MTAANI MASANJA AKISISITIZA KWENDA WANJA WA TAIFA JUMAPILI!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 окт 2024

Комментарии • 293

  • @imathomas6531
    @imathomas6531 3 года назад +2

    Unapita na vigari vya watoto 😂😂😂😂😂😂hii nimekuja kuona 2020

  • @amani2555
    @amani2555 5 лет назад +52

    *Kama unakubali kiatu cha Mkandamizaji gonga like* 😂 😂 😂 😂

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 5 лет назад +3

    Mungu huwa anampa kila mtu kitu chake kaka hii ndio kazi yako...gonga like kama unaliona hili

  • @matalamoma166
    @matalamoma166 5 лет назад +53

    Kama umesikia ukafanye mapenz na samata na kichuya na msuva gonga like yko hap

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 4 года назад

    Mungu akujali kila la KHERI inshallah 👌😅😅😅😅masanja hongera bro

  • @annachristopherokeno9387
    @annachristopherokeno9387 5 лет назад +9

    Baba mch Leo kavurugwa sana hataki masihala kwenye nchi yetu twendeni TAIFA asante baba mchungaji

    • @beatricejailos7836
      @beatricejailos7836 5 лет назад

      Haswa inabidi kesho ibada ya asubuh ili tuwahi kufanya mapenzi na timu yetu

  • @thuvakonde2584
    @thuvakonde2584 5 лет назад +4

    Mashemegi zangu wa 🇹🇿 ilikuwa n haki yenu kufuzu mana sio kwa kuhamasisha mlivo hamasisha tukutane Egypt AFCON ln sha Allah #🇰🇪

  • @themanwithnoname5824
    @themanwithnoname5824 5 лет назад +30

    Mbona watanzania atupendi kufanya mapenzi na nnchi yetu.. Twenden tukafanye mapenzi taifa

    • @genimaige6023
      @genimaige6023 5 лет назад

      yekeyeke yekete sure tayariiii watu tulikuwa nyomi balaaa
      😁😁😁😁😁😁msuvaaaa

    • @allyhamic1255
      @allyhamic1255 5 лет назад

      hahahaaaa tushafanya mapenzii...

    • @najmanajma6820
      @najmanajma6820 4 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @allenmwambije8119
    @allenmwambije8119 5 лет назад +1

    My Best actor of all the time despite ubize wake wa neno la mungu

  • @lucaspaul3303
    @lucaspaul3303 5 лет назад +3

    My self nimeflahi Sana nikwer Kabsa, duniani bila mapenzi wew usingekuwepo halikadhalika timu ya (TAIFA 🌟) usingekuwepo.

  • @johnmapunda4937
    @johnmapunda4937 5 лет назад +6

    Hahahaha we miss you guys come back men!

  • @phastoryjumbe1964
    @phastoryjumbe1964 5 лет назад +16

    twendeni tukafanye mapenzi na tim yetu jaman ifikapo j.pili

  • @mimiliism
    @mimiliism 5 лет назад

    dar nmeikumbuka original comedy

  • @mangeleoporod2704
    @mangeleoporod2704 4 года назад +2

    😂😂😂😂niazime hiyo kiatu

  • @brysonsabun4657
    @brysonsabun4657 5 лет назад

    Hahaa bora urudi kwenye komedi tuu asee

  • @ngulirose8236
    @ngulirose8236 5 лет назад

    good masanja we scored

  • @ashneyrashidy3544
    @ashneyrashidy3544 5 лет назад

    Ahahahaaaa ni Leo Jamani mkafanye mapenzi uwanjani Jamani

  • @paschalrichard1272
    @paschalrichard1272 5 лет назад +18

    Hahaaaaaa ,inabidi na mimi nikafanye mapenzi na timu yangu kwa kweli(uzalendo kwanza)

    • @festojackson5074
      @festojackson5074 5 лет назад

      kafanye mapenzi na thamata ili tuwafunge waganda

  • @shadrackdamiani8248
    @shadrackdamiani8248 5 лет назад +1

    team masanja like bs

  • @Binmasterdaniel
    @Binmasterdaniel 5 лет назад

    Yaani katika comedy za Masanja napendaga zaidi hizi za enzi za mwalimu aina hizi naweza kukaa siku nzima naziangalia ila tatizo haziko nyingi online pls any help mwenye nazo anisaidie aloo BIG UP MASANJA

  • @emmanueljuma7823
    @emmanueljuma7823 5 лет назад

    😹😂 oi masanja make more of this vichekesho still 🔥🔥 on pick

  • @frankp.alkado2938
    @frankp.alkado2938 5 лет назад

    Hahaaahahahahaaaaaaa, safi sana Masanja

  • @bonifacematoke1501
    @bonifacematoke1501 5 лет назад

    mkafanye mapenzi na Samata ahahahahahahaah teteteeteteteet

  • @papaeliya2219
    @papaeliya2219 5 лет назад

    Kkkkkkkkkkkkk sanaa kiongoz nakukubaliiiiii

  • @marckozakayo5987
    @marckozakayo5987 5 лет назад +2

    Nlikuwa napenda sna na still I like this style

  • @synthiamwiza1704
    @synthiamwiza1704 5 лет назад +2

    😂😂😂😂😂😂mchungaji banaaaa aca na mimi niende uwanja wataifa nikaone Burundi na Gabon siko mtizi jameniii nasisi leo tukashangiliye team yetu ya taifa

  • @amenyekibona8730
    @amenyekibona8730 5 лет назад

    way back ,,,, liniutarudi tena

  • @johnjulius6986
    @johnjulius6986 5 лет назад

    🤣🤣🤣 pumbavu....!
    Bila kokosolewa hutofika...@ Pastor masanja.
    - Mjasiriamali wa karne....young billionaire.
    Kazi nzuri sana ya kuhamasisha, ndomana yote yamezaa matunda.
    🙄🙄😏🤔🤔🤨🤨🤨😚☺😘🤣🤣🤣🤢🤢🤮🤮🤧🤧🤓🤓🤓🤕🤯🤯👺👺☻☻👣👣👀👁👥👥👏👏🤘🤘👌 show love.
    Nakupenda sana Masanja😇💩🙃

  • @zainabukhalifa3967
    @zainabukhalifa3967 5 лет назад +16

    😂😂😂😂😂😂icho kiatu sasa had gar inapigwa tege masaja shikamoo jaman mkaka anae dhohofisha taifa kwa kupaka rangi wadada pole

  • @MusaNgao
    @MusaNgao 5 лет назад +4

    Hongera sn brother. Point taken!

  • @mcisunga3822
    @mcisunga3822 5 лет назад +3

    😂😂😂😂jumapili ni kufanya mapenzi tu na team ya taifa

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 4 года назад +1

    😂😂masanja sarutiiiiiiiìiiii

  • @Purity493
    @Purity493 5 лет назад

    Ahahahaa Ahahahaa oooooouuuuuiiiyee😁😁😁😁😁😁😁

  • @jamilsalanga4193
    @jamilsalanga4193 5 лет назад

    hahahaaaaaa nimpenda sana hyo

  • @antonmapepele3503
    @antonmapepele3503 5 лет назад

    Ahaaa nimependa

  • @nelsonngemera9832
    @nelsonngemera9832 5 лет назад

    Safi sana walioko Dar. mtuwakilishe jaman

  • @aminanzeyimana3676
    @aminanzeyimana3676 5 лет назад

    asante safi sana

  • @yusuphamani72
    @yusuphamani72 5 лет назад

    Ooh jaman mbona imeishaa

  • @leahshilatu6606
    @leahshilatu6606 5 лет назад +10

    Hapa nimegundua Sasa unajua mm huwa nakufatilia Sana hata kwenye mahubili yako bora umeniongezea siku za kuishi tena maana nimecheka Sana ukweli huwezi kushangilia Manchester wkt timu yako hapa Tz huishangiliii😂😂😀😀😂😂

  • @abdallahsaid5497
    @abdallahsaid5497 5 лет назад

    Ahsante masanja

  • @njolejr3170
    @njolejr3170 5 лет назад +1

    Lazima tukafanye mapenzi 😊

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 4 года назад +1

    Hahah unatisha yani kiatu ni hatari🤣🤣

  • @genimaige6023
    @genimaige6023 5 лет назад

    tumefanya mapenzi na timu yetu leo masanja tatu bilaaaaa😀😀😀😀😀😀

  • @vantiger3489
    @vantiger3489 5 лет назад +2

    Hahahahah hilo shoes sasa hahahahaha Kemea pepo shikamoooooooo Tukutane Taifa tr 24

    • @aishaail4455
      @aishaail4455 5 лет назад +1

      george mbembe kiatu nishida.

    • @vantiger3489
      @vantiger3489 5 лет назад

      @@aishaail4455 hahaha shoes hii cyo ya nchi hii hahahahah

  • @danfordmwangesile9043
    @danfordmwangesile9043 5 лет назад +2

    Ahsante sana kaka tufanye uzalendo. Na mtindo wa kusubilia goli lifungwe ndo tushangilie haileti maana ni mwendo wa kushangilia mwanzo mwisho tuige kwa mashabiki wa Liverpool

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 4 года назад +1

    Hee iyo moka ya masanja

  • @siegfredkijazi323
    @siegfredkijazi323 5 лет назад

    mpumbavu,,unapita na vigari vya watoto hapaaaaa,,,hahahahhaaaa

  • @emmiradorjunior3153
    @emmiradorjunior3153 5 лет назад

    Hahahahahaaa waambie yanga hahahahaa

  • @ezrantamheza9756
    @ezrantamheza9756 5 лет назад +8

    😁😁😁unapita na vigari vya watoto uuuuuw

  • @nuruabdallah2510
    @nuruabdallah2510 5 лет назад

    Hahahahaha.....jaman mwee uzalendo kwanza mengine yanafuata

  • @SamuelCharles-111
    @SamuelCharles-111 5 лет назад +5

    Tukafanye mapenzi na timu yetu,...!!?😂😂 Kwa wanawake sawa ila sisi wanaume Itabidi twiga Starz iwepo...!! Ndio mapenzi yatafanywa vizuri

  • @superchadema2417
    @superchadema2417 5 лет назад +1

    Eti,,,,,,ndo mchungaji, ,,,hatr mtupuuu, ,,afu uzalendo co kuangalia mpira

  • @maxesh5135
    @maxesh5135 5 лет назад

    😅😅😅😅😅😅😅 huyo mpaka rangi kucha kanifurahisha

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 5 лет назад

    Mkurabita mkubwa 😂🤣😂🤣🤣 shabiki namba moja namaanisha hii 1 wa masanja fanya comed kaka watu wafurahi.....

  • @fredymgina9732
    @fredymgina9732 5 лет назад +9

    Uyo mpaka langi umemkomesha😂😂😂

  • @haineschaula8757
    @haineschaula8757 5 лет назад

    Nakupenda Sana mchungaji wangu.

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 лет назад +3

    Kweli watu wamekalia kushabikia timu za watu na ugonvi juu lkn yakwao hata kuongelea hawaongie

  • @merryjulius4098
    @merryjulius4098 3 года назад +1

    Hiyo kiatu hahahah

  • @haikajohn7580
    @haikajohn7580 3 года назад

    Ongera masanja oyee!!!

  • @amosikabalata6381
    @amosikabalata6381 5 лет назад +9

    Panapo majaliwa, mm naahidi taifa stars wakishinda, nitaingia uwanjani kuwakumbatia wachezaji wetu. Pls polisi na mabaunsa hii ni kwa mapenzi ya inchi yetu asee. sii naingia uwanjani mnaanza kunibonda kaa ngoma ya kimakonde.UZALENDO KWANZA

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 лет назад

    Mungu isaidie taifa yetu ishinde

  • @yusratmmbaga9372
    @yusratmmbaga9372 5 лет назад

    Mara paaa mnaenda wengi halafu mnafungwa 🙈🙈🙈

  • @prophetjoeAngel24
    @prophetjoeAngel24 5 лет назад +1

    Safi sana pastor

  • @johnambrosi2415
    @johnambrosi2415 5 лет назад +2

    Twenden tukafanye mapenzi na amonike

  • @kilagane183
    @kilagane183 5 лет назад

    Upo vzur kaka

  • @gasparmsagati5490
    @gasparmsagati5490 5 лет назад

    Wewe utafanya mapenzi na nani?

  • @angelomedard
    @angelomedard 5 лет назад

    Brother, Taifa tumeenda lakini tumefanya mapenzi nje ya uwanja mzazi!!!1

  • @delabossreizer9471
    @delabossreizer9471 5 лет назад +3

    😂😂😂😂😂masanja ww noma ww kila idara ukosei iyo kiatu umeitoaa wp mzee baba hahaahh kwl watu wakafanye mapenzi na amunikee uko

  • @temesjames8867
    @temesjames8867 5 лет назад +1

    Umechelewa masanja timu haijaanzia hapa ilipo fikia cha ajabu munajitokeza wakati muda umekwenda hiyo halakati ilitakiwa mwanzoni si mwishoni nawashangaa sana

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 5 лет назад

    Hahahahaaaaaaaa Nendeni mkafanye Mapenzi nawachezaji

  • @lestantgodfrey7229
    @lestantgodfrey7229 5 лет назад

    Wakashangilie au wakafanye mapenzi?

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 5 лет назад

    😂😂😂😂 huyo ulomchapa nngekuwa Mimi sasa

  • @elishaedward7557
    @elishaedward7557 5 лет назад

    mmmmmmmhhhhh umegusa panapo tunamapenzi na timu za nje lkn timu ya taifa hatuipi kipaumbele .big up mkandamizaji wakandamize baba

  • @mamalaozphilemon.8800
    @mamalaozphilemon.8800 5 лет назад +1

    😂😂😂eti fanya mapenzi nataifa aisee ila kwel tunapenda team zainje mnoo.

  • @falendekelwa386
    @falendekelwa386 5 лет назад

    hahahaaa et mnapaka rangi mabinti ndo nyie mnadhoofisha taifa duuh

  • @yaspizaro1447
    @yaspizaro1447 5 лет назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂 kafanye mapenzi na samata

  • @latefaafreca5486
    @latefaafreca5486 5 лет назад

    😂😂mungu wangu

  • @alexjudica8668
    @alexjudica8668 5 лет назад +2

    Fanya mapenzu na timu ya taifa😂😂😂😂

  • @saphinachristopher4872
    @saphinachristopher4872 5 лет назад +13

    Skonkodi hizo sasa😂😂😂😂😂

  • @maxfaida6237
    @maxfaida6237 5 лет назад

    Kiukweli umeicheza vizuri 😀😀😀

  • @florasanga6664
    @florasanga6664 5 лет назад

    umenichekesha kwa sauti kuuu masanja

  • @tuphujekumuhkunonyiile3739
    @tuphujekumuhkunonyiile3739 5 лет назад +1

    Chizi kapewa.lungu😂😂😂😂tukutane TAIFA

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 5 лет назад

    mutawatia mimba mbona😂😂😂😂

  • @KWENYEZAMGuy
    @KWENYEZAMGuy 5 лет назад

    Hahaha!!! nafurahi ayo mafunzu ya uzalendo kabisa!!!!!

  • @dicksonsheja9376
    @dicksonsheja9376 5 лет назад

    Hahahaaaaa eti anendesha gari ya watoto

  • @floraanthony4406
    @floraanthony4406 5 лет назад

    hahhahahaha masanja unanimalaza

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 5 лет назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatari fire 💥💥💥💥💥💥

  • @jamesphilbertjayptz8282
    @jamesphilbertjayptz8282 5 лет назад

    😂😂😂 tufanye mapenzi na samata

  • @laizsuke8265
    @laizsuke8265 5 лет назад +2

    Mmepata bahati ya kumiliki pesa na smartphone,. Kuandika kusoma kwako shida, ni uwanja siyo wanja

  • @dionistindwa7429
    @dionistindwa7429 5 лет назад

    😁😁😁😁 MTAKURAAA BAKORAAA NCHI MZIMAAAAAAAA

  • @sifaelmugitu8018
    @sifaelmugitu8018 5 лет назад

    Tandika bakora TASAF wakubwa hao 😂😂😂😂

  • @symonmhoja3102
    @symonmhoja3102 5 лет назад

    Anapita na vigari vya watoto badala ya kwenda kufanya mapenzi na Tanzania.............. Ha ha ha ha haaaaaaa, Masanja we fara sana....

  • @ebbyramadhani
    @ebbyramadhani 5 лет назад

    mwalimu kashasema.....

  • @mdeeboy846
    @mdeeboy846 5 лет назад +1

    Hahahaaa vigari vya watoto

  • @raymondjimmy2712
    @raymondjimmy2712 5 лет назад

    Mi ni Mzalendo lkn Taifa stars kuifunga uganda ni sawa na kuchemsha supu ya Mawe🏃🏻🏃🏻

  • @prospermateru2128
    @prospermateru2128 5 лет назад

    Sio wanja😆😆

  • @standardtv3494
    @standardtv3494 5 лет назад

    Takukuru mkubwa wewe 😂🤣🤣🤣😂🤣😂😂😂🤣

  • @nicholauslaurent8106
    @nicholauslaurent8106 5 лет назад +2

    Hahahahahha, TWENDENI TUKAFANYE MAPENZI NA TAIFA STARS, HAHH

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel4613 5 лет назад +1

    Safi sn mchungaji,😂😂😂

  • @luganostewart8320
    @luganostewart8320 5 лет назад

    Masanja bhana umetisha na hlo la kuchumpaa