USHUHUDA NA MAPITO YA MCH.KIJANA MWENYE KANISA LA WAUMINI WATATU TU "Mwanzoni nilikuwa mwenyewe tu"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
    1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
    3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
    Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
    #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Комментарии • 169

  • @kisembomaliyamungu572
    @kisembomaliyamungu572 3 года назад +11

    Shukurani ninafurai sana na ushuhuda wako niko mutume kutoka Congo DRC mimi pia nilianza kanisa namna hio alakini leo kazi inaendelea usiogope yesu atakuinua simama tu

  • @apostleeliyaj.milanzi5339
    @apostleeliyaj.milanzi5339 3 года назад +5

    Mungu akuinue na kukupeleka viwango vingine akuinulie watu watakaokushika kwenye Uduma

  • @Chekakidogo2
    @Chekakidogo2 3 года назад +5

    Mungu wa Mbinguni akuinue zaidi Katika huduma yako Mtumishi wa Mungu.

  • @fedhajoseph7687
    @fedhajoseph7687 3 года назад +4

    Ubarikiwe sana baba yangu Mungu ni mwaminifu atafunguwa milango jipe moyo Mungu yupamoja nawe.

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 3 года назад +2

    Bless you Brother, Mungu yu Pamoja nawe

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 3 года назад +1

    Mungu wambinguni akuinue sana mutumishi ubarikiwe sana

  • @elizabethmasibo8628
    @elizabethmasibo8628 3 года назад +4

    Don't give up God is with u

  • @bukuruphilibert2968
    @bukuruphilibert2968 8 месяцев назад +6

    Mungu anaweza kufunga milango ya pesa hata misaada lengo aone iman yako na akuinue mwenyeee umuelewe zaidi

  • @enjoiburahim5908
    @enjoiburahim5908 3 года назад +5

    Kaza mwendo mngu yupo pamoja nawewe ipo siku Nita kuja kahama nijumuike nanjie roho yang ina uma ira mngu yupo ata kutetea tu

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 Год назад +1

    Uskate tamaa

  • @consumingfire2772
    @consumingfire2772 3 года назад +2

    Jacktan tunaomba namba za huyu Mchungaji

    • @PROMOVERTVLive
      @PROMOVERTVLive  3 года назад

      Ukiangali mpaka mwisho utaziona amezitaja
      0764487028‎‎

  • @loycekagia2110
    @loycekagia2110 3 года назад +1

    Hakika zidi kugonja Mungu

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 3 года назад +1

    Nakuombea yusipe au kuhuza mafuta yakupaka ambao nisumu kama ilovo tokea kwa kanisa moja ambao watu zaidi ya ishirini wamekufa hapo hapo

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Kamauna namba yahfone uyitume kwasababu kaziya mungutuna yipendasana hatana majina yako uandike tuyao ne

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 года назад

    Kwani mi nauliza ni lazma kila mtu awe na kanisa lake, mtaaa mmoja makanisa kumi

  • @enjoiburahim5908
    @enjoiburahim5908 3 года назад +1

    Mtumishi mngu yupo pamoja na wewe toa namba zako za sim tuku changie usi ogope mwamini mngu

  • @sarahawori6430
    @sarahawori6430 3 года назад

    Please tell us where do you come from as for me am akenyan🐶🐶🐶🐶

  • @mwavithaniyburana932
    @mwavithaniyburana932 Месяц назад +2

    Kazi ya Mungu ni nzito kweri Mungu akutiye nguvu ila Pana siku itakuinua

  • @chumbachaneemaccnonlinetv6271
    @chumbachaneemaccnonlinetv6271 3 года назад +8

    Watu wote muliyoguswa na huduma ya Mch Paulo nawaomba tuungane tufanye kitu kwake ,tunaweza kumuchangia pesa akapata kununua vyombo ...hata ukitoa elfu 10 ,tukakusanya pamoja ,atapata kitu .Kama unaona hii umeielewa basi nijurishe tuone namna ya kuweka kikundi cha kumusaidia.Asanteni

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli5616 3 года назад +11

    Ungeanzia atanyumbani kwako baba mchungaji kwasababu iyo itakugarimu sana promover TV umwambieko angeanzia kwanza nyumbani kisha anatoka kanisani pole sana kaka yangu mungu awezi kukuacha

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 3 года назад +15

    Kama ni MUNGU ameanza usihofu mtumishi MUNGU ndiye atakayeikuza huduma yako na kukuletea watu ni uvumilivu na imani na kumtumikia Mungu kwa Roho na kweli na kumsikiliza yeye kwa bidii tu ubarikiwe sana Mtumishi na Mungu atakupeleka viwango vya juu zaidi namshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi

    • @ridgetomas7804
      @ridgetomas7804 3 года назад

      a trick: you can watch movies on Kaldrostream. I've been using it for watching lots of of movies recently.

    • @jaxtonjerry6685
      @jaxtonjerry6685 3 года назад

      @Ridge Tomas yup, been watching on Kaldrostream for since december myself :)

  • @maxjofrey70
    @maxjofrey70 3 года назад +6

    Mungu wetu ashindwi akikupa changamoto lazima akupe na solution amini mungu atatenda makuu katika huduma

  • @chumbachaneemaccnonlinetv6271
    @chumbachaneemaccnonlinetv6271 3 года назад +5

    Bwana Yesu asifiwe ,nafuatiliaga shuhuda za promover Tv ,lakini huu ushuhuda umenigusa Sana ,na Mungu ambariki Mch Paulo ,naona Mungu anaenda kumutoa kwenye hali hii,na kufanya mambo makubwa kwake ,{SONGA MBELE USIKATE TAMAA}

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 3 года назад +7

    Amen, vumilia mpaka mwisho baba. Mungu wa mbinguni hawezi hakakuacha yuko nawe. Na atakuletea washirika maana ni mwaminifu.

  • @ifgodsayyes.nobodycansayno1796
    @ifgodsayyes.nobodycansayno1796 3 года назад +5

    MAONI YANGU KANISA WAEZA FANYA HATA NNJE MUNGU ANASIKIA MAONI MAALI POPOTE NDIO UKIPATA PESA UJENGE YA NINI UJIPE STRESS ZA KULIPA MAALI NA HUNA PESA HUNA WAAMINI KUNA SHULE WATOTO WABASOMA CHINI ZA MITI MAKANISANI CHICHINI ZA MITI MIMI NAAMINI MUNGU ANASIKIA POPOTE PALE ANYWAY ALL THE BEST

  • @bintiwazion765
    @bintiwazion765 3 года назад +5

    Get out of the church and let the Lord lead you to certain houses, trust me winning souls will be more effective that way. At least you will see how some live and will help them little by little instead of staying in church preaching waiting for tithe... Oh by the way I did not understand one word... But I wrote what was on my heart

    • @sadikimtega4135
      @sadikimtega4135 3 года назад

      Mchungaji huwa hafanyi kazi za nje, Mungu huwaleta kidogo kidogo, Mchungaji hupita kwa mtu mmoja mmoja mmoja

    • @christopherbomola4151
      @christopherbomola4151 3 года назад

      Mungu ni mwema atamsimamia,aliyemwita katika safari anajua kusudi lake

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Usicho ke endereya kuomba utapata

  • @obedlange5375
    @obedlange5375 2 года назад +2

    MUNGU akubariki kwa ushuhuda pia roho mtakatifu azid kukufundisha na kukuelimisha na kipawa akupatie kwa ajili ya kulitangaza jina lake!?

  • @mariamfaith9914
    @mariamfaith9914 3 года назад +5

    Mahali Kuna watatu roho wa Mungu yupo pale. Ana Imani Sana huyu pastor

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 7 месяцев назад +2

    Barikiwa sana mtumishi mungu atakuinua mpk utamshangaa songa mbele na usimame na mungu tyu

  • @gestinabunganiekuya6300
    @gestinabunganiekuya6300 3 года назад +4

    Biblia inasema kwamba wakusanyikapo wawili au watatu kwa ajili ya jina langu nami nitakuwa katikati yao asema Bwana wa majeshi, usikate tamaa mtumishi Mungu unayemtumikia akutie nguvu ya kusonga mbele kujaa kwa kanisa ni kazi ya Mungu mwenyewe

  • @zedianagasper9475
    @zedianagasper9475 3 года назад +7

    MUNGU akutie nguvu

  • @RastaSuma
    @RastaSuma Месяц назад

    Kila mtu akiwa hana pesa anafungua kanisa baada muda ana nyumba na gari zuri na waumini hawana hata kibanda huu ni utapeli tanzania mmezidi kudanganya watu,kila mtu nabii kila mtu mchungaji.

  • @rosemarychristopher3827
    @rosemarychristopher3827 3 года назад +9

    Mungu akutete mtumishi wa MUNGU! Usikate tamaa endelea kumuamini Yesu atatenda. Kikubwa tu usijeukaingia tamaa ya kupata waumini wengi kwa haraka na sadaka nyingi kwa njia za giza.

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 3 года назад +4

    Don't worry about this big churches,God is no longer in them

  • @Houseofprayercentertz
    @Houseofprayercentertz 3 месяца назад

    NYIE MNAOSEMA MUNGU ATAMWINUA MARA AVUMILIE, NI HIVI TUTOE MICHANGO YA KIFETHA AWEZE KUINUKA ZAIDI! TUSIKWEPE KAZI YAMUNGU

  • @FrankAloyce-ic6rq
    @FrankAloyce-ic6rq 5 месяцев назад

    Kafanye biashara zingine jumapiri nenda kahubiri injili acha kupoteza mda ww kanisan ni la yesu watu ni WA yesu watakuja kwa wakati wakw

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 10 месяцев назад +1

    Hili ndio kanisa la kweli.haya yanayoenda maelfu ya watu ni uongo tu

  • @aminaally4163
    @aminaally4163 3 года назад +9

    Nikweli inatupasa kumwamini YESU KRISTO kwaroho na kweli.

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 3 года назад +2

    Sasa mtumishi wamungu amejieleza vizuri sana umepitia mambo mengi sana naroho wamungu yuko ndani yako nakizuri zaidi unaamini zaidi katika mungu sasa asitokee hata mtu mmoja akasema twende huku utapata waumini wengi usikubali acha mungu asimame mwenyewe na mungu atie nguvu amina

  • @renildevenerand9473
    @renildevenerand9473 3 года назад +2

    Kweli imenigusa .na nimeshangaa nakujifunza kweli tuiheshimu kazi yoyote ungejua kama muuza maji anaweza kufikisha milioni moja.

  • @shamsiyasalim6866
    @shamsiyasalim6866 Год назад

    Wewe ni Bora usilimu kwani yesu hakutumwa kwako alitumwa kwa Wana wa Israel makabila kumi na mbili

  • @jessicamorrison289
    @jessicamorrison289 3 года назад +4

    Ungeanza nyumba hadi nyumba, halafu unaita watu nyumbani kwako kila wiki siku za kawaida. Unachagua siku mbili au moja kwa wiki. Basi Mungu atakuletea tu watu. Nitakuombea ndugu yangu ndani ya miezi sita kanisa lako litakua kubwa.

  • @chiribagulajeanne1025
    @chiribagulajeanne1025 3 года назад +2

    Jambo kaka
    Ndugu usikate tama sababu Mungu ana mpango na wewe, uko na WhatsApp? Mungu awalinde na atume watu wengi na wasapoti, na misaada kwa kanisa ilo.

  • @christopherbomola4151
    @christopherbomola4151 3 года назад +3

    Maranatha!,Mungu ni mwema usikate tamaa tutakuweka kwenye maombi

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Poresana mwanangu nyasikia nimagum mbona iyokazi yamungu ningumusana urikuwawakusaidiwa rakini vumiriya ndivyo uzima bikiwezekana tutahusapoti

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 3 года назад +1

    Omba kwanza uvunje madhababu ya hilo kanisa ,uwezi jua aliyeacha ameacha nini ,funga na kuomba , BWANA atawaleta kondoo

  • @anngrace522
    @anngrace522 3 года назад +1

    Husiogope kaka MUNGU atafanya njia pia typo kukusaidia mtumishi na kwa habari ya uchache wa wahumini Husiogope songa mbele MUNGU hangalii wingi wa watu mbinguni wanafurahi mmoja tu akiokoka pia 2 au 3 wakusanyikapo kwa anjili ya MUNGU yuko hapo pamoja nao.jivike nguvu katika BWANA neema ya MUNGU izidi juu yako. Tunakuombea. MUNGU atakuinua kwa wakti wake.

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Nirikuwa simusomi rakini mungukanitendeya kanipereka amerika sasanawachungaji wengi watumika katiyamakanisa yariyojegwa nami nafurahisana

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Hatanam niriteseka ukotanzaniy nikiwamukimbizi rakisasa namakanisa sita ukoburundi nanunuwa nikajenga nikahwe kamabati nanini munguni mwema

  • @janengaga2928
    @janengaga2928 5 месяцев назад +1

    Mshukuru sana MUNGU wengine wanapenda huduma wameitwa hawana hata pa kuabudia.Mungu akutie nguvu akupe mahitaji yote.

  • @Veni584
    @Veni584 2 месяца назад

    Hao watoto watalijaza kanisa baadae

  • @rewardyesse7314
    @rewardyesse7314 11 месяцев назад

    Mtu kajenga kanisa anakodisha au lilikuwa ghala?

  • @sarahawori6430
    @sarahawori6430 3 года назад +3

    Hawa wachawi hawana mmlaka in Jesus name

  • @hassanjoel6291
    @hassanjoel6291 6 месяцев назад +1

    MUNGU akuinulie watu ili kanisa lake liinuke, simama na MUNGU usikate tamaa

  • @Gloriawilliam-mr8kb
    @Gloriawilliam-mr8kb 5 месяцев назад

    Naomba namba ya mtumishi wa MUNGu

  • @nkoyiisack6808
    @nkoyiisack6808 3 месяца назад

    KAZI ya Bwana ataiinua mwenyewe

  • @AlfaSanga
    @AlfaSanga 3 года назад +5

    Ukiwa mwinjilisti utachumbia hata kilema, na bado atakukataa 😊

  • @esaumahundi5076
    @esaumahundi5076 3 года назад +1

    Makanisa ya kweli hupitia Hari Kama hiyo huzaa 30 60kisha Mia songa mbele usiogope yupo mwanzilishi ambaye ni yesu

  • @0ttiliwiliam317
    @0ttiliwiliam317 3 года назад +3

    eee Mungu saidia watoto wetu

  • @Lucy-nr2sm
    @Lucy-nr2sm 3 года назад +3

    Mungu Baba awepamoja nawe uuwone ushindi wamwenyezi Mungu

  • @mkalma-i4q
    @mkalma-i4q 3 месяца назад

    Aki MUNGU ni mwema saba

  • @pastoreliya663
    @pastoreliya663 3 месяца назад +1

    Usiogope Mwana Wa Mungu ,Najua hatakuinulia watu,

  • @tiamo726
    @tiamo726 3 года назад +1

    Angeanza kwa nyumba kwanza alafu akiexpand ndio afungue kanisa ndio he would spend much paying church rent he may not be able to afford...

  • @EuniceM-wt5br
    @EuniceM-wt5br 11 месяцев назад

    MUNGU atakupoganiha bro

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold5129 3 года назад +1

    Kwa mtazamo wangu japo sijui agano lake na Mungu, ilitakiwa amtumikie Mungu chini ya yule mchungaji aliye mpokea huku akiwa na nia ileile ya kuanzisha huduma yake. Angekaa hapo had aone ana misingi imara ya kifedha ndipo angeenda kuanzisha huduma au hata walivyo shaur wengine kuwa angeanzia nyumbani aliko panga huku akifanya juhudi katika kufanya kazi ili misingi ya kifedha ikiwepo ndo angeenda kuanzisha huduma.

  • @ellymwakyando6549
    @ellymwakyando6549 3 года назад +1

    Sauti ya mtu aliaye nyikani ilivuta watu kwenda nyikani kwahiyo Usiogope MUNGU ana watu atakuletea Ukiendelea kumtegemea na Kumnyenyekea na Kushuka kabisa chini yake

  • @levismike16
    @levismike16 3 года назад +6

    ASANTE YESU KRISTO KWA KUINUA KINA HUYU.KWA KILE ANACHOKILETA KWA KUKUTUMIKIA MSAIDIE SANA.APATE KUJENGA NA APATE WAUMINI.BWANA YESU UNAWEZA YOTE.AMINA

  • @sarahawori6430
    @sarahawori6430 3 года назад +2

    Mungu akusaidie Kama alikuita hawez kukuacha keep 👆 👆 up and you will be blessed

  • @biblianenolaukweli5616
    @biblianenolaukweli5616 3 года назад +3

    Ubarikiwe kweli mungu akuwezeshe kwauduma yako

  • @sarahawori6430
    @sarahawori6430 3 года назад +5

    Oo my God help her iknow that ur aliving God u are the God who answers prayer🐶🐶🐶🐶🐶

  • @enjoiburahim5908
    @enjoiburahim5908 3 года назад +1

    Kaza mwendo mngu yupo pamoja nawewe ipo siku Nita kuja kahama nijumuike nanjie roho yang ina uma ira mngu yupo ata kutetea tu

  • @BlessKanyamale-up5pu
    @BlessKanyamale-up5pu Год назад +1

    MUNGU akutie nguvu Mtumishi wa MUNGU

  • @mangapineema7652
    @mangapineema7652 3 года назад +1

    Usihofu mchungaji mngu wa mbinguni akuinue naatimize hitaji la moyo wako

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 3 года назад +3

    Mungu akutie nguvu na kukuongoza usikate tamaa

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack7786 3 года назад +1

    Mungu aliyeanzisha kusudi ndani yako naamini atakupelekea msaada na Injili itasonga mbele.

  • @virginieimata4489
    @virginieimata4489 2 года назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @happinessmwenda2773
    @happinessmwenda2773 3 года назад +2

    YAANI KANDA YA ZIWA KUNA MAMBO.YESU AWATEMBELEE

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 года назад +1

      Mungu akusaidie mtumishi WA mungu kaza Nuri injilisha atafungua njia zako

  • @stevenrichard189
    @stevenrichard189 3 года назад +3

    Amen

  • @bahatimellita6619
    @bahatimellita6619 3 года назад +2

    Mungu akutieee nguvu mtumishiii

  • @salomessmart9814
    @salomessmart9814 3 года назад +2

    Nimepnda sana kw kwel YESU ni bwana,yeye ni kila kitu kwetu naomba Mungu akuinulie watu

  • @marymlewa8682
    @marymlewa8682 3 года назад +1

    Mtumishi ulisema uko na eneo ulinunua kwa nini usianzie hapo kwako kwanza?

  • @maryinyas9320
    @maryinyas9320 8 месяцев назад

    Kawaida Mungu huwapitisha watu wake aliowita katika shule ngumu, utafaulu tu. Kumbuka neno la Bwn linasema maneno yake yasitoke kinywani mwako, atalithibitisha.

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 3 года назад +2

    Pokea sawasawa na kuamini kwako

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Tunawa pendasana

  • @ndabaniweperusi9546
    @ndabaniweperusi9546 Год назад +1

    Nikohapa amerika iwa

  • @sarahawori6430
    @sarahawori6430 3 года назад +1

    Umenishangaza eti mpaka ue na bibi mungu anakutumikia then ndo Kupe

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 3 года назад +2

    Dont worry God is with you🙏🙏🙏🙏🙏💖💖💖💖

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 3 года назад +2

    Exactly, challenges are our daily bread 🥪.

  • @dutarametv9793
    @dutarametv9793 3 года назад +3

    Imana igushigikire

  • @rosewoiemitau8376
    @rosewoiemitau8376 3 года назад +1

    Toa number yako ya simu mtumishi wa mungu. Unaenda mbali kwa uwezo wa mungu mkuu

  • @alphonsinesingirankabo6274
    @alphonsinesingirankabo6274 3 года назад +1

    Mungu aendeleye kuku Linda kaka unhindered na adui Mungu njo wakwanza

  • @emmasemlenga473
    @emmasemlenga473 3 года назад +1

    wakusanyikapo wa2 2 au 3 bhn yupamoja nahao wa2 wachch

  • @prophet.gregorykileotv
    @prophet.gregorykileotv Год назад +1

    MUNGU AKUTIE NGUVU

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 3 месяца назад

    Mungu haangalii mazingira walipo wawili watatu yupo katikati yenu

  • @franckwahekimapasteurpaste5451
    @franckwahekimapasteurpaste5451 3 года назад +1

    Nitumiye namba zako ili tuongeye Ku WhatsApp

  • @anissawinasi2579
    @anissawinasi2579 3 года назад

    Mungu akubariki sana kabisa ushuuda huu unasisimua kazi ya Mungu si rahisi.
    Kutokana na changamoto za kazi ya Mungu ndo mana wengi wanashindwa kuwa wavunilivu wanakimbilia kuhanza kumtumikia Mungu na miungu.
    Ila jipe moyo hata mitume na manabii walipambana kwa ajili ya kumtumikia Mungu

  • @alphonsinesingirankabo6274
    @alphonsinesingirankabo6274 3 года назад +1

    Mungu akutiye yulu sana kwa kumutumikiya endelea kazi chema

  • @liliancrochet3129
    @liliancrochet3129 3 года назад +2

    Daaa maskini

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 года назад +1

    Usikate tamaa.Mungu yuko nawe.Utafanikiwa