SEHEMU YA (2) KIJANA ASHUTUMIWAE KUIBA MILIONI SABA (7) NABII KIBOKO YA WACHAWI AFICHUWA UKWELI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 222

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 7 месяцев назад +11

    Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii

    • @eliasgama-mo2ss
      @eliasgama-mo2ss 6 месяцев назад

      wewe ni nooma Sana hakuna tena kama wewe unachambua Mambo ya MTU vilivyo

    • @SAIDIMUHAMI
      @SAIDIMUHAMI 5 месяцев назад

      Ni kweli nabii ni kiboko ya wachawi

    • @TABWEAlyne
      @TABWEAlyne 5 месяцев назад

      wewe koma mchawi

    • @KhadijaHasani-xy9hb
      @KhadijaHasani-xy9hb 4 месяца назад

      Tuwe tunachunguza na familia pia.​@@eliasgama-mo2ss

    • @DoreenThomas-uq7cm
      @DoreenThomas-uq7cm 4 месяца назад

      Mungu akubariki sana mtumishi kwa hayo unayoyafanya hakika kwa Hali hiiwachawi waliobakia wajiandae kufa

  • @YasminaMkali
    @YasminaMkali 9 месяцев назад +9

    Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi. Hakika utaokoa wengi wanao ONEWA. ❤

  • @DoreenThomas-uq7cm
    @DoreenThomas-uq7cm 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @HawaOman
    @HawaOman 12 дней назад

    Ahsante mungu kwa ajili ya mtumishe wako

  • @mosesmasanja8295
    @mosesmasanja8295 4 месяца назад

    BWANA YESU atutuzwe. Nimetiwa umasikini kila ninachofanya sifanikiwi. Naomba msaada wako mtumishi wa MUNGU pastor Dominic.

  • @NeemaPierson
    @NeemaPierson 8 месяцев назад +1

    Tuna Kila sababu kumshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi. Mungu azidi kukubariki.

  • @magekimei4676
    @magekimei4676 2 месяца назад

    Mungu akulinde nabii

  • @MeshackEliah-sr4eq
    @MeshackEliah-sr4eq 15 дней назад

    Ubarikiwe na Mungu 🙏

  • @kaayaester9739
    @kaayaester9739 5 месяцев назад

    Ubarikiwe Nabii kiboko ya wachawi kazi yako ni njema Mungu Azidi kukuinua

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 6 месяцев назад +3

    Uyo mdada mjinga kweli unamwibia mamako hela unamuonga mwanaume,uyo mama amlipe uyo mfanyakazi wake fidia na pesa alizotowa kwa dhamana

  • @BMDESIGNZ
    @BMDESIGNZ 10 месяцев назад +1

    Mungu akubariki sana mchungaji kututeteya sisi wanyonge

  • @lukaschakupewa
    @lukaschakupewa 2 месяца назад

    Asante yesu kwa roho yako kuwa ndani ya watumishi waminifu amen

  • @adelinavernus9814
    @adelinavernus9814 6 месяцев назад +2

    Daah😢😢😢 nilikuwa siamini nimeanza kuamini

  • @mercymusembei5575
    @mercymusembei5575 2 месяца назад

    Amen nakataa umasikini

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto5392 5 месяцев назад

    Hii ni kiboko aiseee safi Sanaa nabiii! Endelea kuweka mambo hadharani hvyo hvyoooo

  • @ArnoldAbraham-yo5zg
    @ArnoldAbraham-yo5zg 10 месяцев назад +2

    yaan mungu anakuona wee dada !!

  • @masellemaziku1096
    @masellemaziku1096 7 месяцев назад

    Mungu ni mwema. Ahsante kwa Utumishi wako Mwema.

  • @SifaMwashite-dg3bl
    @SifaMwashite-dg3bl 8 месяцев назад +1

    Mwenyezi mungu akulinde baba

  • @CuttyLushazy
    @CuttyLushazy 2 месяца назад

    Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague baba

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 8 месяцев назад +1

    AMEN AMEN BABA

  • @HeppyRafaeli
    @HeppyRafaeli 2 месяца назад

    Nasema ttena Msiwaguse Manabii wa Bwana. Angalia hapo sasa. Wewe unaebisha unasemaje Tuwaombee Manabii!!

  • @CuttyLushazy
    @CuttyLushazy 2 месяца назад

    Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague babaa

  • @EmmanuelCharo-to4ij
    @EmmanuelCharo-to4ij 2 месяца назад +1

    Jamani mm na toka kenya naomba number ya uyo paster jamani mwenye anaweza ako karibu na uyo anisaidie kumpata

  • @yonazimpombe1160
    @yonazimpombe1160 3 месяца назад

    NABII TAJIRI ANAITWA KISYER CHAMBILI AMENIDHURUMU MILLIONI 5 ya mishahara yangu naomba YESU ANISAIDIE

  • @LeahLaizer-v4n
    @LeahLaizer-v4n 3 месяца назад

    Nabii bwana yesu asifiwe

  • @BalbinaMassawe
    @BalbinaMassawe 2 месяца назад

    Mwenyez mungu akulinde mtumish unatuokoa sana

  • @sanchezcastro5976
    @sanchezcastro5976 4 месяца назад

    Mungu akubaliki sana..
    Castro novatus ndege

  • @JanethEmmanuel-mr5le
    @JanethEmmanuel-mr5le 3 месяца назад

    Mwenyenzi mungu akupe maisha marefu mtume wa mungu tuombee na sisii

  • @neemaneychricious6493
    @neemaneychricious6493 8 месяцев назад

    Mungu akubark mtumish wa Mungu maan wanadam ni makatil kwel mtu anaib hela mwenzie analia uck kuchaa jamn na anakaushaa kwel hayo machoz ya mwenzie jamn Mungu kwel ni Mungu na anayawekaa wazi ya sirin

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 4 месяца назад +1

    Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢

  • @ashurakodd1589
    @ashurakodd1589 8 месяцев назад +1

    Mungu ameona nchi ya Tanzania Ina uonevu sana ndio maana ameachilia manabii wakuona
    Mungu ni mwema

  • @kitangeellyabisai2547
    @kitangeellyabisai2547 2 месяца назад

    Bariwa mtumishi, Huyo kijana aache kazi kwa huyo mama.

  • @FatumaMawona
    @FatumaMawona 3 месяца назад

    Am speechless Ur amazing ❤❤

  • @NyiranezaWarda-bk1yn
    @NyiranezaWarda-bk1yn 5 месяцев назад

    Mutetezi wawanyonge God bless you 🥰🥰🥰💯 Amen amen amen 🙏

  • @joshuamecky1806
    @joshuamecky1806 5 месяцев назад

    Mmmm?? Mungu tusaidie.

  • @SilasBaligila
    @SilasBaligila 5 месяцев назад

    Naitwa baligila Silas, baba naomba unitabilie hatima ya maisha yangu

  • @LilianMushi-ho8qf
    @LilianMushi-ho8qf 3 месяца назад

    Shalom baba pindu pindu kata kata funua hivyo watu tupone

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 8 месяцев назад

    Inauma ubalikiwe pastor baba angu anakifafa naomba umuombee

  • @davidapudo7886
    @davidapudo7886 4 месяца назад

    David Apudo watching from Kenya

  • @EzekielMangu-hg1bl
    @EzekielMangu-hg1bl 4 месяца назад

    Amen

  • @sikitugeorgette
    @sikitugeorgette 4 месяца назад

    Amen Amen 🙏

  • @joeloileoile4786
    @joeloileoile4786 6 месяцев назад

    Nabii unapomba niombee na mimi pia mambo yangu yako magumu asante amina

  • @wizebiligetwaziri5540
    @wizebiligetwaziri5540 7 месяцев назад

    Akika mungu wamazabau hii ni yesu mwenyewe anaetenda mtumishi ubarikiwe sana tumeona wengi

  • @DemieCharles
    @DemieCharles 6 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mtumishi miaka mingi kwako

  • @angelsaid7869
    @angelsaid7869 9 месяцев назад

    Yaan nimemwaga machozi kwa uchungu mungu akupe maisha marefu nabii

  • @snazzyally1255
    @snazzyally1255 10 месяцев назад +1

    yesu akupe umri mrefu ili uendelee kutusaidia

  • @richardlaurent1651
    @richardlaurent1651 5 месяцев назад

    Baba barikiwa sana.Amina

  • @SesiliaNenula-d8t
    @SesiliaNenula-d8t 9 месяцев назад +1

    Mungu akusaidie uishi miaka mingi sana

  • @AlfredMtandi
    @AlfredMtandi 2 месяца назад

    Nabii naomba maombi Yako yanifungue namimi

  • @RoseJohn-sg2gx
    @RoseJohn-sg2gx 5 месяцев назад

    Bwana yesu asifiwe baba yangu mimi niko arusha

  • @naseeralbishi4726
    @naseeralbishi4726 4 месяца назад +1

    Huyo mama amlipa siku zenye amekaa jela kwa uongo

  • @JoselyteSamuel
    @JoselyteSamuel 10 месяцев назад

    Bwana Yesu asifiwe baba,Mimi ni Joselyte nakuomba mambo Yako baba nateseka saana.chochote ninacho fanya hakifanikiwi.nisaidie baba

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 2 месяца назад

    Eti mtumishi wa mungu jamani mungu simama piga mpinga kristo huyu katika jina la yesu kristo wa nazarethi

  • @EllenMwangoka
    @EllenMwangoka 7 месяцев назад

    Daa kwaili mungu akuweke zaidi

  • @jofreydaud256
    @jofreydaud256 4 месяца назад

    Nabii mmewangu kipato kina yumba Sana na tulitamani tununuwe kiwanja tujenge mwakaa uu mambo mengi Sana kwenye family yangu baba nisaidie

  • @sanchezcastro5976
    @sanchezcastro5976 4 месяца назад

    Baba naomba unisaidie

  • @DanielKiberiti
    @DanielKiberiti 4 месяца назад

    Ameni

  • @ElizaMolle
    @ElizaMolle 5 месяцев назад

    nabii mungu akulinde unawawokowa wengi nawomba unitabiriye na Mimi nani ananiaribiya maisha yangu

  • @marionntomola1686
    @marionntomola1686 4 месяца назад

    Yaani, so ndivyo ilivyo kwa Yehova. Inatisha.

  • @RahmaMohamed-rn5gq
    @RahmaMohamed-rn5gq 5 месяцев назад

    Barikiwa sana nabii

  • @YusterMichael
    @YusterMichael 3 месяца назад

    Mungu ni mwaminifu sana

  • @mwizanchuroeustace9302
    @mwizanchuroeustace9302 4 месяца назад

    Kazi tatizo kwangu,marafiki wamenikimbia niliowasaidia wote wameenda naomba unisaidie kiukweli

  • @TABWEAlyne
    @TABWEAlyne 5 месяцев назад

    Mungu akubariki baba

  • @josephinekamluc1969
    @josephinekamluc1969 10 месяцев назад

    Mungu akubariki kwa kipaji chako

  • @JeniphaFredrick-hz5ll
    @JeniphaFredrick-hz5ll 3 месяца назад

    Aisee Mungu kweli ni muaminifu

  • @jastinmnyari8504
    @jastinmnyari8504 5 месяцев назад

    Amina baba naomba utabiri wako

  • @mwizanchuroeustace9302
    @mwizanchuroeustace9302 4 месяца назад

    Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 9 месяцев назад +1

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @SophiaUnderson
    @SophiaUnderson 5 месяцев назад

    Dunia ina mengi

  • @MankaMasawe-k9e
    @MankaMasawe-k9e 2 месяца назад

    niombeyebaba Mimi naitwa Manka nisaidiye baba

  • @amosmutuvi
    @amosmutuvi 6 месяцев назад

    Mungu akubariki tu saaana

  • @EsterJohnson-br2ir
    @EsterJohnson-br2ir 5 месяцев назад

    Naomba yangalia na mm mtumishi wa Mungu

  • @FelisterTebuye
    @FelisterTebuye 8 месяцев назад

    amina baba nimebarikiwa sana

  • @KirrinkolMeiyo
    @KirrinkolMeiyo 3 месяца назад

    Nabii wa mungu mm natoka kenya natamani kuonana n ww lakini sijui chia nn atanelekeza

  • @marrykimaro9792
    @marrykimaro9792 6 месяцев назад

    Nabii eeee Ni kidume Cha Mungu wanaokusema vibaya hawajielewi

  • @eunicekiilu7485
    @eunicekiilu7485 8 месяцев назад

    Mungu akubariki cna naomba uniomber nkipata pesa matayizo uwa mengi cna

  • @SarahManyanda
    @SarahManyanda 10 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu naomba unisaidie

  • @DanielKiberiti
    @DanielKiberiti 4 месяца назад +1

    Tusaidie familia yetu kiuchumi

  • @magrethpeter
    @magrethpeter 3 месяца назад

    MUNGU akuweke

  • @DottoFredrick
    @DottoFredrick 8 месяцев назад

    Amina, mashine ya kwa lulenge

  • @jastinmnyari8504
    @jastinmnyari8504 5 месяцев назад

    pastor dominic

  • @NanaelyNdimbo
    @NanaelyNdimbo 5 месяцев назад

    Nakuja sio muda mrefu nabii nakuja baba

  • @AishaShaban-x4m
    @AishaShaban-x4m 2 месяца назад

    Daaa najikuta nalia mwenyewe

  • @edmundwillbrod4671
    @edmundwillbrod4671 6 месяцев назад

    Ee mungu umlinde uyu baba ili azidi kutusaidie.

  • @KhadijaHakim-s7v
    @KhadijaHakim-s7v 7 месяцев назад +1

    Mtumishi baba

    • @KhadijaHakim-s7v
      @KhadijaHakim-s7v 7 месяцев назад

      Baba naomba unisaidie mim khadija

    • @KhadijaHakim-s7v
      @KhadijaHakim-s7v 7 месяцев назад

      Baba naomba unisaidie niolewe kila mtu ninaye kuwa naye kweny mahusiano n ahadi tu mim khadija

  • @KondoJuma
    @KondoJuma 4 месяца назад

    Nimeumia sana kwajili ya huyu kijana nabii

  • @FlorahKamayugi
    @FlorahKamayugi 3 месяца назад

    Naitwa flora niko moshi nabii naomba unitabirie baba familiayetu upande wakwa baba atuelewani na kwa mama ni ivoivo baba nitabirie baba angu

  • @meekcollection6192
    @meekcollection6192 10 месяцев назад

    Naitwa Vivian baba ubarikiwe sana Naomba unabii wako

  • @MankaMasawe-k9e
    @MankaMasawe-k9e 2 месяца назад

    nabinisaidi ye ❤

  • @MankaMasawe-k9e
    @MankaMasawe-k9e 2 месяца назад

    baba nisaidiye napugu kiwadam marakeamara tatizo awaniambiitatizo

  • @samyomondi
    @samyomondi 9 месяцев назад +1

    TOKKENNI BABELI JAMENI😢😢😢😢😢

  • @AnnaOmary-t6x
    @AnnaOmary-t6x 7 месяцев назад

    Nashida

  • @lucasmveyange3339
    @lucasmveyange3339 3 месяца назад

    Niokoe baba pastor Dominick kiboko ya wachawi

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts 9 месяцев назад +1

    Machozi yananitoka jamani huyu mungu niwamajaabu

  • @evaakyoo3009
    @evaakyoo3009 7 месяцев назад +1

    Mpaka machozi yamenitoka😢

  • @FrolaRaphael-e4s
    @FrolaRaphael-e4s 6 месяцев назад

    Naitwa richald lafaeli.nanianae niroga

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 9 месяцев назад

    I receive I receive I receive I receive

  • @FaustineKingu-w8d
    @FaustineKingu-w8d 9 месяцев назад

    Jamn baba nakupend bureee❤❤❤❤❤❤❤

  • @PetersamweliMollel
    @PetersamweliMollel 10 месяцев назад

    Bwana yesu asiviwe pasta me peter nakuomba uniombeye kwamaana Kila nikifanya kazi sioni ela inapita wapi please and please 🙏

  • @theobaldmkude8064
    @theobaldmkude8064 10 месяцев назад

    Nabii naomba tabili juu yangu