Hongera sana Ahmed kwa kuisemea vzr timu yako,hakika una timu bora ila Yanga ni bora zaidi ya timu yako. @mpenja TV....huyu Mtangazaji wenu Jane Kishai yuko wapi?
Na sisi hatukupata time Wacha tumalize Ngao alafu tuingie kambini kbla kuanza Kwa ligi tujaaliwe tuchape tano tano mapema Kwa Kila mwenyewe zarau na mdomo mrefu
Hatuwezi kuwalaumu watani wapo katika hatua ya kutengeneza timu, mpaka 2030, Tusiwalaumu, Ile ubaya ubwege ilikua kusherehesha tu tumekuelewa semaji la CAF😂
Wageni wametoka sayari nyingine? Si wamesajiliwa kwenye namba ambazo ni zao, 6 kwa 6, 1 kwa 1, 9 kwa 9, 7 kwa 7, nk. Ugeni wa kitu gani sasa? Preseason week nne, unataka iwe ya miaka mmine? Shida ni kuficha mechi za majaribio.
timu mtatengeneza sana , hata miaka mitano itafika mkitengenza, alafu vijana wadogo Kama wanasaidia sana, tumieni vijana wa Simba B, kwani wao ndo wadogo, alafu wakawafunge wazee.
Hata upande wa pili wameona mpira, mpaka wakaanza kuwashika wachezaji wamecheza utazani walikuwa wanacheza miereka, mpira upon Simba huyo mobeto mpaka alimuomba kocha wake maji
Hebuni umri mdogo ndio nini? Umeangalia kombe la dunia? Umri wa jamal, Williams, na akina Yamal wanaumri gani na wanachezea timu. Miaka 25 sio umri mdogo.
UBAYA UBWELA MNAOTUMIA HAIFAI MNAWARUBUNI MAREFA WAWABEBE NA KUKATAA MAGOLI YA YANGA,KIUJUMLA HAMNA TIMU REFA WENU MKONO ANAKATAAJE GOLI LA AZIZI KII LA PILI?
Tunakupenda sana Ahmad Ally
Mzee Kapombe na Mzamiru tuwape thank you inatosha
Mumshukuru refa kawasaidia snaa
Kaxaidia kp refa amn cha kuxema nn acha uxhabik ongea mpira ww timu 2nae nw
Ninyi kubalini mmefungwa! Ninyi refa kawasaidia mangapi? Au mpaka tuyaseme???
Kwalip mbona penati huxemi
Hii ndo shida ya kutazama mpira ukiwa umekunywa supu ya kibudu
Asingekuwa refa mtani angekufa tano tena,
Wakikosa shukrani kwa refa basi tena
Nakubali sana semaji la dunia
Hongera sana Ahmed kwa kuisemea vzr timu yako,hakika una timu bora ila Yanga ni bora zaidi ya timu yako. @mpenja TV....huyu Mtangazaji wenu Jane Kishai yuko wapi?
Haina mbaya kaka tumeridhika na matokeo ila kikosi tuko vizuri sana naamini tutakutana NBC ligi
😂😂😂😂 Sawa tusubiri, nyie uwa mnautaka sana
Mshukuruni na refa pia.
mwambieni refa asante
Ukosahihi brother❤🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉
kweli kapombe kaisha sana Ngoma atupishe
🎉🎉🎉💪🏋️💪🏋️ moja
Sku hata mkifungwa na timu iliyopanda daraja mtasema mnatengeneza Kikosi. Teh
Na sisi hatukupata time Wacha tumalize Ngao alafu tuingie kambini kbla kuanza Kwa ligi tujaaliwe tuchape tano tano mapema Kwa Kila mwenyewe zarau na mdomo mrefu
Miaka itarudi nyuma au 😂😂
Hatuwezi kuwalaumu watani wapo katika hatua ya kutengeneza timu, mpaka 2030,
Tusiwalaumu,
Ile ubaya ubwege ilikua kusherehesha tu tumekuelewa semaji la CAF😂
Nampenda bule iki kiumbe japo mimi ni yanga damu
Mi siwadai japo tumepoteza, ni sehemu ya mchezo. Kila Mzamiru akitolewa timu inakuwa bora
Kama mpira mnaujua ongeeni kiuwalisia Simba wako vizuri kwasababu niwageni wamewachezea muamini hicho
Wageni wametoka sayari nyingine? Si wamesajiliwa kwenye namba ambazo ni zao, 6 kwa 6, 1 kwa 1, 9 kwa 9, 7 kwa 7, nk. Ugeni wa kitu gani sasa? Preseason week nne, unataka iwe ya miaka mmine? Shida ni kuficha mechi za majaribio.
kushndaa aaaah, dada 3
Acheni janjajanja kapombe, zimbwee na ngoma n mizigo kwenye team
Je mkifu gwa na cost hamtamfukuxa kocha
Wewe yanga wangekuwa na uwezo wangefunga zaidi ya moja hii inaonyesha kuwa yanga itazidiwa na uwezo wao ni mdogo
Kweli kabisa yanga kwanza msimu huu atakua nafasi ya 4,
Sio kweli ile ni game plan,ngoja ligi ianze muda utaongea.
Msingebebbwa zilikua 4@@aminaomari2312
Kumbe unaweza kusema vzr ayo ndo maneno
Mpenja tv jane kishai yuko wapi
bila refa 3 ziliwahusu mshaaza kubadilisha maneno
timu mtatengeneza sana , hata miaka mitano itafika mkitengenza, alafu vijana wadogo Kama wanasaidia sana, tumieni vijana wa Simba B, kwani wao ndo wadogo, alafu wakawafunge wazee.
inaumaaeeeeeeee
Kapombe na mzamiru ki ukweli hawakustahili kucheza mechi ya leo. Timu imejitahidi sana.
Leo wachezaji wamekuwa vijana wadogo!!!😢😢
Eti "timu tunayo, itakuja kufanya balaa siku 1" Balaa la mdomoni!
Acha shobo bc
Safi,,,,kwakuwa ni Malaya mzoefu ,,fulahitu!
Kupigiwa makofi ni kwa sababu hawajaruhusu mvua ya magoli na si vinginevyo
Msemaji wa koloo kashasema❤❤❤
Hii ndo ile nimeolewa lakini sio kiviiiiile!
Leo umeongea kwa adabu kaka😂😂
Hii falsafa ya timu ngeni, inawafanya wajitetee, si kweli. Cause namba ni zilezile, mbinu zilezile, formation zilezile. Mnazingua
SGR NI PACOME SIO KITALE WALA MKWALA
umepoaaaaaaaa
Sasa Simba nawashangaa sana Bado mnatengeneza timu🫣🫣
Sema tena sema wazee wa ngwasuma
Rifari naye ame wa teteya sana brother mjini simba huliwa kama mbuzi
Haaaaaaaaa ubayaaa ubwelaaaa😂😂😂😂😂 semaji la caf
Huyu hayupo sawa atafute mwana saikolojia
Ongera semaji la caf kwakujitetea
Nakubal semaj lng timu 2nae nw
Ubaya ubwabwaaaah 🤣🤣 ooh yanga tunawajuaaa tumewaonaaa 🤣🤣 daaaaDeq
Wandishiiiii eeeeee
Mlisema Tanga wazee sasa vipi vijana mnafeli wapi? Yaana mnafuraha KWA kua mmefungwa koli chache duh
Oyoooo semaji la kimataifa
Simba mpya inatia moyo sana
Hii ni Ile ya kufa kiume ndio kauli mbiyu ya simba
Vijana wadogo wapi wew mshamba mizee ipo kibao umo pila weee
Huna jipya weee😅
Wamekuwa vijana wadogo tena
Huyu apewe rikizo hayupo sawa
Mumekufa kiume
Hata upande wa pili wameona mpira, mpaka wakaanza kuwashika wachezaji wamecheza utazani walikuwa wanacheza miereka, mpira upon Simba huyo mobeto mpaka alimuomba kocha wake maji
Kwani wachezaji wenu hawakuwashika wa Yanga? Faulo si zimepishana kidogo tu? Mbona Max na Pacome walikuwa wanashikwa hivyohivyo?
Leo vp maana nyie wenzenu wakishinda mnasema bahasha au wameroga vp Leo mnasemaje
Kaza sauti
Coastal mtaifunga 4 kama kujifiraji tu muwafute machozi mrembe visugu
Jipeni imani tu
Mtajua hamjuii nyie endeleeni kujitetea 😂😂
Mngefunga Tano ten Simba tumesajiri
Nakuunga mkono xemaj letu
Hebuni umri mdogo ndio nini?
Umeangalia kombe la dunia? Umri wa jamal, Williams, na akina Yamal wanaumri gani na wanachezea timu. Miaka 25 sio umri mdogo.
Baleke hajacheza
Leo mbona ajawaita wandishi wa habali
Ubaya ubwala itimu itakuwa atali sana ata watani wanajua
UNGEPANGA TIMU YA WACHEZAJI 30
Nabado mshono upo.
Ni timu changa au timu mpya🦻🤗
Bwana pasta ushanza kupopoya
Leo Haiti wandishi wa habari😂
Nawewe nimzoefu tu wa vipigo mpaka umekua sugu
Sio ubaya ubwela ni ubaya uboya😂😂😂
Vipi kuhusu Ubaya ubwela?😂😂😂
Uwachee kisifu wachezaji ovyoo
Wacha kusema uwongo hauna furaha ubaya ubwege
Kwani wachezaji Huwa ni wangapi!?
Munaosem kwamba simb mbovu ebu muingie uwanjan Kam mutatomboa hata hao yanga wangekuwa Bora zaid wangeenda kombe la dunia
Yanga sio l p r ndo yanga Yamakombe
Kutfga doo mumejivunia xaw
Yanga kazi yake kubwa ni KUPIGA MIDOMO TU!!!
Iko waz cc co watu w taarabu
Nyie yanga, mlisema mtafunga Goli 8/10, Je imekuwaje mkashinda 1 goal?
Acheni maneno ya ushabiki, na hizo 7/9 ziko wapi?
Weee keeling dunduka unafurahia kufungwa goli chache
Simba imeisha haina lolote simba usajili wake wa magazeti tu kiufupi simba mbovu
Bwan misifa Leo nguv yakuongea pia ana anafany kujikaz 😂😂😂😂😂
Huyu misifa atajikaza sana msimu huu. YANGA TIMU KUBWA!!!
@@checkchannel3876 bad ajasema 😀
Huyu kenge hajui chochote
Mi simba ila we kenge tu
Malaya Hana ubola wowote!
Hahahaaaa pole sana jifariji tuu unangebe sana
😂😂😂😂 sanaa
WAVULANA 0 WAZEE 1
😂😂😂😂😂ubaya ubwege
😂😂😂😂😂😂
Atumtaki mangungu🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
Timu ni changa? Mbona kama sijakuelewa mzee
Wenzenu Yanga walianza kutengeneza timu huku wakiwafungeni na kuchukua vikombe
Refa amewasaidia mngekula Tatu mbwa nyie
😂😂😂Leo Simba inaitwa team changa alafu wanajifarij et vijana wadogo kufungwa n kufungwa😂tu hayo mngn n maneno ya kufarjiana tu
Semaj kama semaj nakukubal sana
ubaya ndo huo ww jifaeiji
UBAYA UBWELA MNAOTUMIA HAIFAI MNAWARUBUNI MAREFA WAWABEBE NA KUKATAA MAGOLI YA YANGA,KIUJUMLA HAMNA TIMU REFA WENU MKONO ANAKATAAJE GOLI LA AZIZI KII LA PILI?
Simba ikicheza mechi 7 tu kwenye ligi itapotea kwenye ramani hakuna timu hapa
Mtacheza na madunduka wezenu wadogo zenu hapo mtajua kuwa YANGA n TIMU KUBWA mmesaidiwa sana na rifa lkuwa ziwe 3
Ivi we unaakili tumboni humo kweli?? 😂😂😂 Mpira umeutazama au umesikiliza kwa radio 📻