USHUHUDA NA MAPITO YA MCH.KIJANA MWENYE KANISA LA WAUMINI WATATU TU "Mwanzoni nilikuwa mwenyewe tu"
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuchangia kila mwezi jiunge na magroup haya hapo chini na kama unataka kuchangia mara moja tu tumia namba ziko hapo chini :-
1.JS01-Kuanzia Tsh.2,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
2.JS02-Kuanzia Tsh.5,000 kila mwezi,bonyeza link hii chat.whatsapp....
3.JS03-Kuanzia Tsh.10,000 kila mwezi bonyeza link hii chat.whatsapp....
Namba za mawasiliano na kuchangia pesa ni: +255784074462 / 0766294335 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Shukurani ninafurai sana na ushuhuda wako niko mutume kutoka Congo DRC mimi pia nilianza kanisa namna hio alakini leo kazi inaendelea usiogope yesu atakuinua simama tu
Mungu akuinue na kukupeleka viwango vingine akuinulie watu watakaokushika kwenye Uduma
Mungu wa Mbinguni akuinue zaidi Katika huduma yako Mtumishi wa Mungu.
Ubarikiwe sana baba yangu Mungu ni mwaminifu atafunguwa milango jipe moyo Mungu yupamoja nawe.
Bless you Brother, Mungu yu Pamoja nawe
Mungu wambinguni akuinue sana mutumishi ubarikiwe sana
Don't give up God is with u
Mungu anaweza kufunga milango ya pesa hata misaada lengo aone iman yako na akuinue mwenyeee umuelewe zaidi
Kaza mwendo mngu yupo pamoja nawewe ipo siku Nita kuja kahama nijumuike nanjie roho yang ina uma ira mngu yupo ata kutetea tu
Uskate tamaa
Jacktan tunaomba namba za huyu Mchungaji
Ukiangali mpaka mwisho utaziona amezitaja
0764487028
Hakika zidi kugonja Mungu
Nakuombea yusipe au kuhuza mafuta yakupaka ambao nisumu kama ilovo tokea kwa kanisa moja ambao watu zaidi ya ishirini wamekufa hapo hapo
Kamauna namba yahfone uyitume kwasababu kaziya mungutuna yipendasana hatana majina yako uandike tuyao ne
Kwani mi nauliza ni lazma kila mtu awe na kanisa lake, mtaaa mmoja makanisa kumi
Mtumishi mngu yupo pamoja na wewe toa namba zako za sim tuku changie usi ogope mwamini mngu
Namba amezitaja
+255620576124
Namba hazina whatsapp kwa sisi tuliyo inje ya inchi tutawasiliana aje
Please tell us where do you come from as for me am akenyan🐶🐶🐶🐶
Tanzania
Kazi ya Mungu ni nzito kweri Mungu akutiye nguvu ila Pana siku itakuinua
Watu wote muliyoguswa na huduma ya Mch Paulo nawaomba tuungane tufanye kitu kwake ,tunaweza kumuchangia pesa akapata kununua vyombo ...hata ukitoa elfu 10 ,tukakusanya pamoja ,atapata kitu .Kama unaona hii umeielewa basi nijurishe tuone namna ya kuweka kikundi cha kumusaidia.Asanteni
Am in
Amen hili ni wazo zuri sana
Sawa
Amen
Mungu wangu akubariki dada yangu
Ungeanzia atanyumbani kwako baba mchungaji kwasababu iyo itakugarimu sana promover TV umwambieko angeanzia kwanza nyumbani kisha anatoka kanisani pole sana kaka yangu mungu awezi kukuacha
Ni kweli jamani angeazia nyumbani, Mungu akubariki mtumishi🙏
Ushauri mzuri
Kweli
Kama ni MUNGU ameanza usihofu mtumishi MUNGU ndiye atakayeikuza huduma yako na kukuletea watu ni uvumilivu na imani na kumtumikia Mungu kwa Roho na kweli na kumsikiliza yeye kwa bidii tu ubarikiwe sana Mtumishi na Mungu atakupeleka viwango vya juu zaidi namshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi
a trick: you can watch movies on Kaldrostream. I've been using it for watching lots of of movies recently.
@Ridge Tomas yup, been watching on Kaldrostream for since december myself :)
Mungu wetu ashindwi akikupa changamoto lazima akupe na solution amini mungu atatenda makuu katika huduma
Bwana Yesu asifiwe ,nafuatiliaga shuhuda za promover Tv ,lakini huu ushuhuda umenigusa Sana ,na Mungu ambariki Mch Paulo ,naona Mungu anaenda kumutoa kwenye hali hii,na kufanya mambo makubwa kwake ,{SONGA MBELE USIKATE TAMAA}
Amen, vumilia mpaka mwisho baba. Mungu wa mbinguni hawezi hakakuacha yuko nawe. Na atakuletea washirika maana ni mwaminifu.
MAONI YANGU KANISA WAEZA FANYA HATA NNJE MUNGU ANASIKIA MAONI MAALI POPOTE NDIO UKIPATA PESA UJENGE YA NINI UJIPE STRESS ZA KULIPA MAALI NA HUNA PESA HUNA WAAMINI KUNA SHULE WATOTO WABASOMA CHINI ZA MITI MAKANISANI CHICHINI ZA MITI MIMI NAAMINI MUNGU ANASIKIA POPOTE PALE ANYWAY ALL THE BEST
Get out of the church and let the Lord lead you to certain houses, trust me winning souls will be more effective that way. At least you will see how some live and will help them little by little instead of staying in church preaching waiting for tithe... Oh by the way I did not understand one word... But I wrote what was on my heart
Mchungaji huwa hafanyi kazi za nje, Mungu huwaleta kidogo kidogo, Mchungaji hupita kwa mtu mmoja mmoja mmoja
Mungu ni mwema atamsimamia,aliyemwita katika safari anajua kusudi lake
Usicho ke endereya kuomba utapata
MUNGU akubariki kwa ushuhuda pia roho mtakatifu azid kukufundisha na kukuelimisha na kipawa akupatie kwa ajili ya kulitangaza jina lake!?
Mahali Kuna watatu roho wa Mungu yupo pale. Ana Imani Sana huyu pastor
Kweli
Barikiwa sana mtumishi mungu atakuinua mpk utamshangaa songa mbele na usimame na mungu tyu
Biblia inasema kwamba wakusanyikapo wawili au watatu kwa ajili ya jina langu nami nitakuwa katikati yao asema Bwana wa majeshi, usikate tamaa mtumishi Mungu unayemtumikia akutie nguvu ya kusonga mbele kujaa kwa kanisa ni kazi ya Mungu mwenyewe
MUNGU akutie nguvu
Kila mtu akiwa hana pesa anafungua kanisa baada muda ana nyumba na gari zuri na waumini hawana hata kibanda huu ni utapeli tanzania mmezidi kudanganya watu,kila mtu nabii kila mtu mchungaji.
Mungu akutete mtumishi wa MUNGU! Usikate tamaa endelea kumuamini Yesu atatenda. Kikubwa tu usijeukaingia tamaa ya kupata waumini wengi kwa haraka na sadaka nyingi kwa njia za giza.
Don't worry about this big churches,God is no longer in them
NYIE MNAOSEMA MUNGU ATAMWINUA MARA AVUMILIE, NI HIVI TUTOE MICHANGO YA KIFETHA AWEZE KUINUKA ZAIDI! TUSIKWEPE KAZI YAMUNGU
Kafanye biashara zingine jumapiri nenda kahubiri injili acha kupoteza mda ww kanisan ni la yesu watu ni WA yesu watakuja kwa wakati wakw
Hili ndio kanisa la kweli.haya yanayoenda maelfu ya watu ni uongo tu
Nikweli inatupasa kumwamini YESU KRISTO kwaroho na kweli.
Sasa mtumishi wamungu amejieleza vizuri sana umepitia mambo mengi sana naroho wamungu yuko ndani yako nakizuri zaidi unaamini zaidi katika mungu sasa asitokee hata mtu mmoja akasema twende huku utapata waumini wengi usikubali acha mungu asimame mwenyewe na mungu atie nguvu amina
Kweli imenigusa .na nimeshangaa nakujifunza kweli tuiheshimu kazi yoyote ungejua kama muuza maji anaweza kufikisha milioni moja.
Wewe ni Bora usilimu kwani yesu hakutumwa kwako alitumwa kwa Wana wa Israel makabila kumi na mbili
Ungeanza nyumba hadi nyumba, halafu unaita watu nyumbani kwako kila wiki siku za kawaida. Unachagua siku mbili au moja kwa wiki. Basi Mungu atakuletea tu watu. Nitakuombea ndugu yangu ndani ya miezi sita kanisa lako litakua kubwa.
Amen
Amen
Jambo kaka
Ndugu usikate tama sababu Mungu ana mpango na wewe, uko na WhatsApp? Mungu awalinde na atume watu wengi na wasapoti, na misaada kwa kanisa ilo.
Maranatha!,Mungu ni mwema usikate tamaa tutakuweka kwenye maombi
Poresana mwanangu nyasikia nimagum mbona iyokazi yamungu ningumusana urikuwawakusaidiwa rakini vumiriya ndivyo uzima bikiwezekana tutahusapoti
Omba kwanza uvunje madhababu ya hilo kanisa ,uwezi jua aliyeacha ameacha nini ,funga na kuomba , BWANA atawaleta kondoo
Husiogope kaka MUNGU atafanya njia pia typo kukusaidia mtumishi na kwa habari ya uchache wa wahumini Husiogope songa mbele MUNGU hangalii wingi wa watu mbinguni wanafurahi mmoja tu akiokoka pia 2 au 3 wakusanyikapo kwa anjili ya MUNGU yuko hapo pamoja nao.jivike nguvu katika BWANA neema ya MUNGU izidi juu yako. Tunakuombea. MUNGU atakuinua kwa wakti wake.
Nirikuwa simusomi rakini mungukanitendeya kanipereka amerika sasanawachungaji wengi watumika katiyamakanisa yariyojegwa nami nafurahisana
Hatanam niriteseka ukotanzaniy nikiwamukimbizi rakisasa namakanisa sita ukoburundi nanunuwa nikajenga nikahwe kamabati nanini munguni mwema
Mshukuru sana MUNGU wengine wanapenda huduma wameitwa hawana hata pa kuabudia.Mungu akutie nguvu akupe mahitaji yote.
Hao watoto watalijaza kanisa baadae
Mtu kajenga kanisa anakodisha au lilikuwa ghala?
Hawa wachawi hawana mmlaka in Jesus name
MUNGU akuinulie watu ili kanisa lake liinuke, simama na MUNGU usikate tamaa
Naomba namba ya mtumishi wa MUNGu
KAZI ya Bwana ataiinua mwenyewe
Ukiwa mwinjilisti utachumbia hata kilema, na bado atakukataa 😊
Makanisa ya kweli hupitia Hari Kama hiyo huzaa 30 60kisha Mia songa mbele usiogope yupo mwanzilishi ambaye ni yesu
eee Mungu saidia watoto wetu
Mungu Baba awepamoja nawe uuwone ushindi wamwenyezi Mungu
Aki MUNGU ni mwema saba
Usiogope Mwana Wa Mungu ,Najua hatakuinulia watu,
Angeanza kwa nyumba kwanza alafu akiexpand ndio afungue kanisa ndio he would spend much paying church rent he may not be able to afford...
MUNGU atakupoganiha bro
Kwa mtazamo wangu japo sijui agano lake na Mungu, ilitakiwa amtumikie Mungu chini ya yule mchungaji aliye mpokea huku akiwa na nia ileile ya kuanzisha huduma yake. Angekaa hapo had aone ana misingi imara ya kifedha ndipo angeenda kuanzisha huduma au hata walivyo shaur wengine kuwa angeanzia nyumbani aliko panga huku akifanya juhudi katika kufanya kazi ili misingi ya kifedha ikiwepo ndo angeenda kuanzisha huduma.
Sauti ya mtu aliaye nyikani ilivuta watu kwenda nyikani kwahiyo Usiogope MUNGU ana watu atakuletea Ukiendelea kumtegemea na Kumnyenyekea na Kushuka kabisa chini yake
ASANTE YESU KRISTO KWA KUINUA KINA HUYU.KWA KILE ANACHOKILETA KWA KUKUTUMIKIA MSAIDIE SANA.APATE KUJENGA NA APATE WAUMINI.BWANA YESU UNAWEZA YOTE.AMINA
Amina
Amina
Mungu atakuinua mtumikie kwa moyo wako wote hatakuacha
Mungu akusaidie Kama alikuita hawez kukuacha keep 👆 👆 up and you will be blessed
Ubarikiwe kweli mungu akuwezeshe kwauduma yako
Oo my God help her iknow that ur aliving God u are the God who answers prayer🐶🐶🐶🐶🐶
Kaza mwendo mngu yupo pamoja nawewe ipo siku Nita kuja kahama nijumuike nanjie roho yang ina uma ira mngu yupo ata kutetea tu
MUNGU akutie nguvu Mtumishi wa MUNGU
Usihofu mchungaji mngu wa mbinguni akuinue naatimize hitaji la moyo wako
Mungu akutie nguvu na kukuongoza usikate tamaa
Mungu aliyeanzisha kusudi ndani yako naamini atakupelekea msaada na Injili itasonga mbele.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
YAANI KANDA YA ZIWA KUNA MAMBO.YESU AWATEMBELEE
Mungu akusaidie mtumishi WA mungu kaza Nuri injilisha atafungua njia zako
Amen
Mungu akutieee nguvu mtumishiii
Nimepnda sana kw kwel YESU ni bwana,yeye ni kila kitu kwetu naomba Mungu akuinulie watu
Jitie moyo mungu nimwaminifu atakupangusa machozi kwajina layesu
Mtumishi ulisema uko na eneo ulinunua kwa nini usianzie hapo kwako kwanza?
Kawaida Mungu huwapitisha watu wake aliowita katika shule ngumu, utafaulu tu. Kumbuka neno la Bwn linasema maneno yake yasitoke kinywani mwako, atalithibitisha.
Pokea sawasawa na kuamini kwako
Tunawa pendasana
Nikohapa amerika iwa
Umenishangaza eti mpaka ue na bibi mungu anakutumikia then ndo Kupe
Dont worry God is with you🙏🙏🙏🙏🙏💖💖💖💖
Exactly, challenges are our daily bread 🥪.
Imana igushigikire
Toa number yako ya simu mtumishi wa mungu. Unaenda mbali kwa uwezo wa mungu mkuu
Namba amezitaja
+255620576124
Mungu aendeleye kuku Linda kaka unhindered na adui Mungu njo wakwanza
wakusanyikapo wa2 2 au 3 bhn yupamoja nahao wa2 wachch
MUNGU AKUTIE NGUVU
Mungu haangalii mazingira walipo wawili watatu yupo katikati yenu
Nitumiye namba zako ili tuongeye Ku WhatsApp
0764487028
Mungu akubariki sana kabisa ushuuda huu unasisimua kazi ya Mungu si rahisi.
Kutokana na changamoto za kazi ya Mungu ndo mana wengi wanashindwa kuwa wavunilivu wanakimbilia kuhanza kumtumikia Mungu na miungu.
Ila jipe moyo hata mitume na manabii walipambana kwa ajili ya kumtumikia Mungu
Mungu akutiye yulu sana kwa kumutumikiya endelea kazi chema
Daaa maskini
Usikate tamaa.Mungu yuko nawe.Utafanikiwa