MSUKUMA Aibua MAPYA - "WATUMISHI WANACHEZEA MAFUTA NA MAGARI"
HTML-код
- Опубликовано: 9 дек 2020
- MSUKUMA Aibua MAPYA - "WATUMISHI WANACHEZEA MAFUTA NA MAGARI"
Mbunge wa jimbo la Geita, Joseph Kasheku (Msukuma), amesema watumishi wa halmashauri mpya ya Nzela hawataki kuhamia kwenye halmashauri hiyo, na badala yake wanatumia magari ya serikali kwenda majumbani kwao jambo ambalo linaleta usumbufu kwa wananchi.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
"Nyuki hawakwenda shule, lakini kazi yao inapendeza wengi kuliko wasomi na viongozi wasiyo na Faida" pongezi Msukuma, Salaam kwa JPM.
Nimempenda sana huyo bwana anajiamini sana na ameongea points tupu! Tunapenda watu/ wabunge wa aina hiyo!
Msukuma wew unauchungu Sana na nchi hiii Safi San yaan wanyoshe haoooo wakujue we ni king msukuma
Msukuma nakukubali Sana wew ni mbunge unae faa kuigwa na wabunge wengine
Msukuma kama msukuma full confidence 💪🏿💪🏿
Ukiwa na fedha pia confidence inaongezekaaa sanaa😃😃😃😃
Mashallah mbunge huyu nampenda buree🇬🇧
Msukuma Safi sana, uyo ndo anaitwa, MHESHIMIWA, KING, MSUKUMA.
Hahahaah am here watching 2021 to 2025 😁😁😁😁😁 the Future is promising we need more msukuma
Ha ha ha king msukuma hatari. Huyu jamaa yuko vizuri.
Darasa la 7 asumbua wenye taaluma zao
Suala sio kiwango cha elimu ,uelewa ni utendaji wa wasomi wetu upo chini
We msukuma kwa style hiy watatumbuliw wengi
🤣🤣🤣🤣🤣
Nakukubali sana jamaaaa unajua elimu sio uongozi bola piga KAZI ikiwezekana 2025 tukupe KURA ZA URAISI kuongoza unaweza piga kazi
Safi safi sana jembe la geita... Piga kazi hakuna kumuogopa mtumishi wa umma hiyo kazi waliopewa ni dhamana kama hawawezi watoke hapo. Halafu mkuu wa wilaya yuko wapi kwani mpaka kazi hiyo unafanya ww msukuma???
We jamaa safi sana
Nakufuatilia sana mzee napenda nikiona ukiwawashia Moto mapunga wanaonunua gari la 400ml.
Kiongozi anayeripoti matukio hasi wakati ni sehemu ya uongozi ajitafakari yanatokeaje. Buni, wengine wa kufuate, wasipofuatisha nyendo zako jua wewe ni mtawala tu. Kiongozi huteka nyoyo za waongozwa si kuogofya waongozwa. Tujitafakari!!!!
Safi sana msukuma. Hawa manyumbu suluhisho lao ni kushika mjeledi. Swaga!!! Ukitaka nyumbu afanye kazi lazima utumie fimbo.
Safi Sana mzalendo Msukuma hapa Kazi tu.
'KING'
Huyu jamaa ni noma
Slogan ya bwege, tunaanza upyaaaaaaa
King msukuma nomaaaaaa
Waambie wanaoturudisha nyuma ambaye ataki kuamia uko aache kazi watu wapo wengi tu
Aloo tungekuwa na wabunge hata kumi na tano kama huyu tz tungekuwa pazuri sana god bless u
Huyu mwamba kapata ubunge safi sana makufuli
The King himself 💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Sio jimno langu lkn kama Mtanzania huyu Mbunge yupo sahihi sana sana kikubwa azungumzie pia hayo maslahi ya walimu kuna mazingira si rafiki sana kwa kipato cha ualimu ingawa subira yavuta kheri lkn maumivu ni makali sana.
Safi
Hahahahaaaaaa,Safi sana msukuma
Diwani wa Katoro fundi eeh! Asije kufa na ngwengwe😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣🤣
Katiba irekebishwe awe naibu waziri mkuu asafishe Nchi hii. Yuko vzr, anajiamini na kusimamia achokiamini. Namkubali sana Mhe. Msukuma
Haihitaji kubadilisha katiba mheshimiwa rais akimteuwa tu
@@jabiraxmed7898 hiyo nzr, huyu mbunge namuelewa sana kwani anajitambua na anajua mambo mengi au tuseme ana vyanzo vingi vya hbr. Mhe. Rais ampe rungu tuone matunda yake Nchi nzima.
King Msukuma for President 2025
Yeaaaaa king msukuma
Sawa kabisa,
The gentleman...
Mungu amjaliee ana uzalendo, wasomi wamegueka kuwa wafilisi ila ambao hajawasoma wana upeo mkubwa
Kweli wasomi wengi wanyama sana
Huyo kasoma degree 7 wasomi wetu wengi ni vyeti kichwani kweupee
Msukuma halali hakuna mtumishi bora Geita nzima aiseee waamusheeee
Punguza sifa wew kila jambo media we ngosha vp ?
@@peterpaul591 hapo nani kamfuata mwenzie kati ya media na Msukuma. Pia hicho ni kikao au mkutano kama uonavyo na wanahabari wameenda ili kuriport tukio sasa kosa lake nini?
@@peterpaul591 sifa ipi watumishi wengi ndo wanarudisha hii nchi nyuma halafu wanyonge wanaumia kwenye nchi iliyojaa rasilimali za kila namna wakati Dubai wanapata mvua kwa mwaka Mara moja lakini maisha yao usipime.
Waafrika bado tuna long way to go
Uongozi ni karama si Elimu, na ndiyo maana hata Marekani ilishatawaliwa na maraisi wenye elimu ya kawaida sana , Abraham Lincoln angalau alikuwa na elimu kidogo, ila Andrew Johnson yeye hakuwa hata na Elimu yoyote, bali alifundishwa tu nyumbani tena na mkewe! Hivyo ukilinganisha na hao wamarekani Msukuma ana Elimu ya Kiwango kizuri, na kwa uzoefu ambao anaendelea kuupata akiwa Bungeni si ajabu kwa Mh. Msukuma kuwa kiongozi mkuu wa nchi.
safi sana
Msukuma km Msukuma
Hahaaaaa!!! ...wanawake weupeweupe ote katoro!!!!
💪💪💪💪💪💪
the brave man
Sawa sawa msukuma
Inawezekana halmashauri nyingi kuna madudu mengi sana
Huku kwingine ambako awapigi kelele kunanukaa sanaaaa
@@emmanuelbonifase1114 Sanaa nimejifunza kitu kupitia hili itakua sehemu nyingi kuna Madudu
Yaan sana viongoz wa almashauri wengi no ovyo sana ndo maana mikoa haiendelei watu wanakula fedha tu na kufanya maigizo kwa raisi waonekane wanafanya kazi hewa.
@@onesmojustice2348 Nimeona kabisa kuna vitu vingi vinafanyika kutuludisha nyuma watu awana uchungu na shida za wananchi wanakula raha tu
@@Dj_anaetumia_kanda_AloyceG kabisa
Pambania na mishahara yao na marupu rupu yao, tatizo la ndugu zetu wasukuma Sifa saana, kama kweli ana uchungu na nchi hii, aanze kulalamika Wabunge wapunguziwe mshahara, yeye Kama mbunge analipwa zaidi ya 10 million kwa mwezi, alamike wapunguziwe maposho yao, watumishi hao wanaolipwa 600,000 kwa mwezi wanaenda masoko na maduka tofauti na wabunge? Waache ufala kama kweli sio wanafiki, nao wawasimeshe watoto wao shule zetu, Wabunge wanahimiza umuhimu wa Kiswahili, toa Jina la mbunge mmoja mtoto wake anasoma shule za kata, kama kweli wana uzalendo na nchi wapitishe sheria sharti la kuwa mbunge au Kiongozi wa umma, lazima mtoto wako awe anasoma shule za kata ila mahanisi na wagumba wasamehewe
Kila hslmashauri iwe na msukuma walao mmoja mmoja
Msukuma hoyeeee tumbua baba
Iyo nimeikubari saana musukuma chapa kazi utayaonatu matunda.
Utujua Tu badae mara hiii chadema hawamo hakuna wa kumtukana
Ipo hyo
Hivi ndivyo mbunge anavyotakiwa kuwa Kwa sababu ndiye raisi wa jimbo husika na ndiye kachaguliwa na wananchi na nduye anapaswa kumsimamia Mkuu wa wilaya na si Mkuu wa wilaya kujivimbisha vimbisha tu.
Hatar sana
Huyu ndio mnafiki wa Umma. Viongozi mchungeni sana vinginevyo hamtafika mbali.
TEDDY KANONDO mnafiki wewe uchaguzi umekwisha wewe bado unamuwazia tundu lissu pole saana endelea kuumia tu hamna namna,,,
Bilashaka wwe utakua nduguyakenabwegeee! 😆😆
Msukuma jembee
Msukuma nahene. Ruru
Duuu mmmhh
Mbona wewe mwenyewe unachezea mafuta na kodi zetu huna makato yoyote leo una bwabwaja utumbo wako
Mimi nawashangaa sana Watanzania. Akiharibu mtu mmoja mnasema wasomi hawana Faida. Kwa hiyo kazi anazofanya Jafo Waziri waTamisemi na wasomi wengine Serekalini ni za hovyo?. Huyu MSUKUMA ni mnafiki tu nani alimnyima kwenda shule akabaki kufuga nyoka. Tusingekuwa na wasomi Tanzania miradi aliyoianzisha Magufuli nani angesimamia. Kusema wenzake hadharani usifikiri atalipwa zaidi ya wengine sana sana ni kujijengea uhasama na maadui. Nashukuru bungeni wamebaki wengi ni CCM huu unafiki wake utasikia yatakayoendelea. Haiwezekani umfukuze mke wako kisa ugali haujaiva. Aliyenunua gari aina hiyo ni huyo kwani ni yeye peke yake mbona wako wengi mpaka IKULU au kwa sababu ni kabila lingine sio MSUKUMA.
Ukiumwa ukienda hospital utasema wasomi hawana faida. Baba yako asipotimiza wajibu wake huwezi sema akina baba hatutimiz wajibu wetu at kwakua baba yako hatimiz.
Ujumbe umefika
Punguza mwendo baba mbele kuna kona.
Hakuna cha kona!!! Usiwe mvivu fuata amri.
Serikali haijafanya tathmini ya matumizi hasa ya mafuta ya magari ya serikali ikiwa ni pamoja na matengenezo ya magari ya serikali. Magari ambayo ninaona yanatufaa wakati wote yawe ya JWTZ, POLICE, MAGEREZA, ZIMA MOTO, AMBULANCE na Usalama wa TAIFA.
Ndouzuri wakula ugal wa dona unakuwa naakili ya asili.
Kaka hata kwetu wapo ila wanajua kujificha
Angekuwa na digrii moja angepata uwaziri
Elimu na ujuzi alionao anazidi degree hovyo hovyo walizonazo na hawafanyi kitu...atunukiwe PhD kabisa hatuangalii makaratasi na vyeti tunaangalia akili ya mtu na ubongo
@@charlesmwambinga4355 ni kweli, pia full uzalendo
@@charlesmwambinga4355SAFI KABISA
@@charlesmwambinga4355 huyu jamaa kapewa kipawa angeenda huko angepoteza muda.
Msukuma hongera ila hicho kichwa chako hakipendezi kipara maana kina bonde utosini labda uache nywele ziote uwe unazichana......
Ee,msukuma sasa umeamua kulala nao mbele.Wacheke tu!!!!!!.
We ni jembe msukuma
Natamani msukuma awe ktk jimbo letu
Watumishi lazma wafuatwe nakupelekwa nyumbani incase mda sio rafiki,,assume unaitwa usiku kuna "emergency operation" huwezi kutembea hayo mambo yapo ndani ya uwezo wa hospital wanasiasa mtulie
Wewe ndo hujamuelewa. Mtu anatakiwa kukaa nyumba za serikali zilizo karibu mtu anaishi mjini kisa anafanya kazi kijijini ili ambulance impeleke.
@@venancemwarabu7168 Kijana mimi niko kwenye sekta ya afya,,hakuna nyumba za watumishi mbali na za wakuu wa idara,,
@@Mastermind25491 Kuna maeneo na maeneo. Kuna sehemu nilifika vijijini nyumba za watumishi hazina watu asilimia kubwa wanakaa center. Na kwa sababu ya usumbufu wa wagonjwa daktari mkuu nae anataka ahame. Sasa huko tusemeje. Hata kama nyumba hazipo bora upange sehem ambayo sio mbali sn na kazini.
Ww ndio walewale wapigaji na wafujaji wa fedha za umma
Swala sio wanalala wapi,swala kazi zinakwenda?????
kazi haziendi, ukifika halmashaur unaambiwa muhusika yuko geita njoo kesho
@@hatibhatib5760 Pia gharama za mafuta ya gari za kwenda Geita analipa nani?
chuma
Huyu fitna tu hakuna anacho kifanya anatafuta kiki
tu na ana chuki na hao viongozi wa halimashauri!.
Kuna nyumba za kuishi?
Nani amesikia wanawake wote weupeweupe katoro....... #5:2.
Kumamayo mnafiki mkubwa,laana Mmoja
Umeridhika
Acha matusi bishana kwa hoja,
Heeee mama ake ndioo kamtuma acha ujinga
Duh! Umeniogopesha kwa hilo neno.Mungu akusaidie katika kinywa chako.
Mbn unamuiga bwege ayupo tena bungeni acha kumuiga
Nataman msukuma awe rais ata kama hajasoma ili nas tufaid uku
Vp
Vipi mawazo huwa hatokei
Huyu jamaa anafuatiliaga magari tu
Waambie hao babaaaa wasomi fake wanaokwamisha juhudi za maendeleo
Kweli inauma, wambie ukweli wasitumie pesa hovyo
Huyuu nae kashaakua kenge saiv
Kenge wewe usiyetaka kuhamia Nzela
Wewe unataka kupambiwa tu nenda zako
Mh. Rais wetu pendwa anakataa hii habari ya mitandao tayari.
Sijui wapi hatumuoni jpm wetu unamleta millad ayoo kwa sh ngapi????
Safi sana
🤣🤣🤣 jamaa ashakua msaliti maana hataki tena wale pamoja ...
Yeye huwa anatoa mpaka chake halagi cha mtu
Mie sio ccm lakini msukuma namkubali sana tu muheshimiwa rais ampe uwaziri Huyu au naibu waziri wa serikali za mitaa asaidie jaffo anajua kusoma kila kitu kizungu sio lazima sio lugha yetu .
@@khadijahassan3778 ni kweli
@@khadijahassan3778 mi hua sipendi kujibizana na wanawake kwa hio bora upite pembeni maana nikianza kukujibu hapa mpaka mama yako atapandwa na nyege huko aliko...
Kwamalaya kwanza msukuma nimekuelewa sanna kamahawataki kazi fukuzeni
Unafaa kwer