Sasii kocha wenu huyo makolo arajiga mnamkataa sasii mnamkataa mnamtaka nani sasa makolo mmebebwa sana ila ndo hivyo uwezo mdogo msitafute visingizio 😅
Fala lingine hili, kwani faolo mbaya kabisa aliyofanyiwa Prince Dube na Kevin kijiri ndani ya box hukuona! Refa kawabeba na Off-side 2 za mchongo hukuziona
Kwenda zako huko midevu kama brashi la kiwi penati za nyokwe mbona sisi magoli yetu 2 halali eli sasii kayakataa huongelei ukizidiwa unatoa credit tu kwendraaaa
Huo utoto sasa heshim kazi zawatu bro ongelea panapostahili, hakuna penat rahis kiivo nandomaana mkienda kwenye caf champion mnabaki kusingizia uonevu. Hauna mamlaka yakumvua viatu hersi kiasi unavodhania wew kupitia mapenz yatim Yako ya Simba.
Doctor gani huyo. Kutwa kulalamika tu. Hawa wazuri kwa preseason na simba day. Mlienda misri kununua khanzu au kucheza mpira. Unalalamika penalty na zile goli 2 halali za halali na penalty yetu???? Bwege wewe
SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉❤❤❤
Hawana ubora to ndo kiwango Chao kimeishia hapo wali zoea kucheza na Tim za daraja la chini huko
Wapewe mda,,,,,, kama walizoea kucheza na daraja la chin,,, sasa saiv ndo wameanza na daraja la juu so , tuwape mda
Tumia akili timu inawachezaji wametoka timu tofauti tofauti unasemaje hainauhitaji wakujijenga? Ngao ya jamii tanga pakomwe sialikosa ata penalt?
Timu ni nzuri nyinyi msubiri mshukuru hata hilo mmoja kazi mmeiona tano hazipo mwaka huuu
Unataka penalty watu wamenyimwa golii la waz
@@IsabelaConstantino-ns7kx unafunga goli filimbi ilishapigwa siushamba tu huo
Umechambua vizuri sana
Timu yetu nzuri tuisapoti itafanya viziri mechi zijazo
Kweli kabisa leo Yanga hawajaamini tusubiri mm hata kama wametufunga nimefurahi sana wanaume walikuwa kazini.
Ni kweli mo refarii ni mzigo
Sasii kocha wenu huyo makolo arajiga mnamkataa sasii mnamkataa mnamtaka nani sasa makolo mmebebwa sana ila ndo hivyo uwezo mdogo msitafute visingizio 😅
Fala lingine hili, kwani faolo mbaya kabisa aliyofanyiwa Prince Dube na Kevin kijiri ndani ya box hukuona! Refa kawabeba na Off-side 2 za mchongo hukuziona
Wewe ndo ulikuwa unasema tutakoma leo hii unalilia penalty😂😂😂😂
Tuwasapoti Simba timu Bora sana msimu huu
UBAYA UBWEGE
Kweli kabisa Mzamiru umri umeenda .Baada yakutolewa Nje yanga haikurudi kumudu katikati yanga imemezwa kabisa
😅😅
Huyu hana akili
Pacome na Aziz hawakuwa ofside hivi mngekuwa magoli yale mmefunga nyie ungesema sio magoli?Musathir alidakwa na Kapombe mlipo pigwa 5 hamkusema mjinga ww
Wamelalaoooooooooh
kwa mfumo alo tumia leo gamondi kuifungua ngumu.muna kumbuka yanga na mamelod.rud tena juz kaiza chef vs yang.mamelod kamilik Mira 75 .gamond kocha
Nafasi moja mekoswa goli tano dube bado anaumia sana kuwakosa
Ubaya ubwege😂😂😂
Mshamba ww huna hata hoja ya kimchezo
Mbona Alajiga haumsemiiii!!? Acheni upendeleo, sasi na Alajiga hawafai kuchezesha Derby
Leo simba wamemaliza mbinu zote ndio hao yanga wali tulia waka shinda
Achen mdomo mtafanikiwa shida yenu simba matambo mengi n maneno mengi apo amnalolot unawalish watu matango pori ropoka sasa ulokua unaropok jana 😂
Mwamba anapanga kikos sio kuchambua na jana aliongea maneno machafu sana leo kawa mpole yanga hii ukija vibay unakufunga domo
Kwenda zako huko midevu kama brashi la kiwi penati za nyokwe mbona sisi magoli yetu 2 halali eli sasii kayakataa huongelei ukizidiwa unatoa credit tu kwendraaaa
Ok
Acha kuwadanganya watu umiliki wa mpira yanga kazidi vipindi vyote eti posession 62 kwa 38 punguani wewe angalia azam wametoa tathmini kaangalie
timu hiko poa sana mbogamboga fc wamebatisha tu
Uhakika umeona eeeee
ndo tushakufungeni
Hii yanga weka n
Mbali na watoto
Na sisi goli letu limekataliwa ,
Huo utoto sasa heshim kazi zawatu bro ongelea panapostahili, hakuna penat rahis kiivo nandomaana mkienda kwenye caf champion mnabaki kusingizia uonevu. Hauna mamlaka yakumvua viatu hersi kiasi unavodhania wew kupitia mapenz yatim Yako ya Simba.
Acha kudanganya watu uchambuzi huuweze
Kwenye possession umelisha watu matango
ukicheza na yanga utajua mapungufu yako
Doctor gani huyo. Kutwa kulalamika tu. Hawa wazuri kwa preseason na simba day. Mlienda misri kununua khanzu au kucheza mpira. Unalalamika penalty na zile goli 2 halali za halali na penalty yetu???? Bwege wewe
Bwege mama anamjua bwege baba wake usishangae
Mpira hujui wewe
Refa refa badotimu aina muunganiko mzuli muipe muda timuyenu refa kafanya Nini chaajabu