🅻🅸🆅🅴; MDAHALO,MWABUKUSI NA WAGOMBEA URAIS WA TLS WACHUANA WANACHUANA VIKALI MUDA HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 564

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 месяца назад +54

    Yaani naona upeo WA mwambukusi umezidi parefu sana

    • @oyiercyprian625
      @oyiercyprian625 2 месяца назад +2

      Swali aliloulizwa amejibu vizuri sana

    • @marinyajulius4983
      @marinyajulius4983 2 месяца назад +2

      Mwabukusi ni Mwanamapinduzi halisi masuala aliyopitia kwa maneno na vitendo. HONGERA SANA KAJUNJUMELE MWABUKUSI LICHA YA VITISHO DHIDI YAKO NA ZITAENDELEA katika kipindi hili cha mpito. .

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 2 месяца назад +8

    Mtangazaji kijana uko vizuri na ni mfano wa kuigwa. Hongera sana STAR TV.

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 2 месяца назад +32

    Safi Sana kaka mwabukusi the genius one hakika unaweza watanzania Yuko nyuma yako

    • @FelcianBarongo
      @FelcianBarongo 2 месяца назад

      RAISI TLS AJAYE....ANZA NA HILI ... YUPO WAKILI ANAYEFANYA UKANJANJA KWA MKOANI MWANZA .... UMILIKI WA ARDHI NI HATI HALALI ...MAJAJI 3 WAMETOA HUKUMU LAKINI BADO WAKILI HUYU ANASHINDIKIZA MTEJA WAKE AKATE RUFAA ... HII INAVHELEWESHA UTEKELEZA WA HAKI
      PRESDENT ANZA NA HUYU WAKILI AMBAYE HASIKII HATA USHAURI WA MAJAJI...
      .

    • @shakiru-y7g
      @shakiru-y7g 2 месяца назад

      mwabukusi unatakiwa upate nafasi hiyo,unafaa,hawa wengine wamekuwa na madaraka mengi lakini hawajatoa,hawajaonyesha mabadiliko kwa tls

    • @shakiru-y7g
      @shakiru-y7g 2 месяца назад

      mawakili,kuna hili shinikizo la,polisi na mahakama kuazimisha ,ili umdhamini,au mtu adhaminiwe mpaka utoe pesa,hiyo pesa inaenda kwa hakimu na polisi,haya yanatuumiza wananchi,hata kama umekamilisha nyaraka zimekamilika,tunaomba hili lishughulikiwe

    • @shakiru-y7g
      @shakiru-y7g 2 месяца назад +1

      tunaomba tls,mludishe heshima ya sheria,kwani wananchi wengi tumeshindwa kuamini sheria,badala yake ,unaona wananchi wanajaa ofisi za wakuu wa mikoa ili wapate haki zao, nahaki zao zimekuwa zikipatikana,lakini mahakamani wanaikosa haki,kwani rushwa zimekithiri sana.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 2 месяца назад

      @@Aminmwansile-we8vn
      Hafai kuiongoza TLS
      YAAAANI HAFAI

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 2 месяца назад +21

    Mwabukusi is so special , vote for him because is our Hero

  • @Sr.BasilisaPanga
    @Sr.BasilisaPanga 2 месяца назад +19

    Hongereni sana TLS. Muko vizuri sana. Tuna matumaini ya kuimarishwa kwa utawala wa kisheria kwa taifa letu. Muwe wa mmoja TLS hata baada ya uchaguzi. Pia mufanye kazi kwa uwazi kutuelimisha raia.

  • @dr.johnsonnyamohanga6147
    @dr.johnsonnyamohanga6147 2 месяца назад +32

    Niko hapa kushuhudia nondo za nguli wa Sheria Boniphace Mwambukusi kachuchumele 👏👏👏👏👏👏 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽

  • @kazimilykulwa2516
    @kazimilykulwa2516 2 месяца назад +16

    Huyo ndo chief odemba mwandishi Bora kabsa katika tasinia ya habar kwa sasa 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @alfredcharles8029
    @alfredcharles8029 2 месяца назад +6

    Odemba is the best Journalist in Tz naomba wote tu-like

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 2 месяца назад +2

    Mwandishi wa habari nimekuadimire you are so special
    Well done good job

  • @epafraditopajenga4650
    @epafraditopajenga4650 2 месяца назад +28

    Wengi Wao wanataka maisha yao tu ila Mwabukusi maisha ya ss sote

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 2 месяца назад +1

    I pray for my brother Mwambukusi to win.

  • @ibrahshifta1595
    @ibrahshifta1595 2 месяца назад +15

    Mwambukusi anakidhi hii nafasi ,dhamira yake na kiu yake ni kutenda haki kwa kila mtanzania, ujasiri wake na uthubutu wake ni wakutoka moyoni kabisaa kama tu alivyo Tundu lissu, we love you Mr. Mwambukusi

    • @mchungajimpigauzitv5703
      @mchungajimpigauzitv5703 2 месяца назад

      Kweli kabisa mwambukusi Yuko siliasi hata Kwa aslimali za watanzania

  • @yassinitupa5819
    @yassinitupa5819 2 месяца назад +31

    Mwabukusi hao wengine hata wao wanafaa ila kwa sasa tumpe mwabukusi

    • @MAKATAMOHAMED
      @MAKATAMOHAMED 2 месяца назад +1

      umeongea Kama mtu ongera

    • @DodomaTanzania-r5z
      @DodomaTanzania-r5z 2 месяца назад

      Ndiyo wote wanafaa ila mwabukusi anathamani sana kulingana na utu wake yaani ana dhamiri ya moyoni kwa ajili ya watanzania

  • @NicodemusMwalumwe
    @NicodemusMwalumwe 2 месяца назад

    Hakuna critical question, platform ya wauliza maswali wameselelesha mdahalo Ktk soft way..... Ahsanteni Kwa kazi nzuri

  • @OmarJumanne-j8s
    @OmarJumanne-j8s 2 месяца назад +7

    Mawakili mpeni kura zenu mwambukusi mungu mbariki mwambukusi

  • @foundationforcommunityhope7327
    @foundationforcommunityhope7327 2 месяца назад +2

    Hongera Sana Star TV.huu wakati ni wa sayansi na technology ni lazima watu wapimwe kwenye midahalo huu sio mwaka wa 1947 kwa nini wagombea wengi wanaogopa midahalo? Hongera sana Mawakili wote. Kuogopa mdahalo ni aibu sana

  • @aberinegosanga7067
    @aberinegosanga7067 2 месяца назад +23

    Mwabukusi anafaa kwa wakati huu.

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 2 месяца назад +10

    Mwabukisi the heroo🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ni mwabukusi tuuuuuuuu no one else apo.

  • @khaliduhadi2336
    @khaliduhadi2336 2 месяца назад +2

    Mwabukusi upo vizur sanaaaa big up bro wakili wa mawakili Africa

  • @FaustinaBoniface
    @FaustinaBoniface 2 месяца назад +1

    Amen , Amen, kwa Mwambukusi.
    Umejieleza vizuri na bila shaka unatosha kabisa kwa nafasi hiyo ya urais wa TLS.

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 2 месяца назад +6

    Sweetbert wewe you’re a Good candidate, however, lipo tatizo kubwa kwako kuwa Kada wa CCM ambayo ndiyo iliyoongoza nchi kwa kipidi chote, ukweli ni kuwa hutakuwa na uwezo wa kuilazimisha serikali kufuata sheria. Hii ni kwa sababu hatujawahi kukuona katika level hiyo pamoja na wagombea wengine wote except Mwabukusi ambaye amekuwa bega kwa bega na jamii.

  • @OlosekiLokoy-sy6qg
    @OlosekiLokoy-sy6qg 2 месяца назад +2

    Mwabukusi mungu akulinde sana mjomba wangu wa nguvu wewe ndio jembe 🎉

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 месяца назад +26

    Mwandishi Odemba hatutatenda haki kama hatutakupa maua yako ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @philemonsnyanda9450
      @philemonsnyanda9450 2 месяца назад +3

      Ndo mtangazaji bora pekee wa kitanzania ambae hana uchawa

    • @saidmabanga388
      @saidmabanga388 2 месяца назад

      Uyuu jamaaa ni masta sana pmja n mwenzie yule aloic nyanda​@@philemonsnyanda9450

    • @sangajaffar7419
      @sangajaffar7419 2 месяца назад +2

      Odemba yupo vizuri sana ktk tasnia ya habari

  • @bonifacemeela5247
    @bonifacemeela5247 2 месяца назад +16

    Ukiwaskiliza vizuri Utagundua Mwabukusi ni zaidi ya Hiyo nafasi ya Urais wa TLS

  • @Titusstaphanie
    @Titusstaphanie 2 месяца назад +20

    Toka kyela .mwabukusi tunatamani uwe rais wa tls

  • @salmajafari6838
    @salmajafari6838 2 месяца назад +13

    DAMU ya YESU ikuzingule mahali mahali mwamba mwabukusu, hakuna kukata tamaa wewe ni mshindi

  • @jeremiahmahenge9250
    @jeremiahmahenge9250 2 месяца назад +15

    Mwabukusi Genius

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 2 месяца назад +13

    Mwabukusi the Champion 🏆🥇💯✅

  • @sondajohn1371
    @sondajohn1371 2 месяца назад +15

    Asipo shnda mwabukusi bas mtakua wanafki tena kulko

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 2 месяца назад +3

    Hongera Star Tv kwa kuandaa mdahalo mzuri wa uchaguzi wa TLS ! Kwa maoni yangu TV ya Taifa inakwepa wajibu wake ya kìkàtibu kwani wakumbuke wanatumia kodi zetu.!! ( TBC1) WAKE UP!!

  • @visiontanzania2022
    @visiontanzania2022 2 месяца назад +12

    It's right time for BONIFACE MWABUKUSI✅✅

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 2 месяца назад

      @@visiontanzania2022
      It's NOT a time for MWABUKUSI

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 2 месяца назад +1

      ​@@adamlubawa1281sauti ya wengi ni sauti ya Mungu je wewe ni shetani?

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 2 месяца назад

      @@mariamfaicalhassan2890 Hakuna cha sauti ya wengi ni sauti ya mungu wala nini?
      Hivi waijua sauti ya mungu
      Kwanza haina haja ya kufikiri saaana
      Urais haupati huyo Mwabukusi

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 2 месяца назад

      @@mariamfaicalhassan2890 Hiyo sauti ya mungu ipoje?

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 2 месяца назад +1

      @@adamlubawa1281pole sana

  • @RobertCollinskc
    @RobertCollinskc 2 месяца назад +18

    Wananchi milion 65 wanahitaji Rais wa TLS aliyejasiri, na mwenye weledi, na huu ni wakati muafaka, naomba sana msifanye kosa katika hilo, mkumbuke kuwa wananchi wanawategemea sana mawakili wa TLS hasa kwa kipindi hiki ambacho tunahitaji katiba mpya,na wanafuatilia huu mchakato mzima wa kumpata Rais wa TLS, Boniface A. K. Mwabukusi awe ndiye chaguo sahihi kuwa Rais wa TLS.

  • @petergeorgekafumu
    @petergeorgekafumu 2 месяца назад

    Odemba, nimekukubali sana sana kaka. Uko vizuri. Usijebadilika kwa mabaya kaka. CV yako na uwezo wako uko juu sana.
    Wakili Boniface, nakukubali sana sana kaka. Una uzalendo wa kweli. Hongera sana sana. Nakuombea sana Mungu akulinde kabisa.

  • @venancemwanya4212
    @venancemwanya4212 2 месяца назад +2

    Shida ni kwamba Mwabukusi ametokea nyakari ambazo wazalendo kwa nchi hii ni hakuna kabisa,bahati mbaya sana hata wapigania uhuru wa nchi hii pia hatuna kabisa. Una kazi nzito kwelikweli.

  • @saidmtetwa4363
    @saidmtetwa4363 2 месяца назад +23

    Mwabukusi all the way

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 2 месяца назад

      @@saidmtetwa4363
      Hafai is not a right way

    • @prosperjohn2047
      @prosperjohn2047 2 месяца назад

      Kwa kasoro zipo kaka, au Chuki binafsi​@@adamlubawa1281

  • @edisonpeter3894
    @edisonpeter3894 2 месяца назад +3

    My vote kwa Mwabukusi. Wengine chawa

  • @mashakalukinda2350
    @mashakalukinda2350 2 месяца назад +19

    Nimtazamo wako wewe hao wengine wakuongoze wewe Sisi wengine mwabukusi Anatosha mwabukusi oyeee😅

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 месяца назад +12

    Mwambukusi ni mzarendo no 1 katika taifa hili la tanzania

  • @victamacha5526
    @victamacha5526 2 месяца назад +6

    Mwabukusi uko vizurii🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @nsajigwamwasumbi4990
    @nsajigwamwasumbi4990 2 месяца назад +23

    Nakubali sana punches za Odemba! Mwabukusi apewe (uzalendo wake umeigusa jamii kwa karibu)

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 2 месяца назад +11

    Ww Capt hufai ,ww ni mzee na ni rahisi kurubuniwa na maagizo kutoka juu,mzee nyakati hizi ni za vijana,sasa ni muda wa vijana kwa sbb muda wote ulipokuwa ktk wadhifa nn ulileta matokeo ktk sheria?Mzee hufai kbsa ,ahsante kwa kuongeza idadi ya wagombea jiondoe tu...

  • @n.gmcharo5402
    @n.gmcharo5402 2 месяца назад +13

    Huu ni Mdahalo wa Kisasa na wenye tija. Mwabukusi anaona mbali na anashauku ya kutenda jambo lenye maslahi mapana.

  • @Emmanuelmengi
    @Emmanuelmengi 2 месяца назад +9

    tuleteeni mwabukusi mzarendo namba 1

  • @watotowetutv9152
    @watotowetutv9152 2 месяца назад +6

    Mwabukusi ni 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @erickayilla
    @erickayilla 2 месяца назад +5

    Mwambukusiiiiiiii... Is the only candidate for the all....

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 месяца назад +8

    Kazi ya TLS ni kuondoa viburi hivi vya mf askari ama wengine kukataa kutekeleza amri halali za mahakama.

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 2 месяца назад +14

    Jana niliangalia Kwa sababu ya mwabukusi

  • @MzeewaslowHusseinAndrew
    @MzeewaslowHusseinAndrew 2 месяца назад +10

    Mwambukusi ndio mwamba apewe tu kiti chake mapema haina haja ya kupiga kula.

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 месяца назад +1

    Asante mwabukusi mawakili chawa wasipo kupa kura taifa tumepotea Mimi siyo wakili Mimi ni muganga wa kenyeji ila naomba mungu waibrahi wa isaka na ya Kobo na mababu zetu ushindi juu yako

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 2 месяца назад +17

    Apewe Mwambukusi ndio jicho kwa sasa kwa wananchi

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 месяца назад +8

    Miaka 70 ya TLS halafu nchi haina independent investigators hebu mulitafakari hilo wapendwa wana TLS.

  • @MonicaTimotheo
    @MonicaTimotheo 2 месяца назад +2

    Viva mwabukusi viva Tanzania yetu

  • @mathiasmathias5360
    @mathiasmathias5360 2 месяца назад +8

    Mwabukusi for TLS

  • @MAGIDACHIMIJA
    @MAGIDACHIMIJA 2 месяца назад +2

    One of the coolest debates

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 месяца назад +11

    Atakayepata nafasi hiyo awadhibiti baadhi ya mawakili wenye njaa kali wanaouza haki za watu kwa kula pande zote 2. Wanachukua hela kwa mlalamikaji na kwa mlalamikiwa.

  • @LinusAmanimbeye
    @LinusAmanimbeye 2 месяца назад +4

    Daaaah mdahalo huu uje ufanyike na Tundulisu na Samia chini ya chief Odemba

    • @mabondolawrence1812
      @mabondolawrence1812 2 месяца назад

      😅

    • @carolakinasha2106
      @carolakinasha2106 2 месяца назад +1

      Siyo mbaya kuota ndoto 😂😂

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 2 месяца назад

      Hapana.. watakuwepo wagombea wengine wa zuri zaidi siyo lazima hao hao kina Lissu. Wakati wao umepita. Majembe mapya yameingia shamba siyo lazima Yale Yale. Tunahitaji kuona sura mpya

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 2 месяца назад

      Achana na hao wa zamani. Tunahitaji sura mpya zenye mawazo mapya

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 2 месяца назад +1

      Hilo swala la katiba wameshindwa kuniridhisha majibu yao isipokuwa mwabukusi angalau nimemwelewa

  • @georgesolos344
    @georgesolos344 2 месяца назад +16

    Kama kweli wanasheria wa Tanganyika wanataka mageuzi ya kisheria mwabukusi apewe rungu.

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 2 месяца назад +9

    Wagombea wote mnafaa lakini subirini Mwabukusi awawekee msingi Kwa kipindi hiki ambacho mmepoteza mwelekeo wa taaluma yenu Hadi nanyi mnakaribia kuwa chawa mdudu mchafu. Muungeni mkono Kwa Nia Moja ya kurudisha hadhi ya TLS Kwa manufaa yenu na ya Taifa.

  • @plujoncylugano4611
    @plujoncylugano4611 2 месяца назад +14

    Boniphas Mwabukusi ndiye Rais wa TLS anayefaa sana hao wengine ni mawakala wa CCM na ni wepesi kwa kupokea maagizo kutoka juu

    • @kyaro5945
      @kyaro5945 2 месяца назад +1

      Nilvyosikiliza wanavyojibu hoja, Bony is the president to be.

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 2 месяца назад

      @@kyaro5945 HAFAI NA HAPATI URAIS
      NIPO PALE
      NIMEKAAAAA

    • @alexmwalingo5020
      @alexmwalingo5020 2 месяца назад

      ​@@adamlubawa1281wewe utakuwa ndugu yake na nape nauye unataka kuwafundisha jinsi ya kuiba kura na ushindwe kwa jina la yesu Bony is the best

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 2 месяца назад

      @@alexmwalingo5020 YESU UNAMJUA WEWE ALIVYO HADI UMTAJE
      IMANI YAKO KWELI ITAKUPONYA

    • @alexmwalingo5020
      @alexmwalingo5020 2 месяца назад

      @@adamlubawa1281 Imeniponya sasa na ameshinda si umeona mwenyewe

  • @wivukepanga4427
    @wivukepanga4427 2 месяца назад +3

    Odemba unaitendea haki taaluma yako. Big up sana!!

  • @WakwetuWakwet
    @WakwetuWakwet 2 месяца назад

    Hakiya mungu ningekuwa na uwezo ningeamlisha watu wote wampigie kula mwambukus

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 2 месяца назад +10

    Mwabukusi, Mwabukusi, Mwabukusi Mimi siyo mwanasheria lkn achukue.

  • @ambokileosward8850
    @ambokileosward8850 2 месяца назад +4

    All de best Mwamba Mwabukusi

  • @fabianmainchanyangachika5017
    @fabianmainchanyangachika5017 2 месяца назад +2

    Team mwabukusi gonga like twende sambamba

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 2 месяца назад +11

    Mwambusi juuuu

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 2 месяца назад +1

    TLS MTAFANYA KOSA HAMTOWEZA KULISAHAU KWA KUMCHAGUWA MVUTA BANGE MWAMBUKUS, HATA LISU ANAMJUWA MWAMBUKUSI NI FISI NJAA KALI NDIO SABABU KTK KESI YAKE LISU ALITETEWA NA SHANGAZI FATMA KARUME , KWANINI SIO MWAMBUKUSI?...

  • @fidemikaeli8145
    @fidemikaeli8145 2 месяца назад +1

    Mtangazaji safi sana umetisha

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 2 месяца назад +3

    Bonny, you are the presida bro. Most candidates are fighting for agency and personal requests.

  • @kakuruchiganga507
    @kakuruchiganga507 2 месяца назад +2

    Huyu Chief Odemba ana uwezo mkubwa sana wa kuandaa makala, anavyokuwa anahoji unaona kabisa yuko very critical

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 2 месяца назад +9

    Odemba na Star tv kwa ujumla tunaomba mdahalo kama huu ufanyike pia kwa wagombea wetu wa urahisi wa nchi hii kwa vyama vyote ili tupate rais bora na si bora rais

  • @DIONIZICharles
    @DIONIZICharles 2 месяца назад +8

    Mwmbukusi ushashindaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa unafaaa maana unamsimamo wenye manufaaa

  • @LuganoMwakalinga-p3k
    @LuganoMwakalinga-p3k 2 месяца назад +1

    Chief odemba uko vizuri sana na uendelee kukaa kwenye nafasi yako kwa viwango vya juu.

  • @AnnoyedHarp-tg7ur
    @AnnoyedHarp-tg7ur 2 месяца назад +5

    Hongereni Mwabukusi hongera

  • @dickisoniryoba3989
    @dickisoniryoba3989 2 месяца назад +11

    Tunao mkubali mwapukuss ...nione like..zenu ....❤❤❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @anita-nv4kk
    @anita-nv4kk 2 месяца назад +2

    Mungu ampe nafasi Mwabukusi, wakati huu tunahitaji watunwaliokasiri na kuweka masilahi ya nchi na kuwa tayari kusimamamia kukemea utawala mbovu

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 2 месяца назад +3

    ❤❤❤ mwabukusi

  • @ProsperMsemwa-g8n
    @ProsperMsemwa-g8n 2 месяца назад +23

    Wengine wote hamnakitu hapo no Boniface mwakubusi mungu msaidie apite

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi8064 2 месяца назад +3

    Nyakati zinahitaji mtu strong kuongoza TLS,asiye mwoga kuhoji Serikali na kutetea hki na Sheria kandamizi

    • @Maria-cx4kn
      @Maria-cx4kn 2 месяца назад +1

      Mtu huyo ni mwabukusi tu hapo.

  • @DandasiKundi
    @DandasiKundi 2 месяца назад +1

    Mpenzi mwambukusi anafaa sana Yuko vizuri.

  • @DanielMgeni-x1z
    @DanielMgeni-x1z 2 месяца назад +4

    Mwabukusi Kaka uko vzr sana

  • @jumannemwakalinga2586
    @jumannemwakalinga2586 2 месяца назад +2

    Odemba na STAR TV ❤❤❤

  • @brownngullo4051
    @brownngullo4051 2 месяца назад +6

    Mwabukusi ni mgombea pekee anaweza kurudisha heshima ya sheria na utawala bora , maana mahakama na mawakili wa wanaendesha sana na siasa

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 2 месяца назад

      Huyo Mwabulukusi pi ni njaa tu hata mkimpa hana jipya atalewa na madaraka mbuzi

  • @augustinosimon8022
    @augustinosimon8022 2 месяца назад +1

    Hongera Odemba kwa mdahalo mzuri sana

  • @MarryCharles-rc6ei
    @MarryCharles-rc6ei 2 месяца назад +6

    Debate kama hii inatakiwa kwa wagombea urais wa nchi ingependeza sanaa, kuna wengne wangejiengua mapemaaaaa

    • @albertkamala6843
      @albertkamala6843 2 месяца назад

      Hakuna kukimbia mdahalo..wote watokee tuwasikie!

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 2 месяца назад +1

    Ndugu wanasheria
    Tunawaomba saaana🙌🙌🙌 mmwapishe kuwa Rais wenu na wetu sote Watanzania.mheshimiwa Boniface mwabukusi wala asicheleweshwe ndugu zangu wanansheria.

  • @malamlaaj9852
    @malamlaaj9852 2 месяца назад +7

    Odemba uko vizuri sana katika kuhoji.

  • @eunho9529
    @eunho9529 2 месяца назад +2

    Mnaopiga kura nichukue nafasi hii kuwaomba mmpigie Mwambukusi kura ya kuwa rais wa TLS.

  • @hamphumichael7194
    @hamphumichael7194 2 месяца назад

    Aiseee honest mwabukusi hi is bright aiseeee daaa

  • @ingistephenmayo327
    @ingistephenmayo327 2 месяца назад +6

    Namkubali Mwambukisi

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 2 месяца назад +2

    huyu Mwandishi MAUA YAKE APEWE

  • @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl
    @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl 2 месяца назад +2

    Taifa hili lina watu wazuri mmoja wao Mwabukusi

  • @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl
    @FLORENCEYUDAMKAMA-xl7jl 2 месяца назад +2

    Hapa ndipo nimegundua kwa Nini Mwabukusi Jina lake lilikatwa ni uzalendo wake na uwazi wake bila kuwa kada wa serikali, na anafanya kazi na wananchi zaidi kiliko kupokea maagizo ya wanasiasa!

  • @PetroLaizer-wk4oz
    @PetroLaizer-wk4oz 2 месяца назад +2

    Kazi nzuri, mfumo huu uendelee katka kupatikana kwa viongozi wa nchi ili kupima uwezo wa viongozi wetu

  • @SophiaKamgunda
    @SophiaKamgunda 2 месяца назад +5

    Kwa kpindi haki mpeni Mwabukusi wengine Majaliwa wakat mwingine

  • @hoseaahadi4889
    @hoseaahadi4889 2 месяца назад +1

    Vote for Mwabukusi

  • @jimmyjohnson1133
    @jimmyjohnson1133 2 месяца назад +1

    Mwabukusi Mwenyezi-Mungu na malaika zake wawe pamoja na wewe

  • @julianprubavu4069
    @julianprubavu4069 2 месяца назад +2

    Mwabukusi
    Mwabukusi
    Mwabukusi
    Mwabukusi
    Mwabukusi

  • @mtangag774
    @mtangag774 2 месяца назад

    Hongereni kwa mjadala mzuri

  • @magnusnkomola5950
    @magnusnkomola5950 2 месяца назад

    Vote Mwambukusi please.
    Don't let me down.

  • @Maria-cx4kn
    @Maria-cx4kn 2 месяца назад +1

    Kwa mara ya kwanza nimesikiliza huu mdahalo kwa sababu ya mgombea Mwabukusi.
    Hao wengine siwafahamu wala sijavutiwa nao Kama mwabukusi.