Yaani katika comedy za Masanja napendaga zaidi hizi za enzi za mwalimu aina hizi naweza kukaa siku nzima naziangalia ila tatizo haziko nyingi online pls any help mwenye nazo anisaidie aloo BIG UP MASANJA
🤣🤣🤣 pumbavu....! Bila kokosolewa hutofika...@ Pastor masanja. - Mjasiriamali wa karne....young billionaire. Kazi nzuri sana ya kuhamasisha, ndomana yote yamezaa matunda. 🙄🙄😏🤔🤔🤨🤨🤨😚☺😘🤣🤣🤣🤢🤢🤮🤮🤧🤧🤓🤓🤓🤕🤯🤯👺👺☻☻👣👣👀👁👥👥👏👏🤘🤘👌 show love. Nakupenda sana Masanja😇💩🙃
Hapa nimegundua Sasa unajua mm huwa nakufatilia Sana hata kwenye mahubili yako bora umeniongezea siku za kuishi tena maana nimecheka Sana ukweli huwezi kushangilia Manchester wkt timu yako hapa Tz huishangiliii😂😂😀😀😂😂
Ahsante sana kaka tufanye uzalendo. Na mtindo wa kusubilia goli lifungwe ndo tushangilie haileti maana ni mwendo wa kushangilia mwanzo mwisho tuige kwa mashabiki wa Liverpool
Panapo majaliwa, mm naahidi taifa stars wakishinda, nitaingia uwanjani kuwakumbatia wachezaji wetu. Pls polisi na mabaunsa hii ni kwa mapenzi ya inchi yetu asee. sii naingia uwanjani mnaanza kunibonda kaa ngoma ya kimakonde.UZALENDO KWANZA
Umechelewa masanja timu haijaanzia hapa ilipo fikia cha ajabu munajitokeza wakati muda umekwenda hiyo halakati ilitakiwa mwanzoni si mwishoni nawashangaa sana
Unapita na vigari vya watoto 😂😂😂😂😂😂hii nimekuja kuona 2020
😆😆😆😅😅😅😅
*Kama unakubali kiatu cha Mkandamizaji gonga like* 😂 😂 😂 😂
Mungu huwa anampa kila mtu kitu chake kaka hii ndio kazi yako...gonga like kama unaliona hili
Kama umesikia ukafanye mapenz na samata na kichuya na msuva gonga like yko hap
Matala Moma 😂😂😂😂😂Me ctaki jmn 😂😂😂
😀😀
Hatari
😁😁
Mungu akujali kila la KHERI inshallah 👌😅😅😅😅masanja hongera bro
Baba mch Leo kavurugwa sana hataki masihala kwenye nchi yetu twendeni TAIFA asante baba mchungaji
Haswa inabidi kesho ibada ya asubuh ili tuwahi kufanya mapenzi na timu yetu
Mashemegi zangu wa 🇹🇿 ilikuwa n haki yenu kufuzu mana sio kwa kuhamasisha mlivo hamasisha tukutane Egypt AFCON ln sha Allah #🇰🇪
Mbona watanzania atupendi kufanya mapenzi na nnchi yetu.. Twenden tukafanye mapenzi taifa
yekeyeke yekete sure tayariiii watu tulikuwa nyomi balaaa
😁😁😁😁😁😁msuvaaaa
hahahaaaa tushafanya mapenzii...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
My Best actor of all the time despite ubize wake wa neno la mungu
My self nimeflahi Sana nikwer Kabsa, duniani bila mapenzi wew usingekuwepo halikadhalika timu ya (TAIFA 🌟) usingekuwepo.
Hahahaha we miss you guys come back men!
twendeni tukafanye mapenzi na tim yetu jaman ifikapo j.pili
dar nmeikumbuka original comedy
😂😂😂😂niazime hiyo kiatu
Hahaa bora urudi kwenye komedi tuu asee
good masanja we scored
Ahahahaaaa ni Leo Jamani mkafanye mapenzi uwanjani Jamani
Hahaaaaaa ,inabidi na mimi nikafanye mapenzi na timu yangu kwa kweli(uzalendo kwanza)
kafanye mapenzi na thamata ili tuwafunge waganda
team masanja like bs
Yaani katika comedy za Masanja napendaga zaidi hizi za enzi za mwalimu aina hizi naweza kukaa siku nzima naziangalia ila tatizo haziko nyingi online pls any help mwenye nazo anisaidie aloo BIG UP MASANJA
😹😂 oi masanja make more of this vichekesho still 🔥🔥 on pick
Hahaaahahahahaaaaaaa, safi sana Masanja
mkafanye mapenzi na Samata ahahahahahahaah teteteeteteteet
Kkkkkkkkkkkkk sanaa kiongoz nakukubaliiiiii
Nlikuwa napenda sna na still I like this style
😂😂😂😂😂😂mchungaji banaaaa aca na mimi niende uwanja wataifa nikaone Burundi na Gabon siko mtizi jameniii nasisi leo tukashangiliye team yetu ya taifa
way back ,,,, liniutarudi tena
🤣🤣🤣 pumbavu....!
Bila kokosolewa hutofika...@ Pastor masanja.
- Mjasiriamali wa karne....young billionaire.
Kazi nzuri sana ya kuhamasisha, ndomana yote yamezaa matunda.
🙄🙄😏🤔🤔🤨🤨🤨😚☺😘🤣🤣🤣🤢🤢🤮🤮🤧🤧🤓🤓🤓🤕🤯🤯👺👺☻☻👣👣👀👁👥👥👏👏🤘🤘👌 show love.
Nakupenda sana Masanja😇💩🙃
😂😂😂😂😂😂icho kiatu sasa had gar inapigwa tege masaja shikamoo jaman mkaka anae dhohofisha taifa kwa kupaka rangi wadada pole
Zainabu Khalifa utaenda Zena tuandamane
@@silasmwaringa9106 apana best sipo tz ningeenda lakin ndo ivyo
Hongera sn brother. Point taken!
😂😂😂😂jumapili ni kufanya mapenzi tu na team ya taifa
😂😂masanja sarutiiiiiiiìiiii
Ahahahaa Ahahahaa oooooouuuuuiiiyee😁😁😁😁😁😁😁
hahahaaaaaa nimpenda sana hyo
Ahaaa nimependa
Safi sana walioko Dar. mtuwakilishe jaman
asante safi sana
Ooh jaman mbona imeishaa
Hapa nimegundua Sasa unajua mm huwa nakufatilia Sana hata kwenye mahubili yako bora umeniongezea siku za kuishi tena maana nimecheka Sana ukweli huwezi kushangilia Manchester wkt timu yako hapa Tz huishangiliii😂😂😀😀😂😂
Ahsante masanja
Lazima tukafanye mapenzi 😊
Hahah unatisha yani kiatu ni hatari🤣🤣
tumefanya mapenzi na timu yetu leo masanja tatu bilaaaaa😀😀😀😀😀😀
Hahahahah hilo shoes sasa hahahahaha Kemea pepo shikamoooooooo Tukutane Taifa tr 24
george mbembe kiatu nishida.
@@aishaail4455 hahaha shoes hii cyo ya nchi hii hahahahah
Ahsante sana kaka tufanye uzalendo. Na mtindo wa kusubilia goli lifungwe ndo tushangilie haileti maana ni mwendo wa kushangilia mwanzo mwisho tuige kwa mashabiki wa Liverpool
Hee iyo moka ya masanja
mpumbavu,,unapita na vigari vya watoto hapaaaaa,,,hahahahhaaaa
Hahahahahaaa waambie yanga hahahahaa
😁😁😁unapita na vigari vya watoto uuuuuw
hahahaaaa
Hahahahaha.....jaman mwee uzalendo kwanza mengine yanafuata
Tukafanye mapenzi na timu yetu,...!!?😂😂 Kwa wanawake sawa ila sisi wanaume Itabidi twiga Starz iwepo...!! Ndio mapenzi yatafanywa vizuri
hahaha
Eti,,,,,,ndo mchungaji, ,,,hatr mtupuuu, ,,afu uzalendo co kuangalia mpira
😅😅😅😅😅😅😅 huyo mpaka rangi kucha kanifurahisha
Mkurabita mkubwa 😂🤣😂🤣🤣 shabiki namba moja namaanisha hii 1 wa masanja fanya comed kaka watu wafurahi.....
Uyo mpaka langi umemkomesha😂😂😂
Nakupenda Sana mchungaji wangu.
Kweli watu wamekalia kushabikia timu za watu na ugonvi juu lkn yakwao hata kuongelea hawaongie
Hiyo kiatu hahahah
Ongera masanja oyee!!!
Panapo majaliwa, mm naahidi taifa stars wakishinda, nitaingia uwanjani kuwakumbatia wachezaji wetu. Pls polisi na mabaunsa hii ni kwa mapenzi ya inchi yetu asee. sii naingia uwanjani mnaanza kunibonda kaa ngoma ya kimakonde.UZALENDO KWANZA
Mungu isaidie taifa yetu ishinde
Mara paaa mnaenda wengi halafu mnafungwa 🙈🙈🙈
Safi sana pastor
Twenden tukafanye mapenzi na amonike
Upo vzur kaka
Wewe utafanya mapenzi na nani?
Brother, Taifa tumeenda lakini tumefanya mapenzi nje ya uwanja mzazi!!!1
😂😂😂😂😂masanja ww noma ww kila idara ukosei iyo kiatu umeitoaa wp mzee baba hahaahh kwl watu wakafanye mapenzi na amunikee uko
Umechelewa masanja timu haijaanzia hapa ilipo fikia cha ajabu munajitokeza wakati muda umekwenda hiyo halakati ilitakiwa mwanzoni si mwishoni nawashangaa sana
Hahahahaaaaaaaa Nendeni mkafanye Mapenzi nawachezaji
Wakashangilie au wakafanye mapenzi?
😂😂😂😂 huyo ulomchapa nngekuwa Mimi sasa
mmmmmmmhhhhh umegusa panapo tunamapenzi na timu za nje lkn timu ya taifa hatuipi kipaumbele .big up mkandamizaji wakandamize baba
😂😂😂eti fanya mapenzi nataifa aisee ila kwel tunapenda team zainje mnoo.
hahahaaa et mnapaka rangi mabinti ndo nyie mnadhoofisha taifa duuh
😂😂😂😂😂😂😂😂 kafanye mapenzi na samata
😂😂mungu wangu
Fanya mapenzu na timu ya taifa😂😂😂😂
Skonkodi hizo sasa😂😂😂😂😂
Skonkodi "ndo Nini"
Kiukweli umeicheza vizuri 😀😀😀
umenichekesha kwa sauti kuuu masanja
Chizi kapewa.lungu😂😂😂😂tukutane TAIFA
mutawatia mimba mbona😂😂😂😂
Hahaha!!! nafurahi ayo mafunzu ya uzalendo kabisa!!!!!
Hahahaaaaa eti anendesha gari ya watoto
hahhahahaha masanja unanimalaza
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatari fire 💥💥💥💥💥💥
😂😂😂 tufanye mapenzi na samata
Mmepata bahati ya kumiliki pesa na smartphone,. Kuandika kusoma kwako shida, ni uwanja siyo wanja
😁😁😁😁 MTAKURAAA BAKORAAA NCHI MZIMAAAAAAAA
Tandika bakora TASAF wakubwa hao 😂😂😂😂
Anapita na vigari vya watoto badala ya kwenda kufanya mapenzi na Tanzania.............. Ha ha ha ha haaaaaaa, Masanja we fara sana....
mwalimu kashasema.....
Hahahaaa vigari vya watoto
Mbavu zangu jamani
Mi ni Mzalendo lkn Taifa stars kuifunga uganda ni sawa na kuchemsha supu ya Mawe🏃🏻🏃🏻
Sio wanja😆😆
Takukuru mkubwa wewe 😂🤣🤣🤣😂🤣😂😂😂🤣
Hahahahahha, TWENDENI TUKAFANYE MAPENZI NA TAIFA STARS, HAHH
Safi sn mchungaji,😂😂😂
Masanja bhana umetisha na hlo la kuchumpaa