#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 окт 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
    🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 60

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +3

    Kumbe Nyerere ndio aliinjinia mapinduzi!!

  • @chekisiela
    @chekisiela 3 года назад +8

    Vita gani? Wenye silaha hawakuwa wazanzibar akina Okelo wamewauwa maelfu ya wananchi hata wasiokuwa na hatia, wanawake na watoto Allah awalaze mahala pema peponi amin.
    Baba yako na wana mapinduzi wenziwe walikuwa na uchu wa Madaraka.
    (Tamaa mbele mauti nyuma ) kama mna akili muwaombee dua wazee wenu kila alieshiriki 12/1 si siku ya kuadhimisha kwa ngoma na fashifashi iwe ni siku ya maombolezo.

    • @jimj8285
      @jimj8285 2 года назад

      Khatari bin khatari!!!! Dhulma ya waziwazi!!!

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 Год назад

      Hawana haya mauaji tu uvamizi kutoka tanga ekatekwa nchi ya zanzibari elfu kumi NA tano waliouwawa ombeni mungu awasamehe

  • @hilmialiomar1983
    @hilmialiomar1983 3 года назад

    Ahsante kwakutuhadithia historia ya Mapinduzi ya Zanzibar.

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 3 года назад +2

    Sasa ndio mjue kuwa makomredi walishiriki kuipindua serikali ya kisultan . Ndio maana Abrahman Babu alimtarifu k mwandishi wa habari Mohamed Amin kuwa ajitarishe kwenda Zanzibar kwani kuna tukio kubwa litatokea Zanzibar .

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад +2

    Mungu amrehem Sheikh Ilunga aliongea mengi kutuzindua lakini tatizo bado tumelala usingizi zaidi ya pono !

    • @mzuvendi
      @mzuvendi 3 года назад +1

      Wallahi umenena!

  • @abdulpires9091
    @abdulpires9091 3 года назад

    Story nzur! ila umezingua iyo kukata kata badhi y sehem!

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 3 года назад +2

    Mhe banda aliwachukua kwasababu kule ndio nyumbani kwao mzee karume

  • @samo5315
    @samo5315 3 года назад +3

    Inajulikana wazi ni mbinu za waingereza kumtuma nyerere kuichukuwa zanzibar baada ya kuomba uhuru kamili kutoka kwa Britain. British protect waliona kero na uchungu wazanzibar na sultan kudai uhuru, wakapewa kwa chuki 1963 wazangu wakasema mutaona cha mtema kuni. Waingereza wabaya sana wameharibufu nchi nyingi. Zimbabwe, Kashmir, etc.

    • @alawiali3475
      @alawiali3475 3 года назад

      Waingereza walitusaliti kwa kubariki mapinduzi coz itawezekanaje serikali inayoendeshwa na kuilinda ipinduliwe kirahisi rahisi na nchi nyingi zilizo tawaliwa na uingereza zina migogoro mpk kesho,waingereza ni wabaya sana

    • @misscoast3174
      @misscoast3174 3 года назад +1

      Ni kweli kabisaaa wametutia nuksi mpaka leo

    • @hadijarajabu5312
      @hadijarajabu5312 3 года назад

      Kwani wewe ulitaka utawaliwe na nani🤔

    • @misscoast3174
      @misscoast3174 3 года назад

      @@hadijarajabu5312 hatutaki kutawaliwa na yeyote

    • @hadijarajabu5312
      @hadijarajabu5312 3 года назад

      @@misscoast3174 Kwani anatawala Nani hapo Zanzibar ?

  • @andrewnyamwaro5174
    @andrewnyamwaro5174 3 года назад +5

    Karume alidandia Mapinduzi.

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 3 года назад

    Asante sana Mzee karume kwa story ya kusisimua.

  • @rewardjuma4192
    @rewardjuma4192 3 года назад

    Mzee mwenye nehema,,,

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад

    Stori nzuri sana!!!

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 года назад +6

    Zanzibar imekombolewa kutoka kwa wakoloni ili iwe HURU, lakini leo ZANZIBAR haiko HURU imetawaliwa na TANGANYIKA, mpaka viongozi wanachaguliwa Tanganyika.

    • @saidsalim3728
      @saidsalim3728 3 года назад

      100%

    • @alwattanihaji9838
      @alwattanihaji9838 3 года назад +3

      Si ungetulia na kunyamaza tu,wasingekujuwa kama bado hujuwi...Leo kuna Tanzania na sio Tanganyika - poyoyo wewee!

    • @alwattanihaji9838
      @alwattanihaji9838 3 года назад +1

      ,Kwa hiyo hata hukushiriki uchaguzi oktoba 2020? Hamjielewi hata mnachokiongea?

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 3 года назад +3

      Jiulize kwanini karume alikimbilia Tanganyika,Abdurrahman babu na Hager walikuwa wakifanya nini Tanganyika!!?? Kwanini Waingeleza hawakuiamini Tanganyika kwa Siasa za Zanzibar wakati huo??? Kwanini Karume anamkabidhi Nyerere wanaye ktk wakati mgumu kwake?? Zanzibar bila Tanganyika mngekwama wabaguzi nyie.

    • @solomonadams6337
      @solomonadams6337 3 года назад +2

      @@uledimtumwa2406 Zanzibar hatuwahitaji watanganyika nyinyi ni papa tuu kwetu sawa¿Zanzibae iko juu ya mikono ya Wazanzibar wenyewe sawa¿

  • @hilalal-busaidi4007
    @hilalal-busaidi4007 2 года назад

    Assalama allaykum jamani huyu amani Karume nimtu mpole sana nilisafiri nae kutoka unguja kwenda Pemba ndani yaboti nilikua nikitapika kwa sababu ya bahari kuchafuka alikua alkinipa pole pale nilippkua nikitapika nakumbuka lama leo namupmba alla anikutanisshe nipate kumkumbusha

  • @hassanrashid8182
    @hassanrashid8182 3 года назад

    Kumbe yupo huyu mzee

  • @topaviator
    @topaviator 3 года назад

    Tyf

  • @johnmwangove9928
    @johnmwangove9928 3 года назад +1

    story safi saaana lakini ni fupi tupeni full story

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 3 года назад +1

    KuMbE haTA WaYaHuDi waLishiLiki

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +1

    Wewe jizi to usijikoshe umeiba vya kutosha pamoja na kamati zako pumbav umetuweka na njaa zanzibar toka ukae wewe na mjinga mwenzio sheni mashavu .hamuna moja mlolifanya zanzibar wewe huna tafauti na huyo NYERERE. Mjinga mkubwa sasa pesa zetu mlo tuzulumu zinakwisha unajifanya mtu sio . Hakika zulma haijengi. Mwangawewe

    • @aishakhmohammed7995
      @aishakhmohammed7995 3 года назад

      Hahahha ivi wew umejificha wap unatk tuzungumze tuchapwe eenh

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 3 года назад

      @@aishakhmohammed7995 usiogope

    • @aishakhmohammed7995
      @aishakhmohammed7995 3 года назад

      @@hajiabdalla5772 mmmh kuogopa lzm naogopa fimbo atar

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 3 года назад

      @@aishakhmohammed7995 mie police pia wa huko huko zanzibar nitakulinda kama tunavyo walinda wabakaji watoto .

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 3 года назад +1

    HUU NI UONGO MTUPU, KARUME ALIKUA TANGANYIKA WAKATI MAKOMRED WAKIPINDUA NA ALILETWA NA BOTI YA NGWANDA ALISHUKIA KIZIMKAZI, YAANI HII NI STORY YA UONGO MTUPU!

    • @suleimanpandu8955
      @suleimanpandu8955 3 года назад

      Yeye ndie baba yake kwaiyo ukweli wote anaujua yeye

    • @fatmas7338
      @fatmas7338 3 года назад

      Ni kweli ata bi fatma karume alisema karume hakuwepo

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 3 года назад

      Inajulikana kuwa wote kina Babu, Khanga na karume walirudi siku ya pili yake kwa boat ya myahudi. Haikuwa boat ya Ngwanda. Google Maelezo ya Ahmed Ameen. mwandishi. Kuna picha ya propaganda alipigwa picha Babu " eti baada kusikia Mapinduzi akarudi Zenj na ngarawa!" kiukweli baada kushuka kwenye boat akao a mtumbwi akamwambia mpiga picha ampige picha huku anapiga upondo.

  • @amosmoses7800
    @amosmoses7800 3 года назад

    KuMbE KaLumE aliPeLekwA na NyeLeLe na AliTumwA na NyeLeLe huKo ZBAR kuFanyA maPinDuzi.

    • @solomonadams6337
      @solomonadams6337 3 года назад

      sio kalume basi ni Karume sawa¿huyo ni muheshiwa kwa Zinjibar sawa¿

    • @jamilambarouk4746
      @jamilambarouk4746 3 года назад +1

      Kutamka hujui basi ata kuandika pia usaidiweee ni Karume sio kalume

  • @oyay2821
    @oyay2821 3 года назад +1

    Alichukua kwa bunduki na kutolewa kwa bunduki

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 3 года назад +1

    Huyu Amani anasema Uwongo mtupu, ni kasumba zao za kibaguzi na kutengeneza chuki kati ya Wazanzibari, msikilizeni dada yake Fatma alivyosema kwenye twitter.