Alikiba - Seduce Me (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 24 авг 2017
- Download or stream the single here - SonyMusicAfrica.lnk.to/SeduceMe
Follow Alikiba on Social media:
Facebook - / officialalikiba
Twitter - / officialalikiba
Instagram - / officialalikiba
Music video by Alikiba performing Seduce Me (Official Music Video). (C) 2017 Sony Music Entertainment Africa (Pty) Ltd - RCA, under Exclusive License From KingKiba Music
vevo.ly/o8dqPr Видеоклипы
Wale wa 2024 tujuane kwenye like apa
🔥🔥
❤❤❤❤
🤴
Still jam 2024
2024 n we still vibing to this jam💥💥
2023 and i still vibe to this song like it was made yesterday ❤love you king kiba
Almost the end of 2023 and the vibe of the song is at its best
Baada ya kutazama Heat nyingine ya King nikahamia hapa kuseduce Alikiba ni King haswaaaaaa kwenye Bongofleva.
Hii ni ngoma kali itapenya pole pole na hana haja ya kutoa wimbo mpaka mwisho wa mwaka ujao,tatizo watu wanapenda vitu rahisi vinavyochuja wiki mbili,hongera King Kiba
some how but,,,,,,,,,
Omari Bahali poa sana hiii ngoma ananikosha sana ndg wang big up sana my King Kiba
Marco Mwaimu huyo ndo king
Kwa song hiii wallah kusikiliza sichoki nazidi kupata wazimu
Huyu Kiba hatari aisee...... Naskia wale 7 stars zilipendwa taarabu" wamepanic kule
Halijawahi kutokea dude kama hili Dunia nzima Wazungu watakuja kuligundua liko so hot miaka 50 ijayo na litampa King uking wa Dunia #PopoteAlipoKingcommentna Likeyanguuuuyooooh.
Unbeatable, unstoppable,undisputed King, unforgettable hits,never old.
King kiba 🔥🔥🔥haufanyi kilichofanywa unafanya kinachostaili kufanywa
Uko vizur sana kiukwel safi saaana
I love alikiba so much ..anaimba nymbo hana makeke mengi ..much love
good
Mungu akuzidishi miaka 20000ya kuishi dunian Aliy wetu and we love soooooooooooooo much
Vizur ccter kiba noma et?
Pasua kichwa
Chriss Danny Alikiba hiv we.binadam upo?
The still alive years that isn’t simple to any other artist in tanzania seduce me no body may pay the but the king himself by so hot!!!! Ally i love you bro
3 years later still feels like i am listening for the very 1st time
And that is the meaning of good music🔥🔥🔥
Me to 🥰🥰🥰 listen to him everyday 🙏🏾🙏🏾🙏🏾😎😎
2022am here
Yes same here
Yes
mpaka leo msimu wa nyimbo mya ya Mbio nipo nasikiliza hii seduce duh, hakika hili jiwe lilikuwa ni jiwe la mauaji, #mbio. Ambao tuko pamoja kote tujuane sasa natoka hapa naenda kuangalia video yake ya MBIO
GONGA #LIKE KAMA NA,WW UMEIPELEKA HI VDO 1M CHINI YA MASAA 48
#KINGKIBA *kpenzi cha watu*
Nani anawatch hii song 2020? Gonga like tukienda. Much love from 254 #KingKiba the king of bongo
Corona inizuii kutazama hii ngoma Kama bado na wewe una itazama gonga like tujuane 💯
hana mpinzani😂😂😂kiba fo real
mixer ladha kibao❤❤❤i like
kiba we kiboko baba nakupenda mpaka naumwa.nyimbo unacheza hutokwi jasho jamani loooh. hujawai kumuacha mtu salama watajuta kukufahamu Safari hii
taratiiibu
Pasua kichwa
alikiba hajawah kumuacha mtu salama jaman eeehh saluuuuuute
Nyimbo hii imetulia yani unaweza kuagalia na wazazi na watoto kweli ww ni king kiba huwa hubatishi nyimbo zako zote hazinaga matusi wala kuvaa vichupi .Good job ali kiba
mariam bb umeongea point
Trueee
nice
mariam bb Anajielewa mzee wa Yoooh!! Sio wale wanuka maziwa 😀😀😀
mariam bb sio zile za kubinua matako na vichupi... Kuiga nje sana
Saw this song on trace Africa years ago....fell inlove with Alikiba's voice.....this song is my favourite from him....the first song I ever knew from him.
Love🇧🇼🇧🇼
Four years later and I'm here for this master piece from King 👑
Tuongezee bidii kufika kesho iwe na 2 M. God works in a mysterious way
Brayton Sangs umeona ee. kila ukiiangalia utadhani mpya
Jacquiline Tenth jaman wanakalibia kutufikia kwahiyo tuzid she
jackline tuko pamoja me mpaka you tube wameanza kunizila nabado nazid kuangalia
haiwez fika
+Eben manning baki kushangaa paka wew saiv 1.6M nyoko kabisa
Wana 254 tuko ndani kuliko watz,,,aye!!kumbuka kuni#seduce
Cydah cannielevha seduced u
NDAAAAANIIIIIII....NDAAAAANIIIIIIIII...NDAAAANNNIIIIIIIII...fix our political famous accent
Mambo nihajra alikimbi nunoma San
Cydah cannielevha pamoja 254
Cydah cannielevha apo kabby umenena kabisaa
This song sounds new to me each and every single day, big up kiba 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Imetoka dodo imefunika na kufunga kila kitu mpk sasa hakuna Song Limeingia trending kwa masaa 5 mpk sasa alaaaaaaaaaaaaa wakaungana na quarantine yao bado king is king 👑 tuu
Q
mamaeeee kibaaa fundi haki ya mungu hii ngoma hatariii 🎶🎶🎶🎶👊💉
Hamphrey Alphonce hataaaar hyu jamaaaa🔥🔥🔥
hatarii hii ngmaaa kama ulaya
kiba kweli wewenifundi hatalii nakukubali
Hamphrey Alphonce acha unafiki kaimba utumbo haman kitu, watu kama ww hamfai mnasifia utumbo tyu
Hamphrey Alphonce 😂😂😂😂dah sio kwa kumpa mbichwa uko sasa kaimba nini
Team kiba forever.nyimbo poa sana
Joyce Kahigwa Ali King 👑
+first writter 🔥🔥
Joyce Kahigwa woyooooo
2024 anyone?
❤
❤❤
✋🏿
❤
From federal way 🇺🇸 alikiba the 💣 of all tymes
I can like this song 20times and still not enought.. Love Our KIng KIba ,,, Seduce me like whattaaa hell
Naj King always be a king forever
we need to watch this song again
Kabla siku mbili,yaani ndani ya siku moja jamaa kesha gonga milioni
Hakuna msanii wa bongo aliyewahi kufikia rekodi hii
superbrain jojo sio bongo tu bali afrika nzima
+akida simba Nafikiri Wizkid ndiyo aliwahi kugonga milioni ndani ya saa 24,wengine hawajawahi hata Davido hajawahi.Hata Diamond hajaifikia hii.Ile salome ilitimizaga milioni ndan ya 3 days
kweli unajua kupend maana huna shobo!!! nakukubali sana nawanao kuchukia watasubili sanaaaa tyuuuu!!!
cyo tz mzee Africa mashariki na kati kwa mujibu wa Sony mzee baba #jojo
+Simon Mtuka Ok ok om
2020 tujuane hapa 👇👇 Kitu bado mbamba sana kitu fire 🔥💯✅ like kama bado unakubali hii ngoma 👉🙏🏿🔥hata 200 like and God bless u more
King ni nin unachowekaga kwenye nyimbo zako kila tunapo zisikia zinakuwa mpya
Tulieni niwaambie kwa nini huwa nasema kuwa kiba ana akili na afanya kazi akimuhofia Mungu, Dont do like that,you're too smart dada,anamaanisha usikubali wewe mdada kuchezeshwa nusu uchi kwani upo smart na video inaweza pendwa hata kama wadada hawato vaa vibaya,"dadas ure too smart vaa kwa heshima, love u kiba.
David Vicent Munishi umeuwa
mh ndio maana yake au umefikilia2
Video Kali ni tofauti na zingine zote haina vichupi vichupi Wa makalio makubwa big up Kiba kwa kuangalia mila zetu na desturi
Wapi likes ya king kiba actually is the king of bongo
February 18 2021 ukiangalia huu wimbo niachie like please maan duh
dyuuuuuhhh wabongo siyo wa sport sport aiseeeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌 nataka nikale karanga diamond getini kwa kiba 😁😁😁😁 maaaana najua Wasafi wamebakiza karanga tuuuu mziki hqkunaaaa 😂😂😂😂😂😂 kibaaaaaaaaaaaaa mwaaaaaahhh am too smart dyadyaaaaaaa
Views 1.9 tujikaze mpka saa kumi tuwe n m2
duh wewe noma
Shamimu Idrisa kabsaa ndugu
kibaaa kipenz cha watu
hehehe hatareee
Alikiba you are something else you just bit "eneka" in one week while that song was on market in 3mouths Big up Even WCB naelewa wana uwoga sana kwa hilo nani anakubali kama alikiba kazima eneka tuachane na zilipendwa gonga like twende
erick nsabi 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻👑👑👑🙌🏻🙌🏻
Saida Choti thanks
erick nsabi respect
erick nsabi 😂
🔥🔥❤👌
Jumamosi kuu 11/04/2020 Natoka kwenye Dodo nimekuja ku seduce!!! 😊😊😊🎧🎧
Hii nyimbo ilileta shida Sana na WCB wakitoa zilipendwa Ila seduce me daaaahhhhh🔥🔥🔥🔥
I dont understand what he is saying but i love ali kiba. I always look forward to hear his songs. One love from Ethiopia💚💛❤
I can translate it for you
Welcome tz my
inbox ur no will interpret to you
medgieueheuwwl, mdh He heueuuhissld.dls
w.wlsleoepedllddlfkels so dkekdmdmmf,
Hanan Jm Nice sister
kiba watu wanakupenda sana .ukwel hiz rekod unazoweka kwenye music wa bongo na africa nzima znaweza kuchukua hata karne nzima kuzivunja .....madale huko hawalali wanawaza kukushusha..lakin cc tuko nyuma yako . .....tunata kufkia mwezi mmoja tufkishe milion kumi ..kwa kas hii tunafkisha...
M4 inatakiwa jaman!
Mungu ni kwema, tutafika tu!
Nassoro Mussa umesikia wimbo wao na pantoranking siuelewi
Melissa Mfaume ndoo maana #King aliamua telekeza nyimbo yake na Patoranking aliona ujinga. Kwahiyo Malkia alikuwa anataka King akiachia Song na Patoraking nayeye aachie nyimbo hiyo. Kumbe jamaa anacheza na ajili?
upo vizuri nakupenda sana kaka
this guy never disappoints and again very romantic ❤🔥❤🔥❤🔥❤🔥
indeed
This song never olds,sounds new anew every special moment,big ups to you Ali kiba
King sio MTU mzuri hawezi kumuacha malkia wangu salama ona sasa wanaimba taarabu ha ha ha ha mtoto Wa ommy dimpoz haelewi elewi
mustaph yassin umeona ee
mustaph yassin safii
Good music Ali kiba
Love you from +254
bigup brother no one like you on this country so your music is very sweet
Jofrey Bahati so sweet
WANGOI SALIM Kenya iyo?
TUSIISHIE APO TUENDELEE KUWATCH TUUUU....
WANGOI SALIM tuko 254 kib
Once again You deserve to be The King of Bongo Flavour 🤙💪💪 watching #Seduceme from Mpanda Hotel
Addictive to the song and to this beautiful girl
Hellow King iyo nizaidi ya fire natamani uwo wimbo uchukue nafasi ya wimbo wa taifa yani Tanzaniax2 its means ikipigwa hiyo ngoma raia yeyote harusiwi kukaa lazima asimame liweni kosa la jinai kudharau ilo dude pasuwavichwa #Seduce me#
hahahahahahahahahhahahahahahahaha
sakina Omary hahahah
😘😘😘😘😘😘
hahahaha hahahaha hahahaha hahahaha h
sakina Omary hahahahah umeniamsha dudeee
This song is really trending hapa
Kenya
Every radio station or tv is playing it every hour
It's very awesome
Robinson Wamae imeshika nomaaa
Robinson Wamae ww kwl? We call him king Kiba
Robinson Wamae washitue wana bac
Robinson Wamae sio kenya pekee , ujerumani tuko ndani ndani ndaani unstoppable king mkali wao
Uwiii you Nailed my King kiba
Am here in 2023, Ali's songs are truly amazing!
2024 TUJUANE
Juu tu sana !!!! wapi likes za wazito wa King'Kiba +254???
Davvis Mk upo wp ww
Davvis Mk nikoo
wow very nice songes
Radhiaabdallah Radhia niko mombasa county 001 !!
This song is so dope .. Classical like now hv disowned babyface 😂😍😍
Saida Wairimu Noma
Sana @fanuel mulumba
Kali tu sani.... Nani ana agree na mm💥💥💥💪🏽
2024 Tujuane Kwa like Hapa
Now😂🎉
king kiba fans ,mnanifurahisha tumerud tena #1 ila tuna jisahau tukaze tuweke record ata zaid ya wik 2 tuwe apo,lets keep watching tusichoke
Adam Hashimu -Safiiii...
+karim issa yap tukaze si unaona yani tukiwa bze kwa mda tukamata namba ytu tukisahau wanapanda so nikukaza tu , let's keep good music alive
+karim issa yap tukaze si unaona yani tukiwa bze kwa mda tukamata namba ytu tukisahau wanapanda so nikukaza tu , let's keep good music alive
Adam Hashimu sawa sawa
Adam Hashimu okay
A year down na ngoma bado yatesa mitaani nchini kenya....kama wamkubali kiba gonga like tuzidi kuonesha upendo
This, a real banger...keep it dope Kiba. #1 fan all the way from Nairobi-Kenya...
Wananiitaa misifaaa ohhh pasua kichwaaaaaa duuu utadhani nyimbo imetoka jana kinggggkibaaa
1 million viewers please bcoz your the king team Kiba piga aaaaaaaaa keleleeeeeeeee
Stephano Kimaka oyooooo
Stephano Kimaka oyooooooo ila tusipunguze speed
Stephano Kimaka
Oooooooyyyyy kiba kapasua
Stephano Kimaka 1.3M by 12:30 am on 27th
jane James oyooooooooooooooooooo😮😮😮😮😮😮😮😮😮😮
2 years after RUclips showed me these song from alikiba
Thanks kiba for these amazing R&B music
Love from India....❤☝⬆💯
Here in 2020 #covid19 #quarintine
I loved this music.I still do.... here with me 😜#Alikibawins
Ila mi siamini kwann hii ngoma ili stuck kwenye 12M .... hii ngoma ilibidi iwe 50M uko now
Huuuu ni King tu Mfalme ngoma motooooo kiba 2017 but tuko 2018 Eeeeh Seduce meee Yoooo yeeee babaaah.
mm napita kila baada ya saa 3 nachek viewers duu this is king kiba buana
omario awesi good ilaitabidi upite baada ya lisaa maana king kanyosha sanaa
C umekosa kz
omario, kama mm yan kila baada ya nusu saa nachek pia
jamila cheyo mm kila dakika tatu apa nipo
midakika
We are on august and still listen to this master piece 😍😍
Oh childhood songs literally couldn’t pass by without listening to this song but 5 years later here I am
Wozaa wozaa nani amekuja Hapa kufeel real music thumb up 😘😍😘he alwys seduces me ayeee
Young Creativity Thinker umetisha mamaaaa, he seduces u with good music ay? Alafu nimependa mapishi yako
Yusuph Abuubakr I appreciate don't forget to subscribe thank you
I got u..
Yusuph Abuubakr I appreciate
Unstoppable
Hiyo sauti yako tu inanifanya nakosa ucngizi nikikumbuka seduce me naamka naangalia yaan hyo sauti tu nakojoaaaaa hivi kiba kwann unajua hivi jibu ni kipusa unstopable
nisheeedaaah
umetisha Rebeka 😂😂😂
Rebeca, nimekupenda bureee
Rebeca Kihwelo hahahahaha rebeka kihwelo
Rebeca Kihwelo I love u
I couldn't afford the governor's fireworks 2021.... staying near mama ngina 😂...hio time he's performing am listening to àll his songs.. according to his list... That's the love you have❤️😍
🇨🇩🇨🇩🇨🇩💃🕺🥰😍 la vraie Star une belle mélodie
who else is in love with this part of the song, "Too smart dada😍😍 they call me heartbreaker na majina mapya kila moja amenipa, wananiita kipusa ohoooo wapaswa kichwa.....😍😍😍😍
Rio Mo meeeeee
Rio Mo me 🙌
The song is doooooppee
they call me heart breaker
Rio Mo Anasema "I am too smart dada" sio too small data. Wimbo ni mzuri mnoo kwa kweli.
Ngoma la dunia nzima 😘😘😘😘😘😘 love u KingKiba
Nani Kama King kiba be blessed
Mimi Timu mondi. Ila hii song daah Alikiba ulitisha sana kaka
Japo kuwa sijui kiswahili ila mzee baba umetisha sana Huku Pakistan tunautumia kutulizia vita hata waasi wakiuskia wanasahau kupiga mabomu yao
Shirima Leodiga 😂😂😂😂😂
Shirima Leodiga wachaaa...mzeee....😁😁😁😁😁
Shirima Leodiga 😂😂😂yako kali
hahaha sawa wasalimiee
Hahaha atar xx apo umeandika lugha gan
kingkiba ulitoa ahadi kwetu kwamba seduce me ikifika 10M utaliamsha ahadi ni deni tumefikisha sasa
Kadogo.. pasua kichwa
All hail king kiba ❤❤❤
I love this song🕺💃🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥
Kila dakika nipo huku naangalia one million itafika saa ngap
Rebeca Kihwelo in 1 hour
Rebeca Kihwelo ndani ya nusu saa tutahit target ... Endelea ku re view😇😇😇
Rebeca Kihwelo ww team domo au?
Rebeca Kihwelo tayari one million 💪💪💪
Rebeca Kihwelo ishafika m moja. ado naangalia hapa
Hakuna kama king'i kiba pigakekeleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeew
WoYoooooooooooooooooooooooo
oyooooooooooooooooo Shkamoon Team king kibaaaaaaa
Powerful
My all time favorite jam from this Guy 🇰🇪💯2021
Karissa the royalty has not only the same as you except as you
Wameamua kuungana kwaajili ya king kiba daaàh umetisha king k
jaiross elisha Kiba ni tisho
Lukers Orenge hatari
Mkali wa bongo fleva king wa hizi kazi hakuna wakufananishwa na wewe tz
like za waliokuja hapa baada ya kuangalia new hit DODO.
Dodo and so hot na bado tena mawe mengne
Bado naicheki
The best songs all the time
Kibaaaa tuna hemaa na ww mpaka de end team kiba for life# team Joho
woyoooo
#team joho
hogera sana King kiba
vp
Rupita Pablo kwel mwang
Much support here from U.K ALIKIBA keep it up congrats
Pascal Landry njoo jesh La kib
Ndio
Wee Mungu akusimamiee ......ningekuwa na mafumbaa ningekupa kama zawadiiii
Alikiba bwana kijana m bunifu sana huyu
Nnachokupendea king huwa unawapa nafasi sana mamodel weusi karibia nyimbo zako zoteee, yaanii hii club banger hadi Bi mkubwa kaniambia iwekee repeat hiyo nyimbo😂😂😂 alafu ananiuliza hivi huyo alioimba ni nan vileee? 😂😂😂 nkamwambia anaitwa kipusaaa 😂😂 akasema kweli huyo ni kipusa sio kwa nyimbo kalii hiviiii 🏃🏃🏃🏃
Moudy weezy hilo LA kutumia mamodel weusi namuunga mkono na mguu kabisa
Moudy weezy umetisha sana, msalimie bi mkubwa
Moudy weezy ahsante kaka ludia tena
😂😂😂😂😂
Yaani nimeenda msikitin nimerudi Bimkubwa bado kaweka repeat 😂😂😂,eti anapenda kipande kile cha Despacito, nkamuuliza unaelewa akaniambia Ali kiba atanielewesha, nimecheka mpaka njaa imeniuma.... 😂😂😂😂
I am Oromo, I love Tanzania music 🎼 We r z 1 gd bless you all!
Wananiita kipusaa oooh Pasua kichwaa
Hot song
Milion 10 bado tu jmn tupate nyimbo nyingine ya taifa
Vipi kwniii
He is talented God bless
I was in highschool when this song was released. This track rocked all our entertainment sessions in its three month of release, a great song.
Same man those days 😍
Beautiful song Alikiba unstoppable💃🏻💃🏻💃🏻