Yanga 1-0 Simba | Uchambuzi wa Mbwaduke na Muro baada ya mechi | Ngao ya Jamii 08/08/2024
HTML-код
- Опубликовано: 9 сен 2024
- Je, ilistahili kuwa penati? na vipi kuhusu 'goli' la Aziz Ki?.
Wote wamekubaliana kwamba Simba walistahili kupewa penati na Yanga walinyimwa goli halali.....
Sikia maoni ya wachambuzi Ramadhan Mbwaduke na Godlisten Muro kuhus matukio makubwa yaliyozua utata katika mchezo huu wa nusu fainali kati ya Yanga vs Simba uliopigwa leo Nanenane kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Dar es Salaam.
Mwamuzi kabolonga ila na goli la azizi ki ni goli,mmi simba ila kuna matukio kashindwa ku amua
Well said mtani
Mfyuuuuuu eti Simba labda Simba dangonge
Labda simba wa porin
Kama wewe simba ile penarti ya kijili achaufala utopolo wee
@@VentureJoelmwambie
Acheni kujidharilisha, Kajiri hakuwa ktk mwelekeo wa mpira, bali alifuata possible collision, lakin mguu wai boka ulikuwa ktk mwelekeo wa mpira.
🎉🎉🎉🎉🎉ya leo kali sanaaaa
MURO HAPO HAUPO SAWA BEKI AMEGUSA MPIRA KABLA YA MWILI WA FORWARD
Hongereni
Simba wanakula msumali Simba wanakula chuma Simba wanakula Bomba baraka mpemja anauzi Sana!
Wachambuzi hao wawili bora sa
Kwani Penalt na goli la Aziz hujiulizi na hiyo VAR
Ongera yanga
Alipo Aziz mkono wake upo nje ya mwili wa beki wa Simba
Hiyo haikuwa penati,ukiangalia vizuri boka hakucheza mwili wa kijiri,that was a fifty fifty situation
Duh, huo ndo umaandazi sasa
magari bora njoo ista ya OBY STAR AFRICA LIMITEDI
uwagizaji na ukopaji wa magari makubwa na madogo njoo ISTA ya OBYSTAR AFRICA LIMITEDI
Huyu Mtangazaji alitaka kupotezea issue ya Goal la AZIZ KI🤣🤣
Huyu Refa alikuwa Mpuuzi sana, Nadhani alipewa Maelekezo ya kuyabeba Makolo, Yanga wakiumizwa Hakuna faulo lkn Makolokwinyo watoto wa Karia anaweka Adhabu na kadi, na kama mnasema Penati vipi penati ya Azizi, kusukumwa Dube, Magoli mawili yaliyokataliwa?
Kumbe uliiona Hilo na wewe ila wamshukuru sana refa licha ya magoli mawili kukataliwa na penati za yanga
We ni fala
Magori ya offside swali limeulizwa lakn hayajazungumziwa offside ya Dube Na Azizi key nyie mnaona pelnat tu 😂😂😂
Mbona goli la azizi k hamsemi penalty ya Aziz k pia hamsemi
Goli la Azizi lilikuwa halali kabisa lakini ile haikuwa penalty sababu alianza kuruka kabla hajaguswa na alipiga hatua moja,, yani kwa Sheria ya soka ilitakiwa apigwe na card ya njano kwa kumuhadaa mwamuzi Kama ile mechi yenu na Red Arrows mwamuzi alimpiga njano yapili beki wa red arrows ikazaa red card♦️. ila kuna penalty halali ya Kijili mwamuzi akameza filimbi nayo hukuiona???
Azam acheni unazi mbona magoli yaliyo kataliwa hamuongei
Mkono hauwi offside
Yote kwa yote ma refa wamezingua sana 😢
Hizo takwimu za kona zina yanga kona 1 simba kona 5 zina maana gani ? Muro naomba unifahamishe lakini pia anglia hiyo off -side taxama mkono wa aziz ki. Sawa nyie ni wachambuzi, lakinki kama ni hivi kila leo mtakuwa mkiitwa wachambuzi maandazi
Unaujua mpir ww au tuliz ach ushbiki angalia reality
Mimi nafikiri yanga nasimba mechi zawenyewe kwawenyewe ndizo zitakazo amua bingwa
Mm naona Simba tuna wachezaji wazur ila kocha uyu kiwango chake kidogo Sana
Mapema sana kujaji hata kuandaa kikosi cha kwanza chenyewe naona bado
Jamani naombeni nisaidieni mkono ukizidi ni ofsaide au hapana
pia mbona hamuoni mchezaki wa Simba aliyeruka kwa weka mikono mabegani kumpanda BAKA. Kajiri alikuwa Bado hajafika ktk mpira na alifuata mguu ulipo. mmekaa kimya magori ya wazi yaliyokataliwa pia penati na red card ambapo Aziz akiwa mtu wa mwisho aligongwa. pia mzize akibaki kipa alihesabiwa kasukuma kwa beki kujigknga ktk mabega.
Ndo maana refa kawasaidia kupunguza magoli
Kijiri hakuwahi kumiliki mpira penalti inatokea wapi hapo?
Huyu host aache kujaribu kubalance😂😂😂
SIMBA HUYO Anakwepa hadi mbwaduke kamkumbushia goli la Azizi ki, yy alivyo Angeles khs Penalty tu akaamia kwenye mechi ya Fainali na Azam 😄 😆,,
Alizd mkono
Takwim za Azam kunamda hazina uhalisia
Wanapenda kubalance! Ujinga mtupu😂😂
Tupe zako kiongozii 😂😂😂 au vigezo unavijua ??
Viungo wa udundukani wanapiga back passes Sana.... Kwangu Mimi ... Deborah ni Ngoma mwenye Rasta ntakuja kuniambia
Unajua kiongozi, wana balance statistics kama TFF
@@hamzanangameta6243 😜😜😜
Refa amefer Simba yetu itakaa vizur tuipe mda
Na ya aziz ki hamjaiyona penalty
Refa kapaliwa na mchezo kuanzia kipindi cha kwanza
Dawa yenu ni kuwashona tu,,,😂😂
Mpira boka aliugusa angalieni muelekeo wa mpira
Refa hana kiwango
wachambuz waktazania washabik sana ningependa Zaid wachambuz wawe wachezaj walocheza mpira ndomana ulaya ukut wachambuz wahivi
Wachambuzi angalieni fred kabla ya kijili hajashika mpira, fred alitumia ngazi kwa mabeki wa yanga ili kucheza mpira hivyo fred alifanya faulu ambayo mwamuzi alitakiwa kutoa faida kwa yanga
Kumbe mkono unapokuwa mbele sio offside sikuhizi
Mbona hamzungumzii penalty ya Azizi Ki
Na goli alilofunga?
Wazinguajii mmmmmmh takwimu uongo mtupu
Walisema Kuna VAR Sasa hiyo penalty ya boka na kijili dkk ya 92 vip??
Ndio ulicho ona tu? GOLI LA AZIZI KI VIPI?,,,, Penalty unaweza fungal au ukakosa ila goli la Azizi lilikuwa lishaingia na Akuna Offside,, la pacome kidogo alizidi mpiga pasi alichelewa,, sasa ukiulizia Matukio yaongelee yote au uliishiwa data ukaona tukio la Penalty tu? 😂😂😂😂
Sio penati boka aliecheza mpira contact ikafatia baadae
@@radhiamussa1629 mpira ilikuwa chini boka alipelika mguu kifuani
Na vipi kuhusu offside ya Ki aziz
Mkono Babu mkono@@user-iw4mx7tu7p
Wachambuzi mnaharibu taswira ya mpira hiyo penaltie itolewe kwa kuzingatia kigezo. Gani? Kabla ya tukio baka alitumiwa kama ngazi kuashiria kuwa ni madhambi hamlisemi na boka kufanya madhambi mwalimu aliacha advantage
Tunaomba Erisasi asichezeshe yanga yetu tuta muumiza bure
Anatukera sana wana yanga
Tunakubali yanga ameshinda ila wamelindwa na mwamuzi ktk penant ya dhidi ya Simba,ukweli Mnyama kahujumiwa
Hujuwi hata mpira wewe pole sanaa
Huna aibu ww dunduka,, mlikua mnakufa goal 4 leo@@zakariamalembela3974
Mbona dube pia alivutwa ndani ya penalty box refa akapeta na goli la pacome mshika kibendera kazengua na goli la Aziz k mshika kibendera kazengua mammaee
@@mwajayhaxxan5507 4 kwa 1 bado shida ipo pale pale
Kwan hyo var ilikua ya mchongo
Var ya bongo bana inasikitisha sana
Kam ni penalty tufanyen mesh imeisha moja moja 🤣🤣🤣
KIUKWELI WACHAMBUZI MNAJIDHARIRISHA SANA AISEEEE HADI NYIE NILIOKUA NINA WAAMINI SO HAMUIIONI OFFSIDE HAPOOOO DAAAAAAAAAAAHH NI AIBU KWAKWELIIII VIDEO IMEGANDISHWA KIMCHONGO ITS CLEAR OFFSIDE
😂😂😂 kaka unajua boli kweli au ndo mapenz ya timu
Wachambuz huy utopolo hana lolote anatufunga Simba kwa uchawi
Endelea kuota daily, tulimis mateso yenu sasa yameanza kurejea.
Nyie wachambuzi ni wapuuzi Dube amefanyiwa foul pia ndani ya box na lile Goal ni sahihi lakini hamtilii mkazo .Hapo Bado Kuna boga Moja linalojiita mzee wa kipyenga Cha Cha mwisho tunamsubiri na ujinga wake
Nyinyi nyote yanga utopolo hamna lolote kazi uchambuzi wenu feki ni kupendelea yanga tu 😮
kachambuwe wewe
Yani nyie washamba TU, matukio ya yanga yaliyohujumiwa mbona hamleti, mbwa nyie
We mpira haupimwi hivyo wewe vipi?
Mkono ulizid kabisa😂
Very good.
Mkono sio offside
Mbona magoli yasiyo ya offside hamyasemi?
simba inaenda kuwa bora kuliko timu yeyote hapa Afilrica
nyinyi hamuwez kujua hiki nasema ila mtakuja kuzungumza wenyewe japo saiv mnamsema simba nimbovo saw
ila SIMBA NGUVU MOJA💪
Kaka itakuwa hatari saaana sana Simba
Endelea kuamin hivyoo ila nenda kwanz ukachez mshindi wa tatu
@@LubidinhoSamwel ukipata muda kaipitie iyo game uone vzr .... Maana hakuna kitu Cha maana mlichokifanya 🤣🤣🤣
@@oswiitvonline6514 alisikika mmoja wa wanywa supu ya kibudu
Kipindi hicho mnakuwa Bora yanga wanabakia wapi