BILLNASS - TAGI UBAVU (OFFICIAL VIDEO)
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #Billnass #TagiUbavu #SlideDigital
(C) Nenga
Billnass Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/billnass
Written & Performed by Billnass
For Booking : billnass16@gmail.com
Contact: +255 713 84 10 47 or +255 782 84 10 47
Follow Billnass on:
/ billnass
/ bill_nass
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
"Mwambie dada ako anajichoresha anavyo'Deal na wanagu,
Waambie wanao wanachoreka wanavopita Njia zangu...🔥🔥🎤✊🏻"
NENGAAA MAFIOSO..
Aweee😀😀
baada ya kuona chupi la nandy ..ndo nimekja kusikiliza mstari moja..hata nguo za ndani hamnunui
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
wambie wenzako mnachoreka##mnavopita njia zangu mnajichoresha hakuna wa kukukuta bill unamashairi makali
kweli nkubal maisha yana step ,jux &vanesa kuachana uku wengine wanapatana bro nenga kula chombo icho
😁
Nenga n bongee star nashanga ngoma zake hat views mil 1 azfk😭😭😭
Video Kali saaaana na nimependa zaaidi kumuona ALBINO,, ROSA REE NA HAO WA SARAKASI
Ujawah niangusha billnass kali sana
#Nenga_mzeeee hapa sasa ushaanza kupiga vitu adimu Sana
Salute sana #MAFIOSO
NENGA Mwenyeweee dude ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🚛🔥🔥🔥🚛
Maguzu shija
Jini
Bonge la ngoma unaweza tazama pia hii cover yake kama Inspiretion kutoka kwa Billnass ruclips.net/video/F1PobrLm9XA/видео.html
#Nenga haujawahi kuwa dissapointed bro let's keep good music alive...#Tag_Ubavu🔥🔥🔥🔥
Wee mkali siku zote wanaobisha wanatumia ndinga za baba
Ngoma Iko On Fire Jamaa Umetisha Mno #Tagubavu.
From +254 🇰🇪Billnass 🔥kama unamkubali bill nass gonga like apa🔥🔥💯
mtafute kidtown from buja
V
V
Who else is watching I'm 2024?
Kwanini hiki chupa hakijafikisha 1M views?!
#Billnass Billnenga unatisha Mzee!! Ngoma Kali bob
Nenga sio mtu wa mchezo asee kila ngoma mzee hujawai boronga toka raha na naazizi mpaka leo kila ngoma yako ni hit bro salute sana
Midogi vp umu ndani siioni Mzee baba bilnas
Ajawai niangusha kitu adim iko ukojuuuuuuuu sana
😎😎😎😎wana roll na ndinga za baba kushiba kwa mama....nailed it niqqa
Kuna kitu kikubwa ninmekiona humu..moja ni uwepo wa huyo mtoto.... lakini video ina vitu kimsing haivichoshi kutizama makunfuu pale kwa nyuma... bilinass na wote waliotengeza hii mpo vizuri haiseee
Jamaa kasema tagi ubavu hakuna kingine!!¡
Bilnengaaaaaaaa #Tagiubavu🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Natamani sana hili jembe kuliona pale wasafi , naona kabisa level za mbele , mwanangu nenda wasafi hawa wengine wanakupotezea mida !!! Bill nenga
Bonge la ngoma nakubal mzik mzur kam unafeel perfomance ya billnass gonga like hapa
waroll na ndinga za baba wanakula kwa mama tagi ubavu
Nimekubali
representing 🇰🇪🇰🇪
Good sana bill nas nakubal show zko
Wanaroll na mandinga za baba kushiba kwa mama....... U kill it nigga!
Bonge la audio bonge la video!!! Yaani ni 🔥🔥 #tagiubavu
Billnass toka nikusikie kiukweli unafanya vizuri tena sanaa, cos you also have unique voice, one thing that will propel your music to wider audience you must collabo with top artists at home or elsewhere, that has always been the key gateway to success by all top artist you see today.
big up billnass kumbe bongo tuna sehemu zakushutia video alafu tunakimbilia sauzi big up sana
Mamamaeee Neeenga...!!!😎😎😎
unajua mzee baba sikupingiiiiiiiiiiiiii
Billnass ana hatare ....ni fire....mziki mzuri...mziki wa kiwango cha juuu.....
Pambana kaka ngoma kali!!! Kama unamkubal billnass pita na like hapa
Pamja sana brother kali
xx
Mia
Ramadhan Salehe waoo
Noma sana mzee baba hujawah niangusha kabisa asee Trust you are the best Greater of all time @billnass
nimeipenda,tag ubav nzuri mnoooo
Waliodislike hii ngoma mungu anawaona
Hawa ndio wanaroll na mandinga za baba kushiba Kwa mama
Touch ni mnyama ila afanye ustaarabu wa kutengeneza biti kali zaidi zisizokuwa na uwiano caz hii biti ni kama ya bongo bahat mbaya na mbwa koko!!! Ol in ol big up NENGAA LET'S ENJOY GUD MUSIC
#melkion_paul_ aaaaaaah Bil_wa_Nass_Umetishaa_brazaaa
Neeeeeeeeengaaaaaa #Mzungu mzeeeeee umetisha Sana Mzaziiiii song kaliiii Sana 🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎤🎤🎤🎤🎤⭐⭐⭐⭐⭐ #tag_ubavu
Keeping the good music alive😊😊
Balaa lako nenga km miaka yote🙌🙌
Mmh nenga kama nenga unajua bro kupanga mistari big up kwako
Hongera DOGO nyimbo umejitosheleza na inawagusa wahusika
Wanaroll na mandinga za baba kushiba kwa mama🔥🔥
ngoma kaliii blood 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King of tz new school hip hop
Nenga naukubali kaza👊👊👊
Mpaka leo 2021 nyimbo bado ya moto hongera billnas
Hakunaa kama wewe mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
we mseng# unajua hadi unakera salute kwako brother sorr kwa tusi ni vibe tu salute pia kwa t touch asee bonge la ngoma @billnas
nakuelewa kinyama....mnyamwezi wangu......bonge la ngoma hukoseagi
Tagi ubavu on fireeee...Kali sanaaaa
hujawai kukosea NENGA umeuwa sanaaaaa michano flani kuimba flani asee kiilll itt
kama umemwona rosa ree gonga like apa
Im Tanzanian watching from USA 'big up bro hard work jah bless' you as longest never look back just go head
Hapa ndio nimeamini pengo la zilla ni bill nass safi mkali wangu
Woza wozaaaaaaaaaa imekaa poa sanaaa bilinengaa, solute kwako mzee babaaa
NengAAAAAA mafioso Kichupa kimetulia kinomaa 🔥🔥🔥
#BILLnass hujawahi niangusha
wana lulu na mandiga ya baba kushiba kwa mama...
nakubali sana billnass
Hit song mzee
Ila kwa nn watoto mliolelewa na mzaz mmoja weng wenu mnavipaji kinoma ?.
***TAGI MACHUPI wanaloli na machupi ya bibi machupi makubwa Wanajidai na mageto ya baba mageto machafu
*** TAGI MACHUPIX2 NENGA NENGA
Wahuni si watu wazur ila elimu na usela uko pw ilembayaaa 😘
we msenge mafioso hukosei🙌🙌🙌🙌🙌🙌#tagiubovu
kiukwel hii ngoma naickia cku ya kwanza ni kali sna na nirirudia zaidi ya mara tano ila billnass KWETU STUDIO wamepoteza ukali wa hii nyimbo kwa kutoa video mbovu sna.....
Tagi ubavuuuuuuuuuuuuuuuuuu #MAFICHO tZ
Imekaa vizuri
Mkasi ni wa moto sana Nenga,Sound ya touch iko poa japo inasound kama demo ya bongo bahati mbaya
BillNass Unafanya mziki mzuriii saaana I salute you
Mi cna ubishi #nenga we msanii Wang since day one sema nini nipe ladha ukiwa na ... young dee
Hujawah kuwaacha wat salama kaka tisha sana #bilnas
namkubali sana bill nas
Wana roll na mandinga za baba kushiba kwa mama tagi ubavu"
Tagi ubavu.
Ndiga za baba
Kushiba kwa mama
Billnas alway ngoma zako tatu zipo kwenye play list yangu
Tag ubavu
Ligi ndogo
Sina jambo👍☝☝
Bado chafu pozi
I luv u sanaaaa billnass,😍😍😍😍😍😍 , mziki mnene beat Kali👯🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎤
Kijana safi sana bill nass
mxhikaji kaza utafika billnass
BILLNASS uko juu kakangu ngoma kali Sana 🔥 🔥 hata nguo zandani hawa nunui moto sana hahaha from +254
sanaaa bro kazaa unauwez
Billnass bonge la ngoma from Australia na kubali bro
Namuona emtee,Nast c,Aka ndan ya mtu mmoja
aseeeee ilo beat la bongo bahati mbayaaaaaaaaaaa tafuteni idea zenuuu bd cjamuelewa bilnass
tatizo baba yako hakuwa na garin yakukupa xo usichukie life za wengine brooo xo pambana kwa wanao
namkubali billinasi.
Nakubali billnass kila jiwe ukitupa tofali big up bro
bill nass bill nass again bill nass ngoma so dope 🔥🔥🔥🔥yani si kitoto ila remix ake iandaliwe yani walio kwa video kama young dee na rosa ree nlitamani wachane asee maana beat iko murdered well sasa ukiongeza mtu kama fid,joh,zilla kwa remix ltapendezaa kaka Nenga
Nlkuwaa cmjuiii aseee ilaa nmemuelewaa sanaaa
baada ya kuckiaa ilee skendo ya pichu ya pink
2020....!!!!
Bado naskliza hit Kali......!!!!!!
ngoma Kali sana
kinondoni on map 🔥🔥🔥🔥🇹🇿💪
touch kazi nzuri broo!
Hamnunui nguo za ndani
ngoma kalii nengaaaaa endlea kutupa vi2 vikaliii
Billnass as usual.....dope song!!
Saawaa wafunge mdimo wee mkalz
ebhanaaaaaaeeee daaah....nigga ujawai kosea mbabe wng ngoma kuntu bikanchos #tag ubavu
nənqāā #tagi_ubavu
daaa acha tuuu ni subscribe your channel maana una talent GOD BLESS YOU
MUCH love this track
2020 like black @tagu-Ubavu
Kama unaliskiliza hili chupa 2023 nakupa🎉🎉 maua yako lakin pia usisahau kunipa like
nikweli atanguozandani naniuyo nedy auuuuu