Wewe Siyo mchambuzi. Nilikusikiliza mwanzoni mwa msimu ukisema kwamba Simba hii imejitafuta imejipata Yanga mwaka huu hachukui ubingwa, mara oho Gamond mbinu zimemwishia. Iweje Leo useme eti Yanga Bingwa. Pumzika Brother tafuta biashara nyingine
@@georgerwebangira9104 kinyonga huyu. Wachambuzi wa kweli ni Ambangile, Mkalaboko, Jemedari kidogo, George Job, na chuma cha Mǰerumani. Huyu Friji hana tofauti na yule Mjaluo mwenye macho kama Kereng'ende wa EFM Oruma
Nikama nilikuchukulia pw kabla sijakuskiliza lkn nimegundua kua umeongea faxed kwakua hata wewe umepata matokeo leo upo sawa kwakua umeujua uharisia hata Simba siyo mbovu sana ispokua pumzi tu ndiyo tatizo
Leo uko bon vraiment
Hakika Alajiga kiaina anajitahidi
Kwa prisons kipa kapokonywa mpira bwana, siyo kauachia
Wewe Siyo mchambuzi. Nilikusikiliza mwanzoni mwa msimu ukisema kwamba Simba hii imejitafuta imejipata Yanga mwaka huu hachukui ubingwa, mara oho Gamond mbinu zimemwishia. Iweje Leo useme eti Yanga Bingwa. Pumzika Brother tafuta biashara nyingine
@@georgerwebangira9104 kinyonga huyu. Wachambuzi wa kweli ni Ambangile, Mkalaboko, Jemedari kidogo, George Job, na chuma cha Mǰerumani. Huyu Friji hana tofauti na yule Mjaluo mwenye macho kama Kereng'ende wa EFM Oruma
unapiga keleleTuu wewe bila kupumzika
Nikama nilikuchukulia pw kabla sijakuskiliza lkn nimegundua kua umeongea faxed kwakua hata wewe umepata matokeo leo upo sawa kwakua umeujua uharisia hata Simba siyo mbovu sana ispokua pumzi tu ndiyo tatizo
Huyu ni kama kinyonga haaminiki
Kumbe tulikuwa wengi tuliokuwa tunampuuzia😂😂😂
@@beatusmtui507 Yes kulingana na nyakati
@@yusuphbenjaminkugaiwa7608 kwa siku anawezakuja na maoni matatu tofauti. Jina la friji bovu ni kweli bovu halifai kabisa