MCH.KATEKELA AFAFANUA KWANINI KUNA NYWELE BANDIA/MAWIGI KUTOKA KUZIMU NA JINSI YA KUZITAMBUA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 176

  • @ChimboTZ
    @ChimboTZ 2 месяца назад +3

    Tuongezee imani nazidi kuamini mungu yupo kama wangepatikana wachungaji 10 kama wewe kizazi na vizazi tanzania tungezamia wote katika dini mungu akubariki sana

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w 7 месяцев назад +19

    Mtumishi katekela umekuwa wa baraka africa yote, Mwenyezi Mungu akuzidishe.🙏

  • @IsabelMazik-r4t
    @IsabelMazik-r4t 6 месяцев назад +7

    Mungu Tusaidie, ROHO MTAKATIFU TUSAIDIE, KUTAMBUA KIPI NI SAHIHI NA KIPI SI SAHIHI

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 7 месяцев назад +4

    Napokea katika jina la Yesu Kristo, Amen.
    Mungu akubariki sana mtumishi Amieli Katekela

  • @LuciaAloyce-pp9ei
    @LuciaAloyce-pp9ei 6 месяцев назад +3

    ❤ mafundisho yako mtumishi ni kiboko ya dhambi nimepona asante sanaaa: :

  • @ElijahAmon-uq6zk
    @ElijahAmon-uq6zk 6 месяцев назад +3

    Ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU nabarikiwa sana na mahubiri yako yaani napenda unavyozifunua Siri na kazi za shetani

  • @chanilasumbuko
    @chanilasumbuko 4 месяца назад +2

    Barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu Mch Katekela

  • @jefwakalama4336
    @jefwakalama4336 5 месяцев назад +1

    MUNGU akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya

  • @johnmayeka8957
    @johnmayeka8957 6 месяцев назад +3

    Yehova yire Ahsante kwa ajili ya mch.Katekela Amina.

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 7 месяцев назад +4

    Amen Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Tunashukuru kwa mafundisho

  • @beatriceKavuye
    @beatriceKavuye 3 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi Mungu akutiye nguvu iyohuduma unayoifanya watuwengi wamepoteya❤❤❤❤

  • @user-ml6ov3rm1v
    @user-ml6ov3rm1v 6 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, kwa ujumbe mzuri sana.

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana pastor Kwa kweli hizi

  • @teodorinachengula9728
    @teodorinachengula9728 6 месяцев назад +3

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana

  • @jacquelinejeff1249
    @jacquelinejeff1249 7 месяцев назад +5

    Kuna nywele nilikuwa nikisuka zinawasha balaaa nakua sina raha na kuna nywele zingine nilikua nikisuka najiskia vizuri tu ila kwasasa niliona bora kunyoa tu kumbe mambo yenyewe ndio haya Asante sana Mtumishi wa Mungu

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f 7 месяцев назад +3

    Ameen mtumishi mungu atusaidie ubarikiwe sana pastor

  • @melisakatu8668
    @melisakatu8668 7 месяцев назад +2

    AMEN MTUMISHI NAKUTAFUTA DADANGU AMEFARIKI KA.A AMEKETII NIZAIGIE KWA MAOMBI

  • @JeannineNzabanita
    @JeannineNzabanita 2 месяца назад

    Mungu utusaidiye zaidi Sisi wamama tujuwe kipi kizuri n'a kibaya ili tukupendeze Siku zote, ubarikiwe mtumishi wa bwana kwaufinuo n'a kazi nzito

  • @ester7689
    @ester7689 7 месяцев назад +6

    Kweli kabisa mtumishi wa mungu chochote kile anachokiongeza mwanadamu kwenye mwili wake ambacho hakuumbwa nacho ni chukizo mbele za mungu na ni dhambi ambayo anawafanya wengi waikose mbingu ila ashukuliwe mungu anayeyafunua haya kupitia watumishi wa mungu ili sisi tupone na jehanamu

    • @stellambilinyi5402
      @stellambilinyi5402 6 месяцев назад

      Hongera kwakukoment ila ninaombi langu andika MUNGU au Mungu sio mungu

    • @jumamwita-dx1hs
      @jumamwita-dx1hs Месяц назад

      Amina,,, kubwa Yesu ana nguvu pia

    • @rithageorge2461
      @rithageorge2461 25 дней назад

      Hata nguo uliyoivaa. Umejiongezea hukuzaliwa nayo.

  • @princessprecious6995
    @princessprecious6995 6 месяцев назад +3

    Amen Mtumishi wa Mungu

  • @sgtelevision11
    @sgtelevision11 7 месяцев назад +5

    Amina ubarikiwe sana mtumishi, ndiyo maana wanawake wengi wana mapepo,

  • @FabiannaMonje
    @FabiannaMonje 23 дня назад +1

    Niukweli pastor APO Kwa kupokonywa mtoto nakunyonyesha imenifanyikia hio nkaota nmezaa mtoto anapokelewa Tena nlipojifungua mtoto akafariki Ila nashukuru yesu amenikomboa

  • @rerisamba
    @rerisamba 7 месяцев назад +7

    Mimi bado niko kwa Aston mbaya tu yani hixo nywele ni bai bai yaniwakati nilikua nazitumia nilikua na uzito fulani

  • @ibrahimshabani5918
    @ibrahimshabani5918 7 месяцев назад +5

    Mungu atusaidie

  • @aganolwanda5707
    @aganolwanda5707 6 месяцев назад +3

    Hakika Roho Mtakatifu ni msaidizi kwetu,mimi ananisaidia Sana na bila Roho Mtakatifu sijui kama ningekuwepo.maana Mambo ninayokutana nayo ni makubwa lkn Roho Mtakatifu huniongoza na kunielekeza.

  • @ElizabethJuma-e4z
    @ElizabethJuma-e4z 7 месяцев назад +2

    😊Ameeeen. Asante kwa mafundisho ubarikiwe mtumishi

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 7 месяцев назад +1

    Amen mungu akubarki san mtumishi kwa mafundisho mazuri

  • @RhoidaKibiki
    @RhoidaKibiki Месяц назад

    Nabarikiwa sana maana tunaifunza mengi kuhusu Imani , ila naomba Kwa vile vinavyo wezekana ungekuwa unatuonesha kabisa ilituzijuwe

  • @anorderick7162
    @anorderick7162 7 месяцев назад +2

    Nimekupenda sana Pastor maana Bible ina sema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....!!❤ Sema ukweli Baba....!!

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 6 месяцев назад +1

    Barikiwa sana mumishi wa mungu 😢😢😢😢 tusaidie Yesu

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад +1

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA 🙏

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад +1

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 7 месяцев назад +3

    Jesus is Good teacher

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад +2

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏

  • @dicksonndinya4759
    @dicksonndinya4759 5 месяцев назад +2

    Amen 🙏

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 7 месяцев назад +3

    Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU kwakuweka kila kitu wazi tunazidi kuelimika

  • @BENISiMBY
    @BENISiMBY 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @arsi8092
    @arsi8092 6 месяцев назад +2

    Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 7 месяцев назад +10

    Sema mutumishi shetani aibike anatutesa sanaaa

  • @peacemwesiga
    @peacemwesiga 6 месяцев назад +2

    Amen Ameeen

  • @sophiajonas2090
    @sophiajonas2090 7 месяцев назад +2

    Amen mtumishi was Mungu

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад +2

    I receive

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 7 месяцев назад +2

    Mungu tusaidie nashukuru mm situmii rasta wala mawig asnte mtumishi kwa habari ya nywele mwenye masikio naasikie

  • @nundebeats6754
    @nundebeats6754 4 месяца назад +1

    Asanteni kwa mafundisho mazuri

  • @EuniceKija
    @EuniceKija 6 месяцев назад +2

    Amen, ubarikiwe mno mtumishi kwa kusema ukweli

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 7 месяцев назад +1

    Hakuna cyaroho mtakatiku kuongoza Neno la Mungu linakataza kusuka nwele

    • @gordonomondi7161
      @gordonomondi7161 6 месяцев назад +1

      Soma warumi 9 verse 21. Nyuele bandia ni kama kuuliza mungu Kwa nini uliniumba vibaya?.

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku8718 7 месяцев назад +9

    Mtumishi ambia watu kusuka nywele ni dhambi na kuvaa wigi ni dhambi wafunge kitambaa

    • @Sarahsaid2648
      @Sarahsaid2648 7 месяцев назад +1

      Kweli kabisaa

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 7 месяцев назад +1

      Nywele ndefu ni kifuniko ,you can weka kitambaa ama ushikilie your natural hair,ila nywele ikiwa ndogo ama kanyoa lazima uvae kitambaa

    • @valentinanduku8718
      @valentinanduku8718 7 месяцев назад +2

      @@carendeborah5687 sawa asante

  • @MarthaChuwa-o6b
    @MarthaChuwa-o6b 6 месяцев назад +2

    Yani namshukuru MUNGU sana sipendi kabisa mawigi Yani nayachukia mnoooo

  • @timotheomawona
    @timotheomawona 6 месяцев назад +1

    Amina mtumishi

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 7 месяцев назад +5

    Inabidi uwaambie ukweli kuwa wanawake wanatikiwa kufunika kichwa na kusuka na wigi ni dhambi 1wakorintho 11:6-11
    1timotheo 2:9-10
    1petro 3:3

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 7 месяцев назад +2

      Nywele ndefu ni kifuniko Cha mwanamke

    • @Sarahsaid2648
      @Sarahsaid2648 7 месяцев назад +1

      @@carendeborah5687 ameen

    • @Sarahsaid2648
      @Sarahsaid2648 7 месяцев назад

      @@carendeborah5687 ameen

    • @evelynekomba7216
      @evelynekomba7216 6 месяцев назад

      ​@@carendeborah5687nywele ni kifuniko sawa, ila mwanamke asalipo au anapohutubu anapaswa afunike kichwa chake. Nywele zako ni utukufu wako, kichwa chako ni utukufu wa mume wako. Mungu hashei utukufu na mwanadamu.

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 6 месяцев назад

      @@evelynekomba7216 lakini imeandikwa nywele ni kifunikio Cha mwanamke ,nywele ikiwa fupi ndivyo ni lazima kufunga na kitambaa Kwa maana sisi wanawake tulijulishwa hivo katika bibilia ...nywele ikiwa fupi lazima ufunge kitambaa anyway ,,kitambaa SI mbaya hata hivo

  • @DoriceMdoe
    @DoriceMdoe 3 месяца назад +1

    Amen mtumishi

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 7 месяцев назад +2

    Amen and Amen

  • @violethadeus5376
    @violethadeus5376 7 месяцев назад +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @PendoNyambita
    @PendoNyambita 7 месяцев назад

    Mungu akubariki sana nahitaji kuonana na wewe nakupataje Mchungaji nateswa sana na nguvu za giza

  • @consgmail
    @consgmail 7 месяцев назад

    Ameni Mtumishi wa MUNGU Ameni ubarikiwe sana na BWANA

  • @IreneKamamdo-bg3jx
    @IreneKamamdo-bg3jx 2 месяца назад +1

    Amen Mtumishi

  • @noelmbosa2736
    @noelmbosa2736 Месяц назад

    Ameni, mtumishi wa Mungu, piko nayo ni dhambi

  • @SalomeJohn-o4n
    @SalomeJohn-o4n 6 месяцев назад +2

    Asee🧎🧎🧎 MUNGU atusaidie ROHO MTAKATIFU atuongoze kujua kipi kinastahili kiufanya na kutumia namshkru MUNGU Sana huwa Ni mzito Sana na sipend kabisa kusuka milasta

  • @bulayikushaha8661
    @bulayikushaha8661 5 месяцев назад +1

    Uko safi mno

  • @MaaDii-iz3ur
    @MaaDii-iz3ur 2 месяца назад +1

    😢mniomb3e pamoja na family yangu itoke kwenye vifungo vya kimaagano

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 7 месяцев назад +9

    Mimi nime sya acha siku nyingi kusuka nyele

  • @RodahAdonice-dz4sm
    @RodahAdonice-dz4sm 5 месяцев назад +2

    Hakika nilikuwa sijui haya

  • @LennoxLewis-x4e
    @LennoxLewis-x4e 7 месяцев назад +1

    Amen

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад +2

    From mwanza

  • @dainesykalinga7133
    @dainesykalinga7133 7 месяцев назад +4

    Mungu aturehemu wanawake tunaonywa mara Nyingi sana lakini bado tumeshupaza shingo.

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 7 месяцев назад +7

    Mapambo yote nidhambi muwemakini watu wa MUNGU

  • @JohnMungwana-te4rm
    @JohnMungwana-te4rm Месяц назад

    nabalikiwa sana mtumishi na mahubiliyako kiukweri natamani nigekuwa kalibu nisali kanisani kwako

  • @jentrixsimiyu-rh6rn
    @jentrixsimiyu-rh6rn 2 месяца назад

    Ahsante kwa habari ya nywele bandia. Je, dye ya nywele pia ni mbaya?

  • @jumamwita-dx1hs
    @jumamwita-dx1hs Месяц назад +1

    Inaonekana imani ni ngumu sana maana wanawake huwaambii kuhusu vitu hivyo
    Lakin Yesu mwokozi ana mamlaka yoote akisema neno halibadiliki

  • @deboratorokoko7618
    @deboratorokoko7618 7 месяцев назад +4

    Kumbe wasabato wako sawa wanakataza kusuka nywele za kila aina

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 7 месяцев назад +2

      Wanafuata Biblia ila sasa hivi mmh wanawamebadilika wengi wao

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 месяцев назад

      njoo Marekani uwaone WaTz wanavyosuka

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 7 месяцев назад +2

      ​@@LucyKapinga-fg4dkBora na Wewe umeshaona,Wanafanya kila Uchafu Hadi vimini wameanza kuvaa na huku ni Waimbaji,Shetani yuko Kote ananyemelea

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 7 месяцев назад

      @@trophywilson7211 inasikitisha Sanaa na Nguo zakubana mwili mno MUNGU Atusamehe

  • @GenduMedia
    @GenduMedia Месяц назад +1

    Uko na sili kubwa Sana
    Ndomaana wasabato wengi hawasuki

  • @lucyauma1547
    @lucyauma1547 7 месяцев назад +1

    Amen. Nauliza naphtali wapi Kanisa kama hili huku kwetu Kenya 🇰🇪

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 7 месяцев назад

      SI nyie wakenya mnapewa warning na Ezekiel hamsikii😂😂😂Hizi nywele zinaongelelewa huko Newlife but watu hawataki kusikia

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 7 месяцев назад +1

      ​@@carendeborah5687 Acha majibu ya kejeli Kwa mwenzako ambaye ametaka kujuwa ukweli

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 7 месяцев назад

      Omba tu mungu ndugu yangu Ili akufunulie mahali.pazuri pa Kwa abudu

    • @carendeborah5687
      @carendeborah5687 7 месяцев назад

      @@miltonjohn9779 SI ya kejeli , haya maneno ndugu anaongelelea inaongelelewa huku Kenya but most of us we take it for granted

    • @diananaswa4842
      @diananaswa4842 6 месяцев назад +1

      Kenya ... New Life Church.... Ezekiel klasiku anawaambia wamama jmn

  • @frolafelix
    @frolafelix 7 месяцев назад +1

    Mtumishi naomba kujua kuhusu kudred nywele, kuvaa heleni na cheni .

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад

    I receive I receive I receive

  • @Joel-lt1dv
    @Joel-lt1dv 7 месяцев назад +1

    "Nywele ya mwanaume mwenye kipara" iyo kali

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад

    I receive I receive I receive I receive I receive I

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 6 месяцев назад

    I receive I receive I receive I

  • @saigonernest7631
    @saigonernest7631 6 месяцев назад +1

    Hawaitiki umewagusa wamama wapumba uapo😊

  • @dicksonndinya4759
    @dicksonndinya4759 5 месяцев назад +1

    Ni ukweli pastor natoka Kenya

  • @safyahzabena3290
    @safyahzabena3290 6 месяцев назад +1

    Aaamena

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho 2 месяца назад

    Hakika,hakika,hakika

  • @LazaroStephano
    @LazaroStephano 6 месяцев назад +1

    UBALIKIWE KWA ELIM NZULI ZA ROHONI

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 7 месяцев назад +2

    Vitu vyote bandiya nizambi

  • @aidaraphael1956
    @aidaraphael1956 6 месяцев назад +1

    Nikwamba tuachane nayo hayo manyoya, kwanini zamani yalikuwepoo!!!

  • @rerisamba
    @rerisamba 7 месяцев назад +3

    🤣🤣🤣 nakumbuka nikichoma ubani nilipo okoka vizuri nilikoma kuchoma ubani

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf 7 месяцев назад +5

    Fichua siri zao zote

  • @sarahmaro215
    @sarahmaro215 6 месяцев назад +1

    Mch una mahubiri mazuri, natamani uje uhubiri kwetu Tabora, najaribu kukupigia ila Ni vigumu wewe kupokea simu nifanyeje?

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 7 месяцев назад +1

    Nahiyo umesema kusuka nwele bandia ingekuwa zambi wengi wangebakivsasa waliingiya wa ngapi kwa safina

  • @Lucy-lr1ll
    @Lucy-lr1ll 3 месяца назад

    Roho Mtakatifu Nifundishe

  • @alisamwenemwembe46
    @alisamwenemwembe46 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @marryhebron6185
    @marryhebron6185 6 месяцев назад

    Mtumishi nisidie na mimi ulipo sema kuumwa kichwa huwa kinaniuma upende sana kina chomachoma na miguu na mikono inaniuma sna usiku ni kilala mabegani na mikono inaniuma sana ila nikiamka haiumi,hata uchovu ni mwingi sana wa kuomba na pia kwenda Ibadani imekuwa shida hata kutoa sadaka imekuwa shida

  • @evelynekomba7216
    @evelynekomba7216 6 месяцев назад +1

    Mchungaji anaongea kwa kutumia tashtiti, sbb hiyo injili yenyewe watumishi wenyewe hawaitaki, kuhofia waumini watakimbia makanisani sbb ya hiyo roho ya yezebeli. Tuombe rehema

  • @vailetlemenya6576
    @vailetlemenya6576 7 месяцев назад +2

    🔥🙏🙏🙏💪👏👏👏👏👍

  • @AllyKufakunoga
    @AllyKufakunoga 4 месяца назад +1

    Katekela kalibu mafinga

  • @ApolinaStella
    @ApolinaStella 7 месяцев назад +1

    Tusmbiye mtumishi

  • @Kisanga
    @Kisanga 7 месяцев назад

    😊

  • @defenceumazi8047
    @defenceumazi8047 6 месяцев назад

    Natamani kufika kwa hii madhabahu ila sijui nitafikaje

  • @ntakilutandato
    @ntakilutandato 6 месяцев назад

    Complicated preaches...

  • @joshuabartonpolelaab4985
    @joshuabartonpolelaab4985 6 месяцев назад

    Uncompromised and unadulterated Gospel

  • @aganolwanda5707
    @aganolwanda5707 6 месяцев назад +1

    MUNGU BABA turehemu