PAROKO, BABA NA MGANGA WA KIENYEJI WADAKWA NA VIUNGO VYA MTOTO ALBINO ASIMWE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 июн 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Комментарии • 17

  • @user-so2si9dt9u
    @user-so2si9dt9u 3 дня назад

    Mama Samia hapo hakuna uchunguz wanyongwe tu tumechoka sana

  • @MussajumaMiheza
    @MussajumaMiheza 8 дней назад +1

    Wanyongwe bila uruma!

  • @LovenessDaud
    @LovenessDaud 8 дней назад

    Mmh inatisha sana 😢😢

  • @kalangwapaschal7718
    @kalangwapaschal7718 9 дней назад

    Jamani,na paroko tena?

  • @theklalyimo4383
    @theklalyimo4383 8 дней назад

    Jesus

  • @augustinechitemo8207
    @augustinechitemo8207 8 дней назад +1

    Ngoja tusubilie uchunguzi wa kipolisi ukamilike,
    Yawezakuwa siyo sahihi sana!

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 8 дней назад

      Mjinga sana wewe hapo una lengo la kumtetea paroko unaleta udini waliokamatwa wamemtaja wewe ni nani mpaka upinge ushahidi upo na viungo vimepatikana ndugu zetu baadhi wakristo sio wote tuache kuleta ushabiki wa kidini kwenye jambo linalogusa hisia za kijamii na kibinadamu nyinyi ndio wale wakristo mliojitahidi kumtetea papa wa vatican kuhusu ushoga na kujaribu kupindisha ukweli kuwa kanisa katoliki rasmi limeruhusu ushoga kilichotakiwa wakristo wote wa afrika kupinga na kumtaka papa abadilishe msimamo wake lakini hakuna hata kiongozi mmoja aliediriki kumkosoa papa hata kwa waraka tu kama ule uliotumwa na kanisa wa kupinga bandari,hebu wakristo na waislamu tuache mihemko ya kidini yenye lengo la kumchukia mtu kwa sababu ni dini fulani au kumpendelea mtu kwa sababu ya dini fulani tuwe na msimamo wa pamoja rais awe muislamu au mkristo tumpinge kwa hoja tukosoe lakini tusiweke udini kwani ukiweka udini utashindwa kumsifu hata kwa mazuri atakayoyafanya na utayageuza mazuri kuwa mabaya

    • @JacquelineKinyonge
      @JacquelineKinyonge 8 дней назад +1

      Siyo sahihi kivipi na wakat ushaambiwa kuwa paroko ndiye aliyemshawishi baba wa mtoto

    • @Teaching356
      @Teaching356 4 дня назад +1

      Et alikuwa padre alisimamishwa kazi sababu ya ulevi na alikuwa malaya wa kupindukia hivyo uhakika upo hakuna cha uchunguzi tena.

  • @ElinikeSoi
    @ElinikeSoi 9 дней назад

    Kama patri kafanya ivi tuta kimbilia wap 😢😢😢

  • @user-xh6fy4oc9u
    @user-xh6fy4oc9u 7 дней назад

    It is another sort of terrorism

  • @consolatamsacky6400
    @consolatamsacky6400 9 дней назад

    Paroko 😢

  • @Bilioneabichwa331
    @Bilioneabichwa331 7 дней назад

    Paroko mtakatifu

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 9 дней назад

    MAONI: NAKUREKEBISHA KIDOGO KATIKA RIPOTI YAKO HII ....
    - WENGI WA WALIORIPOTI,WALIANDIKA KICHWA CHA HABARI,"PAROKO MSAIDIZI"....NARUDIA "PAROKO MSAIDIZI"
    -ELIMU: PAROKO ANATOFAUTIANA SANA NA PAROKO MSAIDIZI KATIKA WADHIFA WAO....
    -ANDIKA KUTOKANA NA MAELEZO SAHIHI

    • @saidbakar-qo6ri
      @saidbakar-qo6ri 8 дней назад

      Paroko ni paroko tu awe msaidizi awe mjukuu ni mtumishi wa kanisa sasa lengo lako ilikuwa kutetea au

    • @musakatwale1959
      @musakatwale1959 6 дней назад

      UTAKUTA BAADA YA SIKU 4 MAJAMAA YAKO TENA MTAANI.KAMA KWELI NI WAO TUMIENI KALE KAUTARATIBU KA CHINA.KAMA NI MCHONGO BASI PELELEZENI MAANA BONGO NAPO MAUZAUZA YAPO MTAANI