Nyinyi viongoz wa serekali hebu igeni mfano wa karume sio kazi kula pesa tu zaserekali eli gani munazosoma nyinyi hebu muangalien jembe hili halafu mujichek na elimu zenu
Kadanganwa NA nyerere kwamba tutakulinda usipinduliwe wakavamia zanzibari NA hawakutoka ikawa zanzibari chini ya ukoloni ya tanganika kijanja janja. Kushtuka tu kashapoteza serekali yake sasa vipi mamlaka ya zanzibari NA historia yake NA elimu yake NA utamaduni wake na uslaam wake imepotea milele NA anaye chimba shemo kwa mwanzake anadumbukia mwenye NA hao yote kukimbilia madaraka NA kupoteza nchi kwa maslaha yao sio hio kusababisha mauaji NA thulma NA kutaifisha mali za watu roho za watu sio mchezo huko kuna hisabu kwa mungu ni uslaam hawana makosa ni raia tu wala sio askari nyerere NA ungereza walieteka nchi
Daima ukiwa unacheo kikubwa, basi wajibu wako kutoa uadilifu kwa wote. Hakika cheo ni jukumu kubwa sana. Usitamani kuwa na cheo. Kasababu ni rahisi sana kufanya maovu na dhulma. Yeye na mungu wake. Kama katenda mema au mabaya.
Waarbu ni wazaliwa zanzibari kutoka mia tano iliyopita NA wengine mama zao waafrika ni wanainchi tu lakini sasa wazanzibari imetekwa kijeshi NA tanganika yani hamna jipia si afathali waarbu wenye asili ya zanzibari kuliko kutawaliwa NA wakrsto
Greater man
Anaongea pumba hovyoo damu za watu aliewaua zimemlevya
du huyu mzee hakuelimika, na yaelekea hakuthamini saana kazi za WATAALAM!!
Juma Kinenekejo ungelimsomesha wewe
Heee hii kali
watanganyika wataondoka kweli
Usimuhukumu mtu ,Allah ndiye mwenye kujua ila Allah atupe hatima njema kwa sote Ameni
Zanzibari lmemezwa kutoka zamani
سبحان الله الله انتقم منه
وفي الاخره عذاب عظيم
Hatokei kaka mana kila siku imani inazidi kudidimia
Nyinyi viongoz wa serekali hebu igeni mfano wa karume sio kazi kula pesa tu zaserekali eli gani munazosoma nyinyi hebu muangalien jembe hili halafu mujichek na elimu zenu
Alikuwa hangoei km msomi km msikilize muhamed shamte UN speech yake.
Kauza nchi mshenzi huyu.
Kadanganwa NA nyerere kwamba tutakulinda usipinduliwe wakavamia zanzibari NA hawakutoka ikawa zanzibari chini ya ukoloni ya tanganika kijanja janja. Kushtuka tu kashapoteza serekali yake sasa vipi mamlaka ya zanzibari NA historia yake NA elimu yake NA utamaduni wake na uslaam wake imepotea milele NA anaye chimba shemo kwa mwanzake anadumbukia mwenye NA hao yote kukimbilia madaraka NA kupoteza nchi kwa maslaha yao sio hio kusababisha mauaji NA thulma NA kutaifisha mali za watu roho za watu sio mchezo huko kuna hisabu kwa mungu ni uslaam hawana makosa ni raia tu wala sio askari nyerere NA ungereza walieteka nchi
MSHENZI SEIF SHARIF ALITAKA KUIREJESHA NCHI KWA WAARABU LAKINI KASHINDWA
Tutamkumbuka sana karume
Daima ukiwa unacheo kikubwa, basi wajibu wako kutoa uadilifu kwa wote.
Hakika cheo ni jukumu kubwa sana.
Usitamani kuwa na cheo. Kasababu ni rahisi sana kufanya maovu na dhulma.
Yeye na mungu wake. Kama katenda mema au mabaya.
Safi sana
kwani kati ya muengereza na muarabu nani aliyekuwa mtawala?
Waarbu ni wazaliwa zanzibari kutoka mia tano iliyopita NA wengine mama zao waafrika ni wanainchi tu lakini sasa wazanzibari imetekwa kijeshi NA tanganika yani hamna jipia si afathali waarbu wenye asili ya zanzibari kuliko kutawaliwa NA wakrsto
hatokei tena rais kama karume Zanzibar
Rashid bin Mwinyi hahaha..unamsifu. muaji.
Huyu si ndio aliyeuza Zanzibar? Nchi ilikua na passport na fedha zenu wenyewe. Leo mnahanithiwa na Tanganyika.