Abdukiba feat.Alikiba - Single (Official Music Video)
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Watch and share the brand new music video "Single" by Tanzanian bongo flava artist Abdu Kiba featuring My Brother Alikiba,Director by Hanscana from Tanzania.
Download Audio - mkito.com/song/...
MUBASHARA AVAILABLE ON ALL MAJOR DIGITAL STORE
CLICK HERE: song.link/y/y7...
BOOMPLAY:www.boomplaymu....
MKITO: mkito.com/song...
MDUNDO: mdundo.com/son...
Follow me on : / officialabdukibaa
Follow me on: / officialabdukiba
+Bookings:Email-Abdukiba84@gmail.com
Copyright © 2019 Kings Music Records Label. All Rights Reserved
Wa elfu 2024 tujuane hapa kwa like
Who is here 2024❤
qalii sna cjuti kuwa team kibaaaaaa✌👌
Kiba ft abdukika kazi nzuri
goma liko poaaaaaaaa, kweli mazoea yanashida zake#single #kibanation
Hii Ni moto 🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪 single Analia anaumia single anaonewa🔥🔥🔥💪🏽💪🏽
Hatariiiiiiiiiiiii abdukibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa Ahsante kwa mziki mzur
Yebababaaaa hii pini hadi 2021 bado nalisikilza
nyimbo kali sana balaaa
Hingoma itaishi miyaka 1000🇨🇦🇨🇦🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Sauti yapoza ugonjwa wa roho..... Big up to you two ✌ broz
Ngoma kalii sana Mamae
Watu hatariiii
Team kiba usipite bila Ku like sey yebabaaaaaaaa
Kwang bd nyimbo bora
duh!!! imekaa kwenye mategemeo aiseeeee, wanajua mpaka rahaaaaaaa, like yako mhimuuu. single
Wimbo safi sana
nishiidaaa sasa naweza lala sasa
Yap Yap nakubali
Kiba umeweza apa bana.... Waafrika wenzangu tukubali kwa pamoja izi sauti ni special sio eti thafadhali
Unajua broo
Ngoma Kali sana
"single analia ; single anaumia ;single anaonewa; single yoyoyo".........+254 hapa..
Abdu kiba the way alikuwa maji yafurahisha kweli....nice video..
Yeeah baba
Nyimbo tamu alafu fupi kwanini lakini #vocals za abdu sio za nchi hii nyimbo Kali kinoma
2020 duuu nipo single jameni Sirius hivi
Jameni single naonewa uwiii salute kwenu brothers zangu mwimbo mtamu saaana 😍😍😘
daah hawa ndug nom xan
Kenya in the building baby +254 wapi likes za king kiba na Abdul kiba kama unawakubali gonga like
kwanni tusiwakubali kiba damu wataelewa tu wao hawaezi imba nyimba bila kutaja wema au zari kiba iyoooo
Nice sana hii ndo team kiba
Wanafiki wasiojielewa wanadeslike,,,,,,,team 254 mapendooooo...SINGLE iko sawa coz ni life ambayo single people tunapitia.
yaani naziwatch zote nikiangalia #single naenda kwa #maumivuperday teamkiba sema woyooooo
Nilikua naisubiri kwa hamu...thanks Kiba iko juu kinoma much love from Dubai....gonga like hapa ishara ya upendo kwa king wetu💖💖💖💖💖💖......
wow just wow🇰🇪🇰🇪🎙
Kama bado unaiskiza ii ngoma ya kiba kila sekunde piga like
Huyu jamaa fundi hanampinzani
oi
Kazi nzuri nice
💯💯💯💯✋✋✋✋✋✋✋✋
Nzuli
Tz always the best..
in Canada tunakupataaaa. watu wanapagawa ukuu jamaniii
Wa kwanza kuisikiliza 2019
Yebabaaaaa
Najivuniaga tu kuwa fansi jamanii doooh ni 💥💥
team kiba mpo wapi weka like hapa twende sawa
Oyoooooo wp team Kiba
Halima love it🤣🙈🇰🇪😘😘
400rockstar oyoooooooo wanakujaaa jamanii. I really like it
FURAHA MADINA nomaaaaa
Bas single boy itapendezaaaa
Haya King's music kaz imeanza mtajuta kumjua ALLI K
Gud Gud makamanda...!
abdulkiba gonga like hapa kwa 👑 Kiba 👑 miusic
nzuri....team mond..
Nyika Rappa nice
John Robert Pamoja mzee baba
nice Abdu na braza Kiba tisha sana nishaplay Mara kumikumi hivi Leo tu
Wcb tumeikubali hii ngoma
da cubic Tv 😂😂😂👉👉👉👉✌✌✌❤lazmaaa waikubaklii kwasababu woooot niwa single mpaka dada yao queen
Nawapenda mpk nasikia kitapita cha roho😘😘😘😘😘😘..miak Kama yoteee ivi!!!!
Hii ndo ngoma pekee itakayozima kiki ya dokta shika... single itapendeza sanaaaaa
😂😂😂😂😂😂kiba kabana sana jimbo tamu kinoma
Congratulations
Heehee
Baba Mwenye Nyumba Kaja Kunidai Kodi Kakuta Nipo #Single Kaondoka Bila Kudai 😄😄😄
#KingsMusic Balaa Jipya Mjini 👑
mdachi classic hhhhh
mdachi classic hahahaha nomareee
mdachi classic yooo noma balah
mdachi classic hhhhhh ebu acha mambo yko
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
King penda sanaaaaa mkar Wang
abdu kiba this is excellent
Wenye sauti zaooo👌🔥
Nawakubali sanaaa...💯😘
Ilishi Ramzah amaaa kweliii watu weny vipaji awooo jamaniii wawaachetuuu
Ilishi Ramzah yes
Ilishi Ramzah niko kuzim nimesikia hii Ngoma nimepelekwa peponi
FURAHA MADINA 😘😘😘👌
Ray Erasto 😍😍😍😂👌
Nimeikubali sanaaa Single
Single nalala single nalia naonewa ataliii
Duuuh hiii ngoma kali sana jaman pongezi sana brooo zangu.
Yooooooo. Nalala single. Hatareeeee
Morama 7jr balaaaa lazma awakubalishe wcb
Waliokuja kutizama 2020 gonga like tujuane
Yebabaaa tupo pamoja
ngoma Kali kinoma ongereni sana
Nawapenda xna hawa watu kwng nawaona my everything
always najua alikiba anajua sana mziki Ila tambua jua kuwa huyu anasauti ambayo whatever wherever utamkubali
Mm team mond ila hii ngoma kali aseee abdu kiba kabadilika sana kawa mature kwenye game ....anafanya vitu vikubwa sana ....bless.
Waziri ibn Bushiri Hakuna team mond mwenye mawazo ya kifala kama yako, sasa nyimbo gani ya kusifia hii... Nyimbo haina mashairi kabisa... Mwanzo mwisho, single single
+Salim Mussa ىɩkɷmɩ wew
Hamia timu kiba
salute snaa abdukiba and ur broo alikiba😋😋😋
Good song
yan nzuri,hatar
Kiba mzee
Baraka zake aliwapeni kujua kuimba
Nomaaaaa sanaa nimeielewaaaaa king music for rever
Dickson Massawe
Love ming ming
abdukiba kaimba vizuri sanaa kuliko niliviokuaa nafikiriaa
wow nice song Aminia sana kazi yako brother
Kama hupend penzi la kejeli gonga like hapa tuwe single
kama unamkubali kiba square like hapa na subscribe
Kazi zuri
Noma sana ihi nyimbo
Classic one
Weka like hapa kama tupo pamoja
NYC song Kwakweli imependeza
hivi hawa jamaa ni wa Tanzania bara au visiwani kule zanzibar safii kiba squre
hahaha! Sweet voicex from rock star
mbayaaa
Yeaaaaaah
abdukiba umetibu maradhi mengi ya watu kupitia hii nyimbo
#single💥💥 gonga like
Dah hii nyimbo sichokagi kuitizama
Kama ili biti linakufanya uhisi kumwaga uno taraaatibu gonga like
hahahahah me nikazani kumwaga nyegez kumbe unooo???
hahaha sio poa
nuru omary ,umetishaaa
Kaz nzur 👑🎶🎶🎶💯
Ngoma kali xna mnaweza #much_respect
daaaah nomaaa
nipo london na sijui kiswahili ila hii nyimbo ni kali sana #Single
😆😆😆😆asante
Hahahaaaaaaa unaatar sana br
noma San king kiba
single anaonewa sana aisee
Sngle anaumiaaaa
2020...like here
Penda sana wewe abdu kiiba😍😍😘😘😘
Tena na Tena single anakimbiza kama ngoma Ya single mdogo wetu Kings Music presenter Iko kwa Hakili yako gonga Like twende sawa
Single analia single nalalamika
Sana tu Brother usisikilize maneno ya watu pga kazi 👌👌👍☝
ngoma iko pow
Twendeeeeeeeeeeeee,,,, mpaka wajambe huko waliko
me mwenyewe single nalalamika sana yaani, bonge la ngoma aisee saluuuuuuuuuuuuuuuuut sana, maana masingle tulisahaulika sana aisee
abdukiba unebadilika sana ukikua unagumia sana now unaimba kistar
daaah nko mizimuni huku pia nao wanaimba single 👏👏👏well done
Hatari.noma.sijui.niseme.nn
Mama Kiba alizaaa kamamani daaa❤️❤️❤️❤️💯kama mko singo tupo hapa tunawasubir