AHMED ALLY AUNGURUMA BAADA YA KIPIGO TUTOKA KWA YANGA/TUMEFUNGWA ILA TUNAFURAHA/DEBORA NI HATARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 окт 2024

Комментарии • 149

  • @SakinaHassan-xc2in
    @SakinaHassan-xc2in 2 месяца назад +6

    Tunakupenda sana Ahmad Ally

  • @bestman3651
    @bestman3651 2 месяца назад +1

    Mzee Kapombe na Mzamiru tuwape thank you inatosha

  • @زيتونتنزانيا
    @زيتونتنزانيا 2 месяца назад +8

    Mumshukuru refa kawasaidia snaa

    • @Pili-j6b
      @Pili-j6b 2 месяца назад +1

      Kaxaidia kp refa amn cha kuxema nn acha uxhabik ongea mpira ww timu 2nae nw

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 2 месяца назад

      Ninyi kubalini mmefungwa! Ninyi refa kawasaidia mangapi? Au mpaka tuyaseme???

    • @linahissay9285
      @linahissay9285 2 месяца назад

      Kwalip mbona penati huxemi

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 2 месяца назад

      Hii ndo shida ya kutazama mpira ukiwa umekunywa supu ya kibudu

    • @jamaldeenmakenga
      @jamaldeenmakenga 2 месяца назад

      Asingekuwa refa mtani angekufa tano tena,
      Wakikosa shukrani kwa refa basi tena

  • @MalikiKavindi
    @MalikiKavindi 2 месяца назад +4

    Nakubali sana semaji la dunia

  • @nelsonlugaimukamu6611
    @nelsonlugaimukamu6611 2 месяца назад

    Hongera sana Ahmed kwa kuisemea vzr timu yako,hakika una timu bora ila Yanga ni bora zaidi ya timu yako. @mpenja TV....huyu Mtangazaji wenu Jane Kishai yuko wapi?

  • @SakinaHassan-xc2in
    @SakinaHassan-xc2in 2 месяца назад +4

    Haina mbaya kaka tumeridhika na matokeo ila kikosi tuko vizuri sana naamini tutakutana NBC ligi

    • @jamaldeenmakenga
      @jamaldeenmakenga 2 месяца назад

      😂😂😂😂 Sawa tusubiri, nyie uwa mnautaka sana

    • @risekidy7660
      @risekidy7660 2 месяца назад

      Mshukuruni na refa pia.

  • @IssaallyIssaally
    @IssaallyIssaally 2 месяца назад

    mwambieni refa asante

  • @ChachaWambura-q4k
    @ChachaWambura-q4k 2 месяца назад +1

    Ukosahihi brother❤🎉🎉❤❤❤🎉🎉🎉

  • @NoeliaPhilipo-om8fs
    @NoeliaPhilipo-om8fs 2 месяца назад

    kweli kapombe kaisha sana Ngoma atupishe

  • @kefangendwa3336
    @kefangendwa3336 2 месяца назад +2

    🎉🎉🎉💪🏋️💪🏋️ moja

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 2 месяца назад +1

    Sku hata mkifungwa na timu iliyopanda daraja mtasema mnatengeneza Kikosi. Teh

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад +3

    Na sisi hatukupata time Wacha tumalize Ngao alafu tuingie kambini kbla kuanza Kwa ligi tujaaliwe tuchape tano tano mapema Kwa Kila mwenyewe zarau na mdomo mrefu

  • @jamaldeenmakenga
    @jamaldeenmakenga 2 месяца назад +1

    Hatuwezi kuwalaumu watani wapo katika hatua ya kutengeneza timu, mpaka 2030,
    Tusiwalaumu,
    Ile ubaya ubwege ilikua kusherehesha tu tumekuelewa semaji la CAF😂

  • @enockabumba7513
    @enockabumba7513 2 месяца назад +1

    Nampenda bule iki kiumbe japo mimi ni yanga damu

  • @bestman3651
    @bestman3651 2 месяца назад +1

    Mi siwadai japo tumepoteza, ni sehemu ya mchezo. Kila Mzamiru akitolewa timu inakuwa bora

  • @AngelMwalukunga
    @AngelMwalukunga 2 месяца назад +4

    Kama mpira mnaujua ongeeni kiuwalisia Simba wako vizuri kwasababu niwageni wamewachezea muamini hicho

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 2 месяца назад

      Wageni wametoka sayari nyingine? Si wamesajiliwa kwenye namba ambazo ni zao, 6 kwa 6, 1 kwa 1, 9 kwa 9, 7 kwa 7, nk. Ugeni wa kitu gani sasa? Preseason week nne, unataka iwe ya miaka mmine? Shida ni kuficha mechi za majaribio.

  • @LuciaMagari-h8o
    @LuciaMagari-h8o 2 месяца назад

    kushndaa aaaah, dada 3

  • @franccoz94
    @franccoz94 2 месяца назад +1

    Acheni janjajanja kapombe, zimbwee na ngoma n mizigo kwenye team

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gn 2 месяца назад +1

    Je mkifu gwa na cost hamtamfukuxa kocha

  • @Sempay-cs9dr
    @Sempay-cs9dr 2 месяца назад +2

    Wewe yanga wangekuwa na uwezo wangefunga zaidi ya moja hii inaonyesha kuwa yanga itazidiwa na uwezo wao ni mdogo

    • @shijakashita9915
      @shijakashita9915 2 месяца назад

      Kweli kabisa yanga kwanza msimu huu atakua nafasi ya 4,

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 2 месяца назад

      Sio kweli ile ni game plan,ngoja ligi ianze muda utaongea.

    • @LuciaMagari-h8o
      @LuciaMagari-h8o 2 месяца назад

      Msingebebbwa zilikua 4​@@aminaomari2312

  • @oseahjohn8233
    @oseahjohn8233 2 месяца назад +1

    Kumbe unaweza kusema vzr ayo ndo maneno

  • @brighterlubida6045
    @brighterlubida6045 2 месяца назад

    Mpenja tv jane kishai yuko wapi

  • @IssaallyIssaally
    @IssaallyIssaally 2 месяца назад

    bila refa 3 ziliwahusu mshaaza kubadilisha maneno

  • @godlovegotfrid2413
    @godlovegotfrid2413 2 месяца назад +2

    timu mtatengeneza sana , hata miaka mitano itafika mkitengenza, alafu vijana wadogo Kama wanasaidia sana, tumieni vijana wa Simba B, kwani wao ndo wadogo, alafu wakawafunge wazee.

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 2 месяца назад

    inaumaaeeeeeeee

  • @georgebestmponda8017
    @georgebestmponda8017 2 месяца назад

    Kapombe na mzamiru ki ukweli hawakustahili kucheza mechi ya leo. Timu imejitahidi sana.

  • @drdd774
    @drdd774 2 месяца назад +1

    Leo wachezaji wamekuwa vijana wadogo!!!😢😢

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 2 месяца назад +1

    Eti "timu tunayo, itakuja kufanya balaa siku 1" Balaa la mdomoni!

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e 2 месяца назад

    Safi,,,,kwakuwa ni Malaya mzoefu ,,fulahitu!

  • @JohnErasto-n2d
    @JohnErasto-n2d 2 месяца назад +1

    Kupigiwa makofi ni kwa sababu hawajaruhusu mvua ya magoli na si vinginevyo

  • @KassimMwarengwa-yj8fd
    @KassimMwarengwa-yj8fd 2 месяца назад

    Msemaji wa koloo kashasema❤❤❤

  • @JohnMbogo-c1n
    @JohnMbogo-c1n 2 месяца назад

    Hii ndo ile nimeolewa lakini sio kiviiiiile!

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig
    @JosephBWAGIZO-fs5ig 2 месяца назад +1

    Leo umeongea kwa adabu kaka😂😂

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 2 месяца назад +1

    Hii falsafa ya timu ngeni, inawafanya wajitetee, si kweli. Cause namba ni zilezile, mbinu zilezile, formation zilezile. Mnazingua

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 месяца назад +1

    SGR NI PACOME SIO KITALE WALA MKWALA

  • @ZaiMbilo
    @ZaiMbilo 2 месяца назад

    umepoaaaaaaaa

  • @EnockShaban
    @EnockShaban 2 месяца назад

    Sasa Simba nawashangaa sana Bado mnatengeneza timu🫣🫣

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 2 месяца назад

    Sema tena sema wazee wa ngwasuma

  • @didiercimanuka3548
    @didiercimanuka3548 2 месяца назад

    Rifari naye ame wa teteya sana brother mjini simba huliwa kama mbuzi

  • @EnockShaban
    @EnockShaban 2 месяца назад

    Haaaaaaaaa ubayaaa ubwelaaaa😂😂😂😂😂 semaji la caf

  • @ramadhanshehe1681
    @ramadhanshehe1681 2 месяца назад

    Huyu hayupo sawa atafute mwana saikolojia

  • @omarimhd7716
    @omarimhd7716 2 месяца назад

    Ongera semaji la caf kwakujitetea

  • @Pili-j6b
    @Pili-j6b 2 месяца назад +2

    Nakubal semaj lng timu 2nae nw

  • @YohanaMadaha-y8l
    @YohanaMadaha-y8l 2 месяца назад +1

    Ubaya ubwabwaaaah 🤣🤣 ooh yanga tunawajuaaa tumewaonaaa 🤣🤣 daaaaDeq

  • @hekimaoscar6527
    @hekimaoscar6527 2 месяца назад

    Wandishiiiii eeeeee

  • @KhamisChaz-td4nz
    @KhamisChaz-td4nz 2 месяца назад

    Mlisema Tanga wazee sasa vipi vijana mnafeli wapi? Yaana mnafuraha KWA kua mmefungwa koli chache duh

  • @GrevazJoseph
    @GrevazJoseph 2 месяца назад

    Oyoooo semaji la kimataifa

  • @TidysonKatema-hf4jm
    @TidysonKatema-hf4jm 2 месяца назад

    Simba mpya inatia moyo sana

  • @Mokiwasaid7
    @Mokiwasaid7 2 месяца назад

    Hii ni Ile ya kufa kiume ndio kauli mbiyu ya simba

  • @RobartPatrick
    @RobartPatrick 2 месяца назад

    Vijana wadogo wapi wew mshamba mizee ipo kibao umo pila weee

  • @fatmaJuma-h9w
    @fatmaJuma-h9w 2 месяца назад

    Huna jipya weee😅

  • @JohnkisudaSunguta
    @JohnkisudaSunguta 2 месяца назад

    Wamekuwa vijana wadogo tena

  • @MussaMakange-py3iu
    @MussaMakange-py3iu 2 месяца назад

    Huyu apewe rikizo hayupo sawa

  • @japekhat
    @japekhat 2 месяца назад

    Mumekufa kiume

  • @Saidaabdu
    @Saidaabdu 2 месяца назад

    Hata upande wa pili wameona mpira, mpaka wakaanza kuwashika wachezaji wamecheza utazani walikuwa wanacheza miereka, mpira upon Simba huyo mobeto mpaka alimuomba kocha wake maji

    • @simonnjovu586
      @simonnjovu586 2 месяца назад

      Kwani wachezaji wenu hawakuwashika wa Yanga? Faulo si zimepishana kidogo tu? Mbona Max na Pacome walikuwa wanashikwa hivyohivyo?

  • @IssaallyIssaally
    @IssaallyIssaally 2 месяца назад

    Leo vp maana nyie wenzenu wakishinda mnasema bahasha au wameroga vp Leo mnasemaje

  • @WitnessMasunga
    @WitnessMasunga 2 месяца назад

    Kaza sauti

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад

    Coastal mtaifunga 4 kama kujifiraji tu muwafute machozi mrembe visugu

  • @kessysenga8700
    @kessysenga8700 2 месяца назад

    Jipeni imani tu

  • @JosephMaitika-y3g
    @JosephMaitika-y3g 2 месяца назад

    Mtajua hamjuii nyie endeleeni kujitetea 😂😂

  • @AngelMwalukunga
    @AngelMwalukunga 2 месяца назад

    Mngefunga Tano ten Simba tumesajiri

  • @DevothaThomas-c8o
    @DevothaThomas-c8o 2 месяца назад

    Nakuunga mkono xemaj letu

  • @Butondo
    @Butondo 2 месяца назад

    Hebuni umri mdogo ndio nini?
    Umeangalia kombe la dunia? Umri wa jamal, Williams, na akina Yamal wanaumri gani na wanachezea timu. Miaka 25 sio umri mdogo.

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад

    Baleke hajacheza

  • @RehemaKisesa-vw9ol
    @RehemaKisesa-vw9ol 2 месяца назад

    Leo mbona ajawaita wandishi wa habali

  • @HenryTindwa
    @HenryTindwa 2 месяца назад

    Ubaya ubwala itimu itakuwa atali sana ata watani wanajua

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 месяца назад

    UNGEPANGA TIMU YA WACHEZAJI 30

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e 2 месяца назад

    Nabado mshono upo.

  • @HusseinKoja-ww7gi
    @HusseinKoja-ww7gi 2 месяца назад

    Ni timu changa au timu mpya🦻🤗

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад

    Bwana pasta ushanza kupopoya

  • @UmmyMsafiri
    @UmmyMsafiri 2 месяца назад

    Leo Haiti wandishi wa habari😂

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e 2 месяца назад

    Nawewe nimzoefu tu wa vipigo mpaka umekua sugu

  • @mrrockboy9508
    @mrrockboy9508 2 месяца назад

    Sio ubaya ubwela ni ubaya uboya😂😂😂

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 2 месяца назад

    Vipi kuhusu Ubaya ubwela?😂😂😂

  • @NapeDkilia
    @NapeDkilia 2 месяца назад

    Uwachee kisifu wachezaji ovyoo

  • @HafidhMwinyi-fp2po
    @HafidhMwinyi-fp2po 2 месяца назад

    Wacha kusema uwongo hauna furaha ubaya ubwege

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад

    Kwani wachezaji Huwa ni wangapi!?

  • @PatrickCharles-q2p
    @PatrickCharles-q2p 2 месяца назад

    Munaosem kwamba simb mbovu ebu muingie uwanjan Kam mutatomboa hata hao yanga wangekuwa Bora zaid wangeenda kombe la dunia

  • @RamadhaniMahaku
    @RamadhaniMahaku 2 месяца назад

    Yanga sio l p r ndo yanga Yamakombe

  • @DalaliJilema
    @DalaliJilema 2 месяца назад

    Kutfga doo mumejivunia xaw

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 2 месяца назад

    Yanga kazi yake kubwa ni KUPIGA MIDOMO TU!!!

    • @HadijaSwedy
      @HadijaSwedy 2 месяца назад

      Iko waz cc co watu w taarabu

  • @kelvinmpangwa5030
    @kelvinmpangwa5030 2 месяца назад

    Nyie yanga, mlisema mtafunga Goli 8/10, Je imekuwaje mkashinda 1 goal?
    Acheni maneno ya ushabiki, na hizo 7/9 ziko wapi?

    • @petermchami1164
      @petermchami1164 2 месяца назад

      Weee keeling dunduka unafurahia kufungwa goli chache

  • @AnkallyPandu
    @AnkallyPandu 2 месяца назад

    Simba imeisha haina lolote simba usajili wake wa magazeti tu kiufupi simba mbovu

  • @AleemaAleemaoman
    @AleemaAleemaoman 2 месяца назад +2

    Bwan misifa Leo nguv yakuongea pia ana anafany kujikaz 😂😂😂😂😂

    • @checkchannel3876
      @checkchannel3876 2 месяца назад

      Huyu misifa atajikaza sana msimu huu. YANGA TIMU KUBWA!!!

    • @AleemaAleemaoman
      @AleemaAleemaoman 2 месяца назад

      @@checkchannel3876 bad ajasema 😀

  • @BabMuniwe-pg7el
    @BabMuniwe-pg7el 2 месяца назад

    Huyu kenge hajui chochote

  • @StephanoMwakihiyo
    @StephanoMwakihiyo 2 месяца назад

    Mi simba ila we kenge tu

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e 2 месяца назад

    Malaya Hana ubola wowote!

  • @LydiaGodfrey-z7t
    @LydiaGodfrey-z7t 2 месяца назад

    Hahahaaaa pole sana jifariji tuu unangebe sana

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 месяца назад

    WAVULANA 0 WAZEE 1

  • @EzekiaKwimba-l1h
    @EzekiaKwimba-l1h 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂ubaya ubwege

  • @Evnce007
    @Evnce007 2 месяца назад +1

    Atumtaki mangungu🤣🤣🤣

  • @Victormziwanda-g9z
    @Victormziwanda-g9z 2 месяца назад

    Timu ni changa? Mbona kama sijakuelewa mzee

  • @GentleGiant-pj2rk
    @GentleGiant-pj2rk 2 месяца назад

    Wenzenu Yanga walianza kutengeneza timu huku wakiwafungeni na kuchukua vikombe

  • @jonasmbwambo3546
    @jonasmbwambo3546 2 месяца назад

    Refa amewasaidia mngekula Tatu mbwa nyie

  • @VictorBugobola
    @VictorBugobola 2 месяца назад

    😂😂😂Leo Simba inaitwa team changa alafu wanajifarij et vijana wadogo kufungwa n kufungwa😂tu hayo mngn n maneno ya kufarjiana tu

  • @EmmanueliEmmanuelimwita
    @EmmanueliEmmanuelimwita 2 месяца назад

    Semaj kama semaj nakukubal sana

  • @BakariSaid-d7i
    @BakariSaid-d7i 2 месяца назад

    ubaya ndo huo ww jifaeiji

  • @LinusKyando
    @LinusKyando 2 месяца назад

    UBAYA UBWELA MNAOTUMIA HAIFAI MNAWARUBUNI MAREFA WAWABEBE NA KUKATAA MAGOLI YA YANGA,KIUJUMLA HAMNA TIMU REFA WENU MKONO ANAKATAAJE GOLI LA AZIZI KII LA PILI?

  • @damasmayanja2930
    @damasmayanja2930 2 месяца назад

    Simba ikicheza mechi 7 tu kwenye ligi itapotea kwenye ramani hakuna timu hapa

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 2 месяца назад

    Mtacheza na madunduka wezenu wadogo zenu hapo mtajua kuwa YANGA n TIMU KUBWA mmesaidiwa sana na rifa lkuwa ziwe 3

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 2 месяца назад

      Ivi we unaakili tumboni humo kweli?? 😂😂😂 Mpira umeutazama au umesikiliza kwa radio 📻