MZEE ABEID AMANI KARUME AKIELEZEA ALIVYOIFAHAMU PEMBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 дек 2016

Комментарии • 55

  • @abuuhamzasuleiman7005
    @abuuhamzasuleiman7005 3 года назад +2

    Assalaamu alaykum.
    Dah! Ndugu zanguni nimeskitishwa sana kuona watu ndugu wenyewe kwa wenyewe wakitukanana na kujisifia tuu.
    Tuacheni tabia hio sio nzuri.
    Allah Subhaanahuu wa taalaa amesema ktk Quran: Hakika mbora wenu ni mcha Mungu,
    Makabila na Utaifa yameumbwa ili tupate kujuana tu.
    وبالله التوفيق.
    وجزاكم الله خيرا

  • @biramsakh9212
    @biramsakh9212 5 лет назад +4

    Masha Allah shekh karume Allah amlaze pema peponi amin

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 2 года назад +1

    Allah akurehemu Akheira uliko

  • @aliyhamim1683
    @aliyhamim1683 5 лет назад +4

    kama umeikumbuka pemba kama mm gonga like

  • @zahorsalum4976
    @zahorsalum4976 Год назад

    okyy . Lkn hiii wizi waliisikia vzr Sasa wapo kzn kutuibia chakwetu kukipeleka.unguja natanganyika.

  • @zahiribrahim7418
    @zahiribrahim7418 2 года назад

    Upon baba Hongera siku nyingi sijakuona piga kazi baba
    ....🥰😍🤩🥳🇧🇷 Alhamdulillah Mimi ni mpemba wa kengeja....🇧🇷🤩🥰🕵️🤪🤬👩‍🚒👩‍💼🕵️😒🥉🎍🎏🎑🟩🔵🤎🟡🇦🇼🇬🇹🇬🇳🇬🇮🇬🇹🇬🇼🇬🇲🇬🇹

  • @alimansourali8871
    @alimansourali8871 5 лет назад +1

    Mzee namkubali sana mungu amlaaze pema pepon

  • @destiny4life439
    @destiny4life439 5 лет назад +8

    pemba imebarikiwa na allah likn hawakupendi wenyewe wanangngania unguja tu

    • @aliyhamim1683
      @aliyhamim1683 5 лет назад

      Destiny 4life ujinga uoo

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 2 года назад +1

      Destiny,nafikiri hapo huko sawa.
      WaPemba hawajawahi kung'ang'ania Unguja kama usemavo.
      Kabla ya mapinduzi,labda asili mia 10 ya wafankazi serikalini,walipokuwa na likizo,ndio waliokuwa wakitoka kwao Pemba kwenda Unguja kwa matembezi.Waliridhika na maisha ya Pemba
      Shida za aina mbali mbali za kimaisha zilizoibuka baada ya mapinduzi,ndio mwanzo wa WaPemba kukimbia kwao,na mpaka leo tunaona jinsi WaPemba wanavyoteswa wakati wa chaguzi za kisiasa.

    • @mohamedsheikh6618
      @mohamedsheikh6618 2 года назад +1

      Ni umri wako mdogo ndo uliopelekea kuona na kusema hivyo hauna lawama, jaribu kujifunza katika Africa ya mashariki mpemba alitambulikaje, shida ni mabadiliko ya utawala palikua na neema ikaondoka na walioondoka pale wasiostahiki kutawala walipopewa madaraka, wasiomiliki walipomilikishwa visivyokua vyao, mauaji, viungo, vipigo nk, kuwa mdadisi wa kutafuta sababu ya kitu kinapotokea usiropoke kiushabiki

  • @zenjiboy_
    @zenjiboy_ 2 года назад +1

    inna lillahi wa inna ilaihi rajiun

  • @aidoact3166
    @aidoact3166 4 года назад +2

    Pemba inafisidiwa na Ccm tu dunia ya leo

  • @oscarezekiel1826
    @oscarezekiel1826 7 лет назад +1

    thanks bin seif

  • @drhalimalmaskari
    @drhalimalmaskari Год назад

    Ndio maana akaowa 2 wapemba
    Lakini ccm inaigandamiza Pemba

  • @mohamed.hassani9917
    @mohamed.hassani9917 6 лет назад +3

    Nani alioleta mikarafuu na minazi zanzibar

  • @abdalaramadhnibizimana3462
    @abdalaramadhnibizimana3462 7 лет назад +4

    rais wakwanza alikuwa naakili kwa wazanzibar mzee alikuwa namuwono wambali lakini wamemuuwabure walokuwepo ndowanaharibut2

  • @allyseif8961
    @allyseif8961 6 лет назад +2

    Maneno murua kabisa

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 2 года назад +1

    MMungu atakulani kwa mauwaji ya wasiokuwa na hatia na dhuluma zako..

    • @khalidali1130
      @khalidali1130 7 месяцев назад

      Hata uislam ulipitia magumu kwenye vita kwaio wkt mwengne lazm papitie vita ndio pawe na neema kwasbb wkt mwengne neema inakua imekaliwa na pia uspnde kusklza maneno ya wtu msklze vzr sheik Abed A karume uspanic tu kwasbb ulichskia kw wtu wenye chuk binasfsi🙏

  • @abdallamohd1937
    @abdallamohd1937 6 лет назад +2

    Mashaallah japo kua laana2llah Nyerere kakudhulumu lkn M'Mungu atakulpa malpo mema kwa wema wako na Nyerere atalpwa kwa mabaya meng alio2fanyia na had leo yanaendelea

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga 4 года назад

    Anamjua Mungu huyu? Aliwaozesha wanawake kwa nguvu bila ya radhi zao.

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 года назад

    Talend karume

  • @bashaakumaarpandan9021
    @bashaakumaarpandan9021 2 года назад

    Huyu huwa cmuelewi anataka mke wa kiarabu kakin amewapiga

  • @saidkhamis4662
    @saidkhamis4662 6 лет назад +1

    Rais wa kwanza alikuwa mzalendo wa maendeleo na kuwajali wananchi

  • @ahmedkhamis9470
    @ahmedkhamis9470 5 лет назад +1

    Nurdin Amberuty nae mpemba au

  • @nurdinhabib9045
    @nurdinhabib9045 7 лет назад +1

    ndio umalaya upo xana mchana mabuibui lkn usiku balaa huko kuingiliana nyuma ndio usiseme mpaka wake zao

    • @user-qm6si4kz8i
      @user-qm6si4kz8i 7 лет назад

      Nurdin Habib umbwa wewe

    • @abdallahmwinyi2106
      @abdallahmwinyi2106 6 лет назад

      Nurdin Habib mmmmmmh

    • @issamohd346
      @issamohd346 6 лет назад

      Nurdin Habib ndugu mbona huku yataja mataifa ya marekani naulaya kwaujumla umekimbilia kuitaja Zanzibar why nadhani naww utakua nimiongoni wa wale ambao wanachuki nahusda zidi ya wazanzibari lkn tambua kua mabaya yapo popote nakitendo chamtu kufanya mapenzi kinyume namaumbile niile hali yayule mtu kuamua kufanya lkn sote tunajua kua nidhambi kubwa sana natena tangu zamani walikuoko watu wa Kaumu Luti walokuja kuufanya uchafu huo lkn Mungu hatimae akawaangamiza jifunze adabu usiwashtumu wazanzibari wote kwawachache wenyekufanya uchafu kama huo tunamuomba Mungu awaongoe wale wayafanyayo hayo ili watubie lakama hawataku basi Allah nimkali wakuwaadhibu atawaadhibu

    • @alinuhu3727
      @alinuhu3727 6 лет назад

      Kuwa makini na kauli zako na utathmini kabla ya kusema

    • @AhmadAli-cv7hb
      @AhmadAli-cv7hb 6 лет назад

      İvi maneno yako unaweza kukubali ilikuwa itatuhumiwa familia yako..???

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 7 лет назад

    mbona nyerere hukumpiga vita ulimkumbatia?

    • @destiny4life439
      @destiny4life439 6 лет назад

      acha upofu mbona na nyinyi unguja mmeikumbatia kama yenu

    • @fawzyoalbahry4420
      @fawzyoalbahry4420 5 лет назад

      +Destiny 4life zanzibar Unguja na pemba ya wenyewe sio yenu mrima pia mmeivamia

  • @samueljackson1591
    @samueljackson1591 5 лет назад +1

    Fumba domo lako chafu hilo!!wapemba ndio wanaokuweka wewe))Mpemba akiondoka Unguja utakopa wapi na utalishwa na nani??!!kazi hamutaki ubishoo na usenge tuu ndio wenu

  • @fhyubhhh2881
    @fhyubhhh2881 2 года назад

    Lipumbavu tena jambazi kubwa Mungu kamfupisha