAMBO,...

  • @henrymalimi9977
    @henrymalimi9977 7 лет назад

    shalapu broo, ngoma laukweli

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Wahuni watu wabayaaaaaa hongera kwa kumaliza masomo ya chuo 💐💐💐💐💐🎓🎓🎓🎓🎓

  • @HassanSelemanRamadhan-md1gn
    @HassanSelemanRamadhan-md1gn Год назад +1

    Ngoma nomahii

  • @siseharunantaguzwa9667
    @siseharunantaguzwa9667 7 лет назад +7

    Beat Kali sema Maneno yaliyo tumika kwenye ngoma hayaskiki labda kiitikio ndo kinaskika 👍👍👍

    • @yaoboyrb8161
      @yaoboyrb8161 7 лет назад

      siseharuna Ntaguzwa usiongee ongee tu kwasababu umepewa kinywa mzee

    • @roboticscode3926
      @roboticscode3926 7 лет назад

      mzee akil una

  • @georgesanga1396
    @georgesanga1396 7 лет назад

    Billnas naikubal sana chorus uliyomfanyia Eddu boy

  • @bumbuli4170
    @bumbuli4170 5 месяцев назад

    This had to be a global hit, what a masterpiece!

  • @breezymadeit846
    @breezymadeit846 7 лет назад +2

    kuna tabia ya baadhi ya mashabiki inaniboa sana.. kufananisha kazi iliyopita na kazi mpya..
    nakupongeza sana @billnass kwa kutuletea ladha mpya...salute nicca. hivi ndo vitu tunataka 👊👊
    kama ujaelewa #sinajambo we kapambane na hali yako huko 😠😠

  • @mnothondwandwe5484
    @mnothondwandwe5484 7 лет назад

    ime tiishaaa sana maboy

  • @michaeljeremiah634
    @michaeljeremiah634 7 лет назад +1

    mbna nenga karudi chini ivi yaani x kiwango chake imeshtua xana hii x ngoma ya kutumia nguvu ivi umebugi kinoma aisee!! hii ndo ngoma yako mbovu kuliko zotee nenda kwa t touch ndo anajua kutengeneza mziki wako ,namba unayopiga kwa sasa aipatikani nenga

  • @mtanditv4435
    @mtanditv4435 7 лет назад +1

    billnass ni sumu aseeh bonge la ngoma video kali sanaa sema bro fanya kufanya collabo na msanii yeyote mkali wa marekani mana africa wa kurap hakuna kama ww me napendekeza ufanye kazi na french montana utatishaaaaaaaaa

  • @maxmilianmariceli6708
    @maxmilianmariceli6708 7 лет назад +2

    Kituuu

  • @athumanitanu2663
    @athumanitanu2663 7 лет назад

    Yess zile biti za mazoea achana nazo nenda na mziki kama izi ndio utatoboa xanaaa kama c boy-tun up.

  • @wisdommgeni8323
    @wisdommgeni8323 7 лет назад +2

    Bonge la ngoma baba tena imetengenezwa ktk unique style fore sure #sina jambo bro keep it up👏👏👏👍👍👍👍🌍🌍 pia ukiona unawapizani shukuru mungu hao ndo chachu ya maendeleo bro

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper 7 лет назад +7

    This the hiphop we wanna here in EastAfrica. Sio kurap hadi utaje majina ya watu! Thats ain't be a good music. Bigup #LFLG. Bill nass

  • @SwahiliReaction
    @SwahiliReaction 7 лет назад +68

    BILL NASS BILL NASS.....GONGA LIKE HAUNA JAMBO

  • @jonkomba7406
    @jonkomba7406 7 лет назад +1

    this is what we calll.....
    billllllnengaaaaaah.....
    huwezekani brooo...
    wacha wapigane majungu piga kaziii.....
    hunaga majamboo👊
    TZ music indusrty in next levl.....

  • @linuslivingstone9913
    @linuslivingstone9913 7 лет назад

    Bil nenga we noumaaaa🌋🌋🌋🌋

  • @sospeterndaki1128
    @sospeterndaki1128 7 лет назад +5

    hatari sana billnass 💯💯💯💯💯

  • @deltashila5074
    @deltashila5074 7 лет назад

    Ngoma Kali sana. Big up

  • @heriprince6166
    @heriprince6166 7 лет назад +2

    Upo vizuri mzee.

  • @swabrakidege9782
    @swabrakidege9782 7 лет назад +1

    nimekubali sina jamboo bill nass makaliii sana kuliko diamond domo

  • @ilishiramzah4488
    @ilishiramzah4488 7 лет назад +2

    #SinaJambo...kama wakubali Billnass weka like yako hapa....

  • @juniormichael354
    @juniormichael354 2 месяца назад

    Ngoma bora ya mudawote kwangu hii

  • @westzonetv366
    @westzonetv366 7 лет назад

    bill nass natamani bro siku 1uimbe na bro roma MKATOLIKI

  • @officialracker8066
    @officialracker8066 7 лет назад

    Duuuu! Kweli pengo La Zilla hili Noma Nass Nakuelewa Xanaa

  • @petermanyilizu4106
    @petermanyilizu4106 7 лет назад +1

    ngoma kal sana tunao sema sio kal hatujatoa hata ya kushulu asante mama kwa kunizaa hahahaha billinas piga kaz babah

  • @sdwtz9733
    @sdwtz9733 7 лет назад +2

    bonge la pini lenye raza mpya ndani ya mziki wa bongo flavours you always kill it bill nass

  • @jafaryally4102
    @jafaryally4102 7 лет назад +1

    nashangaa wanaodiss!! asee hii ngoma kali bhna.. kuanzia swagg ady beat🔥🔥

  • @dollysjonas7600
    @dollysjonas7600 7 лет назад

    imetuliaaaaaaa sina jambo

  • @zanzibartourguide4291
    @zanzibartourguide4291 5 лет назад +17

    yaani nimekuja kulicheki hili dude baada ya kulisikia somewhere ila nimeshangaa kuona bado halijafikisha hata 1m views😥😥
    wamekosa nini hawa au ndio Tz yote wanaojua kuimba ni team Kiba&Mond

  • @suleimanRisasi
    @suleimanRisasi 7 лет назад +6

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥this thing liiit.

  • @datikazumari515
    @datikazumari515 7 лет назад

    Bonge la ngoma big up sana nenga5

  • @titutv8877
    @titutv8877 7 лет назад +1

    ngoma Kubwa Sana Hii "Continue To Shine Billnass"

  • @mohamedkhalifa6014
    @mohamedkhalifa6014 6 лет назад

    Ngoma Kali kinaziii

  • @erqmusic5973
    @erqmusic5973 7 лет назад

    video kali sana mwanangu!

  • @michaelkissima7102
    @michaelkissima7102 7 лет назад +1

    kali sana mkuuu

  • @happyalpha1350
    @happyalpha1350 7 лет назад +1

    🙌🙌🙌🙌ngoma ni fire yan sina jambo juu ya sina jambo ...ona sasa mpk nakosa cha kucomment aisee nengaaaa ww ni fayaaaaaa...you lit 🔥🔥🔥🔥

  • @christophermwangonda8571
    @christophermwangonda8571 7 лет назад +1

    bonge moja la ngoma 🔥🔥🔥🔫kwako nenga #sinajambo

  • @townclerk001
    @townclerk001 2 года назад +1

    Town Clerk was here 5/12/2021 21:47pm🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇹🇿🇹🇿🇺🇬🇺🇬

  • @odonkoodo3643
    @odonkoodo3643 4 года назад

    The real Niggah in Tz ,,Billnass mkali aiseh

  • @OphoroTube
    @OphoroTube 2 года назад

    Best of them all

  • @mullerrbn4852
    @mullerrbn4852 7 лет назад +2

    Jamaa nakuombea usije kukwama a see napendaga sana styles za bill (mziki mzur)

  • @emmanuelmacha8359
    @emmanuelmacha8359 5 лет назад +6

    Cna jambo 2019 yaani dah noma sana

  • @alphoncekitambi1441
    @alphoncekitambi1441 3 года назад

    Jamani Nenga ni bonge la kichwa

  • @doctordangote4195
    @doctordangote4195 7 лет назад

    apo sina jambo ngoma noma kichizi

  • @shebbysadiki
    @shebbysadiki 7 лет назад

    Video iko poa sana sema kwenye mavazi ndio umeshemsha

    • @rascopcafemushi4182
      @rascopcafemushi4182 7 лет назад

      kweli jitahidi kama mwanzo ulikuwa mmwaaa! ila iko poa sana hata mzee anaicheza

  • @nassoro6590
    @nassoro6590 3 года назад +1

    Billnass billnass

  • @bonykimario8649
    @bonykimario8649 5 лет назад

    Wabongo tumekariri ujinga

  • @maryamally3123
    @maryamally3123 3 года назад

    nakupenda mpka naumwa jaman

  • @stanlezzvaleriani2846
    @stanlezzvaleriani2846 7 лет назад

    ngoma kali so nawashangaa wanai sema mistari ni ya kawaida ....SINA JAMBO

  • @geofreytenga7082
    @geofreytenga7082 6 лет назад

    sina jambo ngoma ya wana...... all the way from CHUGA

  • @lazarokakuru9203
    @lazarokakuru9203 7 лет назад +1

    😃😃😃😃😃 ww jamaa hatr xn billnas kk uniangushingii xan bro kaz nzur #sina jambo

  • @geralddisbord8191
    @geralddisbord8191 7 лет назад

    marco chaliiii...
    bongeee la dudeeee
    bil nas bil nas