ZITTO AFIKISHA SAKATA LA KUTEKWA KWA SATIVA MBELE YA RAIS SAMIA/RAIS ATOA MIL 35 KWAAJILI YA SATIVA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024
  • #JAMBOTV
    ZITTO AENDA HOSPITALI KUMSABAHI SATIVA ADAI KUONGEA NA RAIS SAMIA/SERIKALI ITATOA MCHANGO WAKE.....
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 36

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y 5 дней назад +15

    Sasa Rais anatoa milioni 35 badala ya kumuuliza IGP polisi wa oyster bay ndio wanahusishwa na tukio zima

    • @rendiman2878
      @rendiman2878 5 дней назад +5

      Yaani we acha tu ndugu yangu. Ni kama vile panya anang’ata na kupuliza

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 5 дней назад +2

      Ajabu sana

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 5 дней назад +3

      Niusanitu kwani hajui wanamteka wao halafu pole watoe wao

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 5 дней назад

      MBONA MWENDAZAKE HATA HAJAMWONA NA WAGALATIA MLIKAA KIMYA😢😢😢😢😢😢😢WACHENI CHUKI ZENU NYIE MAPAROKO

    • @chizcom4229
      @chizcom4229 4 дня назад +1

      @@OmmyJames-xn7ji uliishia darasa la ngapi uvccm

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 дней назад +4

    Sativa usiamimi amini watu nenda katibiwe hata hapo Kenya.Ukumbuke wewe ni Shahidi ujue uhai wako bado upo hatarini. Usidanganganyike hata kidogo kuamini watu ni kazi sana.

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 5 дней назад +3

    Mungu akubariki

  • @Mazrui22
    @Mazrui22 5 дней назад +3

    Hongera kiongozi huo ndio ubinaadamu

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 5 дней назад +2

    Kwani kiongozi wa vijana aliyesema "kijana akipotea, polisi wasimtafute.,.." aliwahi kutakiwa atoe ufafanuzi wa kauli yake hiyo?

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 дней назад +2

    Kimbunga cha maandamano cha Nchi jirani hicho, watu wakaona isiwe tabu kumtoa mmoja kafara , ila hawa jamaa wa operation Mungu anawaona na anajua hesabu yao, tuombe tu isije ikawa amechomwa zile sindano za Bob Marley, cha kufurahisha hakuna atakae baki milele, na Mungu hana sifa ya kusahau

  • @michaelmwambije3603
    @michaelmwambije3603 5 дней назад +3

    Nayule mtekaj Alie SEMA mkiona mtu ametekwa msitafute Yuko wap jeshi limeamua kunyamazia au nalais alichukua jukum gan ju ya yule mtekaji Alie jitangaza mwenyew

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik 5 дней назад +3

    Hiyo miwani kaka Zito siku hizi unachomelea vyuma? 😅😅😅😅

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 5 дней назад +2

    Huyo rais wenu nilimpenda sana kuliko wote lai kwa hii no Polisi wamemteka mtu wawenyewe haitaji uchunguzi niPolis Tz wanateka Hiyo Jamaa kanena Rais anachangia kuficha sio wao polisi nayee

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 5 дней назад +1

    👍✌️👊.

  • @maspro6294
    @maspro6294 5 дней назад +5

    Acha kutafuta Kiki za kipumbavu kwenye masha ya watu

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 5 дней назад +2

    Ila zitto kabwe unapenda sana kaki, sasa umekuwa msemaji wa rais??pumbavu

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 3 дня назад

    Mungu ndiyo mwokoz wetu syo raisi

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 2 дня назад

    Kuna wengine wa2 wametekwa mbagala mpakaleo hawajapatukana. Tokawatekwe wikiya3tena. Mungu tuhurumie hawawatu wajikute wanadongoka hukuhuko polini au kamakunasehem maalum wanafanyia matukio. Wafie.hukohuko wasirudi kilaanaeteka watu afe yaraby. Tusaidie

  • @ernestmlelwa3836
    @ernestmlelwa3836 4 дня назад

    Anajikosha wakati yeye ndio mpangaji

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 5 дней назад +2

    Kwani sinyinyimlituambi kwamba Magufulindio alikuwamtekaji sasavipikafufuka

    • @piusmdoe3200
      @piusmdoe3200 5 дней назад +1

      Ndiye aliyeasisi na hakuondpka na watekaji

    • @rendiman2878
      @rendiman2878 5 дней назад

      @@piusmdoe3200 mwambie huyo kihiyo asieweza kufikiri

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 5 дней назад +1

      Ccm Bado wapo kwahiyo wanaliendeleza

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 5 дней назад +1

    Bwana Nyepesi karibu Ccm huku ndiko kuna mkate na asali kitendo cha wewe kumtafuta mh Rais umeonesha ukomavu wa siasa na hii ndo tafsiri halisi ya 4R ambazo ndo wimbo wa mh Rais wetu

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 5 дней назад +2

    Wewe Zito unashida sana

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 5 дней назад

    Dar to katavi kweli ichunguzwe vinzuri

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 5 дней назад

    Hacha unafiki awamu hii umekuwa kimya. Hayawezi kukomeshwa mnatakiwa mkae kimya. Awamu ya 5 mlisema ni Magu mbona sasa hamsemi Samia. Mimi nilitegemea ungenyooshea kidole serikali sio kumung'unya maneno. Kijana amesema alipelekwa Oystebay polisi, sasa uchunguzi gani unataka?? Ni dhahiri serikali inahusika.

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 5 дней назад

    Yaani Rais anatoa pesa tu,kweli jamani? Kwa nini asimbane IGP?

  • @jomimagroup
    @jomimagroup 2 дня назад

    Tunamuomba mh Raisi asimame imara

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 5 дней назад

    Zitto ni yuda

  • @christophershuma623
    @christophershuma623 5 дней назад

    😢matumizi mabaya ya kodi zetu .wahusika wakamatwe na walipe gharama hizi.

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 дня назад

    Domo zegeMNAFIKI SAAANA SASA HIVI KAUFYATAAAAAAA