SAKATA LA SATIVA LAMUIBUA DKT. SLAA NA MADELEKA/ GEREJI YA POLISI OYSTERBAY/WAOMBA RAIS SAMIA ATOE..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 23

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 3 месяца назад +4

    Samia awajibishwe sababu watu wake wa usalama wa Taifa ndiyo walofanya huo ujinga

  • @mwombekiflorian5203
    @mwombekiflorian5203 3 месяца назад

    Exactly mmesema .Sasa ninyi ni viongozi ,tunafanya nini kukomesha ukatili huu wa kuteka ,kujeruhi na kuua watanzania . 3:03

  • @reginas1832
    @reginas1832 3 месяца назад +2

    Chura hasikii kelele zetu. Ccm must go

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 3 месяца назад

    Shida hii Nchi watu wameruthishana UCHAWA, ni hatari sana Kwa wenye mambo Yao na family zao tu.

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 3 месяца назад +2

    Hiz0 gereji,aambiwe rais mama ABDUL.hivi rais akimwambia igp kuwa SITAKI KUSIKIA HIZO GEREJI,Itatokea tena?
    Anazipenda

    • @reginas1832
      @reginas1832 3 месяца назад +1

      Mraji wa samia kufunga vijana mdomo. Gen Z where are you??

    • @rizikiminga3010
      @rizikiminga3010 3 месяца назад

      ​@@reginas1832we are here ready for liberation my sister😢

  • @ANNAKILLO-o7d
    @ANNAKILLO-o7d 3 месяца назад

    Kazi iendelee

  • @DaheerK
    @DaheerK 3 месяца назад +1

    😂😂😂siyo nacheka mazur chura kiziwi

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md 3 месяца назад +1

    Wakuu tuambieni hapo mwenda zake kahusika ? Ukweli ndio uhulu wetu pasipo ukweli hakuna uhulu

  • @gaspercharles2244
    @gaspercharles2244 3 месяца назад +2

    Walisema Rais Magufuli alikuwa anateka watu Leo amefufuka tena au mlikuwa mnamsingizia? Na kama mlikuwa mnamsingizia msafisheni hata pamoja na kwamba hayupo maana imedhihirika wazi kuwa sio yeye.

    • @juliuskitaluka1206
      @juliuskitaluka1206 3 месяца назад +1

      Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

    • @reginas1832
      @reginas1832 3 месяца назад +1

      Kwani nini kimebadika. Mvinyo ni ule ule wamabadilisha tu chupaaa. Iko siku

  • @JamesSiame-d4o
    @JamesSiame-d4o 3 месяца назад

    Halinimba kiukweli tx mama angejaribu kuwamoto kwa watumishi wote wapuuzi ilivyo sawa inatufanya tuwaze kuondoka mchumi kwetu

  • @NickmbeckNkinda-z3g
    @NickmbeckNkinda-z3g 2 месяца назад

    Ccm wanajichimbia kaburi sativa hajazaliwa Uganda ana nduguzake Wana ccm kibao hawajitambui

  • @GauNdimbo
    @GauNdimbo Месяц назад

    Slaa dr sikuamini kabisa

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 3 месяца назад

    Zamani Amkusema mliufyanta mkia leo mnaongea

  • @MikidadiMahumbi
    @MikidadiMahumbi 3 месяца назад

    Wew mzee wakat ukiwa barozi ulikua uyaoni yalikua yanayo tokea acha kujitoa akili

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 3 месяца назад

    Wamsafishe nani?
    Yaani kutekwa watu kufanyike chini ya mamaAbdul,af umsafishe Jiwe kwamba alisingiziwa?
    Unazo za kutosha darini?

  • @xaixaiobrigado4846
    @xaixaiobrigado4846 3 месяца назад

    Walisema jiwe anapoteza,kwani ww hukujuwa alikuuwa anapoteza?
    Kama hukujuwa ,basi lbd uhamie burundi!

    • @knight6757
      @knight6757 3 месяца назад +1

      😂..Burundi....

  • @FatumaSaid-t4r
    @FatumaSaid-t4r 3 месяца назад

    Mmh