Asante mwl kwa somo lakini hiyo Idea ya kupanda mpapai moja ni mawazo ya zamani lazima watu wapande mengi ili wasio limama wapate siutauza hilo ni somo pia ubalikiwe
@@alzawahirabdallah2299 hatua ya kwanza kuu katika ukuaji ni kujitambua jiulize kabla hauja comment kwenye community unahisi hapa tupo kubashiri juu ya afya zetu wakati vipimo tunavyo .. Mungu akurehemu huna amri ya kuhukumu usichokijua yakupasa ujifunze ..📌
Kimunya ndugu yangu dawa ya kuondoa harufu mbaya mdomoni ni kumuona mganga wa meno na kuondoa mabakia ya chakula kutoka kwenye meno kwa kutumia njiti maalumu kwani hata ukisugua meno kuna vipande vya chakula vinabakia katikati ya meno na kuoza hivyo kunuka😮.
Waaaah,!!! Hilo papay limezaa matunda mengi sana, 🤔 barikiwa Dr mtumishi wa mwenyesi MUNGU 🙏
asante saana pr
mungu aendelee kukutunza
Ubarikiwe kwa kutufuza namna ya kutumia papai kama dawa wacha Mungu akupe ufunuo zaidi.
Wow asante sana kwa dawa Mungu akupaliki
Asante daktari
Asante sana dokta kwa elimu unayotoa,Mungu ametupatia kila kitu lakini tunakosa tu maarifa ya kuvitumia
Mungu akupe Afya njema na umri marefu baba etu ... Asante kwa mafunzo
Ubarikiwe sana mtumishi
Kwa mafunzo mazuri
Asante mwl wàngu Mungu akubariki sana.
Asante sana barikiwa sanaaaana
Asante mwl kwa somo lakini hiyo Idea ya kupanda mpapai moja ni mawazo ya zamani lazima watu wapande mengi ili wasio limama wapate siutauza hilo ni somo pia ubalikiwe
Asante sana nimependa sana shamba lako na somo juu ya papaya.
Somo zuri,mbarikiwe mahubiri tv.
Pokea salamu nyingi Baba Barikiwa sana
Vidonda vya tumbo nisumbufu kwangu
asante sn nakufata kutoka kongo 🇨🇩
Doctor Asante ila dawa ya pumu haukueleza matumizi yake ulisema kama umedanganika ni ugonjwa mwengine
Pressure inatibiwa vipi kutumia papai?
Naomba namba yako dr. Mtangoo nipo US nahitaji ushauri wako tafadhali
Barikiwa sana Dr samahani naomba namba
Naomba namba Yako unifundishe Jinsi ya kutumia hilo papai Kwa tatizo la sukari na presha
Dr, nimekuelewa pale pa kutumia mvinyo kutibu maradhi ya moyo. Hivyo waweza kunywa mvinyo kama dawa
Please naoba dawa ya kumaliza kishukali kwa mwili
Naomba matumizi ya papai kwa ugonjwa wa pumu
Chunusi ni nini?
Vidonda vya tumbo unatibuje hapo
Papai nidawasana
Dawa ya hiv ukimwi ipo??
Nina changamoto ya kupata maumivu kama kuwaka moto upande wa kushoto wa tumbo... Naomba msaada tafadhali
Sory unatatizo la vidonda vya tumbo, pamba na hilo
Cocacola ,soda inaleta dehydration ni kweli
Sijaelewa kwa mkojo
Nasaidie kujua namna ya kutumia papai
Hiyo malaria sugu unainywa mara ngapi
Hiyo tiba ya malaria sugu unakunywa kwa muda gani? Naomba na namba utanisaidia kwa mengi .
Give notes and mobile number sir
Nime kupata vizuri docta papai inatibu saratani namunagani ?
Mbinguni ni wapi? Mzee
Kweli unanishangaza hujui mbinguni soma kitabu cha ufunuo kuanzia 20 mpaka mwisho.
Kristo wa neema yote, naomba kuuliza namna ya kutibu vidonda vya tumbo kwa kutumia papai
Nenda hospital utakufa bure kwa kuwasikiliza hao mapasta
@alzawahirabdallah2299 Pole sana! Anaye ongea hapo sio Pastor ni Professor ambae ni Mwalim wa madaktari
@@alzawahirabdallah2299 hatua ya kwanza kuu katika ukuaji ni kujitambua jiulize kabla hauja comment kwenye community unahisi hapa tupo kubashiri juu ya afya zetu wakati vipimo tunavyo .. Mungu akurehemu huna amri ya kuhukumu usichokijua yakupasa ujifunze ..📌
Nipe no zako nikueleze utanishukuru
@@alzawahirabdallah2299 nimetumia dawa za vidonda vya tumbo hospital mwaka wa pili huu sjapona kwa hio ni bora tuwaskilize
Mimi Nauliza dawa ya kutibu Harufu mbaya kutoka mdomoni
Nenda clinic za meno, wanasafisha meno
Uwe unasafisha ulimi pia kwa mswaki ikiendelea kunywa dawa ya kusafisha tumbo Kuna uchafu unaganda kwenye ukuta wa utumbo
I want traditional meds as I have tried all medication . So I want that what will clean the stomach
Barikiwa sana mtumushi wa Baba
Kimunya ndugu yangu dawa ya kuondoa harufu mbaya mdomoni ni kumuona mganga wa meno na kuondoa mabakia ya chakula kutoka kwenye meno kwa kutumia njiti maalumu kwani hata ukisugua meno kuna vipande vya chakula vinabakia katikati ya meno na kuoza hivyo kunuka😮.
Tumia maji mengi
Kuna Dr mtango alinifundisha research methodology miaka zaidi 15.. ndo huyu?? Ila wamefanana sana
Ni yeye