Yanga 1-0 Simba | Uchambuzi wa Mbwaduke na Muro baada ya mechi | Ngao ya Jamii 08/08/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • Je, ilistahili kuwa penati? na vipi kuhusu 'goli' la Aziz Ki?.
    Wote wamekubaliana kwamba Simba walistahili kupewa penati na Yanga walinyimwa goli halali.....
    Sikia maoni ya wachambuzi Ramadhan Mbwaduke na Godlisten Muro kuhus matukio makubwa yaliyozua utata katika mchezo huu wa nusu fainali kati ya Yanga vs Simba uliopigwa leo Nanenane kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam.

Комментарии • 102

  • @Johnmalekela
    @Johnmalekela Месяц назад +9

    Mwamuzi kabolonga ila na goli la azizi ki ni goli,mmi simba ila kuna matukio kashindwa ku amua

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Месяц назад +2

    Acheni kujidharilisha, Kajiri hakuwa ktk mwelekeo wa mpira, bali alifuata possible collision, lakin mguu wai boka ulikuwa ktk mwelekeo wa mpira.

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉ya leo kali sanaaaa

  • @halidmaunga9150
    @halidmaunga9150 Месяц назад +2

    MURO HAPO HAUPO SAWA BEKI AMEGUSA MPIRA KABLA YA MWILI WA FORWARD

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Месяц назад

    Hongereni

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Месяц назад

    Simba wanakula msumali Simba wanakula chuma Simba wanakula Bomba baraka mpemja anauzi Sana!

  • @josephlumwecha
    @josephlumwecha Месяц назад +1

    Wachambuzi hao wawili bora sa

  • @wilhardgama8818
    @wilhardgama8818 Месяц назад +1

    Kwani Penalt na goli la Aziz hujiulizi na hiyo VAR

  • @AziziManyama
    @AziziManyama Месяц назад

    Ongera yanga

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 Месяц назад +1

    Alipo Aziz mkono wake upo nje ya mwili wa beki wa Simba

  • @omaraonasir4361
    @omaraonasir4361 Месяц назад +2

    Hiyo haikuwa penati,ukiangalia vizuri boka hakucheza mwili wa kijiri,that was a fifty fifty situation

  • @brianrichard2125
    @brianrichard2125 Месяц назад

    magari bora njoo ista ya OBY STAR AFRICA LIMITEDI

  • @brianrichard2125
    @brianrichard2125 Месяц назад +1

    uwagizaji na ukopaji wa magari makubwa na madogo njoo ISTA ya OBYSTAR AFRICA LIMITEDI

  • @haidarykufakunoga8869
    @haidarykufakunoga8869 Месяц назад

    Huyu Mtangazaji alitaka kupotezea issue ya Goal la AZIZ KI🤣🤣

  • @rajabukimosa3377
    @rajabukimosa3377 Месяц назад +2

    Huyu Refa alikuwa Mpuuzi sana, Nadhani alipewa Maelekezo ya kuyabeba Makolo, Yanga wakiumizwa Hakuna faulo lkn Makolokwinyo watoto wa Karia anaweka Adhabu na kadi, na kama mnasema Penati vipi penati ya Azizi, kusukumwa Dube, Magoli mawili yaliyokataliwa?

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 Месяц назад

      Kumbe uliiona Hilo na wewe ila wamshukuru sana refa licha ya magoli mawili kukataliwa na penati za yanga

    • @inocentlukumay767
      @inocentlukumay767 Месяц назад

      We ni fala

  • @ministererickluhanga810
    @ministererickluhanga810 Месяц назад +2

    Magori ya offside swali limeulizwa lakn hayajazungumziwa offside ya Dube Na Azizi key nyie mnaona pelnat tu 😂😂😂

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 Месяц назад +1

    Mbona goli la azizi k hamsemi penalty ya Aziz k pia hamsemi

    • @ismailabbas4197
      @ismailabbas4197 Месяц назад

      Goli la Azizi lilikuwa halali kabisa lakini ile haikuwa penalty sababu alianza kuruka kabla hajaguswa na alipiga hatua moja,, yani kwa Sheria ya soka ilitakiwa apigwe na card ya njano kwa kumuhadaa mwamuzi Kama ile mechi yenu na Red Arrows mwamuzi alimpiga njano yapili beki wa red arrows ikazaa red card♦️. ila kuna penalty halali ya Kijili mwamuzi akameza filimbi nayo hukuiona???

  • @DanielGaspel
    @DanielGaspel Месяц назад +1

    Azam acheni unazi mbona magoli yaliyo kataliwa hamuongei

  • @saidjuma6229
    @saidjuma6229 Месяц назад

    Mkono hauwi offside

  • @HushudaMbingi
    @HushudaMbingi Месяц назад

    Yote kwa yote ma refa wamezingua sana 😢

  • @SamuelMatalu
    @SamuelMatalu Месяц назад +1

    Hizo takwimu za kona zina yanga kona 1 simba kona 5 zina maana gani ? Muro naomba unifahamishe lakini pia anglia hiyo off -side taxama mkono wa aziz ki. Sawa nyie ni wachambuzi, lakinki kama ni hivi kila leo mtakuwa mkiitwa wachambuzi maandazi

    • @user-bv8qn2cb7v
      @user-bv8qn2cb7v Месяц назад

      Unaujua mpir ww au tuliz ach ushbiki angalia reality

  • @HenryNdaigaTanzania
    @HenryNdaigaTanzania Месяц назад

    Mimi nafikiri yanga nasimba mechi zawenyewe kwawenyewe ndizo zitakazo amua bingwa

  • @user-qn9ip4bx2y
    @user-qn9ip4bx2y Месяц назад

    Mm naona Simba tuna wachezaji wazur ila kocha uyu kiwango chake kidogo Sana

    • @runzi7398
      @runzi7398 23 дня назад

      Mapema sana kujaji hata kuandaa kikosi cha kwanza chenyewe naona bado

  • @kareemdelwary2139
    @kareemdelwary2139 Месяц назад

    Jamani naombeni nisaidieni mkono ukizidi ni ofsaide au hapana

  • @mussastephano4938
    @mussastephano4938 Месяц назад +1

    pia mbona hamuoni mchezaki wa Simba aliyeruka kwa weka mikono mabegani kumpanda BAKA. Kajiri alikuwa Bado hajafika ktk mpira na alifuata mguu ulipo. mmekaa kimya magori ya wazi yaliyokataliwa pia penati na red card ambapo Aziz akiwa mtu wa mwisho aligongwa. pia mzize akibaki kipa alihesabiwa kasukuma kwa beki kujigknga ktk mabega.

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Месяц назад +1

    Ndo maana refa kawasaidia kupunguza magoli

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 Месяц назад +1

    Kijiri hakuwahi kumiliki mpira penalti inatokea wapi hapo?

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 Месяц назад +1

    Huyu host aache kujaribu kubalance😂😂😂

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад +1

      SIMBA HUYO Anakwepa hadi mbwaduke kamkumbushia goli la Azizi ki, yy alivyo Angeles khs Penalty tu akaamia kwenye mechi ya Fainali na Azam 😄 😆,,

  • @user-ex9xv4bl7u
    @user-ex9xv4bl7u Месяц назад

    Alizd mkono

  • @vintz338
    @vintz338 Месяц назад +11

    Takwim za Azam kunamda hazina uhalisia

    • @mosesjacksonkarashani2642
      @mosesjacksonkarashani2642 Месяц назад +4

      Wanapenda kubalance! Ujinga mtupu😂😂

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +2

      Tupe zako kiongozii 😂😂😂 au vigezo unavijua ??

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +2

      Viungo wa udundukani wanapiga back passes Sana.... Kwangu Mimi ... Deborah ni Ngoma mwenye Rasta ntakuja kuniambia

    • @hamzanangameta6243
      @hamzanangameta6243 Месяц назад +1

      Unajua kiongozi, wana balance statistics kama TFF

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      @@hamzanangameta6243 😜😜😜

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Месяц назад

    Refa amefer Simba yetu itakaa vizur tuipe mda

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 Месяц назад

    Na ya aziz ki hamjaiyona penalty

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Месяц назад

    Refa kapaliwa na mchezo kuanzia kipindi cha kwanza

  • @Kibudu
    @Kibudu Месяц назад +1

    Dawa yenu ni kuwashona tu,,,😂😂

  • @WillyKanjanja-se6oq
    @WillyKanjanja-se6oq Месяц назад +1

    Mpira boka aliugusa angalieni muelekeo wa mpira

  • @Gdjn974
    @Gdjn974 Месяц назад

    Refa hana kiwango

  • @RamadhaniShabani-t2z
    @RamadhaniShabani-t2z Месяц назад

    wachambuz waktazania washabik sana ningependa Zaid wachambuz wawe wachezaj walocheza mpira ndomana ulaya ukut wachambuz wahivi

  • @emmanuelkirumi7534
    @emmanuelkirumi7534 Месяц назад

    Wachambuzi angalieni fred kabla ya kijili hajashika mpira, fred alitumia ngazi kwa mabeki wa yanga ili kucheza mpira hivyo fred alifanya faulu ambayo mwamuzi alitakiwa kutoa faida kwa yanga

  • @nasibumsakachake8868
    @nasibumsakachake8868 Месяц назад

    Kumbe mkono unapokuwa mbele sio offside sikuhizi

  • @khamisisima711
    @khamisisima711 Месяц назад

    Mbona hamzungumzii penalty ya Azizi Ki
    Na goli alilofunga?

  • @user-me2qh9so1z
    @user-me2qh9so1z Месяц назад

    Wazinguajii mmmmmmh takwimu uongo mtupu

  • @bahatimakenzi
    @bahatimakenzi Месяц назад +3

    Walisema Kuna VAR Sasa hiyo penalty ya boka na kijili dkk ya 92 vip??

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад +2

      Ndio ulicho ona tu? GOLI LA AZIZI KI VIPI?,,,, Penalty unaweza fungal au ukakosa ila goli la Azizi lilikuwa lishaingia na Akuna Offside,, la pacome kidogo alizidi mpiga pasi alichelewa,, sasa ukiulizia Matukio yaongelee yote au uliishiwa data ukaona tukio la Penalty tu? 😂😂😂😂

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 Месяц назад

      Sio penati boka aliecheza mpira contact ikafatia baadae

    • @bahatimakenzi
      @bahatimakenzi Месяц назад

      @@radhiamussa1629 mpira ilikuwa chini boka alipelika mguu kifuani

    • @user-iw4mx7tu7p
      @user-iw4mx7tu7p Месяц назад

      Na vipi kuhusu offside ya Ki aziz

    • @bahatimakenzi
      @bahatimakenzi Месяц назад

      Mkono Babu mkono@@user-iw4mx7tu7p

  • @IsayaKisyeri
    @IsayaKisyeri Месяц назад

    Wachambuzi mnaharibu taswira ya mpira hiyo penaltie itolewe kwa kuzingatia kigezo. Gani? Kabla ya tukio baka alitumiwa kama ngazi kuashiria kuwa ni madhambi hamlisemi na boka kufanya madhambi mwalimu aliacha advantage

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Месяц назад

    Tunaomba Erisasi asichezeshe yanga yetu tuta muumiza bure

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Месяц назад

    Anatukera sana wana yanga

  • @nyahegasangi245
    @nyahegasangi245 Месяц назад

    Tunakubali yanga ameshinda ila wamelindwa na mwamuzi ktk penant ya dhidi ya Simba,ukweli Mnyama kahujumiwa

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 Месяц назад

      Hujuwi hata mpira wewe pole sanaa

    • @mwajayhaxxan5507
      @mwajayhaxxan5507 Месяц назад

      Huna aibu ww dunduka,, mlikua mnakufa goal 4 leo​@@zakariamalembela3974

    • @NeemAmianaMramiFamily
      @NeemAmianaMramiFamily Месяц назад

      Mbona dube pia alivutwa ndani ya penalty box refa akapeta na goli la pacome mshika kibendera kazengua na goli la Aziz k mshika kibendera kazengua mammaee

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 Месяц назад

      ​@@mwajayhaxxan5507 4 kwa 1 bado shida ipo pale pale

  • @BarakaIsasi-vn5my
    @BarakaIsasi-vn5my Месяц назад

    Kwan hyo var ilikua ya mchongo

  • @AbuubakarAli-n2d
    @AbuubakarAli-n2d Месяц назад

    Kam ni penalty tufanyen mesh imeisha moja moja 🤣🤣🤣

  • @idelphoncefrolian9067
    @idelphoncefrolian9067 Месяц назад

    KIUKWELI WACHAMBUZI MNAJIDHARIRISHA SANA AISEEEE HADI NYIE NILIOKUA NINA WAAMINI SO HAMUIIONI OFFSIDE HAPOOOO DAAAAAAAAAAAHH NI AIBU KWAKWELIIII VIDEO IMEGANDISHWA KIMCHONGO ITS CLEAR OFFSIDE

    • @ShawnBeatz
      @ShawnBeatz 18 дней назад

      😂😂😂 kaka unajua boli kweli au ndo mapenz ya timu

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Месяц назад

    Wachambuz huy utopolo hana lolote anatufunga Simba kwa uchawi

    • @zakariamalembela3974
      @zakariamalembela3974 Месяц назад

      Endelea kuota daily, tulimis mateso yenu sasa yameanza kurejea.

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Месяц назад +1

    Nyie wachambuzi ni wapuuzi Dube amefanyiwa foul pia ndani ya box na lile Goal ni sahihi lakini hamtilii mkazo .Hapo Bado Kuna boga Moja linalojiita mzee wa kipyenga Cha Cha mwisho tunamsubiri na ujinga wake

  • @shemsiajuma9113
    @shemsiajuma9113 Месяц назад

    Nyinyi nyote yanga utopolo hamna lolote kazi uchambuzi wenu feki ni kupendelea yanga tu 😮

  • @robsonwilliam8301
    @robsonwilliam8301 Месяц назад

    Yani nyie washamba TU, matukio ya yanga yaliyohujumiwa mbona hamleti, mbwa nyie

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Месяц назад

    We mpira haupimwi hivyo wewe vipi?

  • @Ezeqsweya1116
    @Ezeqsweya1116 Месяц назад +1

    Mkono ulizid kabisa😂

  • @peacerichard8970
    @peacerichard8970 Месяц назад

    Mbona magoli yasiyo ya offside hamyasemi?

  • @LubidinhoSamwel
    @LubidinhoSamwel Месяц назад +2

    simba inaenda kuwa bora kuliko timu yeyote hapa Afilrica
    nyinyi hamuwez kujua hiki nasema ila mtakuja kuzungumza wenyewe japo saiv mnamsema simba nimbovo saw
    ila SIMBA NGUVU MOJA💪

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Месяц назад

      Kaka itakuwa hatari saaana sana Simba

    • @oswiitvonline6514
      @oswiitvonline6514 Месяц назад +1

      Endelea kuamin hivyoo ila nenda kwanz ukachez mshindi wa tatu

    • @mwanangusana
      @mwanangusana Месяц назад +1

      @@LubidinhoSamwel ukipata muda kaipitie iyo game uone vzr .... Maana hakuna kitu Cha maana mlichokifanya 🤣🤣🤣

    • @saidbakari2408
      @saidbakari2408 Месяц назад

      @@oswiitvonline6514 alisikika mmoja wa wanywa supu ya kibudu

    • @radhiamussa1629
      @radhiamussa1629 Месяц назад +1

      Kipindi hicho mnakuwa Bora yanga wanabakia wapi