Mwabukusi ni Mwanamapinduzi halisi masuala aliyopitia kwa maneno na vitendo. HONGERA SANA KAJUNJUMELE MWABUKUSI LICHA YA VITISHO DHIDI YAKO NA ZITAENDELEA katika kipindi hili cha mpito. .
RAISI TLS AJAYE....ANZA NA HILI ... YUPO WAKILI ANAYEFANYA UKANJANJA KWA MKOANI MWANZA .... UMILIKI WA ARDHI NI HATI HALALI ...MAJAJI 3 WAMETOA HUKUMU LAKINI BADO WAKILI HUYU ANASHINDIKIZA MTEJA WAKE AKATE RUFAA ... HII INAVHELEWESHA UTEKELEZA WA HAKI PRESDENT ANZA NA HUYU WAKILI AMBAYE HASIKII HATA USHAURI WA MAJAJI... .
mawakili,kuna hili shinikizo la,polisi na mahakama kuazimisha ,ili umdhamini,au mtu adhaminiwe mpaka utoe pesa,hiyo pesa inaenda kwa hakimu na polisi,haya yanatuumiza wananchi,hata kama umekamilisha nyaraka zimekamilika,tunaomba hili lishughulikiwe
tunaomba tls,mludishe heshima ya sheria,kwani wananchi wengi tumeshindwa kuamini sheria,badala yake ,unaona wananchi wanajaa ofisi za wakuu wa mikoa ili wapate haki zao, nahaki zao zimekuwa zikipatikana,lakini mahakamani wanaikosa haki,kwani rushwa zimekithiri sana.
Hongereni sana TLS. Muko vizuri sana. Tuna matumaini ya kuimarishwa kwa utawala wa kisheria kwa taifa letu. Muwe wa mmoja TLS hata baada ya uchaguzi. Pia mufanye kazi kwa uwazi kutuelimisha raia.
Mwambukusi anakidhi hii nafasi ,dhamira yake na kiu yake ni kutenda haki kwa kila mtanzania, ujasiri wake na uthubutu wake ni wakutoka moyoni kabisaa kama tu alivyo Tundu lissu, we love you Mr. Mwambukusi
Hongera Sana Star TV.huu wakati ni wa sayansi na technology ni lazima watu wapimwe kwenye midahalo huu sio mwaka wa 1947 kwa nini wagombea wengi wanaogopa midahalo? Hongera sana Mawakili wote. Kuogopa mdahalo ni aibu sana
Sweetbert wewe you’re a Good candidate, however, lipo tatizo kubwa kwako kuwa Kada wa CCM ambayo ndiyo iliyoongoza nchi kwa kipidi chote, ukweli ni kuwa hutakuwa na uwezo wa kuilazimisha serikali kufuata sheria. Hii ni kwa sababu hatujawahi kukuona katika level hiyo pamoja na wagombea wengine wote except Mwabukusi ambaye amekuwa bega kwa bega na jamii.
Hongera Star Tv kwa kuandaa mdahalo mzuri wa uchaguzi wa TLS ! Kwa maoni yangu TV ya Taifa inakwepa wajibu wake ya kìkàtibu kwani wakumbuke wanatumia kodi zetu.!! ( TBC1) WAKE UP!!
@@mariamfaicalhassan2890 Hakuna cha sauti ya wengi ni sauti ya mungu wala nini? Hivi waijua sauti ya mungu Kwanza haina haja ya kufikiri saaana Urais haupati huyo Mwabukusi
Wananchi milion 65 wanahitaji Rais wa TLS aliyejasiri, na mwenye weledi, na huu ni wakati muafaka, naomba sana msifanye kosa katika hilo, mkumbuke kuwa wananchi wanawategemea sana mawakili wa TLS hasa kwa kipindi hiki ambacho tunahitaji katiba mpya,na wanafuatilia huu mchakato mzima wa kumpata Rais wa TLS, Boniface A. K. Mwabukusi awe ndiye chaguo sahihi kuwa Rais wa TLS.
Odemba, nimekukubali sana sana kaka. Uko vizuri. Usijebadilika kwa mabaya kaka. CV yako na uwezo wako uko juu sana. Wakili Boniface, nakukubali sana sana kaka. Una uzalendo wa kweli. Hongera sana sana. Nakuombea sana Mungu akulinde kabisa.
Shida ni kwamba Mwabukusi ametokea nyakari ambazo wazalendo kwa nchi hii ni hakuna kabisa,bahati mbaya sana hata wapigania uhuru wa nchi hii pia hatuna kabisa. Una kazi nzito kwelikweli.
Ww Capt hufai ,ww ni mzee na ni rahisi kurubuniwa na maagizo kutoka juu,mzee nyakati hizi ni za vijana,sasa ni muda wa vijana kwa sbb muda wote ulipokuwa ktk wadhifa nn ulileta matokeo ktk sheria?Mzee hufai kbsa ,ahsante kwa kuongeza idadi ya wagombea jiondoe tu...
Asante mwabukusi mawakili chawa wasipo kupa kura taifa tumepotea Mimi siyo wakili Mimi ni muganga wa kenyeji ila naomba mungu waibrahi wa isaka na ya Kobo na mababu zetu ushindi juu yako
Atakayepata nafasi hiyo awadhibiti baadhi ya mawakili wenye njaa kali wanaouza haki za watu kwa kula pande zote 2. Wanachukua hela kwa mlalamikaji na kwa mlalamikiwa.
Hapana.. watakuwepo wagombea wengine wa zuri zaidi siyo lazima hao hao kina Lissu. Wakati wao umepita. Majembe mapya yameingia shamba siyo lazima Yale Yale. Tunahitaji kuona sura mpya
Wagombea wote mnafaa lakini subirini Mwabukusi awawekee msingi Kwa kipindi hiki ambacho mmepoteza mwelekeo wa taaluma yenu Hadi nanyi mnakaribia kuwa chawa mdudu mchafu. Muungeni mkono Kwa Nia Moja ya kurudisha hadhi ya TLS Kwa manufaa yenu na ya Taifa.
TLS MTAFANYA KOSA HAMTOWEZA KULISAHAU KWA KUMCHAGUWA MVUTA BANGE MWAMBUKUS, HATA LISU ANAMJUWA MWAMBUKUSI NI FISI NJAA KALI NDIO SABABU KTK KESI YAKE LISU ALITETEWA NA SHANGAZI FATMA KARUME , KWANINI SIO MWAMBUKUSI?...
Odemba na Star tv kwa ujumla tunaomba mdahalo kama huu ufanyike pia kwa wagombea wetu wa urahisi wa nchi hii kwa vyama vyote ili tupate rais bora na si bora rais
Hapa ndipo nimegundua kwa Nini Mwabukusi Jina lake lilikatwa ni uzalendo wake na uwazi wake bila kuwa kada wa serikali, na anafanya kazi na wananchi zaidi kiliko kupokea maagizo ya wanasiasa!
Yaani naona upeo WA mwambukusi umezidi parefu sana
Swali aliloulizwa amejibu vizuri sana
Mwabukusi ni Mwanamapinduzi halisi masuala aliyopitia kwa maneno na vitendo. HONGERA SANA KAJUNJUMELE MWABUKUSI LICHA YA VITISHO DHIDI YAKO NA ZITAENDELEA katika kipindi hili cha mpito. .
Mtangazaji kijana uko vizuri na ni mfano wa kuigwa. Hongera sana STAR TV.
Safi Sana kaka mwabukusi the genius one hakika unaweza watanzania Yuko nyuma yako
RAISI TLS AJAYE....ANZA NA HILI ... YUPO WAKILI ANAYEFANYA UKANJANJA KWA MKOANI MWANZA .... UMILIKI WA ARDHI NI HATI HALALI ...MAJAJI 3 WAMETOA HUKUMU LAKINI BADO WAKILI HUYU ANASHINDIKIZA MTEJA WAKE AKATE RUFAA ... HII INAVHELEWESHA UTEKELEZA WA HAKI
PRESDENT ANZA NA HUYU WAKILI AMBAYE HASIKII HATA USHAURI WA MAJAJI...
.
mwabukusi unatakiwa upate nafasi hiyo,unafaa,hawa wengine wamekuwa na madaraka mengi lakini hawajatoa,hawajaonyesha mabadiliko kwa tls
mawakili,kuna hili shinikizo la,polisi na mahakama kuazimisha ,ili umdhamini,au mtu adhaminiwe mpaka utoe pesa,hiyo pesa inaenda kwa hakimu na polisi,haya yanatuumiza wananchi,hata kama umekamilisha nyaraka zimekamilika,tunaomba hili lishughulikiwe
tunaomba tls,mludishe heshima ya sheria,kwani wananchi wengi tumeshindwa kuamini sheria,badala yake ,unaona wananchi wanajaa ofisi za wakuu wa mikoa ili wapate haki zao, nahaki zao zimekuwa zikipatikana,lakini mahakamani wanaikosa haki,kwani rushwa zimekithiri sana.
@@Aminmwansile-we8vn
Hafai kuiongoza TLS
YAAAANI HAFAI
Mwabukusi is so special , vote for him because is our Hero
Hongereni sana TLS. Muko vizuri sana. Tuna matumaini ya kuimarishwa kwa utawala wa kisheria kwa taifa letu. Muwe wa mmoja TLS hata baada ya uchaguzi. Pia mufanye kazi kwa uwazi kutuelimisha raia.
Niko hapa kushuhudia nondo za nguli wa Sheria Boniphace Mwambukusi kachuchumele 👏👏👏👏👏👏 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
Huyo ndo chief odemba mwandishi Bora kabsa katika tasinia ya habar kwa sasa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Kabisa he is reading one.
Kabisa! Si wale akina zembwela na mwenzake cha udaku
Odemba is the best Journalist in Tz naomba wote tu-like
Mwandishi wa habari nimekuadimire you are so special
Well done good job
Wengi Wao wanataka maisha yao tu ila Mwabukusi maisha ya ss sote
👍
I pray for my brother Mwambukusi to win.
Mwambukusi anakidhi hii nafasi ,dhamira yake na kiu yake ni kutenda haki kwa kila mtanzania, ujasiri wake na uthubutu wake ni wakutoka moyoni kabisaa kama tu alivyo Tundu lissu, we love you Mr. Mwambukusi
Kweli kabisa mwambukusi Yuko siliasi hata Kwa aslimali za watanzania
Mwabukusi hao wengine hata wao wanafaa ila kwa sasa tumpe mwabukusi
umeongea Kama mtu ongera
Ndiyo wote wanafaa ila mwabukusi anathamani sana kulingana na utu wake yaani ana dhamiri ya moyoni kwa ajili ya watanzania
Hakuna critical question, platform ya wauliza maswali wameselelesha mdahalo Ktk soft way..... Ahsanteni Kwa kazi nzuri
Mawakili mpeni kura zenu mwambukusi mungu mbariki mwambukusi
Hongera Sana Star TV.huu wakati ni wa sayansi na technology ni lazima watu wapimwe kwenye midahalo huu sio mwaka wa 1947 kwa nini wagombea wengi wanaogopa midahalo? Hongera sana Mawakili wote. Kuogopa mdahalo ni aibu sana
Mwabukusi anafaa kwa wakati huu.
Mwabukisi the heroo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ni mwabukusi tuuuuuuuu no one else apo.
Mwabukusi upo vizur sanaaaa big up bro wakili wa mawakili Africa
Amen , Amen, kwa Mwambukusi.
Umejieleza vizuri na bila shaka unatosha kabisa kwa nafasi hiyo ya urais wa TLS.
Sweetbert wewe you’re a Good candidate, however, lipo tatizo kubwa kwako kuwa Kada wa CCM ambayo ndiyo iliyoongoza nchi kwa kipidi chote, ukweli ni kuwa hutakuwa na uwezo wa kuilazimisha serikali kufuata sheria. Hii ni kwa sababu hatujawahi kukuona katika level hiyo pamoja na wagombea wengine wote except Mwabukusi ambaye amekuwa bega kwa bega na jamii.
Mwabukusi mungu akulinde sana mjomba wangu wa nguvu wewe ndio jembe 🎉
Mwandishi Odemba hatutatenda haki kama hatutakupa maua yako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndo mtangazaji bora pekee wa kitanzania ambae hana uchawa
Uyuu jamaaa ni masta sana pmja n mwenzie yule aloic nyanda@@philemonsnyanda9450
Odemba yupo vizuri sana ktk tasnia ya habari
Ukiwaskiliza vizuri Utagundua Mwabukusi ni zaidi ya Hiyo nafasi ya Urais wa TLS
Kweli kabisa.very big point.
Huyo ni zaidi sana ya huo uraisi
😂@@abrahamnyagawa1304
Toka kyela .mwabukusi tunatamani uwe rais wa tls
DAMU ya YESU ikuzingule mahali mahali mwamba mwabukusu, hakuna kukata tamaa wewe ni mshindi
Mwabukusi Genius
Mwabukusi the Champion 🏆🥇💯✅
Asipo shnda mwabukusi bas mtakua wanafki tena kulko
Hongera Star Tv kwa kuandaa mdahalo mzuri wa uchaguzi wa TLS ! Kwa maoni yangu TV ya Taifa inakwepa wajibu wake ya kìkàtibu kwani wakumbuke wanatumia kodi zetu.!! ( TBC1) WAKE UP!!
It's right time for BONIFACE MWABUKUSI✅✅
@@visiontanzania2022
It's NOT a time for MWABUKUSI
@@adamlubawa1281sauti ya wengi ni sauti ya Mungu je wewe ni shetani?
@@mariamfaicalhassan2890 Hakuna cha sauti ya wengi ni sauti ya mungu wala nini?
Hivi waijua sauti ya mungu
Kwanza haina haja ya kufikiri saaana
Urais haupati huyo Mwabukusi
@@mariamfaicalhassan2890 Hiyo sauti ya mungu ipoje?
@@adamlubawa1281pole sana
Wananchi milion 65 wanahitaji Rais wa TLS aliyejasiri, na mwenye weledi, na huu ni wakati muafaka, naomba sana msifanye kosa katika hilo, mkumbuke kuwa wananchi wanawategemea sana mawakili wa TLS hasa kwa kipindi hiki ambacho tunahitaji katiba mpya,na wanafuatilia huu mchakato mzima wa kumpata Rais wa TLS, Boniface A. K. Mwabukusi awe ndiye chaguo sahihi kuwa Rais wa TLS.
Naaam,mwabukusi
Katiba imechezewa sana na viongozi mpeni kura Mwabukusi awanyooshe
Hiyo aipingwi
Odemba, nimekukubali sana sana kaka. Uko vizuri. Usijebadilika kwa mabaya kaka. CV yako na uwezo wako uko juu sana.
Wakili Boniface, nakukubali sana sana kaka. Una uzalendo wa kweli. Hongera sana sana. Nakuombea sana Mungu akulinde kabisa.
Shida ni kwamba Mwabukusi ametokea nyakari ambazo wazalendo kwa nchi hii ni hakuna kabisa,bahati mbaya sana hata wapigania uhuru wa nchi hii pia hatuna kabisa. Una kazi nzito kwelikweli.
Mwabukusi all the way
@@saidmtetwa4363
Hafai is not a right way
Kwa kasoro zipo kaka, au Chuki binafsi@@adamlubawa1281
My vote kwa Mwabukusi. Wengine chawa
Nimtazamo wako wewe hao wengine wakuongoze wewe Sisi wengine mwabukusi Anatosha mwabukusi oyeee😅
😂😂😂
Mwambukusi ni mzarendo no 1 katika taifa hili la tanzania
Mwabukusi uko vizurii🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nakubali sana punches za Odemba! Mwabukusi apewe (uzalendo wake umeigusa jamii kwa karibu)
Hapati urais
@@adamlubawa1281wakupe wewe urais
Mwambukusi uzalendo wako hauna mpinzani
@@nsajigwamwasumbi4990 mwabukusi Hafai na hata urais Haupati
Hakika
Ww Capt hufai ,ww ni mzee na ni rahisi kurubuniwa na maagizo kutoka juu,mzee nyakati hizi ni za vijana,sasa ni muda wa vijana kwa sbb muda wote ulipokuwa ktk wadhifa nn ulileta matokeo ktk sheria?Mzee hufai kbsa ,ahsante kwa kuongeza idadi ya wagombea jiondoe tu...
😢 kweli yako
Wewe ni pimbi kweli, hivi umemsikiliza akiongea au?
@@MilloWamilonga-ft8ir Duuh matusi tena??Umenikosea sana ......
@@plujoncylugano4611 upimbi sio matusi mkuu
Sio tusi, kwa lugha gani unaiongelea?
Huu ni Mdahalo wa Kisasa na wenye tija. Mwabukusi anaona mbali na anashauku ya kutenda jambo lenye maslahi mapana.
tuleteeni mwabukusi mzarendo namba 1
Mwabukusi ni 🔥🔥🔥🔥🔥
Mwambukusiiiiiiii... Is the only candidate for the all....
Kazi ya TLS ni kuondoa viburi hivi vya mf askari ama wengine kukataa kutekeleza amri halali za mahakama.
Jana niliangalia Kwa sababu ya mwabukusi
Mwambukusi ndio mwamba apewe tu kiti chake mapema haina haja ya kupiga kula.
Asante mwabukusi mawakili chawa wasipo kupa kura taifa tumepotea Mimi siyo wakili Mimi ni muganga wa kenyeji ila naomba mungu waibrahi wa isaka na ya Kobo na mababu zetu ushindi juu yako
Apewe Mwambukusi ndio jicho kwa sasa kwa wananchi
Miaka 70 ya TLS halafu nchi haina independent investigators hebu mulitafakari hilo wapendwa wana TLS.
Viva mwabukusi viva Tanzania yetu
Mwabukusi for TLS
One of the coolest debates
Atakayepata nafasi hiyo awadhibiti baadhi ya mawakili wenye njaa kali wanaouza haki za watu kwa kula pande zote 2. Wanachukua hela kwa mlalamikaji na kwa mlalamikiwa.
Daaaah mdahalo huu uje ufanyike na Tundulisu na Samia chini ya chief Odemba
😅
Siyo mbaya kuota ndoto 😂😂
Hapana.. watakuwepo wagombea wengine wa zuri zaidi siyo lazima hao hao kina Lissu. Wakati wao umepita. Majembe mapya yameingia shamba siyo lazima Yale Yale. Tunahitaji kuona sura mpya
Achana na hao wa zamani. Tunahitaji sura mpya zenye mawazo mapya
Hilo swala la katiba wameshindwa kuniridhisha majibu yao isipokuwa mwabukusi angalau nimemwelewa
Kama kweli wanasheria wa Tanganyika wanataka mageuzi ya kisheria mwabukusi apewe rungu.
Wagombea wote mnafaa lakini subirini Mwabukusi awawekee msingi Kwa kipindi hiki ambacho mmepoteza mwelekeo wa taaluma yenu Hadi nanyi mnakaribia kuwa chawa mdudu mchafu. Muungeni mkono Kwa Nia Moja ya kurudisha hadhi ya TLS Kwa manufaa yenu na ya Taifa.
Boniphas Mwabukusi ndiye Rais wa TLS anayefaa sana hao wengine ni mawakala wa CCM na ni wepesi kwa kupokea maagizo kutoka juu
Nilvyosikiliza wanavyojibu hoja, Bony is the president to be.
@@kyaro5945 HAFAI NA HAPATI URAIS
NIPO PALE
NIMEKAAAAA
@@adamlubawa1281wewe utakuwa ndugu yake na nape nauye unataka kuwafundisha jinsi ya kuiba kura na ushindwe kwa jina la yesu Bony is the best
@@alexmwalingo5020 YESU UNAMJUA WEWE ALIVYO HADI UMTAJE
IMANI YAKO KWELI ITAKUPONYA
@@adamlubawa1281 Imeniponya sasa na ameshinda si umeona mwenyewe
Odemba unaitendea haki taaluma yako. Big up sana!!
Hakiya mungu ningekuwa na uwezo ningeamlisha watu wote wampigie kula mwambukus
Mwabukusi, Mwabukusi, Mwabukusi Mimi siyo mwanasheria lkn achukue.
All de best Mwamba Mwabukusi
Team mwabukusi gonga like twende sambamba
Mwambusi juuuu
TLS MTAFANYA KOSA HAMTOWEZA KULISAHAU KWA KUMCHAGUWA MVUTA BANGE MWAMBUKUS, HATA LISU ANAMJUWA MWAMBUKUSI NI FISI NJAA KALI NDIO SABABU KTK KESI YAKE LISU ALITETEWA NA SHANGAZI FATMA KARUME , KWANINI SIO MWAMBUKUSI?...
Mtangazaji safi sana umetisha
Bonny, you are the presida bro. Most candidates are fighting for agency and personal requests.
Huyu Chief Odemba ana uwezo mkubwa sana wa kuandaa makala, anavyokuwa anahoji unaona kabisa yuko very critical
Odemba na Star tv kwa ujumla tunaomba mdahalo kama huu ufanyike pia kwa wagombea wetu wa urahisi wa nchi hii kwa vyama vyote ili tupate rais bora na si bora rais
Mwmbukusi ushashindaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa unafaaa maana unamsimamo wenye manufaaa
Huyo ni njaa tu hana ukombozi wowote kelele nyingi tu
Chief odemba uko vizuri sana na uendelee kukaa kwenye nafasi yako kwa viwango vya juu.
Hongereni Mwabukusi hongera
Tunao mkubali mwapukuss ...nione like..zenu ....❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu ampe nafasi Mwabukusi, wakati huu tunahitaji watunwaliokasiri na kuweka masilahi ya nchi na kuwa tayari kusimamamia kukemea utawala mbovu
❤❤❤ mwabukusi
Wengine wote hamnakitu hapo no Boniface mwakubusi mungu msaidie apite
Mwabukusi all the best
Mwabukusi best
Nyakati zinahitaji mtu strong kuongoza TLS,asiye mwoga kuhoji Serikali na kutetea hki na Sheria kandamizi
Mtu huyo ni mwabukusi tu hapo.
Mpenzi mwambukusi anafaa sana Yuko vizuri.
Mwabukusi Kaka uko vzr sana
Odemba na STAR TV ❤❤❤
Mwabukusi ni mgombea pekee anaweza kurudisha heshima ya sheria na utawala bora , maana mahakama na mawakili wa wanaendesha sana na siasa
Huyo Mwabulukusi pi ni njaa tu hata mkimpa hana jipya atalewa na madaraka mbuzi
Hongera Odemba kwa mdahalo mzuri sana
Debate kama hii inatakiwa kwa wagombea urais wa nchi ingependeza sanaa, kuna wengne wangejiengua mapemaaaaa
Hakuna kukimbia mdahalo..wote watokee tuwasikie!
Ndugu wanasheria
Tunawaomba saaana🙌🙌🙌 mmwapishe kuwa Rais wenu na wetu sote Watanzania.mheshimiwa Boniface mwabukusi wala asicheleweshwe ndugu zangu wanansheria.
Odemba uko vizuri sana katika kuhoji.
Mnaopiga kura nichukue nafasi hii kuwaomba mmpigie Mwambukusi kura ya kuwa rais wa TLS.
Aiseee honest mwabukusi hi is bright aiseeee daaa
Namkubali Mwambukisi
huyu Mwandishi MAUA YAKE APEWE
Taifa hili lina watu wazuri mmoja wao Mwabukusi
Hapa ndipo nimegundua kwa Nini Mwabukusi Jina lake lilikatwa ni uzalendo wake na uwazi wake bila kuwa kada wa serikali, na anafanya kazi na wananchi zaidi kiliko kupokea maagizo ya wanasiasa!
Kazi nzuri, mfumo huu uendelee katka kupatikana kwa viongozi wa nchi ili kupima uwezo wa viongozi wetu
Kwa kpindi haki mpeni Mwabukusi wengine Majaliwa wakat mwingine
Vote for Mwabukusi
Mwabukusi Mwenyezi-Mungu na malaika zake wawe pamoja na wewe
Mwabukusi
Mwabukusi
Mwabukusi
Mwabukusi
Mwabukusi
Hongereni kwa mjadala mzuri
Vote Mwambukusi please.
Don't let me down.
Kwa mara ya kwanza nimesikiliza huu mdahalo kwa sababu ya mgombea Mwabukusi.
Hao wengine siwafahamu wala sijavutiwa nao Kama mwabukusi.