MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024
  • MASANJA AFUNGUA KANISA JINGINE JIPYA KIBAHA #FREECHURCH #MASANJA #MKANDAMIZAJI
    Karibu Kanisani Free church siku za ibada ni
    Jumatano saa9 -12 jioni
    Ijumaa saa 9-12 jioni
    JUMAPILI IBADA INAANZA SA4 MPKA SAA8 MCHANA
    Kwa maombi / maombezi au jinsi ya kufika kanisani tupigie kwa namba
    +255 713 855 855 MUNGU AKUBARIKI

Комментарии • 55

  • @elisharichard4558
    @elisharichard4558 5 месяцев назад +1

    Kaz njema sana mtu wa mungu

  • @deborahdelly6254
    @deborahdelly6254 2 года назад +2

    Hongera sana Pst kwa kazi njema ya Mungu ubarikiwe sana

  • @noahmwaipaja7725
    @noahmwaipaja7725 3 года назад +3

    Ubalikiwe sana mtumish

  • @mariamlohhay538
    @mariamlohhay538 3 года назад

    Hongera sana Mchungaji Mungu aendelee kukutumia kuinua wengine hasa vijana.

  • @elishadaiemmanuel7785
    @elishadaiemmanuel7785 3 года назад +3

    Hongera sana sana BISHOP EMMANUEL MGAYA

  • @christophermgonzo711
    @christophermgonzo711 3 года назад +2

    Endelea kumtumikia Mungu kwa Mali zako na Mungu atakukumbuka ktk ufalme wake. Jina la Bwana Yesu lihimidiwe Sana .

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 3 года назад +1

    Mungu akubariki sanaaaaaa baba angu, Askofu Masanja kwa kazi hii ya MUNGU

  • @isaacsifatv123
    @isaacsifatv123 3 года назад +1

    Good job servant of God

  • @emmanuelchejo7154
    @emmanuelchejo7154 3 года назад

    Mungu nimwema kaka masanja ubarikiwe

  • @Mara_Gold_Film
    @Mara_Gold_Film 3 года назад +1

    Mungu akubaliki

  • @lusajojoram4522
    @lusajojoram4522 3 года назад +1

    Hivi huu uaskafu unagawiwa Kama njugu masanja tayari kawa askofu

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele7489 3 года назад +1

    Hongeleni sana mtumishi

  • @heriethmbelwa4127
    @heriethmbelwa4127 3 года назад +1

    Mungu ni mkuu milele na milele🙏

  • @gabrielchristopher1979
    @gabrielchristopher1979 3 года назад +1

    Hongera sana Bishop

  • @jacksonmhonzwa4894
    @jacksonmhonzwa4894 3 года назад +1

    Iende mbele injili 👏👏👏👏.Haleluya

  • @shegashega2421
    @shegashega2421 3 года назад +1

    MUNGU akubariki Sana mtumshi

  • @MESSENGERWORLD1978
    @MESSENGERWORLD1978 3 года назад +1

    Amen,, God bless you bishop

  • @ibrahimlameckministry1867
    @ibrahimlameckministry1867 3 года назад +2

    Ubarikiwe San

  • @joshuasitta293
    @joshuasitta293 3 года назад

    Mungu NI Mwema Sana, Kazi isonge mbele

  • @joelmsawile1718
    @joelmsawile1718 3 года назад +1

    Saf Sana pastor

  • @abelmkuvasa4044
    @abelmkuvasa4044 3 года назад +1

    Duuuuh!

  • @science_fact93
    @science_fact93 3 года назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @fredkyara3278
    @fredkyara3278 3 года назад +3

    Kaka masanja. Isiwe ni ktk harakati za kumwinua lucfaer. Na kumtumikia kupitia madhabau za kifrimasoon kaka. Laana ya Mungu haitokwacha salama. Ila kama unamtumikia Mungu wa kweli kwa uwaminifu ubarikiwe

    • @naylinekiv6642
      @naylinekiv6642 3 года назад +1

      Lucifer hawezi kuinuliwa kwa kutajwa jina la Yesu!!!! Huwezi kuitangaza Tanzania kwa kuitaja Kenya!!! Emmanuel Mgaya( Masanja) anamtumikia Mungu!!!

    • @Feelfreechurch
      @Feelfreechurch  3 года назад +1

      Ubarikiwe mwanangu kwa Kumuelewesha uyo

    • @modeemojombo5662
      @modeemojombo5662 3 года назад +1

      Mnaoingiza ushetani kwenye kazi njema ya Yesu Kristo mna nini?
      Kwa nini huanzi na jema...kupongeza kazi nzuri na kuwatakia mema?
      Je, hayo ndiyo yaujazao moyo wako??

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 3 года назад +1

      Kwa nini maneno hayo? Umeona nini? Au ushaingia kwenye kivuli cha mungu kumbe unamtimikia shetani?

    • @peteronesmo5433
      @peteronesmo5433 3 года назад +1

      @@FeelfreechurchHongera Sana kabisa

  • @kadashijunior2141
    @kadashijunior2141 3 года назад +2

    Huyo jamaa amesoma chuo biblia na nihaki kwa kila mweny wito kufanya kz ya MUNGU,hv mtu ulkuwa unauza maji ya kandoro kichwan leo umeinuliwa kwa dolali unashindwa nn kumheshimu MUNGU na kumtumikia kwa akil,Mali na nguvu zako zote?big up brother

  • @mapachawayesu
    @mapachawayesu 3 года назад +1

    Safi Saana hii

  • @AnnastaziaJOtama
    @AnnastaziaJOtama 3 года назад +2

    Baba naomba tu nijiunge na kanisa lako jamani napenda utumishi wako

  • @charlesnkasi9904
    @charlesnkasi9904 3 года назад +1

    Injili ya Kweli isonge mbeleeeeeeeeee

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 3 года назад +1

    Gloire à Dieu

  • @evalinegideon3982
    @evalinegideon3982 3 года назад +2

    Kibaha kubwa location plz kibaha mailimoja.....! Kwa matiasi...!! Au wap

  • @manassetawe9675
    @manassetawe9675 3 года назад +1

    Kanisa hili la Free church lipo kibaha gani maana kibaha kubwa .

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 3 года назад +2

    Kazi hii imevamiwa sana mchungaji askofu ndiyo nini?

  • @ibrahimlameckministry1867
    @ibrahimlameckministry1867 3 года назад +1

    MUNGU akutangulie masanja nitakuja kuimba siku

  • @peterjulius8510
    @peterjulius8510 2 года назад

    Peter julius

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala9563 3 года назад +3

    Watu wawe huru wafunguliwe waondokane na mateso sio kufungua makanisa meeengi afu watu wanaingia na kutoka na vifungo.uwingi wa makanisa sio tija kinachotakuwa watu wafunguliwe watumish mtoil watu waondokane na vifungo

    • @naylinekiv6642
      @naylinekiv6642 3 года назад +1

      Ukiona hospitali zinajengwa ni ili wagonjwa wapate mahali pa kusaidika!!! Asipojenga makanisa, basi labda tumashauri ajenge nyumba za kupangisha, au ajenge baa!! Halafu tuone kama hao watu watafunguliwa huko!!!

    • @modeemojombo5662
      @modeemojombo5662 3 года назад +1

      Kufunguliwa kutategemea na imani yako.
      Km unaenda kanisani kutembea na kushangaa mavazi utahama makanisa hadi uchakae.
      Tusipowapongeza kwa kufungua makanisa tutapongeza ongezeko la vienge vya waganga wa kienyeji.
      Acha watu wapate pa kuabudia katika Roho na Kweli dada.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 10 месяцев назад

    Naomba namba yako mtumishi

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 3 года назад

    Taka Askofu Wa kisasa jamani

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 3 года назад +1

    Mchungaji amenyoa denge hizi siku za mwisho.

  • @josephhaule9123
    @josephhaule9123 3 года назад +1

    Ngoja niungane na waathene nione Kama nikweli hiyo huduma ipo sahihi Kama yatuagizavyo maadiko?

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 3 года назад +1

    Piga KAZI ya MUNGU usisikilize maneno ya watu

  • @essanfesto3049
    @essanfesto3049 3 года назад +1

    Amin

  • @reecemweneb2259
    @reecemweneb2259 3 года назад +1

    Free church? angalisho wapendwa,uyo ni free,mlishajuwa.

  • @pakapakatuondoke6785
    @pakapakatuondoke6785 3 года назад

    Uko WAP nataka nije

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 3 года назад +4

    Siku hzi bhna mtu akitaka kustaafu kazi anayofanya anafungua kanisa ndyo maana mtu ananunua uwanja anajenga ni watu tu kuingia nakupelaka mafungu ya kumi kazi nikubebwa tu sadaka makao makuu

    • @naylinekiv6642
      @naylinekiv6642 3 года назад +4

      Inaonekana hii bishara inalipa sana!! Sasa nakishauri, ufungue na wewe halafu tukeletee fungu la kumi!!!

    • @shiplegcm4948
      @shiplegcm4948 3 года назад

      @@naylinekiv6642 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣