Huyo anasema eti tumeshinda mbili jkt wakiwa pungufu,Hebu tukuulize wewe kolo mashujaa walivyokuwa pungufu mliwafunga ngapi? Si ndiyo waliyowatoa kwenye FA au? Hawa jamaa vipi? Au mmelewa vichapo mfululizo kutoka kwa YANGA nini?😂😊
😂😂😂we tutolee uchuro hapa hayo magi ni extra ukizingatia goal difference itatufavour cuz hatujaruhusu goli hebu tulia kikubwa 3pts timu itakayoingia kwenye mfumo itapigwa hizo nyingi msiwape presha wachezaji wetu
MUNGU ni mwema hongera Sana kwenu nyote kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Asante vjn mahiri ushindi mnono,hlf Ally Kamwe,pap ushatoa singo kupitia mirindimo ya Simba wa nyika,wee una hatari weye !!!
Hongereni vjn mahiri
Tunamshukuru MUNGU kwa ushindi huu wa point 3muhimu 🙏
Yanga bingwa inshaallah daima mbele nyuma mwiko 💚💚💛💛🎉🤲🤲
Yanga Raha sanaaaaaaas
We uko mbeya umeshindwa ngap
Hongereni wanayanga wote
Makini wakuu
Kocha Yuko vizuri.
Allaah Akbar
AZIZ UNAZINGUA KIWANGO KINASHUKA SANA
Nice semaji la kikosi kipana
Kisema ukweli mm kama halima huwa nalipenda sana cheko la kamwe
𝐡𝐚𝐡𝐚 𝐢𝐥𝐚 𝐚𝐰𝐚 𝐚𝐤𝐢
Kolo tuache na yanga yetu 😅😅😅😅
Aly ubalaaa😂😂😂
Wana sima hata mashabiki hamjui , hata kidogo😊
Jkt ingecheza na simba ,simba ingekula nyingi
Kuna watu wanaendelea kuumia😂... kufeni kabisa shwain
Yanga Bingwa
We yangawe umepigajehapo 😂
😊😊😊😊😊😊
makolo ndo hamn tim
Cha msingi pont 3 ww
yanga laha
Diarra aache visingizio vya wazi vya kuchelewesha mpira vinamgharimu kadi za njano
Llingi haijawai kuwa rais
We unaesema tume cheza na tim ye nye wat pungufu we tulikufunga 5 mkiwa nme kamilka ko JKT wazuri kuliko simba
😅😅😅😅 ila ali kamwe
Kwa taarifa Yao wanaotaka kutukimbia Sisi hatukombiliki!hata mkienda Comoro Sisi tutawafuata huko huko
Amanizavala Akina Mbagula waliwapiga 2 wakiwa pungufu
W kolo inaku huxu nn kw mfn tkixhinda 2 mech mechi zako dear unaumwa Kwan 😂😂😂😂😂😂😂
Rawhide acahna na kolo wamechanganyikiwa hao, uko mneya kwenyewe nenda kaanalie goli lilofungwa la maajabu kipa anaporwa mpira mkononi ananyoshq mkono refa hana abari nae, naa kama umeshimfwa kuwafunga prison jkt utaweza timu.nzima imekaa ktk goli lao
😂Wimbo unaitwa Sina Makosa uliopigwa Simba wa nyikaaa😂😂😂 ha ha ha ha
Kama hatuna timu lete timu yako kolo
Kolo ni kama semu tu ...ukitaka unaita ..Asha njoo chumbani 😂😂
Kuni Ya Akiba Popote Ulipo Kunywa Soda..😂😂
Nakujibu kipa wa kwanza kafungwa gori inamaana hakuwepo? Kutojua Shelia kunawaponza timu hizo kipa anafanya makosa lazima madhiniwe
Ety siwadai dabi iludiwe watakula tano bila mbulukenge hawa wananiudhi kwamidomo yao mbwa hawa
😂😂tuna enda kubeba tena
♻️🫣🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉💕
Ya kuagana 😂😂😂
Kuna wengine naona hata Shure hmjaenda wewe umeshinda ngapi mbwaa wewe
Huyo anasema eti tumeshinda mbili jkt wakiwa pungufu,Hebu tukuulize wewe kolo mashujaa walivyokuwa pungufu mliwafunga ngapi? Si ndiyo waliyowatoa kwenye FA au? Hawa jamaa vipi? Au mmelewa vichapo mfululizo kutoka kwa YANGA nini?😂😊
🤣🤣🤣watakuloga eti
😂
Kwa kweli Mimi binafsi kama mwanachama wa Yanga sijafurahishwa na matokeo ya magoli machache. Kumbukeni mwaka huu Ligi itakuwa ngumu sana.
😂😂😂we tutolee uchuro hapa hayo magi ni extra ukizingatia goal difference itatufavour cuz hatujaruhusu goli hebu tulia kikubwa 3pts timu itakayoingia kwenye mfumo itapigwa hizo nyingi msiwape presha wachezaji wetu
We sio mwanachama hauwezi kusema ayo angalia timu zimetoka kwenye Darby na wao binadamu wanachoka kubwa point tatu
Ungeenda kucheza wwe mpumbavu wwe
Weewe mwenye timu mbona umeshindwa kufunga mpaka bao la kupewa na refa na refa huyo awe mwamuzi wenu mukibadilisha siku hiyo mtahama nchi
we ulie cheza umekamilika ulishinda ngap
Wewe ulizan ukiwa pungufu ndo kugunga kwanza hayo magor tumefunga wakiwemo wote moja ilikuwa faulo
Utopolo hamna timu nyie mmeshinda goli mbili watu wakiwa pungufu
Duh 😂😂😂
We kolo Kaa kwakutulia msikimbie naona mnataka kwenda zambia
😂😂nyinyi mlikuwa kamili na tukafunga tena dk za jiooooniii sasa nyie na hawa wapi wabovu
Na tulipowafunga mara zote mfululizo mlikuwa pungufu wangp bwege ww?
Una tatizo la afya ya akili kama hatna timu Lete timu Yako kolo ww
Izo goli zimefungwa walikuwa vpi nyie mmeshinda ngapi mbona hmuiidhiwi sababu siwapendi nyie watu kwamidomo yenu michafu watu wenyewe maiti mkiwa mwtembea siwapendi simba Kuma lamamaako ulie ongea I vo.
😂😂😂😂
Simba kwa magoli wanayoshinda ni kama timu daraja la nne tu😂😂😂😂
😂😂😂😂