Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii
Mungu akubark mtumish wa Mungu maan wanadam ni makatil kwel mtu anaib hela mwenzie analia uck kuchaa jamn na anakaushaa kwel hayo machoz ya mwenzie jamn Mungu kwel ni Mungu na anayawekaa wazi ya sirin
Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢
Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana
Wewe sio kiboko ya wachawi tu, wewe ni fagia fagia kwa waovu. Nimekuelewa sana mtumishi, ni unachonikosha haswa ni kuweka wazi. Tofauti ya nabii wewe na wengine kuweka wazi ukweli. Ubarikiwe sana, siwezi kushika simu bila kukuangaria kidogo ukifanya miujiza hatariiiiii
wewe ni nooma Sana hakuna tena kama wewe unachambua Mambo ya MTU vilivyo
Ni kweli nabii ni kiboko ya wachawi
wewe koma mchawi
Tuwe tunachunguza na familia pia.@@eliasgama-mo2ss
Mungu akubariki sana mtumishi kwa hayo unayoyafanya hakika kwa Hali hiiwachawi waliobakia wajiandae kufa
Mwenyezi Mungu akulinde mtumishi. Hakika utaokoa wengi wanao ONEWA. ❤
Ubarikiwe sana mtumishi
Ahsante mungu kwa ajili ya mtumishe wako
BWANA YESU atutuzwe. Nimetiwa umasikini kila ninachofanya sifanikiwi. Naomba msaada wako mtumishi wa MUNGU pastor Dominic.
Tuna Kila sababu kumshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi. Mungu azidi kukubariki.
Mungu akulinde nabii
Ubarikiwe na Mungu 🙏
Ubarikiwe Nabii kiboko ya wachawi kazi yako ni njema Mungu Azidi kukuinua
Baba kiboko ya uchawi ubarikiwe sana
Uyo mdada mjinga kweli unamwibia mamako hela unamuonga mwanaume,uyo mama amlipe uyo mfanyakazi wake fidia na pesa alizotowa kwa dhamana
Mungu akubariki sana mchungaji kututeteya sisi wanyonge
Asante yesu kwa roho yako kuwa ndani ya watumishi waminifu amen
Daah😢😢😢 nilikuwa siamini nimeanza kuamini
Amen nakataa umasikini
Hii ni kiboko aiseee safi Sanaa nabiii! Endelea kuweka mambo hadharani hvyo hvyoooo
yaan mungu anakuona wee dada !!
Mungu ni mwema. Ahsante kwa Utumishi wako Mwema.
Mwenyezi mungu akulinde baba
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague baba
AMEN AMEN BABA
Nasema ttena Msiwaguse Manabii wa Bwana. Angalia hapo sasa. Wewe unaebisha unasemaje Tuwaombee Manabii!!
Naitwa happy natokeya Moshi naomba unikague babaa
Jamani mm na toka kenya naomba number ya uyo paster jamani mwenye anaweza ako karibu na uyo anisaidie kumpata
NABII TAJIRI ANAITWA KISYER CHAMBILI AMENIDHURUMU MILLIONI 5 ya mishahara yangu naomba YESU ANISAIDIE
Nabii bwana yesu asifiwe
Mwenyez mungu akulinde mtumish unatuokoa sana
Mungu akubaliki sana..
Castro novatus ndege
Mwenyenzi mungu akupe maisha marefu mtume wa mungu tuombee na sisii
Mungu akubark mtumish wa Mungu maan wanadam ni makatil kwel mtu anaib hela mwenzie analia uck kuchaa jamn na anakaushaa kwel hayo machoz ya mwenzie jamn Mungu kwel ni Mungu na anayawekaa wazi ya sirin
Daaah kijna wawatu kasingiziwa kaiba kumbe ni mtoto wa huyo mama kachikua jamani daaah Rinah😢😢Mungu anakuona nizambi 😢 Sana Mlipe fidia huyo kijana Rinah huna huruma hata kidogo yaani daaah imeniuma Sana Kama ndio mdogo angu amefanyiwa hivyo jamani ila wasichana wengine bhana daaah Wana roho ngumu Sana unachukua pesa unampelekea mwanaume anaye weza kutafuta pesa ndio tuseme umempenda Sana sivyo machozi ya huyo kijana Rinah hayata kuacha salama kweli Tena.😢
Mungu ameona nchi ya Tanzania Ina uonevu sana ndio maana ameachilia manabii wakuona
Mungu ni mwema
Bariwa mtumishi, Huyo kijana aache kazi kwa huyo mama.
Am speechless Ur amazing ❤❤
Mutetezi wawanyonge God bless you 🥰🥰🥰💯 Amen amen amen 🙏
Mmmm?? Mungu tusaidie.
Naitwa baligila Silas, baba naomba unitabilie hatima ya maisha yangu
Shalom baba pindu pindu kata kata funua hivyo watu tupone
Inauma ubalikiwe pastor baba angu anakifafa naomba umuombee
David Apudo watching from Kenya
Amen
Amen Amen 🙏
Nabii unapomba niombee na mimi pia mambo yangu yako magumu asante amina
Akika mungu wamazabau hii ni yesu mwenyewe anaetenda mtumishi ubarikiwe sana tumeona wengi
Mungu akubariki sana mtumishi miaka mingi kwako
Yaan nimemwaga machozi kwa uchungu mungu akupe maisha marefu nabii
yesu akupe umri mrefu ili uendelee kutusaidia
Baba barikiwa sana.Amina
Mungu akusaidie uishi miaka mingi sana
Nabii naomba maombi Yako yanifungue namimi
Bwana yesu asifiwe baba yangu mimi niko arusha
Huyo mama amlipa siku zenye amekaa jela kwa uongo
Bwana Yesu asifiwe baba,Mimi ni Joselyte nakuomba mambo Yako baba nateseka saana.chochote ninacho fanya hakifanikiwi.nisaidie baba
Naomba maombi yako
Eti mtumishi wa mungu jamani mungu simama piga mpinga kristo huyu katika jina la yesu kristo wa nazarethi
Daa kwaili mungu akuweke zaidi
Nabii mmewangu kipato kina yumba Sana na tulitamani tununuwe kiwanja tujenge mwakaa uu mambo mengi Sana kwenye family yangu baba nisaidie
Baba naomba unisaidie
Ameni
nabii mungu akulinde unawawokowa wengi nawomba unitabiriye na Mimi nani ananiaribiya maisha yangu
Yaani, so ndivyo ilivyo kwa Yehova. Inatisha.
Barikiwa sana nabii
Mungu ni mwaminifu sana
Kazi tatizo kwangu,marafiki wamenikimbia niliowasaidia wote wameenda naomba unisaidie kiukweli
Mungu akubariki baba
Mungu akubariki kwa kipaji chako
Aisee Mungu kweli ni muaminifu
Amina baba naomba utabiri wako
Naitwa mwizanchuro Evodius naomba unitabirie siko sawa kabisa naishi maisha ya afadhali ya Jana nimechoka na magonjwa yasiopona vyote vipo kwangu nimechoka sana
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Dunia ina mengi
niombeyebaba Mimi naitwa Manka nisaidiye baba
Mungu akubariki tu saaana
Naomba yangalia na mm mtumishi wa Mungu
amina baba nimebarikiwa sana
Nabii wa mungu mm natoka kenya natamani kuonana n ww lakini sijui chia nn atanelekeza
Nabii eeee Ni kidume Cha Mungu wanaokusema vibaya hawajielewi
Mungu akubariki cna naomba uniomber nkipata pesa matayizo uwa mengi cna
Mtumishi wa Mungu naomba unisaidie
Tusaidie familia yetu kiuchumi
MUNGU akuweke
Amina, mashine ya kwa lulenge
pastor dominic
Nakuja sio muda mrefu nabii nakuja baba
Daaa najikuta nalia mwenyewe
Ee mungu umlinde uyu baba ili azidi kutusaidie.
Mtumishi baba
Baba naomba unisaidie mim khadija
Baba naomba unisaidie niolewe kila mtu ninaye kuwa naye kweny mahusiano n ahadi tu mim khadija
Nimeumia sana kwajili ya huyu kijana nabii
Naitwa flora niko moshi nabii naomba unitabirie baba familiayetu upande wakwa baba atuelewani na kwa mama ni ivoivo baba nitabirie baba angu
Naitwa Vivian baba ubarikiwe sana Naomba unabii wako
nabinisaidi ye ❤
baba nisaidiye napugu kiwadam marakeamara tatizo awaniambiitatizo
TOKKENNI BABELI JAMENI😢😢😢😢😢
Nashida
Niokoe baba pastor Dominick kiboko ya wachawi
Machozi yananitoka jamani huyu mungu niwamajaabu
Mpaka machozi yamenitoka😢
Naitwa richald lafaeli.nanianae niroga
I receive I receive I receive I receive
Jamn baba nakupend bureee❤❤❤❤❤❤❤
Bwana yesu asiviwe pasta me peter nakuomba uniombeye kwamaana Kila nikifanya kazi sioni ela inapita wapi please and please 🙏
Nabii naomba tabili juu yangu