Billnass - Tatizo (Official Music Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 апр 2021
  • #Billnass #Tatizo #SlideDigital
    (C) Nenga
    Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/billnass
    Written & Performed by Billnass & Ril Vin
    For Booking : billnass16@gmail.com
    - Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
    Follow Billnass on:
    / billnass
    / bill_nass
    . BillnassTZ
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 10 тыс.

  • @exauddavid7448
    @exauddavid7448 3 года назад +26

    Yanii ni 🔥🔥🔥 kama umeirudiya mara mbili ka mm like hapa

  • @dogobk7796
    @dogobk7796 3 года назад +23

    Kam umeirudia mal 3 km mim nipen like zen , tukisem hit song ndo hii respect xn nenga hujawai nianguxh cku zot nakubal

  • @yasiniisere3482
    @yasiniisere3482 3 года назад +14

    Umeturudisha kwenye good music nenga this is real you kumbe kuimba ngoma kali ni mpaka uwe na stress bac kama vp kula mjani ili uwe na hisia za ngoma kali tu daily utuletee maufundi yote we love your music Ariff

  • @magrethraymond1162
    @magrethraymond1162 3 года назад +10

    Wewe nenga una balaa la peke yako haki kama upo na mm like mingi💪

  • @davidmpembela8884
    @davidmpembela8884 3 года назад +15

    Nandy kafanya tunasikiliza ngoma kali sanaaa💔💔💔

  • @patrickselengia2115
    @patrickselengia2115 3 года назад +38

    Wangap tumerudia kuangalia zaidi ya 10

  • @Kenjihkaipoh
    @Kenjihkaipoh 3 года назад +27

    Wale wako hapa kwasabu King Kiba alipost wimbo huu Instagram👍👍

  • @andrewmalekela3577
    @andrewmalekela3577 7 месяцев назад +5

    Dude fulani la kinyamwezi 🔥🔥🔥.....
    Sijui tatizo inakuwaga nn ngoma zetu hazipenyii mbali 🚀🚀
    🇹🇿
    Dope track

  • @mattanofficemusc3535
    @mattanofficemusc3535 3 года назад +108

    Tatizo humu nacoment lakin like hamnipi🙈🙈🙈 tatizo hilooo 🤣🤣🤣

  • @shebyhamza1301
    @shebyhamza1301 3 года назад +35

    Mwanangu umeuwa kinomaaaaa aya twende tukaanze ukurasa mpya na like nangu

  • @jimmymwachiru3377
    @jimmymwachiru3377 Год назад +8

    wanaume tukiachwa tupambane tutafute hela ngoma kali

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 года назад +7

    Nani kaja kusikiliza hi ngoma kali baada ya kumwona NENGA NA NANDY KWENYE JUKWAA MOJA KAMA MM tujuane na likes 🇶🇦.

  • @cleverboy9409
    @cleverboy9409 3 года назад +22

    Huyu jamaa anajua anchokifanya.kama umetambua hilo gonga like hapa👍👍👍

  • @stephenmungure7072
    @stephenmungure7072 3 года назад +17

    Nitakuwa mchoyo wa Fadhili nisiposema hii ngoma ni kali , Billnass tulikumiss kwenye hizi flow sana hizi ndo njia tunakuelewa

  • @respikius3685
    @respikius3685 6 месяцев назад +5

    Kuna demu aliwau kunifanyia huu upuuzi ila Leo kwavile anaon Nina ndinga yangu et ananipa hai hai zake za kinafik nishaa mkunjia looh sipo uko Tena kupasha vipolo

  • @ThisisRoy_
    @ThisisRoy_ 3 года назад +8

    Nmetoka Kenya mnipe likes za bilnass bana

  • @zabiburamadhani354
    @zabiburamadhani354 3 года назад +10

    Nyimbo nzuri mnoooooo nenga pambana wanawake atuliziki ulimvumilia ila leo anaona huna maana

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 3 года назад +14

    Hii Ngoma mbona nimekuelewa...Kazi nzuri Nenga...respect from 🇶🇦🇶🇦

  • @bayoubsmart6854
    @bayoubsmart6854 2 года назад +2

    Pole sana mtoto mnzuri kama uyo unafikili angekubali udumu nae bila pesa lakini hongera kwakulejea ufaham wako hivyo basi pambana utatoka achana mastaa wanawake wakibongo machangudoa hao wanajiuza wanasamini pesa kuliko untu wanakazi yakutoa toa kwawanaume wenye pesa utapataje mapenzi ya kweli wezio wanawaza pesa sio mapenzi

  • @ramadhanyusuph7633
    @ramadhanyusuph7633 3 года назад +3

    Ingekuwepo kuna tuzo za BITI HILI BITI LINGEBEBA TUZI BITI KALI SANA NI 🔥🔥🔥🔥

  • @ylonlinetv3292
    @ylonlinetv3292 3 года назад +76

    We are always up pitisha like hapa kam we ni team nenga

  • @dadyshunaydah9421
    @dadyshunaydah9421 3 года назад +50

    Nenga New Chapter Kama Umemuona Jennifer Jua Kua Tuko Pamoja Kama SAMAKI na MAJI 'NENGAA'.,✍📖🎙🎶🎷🎧

  • @zimudaniel4001
    @zimudaniel4001 3 года назад +4

    Ww na jux mnaimba nyimbo za maisha ya watu big up mamen bill nenga

  • @mustaphmakunganya5194
    @mustaphmakunganya5194 3 года назад +3

    Sijawah kufikili kama nenga utaimba nyimbo tamu nzuri kama hii ina kila aina ya mafunzo kwa madanga wa sasa honger sana big up sanaa

  • @geraldoluoch9479
    @geraldoluoch9479 3 года назад +18

    Enyewe wanaume twaumia sana acha tutafute hela🇰🇪 in the building

  • @sebastianmsoma5511
    @sebastianmsoma5511 3 года назад +42

    like za kutosha kwa vijana wanaoamini siku hizi mapenzi Ni biashara kwa wanawake wengi wa kobongo

  • @dopems7372
    @dopems7372 2 года назад +10

    Nov 2 mwingine aliekuja msikiliza fund tena agonge like

  • @adamkunasa2540
    @adamkunasa2540 3 года назад +4

    We jamaa unajua atare sema wabongo hatujuagi kumwmbia mtu ukweli akiwa hai tunasubiri afe ndo tuseme ila mim kwaupandewangu nimramia kusema na pia nimuumini wa mziki mzuri

  • @emmanuelboniphace5845
    @emmanuelboniphace5845 3 года назад +15

    Mapenzi ya kisanii bongo hamyawezi, muachieni beyonce na jayz
    Mtaimbana sana
    Ila ngoma kali, big up nenga

  • @fettyfetty878
    @fettyfetty878 3 года назад +13

    HUYU BINTI ALIOIGIZA KAPATIA Sana Naombeni Likes Zake

  • @nabumsekwa1797
    @nabumsekwa1797 3 года назад +3

    Nenga nakukubali Sana ushauli wangu km kweli umeachana na nandi komaa usirudi nyum, km ni Kiki tu ili wimbo uwende baridi tu, ngoma Kali, tunapambana tukupandishe

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 3 года назад +10

    wale wote walio dislike tumeshawajuwa mmetokea kwa yule wa kono la mavu 😕😎 kwendeni zenu ngoma kali mno hii #Tatizo billnenga 🔥

  • @emmanuelrjohn6355
    @emmanuelrjohn6355 3 года назад +37

    Hii nyimbo ni nzuri sana jaman,nyimbo kama hizi hunipa hamasa yakuzidi kupambana na maisha maana madada zetu wasikuizi wanaxhoangalia ni pesa tuu hivyo ni Bora kuwa napesa kwanza afu ndo uanzishe mahusiano bila hivyo pressure itakuhusu. Nyimbo hii naifanananisha na REASON WITH ME ya RUDE BOY.
    Kweli AFRICA twafanana maisha.
    Big up sana kaKa. Nimeipokea hii kazi Kwa roho moja.

  • @giftedjoseph2516
    @giftedjoseph2516 3 года назад +10

    Tatizooo ni kwambaa nimeanza na ukurasaa mpyaaa🔥

  • @stupidlyrapper8859
    @stupidlyrapper8859 Год назад +4

    Kaniacha kwenye msoto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🏹umeua kinoma hii NGOMA sichoki kuicheki

  • @innocentmushi3036
    @innocentmushi3036 3 года назад +4

    Ngoma kali sanaa, Billnass anatakiwa hii ngoma aifanyie promo nje ya tz. Aende Kenya, Rwanda na Uganda.

  • @fibonaccimwadime9479
    @fibonaccimwadime9479 3 года назад +15

    The level of maturity in this song is amazing,#mwanangu nengaaa umekinukisha Kaka🔥🔥🔥🔥

  • @emmashantax2816
    @emmashantax2816 3 года назад +15

    #billnas unajua japo kuna keng kasema
    Et umeimba kam taarabu🙆‍♂️ila kiukwel bong la song🔥🔥🔥 like zake nenga 👇🏻

  • @rjclassicog8222
    @rjclassicog8222 5 месяцев назад +6

    Anyone in 2024

  • @thabeamiage5376
    @thabeamiage5376 3 года назад +4

    Much love to you bilnas
    Kaza buti ucrudi nyuma ili heshima ishukue mkondo wake

  • @anicetmpawenayo3046
    @anicetmpawenayo3046 3 года назад +34

    Aise mwamba katishaa kinomanoma wale ambao mnaanza new page tujuwane basi

  • @anthonymwambepo7441
    @anthonymwambepo7441 3 года назад +13

    Yani Wewe jamaa mimi ndio mama nakupendaga tu ujawai kuongopa🙌🙌#Mafionso

  • @merinaemmanuel3593
    @merinaemmanuel3593 3 года назад +2

    Bonge la song, jtaidin muwe mnatafuta wanawake wenye hofu ya Mungu ili kama umeimba ukweli, muepushe matatizo.

  • @godihkibe5728
    @godihkibe5728 3 года назад +4

    Ukaniacha ukaeda na masonko,,,,hataliiiii from 254 nengaaa weeee nomaaaaa watajirudixa tu wenyewe tulia

  • @masamabinhuse4599
    @masamabinhuse4599 3 года назад +8

    Ngoma kali 1000% toka jana ndo nyimbo yngu nshairudia mara 200

  • @felixthuranira7482
    @felixthuranira7482 3 года назад +5

    Team BILLNASS

  • @farizanaseleman9823
    @farizanaseleman9823 3 года назад +1

    Tena huku Mombasa tunakupenda kinoma Mimi na my best wangu bably✅✅✅✅💯💯💯💯 billnas

  • @emmakipalula9097
    @emmakipalula9097 3 года назад +4

    Ngoma Kali balaaa....for the first time nimejua kijana sio wa kawaida huyu.....

  • @roseanankwabi6743
    @roseanankwabi6743 3 года назад +7

    Naona leo umeamua kuparusha mtaa uliotukukuza kinondon Moscow salute Homie

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 3 года назад +4

    Hii ngoma ni 💥💥💥 hakuna wakubisha na huyu ndio Nenga tunaye mjua. Big up sana mdogowangu

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 года назад +5

    Bonge moja la ngoma nenga umetisha sana 🙌🙌🙌.

  • @naumydan9817
    @naumydan9817 3 года назад +33

    Ngoma tamu 😘😘i see Tatizo kweli Kenya twakupenda Nenga😍😍😍

    • @jamesfrank4204
      @jamesfrank4204 3 года назад +1

      🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @ab3ab313
      @ab3ab313 3 года назад

      🔥🔥🔥🔥

  • @makelelebosco567
    @makelelebosco567 3 года назад +8

    Tatzo n kwambaaaa...nimeanza ukurasa mpya na reason n kwambaaaa NANDY!!!!

  • @beyohstudio5975
    @beyohstudio5975 3 года назад +77

    likes kwa wale tulio anza ukurasa mpya🔥🔥🔥

    • @sizzyplus4932
      @sizzyplus4932 3 года назад

      💥💥💥💥💥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🔥🔥🙏🍷🍷🍷🍷🍷🍷@billnass

  • @samuelakunda48
    @samuelakunda48 2 года назад +3

    Binadamu wengine sijui wana roho zipi...Achana naye mdangaji yule...Uku 🇰🇪 tunakupenda bro

    • @aishambogo8947
      @aishambogo8947 2 года назад

      Wapi Kenya Sasa Nyie ndio mtamtoa loho na pumzi HAAAAA NYINYI

  • @efraimobadia4944
    @efraimobadia4944 3 года назад +5

    Wee Nandy ww haya mashair huyasikii au!!!!....

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 3 года назад +126

    Waliokuja hum kwa ajili ya jenifa gonga like😍😍😍

  • @corneljoseph4698
    @corneljoseph4698 3 года назад +8

    Nakumbukaa siku una mpa petee tena unapiga na magoti ilaa hawa watt wa kikee bn shenzii sanaaa big up bro tafutaa wa sizee yako kama huyo anajikutaa sukariii 💪💪💪

    • @yunaisamir2099
      @yunaisamir2099 3 года назад

      Me nilijua tu we et mama ake anaulizwa una mshaurije binti yako mbele ya camera anajibu na mshauri asiolew kwanza kwel jaman mama kama mama

  • @lydiakatasi13
    @lydiakatasi13 2 года назад +2

    Tatizooo.nimeanza na ukurasa mpya bonge la..,mbona imejificha hii nyimbo❤❤❤❤

  • @bigfoot131
    @bigfoot131 3 года назад +5

    Yes she got the Vapour! Success is the sweetest revenge 👏🏾👏🏾👊🏾😁

  • @youngsimbawcb1814
    @youngsimbawcb1814 3 года назад +4

    Daaaaah!!!!! Mbona Kama nyimbo imenigusa Mimi kabisaaaa...... Daaaaah!!!!!

  • @Chugacomedy
    @Chugacomedy 3 года назад +206

    Tuna kubali Ngomma kaliii sana

  • @hammyrashidi5820
    @hammyrashidi5820 Год назад +7

    Baba harusi kama baba harusi

  • @Oxluser140
    @Oxluser140 2 года назад +3

    Baada yakuwaona pamoja nimelejea hii ngoma 🔥🔥🔥✌️

  • @benjaminsemwenda3152
    @benjaminsemwenda3152 3 года назад +9

    Nenga Kama Nenga Mafioso Tangu Nakujua Haujawahi Kutoa Boko Keep It Up Mzee Baba 🔥

  • @tomdackis7281
    @tomdackis7281 3 года назад +35

    Sasa huyu ndo Nenga wa miaka miwili nyuma🔥na hizi ndo swagg zake✊🏾kazaa bro☝🏾

  • @odingamawe
    @odingamawe 9 месяцев назад +2

    No 1 ❤ kama imetoka leo every day 🇹🇿🌍

  • @dazzimonline6832
    @dazzimonline6832 3 года назад +5

    Listened to this track over 30 times I swear!!! Kenya now knows Nass

  • @rahmabilali2639
    @rahmabilali2639 3 года назад +8

    hii ngoma ukiisikiliza kwa umaki bonge moja nyimbo billinass uko vzr jenifa tulikumic san

  • @mebtv67
    @mebtv67 3 года назад +20

    From 254 Mombasa kubwa sanaaa 🅱️🔥🔥🔥

    • @Donsmiletz
      @Donsmiletz 3 года назад

      ruclips.net/video/R2Ge-qzZzLs/видео.html

  • @mrbabadtz9074
    @mrbabadtz9074 Год назад +7

    Billnass mkali wa hit

  • @saidibhinda6785
    @saidibhinda6785 3 года назад +4

    #Nenga unaimbia mitaa boy.. Unaimba maisha yangu 😓😪

  • @willinjowritter206
    @willinjowritter206 3 года назад +62

    Audio✓
    Visual✓
    Message✓
    No nudity✓
    Keep it up KING 👑

  • @diorkizazi4468
    @diorkizazi4468 3 года назад +3

    Happy birthday Billnass....

  • @MussaSaidi-ix8rq
    @MussaSaidi-ix8rq 22 дня назад +1

    Nenga mtu mbadi 💪✌️

  • @winifrida8641
    @winifrida8641 3 года назад +4

    😢😢Imenigusa hii inaujumbe mzuri sana mm ndomana nilishaga kufa ganzi ya moyo nataka iendelee tu ganzi isiishe

  • @amdontbeselfish2359
    @amdontbeselfish2359 3 года назад +8

    hujawai angusha mashabiki wako ...this is a great hit io instrumental💯

  • @ramaahnaize0190
    @ramaahnaize0190 3 года назад +13

    Mafiosoooooooooooooooooo nakuita brothr 🙏

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +2

    Nakukubali Sana Nengaaaaa 🔥🔥🔥🔥💃💃💃🥰🥰🥰

  • @dilungamzaramo
    @dilungamzaramo 3 года назад +2

    Hii ngoma itakua moto kwa mda wote maana matatizo kila siku yapo,,,
    TATIZO

  • @farajiwamu9396
    @farajiwamu9396 3 года назад +8

    KILA NGOMA YAKE INAGUSA MAISHA🙌🏽🙌🏽

  • @bushokejames3418
    @bushokejames3418 3 года назад +12

    KAMA UNAPAJUWA KINONDONI MOSCOW NIPE LIKES NA COMMENT HAPA

  • @yusuphdaudi7293
    @yusuphdaudi7293 3 года назад +4

    Bill nenga upo vzr my bro bonge la ngoma unajuwa sana kuimba

  • @edgarkimati2690
    @edgarkimati2690 2 года назад +4

    Tatzo imekuwa Tatzoo.. ukurasa mpYa.. punch line

  • @hamisreegan3738
    @hamisreegan3738 3 года назад +4

    Mafioosooh ujawahi kuniangusha kila ngoma ni jiwe tangu ligi ndogo

  • @alikhalifa799
    @alikhalifa799 3 года назад +4

    Sanaah tuuh...Billnass✌

  • @Kelaman09
    @Kelaman09 3 года назад +7

    This guy deserves more respect then his getting 🔥👏

    • @hildamatt1453
      @hildamatt1453 3 года назад

      Sureeeeeeee he deserves more n moreee great personality

  • @joeboy3293
    @joeboy3293 3 года назад +5

    Hii nyimbo nataman mda wote niisikilize

  • @subcribers687k5
    @subcribers687k5 3 года назад +4

    Ngoma kali saaaaaana 🇹🇿🇹🇿🇨🇩🇨🇩🔥🔥🔥 mafioso(ki portuguese= mtu ambaye anazingua kila mda

  • @daudybwanga7977
    @daudybwanga7977 3 года назад +4

    Hii ni ngoma ya kwanza kuisikiliza siku nzima ngoma kali sana broo

  • @reginaobasco7933
    @reginaobasco7933 3 года назад +3

    🔥🔥sinaneno laaha tupu💃💃ila napenda Sana goma Kali🎶

  • @Yegon254
    @Yegon254 2 года назад +2

    Tatizo ni kwamba huu wimbo unaisha

  • @giftedjoseph2516
    @giftedjoseph2516 3 года назад +10

    We missed you mzee wa maversee🔥

  • @petroerinest6962
    @petroerinest6962 3 года назад +4

    Huyu ndio nenga sasa achana na yule nenga wa do me!broo welcomeback to the reality music

  • @footballbestmoments1931
    @footballbestmoments1931 3 года назад +3

    Mamboo tunayoyapitia mtaani kila siku

  • @ramadhanabdallah5526
    @ramadhanabdallah5526 2 года назад +4

    Hii ngoma imenigusa sana...daaah

  • @barakambwana6145
    @barakambwana6145 3 года назад +5

    NENGA MBONA KAMA MOVIE VILE
    EBU NIRUDIE TENA NA TENA KULA BEAT, VOCAL, MESSEGE, MELODY and all staff like that..
    UMEUA

  • @anicyaedward5605
    @anicyaedward5605 3 года назад +10

    I love you nenga no matter how .. nimeumia kuachana na nandy daaaa 😓😓

  • @bullychandy6509
    @bullychandy6509 3 года назад +3

    ilipaswa kuitwa ukurasa ama ukurasa mpya bonge la ngoma aseee

  • @samiramawby1257
    @samiramawby1257 3 года назад +5

    Jamani nimesoma nenga nyingi nikawa najiuliza nenga ndo nini....duuu kumbe bill nenga hahahaaa walokuwa hawajaelewa kama mm tu like