NONGWA ZA ALLY KAMWE BAADA YA USHINDI DHIDI YA JKT TANZANIA | AKUMBUSHIA MECHI YA DERBY

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 окт 2024

Комментарии • 105

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 3 часа назад +3

    MUNGU ni mwema hongera Sana kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @rehemamahendeka-rm2ek
    @rehemamahendeka-rm2ek 3 часа назад +1

    Asante vjn mahiri ushindi mnono,hlf Ally Kamwe,pap ushatoa singo kupitia mirindimo ya Simba wa nyika,wee una hatari weye !!!
    Hongereni vjn mahiri

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Час назад

    Tunamshukuru MUNGU kwa ushindi huu wa point 3muhimu 🙏

  • @fatmaomar8335
    @fatmaomar8335 3 часа назад +2

    Yanga bingwa inshaallah daima mbele nyuma mwiko 💚💚💛💛🎉🤲🤲

  • @PeterAgathon
    @PeterAgathon Час назад

    Yanga Raha sanaaaaaaas

  • @rashidkweyunga5806
    @rashidkweyunga5806 2 часа назад +1

    We uko mbeya umeshindwa ngap

  • @JamesKamwela
    @JamesKamwela 3 часа назад +2

    Hongereni wanayanga wote

  • @yuzzosoloka1545
    @yuzzosoloka1545 3 часа назад +2

    Makini wakuu

  • @AgenesMugema
    @AgenesMugema 2 часа назад

    Kocha Yuko vizuri.

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 2 часа назад

    Allaah Akbar

  • @vangraphixvan8320
    @vangraphixvan8320 2 часа назад

    AZIZ UNAZINGUA KIWANGO KINASHUKA SANA

  • @HamisiMkangamo
    @HamisiMkangamo 2 часа назад

    Nice semaji la kikosi kipana

  • @DavidLeonard-o4r
    @DavidLeonard-o4r 2 часа назад

    Kisema ukweli mm kama halima huwa nalipenda sana cheko la kamwe

  • @LatiffahAbdulmalik
    @LatiffahAbdulmalik 2 часа назад +1

    𝐡𝐚𝐡𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐚𝐰𝐚 𝐚𝐤𝐢

    • @WemaKondo-e5z
      @WemaKondo-e5z 2 часа назад

      Kolo tuache na yanga yetu 😅😅😅😅

  • @benedictkiteji3627
    @benedictkiteji3627 Час назад +1

    Aly ubalaaa😂😂😂

  • @dicksonngasapa7007
    @dicksonngasapa7007 2 часа назад

    Wana sima hata mashabiki hamjui , hata kidogo😊

  • @BernadethaKamagi
    @BernadethaKamagi 2 часа назад +1

    Jkt ingecheza na simba ,simba ingekula nyingi

  • @vinny.morales
    @vinny.morales 2 часа назад

    Kuna watu wanaendelea kuumia😂... kufeni kabisa shwain

  • @LainaKanani
    @LainaKanani Час назад

    Yanga Bingwa

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 3 часа назад +1

    We yangawe umepigajehapo 😂

  • @RamaSinahela
    @RamaSinahela 3 часа назад +1

    😊😊😊😊😊😊

  • @AbdallaAbdalla-i3f
    @AbdallaAbdalla-i3f 49 минут назад

    makolo ndo hamn tim

  • @NakiMsangi
    @NakiMsangi 2 часа назад

    Cha msingi pont 3 ww

  • @jamesishimba
    @jamesishimba 2 часа назад

    yanga laha

  • @brycesonmathias6112
    @brycesonmathias6112 41 минуту назад

    Diarra aache visingizio vya wazi vya kuchelewesha mpira vinamgharimu kadi za njano

  • @DaudiKasese
    @DaudiKasese 3 часа назад +1

    Llingi haijawai kuwa rais

  • @damsonzabroni1224
    @damsonzabroni1224 Час назад

    We unaesema tume cheza na tim ye nye wat pungufu we tulikufunga 5 mkiwa nme kamilka ko JKT wazuri kuliko simba

  • @JosephkNtiga-ww8uz
    @JosephkNtiga-ww8uz 3 часа назад +1

    😅😅😅😅 ila ali kamwe

  • @dalmasokoth4190
    @dalmasokoth4190 2 часа назад

    Kwa taarifa Yao wanaotaka kutukimbia Sisi hatukombiliki!hata mkienda Comoro Sisi tutawafuata huko huko

  • @godyjafari6033
    @godyjafari6033 2 часа назад

    Amanizavala Akina Mbagula waliwapiga 2 wakiwa pungufu

  • @MariaPaschal-z1t
    @MariaPaschal-z1t Час назад

    W kolo inaku huxu nn kw mfn tkixhinda 2 mech mechi zako dear unaumwa Kwan 😂😂😂😂😂😂😂

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Час назад

    Rawhide acahna na kolo wamechanganyikiwa hao, uko mneya kwenyewe nenda kaanalie goli lilofungwa la maajabu kipa anaporwa mpira mkononi ananyoshq mkono refa hana abari nae, naa kama umeshimfwa kuwafunga prison jkt utaweza timu.nzima imekaa ktk goli lao

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Час назад

    😂Wimbo unaitwa Sina Makosa uliopigwa Simba wa nyikaaa😂😂😂 ha ha ha ha

  • @JumaAthumani-bh5hp
    @JumaAthumani-bh5hp 3 часа назад +3

    Kama hatuna timu lete timu yako kolo

    • @pambaboniface1199
      @pambaboniface1199 3 часа назад

      Kolo ni kama semu tu ...ukitaka unaita ..Asha njoo chumbani 😂😂

  • @Tassyomy
    @Tassyomy Час назад

    Kuni Ya Akiba Popote Ulipo Kunywa Soda..😂😂

  • @dicksonngasapa7007
    @dicksonngasapa7007 2 часа назад

    Nakujibu kipa wa kwanza kafungwa gori inamaana hakuwepo? Kutojua Shelia kunawaponza timu hizo kipa anafanya makosa lazima madhiniwe

  • @MariaHussen
    @MariaHussen 3 часа назад

    Ety siwadai dabi iludiwe watakula tano bila mbulukenge hawa wananiudhi kwamidomo yao mbwa hawa

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 Час назад

    😂😂tuna enda kubeba tena

  • @Veronica-b2f2g
    @Veronica-b2f2g 3 часа назад +1

    ♻️🫣🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💕

  • @lydiadaudi4076
    @lydiadaudi4076 2 часа назад

    Ya kuagana 😂😂😂

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 2 часа назад

    Kuna wengine naona hata Shure hmjaenda wewe umeshinda ngapi mbwaa wewe

  • @PeterJumla
    @PeterJumla 56 минут назад

    Huyo anasema eti tumeshinda mbili jkt wakiwa pungufu,Hebu tukuulize wewe kolo mashujaa walivyokuwa pungufu mliwafunga ngapi? Si ndiyo waliyowatoa kwenye FA au? Hawa jamaa vipi? Au mmelewa vichapo mfululizo kutoka kwa YANGA nini?😂😊

  • @dafrosamselle7935
    @dafrosamselle7935 2 часа назад

    🤣🤣🤣watakuloga eti

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 Час назад

    😂

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 3 часа назад +1

    Kwa kweli Mimi binafsi kama mwanachama wa Yanga sijafurahishwa na matokeo ya magoli machache. Kumbukeni mwaka huu Ligi itakuwa ngumu sana.

    • @catherineamiri9854
      @catherineamiri9854 3 часа назад

      😂😂😂we tutolee uchuro hapa hayo magi ni extra ukizingatia goal difference itatufavour cuz hatujaruhusu goli hebu tulia kikubwa 3pts timu itakayoingia kwenye mfumo itapigwa hizo nyingi msiwape presha wachezaji wetu

    • @gervaslukaya
      @gervaslukaya 3 часа назад +1

      We sio mwanachama hauwezi kusema ayo angalia timu zimetoka kwenye Darby na wao binadamu wanachoka kubwa point tatu

    • @benotayari5970
      @benotayari5970 2 часа назад

      Ungeenda kucheza wwe mpumbavu wwe

  • @SaidAlly-mr5de
    @SaidAlly-mr5de 3 часа назад

    Weewe mwenye timu mbona umeshindwa kufunga mpaka bao la kupewa na refa na refa huyo awe mwamuzi wenu mukibadilisha siku hiyo mtahama nchi

  • @Saidmella
    @Saidmella 3 часа назад

    we ulie cheza umekamilika ulishinda ngap

  • @SaraRobert-io8xv
    @SaraRobert-io8xv 3 часа назад

    Wewe ulizan ukiwa pungufu ndo kugunga kwanza hayo magor tumefunga wakiwemo wote moja ilikuwa faulo

  • @amanizavala
    @amanizavala 3 часа назад +7

    Utopolo hamna timu nyie mmeshinda goli mbili watu wakiwa pungufu

    • @yusuphally6420
      @yusuphally6420 3 часа назад

      Duh 😂😂😂

    • @josephwijengo8851
      @josephwijengo8851 3 часа назад +8

      We kolo Kaa kwakutulia msikimbie naona mnataka kwenda zambia

    • @catherineamiri9854
      @catherineamiri9854 3 часа назад +6

      😂😂nyinyi mlikuwa kamili na tukafunga tena dk za jiooooniii sasa nyie na hawa wapi wabovu

    • @promisetenson7258
      @promisetenson7258 3 часа назад +5

      Na tulipowafunga mara zote mfululizo mlikuwa pungufu wangp bwege ww?

    • @godfreysimoni4270
      @godfreysimoni4270 3 часа назад +4

      Una tatizo la afya ya akili kama hatna timu Lete timu Yako kolo ww

  • @MariaHussen
    @MariaHussen 3 часа назад

    Izo goli zimefungwa walikuwa vpi nyie mmeshinda ngapi mbona hmuiidhiwi sababu siwapendi nyie watu kwamidomo yenu michafu watu wenyewe maiti mkiwa mwtembea siwapendi simba Kuma lamamaako ulie ongea I vo.

  • @mrishokassone2363
    @mrishokassone2363 2 часа назад

    😂😂😂😂