Manara umeongea maneno mazuri na ya busara na unajuwa kuelimisha unasitahili heshime kubwa mwenyezi mungu akulinde na aendelee kukupa hekima unafaa kuwa kiongozi kwa idara yeyote upo sawa
Sana baba mizee ya Simba mijinga tu na mimbumbu hainambele walanyuma yanalopokalopoka tu wafundishe hao baba manara mizee haijuwi mpira nawametumwa kweli hatawalichoongea hakinamantiki
HAJI TUKUSAMEHE MAANA NA WEWE CY WEWE. MAANA HUWA UNAZUNGUMZA KM MPIRA NI UGOMVI. IGA KWA ALI KAMWE. WANAVYOTANIANA NA KAMWE. WALE WAZEE WA SIMBA UTAKUWA UMEWATUMA WEWE MANARA
Haji manara tatizo simba hakuna viongozi kwanza uongozi uliopa wa simba kama hawajakanusha tuhuma waze wanaotuhumu mawaziri 6 eti wamempa kayoko hela hapo kuna kosa la jinai
Siku zote mchawi akikushindwa kukuloga lazima awe mbogo...huyo mzee amenishangaza sana ..ukitaguta anachotaka ukifika mwisho unampata ni mchawi aliyefeli😮😮😮😮 tunguli
Manara siyo mtu wa mpira ila ni mtu wa kutafuta sifa ebu rejea maamuzi ya refa ni ovyo pia maongezi si ya mpira anaongelea wachezaji wa simba siyo mapungufu ya mchezo ndg usitudanganye
Kwani Haji Manara msemaji wa timu gani ? Haji punguza njaaa uliomba kurudi Simba wamekuchomolea ila inajitaidi kwenda na upepo kwa kuwadanganya mazuzu wenzio Yanga
Kipind wao wanashinda goli 2 za off side dhid yao na azam kwanin hawakumlam refa au kipa Wao au tff wao waache ubail wasajil wachezaji wenye kwalite kama wayanga wataona mafanikio ila kama wanaendeleza ubail watakufa na kiholo
Kwa haji wewe shabiki wa ajabu kweli wakuisema vibaya Simba Leo,wakati juzi tu ulikuwa ukilia Lia kuomba kurundi msimbazi ,bos moo,amekwambie tuombe msamaha mashabiki wa Simba kwa kuwakosea,Leo unaongea mambo ya hovyo,mtu akikosa ni shida
TATIZO LA WEWE MANARA KILA CK UNACHUKULIA MPIRA NI UGOMVI. WEWE MDADA MWANDISHI NI MCHOCHEZI SASA UNAMUULIZA MANARA KWANI NDY MZEE WA SIMBA?NYIE NDY MAANA MPIRA UNAKUWA KILA CK KM VITA. MAANA MASWALI YENU I Y UCHOCHEZI TUU.
Hawa wazee ukiwasikiliza kwa utulivu, utagundua bangi la ujanani lilipanda limewavuruga ubongo. Bangi tuliepuke hata kama utaliacha bangi amini kuna siku litaibuka tu kichwani ndiyo lililo watokea wazee wa simba. Goli chwaa mkojo waaa.
Manara umeongea maneno mazuri na ya busara na unajuwa kuelimisha unasitahili heshime kubwa mwenyezi mungu akulinde na aendelee kukupa hekima unafaa kuwa kiongozi kwa idara yeyote upo sawa
MUNGU ni mwema hongera Sana King Haji Manara kazi njema kila la kheri barikiwa Sana Yanga
Kama unafrahi ukiona makolo m
Wanateseka gonga like hapa
Hauna baya kaka Mungu akutunze akupe maisha marwfu akuondolee mikos na mabaya yote
Asante manara nakukubari Sanaa Hakuna msemaji kama wewe
Manara umeongea vizur sana ww umezaliwa ktk familia ya mpira
Nice Manara
Manara mkali sna brother salute
Yanga oyeeeeeeeh
Sana baba mizee ya Simba mijinga tu na mimbumbu hainambele walanyuma yanalopokalopoka tu wafundishe hao baba manara mizee haijuwi mpira nawametumwa kweli hatawalichoongea hakinamantiki
Naww ni lijinga ndugu,, mlibeba afu bd mnabeza mkundu ww
Ze Bugati, I always understand you
Hongera sana Bugati katika ubora wako 🎉🎉🎉
Saaaan aaaa
Safi sana
mm kk ni shabikiyako ongeza sauti mm niko Mozambique ❤❤❤❤❤❤
@manara uko makini brother umeongea point sana Simba porojo. na janja janja yao inazidi kuwazika wenyewe.
Kwamaelekezo hayo na ushauli uliowapa nifaida tosha kwao ila watakuchukia tuu kwasababu ukweli unauma congratulations manara💪
Bugatti mitano tena
Salut sana
Semaji la Tz nzima
Football
EMIRATES inadhamini vilabu vingi uingereza na husikii wazee wa Man Utd wakilalamika !
Mmmmm manara huyo kama namuona
Fyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Piga kwenye utosi bado wanapumua 😂
Bugatti hongera sana hayo makolo ni hovyo sana tena hovyole majinga hayo hayana lolote matambo mengi finishing hakuna mapumbavu hayo
Haji Manara! Umeongea ukweli. Wazee wa Simba kwakweli dah…..hata sijui nani anawashauri…..nimewasikiliza nikasikitika mno mno
Katika siku zote leo nimekuelewa
Huyu jamaa furahia tu akiwa upande wako dah😂😂😂😂😂😂
Unajua manara goli Moja Kwa akili zao wanaona kama wanaimudu Yanga!
Ujumbe umefika.massage sent
Akhui umeongea vya maana kwakweli. Bora umewaambia wamesha potea hao
Safi Sana baba
Manala umeshindikana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nmekuja kugunduwa Manara kaja Yanga kutowa password za Simba alafu kakutana na raisi wa yanga ukichanganya izo akili Simba atateseka sana
Manara wambie hao wazee wa simba wamesahau
Brother nimekuelewa, na hili ili makolo hawa wa kizee wakuelewe lbd wawe na D 2
Kwa kweli wazee wa simba wametia aibu hawana sifa ya kuitwa wazee wa simba
Kimoja kimezama vizuri paka wanachanganyikiwa.
Wewe kama nani kutaka kuwaziba midomo watu? Acha wanasimba waongee, wao wanajua kwanini wanaongea hivyo! kuna shida sana katika ligi ya Tanzania
Mh, unajua kuwafundisha ebu waelezee ukweli na uwafundishe kuzeeka vizur
🤣🤣🤣💪💪💪 Nakubali bugati
Viva bugati vivaaaaa
Tumeanza kuwapiga madada zao, tukapiga vijana wao, tukapiga kakazao bado hao wazee wao.
Zmanara ni mtu wawatu onameneni yake yaukweri anasema ukweri munguakujarie kwaujweri
😊 17:57
Duh sana kimokooo tuuu kimewakolea kweli
Mikete bwana bwaten tu nawaona
HAJI TUKUSAMEHE MAANA NA WEWE CY WEWE. MAANA HUWA UNAZUNGUMZA KM MPIRA NI UGOMVI. IGA KWA ALI KAMWE. WANAVYOTANIANA NA KAMWE. WALE WAZEE WA SIMBA UTAKUWA UMEWATUMA WEWE MANARA
Andika ueleweke kwanza
EL BUGATI NI MMOJA TU.
Manara kweli maamuzi gn yale.lkn mujue kutesa kwa zamu iko siku yanga na nyinyi yatawakuta tu
Mgonjwa wakili huyo 😂😂😂😂
Haji manara tatizo simba hakuna viongozi kwanza uongozi uliopa wa simba kama hawajakanusha tuhuma waze wanaotuhumu mawaziri 6 eti wamempa kayoko hela hapo kuna kosa la jinai
sheikh manara wakere kdg
Viongozi wao au wetu
Umesema sawa kuwa wazee wa Simba wanaelimu na mbinu za zamani kwa mpira wa kisasa, naomba mpe ushauri huo na mzee Magoma
Viva manara
Mwaka wenu wa mwisho huu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Manara usiiwache Yanga.
Simama na Yanga mpaka kufa😂😂😂
😂😂😂 nakuunga mkono yani nafurahii wakilalamika wakiteseka makolo mie burudani nafsi yangu baridii
Kaka yangu upata shida gani kwenye paji la uso muungu akuponyee
Hongera Bugati umezungumza hao wazee wasimba hawaelewi nini wanachozungumza Mungu akubariki sana
Huyu nae anatafuta kiki kwenye mitandao . Haana cheke yanga anatapatapa
Pokea ukwl uoo 😂😂😂
We ashura unaongea kama nani yanga hawakujui Wala Simba koma kuongelea timu yetu
Buggati😅😅😅
Haji MANARA CHAWA TUU ATUELÈZE KWANINI ALIFUKUZWA KAZI -----HANA HOJA
Hunaakili wewe na hao wazee wenu wehu
Chawa wewe tu
Manara anajitambua sawasawa❤
Rangi mbili iyo inaunguluma 😂😂😂😂
Jiangalie Bado Unazaa Au Unaweza Kuzaa. Kama Siwewe Mwanao Au Mjuukuu
Wape makavu Yao makolo tunaomba kabla hawajaama tupige game na wao bunju refa wamchague weenyewe awe walau mangungu ama Ahmed Ally ndo waende zao😂😂
Mipango ya kina kayoko?
Nikweli kabisa yanga wanailinganisha na Simba eti nilevo moja ndio maana wanababwaja tu
Inawezekana wao ndio wanaongoza kununua mechi ndio maana wanakulupuka
Ila bugati unanikosha sana wewe ila yule mtoto Ary kamwe hakupendi sana kua nae makini
Acha uchonganishi wao wanajuana😮
Uwe albino harafu uwe shoga, unadhani kichwa cha huyo mtu kinakuweje?
Itakurudia kwenye kizazi chako
King Bugatti
Bugatti waambie waelimike wapunguze lawama
Siku zote mchawi akikushindwa kukuloga lazima awe mbogo...huyo mzee amenishangaza sana ..ukitaguta anachotaka ukifika mwisho unampata ni mchawi aliyefeli😮😮😮😮 tunguli
Bugati wewe upovizuri sana jamaa
Hata hueleweki.
Wejamaa harakiri umejariwa sana
Young ilijipanga ndio maaana unasubiri upangiwe kaxi nyingine
Mungu anakuona fisad nari weee
Na wewe je 😂😂
Bugati
Manara siyo mtu wa mpira ila ni mtu wa kutafuta sifa ebu rejea maamuzi ya refa ni ovyo pia maongezi si ya mpira anaongelea wachezaji wa simba siyo mapungufu ya mchezo ndg usitudanganye
Ametoka kubenua
Kwani Haji Manara msemaji wa timu gani ? Haji punguza njaaa uliomba kurudi Simba wamekuchomolea ila inajitaidi kwenda na upepo kwa kuwadanganya mazuzu wenzio Yanga
Wewe siyanga ndo mana unasifia
Wachane haji waambie hao
Kwanini unakataa marefa wa nje?
HUNA LOLOTE WW KWANI SIMBA HAIJA FANYA VIZURI WW NI MNOKO TU
Udugu umala😂😂😂😂😂😂😂😂😂
All the Lions just an follow this Zeru Zeru media, there is no point to be discussed here by the Fc Ngogwe hypocrisy grows
Si mnasema mvua ikinya mnafunga 5
Manara mbona hujibu hoja za wazee unaongea siasa tu...
Kipind wao wanashinda goli 2 za off side dhid yao na azam kwanin hawakumlam refa au kipa Wao au tff wao waache ubail wasajil wachezaji wenye kwalite kama wayanga wataona mafanikio ila kama wanaendeleza ubail watakufa na kiholo
Kwa haji wewe shabiki wa ajabu kweli wakuisema vibaya Simba Leo,wakati juzi tu ulikuwa ukilia Lia kuomba kurundi msimbazi ,bos moo,amekwambie tuombe msamaha mashabiki wa Simba kwa kuwakosea,Leo unaongea mambo ya hovyo,mtu akikosa ni shida
Machafuko yote duniani au miafaka yote vyombo vya Habari vinahusika 85%...
😅😅😅😅😅😅😅😅😅
TATIZO LA WEWE MANARA KILA CK UNACHUKULIA MPIRA NI UGOMVI. WEWE MDADA MWANDISHI NI MCHOCHEZI SASA UNAMUULIZA MANARA KWANI NDY MZEE WA SIMBA?NYIE NDY MAANA MPIRA UNAKUWA KILA CK KM VITA. MAANA MASWALI YENU I Y UCHOCHEZI TUU.
Nendeni mkang'oe hivyo viti muone matokeo
Hasante manara waambie sanda wamezivaa wenyewe hao na Bado wape vidonge vyao
Hawa wazee ukiwasikiliza kwa utulivu, utagundua bangi la ujanani lilipanda limewavuruga ubongo. Bangi tuliepuke hata kama utaliacha bangi amini kuna siku litaibuka tu kichwani ndiyo lililo watokea wazee wa simba. Goli chwaa mkojo waaa.
Una akili na busara sana manara