UPETE UCHAMBUZI WA MECHI NZIMA SIMBA NA YANGA, AZIZI, PACOME NI MOTO WA KUOTEA MBALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024

Комментарии • 53

  • @jumamabu3650
    @jumamabu3650 29 дней назад

    Nimependa sana hoja ya aziz ki, umeijibu vzr sana

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Месяц назад +6

    Perfect analysis,safi sana!

  • @VictorDulle
    @VictorDulle Месяц назад +6

    Asante mungu kwa yang a yetu 😅😅❤

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Месяц назад +6

    Ila Yanga ni DUBWANA KUBWA SANA saivi.
    Yaani kufa lazime tu ufe ila kuna kila aina ya vifo.. #YANGA

  • @noelmakere1381
    @noelmakere1381 Месяц назад +2

    Daaah
    Huyu jamaa anajua uchambuzi balaa....big up

  • @AishaMwalim-o2z
    @AishaMwalim-o2z Месяц назад +3

    Azam wajipange vy kutosha kukabiliana na pakome mara hii tunawavunja wao

  • @jonasmbwambo3546
    @jonasmbwambo3546 Месяц назад +6

    Kweli kaka refaree ni mkatisha tiketi tu pale magufuli terminal

  • @ArafaMkomwele-vi2hp
    @ArafaMkomwele-vi2hp Месяц назад +1

    Mbona husemi na zile penati walizonyimwa simba

  • @seifmbembe
    @seifmbembe Месяц назад +4

    Vyombo vya habari mboni mnaingiliwa namtu ambayo nasie maalumu ya waandishi

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 Месяц назад

    Mchambuzi wangu mtulivu mwenye akili timamu, good job Nazareth Upete

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f Месяц назад +3

    Hafai kabisa mwenye macho haambiwi ona anazikatisha timu tamaa

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Месяц назад +5

    Mchambuzi mzuri sana uko vizuri

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e Месяц назад +2

    Makolo kosa refa Eheeeee

  • @JoshuaSamunge
    @JoshuaSamunge Месяц назад

    Hyo center refereeee amezingua sana ,alafu jamani tunaandaaa afcon lakini marefari hatutaweza kuwa na center refereeee kwenye mechi hyoo

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 Месяц назад

    Aachane na Mobeto

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Месяц назад

    Uko vizuri kaka

  • @EmanuelMwambu
    @EmanuelMwambu Месяц назад +1

    Mbona mnamlazimisha aseme mnachotaka

  • @maikomatayo2794
    @maikomatayo2794 Месяц назад

    cheki utopolo wana vyo jipendekesa hapa endeleeni kuwanunua wachachambusi mnakuja kujuta

  • @user-ph4ch9qx5p
    @user-ph4ch9qx5p Месяц назад +2

    Kama hatukuwajua tumearamba tukishawajua tunawazoea ni kipigo tu😅

  • @S2kizzyZombi
    @S2kizzyZombi Месяц назад +3

    R😂efaLii akakatixhe tiketi magomeni kweny daradara

  • @decodesuza6996
    @decodesuza6996 Месяц назад

    Uyu zaid ya mchambuzi ❤

  • @omarybashiry5930
    @omarybashiry5930 Месяц назад +2

    Fundiii

  • @NeemAmianaMramiFamily
    @NeemAmianaMramiFamily Месяц назад +3

    Hata kule mkwakwani Tanga msimu uliopita Yanga pia alizulumiwa ngao ya jimii dhidi ya madunduka fuudenge mikia😂😂😂

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian Месяц назад

    Mimi naona yanga wanaonewa sana na marefa

  • @mbiseMbisere
    @mbiseMbisere Месяц назад

    Mtaongea sana makolo😢

  • @NeemAmianaMramiFamily
    @NeemAmianaMramiFamily Месяц назад +2

    Eti yanga wazee dharau zenu zimewaponza mammaee😂😂😂

  • @emmanuelbirore7679
    @emmanuelbirore7679 Месяц назад +1

    Waambie ukwel hana leo haukuwa kwenye ubora mzur,baada ya free kick hana on target

  • @GenelivaSylvester
    @GenelivaSylvester Месяц назад

    Makolo msipoacha hizo habari zenu mara dawa,mtayaoga sana maana timu zote zinajipanga na kufanya marekebisho nyie kelele nyng hamtaki kukubal ukweli,hayaaa kizuri mko na semaji lenu wa kuwafariji

  • @IslahiMohamed-qi2jf
    @IslahiMohamed-qi2jf Месяц назад

    Azam wajanja

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f Месяц назад +2

    Lazimatuseme kwa kuokoa mpira wa tanzania

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Месяц назад

    Kabananishwa😂😂😂😂 ishu ya refa

  • @bakanga1410
    @bakanga1410 Месяц назад +1

    Utoporo mnalalamika wkt kuna mechi nyingi mmebebwa kuwa wastaarabu,punguzen upuuz

    • @ShawnBeatz
      @ShawnBeatz Месяц назад

      Bado misimu mitano yamajonz😂

    • @Isackkayanda
      @Isackkayanda 29 дней назад

      Ujinga tu kuma wew hujui mpira kolozidad wew

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Месяц назад +4

    Walisema Yanga wazee, kumbe wao wana vijeba kibao.

  • @RemiusCleophace
    @RemiusCleophace Месяц назад +1

    Yang'a bila dawa hawezi kupata ushindi mbele ya mnyama

  • @user-nm2jq7xo5f
    @user-nm2jq7xo5f Месяц назад +7

    Refa aliyechezesha Machi hii inapaswa afungiwe kwa maamuzi mabovu kabisa

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 Месяц назад +2

      Alitumwa

    • @kisinza6077
      @kisinza6077 Месяц назад +1

      Hamna waacheni tu tutawanda hivyohivyo huyo refa tunamjua hajawahi kuitendea haki Yanga, na alipangwa makusudi.

    • @suddytele3692
      @suddytele3692 Месяц назад

      Acha uongo bhna.

    • @NeemAmianaMramiFamily
      @NeemAmianaMramiFamily Месяц назад +1

      Dube alivutwa ndani ya penalty box

    • @swedywamba5535
      @swedywamba5535 Месяц назад +1

      Hasa tena kwa kutunyima goal yanga

  • @decodesuza6996
    @decodesuza6996 Месяц назад

    Muwamuzi hatakiwi kufungiwa,

  • @AllanAthuman
    @AllanAthuman Месяц назад

    We bado unaamin daw

  • @henelckneatunga2720
    @henelckneatunga2720 Месяц назад

    UTEPE UMESEMA UKWELI,AZIZ KUPOTEZA MPIRA NI KAWAIDA SANA

  • @AsiaNgoleka
    @AsiaNgoleka Месяц назад

    Yule refa baba yake mzazi ni shabiki wa simba

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 Месяц назад +2

    Upete anaogopa kuwaambia ukweliii ndugu zangu wana yanga kwamba yeye ni mwanahabari tena mwajiriwa so ana mipaka yakuongelea kitu fulani si hawezi ongea mnachokitaka