Hizo karanga zinasagwa ama hivyo hivyo? Mkitoa Elimu hakikisheni mnanyoosha maelezo maana mtu atatumia hatoona Matokeo atahisi ninyi ni Matapeli kumbe hamjui kunyoosha maelezo.
Nenda duka la dawa za asili mwambie akupe dawa inaitwa mdinda dinda wanauza 500 kisha kunywa hasubui na chai usiweke sukari chai ya moto weka kijiko kiasi cha dawa kwenye chai na jioni nenda kanunue mchuzi wa pweza changanya kwa muda wa siku 7 hasubui na jion utakuja kuona matokea ndani ya siku 3 tu, utakuja kunishukuru tatizo litaondoka maisha yako yote
Mbona hizo darsa zinakuwa kama za uchoyo hiyo omix ndio nn au basi sema unayo na utoe namba za sim zako tujue moja tu kama unauza hizo dawa kuliko kutupiga chenga tu
Dr naomba utuonyeshe hiyodawa ya omiksi
Nkololo daniel
omix ndo nini docta fafanua vizri inshaala tujue
Hizo karanga zinasagwa ama hivyo hivyo? Mkitoa Elimu hakikisheni mnanyoosha maelezo maana mtu atatumia hatoona Matokeo atahisi ninyi ni Matapeli kumbe hamjui kunyoosha maelezo.
Huku kenya hatujui hiyo ni nini
Omiksi inapatikana wapi na ni nini hiyo
Allah akuongoze uzidi kutuelimiaha
Omixi ndo nini kaka?
Mm nipo unguja Zanzibar iyo dawa ya omiksi nemeitafuta sana huku sjaipata
Kaka,karanga inasagwa au nzima kama zilivo
What is homixi?
Dr, Omikxi, ipoje na inapatikana maduk Gani?
Omix duka laaasili unapata
Dr Mimi Nina tatizo uume unasimama nikiingia tu Unalala wenyewe au hata kama cjaingia unashuka kidogo kidogo wenyewe mpaka Unalala t afadhari nijibu
Nenda duka la dawa za asili mwambie akupe dawa inaitwa mdinda dinda wanauza 500 kisha kunywa hasubui na chai usiweke sukari chai ya moto weka kijiko kiasi cha dawa kwenye chai na jioni nenda kanunue mchuzi wa pweza changanya kwa muda wa siku 7 hasubui na jion utakuja kuona matokea ndani ya siku 3 tu, utakuja kunishukuru tatizo litaondoka maisha yako yote
@@mdudufilms7208 Asante nitafanya hivyo
Omiksi ndoo nini mganga?
Hiyo omoksi ndio dawa gani
Hii OMIX ndyo nini maana ata ukigugo haipo.
Omits ni aina gan ya dawa na inapatkana wap
Mbona hizo darsa zinakuwa kama za uchoyo hiyo omix ndio nn au basi sema unayo na utoe namba za sim zako tujue moja tu kama unauza hizo dawa kuliko kutupiga chenga tu
Sawa kaka wambie wa funguke
Nitumie namba yako
Omix ni nini
Kwa huku tutaipataje mttabibu
Omix ni Nini ?
Karanga unazitwanga awu