#live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 12

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 2 часа назад +1

    Leo uko bon vraiment

  • @DATIVACOSMAS
    @DATIVACOSMAS Час назад

    Hakika Alajiga kiaina anajitahidi

  • @DATIVACOSMAS
    @DATIVACOSMAS 2 часа назад

    Kwa prisons kipa kapokonywa mpira bwana, siyo kauachia

  • @georgerwebangira9104
    @georgerwebangira9104 Час назад

    Wewe Siyo mchambuzi. Nilikusikiliza mwanzoni mwa msimu ukisema kwamba Simba hii imejitafuta imejipata Yanga mwaka huu hachukui ubingwa, mara oho Gamond mbinu zimemwishia. Iweje Leo useme eti Yanga Bingwa. Pumzika Brother tafuta biashara nyingine

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Час назад

      @@georgerwebangira9104 kinyonga huyu. Wachambuzi wa kweli ni Ambangile, Mkalaboko, Jemedari kidogo, George Job, na chuma cha Mǰerumani. Huyu Friji hana tofauti na yule Mjaluo mwenye macho kama Kereng'ende wa EFM Oruma

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 часа назад

    unapiga keleleTuu wewe bila kupumzika

  • @yusuphbenjaminkugaiwa7608
    @yusuphbenjaminkugaiwa7608 3 часа назад

    Nikama nilikuchukulia pw kabla sijakuskiliza lkn nimegundua kua umeongea faxed kwakua hata wewe umepata matokeo leo upo sawa kwakua umeujua uharisia hata Simba siyo mbovu sana ispokua pumzi tu ndiyo tatizo

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 2 часа назад +1

      Huyu ni kama kinyonga haaminiki

    • @beatusmtui507
      @beatusmtui507 Час назад

      Kumbe tulikuwa wengi tuliokuwa tunampuuzia😂😂😂

    • @yusuphbenjaminkugaiwa7608
      @yusuphbenjaminkugaiwa7608 Час назад

      @@beatusmtui507 Yes kulingana na nyakati

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 Час назад

      @@yusuphbenjaminkugaiwa7608 kwa siku anawezakuja na maoni matatu tofauti. Jina la friji bovu ni kweli bovu halifai kabisa