MANENO MAWILI RAHA NA BUSTAREH/SHEIKH ABEID KARUME ENZI ZA UHAI WAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 апр 2019
  • Endelea kuwa pamoja nasi,

Комментарии • 55

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 2 месяца назад

    Babu Karume tunamuomba Allah akupe kinachostahiki. Amiin

  • @khalidsaid4297
    @khalidsaid4297 2 года назад +4

    Laaanatu اللہ Allah atakulipa kwa ulichokipandaa

    • @albertjames6845
      @albertjames6845 Год назад +1

      Wewe mjinga mmoja tu, hujitambui

    • @mohammedhamad5297
      @mohammedhamad5297 Год назад

      @@albertjames6845 babu kausho lalichokipanda anakipata aliua kwa mtutu na yy aliuwa kwantutu! Kama kamata dini tudani.unapomfanyia mwenzio na wewe utafanyiwa ndicho alicho kipata

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      @@mohammedhamad5297 wangapi waloua kwa mtutu na hawakufa kwa mtutu

  • @user-xl3xy6db2g
    @user-xl3xy6db2g Год назад

    Watu wa Unguja na Pemba tumepata uhuru wetu kwa vita na Mungu alikuongoza heri na ufahari aupate yule alie kuzaa Mungu anisamehe kwa mabaya yko na akulipe kwa wema wako Amin

    • @user-zc3fk6oh9w
      @user-zc3fk6oh9w 4 месяца назад

      Na mabaya pia amlipe , hakujua km hii Dunia mapito

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 2 года назад

    Big man viva karume asante sana

  • @kassimhashi49
    @kassimhashi49 Год назад +1

    Mzee Allah akulaze pema peponi from Kenya

  • @user-pf9cd6zj1g
    @user-pf9cd6zj1g 3 года назад +7

    Ndio wewe mjinga uliowadhulumu watu

  • @komboomar8275
    @komboomar8275 2 года назад +4

    *Ukaichuwa zanzibar yenye mamlaka yake ukaipeleka bara sasa tunaoteseka ni sisi*

  • @khalidsaid4297
    @khalidsaid4297 2 года назад +4

    Ww ndie ulie tudhslilisha na ndio tunazidi kizalilishwsa

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      Ye hayupo we umefanya nini kutoa huo udhalili

  • @ashaali7506
    @ashaali7506 Год назад

    Alhamdulillah❤😂🎉😢😮😅😊

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 года назад +4

    NYANI HALIONI KUNDULE HAKI YA MTU HAIPOTEI

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 года назад

      Mpka lini hiyo haki itarudi sasa miyaka sitini kutawaliwa

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 2 года назад

    Mungu aliempa athabu katika dunia kupigwa risasi nane NA huko akhera ataulizwa roho za watu nafsi za watu sio mchezo hata ukiua paka utauliwa wazanzibari wa liuwawa kinyama ni raia tu wala sio askari sasa huo karume hao watu wanamsubiri huko sirati huko ahera wa nataka malipo yao aliye uwawa anamuliza mungu huo ameniuwa dunia duniani kwanini

    • @allyhassan5664
      @allyhassan5664 Год назад

      Lkn aliemuua karume ataenda kujibu nayy kwann alimuua .adhabu anaiaubiri

  • @AbdulNassir-jk1jf
    @AbdulNassir-jk1jf 3 месяца назад

    Eeh aduwi wa allah

  • @omarsaid4702
    @omarsaid4702 2 года назад +1

    Kweli mungu atamlipa kwa alicho kipanda

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 года назад

      Kwa kua elfu ishirini NA kuiza nchi kwa wakrsto wa tanganika

  • @mohammedhamad5297
    @mohammedhamad5297 Год назад +1

    Adhabu na wewe unaiyona adhabu ya Allah ulio wauwa ndio sisi wazanzibar

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 Год назад

    Tulitolewa ukoloni mwa kiarabu na kuoingizwa katika ukoloni wa kiafrika

  • @user-xl3xy6db2g
    @user-xl3xy6db2g Год назад

    Hatutaki kutawaliwa kwani kuna ubaya 😂😂😂😂

  • @user-bs1zq5ts1r
    @user-bs1zq5ts1r 3 месяца назад

    Eshii jamani napitia comments hapa ila sijaona comments yoyote ya kumushukuru Karume hata chembe za mazuri yake hamukumbuki

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 Год назад

    Serikali yetu wenyewe mbona ukaipoteza bureee

  • @anuaryjuma9469
    @anuaryjuma9469 2 года назад

    Kweli nchi ya wafrica

  • @fahmialharthi4596
    @fahmialharthi4596 2 года назад +1

    Unaiyona raha mustareh huko ulipo

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi8977 2 года назад

    NAMKOBOZI WA ZANZNZIBARI LAKINI MKOLONI MAMBO LEO WA BARA

  • @user-gd2xj3xd1b
    @user-gd2xj3xd1b 7 месяцев назад

    Dadali wa mwazo kuuuza zanzibar kwa watanganyika kwa husda na tamaa ya madaraka

  • @seifhafidhsuleiman3643
    @seifhafidhsuleiman3643 Год назад

    Hotuba inaishi hii

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 2 года назад +1

    Khalid said unamwambia mtu llaantu llah je ingekuwa hao warabu wange wauwa watu weusi unge wa laani kama ni dhulma na wao hao warabu walikuwa wanadhulumu watu usimlaani mtu hujui nini kingetokea kwa hao waafrika maana nahao unao watetea walikuwa na njama zao waswahili wamesema ukujuwa huu wenzio wanao ujuwa huu kaa utafakari

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 2 года назад

      Kaleta ukoloni wa namna nyingine hao waarbu ni wazaliwa zanzibari hawajui kwao kabisa ni wanainchi sasa umetawaliwa hamna cha mamlaka ya zanzibari kua elfu ishirini kwa dakika arbaini hakubali mungu hao ni waaslamu wanataamka shada

    • @mohammedhamad5297
      @mohammedhamad5297 Год назад

      @@alialamoudi9729 yy alikua muafrika ndio wakawau mpaka watoto wa walio zaliwa.

    • @sellamwani7300
      @sellamwani7300 Год назад

      ​@@alialamoudi9729waarabu waliuza waafrika mamillioni kwenye Utumwa!yaonekana wewe mwarabu?

  • @adamstour5736-kb6zq
    @adamstour5736-kb6zq Год назад +1

    Ni kheri kutawaliwa na SULTAN kuliko kutawaliwa na TANGANYIKA

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 3 месяца назад

      Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.

    • @homeboybeyondtheborders4935
      @homeboybeyondtheborders4935 3 месяца назад

      Shida ilikua kwa ZNP "HIZBU" wao walipokea Uhuru kutoka Uingereza wakakubali Sultan abaki kuwa mkuu wa nchi,ila kiuhalisia Jamshid alikua ni sehemu ya Dola ya Oman,yaani Jamshid alikua mwakilishi wa Dola ya Oman nje ya nchi ya Oman...Mohamed Shamte alikua waziri mkuu na hakuwa na nguvu za kiutawala zaidi ya kusikiluza mkubwa wake.Ukweli ambao wazanzibar wengi hawaongelei ni kua Dola ya Oman imekaa zaidi ya makarne kwa mabavu kwenye visiwa hivi je Maendeleo waliyofanya kwa maelfu ya miaka ilishabihiana na ule mwaka 1964.Kihistoria Utawala wa Sultani ulikuwepo kabla ya wazungu kuingia Amerika, Kwa hyo majority had the right to overthrow the regime kwa kigezo cha muda huo na ukweli wa historia.

  • @asilclub
    @asilclub 10 месяцев назад

    Moongo mkubwa huyu jambazi muuaji mungu atamlani yeye na nyororo asipo Kuwa ni sultan huyu mshenzi karume hajui hata kuvaa nguo

  • @allyhassan5664
    @allyhassan5664 Год назад

    Hivi sultan ametawala znz miaka mingi likn karume katawala miaka Saba maendeleo yameonekana mpk leo..sio

    • @user-zc3fk6oh9w
      @user-zc3fk6oh9w 4 месяца назад

      You wrote the trush, you better keep quiet

  • @raymondkaswaga5055
    @raymondkaswaga5055 4 года назад

    Babu ulikufa na Nyerere akafa na wenzako hawautaki muungano

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 3 года назад +2

    Duuh mungu mkuu sauti ya Miaka 41 ipo clean kama janana

  • @mohammedabdallah9821
    @mohammedabdallah9821 Год назад

    Kaondoka sultani mwarabu,
    Sasa tunae sultani mtanganyika ndo aloikalia Zanzibar kwa mabavu,
    HAKUNA tena nchi ya Zanzibar kuna Tanzanian

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Год назад

      Tumeamua hata sie watanganyika hatutaki Kua na nyinyi mwambieni bi mkubwa auvunje we are ready

  • @nassornassor8774
    @nassornassor8774 4 года назад +3

    Kwa Tànzania babu hapana tabu lakini A S P haipo hatuna vya kuikumbuka mitihani , mbona ww hukuunga vyama ?babu tunakukumbuka na hizo hazabu Tanzania milele

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 2 года назад

    HAKI HAIPOTEI MWENYEZI MUNGU HAKUGHAFILIKA NA WATU WAOVU MADHALIM WAHUNI MAJAHIL HAKI KAILETA ALHAMDULILLAH RABI ALLAMEEN