Tulorudi tena leo kuangalia hii interview baada ya ndoa tujuane hapa, hongeren sana Mr & Mrs William🙏🙏 mwenyez Mungu azid kuwaongoza na kuwabariki sana mshirikishen yey kwa kila jambo Muwe na familia bora🙏, tunawapenda sanaaaaa
Honestly toka mwaka umeaanza this is my Best interview Congratulations saana Millard Ago.Nice Creativity na vikaratasi hivyoo. Hope to see moree like this one.. BIG UP SAANA.
Milard, you are the best. Umeitendea haki tasnia ya utangazaji. I like the way you calmly ask questions, give your guests time to digest the questions, for sure you deserve congratulations........
Nimerud tena after kufunga ndoa na nandy akalia aiseee umenifanya pia nilie na vile ninavyowapenda mpaka nyumban wananisema yan guys all the best hamjui how much I was following you to see you getting married Coz tuliweka mpaka deal la pesa japo cjapewa ila 😢😢😢🙌🏽🙌🏽🙌🏽guys nawapenda nandy upow emotional 😭 like me pliz billinas ni mme bora upo sehemu sahihi goodluck Mungu yupo nanyi.. Tanzania 🇹🇿 tupo na couple hii kenya 🇰🇪 ni Bahati na Diana yan hz couple ndo my inspirational cchoki kuwatazama and I learn a lot from you guys
I thought they were a couple before I watched this video;still there's love between them especially from Nandy.It's good you you're now in marriage.Congrats.I love that
Nlkuw natft ii comments .......ndo maan watu kadhaa wakitak kurudisha mahsian yao wanatft mda wa kukaa na kuongealea moment zote walizopitia kwny kipindi Chao ....trust imework kwa wengi🥰😌
Hakuna awezaye kutenganisha alichopanga Mungu,shukran Kwa kurudiana na kufunga ndoa.Mungu azidi kuwaongoza,nawapenda sana;miongoni mwa wasanii wa TZ naowakubali ni hawa
Jaman kwa hayo maongezi Nandy kama wameachana bas Nandy amemmiss sana Billnass😃na Billnass anapenda sana utani I like it Millad anaweza akarudisha watu kwenye relationship
Duuh ila hii interview mlikua bado mnapendana nyie na mmethibitisha.😍😍. Kwa mara ya kwanza kuangalia interview mwanzo-mwsho bila ku skip..😅Mungu awaongoze ...🙏🏼🙏🏼
Wanasemaga "Watu walioachana kuwa marafiki ni aidha bado wanapendana au hawakupendana kiukweli"😅😂 Kwa case ya hawa jamaa nashindwa kuelewa ila I love the chemistry
I supposed to be somewhere, I missed it cos' of this interview, now they aren't teenagers anymore, is the right time for them to be together again, cos' love is still there, Big time...!
Yaaaani hili interview kibokooo,maana ingelikuwa inaendelea mpaka part v😂😂,hii kiboko na imevunja record kwa ukaliii,big up Millard..Na nawatakia kila lakher katika hiyo harusi yao,maana halina mjadalaa...
Tulorudi tena leo kuangalia hii interview baada ya ndoa tujuane hapa, hongeren sana Mr & Mrs William🙏🙏 mwenyez Mungu azid kuwaongoza na kuwabariki sana mshirikishen yey kwa kila jambo Muwe na familia bora🙏, tunawapenda sanaaaaa
God bless you all
Mi mwenyewe nimeilike💪💪👍👍🔥🔥❤️❤️❤️💋💋💋
Mimi hapa
Mimi pia 🔥🔥
Hahaha tuko kumbe
Honestly toka mwaka umeaanza this is my Best interview Congratulations saana Millard Ago.Nice Creativity na vikaratasi hivyoo.
Hope to see moree like this one..
BIG UP SAANA.
Kwel
This couple jmn 😍😍😍 Nan karud kuangalia ii interview
Promise kept, tukirudiana ntakuoa,, how lovely🥰
Milard, you are the best.
Umeitendea haki tasnia ya utangazaji. I like the way you calmly ask questions, give your guests time to digest the questions, for sure you deserve congratulations........
Exactly, I do the same
He is mature enough I guess hayupo kama watangazaji wengine......hongera sana Millard.
Toka nianze fatilia interview za wasanii, sijawahi ona interview nzuri kama hii.
This is the best interview ever....
Aisee umeongea the best nimependa sana
Haki true
hamna lolote
Acha wivu kila mtu na mtazamo wake
@@laxiekillian8392 mhh,hongera ww ulieona wivu kwenye hamna.labda pia ningejua interview nzur za wasanii alioangalia
Nimerud tena kuisikiliza upya after engagement 🥰🥰🥰✅
Nivizuri pia kurudiana
Came here after the wedding....Love wins!!!
I like the way millard is always relaxed during an interview....high maturity level....
Kabisa
Hongereni kwa kutunza mahusiano hatimae kufunga ndoa mungu awabariki Sana kwenye ndoa yenu
Hii ni mara ya kumi na sita kuiangalia hii interview ya Hawa wapenzi
Naipenda na nawapenda Sana Nandi na Billinas
hahahahahahahah me mara mia
come back to interview today after their wedding ❤️ congratulations
Imepeza Sana mungu azidi kuwasimamia 🙏🙏🙏
Nan yuko apa baada ya hawa watu kuelekea kuwa baba na mama 😊😊❤❤
Tuletee tena hawa watu tumemic interview yao ya pamoja baada ya ndoa.....mr and mrs William❤❤❤
Nimerud tena after kufunga ndoa na nandy akalia aiseee umenifanya pia nilie na vile ninavyowapenda mpaka nyumban wananisema yan guys all the best hamjui how much I was following you to see you getting married Coz tuliweka mpaka deal la pesa japo cjapewa ila 😢😢😢🙌🏽🙌🏽🙌🏽guys nawapenda nandy upow emotional 😭 like me pliz billinas ni mme bora upo sehemu sahihi goodluck Mungu yupo nanyi.. Tanzania 🇹🇿 tupo na couple hii kenya 🇰🇪 ni Bahati na Diana yan hz couple ndo my inspirational cchoki kuwatazama and I learn a lot from you guys
Congratulations to the lovely couple, words are powerful, we witnessed.
I am back again after the wedding.... 😃honestly you are meant to be together. Lovely couple...God keep blessing you.😘
Wanaotamani kua na mahusiano kama ya billnass na nandy yalivyo kua
Gusa like apo
👇👇👇
Yaaan napenda sana
@@malkiabintimfalme6820 p1 sana mm mwnyew napenda sana tena sana
Shalom King 😁😁
Shalom King nyie jamani
Hao baado wanapendana
Nimeona ya Nini mieee nkarudi kuja kuangalia hii interview Tena na Tena love always wins ❤️❤️❤️❤️❤️
Finally they are married 😍 2022🔥🔥
Not yet but on saturday 16/7 they will be married
Kabisaa, Leo Saturday
today ❤️
@@aminamkindi922 ok
@@dianalawi1584 ok that's awesome
Now they are hubby and wifey! Love you too so much! Mungu ailinde ndoa yenu
I love the interview, they are so really. Hongera sana Millard. Kila la heri kwao Nandy na Billnass. I wish kama ingeendelea hivi 😀😀😀😀
Hatimaye kwa KWELI, yalikuwa Ni matumaini yetu wengi wawe pamoja coz they love each other
I thought they were a couple before I watched this video;still there's love between them especially from Nandy.It's good you you're now in marriage.Congrats.I love that
Congratulations Mr and Mrs William. May God bless you abundantly ♥️😘
Hongereni sana jana mumeyatimiza haya nandy+bilnass ❤️❤️❤️
Yaani wewe, umerudi kusikiliza huku kama mimi baada ya jana
@@judyngowi391 adi mm😂
😂😂😂😂😂😂Hadi mimi
Hadi mimi
Na mim pia.
Interviwer tamu, party 3 hakun millardo ayo😂😂😂😂mie napend umbea ujue, maan nachek htr huku
Awa watarudiana2 wasitufanye watoto
😁🤣
😁😁😁
Eti "napenda umbea"!!!
1
@@biakaisa7985 kwa uzoefu wangu hawa wanakulan japo kwa siri maan nenga anasem yupo kweny mahusioa. Ila watu wazima tunajua😂😂😂😂😂😂
Hawa jamaa bado wanadate kama umeliona hilo weka like hapa tujuane😂😂😂😂
👍
Hadi Raha nimewapenda buleeee😘😘💞💞
kingkijana 255 pamoja sana
Hawa wana mahusiano bdo
Kweli kingikijana inaonyesha kabisa hata tabasam lao bili mbona alisemaga muda tu Nandi alikuwaga anambeleza waludiane nandy anampenda Sana bili
Binafsi nilikuwa nawaona mbali sn hawa wana Ndoa nilijua tuu Mungu atajalia Ndoa,Nawapenda sn Hawa watu jamanii 😍😊♥️🔥🔥🔥
Mungu ni fundi hongera Sana kwako,ukiiangalia hii interview unaona kabisa walikuwa bado wanapendana
Kwel kabisa
Jaman naomba mrudiane dahhh nawapendaaaa mpk naumwa😤😭 they are so lovely jaman
Nimeirudia tena jamn dah ilikuwa pambe sanaaa Kama Mungu aliamua waifanye aisee Kila la kheri katika ndoa yenu❤️
Nani amerudilia kuskiza hii interview baada ya engagement? all the best my darlings 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Edith Ayouma mimi
Mimi
✌😙😙
Nimeirudia several times dah so lovely😘
Mm joomn😅😅
Kaka Millard hongeraa buanaa naweza sema umechangia Hawa watu kufika walipo saivi hizo ni baraka Mungu awatangulie couple yangu pendwaaaa
Came after the wedding… What I learned is Nandy can loooove
Nimeipenda . Nandy being your number one matters a lot. Respect man.
Anaekubali Millard ni talented na smart na kazi yake angonge like hapa... Timu Millard tujuane Millard is fire 🔥🔥🔥🔥💯
Neema Mabele posti sura yako kwanza ili ni like comment yako
@@derrickthedon91 mimi si demu wa kuposti.. kama unataka tuma namb nikutumie dm
Neema Mabele daaa aisee nimechelewa kukujibu daa.. namba zangu ni 0654068675
Fireee! Na huku upo?
I love your story and am back again today after their new song, indeed love is a beautiful thing.
Millard ayo uko mbunifu sana you are the best of all time
Nilichogundua Nandy na Billinass ni wakweli ukiwaangalia tu usoni utajua km wanasema ukweli, Nawapenda
Milad, Billnas and Nandy indeed it was awesome interview. Cheers 🙏
This interview was the catalyst for Nandy and Billnass to rekindle their love
Sure
Real
Nlkuw natft ii comments .......ndo maan watu kadhaa wakitak kurudisha mahsian yao wanatft mda wa kukaa na kuongealea moment zote walizopitia kwny kipindi Chao ....trust imework kwa wengi🥰😌
Interview kali..never ever seen nimependa mno imenifanya cku yangu ikaenda poa mno big up @millard ayo
Congratulation millard Ayo ..Hii interview ni ya kizazi sana 😍😍😍😍😍😍😍😍Naomba iendelee tafadhali😂.
Kwel
@@mericky6031 👊👊
Hahaha aminikwamba
Nimekuja kulike baada ya ndoa bill and nandy nawapenda
Millard ayo umechangia sana kuirudisha hii couple pamoja🙌
I don't believe these two are not dating, wanafaana thou. Nandy is such a beautiful lady. Much love from Kenya #greatinterview #bigfan
I appreciate you my brother Millard Ayo........it's possible ukawa umerudisha relationship ya hawa jamaa aisee big up brother @Millard Ayo
Kafanikiwa haswaaaa 💫💫
Hongereni Sana mlikuwa mnapendana kwel hatimae mmefunga ndoa....Mungu awabariki watoto wengi Sana.....
Jambo limekuwa jambo wamekuwa pa1 now wanandoa hawa wawili aiseeee gonga like hapa kama uko happy na interview hii..
Best interview Millard Ayo. Always you do it brother!
Yani hongera Ayo you are the best ever ,,Nandy and Bill mko free mmependezana adi speechlessness
The whole story imekua more interesting now that they are married. God bless their union🥰
Get married already!!! too much love and chemistry.
Ukipenda umbea hii ni interview nzuri sana....Billnass unaongea sana humpi nafasi Nandy.....mkiwa wawili kwenye interview mpe tym mwenzio
@millardayo umetisha bro, never seen hot interview lyk this
Truth always make relationship in a good condition 💯 😍
Millard hii interview ndo imesababisha ndoa ya nandy na billnass maana walifunguka ya moyoni kila mmoja kumuhusu mwenzie,hongera sana sana
Real
Billnass
Kubali yaishe .. This girl is a gem.she is so adorable 👌👌👌
Hawa ni lazma walivyotaka hapa walienda kunjunjana sio kwa contact eyes izo 😊😊👌
These two are still love birds, you can tell by their looks
Nimependa
Yaani , saiv na ndoa kabisa 💫💥
Hakuna awezaye kutenganisha alichopanga Mungu,shukran Kwa kurudiana na kufunga ndoa.Mungu azidi kuwaongoza,nawapenda sana;miongoni mwa wasanii wa TZ naowakubali ni hawa
nandy is still in love with billnas hat macho yanaonekana ..so much in love with the guy
Billi please mrudiye nandy she's soo beautiful na hata boss ruge wil be happy for both of you
Naamini hii interview itakuwa the best mpaka tunamaliza mwaka huu 2019!big shout out to mr M I DOUBLE L ARD AYO
It is still the best up to date 2022
They were meant to be. I wish them the very Best in their Marriage...
Kiukwel nawapenda sana I wish waoane jaman😂😂😂ukwel wanapendezana sanaaaa Kama upo na mimi like and comment apo🍎🍎🍎
This interview is sooooo romantic..I feel like kissing huyo Billnas
Jaman kwa hayo maongezi Nandy kama wameachana bas Nandy amemmiss sana Billnass😃na Billnass anapenda sana utani I like it Millad anaweza akarudisha watu kwenye relationship
This is a real interview. Big up Millard
If you look deep there's strong love between these two guys
Nimemaliza ugari bira kujua daaaah mnaendana sana
Sure
Imagine they are officially married now
Beautiful interview Millard Ayo.
Nilimwambia Nandy "Siku tukirudiana nitakuoa". By Bilinass. Kweli yalitimia tarehe 16 July, 2022.
True love never ends.2022 you are together
Ruge was a good person indeed..RIP
Sanaaa alkua mtu SMART.MUNGU AMSAMEHE MADHAMBI YKE
Hawa bado ni wapenzi wanaonyesha tu
@@saudaabdallah.6480A
Sac.
Xeexxc,2xx2sm
Ddaax as ÷÷
X
of
A,1 s"#÷¤
C C CX2DCzwc z w
2xz
Mungu awape baraka ili mje muoane na kuwaepusha na mabalaa mfunikwe kwa damu ya Yesu
Dua yako inaenda kukubaliwa
Finally they're getting married ♥️
Hakika yametimia
Wanazuga! Too mapenzi 🔥🔥🔥hapo
Jamani akuna jipya tusubir ndoa jaman
Muda sio mwingi good Ayo
I truly love this milard ayo he bring pple together
Kwa mwanamke alie penda mausiano ya nandy na bilinas anicheki social media zote Fb na Instagram..
Mimi
Nipo
Ili uanze nae au
Duh
Mm nilikuanaswali katiyawatuwawiliao nanikamuachamwenzake
Millady uko juu umefanya makubwa yakutazamana macho yanasemezana wanapendana sana
Jaman napenda sana hii couple ♥️♥️♥️
I like it
Duuh ila hii interview mlikua bado mnapendana nyie na mmethibitisha.😍😍. Kwa mara ya kwanza kuangalia interview mwanzo-mwsho bila ku skip..😅Mungu awaongoze ...🙏🏼🙏🏼
lakini kwa nandy anavyomtazama hakika bado lipo penzi. Lipo jambo.
Kumbe umeina eeeee
@@chainbre275 sana tu.
Kabisaaa yani tabasam linaoneshaaaaaaaa
Nlisema mimi na kinavyojichekesha
@@lailamohammed3213 umekiona kumbe pia?
Wanasemaga "Watu walioachana kuwa marafiki ni aidha bado wanapendana au hawakupendana kiukweli"😅😂 Kwa case ya hawa jamaa nashindwa kuelewa ila I love the chemistry
When dreams comes true 🙌
Nimerudi hapa 2022 and yes i was rght baada ya hii interview nilijua watarudiana tuu na hakuna kuachanaa 😁😁😁😁😁😁😁😆😆😆😆😆
Na wameoana tayari 😄😄
I supposed to be somewhere, I missed it cos' of this interview, now they aren't teenagers anymore, is the right time for them to be together again, cos' love is still there, Big time...!
Yaaaani hili interview kibokooo,maana ingelikuwa inaendelea mpaka part v😂😂,hii kiboko na imevunja record kwa ukaliii,big up Millard..Na nawatakia kila lakher katika hiyo harusi yao,maana halina mjadalaa...
dah kwel master am so excited wid thiz interview
Hii ni ya kibabe
Johari Abdallah, kwao hao wamepanga kuoana tafadhali?.
@@bettymassanja881 sisi ndo mabahari wenyewe wa mjini😂tunaoona mbali,na tuliiia mambo mazuri hayataki harakaa..utaonaa
johari abdalla duh yaan nimependa sanaa et ndo inatakiwa hivyo so kila mtuu kuweka waz ajue
Nandy she is in love wic bill .. her eyes 😘😘
Oyooooo
Jamani nataka namba ya mirado ayo
kuwasiliana na X wako nisawa na kutembelea muwa kufanya Mkongojo Ipo siku uta ula niongeze Sauti au inatoshaaaaaa????
Mkombora Ahmed ongezaaaaa sauti Eka ya mwishooooooo kbsaaa
umeua aseee
Ongezaaaaaa
Ongeza kidg
Unasema
Interview vanesssa mdee and jux the next time , great interview 👍🏻
Sipati pich
natamanii hatarii
U guys are rock made for each other soul mates
Manze i cant get enough of this manz billnas ako true
Congrats nandy and bilnass ❤️✨
It's like Millard wants these two together
walai vile lol
Me mwenyewe nahisi
Hamad_ XR sure
Kafanikiwa
0
bilnas unajibu nandy kibishi ila nandy anakuelewa kinomanoma dadek huyo mtoto hata awe na mnyamwez gan atabaki kukuelewa bugana
Nandi anampenda bado.. maana kajbu tusubil afu mwanaume anasema anamtu mbn nandy amekubal
Acle Johnlee alikua anamla vizuri mno
This man said ikitokea turudiane ntakuoa.....imagine???!
Power of Words🙌
Yan leo nmejikuta nimelike comment zote bro Millard you're good
Amini usiamini nandy bado anampenda bilnass ....😧
Sana yaani anaonyesha hadi macho
Anampenda hadi anatia huruma
@@fatmabushiri1301 kama mimi ninavyo kupnda ww😗
Yan anavyomlegezea macho 🥺🥺
@@beatricekingsley5062 🤣🤣🤣🤣
best interview i have ever watched and commented at, this is my 1st interview to comment on, i wish u wld b 2gether
Hatimae ndoa ikawa kweli mungu awalinde sana Kwenye ndoa yenu nawapenda sana ❤️❤️❤️
Hivi nyie mjue mnaendana nimewapenda bure Millard Ayo wambie warudiane bwana
nyie mna endana sana hata nyota zenu zinaendana ndo maana ni marafiki hadi leo mkirudiana ita pendeza san