ZITTO AFIKISHA SAKATA LA KUTEKWA KWA SATIVA MBELE YA RAIS SAMIA/RAIS ATOA MIL 35 KWAAJILI YA SATIVA.
HTML-код
- Опубликовано: 1 июл 2024
- #JAMBOTV
ZITTO AENDA HOSPITALI KUMSABAHI SATIVA ADAI KUONGEA NA RAIS SAMIA/SERIKALI ITATOA MCHANGO WAKE.....
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Sasa Rais anatoa milioni 35 badala ya kumuuliza IGP polisi wa oyster bay ndio wanahusishwa na tukio zima
Yaani we acha tu ndugu yangu. Ni kama vile panya anang’ata na kupuliza
Ajabu sana
Niusanitu kwani hajui wanamteka wao halafu pole watoe wao
MBONA MWENDAZAKE HATA HAJAMWONA NA WAGALATIA MLIKAA KIMYA😢😢😢😢😢😢😢WACHENI CHUKI ZENU NYIE MAPAROKO
@@OmmyJames-xn7ji uliishia darasa la ngapi uvccm
Sativa usiamimi amini watu nenda katibiwe hata hapo Kenya.Ukumbuke wewe ni Shahidi ujue uhai wako bado upo hatarini. Usidanganganyike hata kidogo kuamini watu ni kazi sana.
Mungu akubariki
Hongera kiongozi huo ndio ubinaadamu
Kwani kiongozi wa vijana aliyesema "kijana akipotea, polisi wasimtafute.,.." aliwahi kutakiwa atoe ufafanuzi wa kauli yake hiyo?
Kimbunga cha maandamano cha Nchi jirani hicho, watu wakaona isiwe tabu kumtoa mmoja kafara , ila hawa jamaa wa operation Mungu anawaona na anajua hesabu yao, tuombe tu isije ikawa amechomwa zile sindano za Bob Marley, cha kufurahisha hakuna atakae baki milele, na Mungu hana sifa ya kusahau
Nayule mtekaj Alie SEMA mkiona mtu ametekwa msitafute Yuko wap jeshi limeamua kunyamazia au nalais alichukua jukum gan ju ya yule mtekaji Alie jitangaza mwenyew
Hiyo miwani kaka Zito siku hizi unachomelea vyuma? 😅😅😅😅
Huyo rais wenu nilimpenda sana kuliko wote lai kwa hii no Polisi wamemteka mtu wawenyewe haitaji uchunguzi niPolis Tz wanateka Hiyo Jamaa kanena Rais anachangia kuficha sio wao polisi nayee
👍✌️👊.
Acha kutafuta Kiki za kipumbavu kwenye masha ya watu
Ila zitto kabwe unapenda sana kaki, sasa umekuwa msemaji wa rais??pumbavu
Mungu ndiyo mwokoz wetu syo raisi
Kuna wengine wa2 wametekwa mbagala mpakaleo hawajapatukana. Tokawatekwe wikiya3tena. Mungu tuhurumie hawawatu wajikute wanadongoka hukuhuko polini au kamakunasehem maalum wanafanyia matukio. Wafie.hukohuko wasirudi kilaanaeteka watu afe yaraby. Tusaidie
Anajikosha wakati yeye ndio mpangaji
Kwani sinyinyimlituambi kwamba Magufulindio alikuwamtekaji sasavipikafufuka
Ndiye aliyeasisi na hakuondpka na watekaji
@@piusmdoe3200 mwambie huyo kihiyo asieweza kufikiri
Ccm Bado wapo kwahiyo wanaliendeleza
Bwana Nyepesi karibu Ccm huku ndiko kuna mkate na asali kitendo cha wewe kumtafuta mh Rais umeonesha ukomavu wa siasa na hii ndo tafsiri halisi ya 4R ambazo ndo wimbo wa mh Rais wetu
Wewe Zito unashida sana
Dar to katavi kweli ichunguzwe vinzuri
Hacha unafiki awamu hii umekuwa kimya. Hayawezi kukomeshwa mnatakiwa mkae kimya. Awamu ya 5 mlisema ni Magu mbona sasa hamsemi Samia. Mimi nilitegemea ungenyooshea kidole serikali sio kumung'unya maneno. Kijana amesema alipelekwa Oystebay polisi, sasa uchunguzi gani unataka?? Ni dhahiri serikali inahusika.
Yaani Rais anatoa pesa tu,kweli jamani? Kwa nini asimbane IGP?
Tunamuomba mh Raisi asimame imara
Zitto ni yuda
😢matumizi mabaya ya kodi zetu .wahusika wakamatwe na walipe gharama hizi.
:;;
Domo zegeMNAFIKI SAAANA SASA HIVI KAUFYATAAAAAAA