MCH.KATEKELA AFAFANUA KWANINI KUNA NYWELE BANDIA/MAWIGI KUTOKA KUZIMU NA JINSI YA KUZITAMBUA
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hiichat.whatsapp....
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Tuongezee imani nazidi kuamini mungu yupo kama wangepatikana wachungaji 10 kama wewe kizazi na vizazi tanzania tungezamia wote katika dini mungu akubariki sana
Mtumishi katekela umekuwa wa baraka africa yote, Mwenyezi Mungu akuzidishe.🙏
Mungu Tusaidie, ROHO MTAKATIFU TUSAIDIE, KUTAMBUA KIPI NI SAHIHI NA KIPI SI SAHIHI
Napokea katika jina la Yesu Kristo, Amen.
Mungu akubariki sana mtumishi Amieli Katekela
❤ mafundisho yako mtumishi ni kiboko ya dhambi nimepona asante sanaaa: :
Ubarikiwe sana mtumishi Wa MUNGU nabarikiwa sana na mahubiri yako yaani napenda unavyozifunua Siri na kazi za shetani
Barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu Mch Katekela
MUNGU akubariki sana mtumishi kwa kzi nzuri Emmanuel Jefwa kutka Lamu Kenya
Yehova yire Ahsante kwa ajili ya mch.Katekela Amina.
Amen Mtumishi wa Mungu aliye hai katika jina la Yesu Kristo. Tunashukuru kwa mafundisho
Ubarikiwe sana mtumishi Mungu akutiye nguvu iyohuduma unayoifanya watuwengi wamepoteya❤❤❤❤
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu, kwa ujumbe mzuri sana.
Ubarikiwe sana pastor Kwa kweli hizi
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Kuna nywele nilikuwa nikisuka zinawasha balaaa nakua sina raha na kuna nywele zingine nilikua nikisuka najiskia vizuri tu ila kwasasa niliona bora kunyoa tu kumbe mambo yenyewe ndio haya Asante sana Mtumishi wa Mungu
Ukinyoa ,jifunike kitambaa usije ukakaa kama mwanamme
😂
@@carendeborah5687 Wala siogopi ndugu cha msingi nina wokovu hayo mengine mtajua wenyewe
@@jacquelinejeff1249kweli kipenzi
Ameen mtumishi mungu atusaidie ubarikiwe sana pastor
AMEN MTUMISHI NAKUTAFUTA DADANGU AMEFARIKI KA.A AMEKETII NIZAIGIE KWA MAOMBI
Mungu utusaidiye zaidi Sisi wamama tujuwe kipi kizuri n'a kibaya ili tukupendeze Siku zote, ubarikiwe mtumishi wa bwana kwaufinuo n'a kazi nzito
Kweli kabisa mtumishi wa mungu chochote kile anachokiongeza mwanadamu kwenye mwili wake ambacho hakuumbwa nacho ni chukizo mbele za mungu na ni dhambi ambayo anawafanya wengi waikose mbingu ila ashukuliwe mungu anayeyafunua haya kupitia watumishi wa mungu ili sisi tupone na jehanamu
Hongera kwakukoment ila ninaombi langu andika MUNGU au Mungu sio mungu
Amina,,, kubwa Yesu ana nguvu pia
Hata nguo uliyoivaa. Umejiongezea hukuzaliwa nayo.
Amen Mtumishi wa Mungu
Amina ubarikiwe sana mtumishi, ndiyo maana wanawake wengi wana mapepo,
Very sure
Niukweli pastor APO Kwa kupokonywa mtoto nakunyonyesha imenifanyikia hio nkaota nmezaa mtoto anapokelewa Tena nlipojifungua mtoto akafariki Ila nashukuru yesu amenikomboa
Mimi bado niko kwa Aston mbaya tu yani hixo nywele ni bai bai yaniwakati nilikua nazitumia nilikua na uzito fulani
Mungu atusaidie
Hakika Roho Mtakatifu ni msaidizi kwetu,mimi ananisaidia Sana na bila Roho Mtakatifu sijui kama ningekuwepo.maana Mambo ninayokutana nayo ni makubwa lkn Roho Mtakatifu huniongoza na kunielekeza.
😊Ameeeen. Asante kwa mafundisho ubarikiwe mtumishi
Amen mungu akubarki san mtumishi kwa mafundisho mazuri
Nabarikiwa sana maana tunaifunza mengi kuhusu Imani , ila naomba Kwa vile vinavyo wezekana ungekuwa unatuonesha kabisa ilituzijuwe
Nimekupenda sana Pastor maana Bible ina sema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa....!!❤ Sema ukweli Baba....!!
Barikiwa sana mumishi wa mungu 😢😢😢😢 tusaidie Yesu
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN BABA 🙏
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Jesus is Good teacher
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN 🙏
Amen 🙏
Ubarikiwe zaidi nazaidi Mtumishi wa MUNGU kwakuweka kila kitu wazi tunazidi kuelimika
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
Sema mutumishi shetani aibike anatutesa sanaaa
Amen Ameeen
Amen mtumishi was Mungu
I receive
Mungu tusaidie nashukuru mm situmii rasta wala mawig asnte mtumishi kwa habari ya nywele mwenye masikio naasikie
Asanteni kwa mafundisho mazuri
Amen, ubarikiwe mno mtumishi kwa kusema ukweli
Hakuna cyaroho mtakatiku kuongoza Neno la Mungu linakataza kusuka nwele
Soma warumi 9 verse 21. Nyuele bandia ni kama kuuliza mungu Kwa nini uliniumba vibaya?.
Mtumishi ambia watu kusuka nywele ni dhambi na kuvaa wigi ni dhambi wafunge kitambaa
Kweli kabisaa
Nywele ndefu ni kifuniko ,you can weka kitambaa ama ushikilie your natural hair,ila nywele ikiwa ndogo ama kanyoa lazima uvae kitambaa
@@carendeborah5687 sawa asante
Yani namshukuru MUNGU sana sipendi kabisa mawigi Yani nayachukia mnoooo
Amina mtumishi
Inabidi uwaambie ukweli kuwa wanawake wanatikiwa kufunika kichwa na kusuka na wigi ni dhambi 1wakorintho 11:6-11
1timotheo 2:9-10
1petro 3:3
Nywele ndefu ni kifuniko Cha mwanamke
@@carendeborah5687 ameen
@@carendeborah5687 ameen
@@carendeborah5687nywele ni kifuniko sawa, ila mwanamke asalipo au anapohutubu anapaswa afunike kichwa chake. Nywele zako ni utukufu wako, kichwa chako ni utukufu wa mume wako. Mungu hashei utukufu na mwanadamu.
@@evelynekomba7216 lakini imeandikwa nywele ni kifunikio Cha mwanamke ,nywele ikiwa fupi ndivyo ni lazima kufunga na kitambaa Kwa maana sisi wanawake tulijulishwa hivo katika bibilia ...nywele ikiwa fupi lazima ufunge kitambaa anyway ,,kitambaa SI mbaya hata hivo
Amen mtumishi
Amen and Amen
Ubarikiwe mtumishi
Mungu akubariki sana nahitaji kuonana na wewe nakupataje Mchungaji nateswa sana na nguvu za giza
Ameni Mtumishi wa MUNGU Ameni ubarikiwe sana na BWANA
Amen Mtumishi
Ameni, mtumishi wa Mungu, piko nayo ni dhambi
Asee🧎🧎🧎 MUNGU atusaidie ROHO MTAKATIFU atuongoze kujua kipi kinastahili kiufanya na kutumia namshkru MUNGU Sana huwa Ni mzito Sana na sipend kabisa kusuka milasta
Uko safi mno
😢mniomb3e pamoja na family yangu itoke kwenye vifungo vya kimaagano
Mimi nime sya acha siku nyingi kusuka nyele
🙏🙏🙏💐💐❤️❤️
Ameen
Aminaaaaaa
Najitahidi kuacha nashindwa
Hakika nilikuwa sijui haya
Amen
From mwanza
Mungu aturehemu wanawake tunaonywa mara Nyingi sana lakini bado tumeshupaza shingo.
Mapambo yote nidhambi muwemakini watu wa MUNGU
Tufanyeje sass
nabalikiwa sana mtumishi na mahubiliyako kiukweri natamani nigekuwa kalibu nisali kanisani kwako
Ahsante kwa habari ya nywele bandia. Je, dye ya nywele pia ni mbaya?
Inaonekana imani ni ngumu sana maana wanawake huwaambii kuhusu vitu hivyo
Lakin Yesu mwokozi ana mamlaka yoote akisema neno halibadiliki
Kumbe wasabato wako sawa wanakataza kusuka nywele za kila aina
Wanafuata Biblia ila sasa hivi mmh wanawamebadilika wengi wao
njoo Marekani uwaone WaTz wanavyosuka
@@LucyKapinga-fg4dkBora na Wewe umeshaona,Wanafanya kila Uchafu Hadi vimini wameanza kuvaa na huku ni Waimbaji,Shetani yuko Kote ananyemelea
@@trophywilson7211 inasikitisha Sanaa na Nguo zakubana mwili mno MUNGU Atusamehe
Uko na sili kubwa Sana
Ndomaana wasabato wengi hawasuki
Amen. Nauliza naphtali wapi Kanisa kama hili huku kwetu Kenya 🇰🇪
SI nyie wakenya mnapewa warning na Ezekiel hamsikii😂😂😂Hizi nywele zinaongelelewa huko Newlife but watu hawataki kusikia
@@carendeborah5687 Acha majibu ya kejeli Kwa mwenzako ambaye ametaka kujuwa ukweli
Omba tu mungu ndugu yangu Ili akufunulie mahali.pazuri pa Kwa abudu
@@miltonjohn9779 SI ya kejeli , haya maneno ndugu anaongelelea inaongelelewa huku Kenya but most of us we take it for granted
Kenya ... New Life Church.... Ezekiel klasiku anawaambia wamama jmn
Mtumishi naomba kujua kuhusu kudred nywele, kuvaa heleni na cheni .
I receive I receive I receive
"Nywele ya mwanaume mwenye kipara" iyo kali
😂😂😂😂
I receive I receive I receive I receive I receive I
I receive I receive I receive I
Hawaitiki umewagusa wamama wapumba uapo😊
Ni ukweli pastor natoka Kenya
Aaamena
Hakika,hakika,hakika
UBALIKIWE KWA ELIM NZULI ZA ROHONI
Vitu vyote bandiya nizambi
Nikwamba tuachane nayo hayo manyoya, kwanini zamani yalikuwepoo!!!
🤣🤣🤣 nakumbuka nikichoma ubani nilipo okoka vizuri nilikoma kuchoma ubani
Fichua siri zao zote
❤❤❤💐
Mch una mahubiri mazuri, natamani uje uhubiri kwetu Tabora, najaribu kukupigia ila Ni vigumu wewe kupokea simu nifanyeje?
Nahiyo umesema kusuka nwele bandia ingekuwa zambi wengi wangebakivsasa waliingiya wa ngapi kwa safina
Roho Mtakatifu Nifundishe
❤❤❤❤❤
Mtumishi nisidie na mimi ulipo sema kuumwa kichwa huwa kinaniuma upende sana kina chomachoma na miguu na mikono inaniuma sna usiku ni kilala mabegani na mikono inaniuma sana ila nikiamka haiumi,hata uchovu ni mwingi sana wa kuomba na pia kwenda Ibadani imekuwa shida hata kutoa sadaka imekuwa shida
Mchungaji anaongea kwa kutumia tashtiti, sbb hiyo injili yenyewe watumishi wenyewe hawaitaki, kuhofia waumini watakimbia makanisani sbb ya hiyo roho ya yezebeli. Tuombe rehema
🔥🙏🙏🙏💪👏👏👏👏👍
Katekela kalibu mafinga
Tusmbiye mtumishi
😊
Natamani kufika kwa hii madhabahu ila sijui nitafikaje
Complicated preaches...
Uncompromised and unadulterated Gospel
MUNGU BABA turehemu