Alimbeba nani mbona hufafanui vikaeleweka? Naona unaangalia upande mmoja tu! Umesahau penati na goli la Ki Aziz ambayo matukio yote refa alikausha? Hem hesabu kwa vidole vyako leo zingekuwa ngapi? Timu dunduka haikuwa na any clear chance dakika 90 za mchezo dhidi ya timu iliyokuwa na clear chances za kutosha kuipa ushindi, halafu mswahili mmoja anazungumza habari ya kubebwa. Shangaza kweli wewe!!!
MMESHINDA LAKINI MBONA HAMNA FURAHA ?. KIKOSI KIMEUNDWA UPYA HATA MECHI 6 HAKIJACHEZA MNAFUNGA GOLI MOJA HAMJUI KAMA MMESHUKA KIWANGO HAPO??WACHEZAJI WENU WOTE UKIMUP DOA BOKA WANAUZOEFU WA DABI INAWASHINDAJE NANE NANE❤❤❤❤❤❤
😂😂ila bongo Rahaa Sana et mwaaaah😂 ila mwijaku punguza miemko bs ata Kama unatafuta trending huu n uchawa ulio pita mbn umekuwa kwl unaweka ahad ya MKE bro pungunza ka ujinga😂😂😂
Acha udunduka wako kama goli kufunga ni rahisi tangu kipind cha kwanza mbona hujasawazisha Sasa dk 90 zimeisha Na Refa kawabeba Goli la Aziz Ki limekataliwa lingekuwa la ngapi??
YANGA BINGWA✊
Kachukue mke wako kwa mwijaku
😂😂😂
Kweli kabisa tukachukue totoz😂😂😂
mtani kachukue mke now tulale nae ata usiku mmoja Daima mbele nyuma mwiko this is YANGA usisite
😅😅😅
Yanga wel done
Alhamndulilah
Ila master Gamondi bwana eti "Mtoto kautaka......."
Kashakua mswahili😂😂
@@rehemangondya264 umeonaeeeh
Wanamfundsha ushenz kocha😅
Hahaha gamond kashakuwa mhuni
NYIE NYOTE MADEGE❤❤❤❤❤
Mwijaku yukoap 2namtakq wifi yetu kwa udi na uvumba atuna utani nam2 tunasomba vikombe vyote hatakama vingine avina mikono yabia(miguuu ya bia)🤣🤣🤣
Kaweka mbwa getini kwake kasharudi kwake 😂😂😂
Achukuliwe tuuu😂😂😂😂
Matamshi ni Taraka iliyotuka kwa mujibu wa Hotba Sahihi za Ndoa na Taraka.
Mke wetu😂😂😂😂😂😂😂😂
Uislam unakubali hili bila shaka , na hapa hana mke mwijaku ndo ilivyo
Ally kamwe bwanaa
Mwijaku tunataka xhemej yetu
Wifi tunae na tunatamba nae😂😂😂
Mbona kavaa jezi ya simba
Mtoto kautaka
Kamchukue mkeo wako💛💚🧡 mwananchiii
Tunataka mke wetu 😅😅😅😅
Allaah Akbar
Wasiliana na aliyeahidi kukupa mkewe!!!
Sio kawaida yake kuwa hivi kwa kumfunga kolo
Yanga Bingwa 🎉🎉🎉🎉
Kamchukue mkeo kwa mwijaku uko
Mwijaku mpe Ally Kamwe mke wako.Ahadi ni deni.
Yanga bingwa
Refa kawabeba sana piga 4awana kitu tunasubr kwenye ligi
Alimbeba nani mbona hufafanui vikaeleweka? Naona unaangalia upande mmoja tu! Umesahau penati na goli la Ki Aziz ambayo matukio yote refa alikausha? Hem hesabu kwa vidole vyako leo zingekuwa ngapi? Timu dunduka haikuwa na any clear chance dakika 90 za mchezo dhidi ya timu iliyokuwa na clear chances za kutosha kuipa ushindi, halafu mswahili mmoja anazungumza habari ya kubebwa. Shangaza kweli wewe!!!
Kwakweli kabebejiko kaka
Kesho tunaenda kumchukuwa mke wa mwijaku 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wana YANGA twendeni kwa mwijaku hili hiwe fundisho tukamchukuwe mke wa ali kamwe
Mke niwadhaman kuliko mpira ila una weka dhamani kwenye mpira kuliko mke pole sana 😮😢
Mtoto kautaka na kaupata wa motooooo safi
Mwendee na matarumbeta umchukuwe aache kufanya mchezo nafamilia
MMESHINDA LAKINI MBONA HAMNA FURAHA ?. KIKOSI KIMEUNDWA UPYA HATA MECHI 6 HAKIJACHEZA MNAFUNGA GOLI MOJA HAMJUI KAMA MMESHUKA KIWANGO HAPO??WACHEZAJI WENU WOTE UKIMUP DOA BOKA WANAUZOEFU WA DABI INAWASHINDAJE NANE NANE❤❤❤❤❤❤
YANGA BINGWA!
😂😂😂😂chizi kweli
Ally kamwe
Usisahau kuchukua mkeo Kwa mwijaku
Tunataka mke wetu
Haina shida semaji tunakuchangia kaka kachukue nyama zile
Jamn twendeni tukamchukue wifi yetu 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂wachezaji wa shirikisho 😅😅😅
Na ndio refa kawabeba 😅 lkn zingekua 4 bila😅
We Ali kamwe wee😂ety mtot kafanyaje
😂😂ila bongo Rahaa Sana et mwaaaah😂 ila mwijaku punguza miemko bs ata Kama unatafuta trending huu n uchawa ulio pita mbn umekuwa kwl unaweka ahad ya MKE bro pungunza ka ujinga😂😂😂
😂😂😂oyaa tunamwitaji wife wetu koloww
Yanga mbona mwendo wa nyeupe
Ila alikamwe😁😁
Kumeanza kuchangamka 😂😂
WiFi tunaye na tunatamba nae
Mtoto kautakaaaa
Wow guvu saaana
Mke we2 vp kwa mwijaku?
Vipi nabii wa uwongo mashimo?
Tunata mke wetu
Kwahiyo mwijaku alambe uroda mar ya Mwsho mwsho
Ila @alikamwe 😂😂😂
Kachukuwe mkeo semaji letu
Huyu jamaa Bora aendele tu manala anagetulia tu hmna anae mtaka
mtoto ksutakaaaaa
Nenda baba kabeba jiko
Mkisha chukua kombe mdio mlete maneno
😂😂😂😂 wifi
😂😂😂😂😂😂
UBAYA UBWEGE 😂😂😂
Namimi ntakuwepo
Kamchukue umle hd kunduchi
Mwenye kiti wa semaji, mwinjaku asipokukabidhi make basi mbebe yeye mwenyewe! Tumemuona clip analinda mbwa wakati ahadi alitoa mwenyewe!!!
Kachukue mke wako bana
Ww piga kelele
Mke mwenyewe isije ikawa kashindwa kumtuza anakubambika wewe!
Mtotooooo kautaka 😂
Ali kspoa san hatujakuzoea hivi
Ka msikilize Kasongo yan apo anaongea na hufu maana ukiteleza tu unafungiwa ama unatozwa faini
Ushidi wa shida kwa timu ambayo bado hata wachezaji hajazoana kwa majina si mlisema magoli yange kuwa zaidi ya 4 yako wapi 🤣🤣
Debora fc
😂😂😂😂😂 mmeanza kubadili maneno
Acha udunduka wako kama goli kufunga ni rahisi tangu kipind cha kwanza mbona hujasawazisha Sasa dk 90 zimeisha Na Refa kawabeba Goli la Aziz Ki limekataliwa lingekuwa la ngapi??
Mbona hukupata la kusawazisha kwa shida ww😊😊😊
Kwa hiyo? Timu ilipelekwa uwanjani kufanya Nini, si ingepelekwa maonesho ya wakulima nanenane? Acha vijisababu vya kitoto!
😂😂😂 semaji unajua kukera wewe
unaumwa na wazee wako kesho wapelekee panado soka la ubaya ubwela limepigwa bwana mshukuruni sana refa
Umezidiwa kila sehehemu unasemaje mlikamia kipind Cha kwanza ...Cha pili mkakata moto in shorty pumzi watoto wenu ilikua imekata
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
😂😂😂 mtoto ka utakaaaaaaa
wee mshamba tuh hauna jipya fala wewe
Mwijaku kokote ulipo kescho mbeki kwako
Mtoto kautaka