BILLNASS - TAGI UBAVU (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #Billnass #TagiUbavu #SlideDigital
    (C) Nenga
    Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
    ffm.to/billnass
    Written & Performed by Billnass
    For Booking : billnass16@gmail.com
    Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
    Follow Billnass on:
    / billnass
    / bill_nass
    Channel Administered by Slide Digital
    Instagram: / slidedigitaltz

Комментарии • 475

  • @bensonfrank643
    @bensonfrank643 6 лет назад +4

    "Mwambie dada ako anajichoresha anavyo'Deal na wanagu,
    Waambie wanao wanachoreka wanavopita Njia zangu...🔥🔥🎤✊🏻"
    NENGAAA MAFIOSO..

  • @AshrafAshraf-dm4xe
    @AshrafAshraf-dm4xe 6 лет назад +23

    baada ya kuona chupi la nandy ..ndo nimekja kusikiliza mstari moja..hata nguo za ndani hamnunui

  • @nelsonnmwaipaja6980
    @nelsonnmwaipaja6980 5 лет назад +1

    wambie wenzako mnachoreka##mnavopita njia zangu mnajichoresha hakuna wa kukukuta bill unamashairi makali

  • @nicholasjoseph1927
    @nicholasjoseph1927 5 лет назад +1

    kweli nkubal maisha yana step ,jux &vanesa kuachana uku wengine wanapatana bro nenga kula chombo icho

  • @peterkidaga7022
    @peterkidaga7022 3 года назад +2

    Nenga n bongee star nashanga ngoma zake hat views mil 1 azfk😭😭😭

  • @tracejeezy8917
    @tracejeezy8917 6 лет назад +19

    Video Kali saaaana na nimependa zaaidi kumuona ALBINO,, ROSA REE NA HAO WA SARAKASI

  • @nestorymsacky6838
    @nestorymsacky6838 6 лет назад

    Ujawah niangusha billnass kali sana

  • @maguzushija7913
    @maguzushija7913 6 лет назад +44

    #Nenga_mzeeee hapa sasa ushaanza kupiga vitu adimu Sana
    Salute sana #MAFIOSO
    NENGA Mwenyeweee dude ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚛🔥🔥🔥🚛

    • @aminizabron7985
      @aminizabron7985 6 лет назад

      Maguzu shija
      Jini

    • @ikosawatv
      @ikosawatv 6 лет назад

      Bonge la ngoma unaweza tazama pia hii cover yake kama Inspiretion kutoka kwa Billnass ruclips.net/video/F1PobrLm9XA/видео.html

  • @nurdinbilaly1218
    @nurdinbilaly1218 6 лет назад +5

    #Nenga haujawahi kuwa dissapointed bro let's keep good music alive...#Tag_Ubavu🔥🔥🔥🔥

  • @samtz1399
    @samtz1399 6 лет назад +18

    Wee mkali siku zote wanaobisha wanatumia ndinga za baba

  • @mathiaswambua7643
    @mathiaswambua7643 6 лет назад +10

    Ngoma Iko On Fire Jamaa Umetisha Mno #Tagubavu.

  • @jaylazorschannel5681
    @jaylazorschannel5681 5 лет назад +14

    From +254 🇰🇪Billnass 🔥kama unamkubali bill nass gonga like apa🔥🔥💯

  • @Emma_Bernard
    @Emma_Bernard 2 месяца назад +1

    Who else is watching I'm 2024?
    Kwanini hiki chupa hakijafikisha 1M views?!

  • @yusuphsalim6469
    @yusuphsalim6469 6 лет назад

    #Billnass Billnenga unatisha Mzee!! Ngoma Kali bob

  • @djdammy1874
    @djdammy1874 6 лет назад

    Nenga sio mtu wa mchezo asee kila ngoma mzee hujawai boronga toka raha na naazizi mpaka leo kila ngoma yako ni hit bro salute sana

  • @yusuphsalim6469
    @yusuphsalim6469 6 лет назад

    Midogi vp umu ndani siioni Mzee baba bilnas

  • @paschalboniface8319
    @paschalboniface8319 6 лет назад +6

    Ajawai niangusha kitu adim iko ukojuuuuuuuu sana

  • @rafaeljonathanjr.3953
    @rafaeljonathanjr.3953 6 лет назад +1

    😎😎😎😎wana roll na ndinga za baba kushiba kwa mama....nailed it niqqa

  • @KingMuta
    @KingMuta 6 лет назад

    Kuna kitu kikubwa ninmekiona humu..moja ni uwepo wa huyo mtoto.... lakini video ina vitu kimsing haivichoshi kutizama makunfuu pale kwa nyuma... bilinass na wote waliotengeza hii mpo vizuri haiseee

  • @chaps123
    @chaps123 5 лет назад +1

    Jamaa kasema tagi ubavu hakuna kingine!!¡

  • @shakirawakenya5242
    @shakirawakenya5242 6 лет назад +6

    Bilnengaaaaaaaa #Tagiubavu🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @bongelabwana7523
    @bongelabwana7523 6 лет назад

    Natamani sana hili jembe kuliona pale wasafi , naona kabisa level za mbele , mwanangu nenda wasafi hawa wengine wanakupotezea mida !!! Bill nenga

  • @swaxflag
    @swaxflag 6 лет назад +1

    Bonge la ngoma nakubal mzik mzur kam unafeel perfomance ya billnass gonga like hapa

  • @SalehAhmed-ic3pf
    @SalehAhmed-ic3pf 5 лет назад +1

    waroll na ndinga za baba wanakula kwa mama tagi ubavu

  • @prestonkenyaofficial
    @prestonkenyaofficial 6 лет назад +4

    Nimekubali
    representing 🇰🇪🇰🇪

  • @shaffiihassani8397
    @shaffiihassani8397 6 лет назад

    Good sana bill nas nakubal show zko

  • @Mjukuuwanombo
    @Mjukuuwanombo 6 лет назад +39

    Wanaroll na mandinga za baba kushiba kwa mama....... U kill it nigga!
    Bonge la audio bonge la video!!! Yaani ni 🔥🔥 #tagiubavu

  • @mfinangaali1911
    @mfinangaali1911 6 лет назад +3

    Billnass toka nikusikie kiukweli unafanya vizuri tena sanaa, cos you also have unique voice, one thing that will propel your music to wider audience you must collabo with top artists at home or elsewhere, that has always been the key gateway to success by all top artist you see today.

  • @oswaldkakuyu
    @oswaldkakuyu 6 лет назад +1

    big up billnass kumbe bongo tuna sehemu zakushutia video alafu tunakimbilia sauzi big up sana

  • @BurudaniOfficialTz
    @BurudaniOfficialTz 6 лет назад +6

    Mamamaeee Neeenga...!!!😎😎😎

  • @thenewadam6930
    @thenewadam6930 6 лет назад +4

    unajua mzee baba sikupingiiiiiiiiiiiiii

  • @cutedyna5021
    @cutedyna5021 6 лет назад

    Billnass ana hatare ....ni fire....mziki mzuri...mziki wa kiwango cha juuu.....

  • @khalidamin9917
    @khalidamin9917 6 лет назад +208

    Pambana kaka ngoma kali!!! Kama unamkubal billnass pita na like hapa

  • @allyabdallah3282
    @allyabdallah3282 6 лет назад

    Noma sana mzee baba hujawah niangusha kabisa asee Trust you are the best Greater of all time @billnass

  • @mariamumuhammed6854
    @mariamumuhammed6854 6 лет назад

    nimeipenda,tag ubav nzuri mnoooo

  • @izackmkonyi4121
    @izackmkonyi4121 6 лет назад +4

    Waliodislike hii ngoma mungu anawaona

  • @mwidu8774
    @mwidu8774 6 лет назад

    Touch ni mnyama ila afanye ustaarabu wa kutengeneza biti kali zaidi zisizokuwa na uwiano caz hii biti ni kama ya bongo bahat mbaya na mbwa koko!!! Ol in ol big up NENGAA LET'S ENJOY GUD MUSIC

  • @dottodioniz2126
    @dottodioniz2126 6 лет назад

    #melkion_paul_ aaaaaaah Bil_wa_Nass_Umetishaa_brazaaa

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi 6 лет назад

    Neeeeeeeeengaaaaaa #Mzungu mzeeeeee umetisha Sana Mzaziiiii song kaliiii Sana 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎤🎤🎤🎤🎤⭐⭐⭐⭐⭐ #tag_ubavu

  • @alphahappy3501
    @alphahappy3501 6 лет назад +1

    Keeping the good music alive😊😊
    Balaa lako nenga km miaka yote🙌🙌

  • @mabulakimaro2403
    @mabulakimaro2403 3 года назад

    Mmh nenga kama nenga unajua bro kupanga mistari big up kwako

  • @chazjerome9999
    @chazjerome9999 6 лет назад

    Hongera DOGO nyimbo umejitosheleza na inawagusa wahusika

  • @bahatimandoa01
    @bahatimandoa01 6 лет назад +1

    Wanaroll na mandinga za baba kushiba kwa mama🔥🔥

  • @anithakitomary632
    @anithakitomary632 6 лет назад +6

    ngoma kaliii blood 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @wizfbeb
    @wizfbeb 6 лет назад +10

    King of tz new school hip hop

  • @derickydesdery1826
    @derickydesdery1826 5 лет назад

    Nenga naukubali kaza👊👊👊

  • @mwanaidsalehe1109
    @mwanaidsalehe1109 3 года назад

    Mpaka leo 2021 nyimbo bado ya moto hongera billnas

  • @issasuluta3003
    @issasuluta3003 6 лет назад

    Hakunaa kama wewe mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @codehollic637
    @codehollic637 6 лет назад

    we mseng# unajua hadi unakera salute kwako brother sorr kwa tusi ni vibe tu salute pia kwa t touch asee bonge la ngoma @billnas

  • @allyhance3096
    @allyhance3096 6 лет назад +1

    nakuelewa kinyama....mnyamwezi wangu......bonge la ngoma hukoseagi

  • @emmanuelkitwala213
    @emmanuelkitwala213 6 лет назад +1

    Tagi ubavu on fireeee...Kali sanaaaa

  • @djscubitanzania5031
    @djscubitanzania5031 6 лет назад

    hujawai kukosea NENGA umeuwa sanaaaaa michano flani kuimba flani asee kiilll itt

  • @shairanibrah7609
    @shairanibrah7609 6 лет назад +22

    kama umemwona rosa ree gonga like apa

  • @philiposhilingi8066
    @philiposhilingi8066 6 лет назад +1

    Im Tanzanian watching from USA 'big up bro hard work jah bless' you as longest never look back just go head

  • @paulgodwini2910
    @paulgodwini2910 6 лет назад

    Hapa ndio nimeamini pengo la zilla ni bill nass safi mkali wangu

  • @elisanjichanyange5485
    @elisanjichanyange5485 6 лет назад

    Woza wozaaaaaaaaaa imekaa poa sanaaa bilinengaa, solute kwako mzee babaaa

  • @erickedson7014
    @erickedson7014 6 лет назад

    NengAAAAAA mafioso Kichupa kimetulia kinomaa 🔥🔥🔥

  • @christinamwakipesile3749
    @christinamwakipesile3749 6 лет назад

    #BILLnass hujawahi niangusha
    wana lulu na mandiga ya baba kushiba kwa mama...

  • @rissababytz2623
    @rissababytz2623 6 лет назад

    nakubali sana billnass

  • @eddyeddlay8769
    @eddyeddlay8769 6 лет назад

    Hit song mzee
    Ila kwa nn watoto mliolelewa na mzaz mmoja weng wenu mnavipaji kinoma ?.

  • @japhetmbaga296
    @japhetmbaga296 6 лет назад

    ***TAGI MACHUPI wanaloli na machupi ya bibi machupi makubwa Wanajidai na mageto ya baba mageto machafu
    *** TAGI MACHUPIX2 NENGA NENGA

  • @ashminaabdullah5626
    @ashminaabdullah5626 6 лет назад

    Wahuni si watu wazur ila elimu na usela uko pw ilembayaaa 😘

  • @tawhidkheri6334
    @tawhidkheri6334 6 лет назад

    we msenge mafioso hukosei🙌🙌🙌🙌🙌🙌#tagiubovu

  • @dannyfrankkiwia652
    @dannyfrankkiwia652 6 лет назад

    kiukwel hii ngoma naickia cku ya kwanza ni kali sna na nirirudia zaidi ya mara tano ila billnass KWETU STUDIO wamepoteza ukali wa hii nyimbo kwa kutoa video mbovu sna.....

  • @ommytizo
    @ommytizo 6 лет назад

    Tagi ubavuuuuuuuuuuuuuuuuuu #MAFICHO tZ

  • @stephenbarnaba5061
    @stephenbarnaba5061 6 лет назад

    Imekaa vizuri

  • @cleverdaud7624
    @cleverdaud7624 6 лет назад

    Mkasi ni wa moto sana Nenga,Sound ya touch iko poa japo inasound kama demo ya bongo bahati mbaya

  • @linusphilemon7505
    @linusphilemon7505 6 лет назад

    BillNass Unafanya mziki mzuriii saaana I salute you

  • @amanikiula9940
    @amanikiula9940 6 лет назад

    Mi cna ubishi #nenga we msanii Wang since day one sema nini nipe ladha ukiwa na ... young dee

  • @gabriellydaud5411
    @gabriellydaud5411 6 лет назад +2

    Hujawah kuwaacha wat salama kaka tisha sana #bilnas

  • @nuhukihegulo141
    @nuhukihegulo141 6 лет назад

    namkubali sana bill nas

  • @mamasele241
    @mamasele241 6 лет назад

    Wana roll na mandinga za baba kushiba kwa mama tagi ubavu"

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 6 лет назад

    Tagi ubavu.
    Ndiga za baba
    Kushiba kwa mama

  • @qudratv9169
    @qudratv9169 5 лет назад +2

    Billnas alway ngoma zako tatu zipo kwenye play list yangu
    Tag ubavu
    Ligi ndogo
    Sina jambo👍☝☝

  • @pendomsafiri5389
    @pendomsafiri5389 6 лет назад

    I luv u sanaaaa billnass,😍😍😍😍😍😍 , mziki mnene beat Kali👯🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎤

  • @smolltv9436
    @smolltv9436 6 лет назад

    Kijana safi sana bill nass

  • @mushipascal2322
    @mushipascal2322 6 лет назад

    mxhikaji kaza utafika billnass

  • @marcymbegab9066
    @marcymbegab9066 6 лет назад

    BILLNASS uko juu kakangu ngoma kali Sana 🔥 🔥 hata nguo zandani hawa nunui moto sana hahaha from +254

  • @claudshirima9695
    @claudshirima9695 6 лет назад

    sanaaa bro kazaa unauwez

  • @Bonnere
    @Bonnere 6 лет назад

    Billnass bonge la ngoma from Australia na kubali bro

  • @kubaaa1237
    @kubaaa1237 6 лет назад

    Namuona emtee,Nast c,Aka ndan ya mtu mmoja

  • @mathersamwel4431
    @mathersamwel4431 6 лет назад

    aseeeee ilo beat la bongo bahati mbayaaaaaaaaaaa tafuteni idea zenuuu bd cjamuelewa bilnass

  • @tomjonas5907
    @tomjonas5907 6 лет назад +2

    tatizo baba yako hakuwa na garin yakukupa xo usichukie life za wengine brooo xo pambana kwa wanao

  • @ismoodmohamed4581
    @ismoodmohamed4581 5 лет назад

    namkubali billinasi.

  • @lionking3015
    @lionking3015 6 лет назад

    Nakubali billnass kila jiwe ukitupa tofali big up bro

  • @walterwoodcock321
    @walterwoodcock321 6 лет назад

    bill nass bill nass again bill nass ngoma so dope 🔥🔥🔥🔥yani si kitoto ila remix ake iandaliwe yani walio kwa video kama young dee na rosa ree nlitamani wachane asee maana beat iko murdered well sasa ukiongeza mtu kama fid,joh,zilla kwa remix ltapendezaa kaka Nenga

  • @deokiria6481
    @deokiria6481 6 лет назад

    Nlkuwaa cmjuiii aseee ilaa nmemuelewaa sanaaa
    baada ya kuckiaa ilee skendo ya pichu ya pink

  • @augustrichard6928
    @augustrichard6928 3 года назад

    2020....!!!!
    Bado naskliza hit Kali......!!!!!!

  • @sandutara5393
    @sandutara5393 5 лет назад

    ngoma Kali sana

  • @pindabway
    @pindabway 6 лет назад +2

    kinondoni on map 🔥🔥🔥🔥🇹🇿💪

  • @johnsonbrown8186
    @johnsonbrown8186 6 лет назад

    touch kazi nzuri broo!

  • @danielmathias160
    @danielmathias160 6 лет назад

    Hamnunui nguo za ndani

  • @ezumba8574
    @ezumba8574 6 лет назад

    ngoma kalii nengaaaaa endlea kutupa vi2 vikaliii

  • @linaarnold9501
    @linaarnold9501 6 лет назад +3

    Billnass as usual.....dope song!!

  • @erastomhindi4388
    @erastomhindi4388 6 лет назад

    Saawaa wafunge mdimo wee mkalz

  • @victorndanu9923
    @victorndanu9923 6 лет назад

    ebhanaaaaaaeeee daaah....nigga ujawai kosea mbabe wng ngoma kuntu bikanchos #tag ubavu

  • @nellymollel4672
    @nellymollel4672 6 лет назад +1

    nənqāā #tagi_ubavu
    daaa acha tuuu ni subscribe your channel maana una talent GOD BLESS YOU
    MUCH love this track

  • @imamrema1880
    @imamrema1880 4 года назад +2

    2020 like black @tagu-Ubavu

  • @RasulJ-w6h
    @RasulJ-w6h Год назад +1

    Kama unaliskiliza hili chupa 2023 nakupa🎉🎉 maua yako lakin pia usisahau kunipa like

  • @bakariozias6612
    @bakariozias6612 6 лет назад

    nikweli atanguozandani naniuyo nedy auuuuu