HII NI TIBA YA AJABU,HAWATAKI UJUE- DR. MTANGO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июн 2024

Комментарии • 57

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 18 дней назад

    Waaaah,!!! Hilo papay limezaa matunda mengi sana, 🤔 barikiwa Dr mtumishi wa mwenyesi MUNGU 🙏

  • @felisterpaul1815
    @felisterpaul1815 13 дней назад

    asante saana pr
    mungu aendelee kukutunza

  • @user-se1wg3sw6g
    @user-se1wg3sw6g 22 дня назад +3

    Ubarikiwe kwa kutufuza namna ya kutumia papai kama dawa wacha Mungu akupe ufunuo zaidi.

  • @user-ew6tr5jk2o
    @user-ew6tr5jk2o 20 дней назад +1

    Wow asante sana kwa dawa Mungu akupaliki

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe8676 17 дней назад

    Asante daktari

  • @felixmagulu6142
    @felixmagulu6142 23 дня назад +2

    Asante sana dokta kwa elimu unayotoa,Mungu ametupatia kila kitu lakini tunakosa tu maarifa ya kuvitumia

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 22 дня назад +3

    Mungu akupe Afya njema na umri marefu baba etu ... Asante kwa mafunzo

  • @nyotasuleiman3464
    @nyotasuleiman3464 19 дней назад

    Ubarikiwe sana mtumishi
    Kwa mafunzo mazuri

  • @erickmillanzi4391
    @erickmillanzi4391 22 дня назад

    Asante mwl wàngu Mungu akubariki sana.

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 22 дня назад

    Asante sana barikiwa sanaaaana

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 22 дня назад +2

    Asante mwl kwa somo lakini hiyo Idea ya kupanda mpapai moja ni mawazo ya zamani lazima watu wapande mengi ili wasio limama wapate siutauza hilo ni somo pia ubalikiwe

  • @billian1914
    @billian1914 21 день назад

    Asante sana nimependa sana shamba lako na somo juu ya papaya.

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar3589 25 дней назад +1

    Somo zuri,mbarikiwe mahubiri tv.

  • @FridahMarete-jn8dv
    @FridahMarete-jn8dv 22 дня назад

    Pokea salamu nyingi Baba Barikiwa sana

  • @ambonisefesto1416
    @ambonisefesto1416 25 дней назад +4

    Vidonda vya tumbo nisumbufu kwangu

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 22 дня назад

    asante sn nakufata kutoka kongo 🇨🇩

  • @hajatihajati5357
    @hajatihajati5357 22 дня назад +1

    Doctor Asante ila dawa ya pumu haukueleza matumizi yake ulisema kama umedanganika ni ugonjwa mwengine

  • @lucyomido8271
    @lucyomido8271 21 день назад +1

    Pressure inatibiwa vipi kutumia papai?

  • @beattymakula4998
    @beattymakula4998 24 дня назад +3

    Naomba namba yako dr. Mtangoo nipo US nahitaji ushauri wako tafadhali

  • @user-om2rc3gd3s
    @user-om2rc3gd3s 22 дня назад

    Naomba namba Yako unifundishe Jinsi ya kutumia hilo papai Kwa tatizo la sukari na presha

  • @kamulikamuli530
    @kamulikamuli530 21 день назад

    Dr, nimekuelewa pale pa kutumia mvinyo kutibu maradhi ya moyo. Hivyo waweza kunywa mvinyo kama dawa

  • @Mary-vc6mo
    @Mary-vc6mo 21 день назад

    Please naoba dawa ya kumaliza kishukali kwa mwili

  • @victorianchimbi8640
    @victorianchimbi8640 18 дней назад

    Naomba matumizi ya papai kwa ugonjwa wa pumu

  • @queenesta.7222
    @queenesta.7222 21 день назад

    Chunusi ni nini?

  • @annastaziamsechu1966
    @annastaziamsechu1966 22 дня назад +1

    Vidonda vya tumbo unatibuje hapo

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie 22 дня назад

    Papai nidawasana

  • @mamaziada134
    @mamaziada134 18 дней назад

    Dawa ya hiv ukimwi ipo??

  • @mtashophilipo6213
    @mtashophilipo6213 23 дня назад +3

    Nina changamoto ya kupata maumivu kama kuwaka moto upande wa kushoto wa tumbo... Naomba msaada tafadhali

    • @pazomc3393
      @pazomc3393 22 дня назад

      Sory unatatizo la vidonda vya tumbo, pamba na hilo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 20 дней назад

    Cocacola ,soda inaleta dehydration ni kweli

  • @mwonjirubeatrice5991
    @mwonjirubeatrice5991 21 день назад

    Sijaelewa kwa mkojo

  • @rachel.amenimaumbuka2370
    @rachel.amenimaumbuka2370 22 дня назад

    Nasaidie kujua namna ya kutumia papai

  • @mchikirwambombeyagonja4311
    @mchikirwambombeyagonja4311 20 дней назад

    Hiyo malaria sugu unainywa mara ngapi

  • @DevothaNyelo
    @DevothaNyelo 17 дней назад

    Hiyo tiba ya malaria sugu unakunywa kwa muda gani? Naomba na namba utanisaidia kwa mengi .

  • @priscillalaibon5503
    @priscillalaibon5503 18 дней назад

    Give notes and mobile number sir

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 21 день назад

    Nime kupata vizuri docta papai inatibu saratani namunagani ?

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 22 дня назад

    Mbinguni ni wapi? Mzee

    • @rosendanshau2674
      @rosendanshau2674 18 дней назад

      Kweli unanishangaza hujui mbinguni soma kitabu cha ufunuo kuanzia 20 mpaka mwisho.

  • @Grev210
    @Grev210 25 дней назад +4

    Kristo wa neema yote, naomba kuuliza namna ya kutibu vidonda vya tumbo kwa kutumia papai

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 22 дня назад +1

      Nenda hospital utakufa bure kwa kuwasikiliza hao mapasta

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  22 дня назад +5

      @alzawahirabdallah2299 Pole sana! Anaye ongea hapo sio Pastor ni Professor ambae ni Mwalim wa madaktari

    • @Grev210
      @Grev210 22 дня назад

      @@alzawahirabdallah2299 hatua ya kwanza kuu katika ukuaji ni kujitambua jiulize kabla hauja comment kwenye community unahisi hapa tupo kubashiri juu ya afya zetu wakati vipimo tunavyo .. Mungu akurehemu huna amri ya kuhukumu usichokijua yakupasa ujifunze ..📌

    • @farhannahomary5505
      @farhannahomary5505 21 день назад +1

      Nipe no zako nikueleze utanishukuru

    • @samsonplatson2136
      @samsonplatson2136 20 дней назад

      @@alzawahirabdallah2299 nimetumia dawa za vidonda vya tumbo hospital mwaka wa pili huu sjapona kwa hio ni bora tuwaskilize

  • @wkimunya
    @wkimunya 22 дня назад

    Mimi Nauliza dawa ya kutibu Harufu mbaya kutoka mdomoni

    • @angelamturi2207
      @angelamturi2207 22 дня назад

      Nenda clinic za meno, wanasafisha meno

    • @jesusfirstchurch4162
      @jesusfirstchurch4162 22 дня назад

      Uwe unasafisha ulimi pia kwa mswaki ikiendelea kunywa dawa ya kusafisha tumbo Kuna uchafu unaganda kwenye ukuta wa utumbo

    • @wkimunya
      @wkimunya 22 дня назад

      I want traditional meds as I have tried all medication . So I want that what will clean the stomach

    • @rabanmoses5423
      @rabanmoses5423 20 дней назад

      Barikiwa sana mtumushi wa Baba

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 20 дней назад

    Kimunya ndugu yangu dawa ya kuondoa harufu mbaya mdomoni ni kumuona mganga wa meno na kuondoa mabakia ya chakula kutoka kwenye meno kwa kutumia njiti maalumu kwani hata ukisugua meno kuna vipande vya chakula vinabakia katikati ya meno na kuoza hivyo kunuka😮.

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 19 дней назад

    Kuna Dr mtango alinifundisha research methodology miaka zaidi 15.. ndo huyu?? Ila wamefanana sana