🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402), 🔘WhatsApp ( +255 692 318213) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Vita gani? Wenye silaha hawakuwa wazanzibar akina Okelo wamewauwa maelfu ya wananchi hata wasiokuwa na hatia, wanawake na watoto Allah awalaze mahala pema peponi amin. Baba yako na wana mapinduzi wenziwe walikuwa na uchu wa Madaraka. (Tamaa mbele mauti nyuma ) kama mna akili muwaombee dua wazee wenu kila alieshiriki 12/1 si siku ya kuadhimisha kwa ngoma na fashifashi iwe ni siku ya maombolezo.
Sasa ndio mjue kuwa makomredi walishiriki kuipindua serikali ya kisultan . Ndio maana Abrahman Babu alimtarifu k mwandishi wa habari Mohamed Amin kuwa ajitarishe kwenda Zanzibar kwani kuna tukio kubwa litatokea Zanzibar .
Inajulikana wazi ni mbinu za waingereza kumtuma nyerere kuichukuwa zanzibar baada ya kuomba uhuru kamili kutoka kwa Britain. British protect waliona kero na uchungu wazanzibar na sultan kudai uhuru, wakapewa kwa chuki 1963 wazangu wakasema mutaona cha mtema kuni. Waingereza wabaya sana wameharibufu nchi nyingi. Zimbabwe, Kashmir, etc.
Waingereza walitusaliti kwa kubariki mapinduzi coz itawezekanaje serikali inayoendeshwa na kuilinda ipinduliwe kirahisi rahisi na nchi nyingi zilizo tawaliwa na uingereza zina migogoro mpk kesho,waingereza ni wabaya sana
Zanzibar imekombolewa kutoka kwa wakoloni ili iwe HURU, lakini leo ZANZIBAR haiko HURU imetawaliwa na TANGANYIKA, mpaka viongozi wanachaguliwa Tanganyika.
Assalama allaykum jamani huyu amani Karume nimtu mpole sana nilisafiri nae kutoka unguja kwenda Pemba ndani yaboti nilikua nikitapika kwa sababu ya bahari kuchafuka alikua alkinipa pole pale nilippkua nikitapika nakumbuka lama leo namupmba alla anikutanisshe nipate kumkumbusha
Wewe jizi to usijikoshe umeiba vya kutosha pamoja na kamati zako pumbav umetuweka na njaa zanzibar toka ukae wewe na mjinga mwenzio sheni mashavu .hamuna moja mlolifanya zanzibar wewe huna tafauti na huyo NYERERE. Mjinga mkubwa sasa pesa zetu mlo tuzulumu zinakwisha unajifanya mtu sio . Hakika zulma haijengi. Mwangawewe
HUU NI UONGO MTUPU, KARUME ALIKUA TANGANYIKA WAKATI MAKOMRED WAKIPINDUA NA ALILETWA NA BOTI YA NGWANDA ALISHUKIA KIZIMKAZI, YAANI HII NI STORY YA UONGO MTUPU!
Inajulikana kuwa wote kina Babu, Khanga na karume walirudi siku ya pili yake kwa boat ya myahudi. Haikuwa boat ya Ngwanda. Google Maelezo ya Ahmed Ameen. mwandishi. Kuna picha ya propaganda alipigwa picha Babu " eti baada kusikia Mapinduzi akarudi Zenj na ngarawa!" kiukweli baada kushuka kwenye boat akao a mtumbwi akamwambia mpiga picha ampige picha huku anapiga upondo.
Huyu Amani anasema Uwongo mtupu, ni kasumba zao za kibaguzi na kutengeneza chuki kati ya Wazanzibari, msikilizeni dada yake Fatma alivyosema kwenye twitter.
Kumbe Nyerere ndio aliinjinia mapinduzi!!
Vita gani? Wenye silaha hawakuwa wazanzibar akina Okelo wamewauwa maelfu ya wananchi hata wasiokuwa na hatia, wanawake na watoto Allah awalaze mahala pema peponi amin.
Baba yako na wana mapinduzi wenziwe walikuwa na uchu wa Madaraka.
(Tamaa mbele mauti nyuma ) kama mna akili muwaombee dua wazee wenu kila alieshiriki 12/1 si siku ya kuadhimisha kwa ngoma na fashifashi iwe ni siku ya maombolezo.
Khatari bin khatari!!!! Dhulma ya waziwazi!!!
Hawana haya mauaji tu uvamizi kutoka tanga ekatekwa nchi ya zanzibari elfu kumi NA tano waliouwawa ombeni mungu awasamehe
Ahsante kwakutuhadithia historia ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Sasa ndio mjue kuwa makomredi walishiriki kuipindua serikali ya kisultan . Ndio maana Abrahman Babu alimtarifu k mwandishi wa habari Mohamed Amin kuwa ajitarishe kwenda Zanzibar kwani kuna tukio kubwa litatokea Zanzibar .
Mungu amrehem Sheikh Ilunga aliongea mengi kutuzindua lakini tatizo bado tumelala usingizi zaidi ya pono !
Wallahi umenena!
Story nzur! ila umezingua iyo kukata kata badhi y sehem!
Mhe banda aliwachukua kwasababu kule ndio nyumbani kwao mzee karume
Inajulikana wazi ni mbinu za waingereza kumtuma nyerere kuichukuwa zanzibar baada ya kuomba uhuru kamili kutoka kwa Britain. British protect waliona kero na uchungu wazanzibar na sultan kudai uhuru, wakapewa kwa chuki 1963 wazangu wakasema mutaona cha mtema kuni. Waingereza wabaya sana wameharibufu nchi nyingi. Zimbabwe, Kashmir, etc.
Waingereza walitusaliti kwa kubariki mapinduzi coz itawezekanaje serikali inayoendeshwa na kuilinda ipinduliwe kirahisi rahisi na nchi nyingi zilizo tawaliwa na uingereza zina migogoro mpk kesho,waingereza ni wabaya sana
Ni kweli kabisaaa wametutia nuksi mpaka leo
Kwani wewe ulitaka utawaliwe na nani🤔
@@hadijarajabu5312 hatutaki kutawaliwa na yeyote
@@misscoast3174 Kwani anatawala Nani hapo Zanzibar ?
Karume alidandia Mapinduzi.
Asante sana Mzee karume kwa story ya kusisimua.
Mzee mwenye nehema,,,
Stori nzuri sana!!!
Zanzibar imekombolewa kutoka kwa wakoloni ili iwe HURU, lakini leo ZANZIBAR haiko HURU imetawaliwa na TANGANYIKA, mpaka viongozi wanachaguliwa Tanganyika.
100%
Si ungetulia na kunyamaza tu,wasingekujuwa kama bado hujuwi...Leo kuna Tanzania na sio Tanganyika - poyoyo wewee!
,Kwa hiyo hata hukushiriki uchaguzi oktoba 2020? Hamjielewi hata mnachokiongea?
Jiulize kwanini karume alikimbilia Tanganyika,Abdurrahman babu na Hager walikuwa wakifanya nini Tanganyika!!?? Kwanini Waingeleza hawakuiamini Tanganyika kwa Siasa za Zanzibar wakati huo??? Kwanini Karume anamkabidhi Nyerere wanaye ktk wakati mgumu kwake?? Zanzibar bila Tanganyika mngekwama wabaguzi nyie.
@@uledimtumwa2406 Zanzibar hatuwahitaji watanganyika nyinyi ni papa tuu kwetu sawa¿Zanzibae iko juu ya mikono ya Wazanzibar wenyewe sawa¿
Assalama allaykum jamani huyu amani Karume nimtu mpole sana nilisafiri nae kutoka unguja kwenda Pemba ndani yaboti nilikua nikitapika kwa sababu ya bahari kuchafuka alikua alkinipa pole pale nilippkua nikitapika nakumbuka lama leo namupmba alla anikutanisshe nipate kumkumbusha
Kumbe yupo huyu mzee
Tyf
story safi saaana lakini ni fupi tupeni full story
KuMbE haTA WaYaHuDi waLishiLiki
Wewe jizi to usijikoshe umeiba vya kutosha pamoja na kamati zako pumbav umetuweka na njaa zanzibar toka ukae wewe na mjinga mwenzio sheni mashavu .hamuna moja mlolifanya zanzibar wewe huna tafauti na huyo NYERERE. Mjinga mkubwa sasa pesa zetu mlo tuzulumu zinakwisha unajifanya mtu sio . Hakika zulma haijengi. Mwangawewe
Hahahha ivi wew umejificha wap unatk tuzungumze tuchapwe eenh
@@aishakhmohammed7995 usiogope
@@hajiabdalla5772 mmmh kuogopa lzm naogopa fimbo atar
@@aishakhmohammed7995 mie police pia wa huko huko zanzibar nitakulinda kama tunavyo walinda wabakaji watoto .
HUU NI UONGO MTUPU, KARUME ALIKUA TANGANYIKA WAKATI MAKOMRED WAKIPINDUA NA ALILETWA NA BOTI YA NGWANDA ALISHUKIA KIZIMKAZI, YAANI HII NI STORY YA UONGO MTUPU!
Yeye ndie baba yake kwaiyo ukweli wote anaujua yeye
Ni kweli ata bi fatma karume alisema karume hakuwepo
Inajulikana kuwa wote kina Babu, Khanga na karume walirudi siku ya pili yake kwa boat ya myahudi. Haikuwa boat ya Ngwanda. Google Maelezo ya Ahmed Ameen. mwandishi. Kuna picha ya propaganda alipigwa picha Babu " eti baada kusikia Mapinduzi akarudi Zenj na ngarawa!" kiukweli baada kushuka kwenye boat akao a mtumbwi akamwambia mpiga picha ampige picha huku anapiga upondo.
KuMbE KaLumE aliPeLekwA na NyeLeLe na AliTumwA na NyeLeLe huKo ZBAR kuFanyA maPinDuzi.
sio kalume basi ni Karume sawa¿huyo ni muheshiwa kwa Zinjibar sawa¿
Kutamka hujui basi ata kuandika pia usaidiweee ni Karume sio kalume
Alichukua kwa bunduki na kutolewa kwa bunduki
Huyu Amani anasema Uwongo mtupu, ni kasumba zao za kibaguzi na kutengeneza chuki kati ya Wazanzibari, msikilizeni dada yake Fatma alivyosema kwenye twitter.
Dada yke au mwanawe😃
@@baynbravo277 ndio mwanae