ALLY KAMWE "KOCHA WA SIMBA AMESHAWAHI KUISHUSHA TIMU YAKE DARAJA/HANA VIWANGO VYA GAMONDI/CHAMA,MAX

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 81

  • @ashurasaid1315
    @ashurasaid1315 Час назад +3

    😂😂😂😂😂😂 ali anavyoongea yupo serious kabisa eety . Diara kafanya mazoez kwenye noa

  • @aloycemaarifa8603
    @aloycemaarifa8603 3 часа назад +7

    Napenda unavyoisemea Team yangu mpaka raha jakika Engineer hakukosea kukupa kazi BIG UP sana Dogo ALLY

  • @King_186
    @King_186 5 часов назад +8

    Huyu Ally,pamoja na maneno ya kukera na utani anayoongea lakn kuna ukweli asilimia 75%,,ni vema Simba kufanya mabadiliko ya muhimu,na kutodili sana na Yanga bali kutafuta alama kwa kila wanayekutana naye,,,ili kujiweka sehemu nzuri

    • @DannyGold1996
      @DannyGold1996 Час назад +1

      Umesikia wapi simba inadeal na yanga ,tumia akili

  • @JechaMakameIssa-gs2bl
    @JechaMakameIssa-gs2bl Час назад +3

    Hana viwango mbeleko ile je angelkuwa na viwango si vizee vingefia uwanjani

  • @najatsalum2122
    @najatsalum2122 4 часа назад +3

    Allah akulinde alikamwe na watu wabaya

  • @SelemaniMashanshu
    @SelemaniMashanshu 5 часов назад +5

    😂😂😂😂😂😂 Dah 👏👏😂😂

  • @fabiancharles6258
    @fabiancharles6258 3 часа назад +3

    Tunakuombea sana afsa habar wetu Mungu akuongezee maisha maref Inshallah

  • @GOLDIANEDRICK-sm6xk
    @GOLDIANEDRICK-sm6xk 6 часов назад +3

    Ila allykamwe ni mwehu Sana eti kengele za kanisani

  • @denispasco5578
    @denispasco5578 Час назад +2

    Ally we ninoma😂

  • @ArnoldRwegasira-hp9gt
    @ArnoldRwegasira-hp9gt 5 часов назад +4

    Hahaha nimefungua mlango mara nne nimechoka nimelala

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 5 часов назад +4

    Maneno mazuri Ally

  • @happysanga6846
    @happysanga6846 Час назад +1

    Tunakuombea kijana wetu akuna wakukusumbua semaji letu💛🥎💚💯💯🙏

  • @josephshaibu8049
    @josephshaibu8049 Час назад +1

    😂😂 dah we dogo bhana kha..yn nacheka km fala 😅😅

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Час назад

    Ally kamwe nakuelewa sana waambie ao madunduka wenye akili za kuvalia nguo

  • @avii9971
    @avii9971 4 часа назад +3

    Uyu ni msemaji wa fadlu au yanga

  • @bakaribakari167
    @bakaribakari167 4 часа назад +2

    Mwehu ulilazwa Hadi hospitali presha

  • @StevenMatimba
    @StevenMatimba 2 часа назад +2

    Duuh!!ila kamwe 😅😅!!! waulizee vp ligi wanahama lini??

  • @josephvalentino5441
    @josephvalentino5441 3 часа назад +2

    Waandishi muwe mnahoji watu wenye hakiri timamu

  • @JafariJamal-q9y
    @JafariJamal-q9y 4 часа назад +2

    Simba ni demu last tumewaweka tumewaweka Tena tumewaweka tena

  • @rosemaryjacka1921
    @rosemaryjacka1921 34 минуты назад

    Kweli nne nyingi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌

  • @petermchami1164
    @petermchami1164 3 часа назад +1

    Hawana timu makolo wanaongopewa na msemaji wao hawajui kama yule komed

  • @SelemaniMashanshu
    @SelemaniMashanshu 6 часов назад +3

    Hata ukiwambia hawaelewi

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 6 часов назад +2

    Wakereeee semaji mpka maji wayaite mmmaa❤❤❤❤ nakupenda buree 🎉🎉🎉

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 часа назад +2

    Sanda si ni zile jezi zao?😂

  • @LowaeliDAMALU2015
    @LowaeliDAMALU2015 4 часа назад +2

    Tunakuomba Msemaji wetu wasamehe usiwasimange. Acha imetosha. Tuombee mechi ya 26/10/2024.

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 5 часов назад +2

    Hicho kicheko 😅😅😅

  • @SecelelaLouis
    @SecelelaLouis 4 часа назад +2

    Pimbi katika moja na mbili

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 4 часа назад +2

    Wee Dogo unawakera

  • @aminaomari2312
    @aminaomari2312 4 часа назад +2

    Ila kiukweli maneno na vitisho vya wale wazee sio sawa wanawatishia watu maisha wao kama nani kwenye nchi hii?hayo maneno yatawatafuna sana na kuwarudia wenyewe kwa uwezo wa Mungu.

  • @OliverMjimba
    @OliverMjimba 2 часа назад +1

    Tutasimangana mtaniii siyo utatusimanga

  • @bilihudashemnyime1899
    @bilihudashemnyime1899 5 часов назад +2

    Kichwa kidogo lakini hakina akiri

    • @stephanokaaya1881
      @stephanokaaya1881 Час назад

      Wewe mwache msemaji wetu mwenye Kichwa Bora. Boga wewe

    • @Clairehappy24
      @Clairehappy24 7 минут назад

      Mbona umemsikiliza tulia dawa ikuingie kijana😂

  • @phaustinemmao424
    @phaustinemmao424 6 часов назад +4

    Babaa

  • @petermchami1164
    @petermchami1164 3 часа назад +2

    Safi sana msemaji wetu wewe msemaji wamafanikio huna baya msemaji mwenye nyota Yako sio like semaji la kolo anamikosi anaitwa lopolopo

  • @deuspastory1814
    @deuspastory1814 5 часов назад +1

    Hakuna wa kuchukua uhai wa mtu, msimamizi na mamlaka ya mwisho. Ni MUNGU.
    Mpira wa sasa ni pesa. Siyo uchawi.

  • @aloycemaarifa8603
    @aloycemaarifa8603 3 часа назад +2

    Endelea kusema waendelee kuumia ndugu

  • @Suma21Melody
    @Suma21Melody 6 часов назад +1

    Ukisikia mbwata ndio hiyo sasa

  • @seifayoub3203
    @seifayoub3203 Час назад +1

    Dogo unatunyanyasa dah

  • @HashimBinlaibu
    @HashimBinlaibu 5 часов назад +1

    Povu halitoshi lunyasi semaji liko vizuri kama vipi mkajinyonge

    • @SalvatoryMtunga
      @SalvatoryMtunga 5 часов назад

      Alizimia kwa furaha baada ya yanga kuwafunga dunduka 5 _ 1.

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 4 часа назад +1

    Sio poa kugusia kibarua cha mtu unapoongelea jadi

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 Час назад

    Umshukuru mume wako kayoko. Jana ungekunya uwanjani

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 6 часов назад +3

    Kila jambo na wakati wake hatujamsahau Manchi bhaaana

  • @peterzacharia3321
    @peterzacharia3321 5 часов назад +1

    Wewe ndiyo wa hovyooo sana acha ntu afanye kazi yake mpuuzi

  • @RobertAlyce
    @RobertAlyce 30 минут назад

    Wasikutishe mwanetu hao vitorondo hawanajipya vifuuu hao

  • @frankkasigwa5256
    @frankkasigwa5256 5 часов назад +1

    Tatizo sisi Simba tunajimaliza sana maneno mengi kuliko vitendo tupige kimya kimya kama pre sesozin

  • @SospeterPeter-q7n
    @SospeterPeter-q7n 22 минуты назад

    Dunduka kudadeki wanakibalu

  • @lonesomekabora5547
    @lonesomekabora5547 3 часа назад

    Derby bado zipo nyingi wala usikimbilie Bunju closed door hiyo siku mbona hata haiko mbali Bado kuna Mzunguko mmoja Bado kuna CRDB bado yapo Mashindano Mengi ya derby wewe kaa kutulia

  • @Shadia544
    @Shadia544 4 часа назад +1

    Sema la taifa 😂😂😂😂makolo sasa wameingia kwenye mfumo 😂😂😂😂Ila supu😂😂😂

    • @BS126
      @BS126 4 часа назад

      Shadia na huku upo 😂😂

    • @Shadia544
      @Shadia544 4 часа назад +1

      @@BS126 nipo na huku pia kipenzi 🤣🤣🤣

    • @BS126
      @BS126 4 часа назад

      @@Shadia544 mefurahi kukuona

    • @Shadia544
      @Shadia544 4 часа назад

      @@BS126 ata miee pia nimefurahi sana kumuona ❤️

  • @rukundojeanaime5074
    @rukundojeanaime5074 6 часов назад +1

    Ali kamwe pewa mauwa yako

  • @gaudencehyera1475
    @gaudencehyera1475 6 часов назад +2

    Dogo unapenda kusema maneno ya hovyooooooooo, Ulizimia Dogooooo

  • @IbrahimJuma-k6e
    @IbrahimJuma-k6e 5 часов назад

    Siku ya kuolewa

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu 6 часов назад +2

    Sasa goli lilifungwa na nani

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 5 часов назад +1

      suala si goli lilifungwa na nani bali GOLI LIMEFUNGWA AU HALIKUFUNGWA? FAHAMU TU KWAMBA: "KAMA HUJAWEKWA UNAJIWEKA"🤣😂🤣😂🤣

    • @saidsalim851
      @saidsalim851 4 часа назад +1

      Unateseka ukiwa maeneo ya wapiii?
      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @IbrahimJuma-k6e
    @IbrahimJuma-k6e 5 часов назад

    Inakuusu nn mbn xhobo

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 27 минут назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @hassanomar8157
    @hassanomar8157 5 часов назад

    Acha usenge pumbaff

    • @saidsalim851
      @saidsalim851 4 часа назад

      😂😂😂😂😂😂😅
      Unateseka ukiwapii?

  • @respiciusmugezi8645
    @respiciusmugezi8645 58 минут назад

    Kocha anakuusu nn wewe?

  • @ibrahimmwaitege4720
    @ibrahimmwaitege4720 3 часа назад

    Utoto mwingi mno maneno yako mtu wa soka hawezi kusikiliza

    • @DENISMAKALA
      @DENISMAKALA Час назад

      Kweli kabisa kaka anaongea utoto sisi watu wa soka tutawasikiliza wale wazee wa Simba wa hovyooo

  • @ronaldgaudensi
    @ronaldgaudensi 6 часов назад

    Wewe nyamaza wewe mtoto

    • @lonesomekabora5547
      @lonesomekabora5547 3 часа назад

      Atanyamaza tu derby Bado zipo nyingi sahivi Mwacheni apige yowe kimya kingi kinakuja si alipiga kelele za Kagoma hapa hadi documents za kufoji sahivi kikowapi haongei tena habari za Kagoma anasema job apige kiatu 😂😂

    • @DENISMAKALA
      @DENISMAKALA Час назад

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅mwache aongeee tatizo ingeneer hersi na GSm usajili

  • @IbrahimJuma-k6e
    @IbrahimJuma-k6e 5 часов назад

    Inakuusu nn mbn xhobo

  • @jiimahaba7274
    @jiimahaba7274 Час назад

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @IbrahimJuma-k6e
    @IbrahimJuma-k6e 5 часов назад +1

    Inakuusu nn mbn xhobo