HAJI MANARA AWASHENYENTA WAZEE WA SIMBA KISA KUMGUSA GSM / DIARRA NUSU AIKOSE DERDY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 149

  • @HabrielKimaro
    @HabrielKimaro 3 часа назад +16

    Manara umeongea maneno mazuri na ya busara na unajuwa kuelimisha unasitahili heshime kubwa mwenyezi mungu akulinde na aendelee kukupa hekima unafaa kuwa kiongozi kwa idara yeyote upo sawa

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 4 часа назад +12

    MUNGU ni mwema hongera Sana King Haji Manara kazi njema kila la kheri barikiwa Sana Yanga

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku 56 минут назад +8

    Kama unafrahi ukiona makolo m
    Wanateseka gonga like hapa

  • @ThedyDaniel-xk5my
    @ThedyDaniel-xk5my 37 минут назад +1

    Hauna baya kaka Mungu akutunze akupe maisha marwfu akuondolee mikos na mabaya yote

  • @TatuMuanda-ub7ud
    @TatuMuanda-ub7ud 5 часов назад +7

    Asante manara nakukubari Sanaa Hakuna msemaji kama wewe

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Час назад +3

    Manara umeongea vizur sana ww umezaliwa ktk familia ya mpira

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 47 минут назад +2

    Nice Manara

  • @DicksonKobe
    @DicksonKobe Час назад +4

    Manara mkali sna brother salute

  • @MuutzShauri
    @MuutzShauri Час назад +3

    Yanga oyeeeeeeeh

  • @babycandycharles7816
    @babycandycharles7816 2 часа назад +5

    Sana baba mizee ya Simba mijinga tu na mimbumbu hainambele walanyuma yanalopokalopoka tu wafundishe hao baba manara mizee haijuwi mpira nawametumwa kweli hatawalichoongea hakinamantiki

    • @Rihannaboniphace
      @Rihannaboniphace 46 минут назад

      Naww ni lijinga ndugu,, mlibeba afu bd mnabeza mkundu ww

  • @georgemgalega2388
    @georgemgalega2388 Час назад +1

    Ze Bugati, I always understand you

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt Час назад +2

    Hongera sana Bugati katika ubora wako 🎉🎉🎉

  • @SinzaRobert
    @SinzaRobert 21 минуту назад +1

    Saaaan aaaa

  • @deodathmassawe3746
    @deodathmassawe3746 41 минуту назад +1

    Safi sana

  • @Alimartin-w4b
    @Alimartin-w4b 5 часов назад +5

    mm kk ni shabikiyako ongeza sauti mm niko Mozambique ❤❤❤❤❤❤

  • @allyngimba430
    @allyngimba430 44 минуты назад +1

    @manara uko makini brother umeongea point sana Simba porojo. na janja janja yao inazidi kuwazika wenyewe.

  • @DicksonLikundasi-un7ho
    @DicksonLikundasi-un7ho 52 минуты назад +1

    Kwamaelekezo hayo na ushauli uliowapa nifaida tosha kwao ila watakuchukia tuu kwasababu ukweli unauma congratulations manara💪

  • @husseinjohn8404
    @husseinjohn8404 Час назад +3

    Bugatti mitano tena

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini Час назад +2

    Salut sana

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya2968 54 минуты назад +1

    Semaji la Tz nzima

  • @MESHACKMWAJOMBE
    @MESHACKMWAJOMBE 14 минут назад +1

    Football

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Час назад +2

    EMIRATES inadhamini vilabu vingi uingereza na husikii wazee wa Man Utd wakilalamika !

  • @RAMZANJumma-hr3ff
    @RAMZANJumma-hr3ff 10 минут назад +1

    Mmmmm manara huyo kama namuona

  • @MuutzShauri
    @MuutzShauri Час назад +2

    Fyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @AbdallahCharles-e8k
    @AbdallahCharles-e8k 5 часов назад +2

    Piga kwenye utosi bado wanapumua 😂

  • @deomusyebi9930
    @deomusyebi9930 3 часа назад +1

    Bugatti hongera sana hayo makolo ni hovyo sana tena hovyole majinga hayo hayana lolote matambo mengi finishing hakuna mapumbavu hayo

  • @deodathmassawe3746
    @deodathmassawe3746 28 минут назад

    Haji Manara! Umeongea ukweli. Wazee wa Simba kwakweli dah…..hata sijui nani anawashauri…..nimewasikiliza nikasikitika mno mno

  • @Eng.Mwisongo
    @Eng.Mwisongo 54 минуты назад

    Katika siku zote leo nimekuelewa

  • @saidimnyani3330
    @saidimnyani3330 23 минуты назад

    Huyu jamaa furahia tu akiwa upande wako dah😂😂😂😂😂😂

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 3 часа назад +1

    Unajua manara goli Moja Kwa akili zao wanaona kama wanaimudu Yanga!

  • @AbdallaAli-dn6xp
    @AbdallaAli-dn6xp 4 часа назад +1

    Ujumbe umefika.massage sent

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 34 минуты назад

    Akhui umeongea vya maana kwakweli. Bora umewaambia wamesha potea hao

  • @JumaVitaris
    @JumaVitaris 3 часа назад

    Safi Sana baba

  • @jimmyjulius387
    @jimmyjulius387 3 часа назад +1

    Manala umeshindikana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @AradanStar
    @AradanStar 12 минут назад

    Nmekuja kugunduwa Manara kaja Yanga kutowa password za Simba alafu kakutana na raisi wa yanga ukichanganya izo akili Simba atateseka sana

  • @OmaryJafary-d7e
    @OmaryJafary-d7e 43 минуты назад

    Manara wambie hao wazee wa simba wamesahau

  • @StivinMwaipaja-b9c
    @StivinMwaipaja-b9c 10 минут назад

    Brother nimekuelewa, na hili ili makolo hawa wa kizee wakuelewe lbd wawe na D 2

  • @paulotemba8881
    @paulotemba8881 Час назад

    Kwa kweli wazee wa simba wametia aibu hawana sifa ya kuitwa wazee wa simba

  • @EliaminiMngumi
    @EliaminiMngumi Час назад

    Kimoja kimezama vizuri paka wanachanganyikiwa.

  • @daudaathman8229
    @daudaathman8229 4 часа назад +2

    Wewe kama nani kutaka kuwaziba midomo watu? Acha wanasimba waongee, wao wanajua kwanini wanaongea hivyo! kuna shida sana katika ligi ya Tanzania

  • @TheonestMlangila
    @TheonestMlangila Час назад

    Mh, unajua kuwafundisha ebu waelezee ukweli na uwafundishe kuzeeka vizur

  • @OmaryAthumani-db3vp
    @OmaryAthumani-db3vp Час назад

    🤣🤣🤣💪💪💪 Nakubali bugati

  • @SaidiKilobo
    @SaidiKilobo Час назад

    Viva bugati vivaaaaa

  • @NassoroSipemba
    @NassoroSipemba 29 минут назад

    Tumeanza kuwapiga madada zao, tukapiga vijana wao, tukapiga kakazao bado hao wazee wao.

  • @AthumaniNgonyani
    @AthumaniNgonyani Час назад

    Zmanara ni mtu wawatu onameneni yake yaukweri anasema ukweri munguakujarie kwaujweri
    😊 17:57

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 Час назад

    Duh sana kimokooo tuuu kimewakolea kweli

  • @BeatriceSoka-c7c
    @BeatriceSoka-c7c Час назад +1

    Mikete bwana bwaten tu nawaona

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Час назад +1

    HAJI TUKUSAMEHE MAANA NA WEWE CY WEWE. MAANA HUWA UNAZUNGUMZA KM MPIRA NI UGOMVI. IGA KWA ALI KAMWE. WANAVYOTANIANA NA KAMWE. WALE WAZEE WA SIMBA UTAKUWA UMEWATUMA WEWE MANARA

    • @maqawa
      @maqawa Час назад

      Andika ueleweke kwanza

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 55 минут назад

    EL BUGATI NI MMOJA TU.

  • @AbdallaAli-dn6xp
    @AbdallaAli-dn6xp 4 часа назад +1

    Manara kweli maamuzi gn yale.lkn mujue kutesa kwa zamu iko siku yanga na nyinyi yatawakuta tu

  • @EnockMwambola
    @EnockMwambola Час назад

    Mgonjwa wakili huyo 😂😂😂😂

  • @RamadhanMohamedi-j3d
    @RamadhanMohamedi-j3d 3 часа назад +1

    Haji manara tatizo simba hakuna viongozi kwanza uongozi uliopa wa simba kama hawajakanusha tuhuma waze wanaotuhumu mawaziri 6 eti wamempa kayoko hela hapo kuna kosa la jinai

  • @RamadhanSaidy-q7k
    @RamadhanSaidy-q7k 2 часа назад

    sheikh manara wakere kdg

  • @SalminiMaulidi-o1r
    @SalminiMaulidi-o1r 24 минуты назад

    Viongozi wao au wetu

  • @EliasMpilimba-d5w
    @EliasMpilimba-d5w 3 часа назад

    Umesema sawa kuwa wazee wa Simba wanaelimu na mbinu za zamani kwa mpira wa kisasa, naomba mpe ushauri huo na mzee Magoma

  • @denisshimela169
    @denisshimela169 Час назад

    Viva manara

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 54 минуты назад

    Mwaka wenu wa mwisho huu

  • @umlaith5202
    @umlaith5202 Час назад

    Manara usiiwache Yanga.
    Simama na Yanga mpaka kufa😂😂😂

  • @DIVINEPROMISE-c1n
    @DIVINEPROMISE-c1n 25 минут назад

    😂😂😂 nakuunga mkono yani nafurahii wakilalamika wakiteseka makolo mie burudani nafsi yangu baridii

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Час назад

    Kaka yangu upata shida gani kwenye paji la uso muungu akuponyee

  • @hawamasanje9589
    @hawamasanje9589 4 часа назад +1

    Hongera Bugati umezungumza hao wazee wasimba hawaelewi nini wanachozungumza Mungu akubariki sana

  • @bernardmboma1461
    @bernardmboma1461 4 часа назад +1

    Huyu nae anatafuta kiki kwenye mitandao . Haana cheke yanga anatapatapa

  • @mariammbapira645
    @mariammbapira645 28 минут назад

    We ashura unaongea kama nani yanga hawakujui Wala Simba koma kuongelea timu yetu

  • @SamwelMnaga
    @SamwelMnaga Час назад

    Buggati😅😅😅

  • @muharamijuma1569
    @muharamijuma1569 3 часа назад +2

    Haji MANARA CHAWA TUU ATUELÈZE KWANINI ALIFUKUZWA KAZI -----HANA HOJA

  • @JemsJosseph
    @JemsJosseph 59 минут назад

    Rangi mbili iyo inaunguluma 😂😂😂😂

    • @nurdinmfamau3493
      @nurdinmfamau3493 39 минут назад

      Jiangalie Bado Unazaa Au Unaweza Kuzaa. Kama Siwewe Mwanao Au Mjuukuu

  • @malietamaliet
    @malietamaliet Час назад

    Wape makavu Yao makolo tunaomba kabla hawajaama tupige game na wao bunju refa wamchague weenyewe awe walau mangungu ama Ahmed Ally ndo waende zao😂😂

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 Час назад

    Mipango ya kina kayoko?

  • @IndalesioHenery
    @IndalesioHenery 2 часа назад

    Nikweli kabisa yanga wanailinganisha na Simba eti nilevo moja ndio maana wanababwaja tu

  • @JamalAmr-nn9pm
    @JamalAmr-nn9pm 2 часа назад

    Inawezekana wao ndio wanaongoza kununua mechi ndio maana wanakulupuka

  • @OmaryHeri-c3h
    @OmaryHeri-c3h 3 часа назад +1

    Ila bugati unanikosha sana wewe ila yule mtoto Ary kamwe hakupendi sana kua nae makini

    • @KaungaDory
      @KaungaDory 2 часа назад

      Acha uchonganishi wao wanajuana😮

  • @jafetykaberege4948
    @jafetykaberege4948 3 часа назад +1

    Uwe albino harafu uwe shoga, unadhani kichwa cha huyo mtu kinakuweje?

    • @SaidiKilobo
      @SaidiKilobo Час назад

      Itakurudia kwenye kizazi chako

  • @AlfaMwasofu
    @AlfaMwasofu 2 часа назад

    King Bugatti

  • @kevinalpha4716
    @kevinalpha4716 Час назад

    Bugatti waambie waelimike wapunguze lawama

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 4 часа назад

    Siku zote mchawi akikushindwa kukuloga lazima awe mbogo...huyo mzee amenishangaza sana ..ukitaguta anachotaka ukifika mwisho unampata ni mchawi aliyefeli😮😮😮😮 tunguli

  • @OsmanSiame
    @OsmanSiame 2 часа назад +1

    Bugati wewe upovizuri sana jamaa

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 57 минут назад

    Hata hueleweki.

  • @OsmanSiame
    @OsmanSiame 2 часа назад

    Wejamaa harakiri umejariwa sana

  • @ellsonmkonyi1319
    @ellsonmkonyi1319 3 часа назад

    Young ilijipanga ndio maaana unasubiri upangiwe kaxi nyingine

  • @Oman-k4j
    @Oman-k4j 3 часа назад

    Mungu anakuona fisad nari weee

  • @OsmanSiame
    @OsmanSiame 2 часа назад

    Bugati

  • @SylvesterJohn-p9w
    @SylvesterJohn-p9w 2 часа назад

    Manara siyo mtu wa mpira ila ni mtu wa kutafuta sifa ebu rejea maamuzi ya refa ni ovyo pia maongezi si ya mpira anaongelea wachezaji wa simba siyo mapungufu ya mchezo ndg usitudanganye

  • @jumamnemo8383
    @jumamnemo8383 3 часа назад

    Ametoka kubenua

  • @abdallahmzee4335
    @abdallahmzee4335 3 часа назад

    Kwani Haji Manara msemaji wa timu gani ? Haji punguza njaaa uliomba kurudi Simba wamekuchomolea ila inajitaidi kwenda na upepo kwa kuwadanganya mazuzu wenzio Yanga

  • @AbdallahSeif-g5t
    @AbdallahSeif-g5t Час назад

    Wewe siyanga ndo mana unasifia

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 2 часа назад

    Wachane haji waambie hao

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya5864 47 минут назад

    Kwanini unakataa marefa wa nje?

  • @maharagendondo
    @maharagendondo 2 часа назад

    HUNA LOLOTE WW KWANI SIMBA HAIJA FANYA VIZURI WW NI MNOKO TU

  • @arlindozacarias4588
    @arlindozacarias4588 3 часа назад

    Udugu umala😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @engisack9610
    @engisack9610 51 минуту назад

    All the Lions just an follow this Zeru Zeru media, there is no point to be discussed here by the Fc Ngogwe hypocrisy grows

  • @AbdallaAli-dn6xp
    @AbdallaAli-dn6xp 4 часа назад

    Si mnasema mvua ikinya mnafunga 5

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 3 часа назад

    Manara mbona hujibu hoja za wazee unaongea siasa tu...

  • @AlexRukasi
    @AlexRukasi 3 часа назад

    Kipind wao wanashinda goli 2 za off side dhid yao na azam kwanin hawakumlam refa au kipa Wao au tff wao waache ubail wasajil wachezaji wenye kwalite kama wayanga wataona mafanikio ila kama wanaendeleza ubail watakufa na kiholo

  • @ernestkibada3845
    @ernestkibada3845 15 минут назад

    Kwa haji wewe shabiki wa ajabu kweli wakuisema vibaya Simba Leo,wakati juzi tu ulikuwa ukilia Lia kuomba kurundi msimbazi ,bos moo,amekwambie tuombe msamaha mashabiki wa Simba kwa kuwakosea,Leo unaongea mambo ya hovyo,mtu akikosa ni shida

  • @rexgodwill7353
    @rexgodwill7353 3 часа назад

    Machafuko yote duniani au miafaka yote vyombo vya Habari vinahusika 85%...

  • @godfrySalm
    @godfrySalm Час назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Час назад

    TATIZO LA WEWE MANARA KILA CK UNACHUKULIA MPIRA NI UGOMVI. WEWE MDADA MWANDISHI NI MCHOCHEZI SASA UNAMUULIZA MANARA KWANI NDY MZEE WA SIMBA?NYIE NDY MAANA MPIRA UNAKUWA KILA CK KM VITA. MAANA MASWALI YENU I Y UCHOCHEZI TUU.

  • @NangaSaidi
    @NangaSaidi 2 часа назад

    Hasante manara waambie sanda wamezivaa wenyewe hao na Bado wape vidonge vyao

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 3 часа назад

    Hawa wazee ukiwasikiliza kwa utulivu, utagundua bangi la ujanani lilipanda limewavuruga ubongo. Bangi tuliepuke hata kama utaliacha bangi amini kuna siku litaibuka tu kichwani ndiyo lililo watokea wazee wa simba. Goli chwaa mkojo waaa.

  • @BrunoKaimukilwa
    @BrunoKaimukilwa 4 часа назад

    Una akili na busara sana manara