Billnass - Tatizo (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 8 апр 2021
- #Billnass #Tatizo #SlideDigital
(C) Nenga
Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/billnass
Written & Performed by Billnass & Ril Vin
For Booking : billnass16@gmail.com
- Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
Follow Billnass on:
/ billnass
/ bill_nass
. BillnassTZ
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz Видеоклипы
Yanii ni 🔥🔥🔥 kama umeirudiya mara mbili ka mm like hapa
Kam umeirudia mal 3 km mim nipen like zen , tukisem hit song ndo hii respect xn nenga hujawai nianguxh cku zot nakubal
Umeturudisha kwenye good music nenga this is real you kumbe kuimba ngoma kali ni mpaka uwe na stress bac kama vp kula mjani ili uwe na hisia za ngoma kali tu daily utuletee maufundi yote we love your music Ariff
Wewe nenga una balaa la peke yako haki kama upo na mm like mingi💪
Nandy kafanya tunasikiliza ngoma kali sanaaa💔💔💔
Wangap tumerudia kuangalia zaidi ya 10
Wale wako hapa kwasabu King Kiba alipost wimbo huu Instagram👍👍
Dude fulani la kinyamwezi 🔥🔥🔥.....
Sijui tatizo inakuwaga nn ngoma zetu hazipenyii mbali 🚀🚀
🇹🇿
Dope track
Tatizo humu nacoment lakin like hamnipi🙈🙈🙈 tatizo hilooo 🤣🤣🤣
Hhhh nixhakupa
Mwanangu umeuwa kinomaaaaa aya twende tukaanze ukurasa mpya na like nangu
wanaume tukiachwa tupambane tutafute hela ngoma kali
Nani kaja kusikiliza hi ngoma kali baada ya kumwona NENGA NA NANDY KWENYE JUKWAA MOJA KAMA MM tujuane na likes 🇶🇦.
Huyu jamaa anajua anchokifanya.kama umetambua hilo gonga like hapa👍👍👍
Nitakuwa mchoyo wa Fadhili nisiposema hii ngoma ni kali , Billnass tulikumiss kwenye hizi flow sana hizi ndo njia tunakuelewa
Kuna demu aliwau kunifanyia huu upuuzi ila Leo kwavile anaon Nina ndinga yangu et ananipa hai hai zake za kinafik nishaa mkunjia looh sipo uko Tena kupasha vipolo
Nmetoka Kenya mnipe likes za bilnass bana
Nyimbo nzuri mnoooooo nenga pambana wanawake atuliziki ulimvumilia ila leo anaona huna maana
Hii Ngoma mbona nimekuelewa...Kazi nzuri Nenga...respect from 🇶🇦🇶🇦
Mambo boss wangu naomba namba zako
@@mohdloushmoney9994 +97470377358
Pole sana mtoto mnzuri kama uyo unafikili angekubali udumu nae bila pesa lakini hongera kwakulejea ufaham wako hivyo basi pambana utatoka achana mastaa wanawake wakibongo machangudoa hao wanajiuza wanasamini pesa kuliko untu wanakazi yakutoa toa kwawanaume wenye pesa utapataje mapenzi ya kweli wezio wanawaza pesa sio mapenzi
Ingekuwepo kuna tuzo za BITI HILI BITI LINGEBEBA TUZI BITI KALI SANA NI 🔥🔥🔥🔥
We are always up pitisha like hapa kam we ni team nenga
Brooo umebadilika sana umu big up sanaaaaaa
Nenga New Chapter Kama Umemuona Jennifer Jua Kua Tuko Pamoja Kama SAMAKI na MAJI 'NENGAA'.,✍📖🎙🎶🎷🎧
Mwotoo
Jenifa kanumba eee
Ww na jux mnaimba nyimbo za maisha ya watu big up mamen bill nenga
Sijawah kufikili kama nenga utaimba nyimbo tamu nzuri kama hii ina kila aina ya mafunzo kwa madanga wa sasa honger sana big up sanaa
Enyewe wanaume twaumia sana acha tutafute hela🇰🇪 in the building
like za kutosha kwa vijana wanaoamini siku hizi mapenzi Ni biashara kwa wanawake wengi wa kobongo
Kweli mzee baba sahihi👍👍
Nov 2 mwingine aliekuja msikiliza fund tena agonge like
We jamaa unajua atare sema wabongo hatujuagi kumwmbia mtu ukweli akiwa hai tunasubiri afe ndo tuseme ila mim kwaupandewangu nimramia kusema na pia nimuumini wa mziki mzuri
Mapenzi ya kisanii bongo hamyawezi, muachieni beyonce na jayz
Mtaimbana sana
Ila ngoma kali, big up nenga
😆😆pamoja na navy kenzo
HUYU BINTI ALIOIGIZA KAPATIA Sana Naombeni Likes Zake
Nenga nakukubali Sana ushauli wangu km kweli umeachana na nandi komaa usirudi nyum, km ni Kiki tu ili wimbo uwende baridi tu, ngoma Kali, tunapambana tukupandishe
wale wote walio dislike tumeshawajuwa mmetokea kwa yule wa kono la mavu 😕😎 kwendeni zenu ngoma kali mno hii #Tatizo billnenga 🔥
Hii nyimbo ni nzuri sana jaman,nyimbo kama hizi hunipa hamasa yakuzidi kupambana na maisha maana madada zetu wasikuizi wanaxhoangalia ni pesa tuu hivyo ni Bora kuwa napesa kwanza afu ndo uanzishe mahusiano bila hivyo pressure itakuhusu. Nyimbo hii naifanananisha na REASON WITH ME ya RUDE BOY.
Kweli AFRICA twafanana maisha.
Big up sana kaKa. Nimeipokea hii kazi Kwa roho moja.
Kweli kabisa #Tatizo
Hata wenye Pesa mapenzi yanawaumiza. Acha usiombe
Tatizooo ni kwambaa nimeanza na ukurasaa mpyaaa🔥
Kaniacha kwenye msoto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🏹umeua kinoma hii NGOMA sichoki kuicheki
Ngoma kali sanaa, Billnass anatakiwa hii ngoma aifanyie promo nje ya tz. Aende Kenya, Rwanda na Uganda.
The level of maturity in this song is amazing,#mwanangu nengaaa umekinukisha Kaka🔥🔥🔥🔥
#billnas unajua japo kuna keng kasema
Et umeimba kam taarabu🙆♂️ila kiukwel bong la song🔥🔥🔥 like zake nenga 👇🏻
Anyone in 2024
Much love to you bilnas
Kaza buti ucrudi nyuma ili heshima ishukue mkondo wake
Aise mwamba katishaa kinomanoma wale ambao mnaanza new page tujuwane basi
Yani Wewe jamaa mimi ndio mama nakupendaga tu ujawai kuongopa🙌🙌#Mafionso
Bonge la song, jtaidin muwe mnatafuta wanawake wenye hofu ya Mungu ili kama umeimba ukweli, muepushe matatizo.
Ukaniacha ukaeda na masonko,,,,hataliiiii from 254 nengaaa weeee nomaaaaa watajirudixa tu wenyewe tulia
Ngoma kali 1000% toka jana ndo nyimbo yngu nshairudia mara 200
Tatizo nimeanza na ukurasa mpya
Team BILLNASS
Tena huku Mombasa tunakupenda kinoma Mimi na my best wangu bably✅✅✅✅💯💯💯💯 billnas
Ngoma Kali balaaa....for the first time nimejua kijana sio wa kawaida huyu.....
Naona leo umeamua kuparusha mtaa uliotukukuza kinondon Moscow salute Homie
Hii ngoma ni 💥💥💥 hakuna wakubisha na huyu ndio Nenga tunaye mjua. Big up sana mdogowangu
Bonge moja la ngoma nenga umetisha sana 🙌🙌🙌.
Ngoma tamu 😘😘i see Tatizo kweli Kenya twakupenda Nenga😍😍😍
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🔥🔥🔥🔥
Tatzo n kwambaaaa...nimeanza ukurasa mpya na reason n kwambaaaa NANDY!!!!
likes kwa wale tulio anza ukurasa mpya🔥🔥🔥
💥💥💥💥💥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🙏🍷🍷🍷🍷🍷🍷@billnass
Binadamu wengine sijui wana roho zipi...Achana naye mdangaji yule...Uku 🇰🇪 tunakupenda bro
Wapi Kenya Sasa Nyie ndio mtamtoa loho na pumzi HAAAAA NYINYI
Wee Nandy ww haya mashair huyasikii au!!!!....
Waliokuja hum kwa ajili ya jenifa gonga like😍😍😍
Nakumbukaa siku una mpa petee tena unapiga na magoti ilaa hawa watt wa kikee bn shenzii sanaaa big up bro tafutaa wa sizee yako kama huyo anajikutaa sukariii 💪💪💪
Me nilijua tu we et mama ake anaulizwa una mshaurije binti yako mbele ya camera anajibu na mshauri asiolew kwanza kwel jaman mama kama mama
Tatizooo.nimeanza na ukurasa mpya bonge la..,mbona imejificha hii nyimbo❤❤❤❤
Yes she got the Vapour! Success is the sweetest revenge 👏🏾👏🏾👊🏾😁
Daaaaah!!!!! Mbona Kama nyimbo imenigusa Mimi kabisaaaa...... Daaaaah!!!!!
Mimi kanigusa kabisaa kila konss
Tuna kubali Ngomma kaliii sana
😂😂😂😂kuachana umepata content .. Kali
I love it
♥️♥️♥️🔥🔥
Hit song
Yanii humu nimependa kila kitu bonge moja la pini
Baba harusi kama baba harusi
Baada yakuwaona pamoja nimelejea hii ngoma 🔥🔥🔥✌️
Nenga Kama Nenga Mafioso Tangu Nakujua Haujawahi Kutoa Boko Keep It Up Mzee Baba 🔥
Sasa huyu ndo Nenga wa miaka miwili nyuma🔥na hizi ndo swagg zake✊🏾kazaa bro☝🏾
Kweli kbs 🔥🔥
Kumbe wew umeona
ruclips.net/video/J6z9r4VR6hE/видео.html
No 1 ❤ kama imetoka leo every day 🇹🇿🌍
Listened to this track over 30 times I swear!!! Kenya now knows Nass
hii ngoma ukiisikiliza kwa umaki bonge moja nyimbo billinass uko vzr jenifa tulikumic san
From 254 Mombasa kubwa sanaaa 🅱️🔥🔥🔥
ruclips.net/video/R2Ge-qzZzLs/видео.html
Billnass mkali wa hit
#Nenga unaimbia mitaa boy.. Unaimba maisha yangu 😓😪
Audio✓
Visual✓
Message✓
No nudity✓
Keep it up KING 👑
👊👊👊
Happy birthday Billnass....
Nenga mtu mbadi 💪✌️
😢😢Imenigusa hii inaujumbe mzuri sana mm ndomana nilishaga kufa ganzi ya moyo nataka iendelee tu ganzi isiishe
😁 😁 Njoo kwangu
👍
hujawai angusha mashabiki wako ...this is a great hit io instrumental💯
Mafiosoooooooooooooooooo nakuita brothr 🙏
Nakukubali Sana Nengaaaaa 🔥🔥🔥🔥💃💃💃🥰🥰🥰
Hii ngoma itakua moto kwa mda wote maana matatizo kila siku yapo,,,
TATIZO
KILA NGOMA YAKE INAGUSA MAISHA🙌🏽🙌🏽
KAMA UNAPAJUWA KINONDONI MOSCOW NIPE LIKES NA COMMENT HAPA
Bill nenga upo vzr my bro bonge la ngoma unajuwa sana kuimba
Oliver bilinass nikweli wanangu💪
@@zuberjuma2541 p
Tatzo imekuwa Tatzoo.. ukurasa mpYa.. punch line
Mafioosooh ujawahi kuniangusha kila ngoma ni jiwe tangu ligi ndogo
Sanaah tuuh...Billnass✌
This guy deserves more respect then his getting 🔥👏
Sureeeeeeee he deserves more n moreee great personality
Hii nyimbo nataman mda wote niisikilize
Ngoma kali saaaaaana 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥 mafioso(ki portuguese= mtu ambaye anazingua kila mda
Hii ni ngoma ya kwanza kuisikiliza siku nzima ngoma kali sana broo
🔥🔥sinaneno laaha tupu💃💃ila napenda Sana goma Kali🎶
Tatizo ni kwamba huu wimbo unaisha
We missed you mzee wa maversee🔥
Huyu ndio nenga sasa achana na yule nenga wa do me!broo welcomeback to the reality music
Mamboo tunayoyapitia mtaani kila siku
Hii ngoma imenigusa sana...daaah
NENGA MBONA KAMA MOVIE VILE
EBU NIRUDIE TENA NA TENA KULA BEAT, VOCAL, MESSEGE, MELODY and all staff like that..
UMEUA
I love you nenga no matter how .. nimeumia kuachana na nandy daaaa 😓😓
ilipaswa kuitwa ukurasa ama ukurasa mpya bonge la ngoma aseee
Jamani nimesoma nenga nyingi nikawa najiuliza nenga ndo nini....duuu kumbe bill nenga hahahaaa walokuwa hawajaelewa kama mm tu like
katendwa nanandi