KARUME SPEECH

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 ноя 2011
  • КиноКино

Комментарии • 28

  • @abdullkilawi5504
    @abdullkilawi5504 8 лет назад +3

    Greater man

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 2 года назад +3

    Anaongea pumba hovyoo damu za watu aliewaua zimemlevya

  • @jumakinenekejo1009
    @jumakinenekejo1009 9 лет назад +3

    du huyu mzee hakuelimika, na yaelekea hakuthamini saana kazi za WATAALAM!!

  • @MyShau
    @MyShau 11 лет назад +2

    watanganyika wataondoka kweli

  • @mwalimuali1850
    @mwalimuali1850 2 года назад +2

    Usimuhukumu mtu ,Allah ndiye mwenye kujua ila Allah atupe hatima njema kwa sote Ameni

  • @qatar137
    @qatar137 4 года назад +3

    سبحان الله الله انتقم منه

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 6 лет назад +1

    Hatokei kaka mana kila siku imani inazidi kudidimia

  • @alimussa2655
    @alimussa2655 5 лет назад

    Nyinyi viongoz wa serekali hebu igeni mfano wa karume sio kazi kula pesa tu zaserekali eli gani munazosoma nyinyi hebu muangalien jembe hili halafu mujichek na elimu zenu

  • @ibrahimmakame5304
    @ibrahimmakame5304 3 года назад +1

    Alikuwa hangoei km msomi km msikilize muhamed shamte UN speech yake.

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga 4 года назад +1

    Kauza nchi mshenzi huyu.

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 года назад

      Kadanganwa NA nyerere kwamba tutakulinda usipinduliwe wakavamia zanzibari NA hawakutoka ikawa zanzibari chini ya ukoloni ya tanganika kijanja janja. Kushtuka tu kashapoteza serekali yake sasa vipi mamlaka ya zanzibari NA historia yake NA elimu yake NA utamaduni wake na uslaam wake imepotea milele NA anaye chimba shemo kwa mwanzake anadumbukia mwenye NA hao yote kukimbilia madaraka NA kupoteza nchi kwa maslaha yao sio hio kusababisha mauaji NA thulma NA kutaifisha mali za watu roho za watu sio mchezo huko kuna hisabu kwa mungu ni uslaam hawana makosa ni raia tu wala sio askari nyerere NA ungereza walieteka nchi

    • @khamisasaa
      @khamisasaa Год назад

      MSHENZI SEIF SHARIF ALITAKA KUIREJESHA NCHI KWA WAARABU LAKINI KASHINDWA

  • @amekhamis8171
    @amekhamis8171 6 лет назад

    Tutamkumbuka sana karume

  • @noflyzonnn
    @noflyzonnn 12 лет назад +1

    Daima ukiwa unacheo kikubwa, basi wajibu wako kutoa uadilifu kwa wote.
    Hakika cheo ni jukumu kubwa sana.
    Usitamani kuwa na cheo. Kasababu ni rahisi sana kufanya maovu na dhulma.
    Yeye na mungu wake. Kama katenda mema au mabaya.

  • @MyShau
    @MyShau 11 лет назад +1

    kwani kati ya muengereza na muarabu nani aliyekuwa mtawala?

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 года назад +1

      Waarbu ni wazaliwa zanzibari kutoka mia tano iliyopita NA wengine mama zao waafrika ni wanainchi tu lakini sasa wazanzibari imetekwa kijeshi NA tanganika yani hamna jipia si afathali waarbu wenye asili ya zanzibari kuliko kutawaliwa NA wakrsto

  • @rashidmwinyi
    @rashidmwinyi 11 лет назад +5

    hatokei tena rais kama karume Zanzibar

    • @inuyashasgirlsmao5084
      @inuyashasgirlsmao5084 7 лет назад +1

      Rashid bin Mwinyi hahaha..unamsifu. muaji.

    • @eliasnavytanga
      @eliasnavytanga 4 года назад +1

      Huyu si ndio aliyeuza Zanzibar? Nchi ilikua na passport na fedha zenu wenyewe. Leo mnahanithiwa na Tanganyika.