Ahmed Ally, Crescentius Magori wazungumzia usajili, Simba Day, ubaya ubwela

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 июл 2024
  • Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Crescentus Magori na Meneja wa Habari wa timu hiyo Ahmed Ally wamezungumzia mchakato wa usajili ndani ya klabu hiyo na kutoa tafsiri ya ubwaya ubwela.
  • СпортСпорт

Комментарии • 282

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 25 дней назад +7

    Tunaosema tutajiunga na simba bando kuichangia simba weka like

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 23 дня назад +4

    Msemaji ni mmoja tu ktk ligi yetu ya African,na ni semaji letu la kafu ❤

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 25 дней назад +4

    General magori ubaya ubwela genius

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 24 дня назад +2

    Yaan aacha tu ma simba day siku hiyo. Watakoma mwaka huu❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Mo Boss kubwa hoyooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍semaji wetu hoyoooooo❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉👍👍👍👍

  • @nesto_automobiles6537
    @nesto_automobiles6537 24 дня назад +2

    Asanteni sana azam kwa kuiweka hii you tube maana niliikosa kutokana na kukatika kwa umeme

  • @NteziryayoAime
    @NteziryayoAime 26 дней назад +2

    Much love from Rwanda 🇷🇼 I'm APR FC fan 🤍🖤🤍🖤 turabakurikiye Tanu kwa tanu

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 26 дней назад +4

    SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ SIMBA NGUVU MOJA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rl1vr1fd1r
    @user-rl1vr1fd1r 26 дней назад +8

    Magori ni mtu haswa anatakiwa atunzwe kwa faida ya Simba ya sasa na baadae

  • @IsackVedasta
    @IsackVedasta 21 день назад +2

    Msemaji Bora Tanzania 🇹🇿 na Africa nzima.

  • @mohamedjuma1960
    @mohamedjuma1960 26 дней назад +3

    Am proud Simba fan

  • @user-ze2nk8cw5s
    @user-ze2nk8cw5s 26 дней назад +5

    Kama mpanzu anazingua aachwe maana waliopo kwangu Mimi viongozi siwadai ila ushauri wangu naomba waliosajiliwa wapewe nafasi wacheze

  • @JoshuaLeonard-lo3cs
    @JoshuaLeonard-lo3cs 25 дней назад +3

    Simba nguvu moja Tim kubwa Africa na Dunian tuwe watulivu kwanzia viongoz mpk mashabik tutaimarka tu na tutaendeleza ubabe wetu

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 25 дней назад +1

    Huyu jamaa ni hatar ana kpaji kwakweli We love u broooo

  • @user-gn4cp2vq2y
    @user-gn4cp2vq2y 26 дней назад +1

    Nawapongza saaaaana wakuu wangu hao kwa kazi nzuri wanazo fanya kwa moyo,....mungu azidi kuwajalia afya njema

  • @user-bh7cc4dt3b
    @user-bh7cc4dt3b 26 дней назад +3

    Mungu awabariki Simba yetu isonge mbele, amina

  • @ElizabethLukosya-lv2vf
    @ElizabethLukosya-lv2vf 23 дня назад +3

    Magori,napenda sana majibu yako kama mgunda tu,maneno mengi ya nini unajibu point

  • @SwaumuShabani-qm4xo
    @SwaumuShabani-qm4xo 26 дней назад +5

    Semaji anaetrend tiktok cmba nguvu moja ubaya ubwela

  • @salumumabomba9611
    @salumumabomba9611 26 дней назад +1

    Nakubaliii sana Chama langu,Magori mnyamaaaaaaa

  • @DicksonPeter-ym5od
    @DicksonPeter-ym5od 26 дней назад +3

    Magori ni mashine ya kweli pale simba ,mungu ampe maisha marefu pale simba,,,by dickson peter ..nikiwa dar

  • @yusufmruma2870
    @yusufmruma2870 26 дней назад +2

    Magori is intelligent, big up

  • @DullhFeyy
    @DullhFeyy 24 дня назад

    Ahmad bin Aliy nakukubar sanaaa kwa uwezo wa mungu inshaanllah furaha tuliyoikosa kwa mda mref viongozi wachezaji wajitume kwa bidii wajue kitu gani tunacho kihitaji tutarudi kwenye furaha tuliyo ipoteza.

  • @Dayotz
    @Dayotz 26 дней назад +3

    Bro magoli u looks like my dady rest in peace dady

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 26 дней назад +2

    SAFI SANA SEMAJI LETU LA CAF. TUNAKUPENDA SANA WANASIMBA

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 26 дней назад +3

    Interview imekamilika sana

  • @renatusmwanakatwe-gl9xb
    @renatusmwanakatwe-gl9xb 26 дней назад +1

    Asante azam

  • @user-ms8rl1nr9o
    @user-ms8rl1nr9o 26 дней назад +4

    Hongereni sana viingozi wetu

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n 23 дня назад +3

    Kongole sana semaji la caf

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 26 дней назад +2

    Magori yupo vizuri, hana papara, katulia

  • @gabrielrobert8677
    @gabrielrobert8677 26 дней назад +2

    Magori mtu haswa, hamnaga mkurya fala Town.... bigg up saana Tata Magori

  • @raphaelernest8253
    @raphaelernest8253 24 дня назад +2

    Nakubali ubaya ubwela

  • @mohamednipala7000
    @mohamednipala7000 26 дней назад +3

    Simba.....!!!!! Nguvu moja

  • @Hemedyamir
    @Hemedyamir 26 дней назад +1

    Magori anajibu maswali vizur kweli ni mtu wa mpira anaijua Simba kindakindaki Hawa ndo tunawataka kwenye Simba Kwanza anaipenda Simba ni fans wa Simba"Simba nguvu moja🔥💪"

  • @djchid2417
    @djchid2417 26 дней назад +4

    Huyu mwamba ni hatar ni mashine ya kuongea

  • @abelimaganga417
    @abelimaganga417 26 дней назад +2

    Hawa watu wawili sina mashaka nao kabsa nawaamini mnooo🦁🦁🦁🦁

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le 26 дней назад +4

    Semaji la wasemaji tz wengine waropokaji tu

  • @HajiKanyumbu-xn6vh
    @HajiKanyumbu-xn6vh 26 дней назад +1

    Nalipongeza sana chama langu simba 🦁🦁🦁 nguvu moja 💪💪💪

  • @georgesamweli4062
    @georgesamweli4062 25 дней назад +2

    Semaji 🎉🎉🎉

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 26 дней назад +3

    Mpanzu na Fei Toto tunauwa watu kwa pressure, please waleteni msimbazi

  • @teilencedevard9431
    @teilencedevard9431 26 дней назад +2

    Semaji linalo ingia on trending upepo unao semaji

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s 26 дней назад +2

    simbaa nguvu moja 😊😮

  • @IssaKisaka-wo3mq
    @IssaKisaka-wo3mq 26 дней назад +2

    Simba nguvu moja

  • @Busagotz
    @Busagotz 25 дней назад +3

    Ally komwe na Hers njoo ujifunze kuongea kama hiv pointi

  • @songarashidy1995
    @songarashidy1995 26 дней назад +3

    yoooo if you like SIMBA like my comment down

  • @omariwaziri5031
    @omariwaziri5031 26 дней назад +3

    Kadi za mashabiki tuna zipataje

  • @AbkHashim-o3j
    @AbkHashim-o3j 26 дней назад +4

    Viongoz wanapo fanya usajili wanaakiri wana jua nan anafaa kwahyo tusubirie viongoz wafanye usajili tuone uwanjan alafu unapo sema ni siasa wewe mwanachama? Tusiwe tunapga makelele alafu kumbe hata kad ya mwanachama huna waache viongoz wafanye usajili

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 26 дней назад +2

    Mimi ni mwa😊 mwanachama lakini Nipo American nitafanyaje ili nichangie nikitokea huku 🇱🇷?

  • @KanizioBugota
    @KanizioBugota 25 дней назад +1

    Tuipende simba yetu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AbednegoMurosi
    @AbednegoMurosi 26 дней назад +3

    Mwenda hatumuonii kambini

  • @Miche7_
    @Miche7_ 26 дней назад +2

    Mashine ya kuongea alikuwa anaumia 😂😂😂😂

  • @juniorjoshua2452
    @juniorjoshua2452 26 дней назад +4

    Musa mangungu ni kilus I mpaka Sasa wengi hawamtaki ila watu wameamua kuweka umoja

    • @DeborahSaitoti-oy7fm
      @DeborahSaitoti-oy7fm 26 дней назад +1

      Kweli Ila atatoka tu simba tuweke kwanza nguvu nyingi timu na club ikae sawa mangungu ni mdudu mdgo Sana siku moja tu makiamka anakuta THANK YOU YAkE MEZANi😂😂😂😂😂

  • @epefrapetro1398
    @epefrapetro1398 26 дней назад +3

    Mimi nimwana chama wa smba nigeomba kramo twende nae naiman atatusaidia

    • @AlexMgeta
      @AlexMgeta 26 дней назад

      Mbona kramo yupo sana na aliongeza mkataba wa mwaka mmoja

  • @hamismwangwale563
    @hamismwangwale563 23 дня назад +1

    Ubaya ubwela Ila SEMAJI LETU halitaki unyonge🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ashrafameir4064
    @ashrafameir4064 25 дней назад +2

    Kwanini wamemtoa mgunda kwenye bench

  • @samahakihange6421
    @samahakihange6421 26 дней назад

    Nimeipenda iyo raisi wa wasemaji ote tanzania semaji la caf

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 26 дней назад +2

    Naomba namba ya msemaji Ahamedy

  • @peterwilliam5411
    @peterwilliam5411 26 дней назад +1

    Azam TV kiboko yaoo 🎉🎉

  • @allymtunge5530
    @allymtunge5530 26 дней назад +2

    Kwan uto wanakuaga wapi? Kufikili sana

  • @RomwadMhagama
    @RomwadMhagama 26 дней назад +3

    Nasisi wangoni hua tunatumia hiloneno

  • @kingndinyo9764
    @kingndinyo9764 25 дней назад +1

    Trending 1 simba nguvu moja

  • @mwasunga
    @mwasunga 26 дней назад +2

    Amed baba utaniua mm wew nimwamba ndomana walikushindwa wakaleta watatu iri wakuchangie wamelala nabado watalala

    • @mwanangusana
      @mwanangusana 26 дней назад +1

      😂😂😂😂😂 sasa iyo ni taasisi kweli ?? Kitengo kiwe na mtu mmoja kwelii ??

  • @shekhebakari1998
    @shekhebakari1998 26 дней назад +2

    Naitwa Hamis from kigamboni naomba hiyo huduma yasimba bando ije namitandao mingine tafazali

  • @Ezramali595
    @Ezramali595 25 дней назад +2

    UBAYA UBWELA MPOAPOOOO

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 26 дней назад +1

    Hiyo safi Simba bando

  • @user-mq2wy4tp5q
    @user-mq2wy4tp5q 26 дней назад

    😂😂😂 ubaya ubwelaa asee ni noma san

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 26 дней назад +2

    Kramo jamani mwacheni mbona kapona jamani

  • @MartineRichard-me2ip
    @MartineRichard-me2ip 26 дней назад +1

    Simba Nguvu moja

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 24 дня назад +2

    Wenzenu wanatafuta wachezaji ninyi mnatafuta maneno mtaani ya kudanganyia watu.

  • @afaijuma8474
    @afaijuma8474 25 дней назад +1

    Kwanza nawapongeza kwakipindi kizuli oja yangu. Ipokwenye namna yakutumia mtandao wa Voda Mimi nipo Mozambique nauku sisi tupo tunanufaishaje Simba yetu?

  • @FreemasonPesaZaMajini
    @FreemasonPesaZaMajini 26 дней назад +2

    Ongezeni wanachama wapya,lkn mkiweka sharti moja la kila mwanachama lazima alipie kadi yake kila mwaka na akiwa ajalipia ndani ya miaka miwili ifutwe apewe mwingine na yeyote atakayelipia siku ya uchaguzi asiruhusiwe ili kumfanya aone umuhimu wa kulipia kadi kwa wakati

  • @officialisaiah3979
    @officialisaiah3979 26 дней назад +3

    UBAYA UBWELA

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 25 дней назад +1

    Sasa magor karudi nafraha sasa🎉

  • @user-kn7bo6iz4n
    @user-kn7bo6iz4n 26 дней назад +1

    Nguvu mojaa❤❤❤❤

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 20 дней назад

    Semaji la Mnyama, Semaji la Dunia 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @westonyjob1747
    @westonyjob1747 26 дней назад

    Semaji la cuf umetisha

  • @RashidiKilumbi
    @RashidiKilumbi 24 дня назад +1

    Tutajie Tena hiyo no, ya kujiunga Simba bando.

  • @AdinaniKitabu
    @AdinaniKitabu 26 дней назад

    Upo vzr mwamba

  • @johnmgalatia5375
    @johnmgalatia5375 26 дней назад +1

    Pia muulize tulihamasishwa kukata kadi za uanachama kupitia benki ya Equity bank je zile tuachane nazo?na tukate za CRDB NA NMB?

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 26 дней назад

    Simba nguvu moja💪

  • @malickomary5687
    @malickomary5687 26 дней назад

    Sema huyu mzee magoli safi sana yani...

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 26 дней назад +2

    Ubaya ubwela

  • @MuftyHussein-kf7tm
    @MuftyHussein-kf7tm 26 дней назад

    Nimesha nunua tayari imeisha hiyo nguvu moja ❤❤❤😂😂🎉

  • @neemamatey
    @neemamatey 26 дней назад +1

    ❤❤❤

  • @GervasKasagula-m7m
    @GervasKasagula-m7m 26 дней назад +2

    Magoli tunakutakia majukum mema ya simba yetu

  • @ROJAOMARY-ys7xb
    @ROJAOMARY-ys7xb 25 дней назад +1

    Kipindi kitam sana nilokuwa natamani kusikia sauti ya father magoli na hamedi alii

  • @khalidsharji2462
    @khalidsharji2462 26 дней назад +1

    Simba nguvu Moja tuchangiye

  • @hamadbakar7091
    @hamadbakar7091 26 дней назад +1

    Simba nguvu Moja yani mwaka huu tumesajili IGP watupu au maamiri jeshi watupu yani hakuna kuruti kwenye kikosi chetu

  • @user-bb8de4bl5n
    @user-bb8de4bl5n 26 дней назад +1

    Wewe hujui kitu huyu Zubery Yanga damu ujue hilo

  • @AudaxLwekamwa-kt6eg
    @AudaxLwekamwa-kt6eg 26 дней назад +1

    Kuna mwamba njaa ilkua inampiga apo 😅😅kiasi kwamba anapiga miayo kwenye myk😅

  • @KibibiMwalimu-pg8fg
    @KibibiMwalimu-pg8fg 26 дней назад +1

    Nataka kadi yangu niliyosajiliwa wilaya ya mvomero kata ya mkindo Nataka kuchangia nikiwa huku 🇱🇷

  • @brycesonkaaya9764
    @brycesonkaaya9764 26 дней назад +1

    Mwambie Ahmed Ally anakumbuka alichoambiwa na mshabiki wasimba toka mikese juu ya uzinduzi wa jezi?

  • @MtoroIdd
    @MtoroIdd 26 дней назад +3

    Mzee magori fukuza manula huyo kirusi kitoke

  • @ELIASJACOB-by4qs
    @ELIASJACOB-by4qs 24 дня назад +1

    Nguvu moja 💪💪

  • @jumanneelias-mc7sw
    @jumanneelias-mc7sw 24 дня назад +1

    iyo simba bando naomba iwekwe kwa mitandao yote pleaSE

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 26 дней назад +2

    Wangoni pia bwers njoo rudi kibantu

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate 26 дней назад +1

    Ila Bongo Kuna wasemaji sana

  • @user-cg8vh4fn7z
    @user-cg8vh4fn7z 24 дня назад +1

    Mbona kama kuna mtu anapiga mihayo apo

  • @JohnEugeni-f8m
    @JohnEugeni-f8m 26 дней назад +1

    Yaan simba huwa wanaanza yanga wanaiga et yanga famili mara wiki ya wanachi yaan lzm simba waanze wao wanaiga

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t 26 дней назад +1

    Semaji la cuf😂😂😂😂😂😂ubaya ubwela

  • @idimbezi8379
    @idimbezi8379 26 дней назад +2

    Mwambie magor tunamuomba elia mpanzu

  • @CyprianHatari-qy9yv
    @CyprianHatari-qy9yv 26 дней назад +2

    Mfarume wa nyika wekundu wa msimbazi