UTANI PEMBENI, HUU WIMBO MTAMU KWA AUDIO HASA CHORUS. Daynaaaa... hii chorus jamani... napata flashback, machozi, furaha, pressure, adi nasisimka kwa baridi nnayopata. This reminds me of those deep songs kana redemption ya Bob Marley... yaani. kuna kitu kwa hii chorus cjui ni mimi but it has had me captivated. beautifull love song it will live forever
Dave Humphrey siwezi sema jinsi wimbo huu unavyonipa tabu hivi sasa..just too emotional for me。huu wimbo sichoki kuusikiliza. chorus ni balaa....yani utakuwa wimbo wangu bora milele. sijui hata komela ni nini ila full ku enjoy
Dayna Nyange kwa Komela umenikamata mama ; bonge la ngoma limekaa kimataifa aisee, hongera sana Bilnassa amekaa poa kwenye ngoma hii ulifanya uchaguzi sahihi wa kumshirikisha
Best song ever for me....wengine wote wanafata huyu demu ni sheeedyaaah......wimbo unanikalisha macho kila siku. sijui lini nitaukinai...sioni hata dalili ya kuukinai. chorus ni sheeedyaaah tupu. too emotional for me.
Tulio angalia hii ngma 2024 gonga like
Skupingi udugu tuko ote tunacheki 2024
Naicheki leo 5/ mwezi 4 mwaka 2024 ❤❤❤
2021 nan kaja kuangalia after featuring DAVIDO🥰🥰🥰🥰
One of my All Time Favorite Music Aiseee.... Dyna & Bilnas Hii Inaishi🔥🔥🔥
Most underrated Track of All Times!🤦🏿♂️...It deserves a lot
Mafungu ya nyanya, Kama unaijua nyimbo ya mafungu ya nyanya ndo utajua Dyna nyange Ni legend.
Moja ya ngoma kali ambazo hazijapewa heshima inayostahili
Hii ngoma inatoka nilikuwa kwenye msoto wa maisha ile mbaya. 🎉🎉⛪
UTANI PEMBENI, HUU WIMBO MTAMU KWA AUDIO HASA CHORUS.
Daynaaaa... hii chorus jamani... napata flashback, machozi, furaha, pressure, adi nasisimka kwa baridi nnayopata. This reminds me of those deep songs kana redemption ya Bob Marley... yaani.
kuna kitu kwa hii chorus cjui ni mimi but it has had me captivated.
beautifull love song it will live forever
me too
Dave Humphrey siwezi sema jinsi wimbo huu unavyonipa tabu hivi sasa..just too emotional for me。huu wimbo sichoki kuusikiliza. chorus ni balaa....yani utakuwa wimbo wangu bora milele. sijui hata komela ni nini ila full ku enjoy
Melchizedek S. Massola kuna kitu huyu +dynanyange kaweka kwenye huu wimbo
kwel
nakukubali na ninakupenda dayna nyange upo poa-- poa sana.
Naikubali sana iii ngoma ni hatari kama na ww unaikubari gonga 👍 hapa 2022
tuliokuja kumcheki dada wa diamond like hapa
Ambao tuaiangalia nyimbo hii 2023 like
One of the best Tanzanian art work.
HII NGOMA NOMA SANA 2021 NAISIKILIZA FROM NAIROBI CITY KENYA
Hujawahi kukoseaga since mafungu ya nyanya keep dropping those hits mama we are so fortunate to have you
Hii ngoma ukiiongezea jina la billnass spotify unakua fame ndani ya mwezi spotify
Waliokuja kucheki baaad ya kutoa na na davido
Mm
💪🏻💪🏻
@@evelinaageth1038 👍🏻
Dayna Nyange kwa Komela umenikamata mama ; bonge la ngoma limekaa kimataifa aisee, hongera sana Bilnassa amekaa poa kwenye ngoma hii ulifanya uchaguzi sahihi wa kumshirikisha
August 2020 still watching💣💣💣💥💥💥💥💥💥💥💥
gggh
hhh
this song is one of my favourate...umefanya kwel Dayna
Video ya Hatari sana we mtoto. Pongezi kwako
Huyu dada anajua Sana...sema hapewi promo tu...yaan sijaona akikosea Basi tu
Kweli Dayna hapa alitunga mashairi mazuri hata mziku pia umeandaliwa kwa viwango hongora sana naipenda mno hii ngoma daaaaaa so amaizing
kazi nzuri sana,keep it up dayna nyange
komela bonge la ngoma.
Kati ya nyimbo kumi bora kwangu kwa Bongo Flava ❤️
This was real nengaaaa
Dada kazi nzuri saaana music flani imetuliaa
u did t gal. komela komela ndan kwa ndan nikomelee duuuh. u hv something gal keep moving .
This beat is sure fo-real. Loving it.
nilikuwa naisubili hii kitu muda sana thnx binti nyange you ddt
Bonge la video kweli umeamua Dada nyimbo nayo kaliiiiiii . I'm Michael magazi
Best song ever for me....wengine wote wanafata huyu demu ni sheeedyaaah......wimbo unanikalisha macho kila siku. sijui lini nitaukinai...sioni hata dalili ya kuukinai. chorus ni sheeedyaaah tupu. too emotional for me.
hataree steel watching 🔥🔥🔥🔥🔥
huu wimbo umenikumbsha ma x zangu baadhi nliowakomelea,,,,
Nyc dayna gudy song chorux very amazing yeah i'm appreciate u do it!!
this song reminds me my x,,i really miss her
Kelvin_Papaa_Ya_Warembo awwww
Kelvin_Papaa_Ya_Warembo me zaidi ya ex
+Dave Humphrey 😃😃😃😃
2020! pendaga sama hii!
am still watching 2020😘🤩
Its cool song ...nice sana
nice videooo director Ivan umetishaaaaa
Big up mr t touch anaeichek ngoma hii 2021 like hapa
Ngoma naielewagaaaaaaaa mpk basi.....am here bfo 1m
Dayna nmekuelewa sanaa u rock trust Me!! vdeo imetulia sana sana sanaaaaa
kweli dayna; kweli bill...mmefanya.
bonge la idea...nyc video n nyc song...lets enjoy good music
2023 my best song of all time
Yanii weweee dada nakupendaaaaa😍😍😍😍
weka mbali na watoto
music Kali hiyo,give it more views,👏👏👏
kiukweli hii nyimbo iko poa,sana,aiseee...BIG UP BILL NAS
I must say.. this tune is one in a million.
The acoustic guitar behind the accord just kills it..
True seh!
Kaz nzur sana nakuelewa tangu nivute kwako
Nyimbo isiyochuja hadi leo 2021 naitazama bado ya moto.
Alie dislike hiii dah simuelewiii yaniiii nyimbo kalii hii kinoma..Dyna unaweza Sana bila kumsahau Billnass
Nakumbuka 2017 jamani😢
Bill nass...bill getty tixhaaaaa
Mmm Dayna we wa ukweli nakukubali sana
2020 bado fire 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Oya mda inakulazimu kuangalia ngoma hizi saivi nmeokoka lakini nakumbukia zamani jinsi maisha yalivyokuwa😢
nice song nakupendaje dada we mkali huna mbaya
2020 still hot 🎵🎵🎵
Fanya mpango utoe hata wimbo na Mr blue harmonize ngoma itakuwa Kali naamini mziki wako bado unaishi nitofauti nanyimbo za sasa mungu akuinue
My tune who's watching in July 2019?
Bonge moja la ngoma...... moja ya best heat za mwaka 2016
mdogo wake diamond 😄
na mume wake nandy
2019 na bado ina bamba , Tanzania tunatishaaaa BIG UP
kiatu komela kabisaaa kama mbeleeeeee,,,,,, asante!
Ndani kwa ndani nikomelee.....
This masterpiece is worth Grammy 🔥
True
noma sana umetiiiishaaaaaa...... 😍😍😍😍
Dayana umeua mbaya unajua uwezo wako mkubwa mno kazi ulyofanya na davido umeua na unajua kinoma sanaaa
ivan mwanangu toka kitambo sana nakufuatilia kazi zako daa unatisha baba waongeshe maufundi
video kali wimbo mkali mungu akusimamie dada
hii nyimbo ina ni kumbusha mbalii
nakuona tbc
ndani ya zinazo kiki
I love you! a town archunqa
Naipenda sana kazi hiii
2021 here we go...
daaaah nimelewa hii ngoma big up dayna nyange
ndani kwa ndani nikomeree
😍😍😍😍 you guyz you killed it , the song , your voices waooo 👌👌
Still listening to this one in 2023..
The most underrated hit song in Tanzania, just my views hommies
True ish man..
Naangalia Leo 14/7/2024❤❤🙏🙏🙏🥰
Nakupenda ddddd love uuuu
Komela ndani kwa ndani
🎶the way to beat na sauti zinavyo dondoka 🎶 unapata feelings flani hivi😉
Ambazo ukichanganya na mzuka unaweza songa samaki ili upate ugali
ndani kwa ndani nikomeleee
Nawapenda bule😘😘😘
Big up Dayna, huwa nakuelewaga ila hii umenifanya nizidi kukupendaaaaaa
Huu wimbo hadi leo bado unaishi,,
Hii song ipo na hisia kali
So emotional na haizeeki
Dayna is gold ana sauti tamu
kazi nzuri sanaaaaaaaaaaaaa.
crazy for this song yani..song of the year...
nan nimkomeleeee
wonderful. unajua sana. nyimbo zako
zote kali
mwaaaaaaaaaaaaaaaah LOVE YOU DAYANA you the BEST female singer i do like
top 3 best women artist(musucian
1-dyna nyange
2-maua sama
3-vanesa mdee(vee money)
umekubali! like
my list iko similar sema ningemreplace mdee na nandy. and mausama angeenda no.1
cassim link
Ben po
guud
1.V money
2.dyna
3.Linah
4.maua
dyana kabadilika..kawa mzuri siku hizi
Amani Laizer lool i was thinking the same
Boooonge la Ngoma Mzee Beat imetulia wasaniii wametuliaaaa
Nakupenda dayna huna sikendo
bilnass bilnass....NYC song lov t so much
I love them,,,,,Bonge la collaboration