SAKATA LA SATIVA LAMUIBUA DKT. SLAA NA MADELEKA/ GEREJI YA POLISI OYSTERBAY/WAOMBA RAIS SAMIA ATOE..
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Samia awajibishwe sababu watu wake wa usalama wa Taifa ndiyo walofanya huo ujinga
Exactly mmesema .Sasa ninyi ni viongozi ,tunafanya nini kukomesha ukatili huu wa kuteka ,kujeruhi na kuua watanzania . 3:03
Chura hasikii kelele zetu. Ccm must go
Shida hii Nchi watu wameruthishana UCHAWA, ni hatari sana Kwa wenye mambo Yao na family zao tu.
Hiz0 gereji,aambiwe rais mama ABDUL.hivi rais akimwambia igp kuwa SITAKI KUSIKIA HIZO GEREJI,Itatokea tena?
Anazipenda
Mraji wa samia kufunga vijana mdomo. Gen Z where are you??
@@reginas1832we are here ready for liberation my sister😢
Kazi iendelee
😂😂😂siyo nacheka mazur chura kiziwi
Wakuu tuambieni hapo mwenda zake kahusika ? Ukweli ndio uhulu wetu pasipo ukweli hakuna uhulu
Walisema Rais Magufuli alikuwa anateka watu Leo amefufuka tena au mlikuwa mnamsingizia? Na kama mlikuwa mnamsingizia msafisheni hata pamoja na kwamba hayupo maana imedhihirika wazi kuwa sio yeye.
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Kwani nini kimebadika. Mvinyo ni ule ule wamabadilisha tu chupaaa. Iko siku
Halinimba kiukweli tx mama angejaribu kuwamoto kwa watumishi wote wapuuzi ilivyo sawa inatufanya tuwaze kuondoka mchumi kwetu
Ccm wanajichimbia kaburi sativa hajazaliwa Uganda ana nduguzake Wana ccm kibao hawajitambui
Slaa dr sikuamini kabisa
Zamani Amkusema mliufyanta mkia leo mnaongea
Wew mzee wakat ukiwa barozi ulikua uyaoni yalikua yanayo tokea acha kujitoa akili
Wamsafishe nani?
Yaani kutekwa watu kufanyike chini ya mamaAbdul,af umsafishe Jiwe kwamba alisingiziwa?
Unazo za kutosha darini?
Walisema jiwe anapoteza,kwani ww hukujuwa alikuuwa anapoteza?
Kama hukujuwa ,basi lbd uhamie burundi!
😂..Burundi....
Mmh