DOCTOR MO ALIA KWA MKAPA, TUMEONEWA, TUMENYIMWA PENATI MBILI ZA WAZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 50

  • @JosephTibu
    @JosephTibu 2 месяца назад +2

    SIMBA NGUVU MOJA🎉🎉🎉❤❤❤

  • @JosephSixy
    @JosephSixy 2 месяца назад +5

    Hawana ubora to ndo kiwango Chao kimeishia hapo wali zoea kucheza na Tim za daraja la chini huko

    • @festoissa7476
      @festoissa7476 2 месяца назад

      Wapewe mda,,,,,, kama walizoea kucheza na daraja la chin,,, sasa saiv ndo wameanza na daraja la juu so , tuwape mda

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu 2 месяца назад

      Tumia akili timu inawachezaji wametoka timu tofauti tofauti unasemaje hainauhitaji wakujijenga? Ngao ya jamii tanga pakomwe sialikosa ata penalt?

    • @Neema-m6s
      @Neema-m6s 2 месяца назад

      Timu ni nzuri nyinyi msubiri mshukuru hata hilo mmoja kazi mmeiona tano hazipo mwaka huuu

    • @IsabelaConstantino-ns7kx
      @IsabelaConstantino-ns7kx 2 месяца назад

      Unataka penalty watu wamenyimwa golii la waz

    • @EssauGabriel-fy8pu
      @EssauGabriel-fy8pu 2 месяца назад

      @@IsabelaConstantino-ns7kx unafunga goli filimbi ilishapigwa siushamba tu huo

  • @mpirasoka
    @mpirasoka 2 месяца назад +1

    Umechambua vizuri sana

  • @CharlesChoma-b9x
    @CharlesChoma-b9x 2 месяца назад +1

    Timu yetu nzuri tuisapoti itafanya viziri mechi zijazo

    • @Neema-m6s
      @Neema-m6s 2 месяца назад

      Kweli kabisa leo Yanga hawajaamini tusubiri mm hata kama wametufunga nimefurahi sana wanaume walikuwa kazini.

  • @Sebastianmangenyi
    @Sebastianmangenyi 2 месяца назад

    Ni kweli mo refarii ni mzigo

  • @charlestobby6031
    @charlestobby6031 2 месяца назад +1

    Sasii kocha wenu huyo makolo arajiga mnamkataa sasii mnamkataa mnamtaka nani sasa makolo mmebebwa sana ila ndo hivyo uwezo mdogo msitafute visingizio 😅

  • @VLADDYNDANZI
    @VLADDYNDANZI 2 месяца назад

    Fala lingine hili, kwani faolo mbaya kabisa aliyofanyiwa Prince Dube na Kevin kijiri ndani ya box hukuona! Refa kawabeba na Off-side 2 za mchongo hukuziona

  • @fettiemaganza1484
    @fettiemaganza1484 2 месяца назад +1

    Wewe ndo ulikuwa unasema tutakoma leo hii unalilia penalty😂😂😂😂

  • @CharlesChoma-b9x
    @CharlesChoma-b9x 2 месяца назад

    Tuwasapoti Simba timu Bora sana msimu huu

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 2 месяца назад

      UBAYA UBWEGE

  • @NSENGIYUMVAMethoucela
    @NSENGIYUMVAMethoucela 2 месяца назад

    Kweli kabisa Mzamiru umri umeenda .Baada yakutolewa Nje yanga haikurudi kumudu katikati yanga imemezwa kabisa

  • @charleskilian
    @charleskilian 2 месяца назад

    Huyu hana akili

  • @AllyMikidadiAlly-v5f
    @AllyMikidadiAlly-v5f 2 месяца назад +1

    Pacome na Aziz hawakuwa ofside hivi mngekuwa magoli yale mmefunga nyie ungesema sio magoli?Musathir alidakwa na Kapombe mlipo pigwa 5 hamkusema mjinga ww

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 2 месяца назад

    Wamelalaoooooooooh

  • @Aliyusuf-c1e
    @Aliyusuf-c1e 2 месяца назад

    kwa mfumo alo tumia leo gamondi kuifungua ngumu.muna kumbuka yanga na mamelod.rud tena juz kaiza chef vs yang.mamelod kamilik Mira 75 .gamond kocha

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 месяца назад

    Nafasi moja mekoswa goli tano dube bado anaumia sana kuwakosa

  • @hajially4527
    @hajially4527 2 месяца назад +1

    Ubaya ubwege😂😂😂

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 2 месяца назад

    Mbona Alajiga haumsemiiii!!? Acheni upendeleo, sasi na Alajiga hawafai kuchezesha Derby

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 2 месяца назад

    Leo simba wamemaliza mbinu zote ndio hao yanga wali tulia waka shinda

  • @VailethVee
    @VailethVee 2 месяца назад +1

    Achen mdomo mtafanikiwa shida yenu simba matambo mengi n maneno mengi apo amnalolot unawalish watu matango pori ropoka sasa ulokua unaropok jana 😂

  • @Emmanuelmasingija-w3y
    @Emmanuelmasingija-w3y 2 месяца назад

    Mwamba anapanga kikos sio kuchambua na jana aliongea maneno machafu sana leo kawa mpole yanga hii ukija vibay unakufunga domo

  • @charlestobby6031
    @charlestobby6031 2 месяца назад +1

    Kwenda zako huko midevu kama brashi la kiwi penati za nyokwe mbona sisi magoli yetu 2 halali eli sasii kayakataa huongelei ukizidiwa unatoa credit tu kwendraaaa

  • @kasimuhamidu8467
    @kasimuhamidu8467 2 месяца назад

    Ok

  • @AllyMikidadiAlly-v5f
    @AllyMikidadiAlly-v5f 2 месяца назад

    Acha kuwadanganya watu umiliki wa mpira yanga kazidi vipindi vyote eti posession 62 kwa 38 punguani wewe angalia azam wametoa tathmini kaangalie

  • @PauloMole-lv4tf
    @PauloMole-lv4tf 2 месяца назад +2

    timu hiko poa sana mbogamboga fc wamebatisha tu

    • @MishaelTenga
      @MishaelTenga 2 месяца назад

      Uhakika umeona eeeee

    • @mudathilumwilu8295
      @mudathilumwilu8295 2 месяца назад

      ndo tushakufungeni

    • @georgelyimo2138
      @georgelyimo2138 2 месяца назад

      Hii yanga weka n
      Mbali na watoto

    • @joannegodfrey8769
      @joannegodfrey8769 2 месяца назад

      Na sisi goli letu limekataliwa ,

    • @LUKASNGOMBANIZA
      @LUKASNGOMBANIZA 2 месяца назад

      Huo utoto sasa heshim kazi zawatu bro ongelea panapostahili, hakuna penat rahis kiivo nandomaana mkienda kwenye caf champion mnabaki kusingizia uonevu. Hauna mamlaka yakumvua viatu hersi kiasi unavodhania wew kupitia mapenz yatim Yako ya Simba.

  • @BobNasa
    @BobNasa 2 месяца назад

    Acha kudanganya watu uchambuzi huuweze

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 2 месяца назад

    Kwenye possession umelisha watu matango

  • @IssaallyIssaally
    @IssaallyIssaally 2 месяца назад

    ukicheza na yanga utajua mapungufu yako

  • @mustafakara1361
    @mustafakara1361 2 месяца назад

    Doctor gani huyo. Kutwa kulalamika tu. Hawa wazuri kwa preseason na simba day. Mlienda misri kununua khanzu au kucheza mpira. Unalalamika penalty na zile goli 2 halali za halali na penalty yetu???? Bwege wewe

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 2 месяца назад

    Mpira hujui wewe

  • @rashidharuni9874
    @rashidharuni9874 2 месяца назад

    Refa refa badotimu aina muunganiko mzuli muipe muda timuyenu refa kafanya Nini chaajabu