Dawa tatu bora za asili za nguvu za kiume - Dr Bihizi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 28

  • @onyangokawau5184
    @onyangokawau5184 Год назад +4

    Dr naomba utuonyeshe hiyodawa ya omiksi

  • @sihabahusseinmdee1102
    @sihabahusseinmdee1102 Год назад +2

    omix ndo nini docta fafanua vizri inshaala tujue

  • @mdundotv4501
    @mdundotv4501 Год назад +2

    Hizo karanga zinasagwa ama hivyo hivyo? Mkitoa Elimu hakikisheni mnanyoosha maelezo maana mtu atatumia hatoona Matokeo atahisi ninyi ni Matapeli kumbe hamjui kunyoosha maelezo.

  • @mulisammy970
    @mulisammy970 13 дней назад

    Huku kenya hatujui hiyo ni nini

  • @AREI12
    @AREI12 Год назад +1

    Omiksi inapatikana wapi na ni nini hiyo

  • @kuruthumumkalawa2786
    @kuruthumumkalawa2786 Год назад +1

    Allah akuongoze uzidi kutuelimiaha

  • @EkandeRemy
    @EkandeRemy Год назад +1

    Omixi ndo nini kaka?

  • @RashidHamdu
    @RashidHamdu 9 месяцев назад

    Mm nipo unguja Zanzibar iyo dawa ya omiksi nemeitafuta sana huku sjaipata

  • @RamadhanMasimba-v4c
    @RamadhanMasimba-v4c Месяц назад

    Kaka,karanga inasagwa au nzima kama zilivo

  • @mildredsophia7122
    @mildredsophia7122 Год назад +1

    What is homixi?

  • @omaryally707
    @omaryally707 11 месяцев назад

    Dr, Omikxi, ipoje na inapatikana maduk Gani?

  • @SalmaMchekusalma
    @SalmaMchekusalma Месяц назад

    Omix duka laaasili unapata

  • @JaneBihagala
    @JaneBihagala Месяц назад

    Dr Mimi Nina tatizo uume unasimama nikiingia tu Unalala wenyewe au hata kama cjaingia unashuka kidogo kidogo wenyewe mpaka Unalala t afadhari nijibu

    • @mdudufilms7208
      @mdudufilms7208 3 дня назад

      Nenda duka la dawa za asili mwambie akupe dawa inaitwa mdinda dinda wanauza 500 kisha kunywa hasubui na chai usiweke sukari chai ya moto weka kijiko kiasi cha dawa kwenye chai na jioni nenda kanunue mchuzi wa pweza changanya kwa muda wa siku 7 hasubui na jion utakuja kuona matokea ndani ya siku 3 tu, utakuja kunishukuru tatizo litaondoka maisha yako yote

    • @JaneBihagala
      @JaneBihagala 2 дня назад

      @@mdudufilms7208 Asante nitafanya hivyo

  • @MerveilleDeborahmanteka
    @MerveilleDeborahmanteka Месяц назад

    Omiksi ndoo nini mganga?

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 2 месяца назад

    Hiyo omoksi ndio dawa gani

  • @MAICOLetema
    @MAICOLetema 9 месяцев назад

    Hii OMIX ndyo nini maana ata ukigugo haipo.

  • @ShomarySalehe
    @ShomarySalehe 6 месяцев назад

    Omits ni aina gan ya dawa na inapatkana wap

  • @abuuruqayyah3200
    @abuuruqayyah3200 Год назад

    Mbona hizo darsa zinakuwa kama za uchoyo hiyo omix ndio nn au basi sema unayo na utoe namba za sim zako tujue moja tu kama unauza hizo dawa kuliko kutupiga chenga tu

    • @omaryally707
      @omaryally707 11 месяцев назад

      Sawa kaka wambie wa funguke

  • @kiduvishamte7116
    @kiduvishamte7116 2 месяца назад

    Nitumie namba yako

  • @IBRAHIMALI-tt1ph
    @IBRAHIMALI-tt1ph 2 месяца назад

    Omix ni nini

  • @RashidHamdu
    @RashidHamdu 9 месяцев назад

    Kwa huku tutaipataje mttabibu

  • @utchudiahukapascal9683
    @utchudiahukapascal9683 6 месяцев назад

    Omix ni Nini ?

  • @DeborahSamuel-uj2cf
    @DeborahSamuel-uj2cf 10 месяцев назад

    Karanga unazitwanga awu