Hongereni sana vijana wote mlioweza kufika na kuisapoti club yetu bora na pendwa barani Africa ❤❤❤❤ mwenyezi mungu azidi kuwapa nguvu na kuwalinda vijana wote wa yanga sc
Kuna maneno mengine sio mazuri Ali yaani wataka watu wafanye UZINIFU hapo leo???. Not good kabisa hayo kwakweli naona unashangilia uzinifu mtupu not good
Tatilo la Kamwe ni kuwianisha shughuli za Yanga na ngono, iwe safari ya Rwanda, iwe Yang Z event na kadhalika, inaonekana ana uchafu mwingi kichwani mwake hadi anautapakaza kwenye klabu yetu
Hongera kamwe wetu kwa kazi nzuriii unayo ifanya jangwani💚💛💛🔥🔥🔥
Hongereni sana vijana wote mlioweza kufika na kuisapoti club yetu bora na pendwa barani Africa ❤❤❤❤ mwenyezi mungu azidi kuwapa nguvu na kuwalinda vijana wote wa yanga sc
Hongeran vijana mmeupiga mwingi kweli yanga Ina watu walio enda shule hakika kwa hili yanga itafika mbali.
Daima mbele nyuma mwiko 💚💛🖤
Ally kamwe wewe unatisha sana congrat❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Alikamwe 🔥🔥🔥🔥🔥
Aliy nakupata vzr sana nikiwa msumbiji
Hongereni vijana wetu kwa ubunifu,Ally Kamwe na timu yako🎉🎉🎉
Saidi mbwana nikiwa Mozambique nakukubali dogo ❤❤❤❤❤
Young Z hoyeeeeeee🎉🎉🎉🎉🎉
Congratulations vijana wa young Z🧡💚🧡💚
Zingatia maoni ya mahitaji ya tawi la mishangazi😂😂😂
Ilikuwa poa San jmn yang lah san🎉🎉🎉🎉
DAIMA MBELE NYUMA MWIKO. HAKIKA WANA INCH TUNA ENJOY SANA. PIGA KAZI KAKA PIGA KAZ KAMWE
Yanga
Tawi la mishangazi😂😂😂😂😂😂
Kitengo cha habari kiongezwe mwanamke jane yule wa mpenja anafaa sana au mwengine yeyote mwenye uwezo
Kweli kabisa Jane anastahili kabisa naunga mkono hoja
💯
Naunga mkono tena Da jane awe ambanie kuunganisha mabinti YANG A
Naunga mkono,Yule Dada Wa Mpenja anatufaaa sana
Alaf Yule ni mwananchi kabisa
Mnakesha hapo utamu
Semaji vipi kuhusu znz? Usajili tunahitaji pia.
Daah ningetakiwa niwepo hapo Leo
I kula kwako 😢😢😢
JANE KISHAI simuoni hapo
Aipingwii yanga kamayanga ubabe #mwananchiii
Hongera kamwe,..umetisha balaa yangu z..imefana ubunifu mkubwa ❤
Naqbal san Chama langu,Nko ARUSHA
Namuomba M/Mungu akuepushe na Khusda na akufungulie milango ya Kheir Inshaallah
Young z!! 💪 Hii imekaa poa sanaa🎁🎁🎁✊🇹🇿💋💋
Tunataka tawi la mishashangazi😂😂😂😂😂
Piga kazi Alli hadi waseme
Hongeren Sana vijana
Kila wilaya kuwe na yang z jamani ❤❤❤
Niko mbeya chunya naomba Nasi mtupe nafasi
Ilo tawi mpaka w nje ya nchi wapo na unaweza jisajir pia
🔥🔥🔥🔥
Kuna maneno mengine sio mazuri Ali yaani wataka watu wafanye UZINIFU hapo leo???. Not good kabisa hayo kwakweli naona unashangilia uzinifu mtupu not good
Good idea ❤
🔥🔥🔥🔥Yanga🎉
Mashallah 🥰🟢🟢💚😊
Ally umewazidi vitu vingi wasemaji wenzako,mbunifu sana,na ni faida kwa clab
Aliye sema anataka tawi lamishangazi Sanam lake lijengewe pale msimbazi nimecheka sana jamani kaaaah😂😂😂
😂😂fala sana wewe
🙏🙏🙏🙏
Nakuunga mkono Said mwanamke ni muhimu aongezwe nami nampendekeza Jane was Mpenja.
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Wazo zuri sana
Safi
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥😭😭
913 Queenie Lodge
Ivi huo ni utam wa nini kwanza?
VIP Ali kamwe na Sisi madada wa yanga tunataka siku yetu
Kuna dada mwandishi mweupe mweupe alikuwa beneti sana kumuhoji Kamwe msimu uliopita ila msimu huu kapotea, kunani
Tatilo la Kamwe ni kuwianisha shughuli za Yanga na ngono, iwe safari ya Rwanda, iwe Yang Z event na kadhalika, inaonekana ana uchafu mwingi kichwani mwake hadi anautapakaza kwenye klabu yetu
Wananchi tulio nje over 30 tunahitaji huduma hiyo usajili
Alikamwe sanasanasana yanga mbele
Tawi la Mishangazi😂😂
Mwendo wa vindege tu😂
.
Like za Alikamwe ni hapa 👉
Kiwango cha ushetani kinachoendelea kwa vijana wetu kinatisha mnooo.
Ni kifuru na dhihaka kwa MIUNGU.
Hadi waseme basi
Utopolo mna mbwembwe sna
Kweli bibie
𝓦𝓪 𝓴𝔀𝓪𝓷𝔃𝓪🎉🎉🎉
Vizuri sana 🎉🎉🎉🎉