Huyu kijana max ni mtumishi wa yesu angalia siku xote anapo kaa anapoingia uwanjani ansalili popote au labda kalelewa kwa watu wanaomjua mungu mungu amtunze ,kwa yanga ni kama daudi alie muuwa goliathi leo
MASHIMO MASHIMO hebu kaa ktk neno la MUNGU tu sasa ACHA KABISA MAMBO YA MPIRA NAKUONYA kama MGANGA WA KIENYEJI VILE!!!! ONA unabii uluotoa unalitukanisha jina la Yesu!!! Acha kama mtumishi
Goli moja na make mmoja Toka kwa mwijaku hongera yanga hongera wananchi slogan Yao yaubaya ubwela maana yake nikwamba ubaya ubwela niyale yaliyotokea mwaka wa jana yatarudi Tena ndiyo maana halisi ya ubaya ubwela wamechagua ujumbe mzuri sanaaaaaa!!!
MAX MUNGU amzidishie anampenda Mungu na kumtegemea yy Masha Allah
Hakika max is the one of the best player
Wananchi kama tunaikubali yanga
Pigs keleleeeee,
Naombeni like zenu
Oyoooooooo
Max mchezaji wangu bora wakati wote, daima kila jema likawe upande wake.
Ameeen na Kwa wachezaj wt wa yanga
Yanga oyeeeeeeee raha kama zote tumefurahi ALLY KAMWE. MUNGU AKULINDE NA MABAYA NA AKUJALIE MEMA NA AFYA NJEMA DAIMA INSHAALAH
Jamani yanga ndiyo tim pekee duniani iliyojaza viwanja viwili kwenye utambulisho wao
Max akili mingi nakupenda bureee💛💛💚💚
Weeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉 twende tukabebe mke young Africans 💚👍 laha sana
Max Mpia nimekuekewa brother unamkumbuka MUNGU hakika wewe ni Moja kati ya wachezaji wakubwa
Alikamwe MUNGU azid kukuinuaa kaka huna baya
Hii tishet aliovaa semaji kaliii mno😊
Ahsanteni sana wapambanaji wetu kwa kutupatia furaha
Mwijaku kautakaaa atupe mke wetuuuuu...
Nazidi kukukubali san Max Mpia Zingeli❤
Asante Asante sana max mungu akupe umli mlefu baba🙏
Ukimtegemea Mungu unadhinda kila jaribuo
Asante Mungu, asante wachezaji wetu 💛💚
Mtoto Kalilia wembe kapewa 1-0.Wananchiiiiiii! Makalo rudini kambini mkajifunze zaidi kwa League yetu!
Mbn anajua vzur kiswahili
Congo wanaongea kiswahili
Huyu kijana max ni mtumishi wa yesu angalia siku xote anapo kaa anapoingia uwanjani ansalili popote au labda kalelewa kwa watu wanaomjua mungu mungu amtunze ,kwa yanga ni kama daudi alie muuwa goliathi leo
Vipi huyu mashimo nabii wa uwongo?
@@khalifasaidi7001😂😂😂
Kabisa katupa siri ya kumtumainia Mungu kwa kila jambo
Mashimo naabii fake kaingia shimoni na makolo
Ohhhhh yanga tamu
Mchezaji mwenye nidhamuu ya hali ya juu nampemda sana Max mie 💚
Weeuweeee 💚💛💚💛💚💚💚💚💚💪💪💪
Halafu maxi Sio mtoto wa Mwl kweli! Maana Ile chomekea Na ile nidhamu😅😅😅, Yanga Hoyeeee......
Mungu akupe kila haja ya moyo wako🎉max mpia nzengeri
Ally Mzee wa kero💚💛💚🔥🔥
Yangahii hatali ❤❤❤
HONGERA ALLY KAMWE KUPATA MKE BILA KUTARAJIA , SHEREHE IKO MAKAO MAKUU JANGWANI!
Tumekumisi sana Demaji la mabingwa❤
Wa kwanza
Sana owa afisa habari la young africans
Nakupenda pia ally kamwe mpolee sana mashallh❤😊😊😊 nimefurahii ku❤❤
Asante sn nimefurah pia
Tushawashenyentaaa🎉🎉🎉💚💚💛💛💛
Tena ktk Choo cha kijijini😄😄
Hii ni ubuyu ubweha😂😂😂😂😂kolo ameutaka
Mmetisha
😂😂baleke si alipita imekuaje kurud anaongea ujinga
Nawapenda sana chama langu 🫶🖤💛💚
Mwijako tupo mke watu ally ajienjoi na mke wake
💚💚💛💛
Perfect man
Mwijaku kautaka mwijaku kautaka mwijaku kautaka mwijaku kautaka
Wewe hatari kabisa.
Max kashajua kiswahili jaman😊😊
Hao MAKOLO haooooooo.... MAKOLO wameutaka.... MAKOLO wameutaka....🤣🤣🤣🤣
Hatariii
Yanga for life
Yanga Bingwa ✅
Oko sawa
Kipanduka umeanza kupandikza ujinga kny kichwa cha gamondi 😅😅😅😅😅😅😅
Bora manara kuliko kamwe maana kamwe anakera kuliko manara 😂😂😂😂
Ww ali kamwe unalaha san jmn ndio mana tunakupenda san
Ali yule mke wa mwijaku si wako ni wayanga wote
Mwijaku alimmeshen kamwe kbs.
Hahahahahahaaaa, hao makolooo wameutaka, wameutaka
Alhamndulilah Tunashukuru sn M/Mungu anavyotuwezesha na asante Vijana wangu nawapenda Allah awazidishie Kheir kwenye kazi zenu Inshaallah
Woyoooo
Huyu max n moto kila daby anafunga ❤❤❤
yanga bibgwa 🙏🙏🙏🖖⚽💪
Tupange zamu ya kulala na mke wa mwijaku ebu tujuane kwanza tupo wangap alafu tupange cku ngapi ngapi.
Nzengelii 🤜🤜🤜🤜🤜
Licha ya Ushindi,,,Max I love you 💚💚💛💚💚💛💚💚💚💛💛💛,,,Unampenda Mungu💛💚
Max hongera sana.
Nice
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO 💚💛💚💚
Ally bwana nakuelewa sana na sana broo we ndo msemaji mwenye akiri mantiki sana nenda kachikue goma lipige pumpu mrudishie fala uyo
Max be blessed my brother kwa kumtumania MUNGU kwa kila jambo!!!! Endelea hivyo hivyo UTASHINDA KILA HATUA
MASHIMO MASHIMO hebu kaa ktk neno la MUNGU tu sasa ACHA KABISA MAMBO YA MPIRA NAKUONYA kama MGANGA WA KIENYEJI VILE!!!! ONA unabii uluotoa unalitukanisha jina la Yesu!!! Acha kama mtumishi
Kamweeee🎉🎉🎉🎉🎉
MAX NI MTU WA MUNGU SANA
😂😂😂😂😂yanga
😅😅😅 ally
mtashobya josia nikiwa Kenya nawapata kwauzuri naiponza yanga pore ubaya ubwera
Jaivah itabidi aimbe remix maalum kwa yanga😂
Max anamjua mungu hongera sana mungu ndo yote
Jibu la max juu kumuachia MUNGU kilakitu ndio binaadamu wote wanapaswa tuishi hivyo
Max anajua sana alaf anajitoa sana,anapambana sana..max❤❤❤ Allah akufanyie wepesi nakutakia afya njema❤❤💪💪💪
Yangaaa
Aamina Inshaallah
Tumepata mke wajameni 😂😂😂semaji nenda kavute goma la mwijaku😂😂😂😂
Na mnajisahau tu simba kesha wafanya mbaya sana sasa tuonane kwenye ligi
Dah max adi raha Mungu ndo kila kitu
Ally kamwe una bayaa broo
Nzengeli kiswahili kishatakata hongera zake mwalimu wake Nkane
Goli moja na make mmoja Toka kwa mwijaku hongera yanga hongera wananchi slogan Yao yaubaya ubwela maana yake nikwamba ubaya ubwela niyale yaliyotokea mwaka wa jana yatarudi Tena ndiyo maana halisi ya ubaya ubwela wamechagua ujumbe mzuri sanaaaaaa!!!
We mwijaku atupe mke we2 ela ya ukumbi akachukue kwa godlove 😂😂😂😂
Maiti katoa shahada kabla hajafa ,☝️tumeszika sanda mahala pake.
Tunachukua mke na tunamfanyia paredi
Mungu ambariki max jamani😢
Kachukue mke man
Wazee WA UBAYA UBWEGEEEEEEEEEE😂😂 amefumuliwa kwenye mshono mara tatu , mar ya nne tutakata kizazi bila kumpa taarifa yoyote
❤❤❤
Kamweeeee lete rahaaa
Kasim Mpanga yule linseman aliyekataa goli la Aziz ki ni shabiki no. 1 wa Simba achana na goli la dube zilikuwa Tatu clear goals.
Adi Master Gamondi anasema mtoto kautaka
Baleke yeye ni fujo tu😂😂😂😂 kuongea aaaahhhh
Asanteni kwa raha jamani ❤❤❤
😂😂😂😂😂😂
C mlisema mnawafungia wasemaji vituko?
Maxiiii ni mtu na nusu
Ali kamwe jmn ka katoto vile sema unanipa raha mieee ,hlw wananchi wherever you are it's just hi to you!!!
Makolo mwaka huu mbona 6:24 watakoma aijalishi niko mbali kiasi gani lakni nafaatilia sana Young africans🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Dah! Jaman nzengeli ni mtu na nusu ni vile Basi tu hai mbwi hongera Sana dogo unajua ball