Kijana ajirusha kwenye kivuko cha watembea kwa miguu, kisa wivu wa mapenzi
HTML-код
- Опубликовано: 6 май 2024
- Mkazi wa Kijiji cha Kemakolele Kata ya Nyarero Wilaya ya Tarime Mkoa wa Mara, Mwikwabe Range (20) amejaribu kujiua kwa kujitupa chini kutoka kutoka juu ya kivuko cha watembea kwa miguu, kilichopo Mabatini jijini Mwanza kwa kile kinachodaiwa ni wivu wa mapenzi.
Tukio hilo limetokea Mei 3, 2024 majira ya saa 11 jioni katika kivuko kinachosaidia waenda kwa miguu kuvuka Barabara ya Mwanza - Musoma eneo la Mabatini, chenye urefu wa mita 5.5.
Hata hivyo kijana huyo aliokolewa na wananchi na kuwahishwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Mwanza ya Sekou Toure ambapo amelazwa kwa ajili ya matibabu.
Akizungumza kwa njia ya simu jana Mei 6, 2024 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa amesema kijana huyo amechukua maamuzi hayo baada ya mpenzi wake ambaye anadai amemsomesha kumkuta akiwa na mtoto baada ya kuolewa na mwanaume mwingine.
Mashuhuda wa tukio hilo wamedai kabla ya kujirusha kijana huyo alionekana kwenye daraja hilo akiandika kitu kwenye daftari na baadaye kusali mara tatu na daftari likiwekwa mfukoni.
Kufuatia hatua hiyo, Mwanasaikolojia na Mshauri Nasaha katika Chuo Kikuu cha Kikatoliki cha Afya na Sayansi Shirikishi Bugando (Cuhas), Paul Masele amewasihi vijana kuacha tabia ya kusomesha wapenzi wao kwa kuwa hilo ni jukumu la wazazi wao.
Wanawake mhhhhh
Wenzie wanajirusha kwenye halkopta kikomando yeye anajilrusha kisa mapenz
Wanawake ni wakuogopa sana tuwaepuke kuwaamini kwa %100 hawa watakuja kutuua kizembe
Mimi mwanangu namwambia kila.siku usithubutu kumwendeleza mwanamke ukitaka muoe mjijenge tu maisha yaendelee maana unaweza kujiua so mapenzi ni gharama unaziwazia
Mungu amuwekeye wepesi apone😢😢masikini
Mbaya sana hii
Jamani,🙆🙆
Jamani,wabongo😂🤦♀️🧟♀️🙌🏿🤲😂
Mtu kama hayo akipona mpeni sumu ya panya....
😂😂😂
Miaka 20 angetakiawa chuo.Akome
Alikosea kwenda kujirusha kwenye daraja angetumia sumu ya panya ata asinge wasumbua watu
Bado mudogo hvi siutampata tu mengine usirudie tena
Mwanamke Kama hakutaki tafuta mwingine wapo wengi acha ujinga dogo
Alkua anataka ajivunje sio ajiue.. mitq 5?? 😃 Kwan Mwanza hakuna miti mirefu?
Mleteni kwangu nimgonge ngumi za usoni.
Kumsomesha mwanamke au mwanaume ni ujinga alivyosomeshwa na wazazi wake inatosha
Huyo mwanamkempuuzi
baadhi ya wanawake ni mashetani
Upumbavu tu huo kujitia ulemavu bure
Angepanda ghorofa ya bugando akaruka hapo ni pafupi
Elewa mzungu akikwsmbia anakuonda anamanisha ila mbongo akikwambia anakupnda pita kushoto
Eeh! Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa...? Ni nani alikwambia kuhusu hiyo dhana uliyo nayo kuhusu eti mzungu akisema anakupenda eti anamaanisha...???!!!
Mjinga huyo angekufa tuu
Wala s mjinga kwa sababu s ww ,muombe Mungu akuepushe
Sasa hapo krb hivi atakufaje
😂😂😂
Kwanza kijana umri mdgo kweli miaka 20 alikuwa akipata wap pesa za kusomesha mchumba? Pili mtu akijinyonga au kunywa sumu akipona huwa anafunguliwa mashitaka ata huyu naomba akamatwe
Wengine wanatoka familia za kishuwa ndugu,mbilioni kwao siyo tabu zao,wewe kama uko na 40yrs na huna pesa,pole, wenzio wamezaliwa kwa pesa na watakufa kwa pesa.😂😂😂
Ukisikiliza hapo wanasema aliuza shamba ili akasomeshe mpenzi wake.
KUMEKUCHA XX